ASKOFU DR MOSES KULOLA MACHO YA MUNGU YAPO KWENYE FUNGU LA KUMI, WEWE NI CHUKIZO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 чер 2021
  • #SYLASS TV ONLINE WASILIANA NASI KWA +255742692079
    UNAWEZA KUTUMA SADAKA YAKO KWA M_PESA +255742692079
    YOU CAN SEND YOUR LOVE OFFERING TO THESE NUMBERS M_PESA +255742692079

КОМЕНТАРІ • 35

  • @user-el8cn7sw3x
    @user-el8cn7sw3x Рік тому +2

    Nabarikiwa sana na mahubiri yake.

  • @bokimmwamba2322
    @bokimmwamba2322 Місяць тому

    Vilaka vilaka vilaka Kila uchwao ni kutubu na kuanguka Tena. Eee Yesu turehemu

  • @MariaMdemu-xt5cv
    @MariaMdemu-xt5cv 6 місяців тому

    Baba ulituachia Neno lililouzima ,pumzika Kwa amani ...Neno lako limeku uzima katika maisha yetu Mungu akukumbuke katika ufalme wake.

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m 6 місяців тому

    Yaani ww huwa nakusikiliza hadi nalia machozi. Upendo nilionao kwako ni mkubwa sana!! Haupo ulimwenguni lkn hakika unaishi. Kwasababu neno la uzima bac ulikaa ndani mwako siku zote. Hujafa hakika mzee Moses!! Yohana8:51. Amen. Nami naishi katika Yesu Kristo!! Nashukuru sana, Yesu Kristo asifiwe sana!!

  • @frankjohn8706
    @frankjohn8706 Рік тому +1

    Huyu kweli mwendo ameumaliza. Mwendo ni kuwa na YESU sasa sio maisha ya dini na vinyago au jua na mwezi na nyota

  • @elizadmwaisabila5922
    @elizadmwaisabila5922 11 місяців тому

    BARIKIWA BABA UMZURI- HUKO ULIKO ULIKO PATA MEMA YAKO BABA UMEACHA ALAMA KUBWA. TUNAFUATA NYAYO ZAKO EE! MUNGU TUJALIE

  • @jovithajovinary9305
    @jovithajovinary9305 3 роки тому +2

    Asante saana kwa maubili Aya mazuri

  • @marthaseme2811
    @marthaseme2811 3 місяці тому

    🙏🙏🙏

  • @JanethEmmanuelEmmanuel-qo9fq
    @JanethEmmanuelEmmanuel-qo9fq 6 місяців тому

    Amina ibarikiwe sana injili hiii🙏🙏🙏

  • @paskaliamaganga9399
    @paskaliamaganga9399 9 місяців тому

    Mungu. akubali. Ki. Askofu.

  • @CHRISMACHOMBE
    @CHRISMACHOMBE 8 місяців тому

    Nabarikiwa Sana na mafundisho ya Moses kulola,maana nineno lakuaminiwa

  • @angelalaizer3895
    @angelalaizer3895 2 роки тому +1

    AMEN

  • @dawhiteschola8847
    @dawhiteschola8847 2 роки тому +1

    Ameni 👏👏👏

  • @aminaally4163
    @aminaally4163 2 роки тому

    AMEEN AMEEN

  • @restphillipo1796
    @restphillipo1796 2 роки тому

    Baraka iwe juu yako

  • @phellowmmbunitv6077
    @phellowmmbunitv6077 3 роки тому

    Wow

  • @amandaangie4806
    @amandaangie4806 Рік тому

    Amen 🙏 AMEN 🙏

  • @anethpatroba3401
    @anethpatroba3401 11 місяців тому

    😂😂😂😂ooh YESU tusaidie vijana

  • @gracewilson6903
    @gracewilson6903 2 роки тому

    Amen

  • @monickmahebe7974
    @monickmahebe7974 2 роки тому

    Napenda mahubiri yako.

  • @sarahmaro215
    @sarahmaro215 2 роки тому +4

    Baba yangu MOSES nakumbuka sana, Kama MUNGU angekuwa anarudisha watu duniani Tena ningemwomba amrudishe baba yangu huyu, hivi wachungaji wa Leo Kuna kitu mnajifunza kwa huyu? Au mnatupeleka kulingana na mapenzi yenu? Ole wenu maana MUNGU hana upendeleo nsnyi hukumun mtasisima tu.

    • @elishaelia9669
      @elishaelia9669 11 місяців тому

      Balikiwa mzee mozes kulola mahali ulipo

    • @NizerMgombele-xn5hb
      @NizerMgombele-xn5hb 3 місяці тому

      Ni kweli mzee alifanya kazi kubwa na nzuri ya mungu, lakini hata leo wako watumishi waaminifu kwa mungu na wanafanya kazi nzuri ya mungu na matapeli wa imani wataawpata wenzao kuwa kuwa making kuombea watumishi wazidi kuwa waaminifu

  • @glorygod6081
    @glorygod6081 2 роки тому +1

    Huyu baba jamani napokea neema aliyokuwa nayo

  • @shalomuezra5972
    @shalomuezra5972 2 роки тому

    Huyu mtumishi WA MUNGU aliye hai hakika amepigana Vita mwendo ameumaliza mahubiri yake yanatia nguvu sana

  • @angelitapaulo
    @angelitapaulo 9 місяців тому

    Hakika baba yangu umetuachia injili isiyoisha utamu

  • @olenkukuu1666
    @olenkukuu1666 Рік тому

    Great preaches God bless you abundantly

  • @AdelaidaStephano-yj8wu
    @AdelaidaStephano-yj8wu 4 місяці тому

    Ninapo sikiliza maubiri Aya ninatetemeka na kulia Kwa uchungu Sana sijawai kuona mchungaji kama uyu Dunia nzima ayupo na atakuepo

    • @NizerMgombele-xn5hb
      @NizerMgombele-xn5hb 3 місяці тому

      Unasemaje hayupo mchungaji kama hyo hii ni roho ya kuzarau watumishi wote wa sasa usiseme hvyo nabii elia alisema nimebaki pekeyangu lakini mungu anamwambia ELIA mtumishi wake kuwa nimejisazia watu 7000 ambao hawajapiga goti kwa manabii wa bahali mzee alifanya kazi mpaka naogopa ila tusipitilize kusema watu wa mungu roho ya kuwachosha watumishi waaminifu au mpaka wafe ndo tuwasifu sema huyu alipewa injili ya machozi

    • @NizerMgombele-xn5hb
      @NizerMgombele-xn5hb 3 місяці тому

      Nawatumishi wanasema waumini wazamani sijaona kabisa hakuna hii ndani yake shetani anapishanisha tuwe makini

  • @anthonyyalanda11
    @anthonyyalanda11 Рік тому

    Mahubiri haya yamekuwa Adimu TANZANIA,MUNGU TUSAIDIE

    • @geitandelwa299
      @geitandelwa299 2 місяці тому

      Umeona kwa sasa people la making ndo chakula chetu

  • @davidmembedalamethepsalmis2885

    Tumpate wapi tena MTU kama huyuuuuu

  • @MosesNtongolo-bq4cy
    @MosesNtongolo-bq4cy 11 місяців тому

    Mungu akutie nguvu