AHMED ALLY ATANGAZA VITA NA YANGA KISA MAYELE/AFICHUA MAZITO TUSIYOYAJUA YANAYOENDELEA.

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 859

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 4 місяці тому +21

    mungu akubariki sana semaji 😂😂😂😂

  • @johnsonmichael945
    @johnsonmichael945 4 місяці тому +5

    Asante mjomba medi up vizur saan

  • @pastormartinshija374
    @pastormartinshija374 3 місяці тому +4

    Kaka hekima ya Mungu iko ndani yako!
    Uko vizuri sana semaji langu!

  • @hawarashidi
    @hawarashidi 4 місяці тому +7

    Ni kweli kabisa semaji langu umeongea ukweli mtupu nyuma mwiko washamba sana 💪⚽

  • @user-lh6yf6rz1c
    @user-lh6yf6rz1c 4 місяці тому +5

    Huwez kumng'ang'ania mtu kam umemtolea posa❤❤❤

  • @Omarymwesongo227
    @Omarymwesongo227 День тому

    asante ahmedi watambue hao hawajui

  • @JoelJames-qk1mc
    @JoelJames-qk1mc 3 місяці тому +4

    Waambieeeeeee semaji letu🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁

  • @GaudentusWillium
    @GaudentusWillium День тому +1

    Hahaha heheheheeee sima kaka penda sana

  • @user-zz8qr9gn1f
    @user-zz8qr9gn1f 4 місяці тому +7

    Ahemed Aly inashangaza kama unamtamani shawishi uongozi wako wamsajili usijifanye unampenda sana kuliko wanayanga sisi hatutoki kwenye njia na mpango huo wa kutaka kuidhofisha Yanga basi wewe na waliohusika katika hilo mmefeli sisi tunadonga mbele na mayele ataendelea kupata mafanikio aongeze bidii tu aache kujishirikisha na akina Ahemed washirikina.

    • @samweli7985
      @samweli7985 4 місяці тому

      Mayele analalamika anatumiwa majini nayanga alafu wewe unasema atiye bidii, mshamba kweli wewe

    • @samweli7985
      @samweli7985 4 місяці тому

      Nawewe nikati ya wachawi tu

  • @MustafaFella
    @MustafaFella 10 годин тому

    Yanga washamba sanaaaaa awajitambi

  • @MedyHamisi
    @MedyHamisi 8 днів тому

    Haaaaaa hivi huyu Ahmed ally kaishiwa na yakusema pole sana broo 😂

  • @user-wg3oh5ll7g
    @user-wg3oh5ll7g 3 місяці тому +2

    Sema babaa

  • @user-ch2it3qt5z
    @user-ch2it3qt5z 4 місяці тому +4

    Huyu jamaa akili zake ujinga mwingi lkn Tuishi nae tu😂😂😂

  • @user-ib3fd1tc3r
    @user-ib3fd1tc3r 2 дні тому

    Unateseka brother

  • @HusseinNkuna
    @HusseinNkuna 4 місяці тому +6

    Yani msemaji official kabisa wa Simba ndio anayaongea haya duuh aisee 😂😂

    • @casbertsosten
      @casbertsosten 2 місяці тому

      huyo anakarir history tuuuu hajui kitu kasimliwa tuuu ndo maan analopoka

  • @emanuelgrevazi3483
    @emanuelgrevazi3483 4 місяці тому +8

    Hv Tano tulizowabinua mayele alikuwemo😅😮😢🎉😂❤

    • @augustshirima9726
      @augustshirima9726 4 місяці тому +2

      Tunasimama bega Kwa bega hii imeenda

    • @mwinjilistiaristidesmeja1834
      @mwinjilistiaristidesmeja1834 4 місяці тому +3

      Ndio tumegundua kuwa simba mlipotufunga tano tulikuwa tunacheza na majini, hatkukujua sisi

    • @aamarsuleymain2932
      @aamarsuleymain2932 4 місяці тому +1

      Na 6 na 5 na 4 vip

    • @user-id5oc7hm4n
      @user-id5oc7hm4n 4 місяці тому

      ​@@mwinjilistiaristidesmeja1834, majini FC 😂😂😂

    • @Saditrap-zt1nl
      @Saditrap-zt1nl 4 місяці тому

      uyu jamaa akili za pombe hivi ajawahi kuonja moshi uyuuu yaaan anaongea utumbo zama hizi anaacha ongelea utaalam wa soka anasaport giza bila aibu

  • @AlphaYoram-uh9bp
    @AlphaYoram-uh9bp 8 годин тому

    nakuombea Simba yetu iludi ukiwa na afya njema

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 4 місяці тому +3

    Uko sahihi sanaaa semaji rakafu ❤❤❤❤ utoporo wanaroho ya kichawi Sanaa wanaroho yakwanini kila mchezaji akiondoka utoporo razima kuwe nashida hawapendi wengine wapate washamba sanaaaa wanaroho mbaya nena washamba kweli

    • @user-ww9uz9mx7l
      @user-ww9uz9mx7l 4 місяці тому

      Mnateseka sana aiseeee polen

    • @chusseboywcb2808
      @chusseboywcb2808 4 місяці тому

      @@user-ww9uz9mx7l sawa mdogo wa nabii Tito🤣🤣🤣

    • @greysonkisinda7390
      @greysonkisinda7390 4 місяці тому

      Na bado ww tukutupia majini dadeq,jipendekeze tu naww

    • @WhiteYusto-bu9ym
      @WhiteYusto-bu9ym 4 місяці тому

      Shida yenu mnajikuna na kucheka wenyewe, harusi sio yenu lkn wewe na hilo la kuropoka lenu hilo na mtakula Tano zaidi tena

    • @WhiteYusto-bu9ym
      @WhiteYusto-bu9ym 4 місяці тому

      Shida yenu mnajikuna na kucheka wenyewe, harusi sio yenu lkn wewe na hilo la kuropoka lenu hilo na mtakula Tano zaidi tena

  • @user-fo4vp3em3p
    @user-fo4vp3em3p 4 місяці тому +3

    Huyu msemaji wa simba hana taaluma ya usemaji ni bora akabadilishwa ,katafutwe mwenye uwezo wa kuisemea simba na wala siyo yanga

  • @LoirukoNgekee
    @LoirukoNgekee 2 місяці тому

    Ok kaka uko vizuri

  • @user-yk3zl7gp2r
    @user-yk3zl7gp2r 4 місяці тому +4

    Chama alishindwa uarabuni kwani mulimutupia majini,twisila alishindwa uarabuni kwani alitupiwa majini?

    • @bennamush4616
      @bennamush4616 4 місяці тому +1

      Miksoni nae si alienda na akarudi

  • @ipyanaandilile894
    @ipyanaandilile894 3 місяці тому +2

    Kwanza hii ni uchonganishi mkubwa. Kumbe mchezaji akishindwa kupaform alikouzwa Ni kutupiwa majini, kumbe wao ndiyo wa Kwanza. Kama anamsifia chama kua alikua wa motoo walipo muuza pamoja na Luis mikison. Lakini walishindwa kufanya vizuri, Kumbe ndiyo kazi yao kuwatumia mashetani wachezaji wao ili warudi tena, na siyo kuendelea mbele. Viongozi wa Simba Muwe making na huyo msemaji wenu, hapo mmepigwa na chuma kizito Sana.

    • @user-eg9ne2sb9c
      @user-eg9ne2sb9c 2 місяці тому

      Uyu jamaa ajui ni mshamba achana naye aongee

  • @bkrjma5285
    @bkrjma5285 4 місяці тому +3

    Huyu jamaa hajielewi hata kidogo.
    Napia jambo lengine anajitengenezea nafasi ili jamaa akifeli huko alipo asiende yanga aende simba.

    • @BilishangaZegeli
      @BilishangaZegeli 4 місяці тому

      Semaji la kimataifa muheshimiwa somaaaa iyoooo

  • @user-gg2be4un5s
    @user-gg2be4un5s 2 місяці тому +1

    Simba kwa kosa la huyu mbwa ximba mkipigwa 10 tena mxilaumu anaroboka sana

  • @joshualutengamasomwakilawa1025
    @joshualutengamasomwakilawa1025 4 місяці тому +1

    Unajikomba tu kwahiyo akina chama na mickson mliwatupia majini ndiyo maana wakashindwa kwa waarabu

  • @user-tb7fz8jl2o
    @user-tb7fz8jl2o 2 місяці тому +1

    Huyu jamaa mpuuz anajikomba atapigwa nyuma na mayelee

  • @wizardmobile5493
    @wizardmobile5493 День тому

    Yani simba unyamwa mwingi ahmedi Ally ni bala yani ni semaji la kweli kweli😊

  • @ListonNyamoga
    @ListonNyamoga 3 місяці тому +2

    🎉Huyu ana uthibitisho wa hayo majini kutoka Yanga au anaropokwa!.

  • @Ayoub-Kayaga2023
    @Ayoub-Kayaga2023 4 місяці тому +3

    Mnajishushia hadhi yenu kwa mambo ya ajabu😢

  • @user-sb3bp9yz5v
    @user-sb3bp9yz5v 2 місяці тому

    Hao majini kwao ndo nyumbani ndomana wanapambana kuishusha simba kwa uchawi lkn watashindwa kwa uwezo wa mungu

  • @AlmasRamadhani
    @AlmasRamadhani 2 місяці тому

    Uko vizuri

  • @WilliamPeter-ky7sx
    @WilliamPeter-ky7sx 4 місяці тому +5

    Nakukubali sana semaji la timu kubwa... Umeongea Point

    • @KharidyPaulo
      @KharidyPaulo 4 місяці тому

      wewe ni muimba tarabu acha umbea

    • @user-rb5pc1qw1r
      @user-rb5pc1qw1r 4 місяці тому

      @@KharidyPaulo hiviwewe na Huyu Nani mbea wewe badala usubiri ally kamweaposti ndo ukoment ualetaleta shobo Kwenye vikaovya watu babuuu fatilia laifu yako !!!

  • @EvodiusErnest-ol2wg
    @EvodiusErnest-ol2wg 10 днів тому

    Amed Aly yupo vzl kama mchezaji ameondoka muachen atafte maisha mengine

  • @PaulinaMacha
    @PaulinaMacha 8 днів тому

    Kweli,,:

  • @mussachifu3894
    @mussachifu3894 4 місяці тому +3

    😂😂😂😂😂xemaji kama xemaji💪💪💪

  • @user-yu3iw9no5j
    @user-yu3iw9no5j 4 місяці тому +1

    Kweli kabisa.

  • @user-bi8hr3nu6g
    @user-bi8hr3nu6g 4 місяці тому +1

    Huyu sawa na changudoa lazima tumuchukulie batua se.eji La majin

  • @EmannuelThobiasPeteri
    @EmannuelThobiasPeteri 4 місяці тому

    Kweli

  • @AginesKavishe
    @AginesKavishe 9 днів тому

    unajua sana kakaaaa

  • @user-bx3je8jf7v
    @user-bx3je8jf7v 3 місяці тому

    Sema babaaaaaaa wape vidonge vyao😂😂😂😂

  • @yusuphonesmo1791
    @yusuphonesmo1791 4 місяці тому +2

    Yani sikutegemea Kama msemaji wa simba unangelea Mambo ya majini, hujamaa ni mjinga Sana,kwa wazifa wake huo hapaswi kuongea hivyo, mjinga Sana,

  • @HamisiMastepu
    @HamisiMastepu 17 днів тому

    Mutu akiongea kweliii mbayasiyoo acheni ushamba semaji lasimbahilo

  • @bethmahela2182
    @bethmahela2182 4 місяці тому +1

    Swala la morison yupo avict ,acha ushaiki na umbea na kaja kwa kocha wa viungo anaendelea mpk atakapikuwa sawa,unaongea mwisho wa siku utaambiwa utoe ushahidi,sisi ni washabiki wa simba kiwango chetu sio kizuri kama mechi ya geita tupo ovyo,tujadili ya kwetu haya hayatuhusu

  • @hamzayasni2793
    @hamzayasni2793 17 днів тому

    Duh ila msemaji wetu unaongeaga point sana

  • @user-xl3xw8gy6o
    @user-xl3xw8gy6o 4 місяці тому +1

    Katika wasemaji ambao hana hakir Tanzania hii msemaji wa simba

    • @richardromano6592
      @richardromano6592 4 місяці тому

      Mhaho wa nyuma mwiko 😂😂😂wazeee wa my muna😊

  • @user-eu4ml4gu2z
    @user-eu4ml4gu2z 4 місяці тому +1

    Washabiki wa simba ugomvi wa mayele na yanga ni ugomvi wetu hata wakitaka tuununue tuko tayari tutachanga.

  • @GaudentusWillium
    @GaudentusWillium День тому

    Penda sana semaji letu simba

  • @DANIELHAONGA-sr9ek
    @DANIELHAONGA-sr9ek 23 дні тому

    Saaanaa😅😅😅

  • @ShedestaMkoi
    @ShedestaMkoi 2 місяці тому

    Soka la bongo wasemaji hawana hata taalama hawajui nni wanasema kaz ya kusemana usimba na uyanga balirikin nyinyi wasemaj acheni unaz 6:53

  • @shabanikalangula9954
    @shabanikalangula9954 4 місяці тому +1

    Kwani simba hamna cha maana kwenu

  • @PascaliaSamson-nt8pp
    @PascaliaSamson-nt8pp 3 місяці тому

    😍

  • @elinadaniel5990
    @elinadaniel5990 4 місяці тому

    Msemaji wa Yanga... Semaji la Fiston Kalala Mayele, The King😂😂😂😂
    Kama unakumbukumbu vizuri kabla ya Mayele kuondoka yanga Alisema mwenyewe siondoki Yanga kwasababu ndiopo penye bahati yangu... mwishoni akasema "naondoka kwasababu timu imeamua kuniuza, hakuna mkubwa kuliko timu"

  • @SelestineElias
    @SelestineElias 4 місяці тому

    Ahmed Ahly ameshindwa kuwa semaji kawa mganga WA Majini,anapga ramli za Majini now

  • @hassanswale
    @hassanswale 2 місяці тому +1

    Simama na mayele ukutane kitu kizito

  • @user-of1ie1ip6h
    @user-of1ie1ip6h 3 місяці тому

    ❤❤❤💪💪💪💪

  • @user-kh3fb4nl4w
    @user-kh3fb4nl4w 15 днів тому

    Kijana yajuzi yaache yalivyo maana ukija kuteleza tu simba unaondoka kwa sasa huna jipya tulia muunde timu ifanye kazi siyo porojo tu

  • @ShedestaMkoi
    @ShedestaMkoi 2 місяці тому

    Soka la bongo wasemaji hawana hata taalama hawajui nni wanasema kaz ya kusemana usimba na uyanga balirikin nyinyi wasemaj acheni unaz 6:53 wasemaj wanachangie kuwapumbaza wapenda soka tetea taifa

  • @ishowawesomeSpeed-mg3bz
    @ishowawesomeSpeed-mg3bz 10 днів тому

    😂😂😂washamba kweli kweli Yani wanangang'ania mtu asifunge

  • @FrankEnockmabundu
    @FrankEnockmabundu 4 місяці тому

    Huyu jamaa yuko vzuri wanasimba tumpeni Maua yake 🎉🎉

  • @user-jd2jg6gy8e
    @user-jd2jg6gy8e 4 місяці тому

    Hapo sw semaji la kimataifa ❤❤

  • @AllenKangwa
    @AllenKangwa День тому

    Usajiliwayanga

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 2 місяці тому

    USITUFUNDISHE KAZI FALA WEWEEEE💚💛💪💪💪🙏🙏🙏KWAHIYO WAKATI ANATUPIWA MAJINI ULISHIKA NJIWA?AU KITU GANI??!!;

  • @brayanjoel921
    @brayanjoel921 4 місяці тому +1

    Yanga kwenye zile goli tano walitutupia majini maana ivihivi hawawezi nainaonekana yalikua mengi

  • @NeemiaLotti-wl7hu
    @NeemiaLotti-wl7hu 3 місяці тому

    Wewe Ahamed ally unajitambua kweli. Unaacha kuzungumzia simba unahangaika na yanga nakudhauri uache kupotosha umma kuhusu mayele.hakuna MTU anamlioga mayele anajiloga mwenyewe.mayele hawezi rudi simba akitaka kurudi Tanzania aje acheze yanga na wala cyo simba.simba inauwa vipaji vya wachezaji. Pumbavu sana mwache mayele acheze mpira.

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 4 місяці тому

    Wabongo mnavijimambo eti MAJINI FC😂😂😂😂😂

  • @sarahmathias3518
    @sarahmathias3518 3 місяці тому

    Safiiiiiiiii semaji la kafu.

  • @user-hs4pk5sj1n
    @user-hs4pk5sj1n 4 місяці тому +3

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 huyu jamaaaa bwana

  • @mussaissa6796
    @mussaissa6796 4 місяці тому

    WEWE AHMED ALI
    UNAHANGAIKA UNADHANI MAYELE ATAKUJA SIMBA!!
    HAPO UTALIA SANA HADI UTAKUNYA.

  • @ngasarichard1443
    @ngasarichard1443 4 місяці тому +1

    Kama TFF inatenda haki binafsi kamati imuchunguze vizur iri soka letu lisihalibiwe nahawa wasio jua nafasi zao

    • @user-gr9wc7bc2m
      @user-gr9wc7bc2m 4 місяці тому

      Tff wakiingilia nyuma mwiko ujue nchi ilitajwa na mayele

  • @khamisomar5659
    @khamisomar5659 4 місяці тому +1

    We semaji si unatoa povu kwa Mayele bcoz utopolo walikuramba jero tu si unatoa cheche!

  • @ERICKKIBONA
    @ERICKKIBONA Місяць тому

    Nacho juwa kuwa ipo siku watakosa sehemuu ya kusajili wachezajii kwenye team nyingine

  • @donaldbenedict5761
    @donaldbenedict5761 4 місяці тому +1

    Ismaily Adena Rage aliposema wanasumbua na mashabiki wake ni mambumbumbu nilizani akiwakosoa wanasimba na mashabiki wake kumbe alikuwa anamaanisha kwa sababu ndio alikuwa anawaomba za na kuwaburuza kwa umbumbu wao uthibitisho wa hayo angalia huyu msemaji wa ngada fc aka mikia Makolo hajitambui baada ya kuisemea simba amekuwa msemaji wa mayele sasa,ila Ahmed Ally ipo siku utambiwa urete uthibitisho wa hayo mambo unayoyasema utakuwa tayari kuleta?

  • @HamisDimon
    @HamisDimon 2 місяці тому

    mwamba penda shana❤❤

  • @user-ii3by9dp6b
    @user-ii3by9dp6b 3 місяці тому +1

    SeMaji unatisha kaka pambana sana

  • @tumaionlinetv8934
    @tumaionlinetv8934 4 місяці тому +2

    Eti Mtoto wa watu anakula majini😂😂😂😂😂lazima tutafute mganga tumuangue😂😂

  • @user-gb1jq9zz1j
    @user-gb1jq9zz1j Місяць тому

    Ushindi wao n majini akuna team isofungwa wao nani wenyewe wanajiona wababe kwa mijini yao.

  • @gabinuskasigwa
    @gabinuskasigwa 4 місяці тому +1

    Unadhani kwa kuropoka huko ndo atshawishika kuja simba😅😅😅😅😅

  • @DorcasAkyoo-mp6bj
    @DorcasAkyoo-mp6bj 3 місяці тому

    Hahaha acha nicheke kwanza kwa hyo tukusaidie nn if wananchi ni washamba kwa hyo zile Tano mlipigwa na washamba🥱🥱🥱

  • @user-ot8js1gp8p
    @user-ot8js1gp8p 4 місяці тому +1

    Kweri simba mnawasemaji vichaa

  • @HusseynPambakali
    @HusseynPambakali 2 дні тому

    Yanga washamba

  • @ShedestaMkoi
    @ShedestaMkoi 2 місяці тому

    Nje ndan tano kama sigara nyota😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-gp3bx8nq1u
    @user-gp3bx8nq1u 2 місяці тому

    Umejaza ujinga tu makelele Ndo maana tunafungwa badala upige Kelele kwa viongoz Ww mjinga

  • @user-ke8iq9ue1h
    @user-ke8iq9ue1h 3 місяці тому

    Msemaji wetu huenda amemlisha maneno y kuchafua Yanga kwa. Wivu kufurahisha wachawi kwa faida yake wacha hayo wote ni nchi moja

  • @khamismohammed7867
    @khamismohammed7867 Місяць тому

    Semaji la ovyo jinga, simba hakuna mafanikio mbele ya mpumbavu

  • @user-gd9yi1gv1v
    @user-gd9yi1gv1v 4 місяці тому +4

    Chizi karogwa tena, Kwa taarifa Yako hatutoki mchezoni

  • @LignatusIganatio
    @LignatusIganatio 18 днів тому

    Andaa speech kak sio majibambo

  • @SolomonJohn-yw6pg
    @SolomonJohn-yw6pg 2 місяці тому

    We're alike guns kabisa

  • @user-pl8cz9lr6m
    @user-pl8cz9lr6m 4 місяці тому +1

    Huyu ndio msemaji sasa

  • @user-fg2sj7pb2g
    @user-fg2sj7pb2g 20 днів тому

    Wew eb acheni sajiri za mtandaoni maneno mengi vitendo ziro

  • @user-eq2xh7nw5l
    @user-eq2xh7nw5l 4 місяці тому +1

    Kwaajili.ya.tano.inamuuma

  • @godykamwela8680
    @godykamwela8680 2 місяці тому

    Wana yanga hao wanataka kututowa mchezoni huyo ahamedi achukuliwe hatuwa kali

  • @user-vr4hi1ub1t
    @user-vr4hi1ub1t 4 місяці тому

    Mpuuzi kweli mwandishi msemaji mkuu kama wew unakosa Cha kusema kweli

  • @user-tr8nw3nu2n
    @user-tr8nw3nu2n 3 місяці тому

    👀 tunakuona baba sema sema

  • @WazerKing
    @WazerKing 4 місяці тому

    Majini FC acheni ushamba hakuna mchezaji asiyeuzwa

  • @SalimAmiry-kw7ci
    @SalimAmiry-kw7ci 2 місяці тому

    Semaji mshushe vyuma yakweli sio kulahera2 wachezaji tunataka waukweli ili washabiki tuinjoi katika sokaletu la simba

  • @tumainihaonga8766
    @tumainihaonga8766 4 місяці тому

    Mshamba ni ww ulieajiliwa na simba uisemee lkn hufanyi hvy na unaenda kuisemea timu nyingine ambayo hulipwi hata mia hata Senti tena huenda ukawa shoga uchunguzwe vzr

  • @nassoropigauwa2503
    @nassoropigauwa2503 4 місяці тому

    Hpo kwa papaaa moringa daaaaah nyuma mwiko wapuuuz

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 2 місяці тому

    Kumbuka na ww ni MTANZANIA,kasema anajuta kuja kucheza TANZANIA,unaongea pumba aisee,KWAHIYO ULITAKA TUWAIGE NYIE??!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣huna jipya pambana na Hali yako.kwahiyo ww ndio umemjaza UJINGA MAYELE??!!! tumekuelewa msemaji wetu usiepata posho💚💛💪💪💪💪🙏🙏🙏🙏

  • @user-hl3ek5te8q
    @user-hl3ek5te8q 4 місяці тому

    Jamani huyu jamaa ameifanya Simba Kama chama cha siasa wanasimba amkeni haya yanahisiana na Nini na timu

  • @AbdulHussen-rd4jo
    @AbdulHussen-rd4jo 4 місяці тому

    Anajielewa ❤