Uko vizur, umeongea point chama alikuwa duka tena la jumla
Kweli Mhindi:chama miaka 3 ametuvuruga kweli❤❤❤🎉🎉🎉👍👍👍👍👍👍👍❤❤
Kuhusu cha ni kweli kabisa hata mkude pia hao ni friends of manara na TARIMBA
Umeongea point san
Wanasimba wote msijali kirusi kimeondoka
Hata mimi nilifrahia chama kujiona kama Mungu
Chama kumbe alituumiza sana,
Huyu Chama na Manara ni maadui wa Simba 😂😂
Kumbe chama alikua kasenge me hapa ndo nagundua
Wanajua hao wachezaji ni wazuri, wanakuwa wanajua walivyowaroga, kwahiyo wanatoa huo uchawi wao na wanacheza vizuri kwao
Safi sana mwarabu
Upo sawa
Mwarabu upo sw chama akipata mpira uwanjani anapozesha au akiwa hachez Simba inafanya vizuri mwarabu hoyeeeeee
Kabisa kaka manala nikirusi
Yanga wanachukua tusiowataka
Chama ndio alimpiga msumari kramo. Now cramo atacheza
Huyu nani tena mbona bonge bwana anaongea mambo ya maana sana
Viongizi wachezaji mualinde na na misunari kwani upande wapili hawapendi maendeleo ya blandi yetu Wana taka waishushe
Ninaomba viongozi was Simba sc na wanachama mrinde wachezsji wetu
SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Pmj sanaa
Ushauli wangu muhakikishe mna walinda kwa nini msijiulize mbaona yanga Wana wachukua wachezaji mnao waa cha wao wana jua kinacho sababishia wakiwa simba wana kuwa wabovu lakini mkiiwaacha wana wakimbilia hapo lazima muwe makini husuda zipo vita ina mbinu nyingi mna waleta wazuri wakisha fika simba wabovu msipo kuwa makini kila mwaka mta fukuza sana wachezaji sasa bareke ana tua yanga nae
Matola ni kirusi simba yeye ndo alikuwa anawajua wachezaji vizuri mda mrefu ila upangaji wa kikosi ni wa ovyo sana
mimi napenda sauti ya haka ka dada jamani khaaa ,,,,,,, na anajua kuongea kweli yaan
Wachezaji wajengewe sprit ya kupambana na sio kusaini simba ilimradi
TUWAOMBEE KWA M'MUNGU KUPITIA MADUWA NA ALBADIRI WACHAWI WATOWA RUSHWA WAPOKEA RUSHWA NA MAFITINA WAFE HAPO HAPO
SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Points
Uko poa mkuu simba nguvu moja
kweli kabisaa tusome albadirii
Upo xahih mtu wa maan xan
Toa maduka yote ,Used wote , wasaliti wote, wazee wote , peleka Utopoloni ,
Hawa ndio wachezaji wafanya biashara wote bye bye
Yani simba mazumbu kuku huyu muhindi eti kina jobeeeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂👏👏👏👏👏🧠🧠🧠🧠🧠🔐
Sawa sawa chama hakua wetu
mbona makofi machacheeeeee....?
Ndio maana mangungu hatumtaki yeye wachezaji wanarogwa yeye amekaa tu kama mshipa mjingasana huyo
Kasomeni al badiri 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mumechanganyikiwa hahahahahahahaha
Hahahahahahahahahaha yani Simba ni birudani sana ndani ya nchi yetu adi raha simba ni litimu limoja ambalo limejaa machizi hahahahahahahahahaha mpira umebadilika fedhaaa baba pesa mahesabu mijitu imekaa inaropokwa mgogoro mwingi yule anasema hivi yule vile .😂😂😂😂😂😂😂😂😂.umeona wapi yanga tumekaa tunapiga kelele watu wako mahofisini yani Yanga majuu pesa kuna nukia njuruku pesa pesa
Simba muna wewe seka .yanga mchezaji akicheza chini ya kiwango dirisha dogo kwaheri na bench anakalia Yanga mziki mpana.sisi ndio yanga tuko kamili any time tasisi inafanya kazi tunaenda kwa tarehe timu nnnzimaaaa
Huyu mwarabu wa kayenze hajui kitu kwenye mpira mwambie akale pilipili
Bro nakuunga mkono asilimia 150 chama ameenda kulipa fadhila ya maovu yake