SABABU ZA MGOGORO SIMBA NA COASTAL UNION KUHUSU LAWI HIZI HAPA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 вер 2024
  • #simba #yanga #trending#yanga#alikiba#mgogorosimbacoastalunioni#rayvanny#chandrayaan3#wasafi#wasafitv#wasafifm#crown#claudsfm#claudstv#football#simbaaa#coastalunion#bbcnews#bbc#bbcswahilihabalileo#itvlive#sakata#sitonmyhand#wananchi#youngafricans#azamtv #azam#azamsportsfederationcup#azamiqbalrampuri

КОМЕНТАРІ • 21

  • @AdamRashidi-n9g
    @AdamRashidi-n9g 3 місяці тому +2

    Nyinyi mafara ni vyura wajangwani chenille kuingilia maswala ya simba lipeni made ni yanga ili ifunguliwe usajili

  • @Stephano722
    @Stephano722 3 місяці тому

    ❤❤❤


    ❤❤❤

  • @ChrisNyangoge
    @ChrisNyangoge 13 днів тому

    Simba wachezaji wamechoka naomba wajitahidi maoni yangu ni hayo

  • @LassonDominick
    @LassonDominick 3 місяці тому

    Hakuna jipya apo simba watatumiaga akiri sana! Coastal hao niwapuuzi tu

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 3 місяці тому

    Breach of contract haipo hapo?.

  • @Edithamathayo
    @Edithamathayo 2 місяці тому

    Hawa yag VP

  • @drallan6879
    @drallan6879 3 місяці тому

    hata hivyo Kama mo angetoa pesa on time agreed yasingetokea

  • @ANTHONYDCOSTA-u5p
    @ANTHONYDCOSTA-u5p 3 місяці тому

    Kuna team toka nje ilikuja kujifunza huu mchezo mchafu

  • @ThabitLuzwilo
    @ThabitLuzwilo 3 місяці тому

    Acheni marumbano tengenezeni timu

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 3 місяці тому

    Nyie ni ndugu, mnagombania nini?.

  • @drallan6879
    @drallan6879 3 місяці тому

    nyie coast hela yetu itawatokea puani

  • @mzeemambo8238
    @mzeemambo8238 3 місяці тому

    Coastal Union mnacho kiherehere. Mlikuwa na mpango tu wa kumbania Yanga harakaharaka ili muwafurahishe makolo. Kwani mlikuwa na haraka gani kumuuza mchezaji wa maana hivyo bila hata hamjasikilizia ofa zingine za nje?. Sasa mnagombana na swahiba zenu buree. Muwe na utulivu mfike mbali. Hapa mmepigwa

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 3 місяці тому

    Mo tunaomba CHAMA NA MAYELE.

  • @benadikikoti1167
    @benadikikoti1167 3 місяці тому +2

    Hilo ndiyo soka la tanzania na Kwa stahili hii tunategemea nchi zingine zijifundishe kwetu kwa Hali hii weledi unahitajika sana sana

  • @CharlesMasorwa
    @CharlesMasorwa 3 місяці тому +1

    Coasital Union Lizikeni na Mkataba mlioufunga n Timu ya Simba, acheni kuwa na tamaa . C. Masolwa.

  • @hamidukimbunga9068
    @hamidukimbunga9068 2 місяці тому

    Cost achani tamaa

  • @kamazimamuganyizi6932
    @kamazimamuganyizi6932 3 місяці тому

    Ww unachoongea ukijui na km ww ni Yanga pls tuachie simba yetu pilipili usiyokula inakuwasha nn

  • @MakambaRashid
    @MakambaRashid 3 місяці тому

    Nendeni fifa caf watajua nani ana haki au ana makosa wanasheria wa mpira hapa Tanzania Baadhi Yao ni wababaishaji Hawamjui kanuni Sheria za usajiri wa wachezaji kama hao kina Chacha mgongoro mmeona wenyewe sakata ra morisoni mgongoro ndio Arikuwa mwanasheria warisema morisoni Mari ya yanga sawa na hao kina Chacha hata mpangaji kama hajaripa mpe notis

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 3 місяці тому

    NYIE WAHUNI TU NA UHUNI MLIOUFANYA KWA KULIPA KWA MAFUNGU HUKU MKIJINADI KUWA NA PESA WAKATI MAGUMASHI NA HICHO NDICHO KITAWAGHARIMU....KUKAA KIMYA SIO ISSUE BALI MLIPASWA KULIPA KWA WAKATI...

  • @ThabitLuzwilo
    @ThabitLuzwilo 3 місяці тому

    Simba msipende kutangaza vitu ambavyo havijakamilika

  • @HalaZanzibar
    @HalaZanzibar 3 місяці тому

    Tumeelewa , basi tumekubali