UST. HABIB OTHMAN MAZINGE | MZEE YUSUF NAKUDAI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 вер 2024
  • #mazinge #mzeeyusuph #deni #islam
    Ust. habib othman mazinge amlipua mzee yusuf kuhusu deni lake utalilipa tu
    Don't forget to SUBSCRIBE | COMMENT | LIKE | SHARE

КОМЕНТАРІ • 42

  • @adamonvitapitanvitapita4891
    @adamonvitapitanvitapita4891 3 роки тому +7

    Usthaz wangu ninaomba mola Mungu aliye nhayuwa mbuingu saba, akuzidichie rehema.insha Allah

  • @khamismohd8616
    @khamismohd8616 3 роки тому +4

    Hata mm nampenda sheikh mazinge Kwaajili ya Allah

  • @johombu9302
    @johombu9302 3 роки тому +7

    mwenzi mungu akupe maisha marefu sheikh weyu

  • @frediricknandonde1690
    @frediricknandonde1690 3 роки тому +7

    Mazinge nampenda sana aisee 🙏🙏

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079
    @nooraallahuakibarumwenyeez3079 3 роки тому +3

    Jamani mm nacheka huyu shekhe nampenda san anajiamini haogopi mazinge ndiyo ndiyo tiba ya makafiri wanasilimu san Allah amhifadhi na akawe na mtume jannatu fridauthi

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 3 роки тому +4

    Allah akupe umri mrefu
    IN shllh

  • @AhmadHanbal-tr4gi
    @AhmadHanbal-tr4gi 3 місяці тому

    Mancha'allah sheik wetu Habib llah Allah akupe kila lakheri

  • @mohamedhaji2200
    @mohamedhaji2200 3 роки тому +4

    Dunia inamhadaa Mzee yussuf. Kutaka maisha mazuri ndio maana anahangaika tu mara sheikh, mara taarab. Mtihani wallah

    • @hamisimfaumenamwewe193
      @hamisimfaumenamwewe193 3 роки тому

      Watu wa Bidaa hawana lolote. Huyu mzee comedy sana.

    • @mohamedhaji2200
      @mohamedhaji2200 3 роки тому +1

      @@hamisimfaumenamwewe193 Bidaa yake lakini iliwaingiza wengi kwenye dini ya uislamu. Ww umeufanyia nini uislamu badala ya kusema tu " bidaa" bidaa

    • @hamisimfaumenamwewe193
      @hamisimfaumenamwewe193 3 роки тому

      @Yphware HCo Zaidi ya 10. hao wakina mazinge ze comedi Tawheed hawana. Ndo mana wana sifa za kijinga sama

    • @hamisimfaumenamwewe193
      @hamisimfaumenamwewe193 3 роки тому

      @Yphware HCo Masalafi utawafananisha nao hao mashoga wanyoa ndevu na kuburuza suruali.

  • @mohamedhaji2200
    @mohamedhaji2200 3 роки тому +3

    Lazima Sheikh Mazinge uwe na hasira na mzee yusuf, alituhadaa

  • @yahyamaulana7791
    @yahyamaulana7791 2 роки тому

    Mazinge fanya kazi ya mungu acha kujisifia mbele ya hadhra. Na kama ulivyo fanya kazi ya mungu ukiondoka mungu ataleta wengene wafanye kazi. Uislamu hautegemei mtu maalumu

  • @jumamitamba6029
    @jumamitamba6029 3 роки тому +3

    Mwezi mungu akupemaishamalefu malim

  • @issmuking3987
    @issmuking3987 3 роки тому +2

    Allah mpe kila la kheir mazinge na wahadhir woote wanaoutangaza uislamu Allah wape nguvu na mapenz ya kumpenda Allah

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule5312 3 роки тому +3

    Hahaha mzee yusufu kweliibiris

  • @magichand7482
    @magichand7482 2 роки тому +1

    Mashallah

  • @mohamedhaji2200
    @mohamedhaji2200 3 роки тому +3

    Njaa tu inamtafuna mzee yussuf, dunia tu

  • @MohamedTuga-dn9su
    @MohamedTuga-dn9su Рік тому

    Mashaalhah

  • @agiasaidi5294
    @agiasaidi5294 3 роки тому +1

    MASHAALLAH, MASHAALLAH, MASHAALLAH

  • @muhammadmuhaznun380
    @muhammadmuhaznun380 2 роки тому +1

    Mazinge unanifurahishaga Sana....😂😂😂😂😂😂

  • @xinyingmiao4996
    @xinyingmiao4996 3 роки тому +1

    we mzee kwnn unawabagua wengine unawaita makafiri hii cyo unakosea

    • @user-bt1nc1pd7x
      @user-bt1nc1pd7x 6 місяців тому +1

      Kama kafir acha aitwe kafir na kafir ni mtu asiye na dini na dini ni moja2 ambayo ni uislam sawaaa ww

    • @AhmadHanbal-tr4gi
      @AhmadHanbal-tr4gi 3 місяці тому

      Bliblia ndo inawaita makafiri

  • @amossamwel2266
    @amossamwel2266 3 роки тому +2

    Tatizo la shekhe mazinge mtu akipotea kwenye dini au akiasi badala ya kumuombea arudi kundini lakini kwann yy anawahukumu maana kagoma hata kumuombea dua, pia anagalia kwa afande sele alaivyotoa hukumu kiukweli dini haitakiwi kuwa hivyo mtu akipotea inabidi aombewe arudi kwenye mstari ulionyooka ss huyu mazinge ana hukumu sio vizuri hivyo

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 2 роки тому +1

      Acha kutetea ujinga. Yy aliitangazia dunia anarudi kwa M'mungu. Napia aliwafata kina mazinge was hanging lzm waseme hivyo masheikh.

  • @gaudenciavedastus4997
    @gaudenciavedastus4997 2 роки тому

    Kipozo

  • @remigimtenga7608
    @remigimtenga7608 2 роки тому

    Mzee acha kudanganya watu.
    Mwamini Yesu Kristo la sivyo utapotea.

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 3 роки тому +1

    Mzee Yusuf piga kazi,ucsubiri sadaka,wote wakisema 2cimbe,ndani aimbe ss? Hao vyangu madoa huwaoni?shoga huwaoni? Yusuf ndo mmeuona? Mpirani wakitoa hela zakuuma,wazitaka,? Ulifika kwa Allah ndo kakuambia wakristo wataenda Motoni? Ungeimba taarabu ungepata mamillio.

  • @kauthali2151
    @kauthali2151 2 роки тому

    Mashallah