Amina masanja umetuwakilisha wengi kweli kabisa mheshimiwa alihangalie Hilo Hali sio nzuri ukisema proses ni ndefu Sana mziki wa injili unazidi kudidimia Sana walihangalie hili mungu atawabariki
kweliii kbsaaa kaka masanjaa hapo umenena bla uwoga niambie nikija dar nikuleteee mbuzi ya yakulaa namama kwrliii kbsaa nmm mwnjilist Lucas Robart pya ni mwimbaji wa nyimbo za injli
Yesu ni bwana mwombe basi wakamatishe wezi wako mwombe pia wezi wasibe kaz zako kisha utafaham uwezo wake kumbuka pia alisema baba yake mkubwa kuliko yeye hawez fanya jambo pasipo yeye na wala alio sema sio yake bali katumwa jibu nadhan unalo
Yaan Masanja Mwenyezi Mungu alikupa kipaji cha uchekeshaji Mungu akubariki sana
aiseee nashukuru Mungu kwa ujasiri kaka yangu au Mtumishi Masanja kwa kuongea vitu vya Msingi kabisa wala ujakosea SIFA kwa MUNGU
Amina masanja umetuwakilisha wengi kweli kabisa mheshimiwa alihangalie Hilo Hali sio nzuri ukisema proses ni ndefu Sana mziki wa injili unazidi kudidimia Sana walihangalie hili mungu atawabariki
Good
Mungu amekupa kibari cha kutumika ktk kizazi hiki... Tumika mtumishi ujiwekee hazina mbele za Mungu.
barikiwa sana
Masanja unajua kupangilia point. Ubarikiwe
Your right masanja
Ukiwa mbele ya mhe,ongea toa KERO yako si kupongeza pongeza TU wkt unashida
Hongera masanja w Unaweza 😀😀😀😀
Safi sana mtumishi
I am big fan of ur preaching i always check u in u tube may God bless u
Da asante sana kwa kutusemea na sisi MTUMISHI.
very good masanja
unamafeeling yako unaenda unaburst unaondoka na CD yako mtaani fresh😀😀😀
Maasanja 👆 uko vizuri, atakuwa amekelewa.
Wow
Amina masanja umesema kweli naamini ameelewa
hongela mchungaji Masanja kwamahubili mazuli kakangu
Sawa mtumishi wa Mungu... Masanja mkandamizaji.
more grace masanja...
Kuusu Studio. Mwakyembe akamuulize Said Fella. Anajua maali Studio ilipo.
Ameni
Yaani hiyo studio cjuinhata iko wap, sanaa imeanza kukua saizi kwa sababu saizi imekua biashara
Hongera kaka masanja , uki vuzuri
Well Said Brother
kweliii kbsaaa kaka masanjaa hapo umenena bla uwoga niambie nikija dar nikuleteee mbuzi ya yakulaa namama kwrliii kbsaa nmm mwnjilist Lucas Robart pya ni mwimbaji wa nyimbo za injli
Masanja katema nondo zenye cheche Nimemkubari sana
daniel severino
Kaka mimi naomba mimi udance namba angu hii kaka nisaidie0712147125
Safi sana umeongea vizuri sana
Hongera...sana
Yaliongelewa 2017 leo ni 2019
duh hongera
x
Umenena vema, Ndugu Masanja, Hilo la usajili nikweli liangaliwe kwa umakini.
Kwelii kabisa mtumishi
Matokeo nikoraus
God bless you all
Masanja kaongea point sana
Wakisema huna phd ya darasani mm nasema wewe mungu kakutunuku, umeongea mazito sana
Kwel kabisa
Seif Muhammad
Message send and delivery!
Yohana 17:25
KUTOKA 14:14.
Shkamoo Masanja
songa mbele ndani ya yesu
Kwel masanja
Point tupu blessed masanja
Huyo ndo Masanja
👆
Hapo mti mmbichi ndipo nimekuelewa sana.....
Hahaha always funny!
Hahha kama umesikia pana hericopta ya Kupak helicopta gonga like
Kipaji unacho mzee Baba
Jo
ti
Sitivu nyelele
hapo kweli masnja umenena
Paka sasa ivi ni kesi moja tu nimeisikia ila sidhani kama wamelipwa..
Jackson Nyaki b
nakubl
Masanja ukibiwa na wewe mwizi mziki unatakiwa mwalipe maproducer kwanza umezi kuanda chakula cha bwana uku mwadahaji hayupo vizuri
Masanja umeongea ukweli
Duuh... Huyu jamaaa kila anapoongea baada ya muda lazima ucheke
masanja kaongea vitu vikubwa
Kwakweli bora kasema mana ilikua inaniuma Sana hakuna uhuru wa miziki wa gospel Hawapewi kipao mbele kabisa
UPO SAHIHI MASANJA KABISA
safi
Masanja unajua kuongea
hahaaha
😀😀😀😀😀
unamafilling yako unaenda unabust unatembea voko yako mtaani
√
Masanja nimekukubaki ukivyo onhea hapo kwenye swala LA usajili
Yesu ni bwana mwombe basi wakamatishe wezi wako mwombe pia wezi wasibe kaz zako kisha utafaham uwezo wake kumbuka pia alisema baba yake mkubwa kuliko yeye hawez fanya jambo pasipo yeye na wala alio sema sio yake bali katumwa jibu nadhan unalo
Pst Emanuel mgaya
Umesema vyema kabisa Mungu akubariki Sana
Amen
Amen