USIOYAJUA KUHUSU SALIM KIKEKE "NINGEKUWA TANZANIA NINGEKUWA MILIONEA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 304

  • @jofleyshiuga5573
    @jofleyshiuga5573 5 років тому +114

    Kama unamkubali Mr kikeke gonga like twende sawa

  • @khadijajuma3887
    @khadijajuma3887 5 років тому +36

    Uko vizur kikeke ww na zuhura yunus mko juu sana Nawapenda sana

  • @epifaniamponda4491
    @epifaniamponda4491 5 років тому +52

    Huyu brother kikeke bhana nampenda wallah dah sauti yake tu mimi ndoinanikoshaga ameenda nje lakn kiswahili kipo vzr hakija haribikiwa na rugha ngeni 💪💪💪💪💪🙏🙏🙏💕💕💕💕

    • @muuchaynampembammoja7581
      @muuchaynampembammoja7581 5 років тому +1

      Sas ukute mtu ameend cku 3 tu yaan amesahau had kiswahil

    • @edson_619
      @edson_619 5 років тому

      Saut nzuri,,,,

    • @elenzianjk5543
      @elenzianjk5543 5 років тому +1

      Epifania mponda wewe upo ndani lakini unaandika "rugha" badala ya "lugha" ukisafiri si ndio itakua taabu!?

  • @djfiremoto3429
    @djfiremoto3429 5 років тому +102

    HUYU MWAMBA NAMPENDA KWASABABU HAIGIZI MAISHA HATA CHEMBE ANAONGEA HALI HALISI YA MAISHA ANAYOYAISHI SAFI SANA HEBU GONGA LIKE HAPA KAMA UNAKUBALIANA NA MIMI @djfire_tz😂

  • @mr_yassinofficial
    @mr_yassinofficial 5 років тому +46

    Burundi tunampenda saana salim kikeke ❤🇧🇮

  • @frankmandaya4141
    @frankmandaya4141 5 років тому +82

    Wanaojua kiingeraza hawajisemi, ingekuwa waswahili wenzangu na Mimi ingekuwa yes, no, uknowoo mbwembwe nyingiiiiii pumbavi zenu

    • @ibrahimhungu4783
      @ibrahimhungu4783 5 років тому

      Frank Mandaya 😂😂😂

    • @wahidawahida6675
      @wahidawahida6675 5 років тому

      Umeona ee

    • @omeysuper
      @omeysuper 5 років тому

      kwel kbsa

    • @josephramadhan767
      @josephramadhan767 5 років тому

      mara as you know ,may be ,oh this is impossible upumbavu mtupu ,lkn hawa wanaojua kiingereza hawazungumz wala hawajionesh

    • @lwihokajigili24
      @lwihokajigili24 5 років тому

      wandali mko wapi gonga like hapa

  • @mimosapudica1894
    @mimosapudica1894 5 років тому +28

    Ukimsikiliza Kama anatangaza kumbe yeye ndiye anahojiwa...GOT

  • @goodnessmchome2429
    @goodnessmchome2429 5 років тому +46

    Kikeke napenda utangazaji wako upo vizuri kwa kweli

  • @amanikinisa5864
    @amanikinisa5864 5 років тому +23

    Hongera sana kaka salim kike kwa kweli kazi yako ya utangazaji unaifanya vema sanaa.Lakini Tanzania ndio nchi yako hapo uwe wazi.

  • @thomasraiton7760
    @thomasraiton7760 5 років тому +56

    Unatakiwa nawewe uwe connected, nimeipenda sana hii kauli, lazima ujue KUJIONGEZA

  • @kasimuyahaya4010
    @kasimuyahaya4010 5 років тому +28

    Umetufunza mengi kwenye interview yako unaitangaza Lugha ya Kiswahili vizuri

  • @frankmnale1900
    @frankmnale1900 5 років тому +16

    Kiswahili pure
    Hakuna kujifanyisha KiswaEnglish kama wenzetu walivo

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 5 років тому +10

    Love you Brother *KIKEKE* napenda kazi yako, uko vizur sana.

  • @grecioussilas9885
    @grecioussilas9885 5 років тому +33

    Salim kuhusu urai umetukwepa...hapo sema ukweli nikikutazama uingereza pameshakumeza sana

    • @ismailbuchwa398
      @ismailbuchwa398 5 років тому +2

      Hilo linaeleweka kabisa mana ukitumia passport ya uingereza una opportunites za kuzunguka takriban dunia nzima bila visat

  • @maanomohammed1619
    @maanomohammed1619 5 років тому +30

    One day ntafanya nae kazi inshaallah

  • @norbethathuman9739
    @norbethathuman9739 5 років тому +37

    Sijasikia kizungu hapa ila angekuwa mtu anayeishi tz shida kwa kweli ze is kibao kwenye maelezo

  • @khadijak3065
    @khadijak3065 5 років тому +11

    Salamaa alleyko kaka saalm Mimi natamani. Munipe hiyoo nafasi ya kulea mtoto. Mimi ni mama. Wa mtoto mmoja. Wa kike natamani kuja wingereza lakini sina muongozoo na ninatokea tanga mjini makorora na kazi za nyumbani na kutazama watoto. Nipo makini kwa sasa hivi nipo mascat naomba kaka upokee salamu zangu huwaa nakufuatiliaga sana sasa Leo nimeona unafanya intavyoo. Nakuomba. Kaka Saalm munikubaliee maombi yangu. Mungu ni bariki maobi yangu ya sikilizwe asante ukinijibu nitashukuruu. Sana sana

    • @khadijak3065
      @khadijak3065 5 років тому

      @likoni tv salaama alleyko daaa asanteee nashkuru sijui atanisikilza nakuomba mungu anisikilize anatumia jina hilihili.

    • @khadijak3065
      @khadijak3065 5 років тому +1

      Asantee tayari nimesha mtumia ujumbe asantee nashkuru sana

    • @maryammaram2612
      @maryammaram2612 5 років тому

      Hujambo bi Khadija mi mtanga mwenzio natokea sahare makorora nakujaga kununua miguu ya kuku na vipaja.. so my kama hutojal naomba nitumie namba zako mi naweza kukuungisha kwa mtu akakusaidia safari ya London kwaajili ya uangalizi wa watoto.. karibu suwaq Oman

    • @khadijak3065
      @khadijak3065 5 років тому

      @@maryammaram2612 oooooo asanteee kwa upende wako mariamu mbona nimeshapata muongozoo asantee kwa kuliona hilo namba ya simu sina tunatumiaga chombo kwa hewaa

    • @juliusjohn9453
      @juliusjohn9453 5 років тому +1

      Mwanao utamuachaje?

  • @tumainlyimo9230
    @tumainlyimo9230 5 років тому +6

    Bro kikeke unaishi maisha ya kiualisia,safi Sana kaka nmefurahi

  • @SuperKibwana
    @SuperKibwana 5 років тому +2

    Nimejifunza mengi sana kuhusu Ndugu Kikeke. Asante sana Milad Ayo, Asante sana Salim Kikeke.

  • @thegirl1405
    @thegirl1405 5 років тому +6

    Masha Allah hongera sana yaani nimeipenda story yako 💪 💪 💪

  • @nan8731
    @nan8731 5 років тому +3

    Ni kweli swala la Uraia si kitu cha kusumbua.mimi mwenyewe mkenya nimemuoa mpare kutoka same miaka 6 sasa mwanangu kazaliwa nairobi na sasa nko marekani na nina imani nitaongeza mwingine hapa. Ayo TV na Salim kudos

  • @Bensonfrank25
    @Bensonfrank25 5 років тому +8

    KIKEKE ANA SAUTI NZURI SANA! Dope voice

    • @jaybrown9338
      @jaybrown9338 Рік тому

      Tapeli tuu uyo uku UK
      Maneno mengi bila vitendo

  • @bitequity845
    @bitequity845 5 років тому +3

    Yaan BBC akitangaza yey napenda sana..love this guy so Munch

  • @yassinm69
    @yassinm69 5 років тому +11

    Kumbe sauti yake ya utangazaji kazaliwa nayo huyo ni Salim kikeke

  • @shumamasima6747
    @shumamasima6747 5 років тому +6

    Kikeke saut inakubeba xaana hongela saana bg

  • @sadickadriano2073
    @sadickadriano2073 5 років тому +5

    Ndo maana wazungu hawazaani, maana kwa jinsi alivohadithia malezi ni changamoto.

  • @eliazarinyakiema1969
    @eliazarinyakiema1969 4 роки тому +5

    Bora tukalee watoto England,, paundi 15 kwa SAA😁😁😁

  • @abdallaramadhan3850
    @abdallaramadhan3850 5 років тому +1

    Hongera sana ,kaka..nakukubali sana ,utqngaazaji wako unanikumbusha mbali sana,hakika umo ktk watangazi bora sana ,kama vile akina Oumiyl kheiyr wa D.W,Aisha Yahya wa BBC ,Chama Omar Matata no,kwa hakika hawa siwakumbuki ujana wao ktk kazi ila uzee wao unaonesha kweli ni watangazaji na si wasomaji habari.Viva Kikeke.

  • @laurentmaganga1027
    @laurentmaganga1027 Рік тому

    Kikeke you are a star

  • @bakilingwelegulile4062
    @bakilingwelegulile4062 4 роки тому +1

    Inshaallah A dream a coming to be a true my brother from another mother

  • @estargabriel8362
    @estargabriel8362 5 років тому +4

    huyu jamaa yuko vzr sana sio mtu wa kujikweza wala hana majivuno ww ndo mzalendo

  • @yusuf02said6
    @yusuf02said6 5 років тому +6

    Maswali yamezidi kuwa personal sana duu. Huyu

  • @helenamwaipopo967
    @helenamwaipopo967 5 років тому +3

    Ni mtangazaji mzuri pia sauti yake inavutia kuendelea kusikiliza BBC in Swahili big up bro

  • @massawejacob
    @massawejacob Рік тому +1

    Karibu home karibu saana....wako akina ntetena na under same jua..wapo akina star ...nakumbuka pia ti mhand wote walirejea na mambo yaka mema nawe pia naamin saa utakuwa Likeke maana ulikwenda kama kakeke (kadogo kadogo) na umerudi ukiwa umesonga vyema. International exposures umepata ..umejifinza mengi siamin kwamba ulituliaaa tu bila kusoma ? Ntacheka saana ikiwa hukujiendeleza 😂
    Karibu nyumbani Mh Salim ..karibu sana

  • @canaltanganyika2672
    @canaltanganyika2672 Рік тому

    Hongera sana, kwa kazi zako bwana Millard Ayo. Ninaïtwa Madiba niko DRC kama muandishi wa habari.

  • @ashuashu3843
    @ashuashu3843 5 років тому +17

    Nimependa sana uliposema raiya wa ulimwengu na hakika Allah amekupa upeo wa kuona mbali,maana kuna binadamu huwa na fikra za kuishi milele dunian,huona ardhi ni milik za daima kwao.

  • @Diamondvideomix
    @Diamondvideomix 5 років тому +4

    Talented one 🤩

  • @meddyyassin4741
    @meddyyassin4741 5 років тому +4

    Angekua mhaya huyu jamaa,,basi chamoto tungekiona hapa😄😄

  • @EnockpetroKiswalucha
    @EnockpetroKiswalucha Рік тому

    Hongera Sana Salim kikeke kwa utangazaji mzur wa shirika la habar bbc

  • @amenyemwansile7943
    @amenyemwansile7943 4 роки тому +1

    Aah kumbe ni mnyakyusa wa mbeya big up Kaka mkubwa

  • @roseswai5570
    @roseswai5570 5 років тому +1

    My Role Model,yaani nampenda Kikeke buuree jamani. Sauti yake nzuri sana. Ni mmoja kati ya wanaume wazuri.sana japo anaishi nchi ya ughaibuni hana mashauzi hata kidogo. Upo vzr handsome kipaji unacho hongeta sana sana.

  • @elicatustryphone7949
    @elicatustryphone7949 4 роки тому

    Ayo tv juuu sana Salim kikeke juuu zaidi

  • @sheisgodorait5721
    @sheisgodorait5721 5 років тому +7

    Yaani Wewe nakukubali nimtangazaji moja wapo wa mfano ubarikiwe

  • @masuseleman978
    @masuseleman978 5 років тому +2

    Kamanda kikeke.one love bro

  • @njembeyehaonga5837
    @njembeyehaonga5837 Рік тому

    ❤❤❤❤kaka safari njema

  • @happinesstesha7061
    @happinesstesha7061 2 роки тому

    Nakupenda sana kikeke nisipo kuona unatangaza bbc dahhh, kazi yako naipenda.

  • @festohamad4174
    @festohamad4174 5 років тому +1

    Namkubali brother salim kikeke

  • @kisangakisanga5960
    @kisangakisanga5960 Рік тому

    Salimu Yuko vizuri

  • @jerryalfredngailo6106
    @jerryalfredngailo6106 5 років тому +1

    Uko poa brother salim nakukubali kabisa ndagha mwalyafyale ila kaa sawa na mkeo mtunze watoto vizuri

  • @mohamedmohamed614
    @mohamedmohamed614 5 років тому +5

    Duh umenifurahisha hapo kusema raia wa ulimwengu kikeke heshima kuwako;because wewe umetembea na huuna akili za kikaburu za watu wa bwani

  • @mako331
    @mako331 5 років тому +1

    We love you bro, unatuwakilisha vyema

  • @agapesaligawesasaligawesa2781
    @agapesaligawesasaligawesa2781 5 років тому +2

    Yes Maischa ya uku ukizaaa mtoto mnalea wenyewe

  • @rahabujohn2691
    @rahabujohn2691 4 роки тому

    Naipenda BBC na hawa Watangazaji Zuhura,Salim,Sam Awami,Zawad, Esther kahumbi na wengine wote wa BBC Nawpenda sana

  • @amourzubeir7306
    @amourzubeir7306 4 роки тому +1

    "Wakupe muda ambao unarandana na kazi yko" dah!! Big up kiswahili hicho yani yupo sawa huyu kaka

  • @flaviousbenedict6489
    @flaviousbenedict6489 5 років тому +1

    Huyu jamaa nampenda sana kwakweli ni mtangazaji mzuri sana. Siku hizi mtu unaishi popote kikubwa ni pesa na uhai

  • @eliasaharuna4506
    @eliasaharuna4506 5 років тому +1

    Wauuuu salim

  • @philimonphilipo725
    @philimonphilipo725 Рік тому +1

    Salam kike nakuomba njoo msadie mama kuendesha Tbc pls

  • @SubilagaKabango-bu8tu
    @SubilagaKabango-bu8tu Рік тому

    Mimi Binafsi ananivutia sana KIKEKE awapo hewani BBC! SAWA na alipokuwepo Zuhura junus!

  • @fextomaturo7815
    @fextomaturo7815 5 років тому +3

    Daaah me nataman ligi ya EPL ianze tyu nimemic Sanaa's hyo ligi

  • @benderamateso8244
    @benderamateso8244 5 років тому +1

    Umesema Neno Kikeke hilo ni andiko la mafundisho ya dini ya Kibaha'i - Dunia ni nchi moja na binadamu ni raia wake - ( The Earth is but one country and mankind its citizens - Baha'u'llah)

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 2 роки тому

    Hongera sana Mungu akulinde

  • @amourzubeir7306
    @amourzubeir7306 4 роки тому +1

    Ukimsikiliza ni sawa na kuwepo ktk tukio halisi ,yani ana kipaji sna

  • @stanslausangelus8714
    @stanslausangelus8714 5 років тому +5

    Salim hongera,ila kuhusu mwanao uraia Mmh!

    • @gerardnibikora839
      @gerardnibikora839 5 років тому

      Salim pia, kwa mfn huku Canada, wameweka kiwango cha mshahala kwa kila mfanyakazi wakipato cha chini lazima alipwe. Kwahiyo mwisho wa siku mfanyakazi huu hatakubali kulipwa pesa kidogo na wakati anaweza kupata mshahala sawa na wengine .

  • @olarivolariv1313
    @olarivolariv1313 Рік тому

    Jamaa achanganyi maneno ya kingereza na kiswahili.

  • @furahambwembwe8005
    @furahambwembwe8005 5 років тому +6

    Presenter,are u from Forest Kongowe Kibaha??

  • @janealoyce3866
    @janealoyce3866 5 років тому +6

    Salim sauti safi sana unafaa sana kutangaza.

  • @SubilagaKabango-bu8tu
    @SubilagaKabango-bu8tu Рік тому

    Nilimsikia mtangazi KIKEKE akiaga BBC je amepata Kazi wapi? Au ndo kusema amestaafu?

  • @timezonlinemedia2665
    @timezonlinemedia2665 5 років тому +1

    Realistic

  • @magessamagessa5502
    @magessamagessa5502 5 років тому +6

    Kikeke upo vzr lkn nakushauri pata mtoto mwingine tz ikibidi oa tz kwavile dini yako inakuruhusu

    • @sylvesterjose3286
      @sylvesterjose3286 3 роки тому

      Ushauri unaompa kigezo ni Kwa kuwa dini yake inaruhusu! Hii ni sababu ya msingi kweli? Aaah ha ha! Ebu toa sababu yenye mashiko!

  • @gerardnibikora839
    @gerardnibikora839 5 років тому +4

    Salim pia, kwa mfn huku Canada, kuna kiwango cha mshahala wa kuanzia kwa kila mfanyakazi wa kipato cha chini. Inamaana mwisho wa siku huu mfanyakazi atataka mshahala sawa na wengine kulingana na sheria ya nchi.

    • @gerardnibikora839
      @gerardnibikora839 5 років тому

      Asante Salim na wengine wamesoma na kubonyeza 👍🏾 kuhusu maoni nilichangia

  • @ithnaothmani4991
    @ithnaothmani4991 4 роки тому

    Uko vizuri sn

  • @hamadeddy8089
    @hamadeddy8089 5 років тому +2

    Chukua mfanyakazi mtanzania halafu unakuwa unamlipa tu vzr tena ela ya kawaida

  • @gidionmsuya5340
    @gidionmsuya5340 5 років тому

    Huyu bro akitangaza gem za epl ni balaa anajua na sauti yake amazing sanga nampenda 😍

  • @JacksonJohannes-ui2gw
    @JacksonJohannes-ui2gw Рік тому

    Nihoji mimi niwape hakiya salimu kikeke kuacha kazi nitashirukiana na prophesied 11 katega kuwafunua ufahamu tunampa hongera

  • @jamesfrances9342
    @jamesfrances9342 Рік тому

    Nakukubali mno kikeke

  • @aneymaalim704
    @aneymaalim704 2 роки тому +1

    Salim wwe ni mzalendo mpka ukona jezi hongera

  • @user-cl2jr3re4s
    @user-cl2jr3re4s 2 роки тому

    Swali nzuri sn nilisubiri mt zaji akijiongeza aulize kuchukua mschana tz mana wa tz hata elfu robaini wanafanya kz ukimwambia wingreza hata ela hataki tn bure anaenda kukufanyia

  • @jastinefaustin9982
    @jastinefaustin9982 5 років тому +1

    Nzur sana lakin fupi
    Nataman niendeleee kusikiliza

  • @officialstoner771
    @officialstoner771 3 роки тому

    Napenda sana kikeke hasa wakati akiwa kwenye dira ya dunia

  • @saydmussa430
    @saydmussa430 5 років тому

    Kikeke wewe nikijana unaenipa hamasa ya kuwa na bidii katika kutafuta I will appreciate this

  • @kenethfanuel9195
    @kenethfanuel9195 3 роки тому

    Tatizo lako kikeke unatumika sana na mabeberu kuitangaza vibaya tanzania.

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli3650 5 років тому +5

    Kikeke umesahau pia kuwa ulisoma pia diploma ya uhandisi wa kilimo km sjakosea

  • @johnmakara5010
    @johnmakara5010 5 років тому +4

    Mshahara wa lisaa huko ni Sawa na Mshahara wa mwezi huku bongo

  • @ntemilimbu4197
    @ntemilimbu4197 5 років тому +1

    Upo vzr sanaaa

  • @rehemashafi4809
    @rehemashafi4809 5 років тому

    Kikeke napenda utangazaji wako babaangu hongera sana aiseeh

  • @abdulbakali3259
    @abdulbakali3259 2 роки тому

    Mtangazaji muulize salimu.amefunga ndoa

  • @elimishanyamoga1301
    @elimishanyamoga1301 5 років тому

    Uwa namuelewa sana uyu brother

  • @josej9888
    @josej9888 5 років тому

    Safi sana Brother.

  • @khadijakaombwe4051
    @khadijakaombwe4051 5 років тому +5

    He is the best presenter for sure !

  • @annagesura8375
    @annagesura8375 2 роки тому

    Mimi naipenda sana sauti yako sauti inahamashisha sana

  • @makamemufadhil627
    @makamemufadhil627 5 років тому +1

    Daah Mimi kama sijamuona Huyu BBC tarifaya habari sifurah

  • @davidchoyo5951
    @davidchoyo5951 9 місяців тому

    Ningeshangaa sana kama Tanga isingehusika maana Mbeya na hicho kiswahili 😂😂😂 Banyakyusa mpoooo Utani tu

  • @evaristmahumbi4728
    @evaristmahumbi4728 2 роки тому +1

    he is best presenter ever🌍

  • @janethpallangyo2633
    @janethpallangyo2633 4 роки тому

    Nakukubari sana brother

  • @bm10tv81
    @bm10tv81 3 роки тому +2

    🙏🙏🙏

  • @user-fq8qg4fl9k
    @user-fq8qg4fl9k Рік тому

    Namkubali sana kikeke❤

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 5 років тому +1

    Dahhhh hapana, mimi siwezi kwenda kuishi kule, dahhh, maisha ni magumu mno...

  • @deboramatpapaztv
    @deboramatpapaztv 5 років тому +1

    Kumbe ndo maisha Magumu hivyo?sasa hata nyumba huko utajenga kweli? Sie tukajuaga kua huko mnakula raha tu kumbe Hamna..mie nikajuaga Salim kikeke anamke Zanzibar ..kumbe no....ni mwendo wa kukopa tu nyumba..Asante sana

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 5 років тому +1

      Hujasikia au?kasema njia rahisi ya kupata nyumba London ni unakopa kutoka kwenye bank inayoitwa MOGAJ.Nayeye kasema kakopa sasa akimaliza kulipa si kajenga?au ulitaka apate kiwanja aanze na msingi ndo ujue kajenga?Harafu kwanini ulifikiri kama ana mke Zanzibar ulimuona au yani kwanini ulihisi hvyo kwani hukuhisi kuwa anamke mtwara?

    • @deboramatpapaztv
      @deboramatpapaztv 5 років тому +1

      @@MtuSafi usijari kaka hayo yalikua ni mawazo yangu tu kwa kua sikua najua chochote juu yake zaid ya kua mtangazaji BBC..ila baada ya kiweka sawa mambo ndo nimejua...then hata khs nyumba kwa kweli hata sikuelewa alipotaja kumbe ni kampuni?wewe ndo umenielewesha.asante sana

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 5 років тому

      @@deboramatpapaztv basi vizuri

  • @raziambwana2145
    @raziambwana2145 5 років тому +7

    Mie napenda kusikiliza BBC haswa ile saa5 asubhi huwa unatangaz vzr mno.

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 5 років тому

      Razia Mbwana mimi sauti ya Zuhra yunus tu

    • @raziambwana2145
      @raziambwana2145 5 років тому +1

      Mie nihuyu huwa hapumui kabsa akipg muhtasar

  • @isayajuma6635
    @isayajuma6635 5 років тому +1

    Safii kaka