UKWELI KUHUSU LAANA ZA KIFAMILIA // MATESO YASIYOISHA
Вставка
- Опубліковано 19 жов 2024
- #biblia #laana #familia
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/siri...
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Amen
Ukweli kabisa yesu atufunguwe kupitia damu ya yesu kristo 🙏🙏🙏🙏🙏mtumishi japo kuwa ningumu ila ningeomba haya mafundisho uwe unatupa odio kwa WhatsApp ili ku share na wengine kwasababu ni mazuri😢😢😢😢
Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah
Asante mtumishi wa MUNGU
Naomba MUNGU uniongoze napojiandaa kuvunja madhabau ya laana za ukoo....uniezeshe yesu wangu
Asante yesu Kwa siku ya leo nzuri sana John9vs4 nawapata kutoka NCHINI ZAMBIA 🙏🙏👍👍
Nafuta laana kwenye familia kwa jina la yesu
Najitakasa na damu ya Yesu mimi na familia yangu juu ya laana na mikosi ya kifamilia.
Mungu atusaidiye tumalizie mfungouhu pamoja na YESU Kristo
Ameeen Ameeen Ameeen Asate kwa neno la Mungu
damu wa Yesu inisunguke na familia yangu
Najitakasa Kwa damu ya yesu
Asante Yesu kwa neno lako lenye nguvu
Amen amen 🙌🙏
Ee Yesu wangu naomba nitakase kwa damu yako uniokoe kutoka kwenye laana na maagano yote yaliyowekwa kwaajili yangu wanangu na familia yangu🙏
Amen 🙏 🙏
Ahsante MUNGU kwa siku nyingine nmepata kuuona mkono wako katika maombi ya toba Baba naomba pia Unitie nguvu zaidi kwa kipindi hiki cha kuvunja laana
Damu ya Yesu inioshe Mimi na familia yangu dhidi ya laana ya kifamilia,Amina
Asante Yesu sifa kwa Yesu.
Amen mtumishi mungu akubariki sana 🙏🙏🙏🙏
Yani am from Kenya n today in our church we had a very powerful sermon about generational curses inherited curses only by repentance n repentance only we can get out of this chain
Mungu aendelee kukutunza mtumishi wa Mungu
Najitakasa Mimi na familia yangu Kwa damu ya yesu
Asante Mungu wangu kwa kunipa uzima niko kwako Baba futa kila haina ya laana inayotuandama ndani ya jamii ytu na family yangu itokayo kwa mababu na wazazi waliyotangulia in Jesus name 🙏
Nafuta laana na mikosi kutoka kwenye ukoo, familia, mababu, na mabibi kwa jina la Yesu.
Mungu aendelee kukutunza Mtumishi wa Mungu
Mungu naomba uturehemu Mimi na watoto wangu na wadogo zangu
Mungu nilinde Kwa ulinzi wako 🙏🙏🙏
mungu awe nasi
Nafuta laana zote juu ya watoto yangu wote Kwa damu ya yesu
Asante YESU kwajili ya mafundisho naomba roho mtakatifu anisaidie kuelewa neno la MUNGU ♥️
Asante Bwana Yesu kwa maana unaenda kufungua familia yangu
Amen amen barikiwa sana mtumishibwa mungu, nashukuru sana mungu kwa nguvu mpya amabayo unaendelea kuachilia katika maombi ninayo kuomba pokea sifa na utukufu ni zako uinuliwe maana wewe ni mungu uliye mwaminifu,mungu utendae zaidi tuombavyo
Amen kwel mungu ananipenda roho wa mungu azidi kutufunulia
Mungu nirehemu Mimi na nyumba yangu na mke wangu pamoja na Watoto wangu ,uzao watumbo la mama angu tusamehe maisha tuliyoishi tusamehe ili tuende na Roho mtakatifu ili akakutane na haja ya mioyo wetu.
Amen Mutu Wamungu Mimi Past Andrew Sendi Kigali
Mungu Baba endelea kufungua fahamu watu wako, maana umesema katika mithali mtafute ufahamu kama unavyotafuta fedha, maana yake ufahamu ni kitu cha thamani sana, tukipata ufahamu tutakujua Mungu wetu tutakujua Baba yetu!
Ameen mutumishi wa Mungu ni kweli kabisa Mungu atusaidie
Amina Amina
Amen amen
Naomba usinipite Bwana,
Ameen Abigael Mwadena naomba kujunganisha n madhabahu hii y Siri za bibilia
Amen mtumishi ubarikiwe sana ,nakusikia Toka mombassa /kenya
Asante YESU
Preciosas sangre de Cristo salva y protégeme a mi y a mi familia,gracias Señor
Amina Amina mtumishi
Mtumishi umbarikiwe namafundisho yako
E Mungu damu yko ionyeshe familia yangu watoto wngu na jamii yangu yote,nakataa kila aina ya laaana zote za babu za mababu zetu nazifuta zote kwa jina la Yesu kristo,🙏🙏🙏🙏 mbarikiwe sana washirika wenzangu AMEN.
Amen! MTUMISHI 🙏🙏
Amen Amen
Asante MUNGU Kwa somo hili maana linanihusu sana
Emeeen tuko pamoja
YESU unatosha Bwana wangu wa Uzima , Asante Bwana naomba Roho wako MTAKATIFU anisaidie 🙏🙏🙏
Waaah asante kwa kunifundisha takuwa nikikufwatilia MUNGU anisaidie ,,,barikiwa ❤❤
Damu ya yesu ituondolee laana za familiar
Asante ubarikiwe mno, Mungu awe nawe daima.
Amen mtumishi
Ameeen🙏🙏
Nafuta laana zote kutoka vizazi 10 vilivyotangulia minyororo yote ivunjwe ktk jina la Yesu
Amen🙏🙏🙏🙏
Thank you Jesus
Amen amen.
Amen Ameeeen
Ameen
Mungu nitakase kwa damu ya yesu kristo wa Nazareth pamoja na familia yangu Amen
Ameein🎉🎉🎉
Sylvia amen amen amen.
Thank you jesus
Amina mtumishi , 🙏🙏🙏 yaan ubarikiwe mpaka ushangae kwa mafundisho yako na nakuombea roho mtakatifu aendelee kukuongoza kutupa neno AMINA AMINA AMINA AMINA
Amen 🙏🙏🙏🙏😢
Nafuta laana zote kutoka kwenye familia yangu na ukooo wangu kwa jina la yesu 🙏
Amina
Ameen mtunishi
Najitakasa Kwa Dam ya Yesu kristo,naomba Mungu niondolee laana,mikosi na vifungo Katika maisha yangu 🙏
Orester Mwalongo
Ktka jina la YESU nakata nyororo ya saratani kwenye familia yangu
Ameeen🙏🙏
Amen imekua katika jina la Yesu
🙌🙌🙌
Hallelujah Amen 🙏 🙌 👏
🙏🙏🙏
🙏🙏🙏🙏amina nimebarikiwa mtumishi
Kweli wiki iliopita ilikua ya bakaka Sana kwangu ❤❤
🙏
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Amen and Amen and thanks to Jesus connected from Kenya Nairobi
Amen. Amen 🙏🙌🙏
Wakwanza amen🙏🏻
Mtumishi Mungu akupe maisha marefu zaidi yaani akupe na bonus ya miaka ili wengi wapone kupitia mafundisho yako, nabarikiwa sana sana
Amen 🙏🙏 and amen 🙏🙏
🙌🙌🙏🙏🙏🙏🙏
🙌una group la telegram au Whatsapp? Ili kua karibu na lupata update za mfungo na mengineyo?
Mm nahitaji maombi haya Kwa ujumla mengi uliyoyataja yamenikamata
Naamini laana za kifamilia za stagnation na kutoolewa zitaondoka Kama jinsi nilivyo kombolewa Hadi Sasa najua kuomba.
Roho mtakatifu naomba unisaidie nibadilike tabiayangu ili nikufanane
Amen
Amen 🙏🙏
Ameen
Amina
🙏🙏🙏
❤
Amen Amen Amen 🙏🙏🙏
AMEN🙌🙌🙏
Amen amen 🙏