ASKOFU DR MOSES KULOLA MACHO YA MUNGU YAPO KWENYE FUNGU LA KUMI, WEWE NI CHUKIZO
Вставка
- Опубліковано 28 чер 2021
- #SYLASS TV ONLINE WASILIANA NASI KWA +255742692079
UNAWEZA KUTUMA SADAKA YAKO KWA M_PESA +255742692079
YOU CAN SEND YOUR LOVE OFFERING TO THESE NUMBERS M_PESA +255742692079
Nabarikiwa sana na mahubiri yake.
Vilaka vilaka vilaka Kila uchwao ni kutubu na kuanguka Tena. Eee Yesu turehemu
Baba ulituachia Neno lililouzima ,pumzika Kwa amani ...Neno lako limeku uzima katika maisha yetu Mungu akukumbuke katika ufalme wake.
Yaani ww huwa nakusikiliza hadi nalia machozi. Upendo nilionao kwako ni mkubwa sana!! Haupo ulimwenguni lkn hakika unaishi. Kwasababu neno la uzima bac ulikaa ndani mwako siku zote. Hujafa hakika mzee Moses!! Yohana8:51. Amen. Nami naishi katika Yesu Kristo!! Nashukuru sana, Yesu Kristo asifiwe sana!!
Huyu kweli mwendo ameumaliza. Mwendo ni kuwa na YESU sasa sio maisha ya dini na vinyago au jua na mwezi na nyota
BARIKIWA BABA UMZURI- HUKO ULIKO ULIKO PATA MEMA YAKO BABA UMEACHA ALAMA KUBWA. TUNAFUATA NYAYO ZAKO EE! MUNGU TUJALIE
Asante saana kwa maubili Aya mazuri
🙏🙏🙏
Amina ibarikiwe sana injili hiii🙏🙏🙏
Mungu. akubali. Ki. Askofu.
Nabarikiwa Sana na mafundisho ya Moses kulola,maana nineno lakuaminiwa
AMEN
Ameni 👏👏👏
AMEEN AMEEN
Baraka iwe juu yako
Wow
Amen 🙏 AMEN 🙏
😂😂😂😂ooh YESU tusaidie vijana
Amen
Napenda mahubiri yako.
Baba yangu MOSES nakumbuka sana, Kama MUNGU angekuwa anarudisha watu duniani Tena ningemwomba amrudishe baba yangu huyu, hivi wachungaji wa Leo Kuna kitu mnajifunza kwa huyu? Au mnatupeleka kulingana na mapenzi yenu? Ole wenu maana MUNGU hana upendeleo nsnyi hukumun mtasisima tu.
Balikiwa mzee mozes kulola mahali ulipo
Ni kweli mzee alifanya kazi kubwa na nzuri ya mungu, lakini hata leo wako watumishi waaminifu kwa mungu na wanafanya kazi nzuri ya mungu na matapeli wa imani wataawpata wenzao kuwa kuwa making kuombea watumishi wazidi kuwa waaminifu
Huyu baba jamani napokea neema aliyokuwa nayo
Huyu mtumishi WA MUNGU aliye hai hakika amepigana Vita mwendo ameumaliza mahubiri yake yanatia nguvu sana
Hakika baba yangu umetuachia injili isiyoisha utamu
Great preaches God bless you abundantly
Ninapo sikiliza maubiri Aya ninatetemeka na kulia Kwa uchungu Sana sijawai kuona mchungaji kama uyu Dunia nzima ayupo na atakuepo
Unasemaje hayupo mchungaji kama hyo hii ni roho ya kuzarau watumishi wote wa sasa usiseme hvyo nabii elia alisema nimebaki pekeyangu lakini mungu anamwambia ELIA mtumishi wake kuwa nimejisazia watu 7000 ambao hawajapiga goti kwa manabii wa bahali mzee alifanya kazi mpaka naogopa ila tusipitilize kusema watu wa mungu roho ya kuwachosha watumishi waaminifu au mpaka wafe ndo tuwasifu sema huyu alipewa injili ya machozi
Nawatumishi wanasema waumini wazamani sijaona kabisa hakuna hii ndani yake shetani anapishanisha tuwe makini
Mahubiri haya yamekuwa Adimu TANZANIA,MUNGU TUSAIDIE
Umeona kwa sasa people la making ndo chakula chetu
Tumpate wapi tena MTU kama huyuuuuu
Hakika 😢
Mungu akutie nguvu