HABIB MAZINGE UISLAM KATIKA VITABU VYA KALE 2

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 272

  • @waltershayo1339
    @waltershayo1339 3 роки тому

    Yaani sheikh Mazinge kanikuna huwa nikikutana nao najiuliza kichwani maphd lkn yesu ni Mungu tumshukuru Allah kutujaalia kuwa Waislam

  • @ndekelaausi8263
    @ndekelaausi8263 6 років тому +18

    Allah akuongozeni Waisilamu wote mnaosikiliza neno la M/Mungu

  • @salehehassan1330
    @salehehassan1330 6 років тому +26

    Mazinge unafanya vizuri katika kazi ariyokujaria Allah kazi ya daawa ningumu jamani ningumu haswa hivyo dua nakuombea uzidi kuwafikishia ujumbe huu mzito

    • @shunshmc8868
      @shunshmc8868 4 роки тому

      Huku mbeya uislam unapotea karibu h

  • @husseinmongolare1661
    @husseinmongolare1661 4 роки тому +2

    Shukrani Allah akulipe kilalaheri nafatiliya video zako Apa U.S.A

  • @mwakakhamis5762
    @mwakakhamis5762 5 років тому +12

    Jamanii waislamu hizi video hatuzipendi au mbona like kidogooo.

  • @alphanisuleman6979
    @alphanisuleman6979 4 роки тому +1

    Mtu yoyote anaesema yesu mungu mimi namfananisha na wahindi wanao abudu ngombe msiwalazimishe waacheni waendelee kusema yesu mungu

  • @omariliwikila1979
    @omariliwikila1979 6 років тому +12

    Ama kweli ww ni profesa wa vitabu vitakatifu mungu akuongoze maisha yako yote.

  • @fatmabakari545
    @fatmabakari545 8 років тому +40

    mashallah mola akuzidishie umri na akulinde mazinge

  • @asiahmariam3942
    @asiahmariam3942 6 років тому +33

    Nakupendaga sana sheikh Wang mazinge

    • @farookkavuma9868
      @farookkavuma9868 6 років тому

      Asalam alaikum walahumaturahi wabarakatuh.

    • @ibrahimjaoko2819
      @ibrahimjaoko2819 5 років тому

      Asiah Mariam nami nmekupenda binti unaonekana mzuri mstaarab tukutane WhatsApp 0673235098

    • @sumabata5864
      @sumabata5864 5 років тому

      Na yeye anakupenda

    • @ibrahimjaoko2819
      @ibrahimjaoko2819 5 років тому

      Suma Bata ..Suma pls if you are a lady lemme me have your contact .
      Mine is 0673235098

    • @dunimambo9360
      @dunimambo9360 4 роки тому

      Wafuga majini niye

  • @idrisabakari584
    @idrisabakari584 5 років тому +1

    Wallha shekhe mazinge mungu akupe mwisho mwema ufe ukiwa ktk kazi hii

  • @ibrahimabdul5490
    @ibrahimabdul5490 8 років тому +17

    M/mungu akurekhem kaka.
    Ujumbe umewafikia waliosikia na wakatafakar na wakachukuwa hatua.
    Inshaallah M/mungu atakulipa.
    Kwakuwatoa waja wa M/mungu ktk jiza na kuwapereka ktk nuru.
    Kwani uislam ni vazi la imani aliyotuumbia M/mungu.
    Ibilisi au sheitwani ndio aliowavua baadhi ya watu vazi la imani ambalo alilotuumbia M/mungu baada ya yeye kufukuzwa ktk nuru ya M/mungu.
    Lakin tusikate tamaa inshaallah Allaah atawanusuru tusichoke kuwaombea..!

  • @allyissa5801
    @allyissa5801 5 років тому +7

    mashaa allah shekh allah akulinde na kila shali

  • @dubais9018
    @dubais9018 5 років тому +2

    Maashaallah oman wamejitikeza waislam wengi kumsikiliza ustadh

  • @mirajimsita6691
    @mirajimsita6691 6 років тому +20

    mashallah Allah akulinde shekha mazinge uendelee kuutangaza uislam

  • @omarbakran8337
    @omarbakran8337 8 років тому +41

    masha Allah sheikh Mazinge Mungu akulinde

  • @muliamadi859
    @muliamadi859 5 років тому +3

    Mwenyezi mungu akuepushe na mitiani InshaAllah

  • @salummsusa5254
    @salummsusa5254 5 років тому +4

    Mashaalllah ostadhi mazinge Allah akulinde miaka mingi

  • @shuaibhashim687
    @shuaibhashim687 4 роки тому +3

    ASALAM ALEIKUM.MOLA AKUZIDISHIE ILMU AKUPE AFYA UZIDI KUTUELIMISHA BARAKALLAH FIIK SHUKRAN

  • @saidrashid602
    @saidrashid602 9 років тому +28

    MashaAllah, Ustadh mazinge Mungu akulinde

  • @zainabuyahya190
    @zainabuyahya190 5 років тому +4

    Mashaallah shkh wet mungu akujaarie umri mrefu

  • @naimamwambe8083
    @naimamwambe8083 4 роки тому

    Mashaa Allah natamani siku nikuone live shekhe Mazinge nafaidika na mengi kutoka kwako naomba Allah akupe kila lenye kheri na wewe Amiin

  • @عليجبار-ن3ي
    @عليجبار-ن3ي 5 років тому +3

    Allah akujazi,akuzidishie ilmu shekh wetu

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba1322 5 років тому +5

    MaashaaAllah Allah akulinde namabalaa ya duniani

  • @saidally9875
    @saidally9875 5 років тому +2

    mashallah shekh allah akupe nguvu na umri uzid kuutangaza uislam inshallah

  • @ukumbushostate2758
    @ukumbushostate2758 5 років тому +2

    Mungu akuweke ustadh

  • @faridswaleh0018
    @faridswaleh0018 4 роки тому

    Shk mazinge mungu akupe uombalo kwake Ameeb

  • @abdallahussyn1822
    @abdallahussyn1822 4 роки тому +4

    Allah akupe pumzi ya kuwaleta makafir kwenye ndia yake Allah

  • @hassantoure7472
    @hassantoure7472 6 років тому +5

    Kazi nzuri ust mazinge takbiiir

  • @harunwalter9214
    @harunwalter9214 5 років тому +4

    mungu akuweke umri mrefu

  • @harunamushi2643
    @harunamushi2643 5 років тому +2

    Allah Akbar.. We proud to be Muslims

  • @rashirajabu1432
    @rashirajabu1432 5 років тому +5

    Shekh Allah akulinde isha allha

  • @ramamohammed4334
    @ramamohammed4334 6 років тому +8

    mashaalah uko poa sana sheikh mazinge

  • @mohamedjuma1878
    @mohamedjuma1878 5 років тому +3

    Mimi nashangaa kweli kwa hawa makafiri eti mtu hususan wanawake wanakwenda kuabudu wakiwa wamevaa nusu uchi sijui uyo Mungu wao anapenda ngono

  • @hajiahmad2328
    @hajiahmad2328 3 роки тому

    Maxinge m/mungu akupe afya njema ue.ndelee na dawa

  • @nyawitatheboss3449
    @nyawitatheboss3449 4 роки тому

    Tunakupenda kwa ajili y ALLAH mim n mke wangu AISHA kipenz

  • @zainabuhmbabazi4928
    @zainabuhmbabazi4928 6 років тому +4

    ALLAHUMA amiiina kwa duwa yako na ALLAH awaridhie

  • @athumansingitu2723
    @athumansingitu2723 5 років тому +5

    masha allah, Tunashukuru kwa daawa.

  • @ismailrebe7072
    @ismailrebe7072 4 роки тому

    Mungu akulipe kwa kazi ya dawa unayofanya

  • @rokiroki1825
    @rokiroki1825 4 роки тому +1

    ALLAH atufishe haliyakua ni waislamu

  • @zenatmusa5233
    @zenatmusa5233 5 років тому

    Allah awaongoze wote wanao fahamishana uwislam Allah awaongoze Na awape nguvu Na subra

  • @salummilanzi7936
    @salummilanzi7936 5 років тому +5

    Mashallah mupate mwisho uliomwema

  • @aishamohemd2698
    @aishamohemd2698 6 років тому +2

    Shekh mazinge mungu akuhifadhi bila ww waislam tungepotea

    • @danielmayibanzovu207
      @danielmayibanzovu207 5 років тому

      Aisha Mohemd kafiri ni nani mkrito naye unamwita kafiri jifunze kuongea kwa hekima .

    • @hassanomary4664
      @hassanomary4664 5 років тому

      Cio kwa ajili ya mazinge dad angu kwa ajili ya Allah kampa uwezo mazinge ili aje kunusulu dini yake

  • @خديجهافضى
    @خديجهافضى 6 років тому

    Mashallah Allah akulinde kuelimisha l'islam unapo mutaja rasul uwe nakumbuka kumusaliya ishallah

    • @saadamsamba4806
      @saadamsamba4806 6 років тому

      Masha Allah

    • @asmaabdallah4055
      @asmaabdallah4055 6 років тому

      Yeso ni mtume tu Allah anasema mama yake alikuwa mkweli na wote mama na mtoto wake walikuwa wa kila chakula na kwenda choni basi hao ni waungu gani wanaokula chakula na kwenda chooni hebu fikirini mungu wenu anakwenda chooni akiwa chooni hamujielewi kweli

    • @kinianirajabu1124
      @kinianirajabu1124 5 років тому

      Jazaka Allah

  • @jasminyiddysulaiman9807
    @jasminyiddysulaiman9807 4 роки тому

    Maashallah tabaraqallah..nakupenda kwa ajir ya allah

  • @محمدعلي-م4ص3ش
    @محمدعلي-م4ص3ش 6 років тому +4

    Allah akupe umri mrefu wenye manufaa

  • @zainabuhmbabazi4928
    @zainabuhmbabazi4928 6 років тому

    TAKBIIIIIIRA ALLAAAAHUAKBAR MAZING ALLAH AKUFUNGULIE JANAT FIRDAWSI UINGIE UKITEMBEA NA MIMI NIKIWA NYUMAYAKO AMIIINA YARABBI

  • @habibaselemaniasantesana9774
    @habibaselemaniasantesana9774 4 роки тому

    Shukran shekhe Allah akulinde

  • @salehsuleiman8519
    @salehsuleiman8519 3 роки тому

    Allah ampe afya njema Mazinge

  • @mnyamwezionlinetv3998
    @mnyamwezionlinetv3998 8 років тому +13

    Jazaakallah khayran, yaa Uthman Mazinge

  • @mbarikiahamadjuma6824
    @mbarikiahamadjuma6824 6 років тому +4

    Allah akulipe kila la kheri

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 6 років тому +11

    Taqbeerrr Allahu Akbr

  • @kissluh18
    @kissluh18 6 років тому +5

    Yaani mazinge ingekuwa inawezekana siku zinakopeshwa tungekukopesha uwendelee na ujuzi kuwapambanulia ukweli katika uislam.

  • @shazirmakunda1832
    @shazirmakunda1832 6 років тому +11

    hakika Allah atawalipa inshaallah

  • @nasibuabdul287
    @nasibuabdul287 4 роки тому

    Mwenyezimungu ni mkubwa

  • @jamilamanariyojamila1487
    @jamilamanariyojamila1487 4 роки тому

    Allah Akupeumli Muref Wenyemanuf

  • @augustinejohn5685
    @augustinejohn5685 5 років тому +8

    shekh mazinge nimekupenda bure mkuu. Allah akujaze rehema.

  • @fatumamshamu1759
    @fatumamshamu1759 4 роки тому

    Allah.akufanyie.wepesi.magumu.unayopitia

  • @yahyaibrahim6546
    @yahyaibrahim6546 2 роки тому

    Dahh yani mimi nimeongea mbele ya mkrusto nkawambia jesus sio mungu yani najiona sina raha yani nikiona aya makafiri kazini kwangu yani nakereka sana natamani wasilimu maana naona wanapotea

  • @farukiddi5967
    @farukiddi5967 5 років тому +2

    Mungu akupemiaka 100

  • @gitonga7054
    @gitonga7054 5 років тому +5

    Mashallah Tabarakallah

  • @mnyamwezionlinetv3998
    @mnyamwezionlinetv3998 8 років тому +8

    Francis Oyoo,Habib Uthman Mazinge hajasilim alizaliwa Katka uislam.we silimu tu wala usiwaze udugu

  • @myoutubecom-gg7sb
    @myoutubecom-gg7sb 6 років тому +13

    MashaAllah,

  • @rahillhamidu2544
    @rahillhamidu2544 5 років тому +2

    Kusoma ni muhimu Sana wallai waislam

  • @hopetrust9321
    @hopetrust9321 5 років тому +1

    Wew kasome vizuri yesu Ni mwana wamungu hata mtume alikiri kuwa yesu Ni masihi na nimkombozi waulimwengu Sasa usiingee kutafuta sifa na wakristo hatuna mashindano pia muislam wakweli namkristo wakweli watakua naundugu sawa nawamke na mume mawarda ongea tu hujielewi wewe

    • @lilianjoshua1407
      @lilianjoshua1407 4 роки тому

      Yani Mungu awasamehe sana waislamu. Maana hawajui walinenacho, laiti wangemjua huyo Allah ni nani wasingempa utukufu hivyo! Sipati picha watakavyokaangwa hukumuni.

    • @saidasaidjuma3505
      @saidasaidjuma3505 3 роки тому

      @@lilianjoshua1407 Subhnallah

  • @rafamiliyaarafamiliyaa4702
    @rafamiliyaarafamiliyaa4702 5 років тому +1

    very very nice

  • @athumanhassan9360
    @athumanhassan9360 5 років тому +4

    Xheikh wng Allah akujalieh nakpnd xn

  • @mohakharu6315
    @mohakharu6315 6 років тому +2

    Kweli kabisa mazinge

  • @idrissajumakona5871
    @idrissajumakona5871 5 років тому +4

    ماشاءاللہ

  • @jumasalum5769
    @jumasalum5769 5 років тому +2

    Sheikh wangu me nipo Mwanza napiga mishe mishe za kawaida tu ila niko tayar kuja kujiunga na kikosi chenu niwe hata mbeba mabegi ili na me niwe napambana ktk njia hiyo unayo itumia

  • @boontujimmaa9462
    @boontujimmaa9462 4 роки тому

    Mashallah sheikh Mazinge

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole4000 5 років тому +2

    Unachoongea ni sahihi kabisa ustadh Suleiman

  • @francinensavyimana5601
    @francinensavyimana5601 4 роки тому

    Washeikh wangu wewe nawenemihazara munacambua kwelikweli mimi nikua najuwa wenzagu tunamwombamungu umoja kumbe wao wamedanganywa namafundisho yawatu

  • @shazirmakunda1832
    @shazirmakunda1832 6 років тому +1

    mungu akuzidishiee🙏

  • @hamdounkhamis9542
    @hamdounkhamis9542 7 років тому +18

    wasio waislamu wanaumiaaa wakiitwa makafiri lakini wanayofanya ni machafu mungu kapatia kweli kuwapa jina hilo... makafiri mupooo??

    • @elizabethgiven8363
      @elizabethgiven8363 6 років тому +1

      Hamdoun Khamis kafili baba yko kamuingilia mama yako bila kuomba dua ndiomana ukazalia ww ucye jielewa

    • @michaelvincent6252
      @michaelvincent6252 5 років тому

      Hayo mafundisho ya kupokezana Hayapo kwenye bibilia takatifu ndio kitabu cha kwanza soma wakolosai 2:8

    • @msafiriaugustino2957
      @msafiriaugustino2957 5 років тому

      hawa ndio wanaowakosesha

    • @salehkhalfan2787
      @salehkhalfan2787 5 років тому +1

      Ndgu yng Hamdoun naona wamejitokeza wenyew

    • @youngthug604
      @youngthug604 5 років тому

      Kama ww ostaz na uku unazin na kufila mkeo au awala utamuitaj kafili au shetan mchezo wa kuflan unaupenda sana je nyinyi 2waitaje

  • @khalfanhamisi4218
    @khalfanhamisi4218 6 років тому +6

    aslmalkm ndngu waislam ??? InshaAllahh !!!.......

  • @kadilisaidi9807
    @kadilisaidi9807 5 років тому +3

    Ma sha Allah

  • @Julia-gm1wh
    @Julia-gm1wh 6 років тому

    Yesu n Mungu sababu yesu akasema yeye yu ndani ya Mungu na Mungu yu ndani ya Mungu so iko wazi unapotaja Mungu umetaja yesu na unapotaja yesu umetaja Mungu

  • @simbayahe4960
    @simbayahe4960 5 років тому +3

    Maxhalllah

  • @shabanikizulege1495
    @shabanikizulege1495 3 роки тому

    wachamungu wa kweli awatouzunika wala awatokuwa na hofu mbele ya Mungu

  • @elizabethgiven8363
    @elizabethgiven8363 6 років тому +1

    Mwenyez mungu ali huumba ulimwngu kwa siku saba ila siku ya saba akapumzika nyinyi waislamu kila siku munamuomba Mungu mnachokiomba nn kama siunafiki .miskitin kwenu kumejaa unafki ndio mana ata kuswali kwenu mnatenganishwa na wnawake wakihinama mtawatamani mtashindwa kuswali kwkua mtume wnu muhamadi alikua anatamaha

    • @mhogomchungu7168
      @mhogomchungu7168 6 років тому +1

      anaepumzika huwa ni mwenye kuchoka, na M/Mungu Mtukufu alietakasika hana sifa ya udhaifu ya kuchoka

    • @khamisally5788
      @khamisally5788 5 років тому

      Elizabeth Given ndio maana nyie mnagongana kabisa kanisani au sio hongera

    • @khamisjuma6175
      @khamisjuma6175 5 років тому +1

      Cc ktk kusali ha2jaambiwa cku gn 2pumzike ila kwa mwanamke aliye maadhura. Ucjali Eliza mm nakuombea usilimu ili ujue utamu wa uislam na qur ani. Najua saivi itakuwa ngm kwako lkn kadri ukickiliza km haya bac ndo unakaribia kuwa muislam. Kl la kheri Eliza.

    • @hp3202
      @hp3202 5 років тому

      Unafiki na uislam ni vitu viwili tofaut ambavyo havilingani. Kuhusu kusali kila siku ni kuzidisha iman ya ucha Mungu kwa sabb bnaadamu Ana sifa ya kujisahau na kutenda dhambi, unaposali kila siku moyo unalainika na kujutia kufanya maovu, yeyote anaeidumisha swala hakika yeye atapata ucha Mungu moyoni mwake. Hem wewe jiulize kwa nini kila siku unakula na kunywa? Jibu uko nalo. Basi huo ndio mfano wa moyo kadri unavoukurubisha kufanya ibada ndio unazidi kusafika na kuimarika kiimani lkn ukikaa tu Bila ibada imani inapunguwa na makosa yanazidi kuongezeka.

    • @missfa4650
      @missfa4650 5 років тому

      Mungu hacoki weweee aca kukufuru..kasome kwanza

  • @hassanmakoye1264
    @hassanmakoye1264 5 років тому +1

    Shekhe mazinge uko vizur

  • @khalfanhamisi4218
    @khalfanhamisi4218 6 років тому +1

    Allah Akbar' Allah Akbar ' Allah Akbar!!!.......

  • @minaminaa1669
    @minaminaa1669 6 років тому +1

    Takbirrrr Allahu Akbar

  • @yahayab4u614
    @yahayab4u614 4 роки тому

    Makafiri ni shidaaa

  • @mira-gq3qg
    @mira-gq3qg 6 років тому +2

    Takbiiiiiir

  • @munainjiru7983
    @munainjiru7983 5 років тому

    Mbado tu kumbatiswa mazinge uokoke masinge coz ndio njia zake yesu kiboko

  • @hassansalum8496
    @hassansalum8496 7 років тому +9

    Subhan'Allah

  • @rukiyarukiya8005
    @rukiyarukiya8005 3 роки тому

    Allah Akbar

  • @rafamiliyaarafamiliyaa4702
    @rafamiliyaarafamiliyaa4702 5 років тому

    thank you mzinge

  • @jibrilali2678
    @jibrilali2678 9 років тому +3

    Mashaallah

  • @mwakakhamis5762
    @mwakakhamis5762 5 років тому +1

    Msiba jamani waislamu 70 wengi innalillahi wa inna ilahi rajiuuni.

  • @rafamiliyaarafamiliyaa4702
    @rafamiliyaarafamiliyaa4702 5 років тому

    kwel mzinge toa aay

  • @youngthug604
    @youngthug604 5 років тому +1

    Mjomba MTO unakusubili unaleta maigizo wakat dini ya kweli niele yenye kupenda amri kumi za mungu usiuwe usizin usisem uongo vote muna vifanya usitaman Mali isiyokua yako mm naona magaid wengi ndio wanaojifanya wanajua dini mchezo ya kuomban jicho sio mzury na nizambi kubwa akika wote moto

    • @lilianjoshua1407
      @lilianjoshua1407 4 роки тому

      Kwanza tu kusujudia kaba kule macca ni kufuru tosha, maana huyo ndie Mungu wao. Kwann wafanye ibada kuelekea kile kijumba?

    • @saidasaidjuma3505
      @saidasaidjuma3505 3 роки тому

      @@lilianjoshua1407 .........ile ni alkaabh nyumb tukuf ya Allah ...sasa we endelea kuabud picha ya yule muigizaj wa kweny sanam yenu....endelea na ubish wako Allah akujaalie mwenye kufaham

  • @francisoyoo5012
    @francisoyoo5012 9 років тому +2

    sema ndugu zako wakristu sio wakafiri mazinge damu ni nzito kuliko maji na ndugu wakuzaliwa atabaki ndugu hadi kiama

    • @swalehengondae6418
      @swalehengondae6418 7 років тому

      inshaaalawh ustadhi wetu mazinge mungu awabariki sana kwa kazi hii ya Allah awalipe kila lakheri amiiin

    • @tatu1232
      @tatu1232 6 років тому

      Masha Allah shehewangu

    • @tatu1232
      @tatu1232 6 років тому

      Allah akulipe dunia na hrera

    • @winnieopondo3001
      @winnieopondo3001 6 років тому

      mungu hachunguziki akili zake waongea upuuzi mtupu wajifanya wajua na hujui lolote kuhusu yesu kristo

    • @winnieopondo3001
      @winnieopondo3001 6 років тому

      hata mtumie mbinu gani kuangamiza ukristo hamtaweza ukrito utaendelea

  • @fatumaabdhul8620
    @fatumaabdhul8620 3 роки тому

    MASHALLAH

  • @jesusnetworkministry
    @jesusnetworkministry 5 років тому

    Yesu ni Mungu wako wewe Mazinge

    • @eliudidamasi514
      @eliudidamasi514 5 років тому

      Emmanuel Julius yesu ana uungu gan?

    • @lilianjoshua1407
      @lilianjoshua1407 4 роки тому

      @@eliudidamasi514 wa kushangaza sana, utafute utaujua

  • @dottomarko6213
    @dottomarko6213 5 років тому +1

    Yaan mnauzi sana nyie nibac2

  • @saitotisapiyo7167
    @saitotisapiyo7167 5 років тому

    Mazinge ubishe usi bishe yesu ni Mungu kuja na iyo Quran na Mimi nakuja na bibilia.

    • @suleymanosman69
      @suleymanosman69 5 років тому

      Saitoti enda soma bibilia vizuru yesu si mungu

    • @saitotisapiyo7167
      @saitotisapiyo7167 5 років тому

      @@suleymanosman69 yesu ni Mungu Mimi na wewe Nani ana faa asome bible vizuri. Wasilamu muna ubishi wakati bibilia iko wazi.

    • @suleymanosman69
      @suleymanosman69 5 років тому

      @@saitotisapiyo7167 ziko verses za bibilia mingi tu ambazo zinakanusha

    • @saitotisapiyo7167
      @saitotisapiyo7167 5 років тому

      @@suleymanosman69 hahaha kweli nyinyi munafa maombi na kufundishuwa.

    • @alphanisuleman6979
      @alphanisuleman6979 4 роки тому

      Hujaeleweka hoja yako

  • @marcntwari4012
    @marcntwari4012 5 років тому

    Sheikh zako.

  • @rubbenndege4379
    @rubbenndege4379 5 років тому +1

    Mtume alikua na tabia mzuri kuoa mtot wa miaka sita mbona ninyi hamuoi

    • @ameirzapy1318
      @ameirzapy1318 5 років тому

      Rubben ndege ndio kaoa, vibaya ?

    • @ibrahmsafiry1575
      @ibrahmsafiry1575 5 років тому

      Rubben ndege we unaowa kumfata nan yesu aliowa

    • @rubbenndege4379
      @rubbenndege4379 5 років тому

      @@ibrahmsafiry1575 akili zako fupi ka umeme wa luku wapi yesu alisema watu wasiowe

    • @shabanikasele8071
      @shabanikasele8071 5 років тому

      @@rubbenndege4379 swali hujajibu waislam wanaoa kwakua mtume alioa je nyinyi mnaoa kufuata nani

    • @twahanassoro7610
      @twahanassoro7610 5 років тому

      Kwetu sie dini tu