Ahemed Aly inashangaza kama unamtamani shawishi uongozi wako wamsajili usijifanye unampenda sana kuliko wanayanga sisi hatutoki kwenye njia na mpango huo wa kutaka kuidhofisha Yanga basi wewe na waliohusika katika hilo mmefeli sisi tunadonga mbele na mayele ataendelea kupata mafanikio aongeze bidii tu aache kujishirikisha na akina Ahemed washirikina.
Kwanza hii ni uchonganishi mkubwa. Kumbe mchezaji akishindwa kupaform alikouzwa Ni kutupiwa majini, kumbe wao ndiyo wa Kwanza. Kama anamsifia chama kua alikua wa motoo walipo muuza pamoja na Luis mikison. Lakini walishindwa kufanya vizuri, Kumbe ndiyo kazi yao kuwatumia mashetani wachezaji wao ili warudi tena, na siyo kuendelea mbele. Viongozi wa Simba Muwe making na huyo msemaji wenu, hapo mmepigwa na chuma kizito Sana.
Swala la morison yupo avict ,acha ushaiki na umbea na kaja kwa kocha wa viungo anaendelea mpk atakapikuwa sawa,unaongea mwisho wa siku utaambiwa utoe ushahidi,sisi ni washabiki wa simba kiwango chetu sio kizuri kama mechi ya geita tupo ovyo,tujadili ya kwetu haya hayatuhusu
Msemaji wa Yanga... Semaji la Fiston Kalala Mayele, The King😂😂😂😂 Kama unakumbukumbu vizuri kabla ya Mayele kuondoka yanga Alisema mwenyewe siondoki Yanga kwasababu ndiopo penye bahati yangu... mwishoni akasema "naondoka kwasababu timu imeamua kuniuza, hakuna mkubwa kuliko timu"
Soka la bongo wasemaji hawana hata taalama hawajui nni wanasema kaz ya kusemana usimba na uyanga balirikin nyinyi wasemaj acheni unaz 6:53 wasemaj wanachangie kuwapumbaza wapenda soka tetea taifa
Ismaily Adena Rage aliposema wanasumbua na mashabiki wake ni mambumbumbu nilizani akiwakosoa wanasimba na mashabiki wake kumbe alikuwa anamaanisha kwa sababu ndio alikuwa anawaomba za na kuwaburuza kwa umbumbu wao uthibitisho wa hayo angalia huyu msemaji wa ngada fc aka mikia Makolo hajitambui baada ya kuisemea simba amekuwa msemaji wa mayele sasa,ila Ahmed Ally ipo siku utambiwa urete uthibitisho wa hayo mambo unayoyasema utakuwa tayari kuleta?
Mshamba ni ww ulieajiliwa na simba uisemee lkn hufanyi hvy na unaenda kuisemea timu nyingine ambayo hulipwi hata mia hata Senti tena huenda ukawa shoga uchunguzwe vzr
mungu akubariki sana semaji 😂😂😂😂
Asante mjomba medi up vizur saan
Kaka hekima ya Mungu iko ndani yako!
Uko vizuri sana semaji langu!
Ni kweli kabisa semaji langu umeongea ukweli mtupu nyuma mwiko washamba sana 💪⚽
P
Uwakika anajua semaji letu
Huwez kumng'ang'ania mtu kam umemtolea posa❤❤❤
asante ahmedi watambue hao hawajui
Waambieeeeeee semaji letu🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁
Hahaha heheheheeee sima kaka penda sana
Ahemed Aly inashangaza kama unamtamani shawishi uongozi wako wamsajili usijifanye unampenda sana kuliko wanayanga sisi hatutoki kwenye njia na mpango huo wa kutaka kuidhofisha Yanga basi wewe na waliohusika katika hilo mmefeli sisi tunadonga mbele na mayele ataendelea kupata mafanikio aongeze bidii tu aache kujishirikisha na akina Ahemed washirikina.
Mayele analalamika anatumiwa majini nayanga alafu wewe unasema atiye bidii, mshamba kweli wewe
Nawewe nikati ya wachawi tu
Yanga washamba sanaaaaa awajitambi
Haaaaaa hivi huyu Ahmed ally kaishiwa na yakusema pole sana broo 😂
Sema babaa
Huyu jamaa akili zake ujinga mwingi lkn Tuishi nae tu😂😂😂
Unateseka brother
Yani msemaji official kabisa wa Simba ndio anayaongea haya duuh aisee 😂😂
huyo anakarir history tuuuu hajui kitu kasimliwa tuuu ndo maan analopoka
Hv Tano tulizowabinua mayele alikuwemo😅😮😢🎉😂❤
Tunasimama bega Kwa bega hii imeenda
Ndio tumegundua kuwa simba mlipotufunga tano tulikuwa tunacheza na majini, hatkukujua sisi
Na 6 na 5 na 4 vip
@@mwinjilistiaristidesmeja1834, majini FC 😂😂😂
uyu jamaa akili za pombe hivi ajawahi kuonja moshi uyuuu yaaan anaongea utumbo zama hizi anaacha ongelea utaalam wa soka anasaport giza bila aibu
nakuombea Simba yetu iludi ukiwa na afya njema
Uko sahihi sanaaa semaji rakafu ❤❤❤❤ utoporo wanaroho ya kichawi Sanaa wanaroho yakwanini kila mchezaji akiondoka utoporo razima kuwe nashida hawapendi wengine wapate washamba sanaaaa wanaroho mbaya nena washamba kweli
Mnateseka sana aiseeee polen
@@user-ww9uz9mx7l sawa mdogo wa nabii Tito🤣🤣🤣
Na bado ww tukutupia majini dadeq,jipendekeze tu naww
Shida yenu mnajikuna na kucheka wenyewe, harusi sio yenu lkn wewe na hilo la kuropoka lenu hilo na mtakula Tano zaidi tena
Shida yenu mnajikuna na kucheka wenyewe, harusi sio yenu lkn wewe na hilo la kuropoka lenu hilo na mtakula Tano zaidi tena
Huyu msemaji wa simba hana taaluma ya usemaji ni bora akabadilishwa ,katafutwe mwenye uwezo wa kuisemea simba na wala siyo yanga
Vipi wewe unataaluma tukupe kijiti
Hujitambui
Ok kaka uko vizuri
Chama alishindwa uarabuni kwani mulimutupia majini,twisila alishindwa uarabuni kwani alitupiwa majini?
Miksoni nae si alienda na akarudi
Kwanza hii ni uchonganishi mkubwa. Kumbe mchezaji akishindwa kupaform alikouzwa Ni kutupiwa majini, kumbe wao ndiyo wa Kwanza. Kama anamsifia chama kua alikua wa motoo walipo muuza pamoja na Luis mikison. Lakini walishindwa kufanya vizuri, Kumbe ndiyo kazi yao kuwatumia mashetani wachezaji wao ili warudi tena, na siyo kuendelea mbele. Viongozi wa Simba Muwe making na huyo msemaji wenu, hapo mmepigwa na chuma kizito Sana.
Uyu jamaa ajui ni mshamba achana naye aongee
Huyu jamaa hajielewi hata kidogo.
Napia jambo lengine anajitengenezea nafasi ili jamaa akifeli huko alipo asiende yanga aende simba.
Semaji la kimataifa muheshimiwa somaaaa iyoooo
Simba kwa kosa la huyu mbwa ximba mkipigwa 10 tena mxilaumu anaroboka sana
Unajikomba tu kwahiyo akina chama na mickson mliwatupia majini ndiyo maana wakashindwa kwa waarabu
Huyu jamaa mpuuz anajikomba atapigwa nyuma na mayelee
Yani simba unyamwa mwingi ahmedi Ally ni bala yani ni semaji la kweli kweli😊
🎉Huyu ana uthibitisho wa hayo majini kutoka Yanga au anaropokwa!.
Anao eee
Usajiliwayanga
Mnajishushia hadhi yenu kwa mambo ya ajabu😢
Hao majini kwao ndo nyumbani ndomana wanapambana kuishusha simba kwa uchawi lkn watashindwa kwa uwezo wa mungu
Uko vizuri
Nakukubali sana semaji la timu kubwa... Umeongea Point
wewe ni muimba tarabu acha umbea
@@KharidyPaulo hiviwewe na Huyu Nani mbea wewe badala usubiri ally kamweaposti ndo ukoment ualetaleta shobo Kwenye vikaovya watu babuuu fatilia laifu yako !!!
Amed Aly yupo vzl kama mchezaji ameondoka muachen atafte maisha mengine
Kweli,,:
😂😂😂😂😂xemaji kama xemaji💪💪💪
Kweli kabisa.
Huyu sawa na changudoa lazima tumuchukulie batua se.eji La majin
Kweli
unajua sana kakaaaa
Sema babaaaaaaa wape vidonge vyao😂😂😂😂
Yani sikutegemea Kama msemaji wa simba unangelea Mambo ya majini, hujamaa ni mjinga Sana,kwa wazifa wake huo hapaswi kuongea hivyo, mjinga Sana,
Mutu akiongea kweliii mbayasiyoo acheni ushamba semaji lasimbahilo
Swala la morison yupo avict ,acha ushaiki na umbea na kaja kwa kocha wa viungo anaendelea mpk atakapikuwa sawa,unaongea mwisho wa siku utaambiwa utoe ushahidi,sisi ni washabiki wa simba kiwango chetu sio kizuri kama mechi ya geita tupo ovyo,tujadili ya kwetu haya hayatuhusu
Duh ila msemaji wetu unaongeaga point sana
Katika wasemaji ambao hana hakir Tanzania hii msemaji wa simba
Mhaho wa nyuma mwiko 😂😂😂wazeee wa my muna😊
Washabiki wa simba ugomvi wa mayele na yanga ni ugomvi wetu hata wakitaka tuununue tuko tayari tutachanga.
Penda sana semaji letu simba
Saaanaa😅😅😅
Soka la bongo wasemaji hawana hata taalama hawajui nni wanasema kaz ya kusemana usimba na uyanga balirikin nyinyi wasemaj acheni unaz 6:53
Kwani simba hamna cha maana kwenu
😍
Msemaji wa Yanga... Semaji la Fiston Kalala Mayele, The King😂😂😂😂
Kama unakumbukumbu vizuri kabla ya Mayele kuondoka yanga Alisema mwenyewe siondoki Yanga kwasababu ndiopo penye bahati yangu... mwishoni akasema "naondoka kwasababu timu imeamua kuniuza, hakuna mkubwa kuliko timu"
Ahmed Ahly ameshindwa kuwa semaji kawa mganga WA Majini,anapga ramli za Majini now
Simama na mayele ukutane kitu kizito
❤❤❤💪💪💪💪
Kijana yajuzi yaache yalivyo maana ukija kuteleza tu simba unaondoka kwa sasa huna jipya tulia muunde timu ifanye kazi siyo porojo tu
Soka la bongo wasemaji hawana hata taalama hawajui nni wanasema kaz ya kusemana usimba na uyanga balirikin nyinyi wasemaj acheni unaz 6:53 wasemaj wanachangie kuwapumbaza wapenda soka tetea taifa
😂😂😂washamba kweli kweli Yani wanangang'ania mtu asifunge
Huyu jamaa yuko vzuri wanasimba tumpeni Maua yake 🎉🎉
Hapo sw semaji la kimataifa ❤❤
Usajiliwayanga
USITUFUNDISHE KAZI FALA WEWEEEE💚💛💪💪💪🙏🙏🙏KWAHIYO WAKATI ANATUPIWA MAJINI ULISHIKA NJIWA?AU KITU GANI??!!;
Yanga kwenye zile goli tano walitutupia majini maana ivihivi hawawezi nainaonekana yalikua mengi
Wewe Ahamed ally unajitambua kweli. Unaacha kuzungumzia simba unahangaika na yanga nakudhauri uache kupotosha umma kuhusu mayele.hakuna MTU anamlioga mayele anajiloga mwenyewe.mayele hawezi rudi simba akitaka kurudi Tanzania aje acheze yanga na wala cyo simba.simba inauwa vipaji vya wachezaji. Pumbavu sana mwache mayele acheze mpira.
Wabongo mnavijimambo eti MAJINI FC😂😂😂😂😂
Safiiiiiiiii semaji la kafu.
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 huyu jamaaaa bwana
Anajua
WEWE AHMED ALI
UNAHANGAIKA UNADHANI MAYELE ATAKUJA SIMBA!!
HAPO UTALIA SANA HADI UTAKUNYA.
Kama TFF inatenda haki binafsi kamati imuchunguze vizur iri soka letu lisihalibiwe nahawa wasio jua nafasi zao
Tff wakiingilia nyuma mwiko ujue nchi ilitajwa na mayele
We semaji si unatoa povu kwa Mayele bcoz utopolo walikuramba jero tu si unatoa cheche!
Nacho juwa kuwa ipo siku watakosa sehemuu ya kusajili wachezajii kwenye team nyingine
Ismaily Adena Rage aliposema wanasumbua na mashabiki wake ni mambumbumbu nilizani akiwakosoa wanasimba na mashabiki wake kumbe alikuwa anamaanisha kwa sababu ndio alikuwa anawaomba za na kuwaburuza kwa umbumbu wao uthibitisho wa hayo angalia huyu msemaji wa ngada fc aka mikia Makolo hajitambui baada ya kuisemea simba amekuwa msemaji wa mayele sasa,ila Ahmed Ally ipo siku utambiwa urete uthibitisho wa hayo mambo unayoyasema utakuwa tayari kuleta?
mwamba penda shana❤❤
SeMaji unatisha kaka pambana sana
Eti Mtoto wa watu anakula majini😂😂😂😂😂lazima tutafute mganga tumuangue😂😂
Msemaji mjinga mmoja kuwahi kutokea Tanzania, nakupenda Tanzania...😂😂😂
Mchange na hela kabisa, Kama vile kwa fiesal....
Ushindi wao n majini akuna team isofungwa wao nani wenyewe wanajiona wababe kwa mijini yao.
Unadhani kwa kuropoka huko ndo atshawishika kuja simba😅😅😅😅😅
Hahaha acha nicheke kwanza kwa hyo tukusaidie nn if wananchi ni washamba kwa hyo zile Tano mlipigwa na washamba🥱🥱🥱
Kweri simba mnawasemaji vichaa
Achan na kichaa wet utapotea 😅😅😅😂 shauri yakooo
Yanga washamba
Nje ndan tano kama sigara nyota😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Umejaza ujinga tu makelele Ndo maana tunafungwa badala upige Kelele kwa viongoz Ww mjinga
Msemaji wetu huenda amemlisha maneno y kuchafua Yanga kwa. Wivu kufurahisha wachawi kwa faida yake wacha hayo wote ni nchi moja
Semaji la ovyo jinga, simba hakuna mafanikio mbele ya mpumbavu
Chizi karogwa tena, Kwa taarifa Yako hatutoki mchezoni
😂😂😂
Andaa speech kak sio majibambo
We're alike guns kabisa
Huyu ndio msemaji sasa
Wew eb acheni sajiri za mtandaoni maneno mengi vitendo ziro
Kwaajili.ya.tano.inamuuma
Wana yanga hao wanataka kututowa mchezoni huyo ahamedi achukuliwe hatuwa kali
Mpuuzi kweli mwandishi msemaji mkuu kama wew unakosa Cha kusema kweli
👀 tunakuona baba sema sema
Majini FC acheni ushamba hakuna mchezaji asiyeuzwa
Semaji mshushe vyuma yakweli sio kulahera2 wachezaji tunataka waukweli ili washabiki tuinjoi katika sokaletu la simba
Mshamba ni ww ulieajiliwa na simba uisemee lkn hufanyi hvy na unaenda kuisemea timu nyingine ambayo hulipwi hata mia hata Senti tena huenda ukawa shoga uchunguzwe vzr
Shoga ni wew
Hpo kwa papaaa moringa daaaaah nyuma mwiko wapuuuz
Kumbuka na ww ni MTANZANIA,kasema anajuta kuja kucheza TANZANIA,unaongea pumba aisee,KWAHIYO ULITAKA TUWAIGE NYIE??!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣huna jipya pambana na Hali yako.kwahiyo ww ndio umemjaza UJINGA MAYELE??!!! tumekuelewa msemaji wetu usiepata posho💚💛💪💪💪💪🙏🙏🙏🙏
Jamani huyu jamaa ameifanya Simba Kama chama cha siasa wanasimba amkeni haya yanahisiana na Nini na timu
Anajielewa ❤