Mbona mnaumiza vichwa mgunda kweli akishika timu yapata matokeo mazuri Lakin viongozi wanajua timu yapata matokeo mazuri kwa njia Gani kwaio tuwache viongoz wanajua Siri Yao ya ushindi
Mgunda ni kocha mzuri lkn bado tumpe kocha mkuu ili atembee naye na asiwe na kiburi yeye azidi kujifunza na huyu matola atolewe kabisa anaigawa tim ni mwazo yangu
Shida simba washauli wao ni rage na julio iv hawa wanahitoria gani ya kusema wawenahami ya kuona wao wako sawa
Natazama nikiwa eldoret Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mbona mnaumiza vichwa mgunda kweli akishika timu yapata matokeo mazuri Lakin viongozi wanajua timu yapata matokeo mazuri kwa njia Gani kwaio tuwache viongoz wanajua Siri Yao ya ushindi
Nikwel hatupendan kabisa
Bila Mgunda kuwa kocha Simba hawezi kuwa bingwa hata 2025
Tatizo la Simba SC ni uongozi wetu
Mgunda ni kocha mzuri lkn bado tumpe kocha mkuu ili atembee naye na asiwe na kiburi yeye azidi kujifunza na huyu matola atolewe kabisa anaigawa tim ni mwazo yangu
Mgunda apewe timu, kama mnataka makocha wakubwa Basi muwe na hela ya kusajili wachezaj wakubwa na wenye majina
Kocha afeli eti ni mkubwa walete wachezaji wakubwa. Mkubwa ni yule anayeshinda
❤❤❤❤😊6⅚@@bbclondonulimwenguwasoka6126
Julio Julio Julio.. shikamoo baba ,, Asante mkuu wangu Sanaa
😂ata mdunda itafika kipind nayy mtamchukia tu mpeni mda lkn Bongo malalamiko tu Leo mgunda kaipeleka team no.3 ilo amlioni et
Mgunda apewe tim
Munataka punda au munata mlio?
😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Julio ndiye sumu ya simba