Ahemed Aly inashangaza kama unamtamani shawishi uongozi wako wamsajili usijifanye unampenda sana kuliko wanayanga sisi hatutoki kwenye njia na mpango huo wa kutaka kuidhofisha Yanga basi wewe na waliohusika katika hilo mmefeli sisi tunadonga mbele na mayele ataendelea kupata mafanikio aongeze bidii tu aache kujishirikisha na akina Ahemed washirikina.
Kwanza hii ni uchonganishi mkubwa. Kumbe mchezaji akishindwa kupaform alikouzwa Ni kutupiwa majini, kumbe wao ndiyo wa Kwanza. Kama anamsifia chama kua alikua wa motoo walipo muuza pamoja na Luis mikison. Lakini walishindwa kufanya vizuri, Kumbe ndiyo kazi yao kuwatumia mashetani wachezaji wao ili warudi tena, na siyo kuendelea mbele. Viongozi wa Simba Muwe making na huyo msemaji wenu, hapo mmepigwa na chuma kizito Sana.
Una jipya kuhusu Mayele? Mambo ya uchawi kwamba alilogwa, kapigwa majini ni upuuzi usio na salio wala gawio. Ahmed Ally unashusha viwango vyako na heshima za mic hizo
@@NeemaRajabu-ux6blwe si mdada kabisa ww,,mdada gani uko hivyo hata kanisani au msikitin unaendaga kweli mbn unatoa matuc kwny jambo la utani ,kwan unahisi hata msemaji wenu yuko serious hapo ,wenzio wakikutana wanacheka tu nyie ndo mmekazana kutukana tu huku na ubongo wenu wa panzi
Ooyaa udanganywe nin mukiambiwa ukweli huwa hamutaki cku zote nyinyi ayo ni ya kweli hata iwe wewe Mamelody Sandown,Yanga,Simba jamaa anachambua ukweli huyo
Semejii wetu:mimi nasema hivi mwachen chama aende yangu ridthiki ya simba imeisha anawapisha wengine. Makocha wa nje hatuna haja nao:msimpoteze muda. MGUNDA ANATOSHA KABISA. Tunaka damu mbichi ya wachezaji. Akiwepo Mayele:Feitoto na wengine mbona fresh tu.
Huyo Jamaa Ni Mnafik Muongo Anapenda Kuzusha Maneno Ya Uwongo Niwambie Ahmed Alli Ana Wivu Ana choyo Anaitamani Yanga Ila Kusema Hawezi Nafsi Yk IPO Yanga
Swala la morison yupo avict ,acha ushaiki na umbea na kaja kwa kocha wa viungo anaendelea mpk atakapikuwa sawa,unaongea mwisho wa siku utaambiwa utoe ushahidi,sisi ni washabiki wa simba kiwango chetu sio kizuri kama mechi ya geita tupo ovyo,tujadili ya kwetu haya hayatuhusu
HILI SI SWALA LA YANGA NA MAYELE TU. THIS IS NATIONAL & INTERNATIONAL SECURE ENTERGRATION ON FOOTBALL. NI AIBU KUBWA HII!!!!!!!!! WASIFU MBAYA KWA TAIFA LETU. VITA CHAFU DHIDI YA MAISHA YA WACHEZAJI.
Msemaji wa Yanga... Semaji la Fiston Kalala Mayele, The King😂😂😂😂 Kama unakumbukumbu vizuri kabla ya Mayele kuondoka yanga Alisema mwenyewe siondoki Yanga kwasababu ndiopo penye bahati yangu... mwishoni akasema "naondoka kwasababu timu imeamua kuniuza, hakuna mkubwa kuliko timu"
Wewe mpuuzi ! Jisikilize mwenyewe unavyobwabwaja pumba ! semaji la makokolo brand kubwa !Semaji hovyooo ! Kama unapenda kuisemea Yanga sema kama unavyoonekana kiasi unakumbuka wachezaji woote wa yanga waliobugi ! Tutakupeleka ukajifunze usemaji kwa Ali Kamwe.
Usiwe msemaji mnafiki ww ulikuwepo wakati mayele anatupiwa majini ww ni mfa maji tu uwachi kutapatapa unashindwa kuongea Cha maana unaongea pumba sema tu kama unamtaka ndio Maana unajisemesha ujinga tu Mimi naona simba hawana msemaji Wana pumba huyu anatakiwa kuwa msemaji wa timu za kuku na mbwa
mungu akubariki sana semaji 😂😂😂😂
Uko vizuri waambie has hawajui
Tusife moyo wala tusikate tamaaa jeshi la wachezaji tulio nao ni kubwa .
Ni kweli kabisa semaji langu umeongea ukweli mtupu nyuma mwiko washamba sana 💪⚽
P
Uwakika anajua semaji letu
Huwez kumng'ang'ania mtu kam umemtolea posa❤❤❤
❤❤❤❤ sema sema semaaa semaji la CAF
Ahemed Aly inashangaza kama unamtamani shawishi uongozi wako wamsajili usijifanye unampenda sana kuliko wanayanga sisi hatutoki kwenye njia na mpango huo wa kutaka kuidhofisha Yanga basi wewe na waliohusika katika hilo mmefeli sisi tunadonga mbele na mayele ataendelea kupata mafanikio aongeze bidii tu aache kujishirikisha na akina Ahemed washirikina.
Mayele analalamika anatumiwa majini nayanga alafu wewe unasema atiye bidii, mshamba kweli wewe
Nawewe nikati ya wachawi tu
😊
Umejaza ujinga tu makelele Ndo maana tunafungwa badala upige Kelele kwa viongoz Ww mjinga
Kaka hekima ya Mungu iko ndani yako!
Uko vizuri sana semaji langu!
Kubwa jinga kweli kweli. Ata ahibu hana magori 7 yamepelekea kuwa mropokaji.
Huyu msemaji wa simba hana taaluma ya usemaji ni bora akabadilishwa ,katafutwe mwenye uwezo wa kuisemea simba na wala siyo yanga
Vipi wewe unataaluma tukupe kijiti
Hujitambui
❤❤❤Msemaji wetu mleteni mayele . Hvi ndio maana Utoplo wanafunga kila muda. Kumbe wachai.
Asante mjomba medi up vizur saan
Huyu jamaa mpuuz anajikomba atapigwa nyuma na mayelee
Chama alishindwa uarabuni kwani mulimutupia majini,twisila alishindwa uarabuni kwani alitupiwa majini?
Miksoni nae si alienda na akarudi
Nikweli fei yupo simba na mayele au naota naipenda simba inje na ndani❤❤❤
Fei hawez shilikikishwa kakka
Uko sahihi sanaaa semaji rakafu ❤❤❤❤ utoporo wanaroho ya kichawi Sanaa wanaroho yakwanini kila mchezaji akiondoka utoporo razima kuwe nashida hawapendi wengine wapate washamba sanaaaa wanaroho mbaya nena washamba kweli
Mnateseka sana aiseeee polen
@@MariaJames-p9s sawa mdogo wa nabii Tito🤣🤣🤣
Na bado ww tukutupia majini dadeq,jipendekeze tu naww
Shida yenu mnajikuna na kucheka wenyewe, harusi sio yenu lkn wewe na hilo la kuropoka lenu hilo na mtakula Tano zaidi tena
Shida yenu mnajikuna na kucheka wenyewe, harusi sio yenu lkn wewe na hilo la kuropoka lenu hilo na mtakula Tano zaidi tena
Kijana yajuzi yaache yalivyo maana ukija kuteleza tu simba unaondoka kwa sasa huna jipya tulia muunde timu ifanye kazi siyo porojo tu
Hv Tano tulizowabinua mayele alikuwemo😅😮😢🎉😂❤
Tunasimama bega Kwa bega hii imeenda
Ndio tumegundua kuwa simba mlipotufunga tano tulikuwa tunacheza na majini, hatkukujua sisi
Na 6 na 5 na 4 vip
@@mwinjilistiaristidesmeja1834, majini FC 😂😂😂
uyu jamaa akili za pombe hivi ajawahi kuonja moshi uyuuu yaaan anaongea utumbo zama hizi anaacha ongelea utaalam wa soka anasaport giza bila aibu
MANENO. YA. KUFELI. HAYO NDIO MAANA UNAWEWESEKA. KAMA UPO USINGIZINI UMECHEMSHA AHMED ALLY
Huyu jamaa akili zake ujinga mwingi lkn Tuishi nae tu😂😂😂
Acheni ujinga mayanga 😂😂
Ahmed uko powa endelea
Haya mambo una ushahidi nayo siyo unaropoka tu yasije yakakukuta ya haji manara shauri yako mdogo wangu ahmed ally
uko vizuri msemaji wetu ❤
Mkubwa jinga 😂😂😂😂😂
Majini fc
Acheni ushamba mayanga 😂😂
Huyo ni maneno tu anawadanganya hakuna Cha mayele Wala mwezake na mayele ikitokea mayele kaja Simba mjue washabiki wa Simba mumepinga
Huyu jamaa hajielewi hata kidogo.
Napia jambo lengine anajitengenezea nafasi ili jamaa akifeli huko alipo asiende yanga aende simba.
Semaji la kimataifa muheshimiwa somaaaa iyoooo
Kwanza hii ni uchonganishi mkubwa. Kumbe mchezaji akishindwa kupaform alikouzwa Ni kutupiwa majini, kumbe wao ndiyo wa Kwanza. Kama anamsifia chama kua alikua wa motoo walipo muuza pamoja na Luis mikison. Lakini walishindwa kufanya vizuri, Kumbe ndiyo kazi yao kuwatumia mashetani wachezaji wao ili warudi tena, na siyo kuendelea mbele. Viongozi wa Simba Muwe making na huyo msemaji wenu, hapo mmepigwa na chuma kizito Sana.
Uyu jamaa ajui ni mshamba achana naye aongee
Msemaji wa clab ingine kaacha kuzungumzia tim yake kahamia kwampinzan
semaj la caf ni unyama sana❤❤❤❤❤❤❤
Yani msemaji official kabisa wa Simba ndio anayaongea haya duuh aisee 😂😂
huyo anakarir history tuuuu hajui kitu kasimliwa tuuu ndo maan analopoka
asante ahmedi watambue hao hawajui
Chizi karogwa tena, Kwa taarifa Yako hatutoki mchezoni
😂😂😂
Una jipya kuhusu Mayele? Mambo ya uchawi kwamba alilogwa, kapigwa majini ni upuuzi usio na salio wala gawio. Ahmed Ally unashusha viwango vyako na heshima za mic hizo
Mnajishushia hadhi yenu kwa mambo ya ajabu😢
😂😂😂😂😂😂😂😂 Asanteee semaji letuuu languvuuuu umeongea ukweli kabisaaaa
Yanga washamba sanaaaaa awajitambi
😂😂😂😂😂xemaji kama xemaji💪💪💪
🎉Huyu ana uthibitisho wa hayo majini kutoka Yanga au anaropokwa!.
Anao eee
Usajiliwayanga
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 huyu jamaaaa bwana
Anajua
Simba kwa kosa la huyu mbwa ximba mkipigwa 10 tena mxilaumu anaroboka sana
Mimi najuwa Yanga wana unyama mwingi kumfunga Simba 5.
Kamawewe msengee mhshamba baba akosisi atujakusajiliwewe
Unaongea ujingatuu msengewewe
Yanga kafungea sita
Umeonaee!!!?
@@NeemaRajabu-ux6blwe si mdada kabisa ww,,mdada gani uko hivyo hata kanisani au msikitin unaendaga kweli mbn unatoa matuc kwny jambo la utani ,kwan unahisi hata msemaji wenu yuko serious hapo ,wenzio wakikutana wanacheka tu nyie ndo mmekazana kutukana tu huku na ubongo wenu wa panzi
Ooyaa udanganywe nin mukiambiwa ukweli huwa hamutaki cku zote nyinyi ayo ni ya kweli hata iwe wewe Mamelody Sandown,Yanga,Simba jamaa anachambua ukweli huyo
We mgawa tako kaa kimya
mbona matusi tena ndiyo tabia yako nini kutoa tako
We ahmed kama mambo mengine huyawezi usijilazimishe nenda kwenu kalime ming'oko SWINE
😂😂😂 pasua jipu semaji majini fc wanazid kuumia soon majini wa yanga watakasirika😂😂😂😂
Sema babaa
kwa kweli unatisha pokea mauu zako🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Amedi Ally tatizo unongea Sana punguza maneno bas
Het
Unajikomba tu kwahiyo akina chama na mickson mliwatupia majini ndiyo maana wakashindwa kwa waarabu
Semejii wetu:mimi nasema hivi mwachen chama aende yangu ridthiki ya simba imeisha anawapisha wengine. Makocha wa nje hatuna haja nao:msimpoteze muda. MGUNDA ANATOSHA KABISA. Tunaka damu mbichi ya wachezaji. Akiwepo Mayele:Feitoto na wengine mbona fresh tu.
Huyo Jamaa Ni Mnafik Muongo Anapenda Kuzusha Maneno Ya Uwongo Niwambie Ahmed Alli Ana Wivu Ana choyo Anaitamani Yanga Ila Kusema Hawezi Nafsi Yk IPO Yanga
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kumbuka na ww ni MTANZANIA,kasema anajuta kuja kucheza TANZANIA,unaongea pumba aisee,KWAHIYO ULITAKA TUWAIGE NYIE??!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣huna jipya pambana na Hali yako.kwahiyo ww ndio umemjaza UJINGA MAYELE??!!! tumekuelewa msemaji wetu usiepata posho💚💛💪💪💪💪🙏🙏🙏🙏
Sema mzee baba
Funguka kaka Ahmedy
Kwa heshima ulizonazo hukupaswa kuongea hvy bro pole sana majini utakuwa ww mganga wao unaowapatiaga✅✅ yukwap sasa mbna hajaja kwako
Hao majini kwao ndo nyumbani ndomana wanapambana kuishusha simba kwa uchawi lkn watashindwa kwa uwezo wa mungu
Chama aende hatuna noma name ndo Maisha ya soka
Ok kaka uko vizuri
Huyo mayele kiwango kimeshuka tusidanganyane punguzen propaganda za bila singi wowote.
Acha ushamba mayele ameshaoa ucjipendekeze kwake.
Semaji uko juu
😊wewe ndiyo mashamba maana unalulia kisichokuhusu mshaferi apo
Umetisha semaji la caf
❤
Usajiliwayanga
Ongea na. Simba. Yako ,Achana na yanga, mayele hakuwa. Simba,. Anakuhusu. Nini?
Nyie yanga munamatatizo sana mutu akitoka si mumuache mwanamuke amekuacha anaorewa na mwingine sembuse wachezaji
Katika wasemaji ambao hana hakir Tanzania hii msemaji wa simba
Mhaho wa nyuma mwiko 😂😂😂wazeee wa my muna😊
Haaaaaa hivi huyu Ahmed ally kaishiwa na yakusema pole sana broo 😂
Yani sikutegemea Kama msemaji wa simba unangelea Mambo ya majini, hujamaa ni mjinga Sana,kwa wazifa wake huo hapaswi kuongea hivyo, mjinga Sana,
Mayele aende wapii
Mumekosa vya kusema yakwenu yanawashinda yanga yanga na samata anavyouzwa simba ilikuwa haikujui wewe...😅😅
Huyu jamaa uchizi unamsumbua mlimleta manzoki Yuko wapi hafai kwanye Brandi ya Simba wamtumue tuu toka zako
Hahaha heheheheeee sima kaka penda sana
Amed Aly yupo vzl kama mchezaji ameondoka muachen atafte maisha mengine
Huyu jamaa hajui usemaji simba bora wamuache tu wakiendelea nae watafer sana
Umesimama kwenye chata la yanga bado unataka kuwa chambua
Ukisema cha nn wenzako wanawaza watakipata lini bababababa upon full house 🏠
Hujielewi wewe ni msemaji wangu wa Simba lakin sasa huna inshu
Ushindi wao n majini akuna team isofungwa wao nani wenyewe wanajiona wababe kwa mijini yao.
Swala la morison yupo avict ,acha ushaiki na umbea na kaja kwa kocha wa viungo anaendelea mpk atakapikuwa sawa,unaongea mwisho wa siku utaambiwa utoe ushahidi,sisi ni washabiki wa simba kiwango chetu sio kizuri kama mechi ya geita tupo ovyo,tujadili ya kwetu haya hayatuhusu
Hamjitambui wanasimba badala ya kujadili ya kwenu mnajadili ya jilan
Majin fc a.k.a utopolo jamani😅😅😅😅😅😅😅mbona aibu km nikweli mmejiharibia
HILI SI SWALA LA YANGA NA MAYELE TU.
THIS IS NATIONAL & INTERNATIONAL SECURE ENTERGRATION ON FOOTBALL.
NI AIBU KUBWA HII!!!!!!!!!
WASIFU MBAYA KWA TAIFA LETU.
VITA CHAFU DHIDI YA MAISHA YA WACHEZAJI.
Msemaji wetu huenda amemlisha maneno y kuchafua Yanga kwa. Wivu kufurahisha wachawi kwa faida yake wacha hayo wote ni nchi moja
Wew eb acheni sajiri za mtandaoni maneno mengi vitendo ziro
Wewe Ahamed ally unajitambua kweli. Unaacha kuzungumzia simba unahangaika na yanga nakudhauri uache kupotosha umma kuhusu mayele.hakuna MTU anamlioga mayele anajiloga mwenyewe.mayele hawezi rudi simba akitaka kurudi Tanzania aje acheze yanga na wala cyo simba.simba inauwa vipaji vya wachezaji. Pumbavu sana mwache mayele acheze mpira.
Msemaji wa Yanga... Semaji la Fiston Kalala Mayele, The King😂😂😂😂
Kama unakumbukumbu vizuri kabla ya Mayele kuondoka yanga Alisema mwenyewe siondoki Yanga kwasababu ndiopo penye bahati yangu... mwishoni akasema "naondoka kwasababu timu imeamua kuniuza, hakuna mkubwa kuliko timu"
Big up
Yani simba unyamwa mwingi ahmedi Ally ni bala yani ni semaji la kweli kweli😊
Yan hata muundetimgan yarohombaya kuichafua yanga 😂😂😂 amnauwezohuo yanganikubwakuliko ninyi😂😂
Waambie ishi na taaluma yako semaji leetu unaijua Tim yako❤❤❤❤❤❤❤❤🎉❤❤❤❤sana
SeMaji unatisha kaka pambana sana
MBONA NYINYI HAMKUBALIANI NA MATOKEO KUHUSU CHAMA!!
WEE CHIZI NINI!!
MAYELE HATA UNGEJIPENDEKEZAJE KWAKE
HAWEZI KUJA SIMBA NG'OOO
WEE UTABWEKA HADI UTAPASUKA MDOMO.
Wefara nini mayere baba yako maacheni
😂😂😂washamba kweli kweli Yani wanangang'ania mtu asifunge
huyu jamaa ache kuizungumzia yanga azungumzie simba jee ubingwa watachukua anawadangaya watu wa simba tu uongozi umewashinda washie ngazi ache ngojera
Wewe mpuuzi ! Jisikilize mwenyewe unavyobwabwaja pumba ! semaji la makokolo brand kubwa !Semaji hovyooo ! Kama unapenda kuisemea Yanga sema kama unavyoonekana kiasi unakumbuka wachezaji woote wa yanga waliobugi ! Tutakupeleka ukajifunze usemaji kwa Ali Kamwe.
USITUFUNDISHE KAZI FALA WEWEEEE💚💛💪💪💪🙏🙏🙏KWAHIYO WAKATI ANATUPIWA MAJINI ULISHIKA NJIWA?AU KITU GANI??!!;
Mm napenda kumuita mr nonstop jamaa anabonga bila kukatishwa
Usiwe msemaji mnafiki ww ulikuwepo wakati mayele anatupiwa majini ww ni mfa maji tu uwachi kutapatapa unashindwa kuongea Cha maana unaongea pumba sema tu kama unamtaka ndio
Maana unajisemesha ujinga tu Mimi naona simba hawana msemaji Wana pumba huyu anatakiwa kuwa msemaji wa timu za kuku na mbwa