Shangazi nakupenda sana na kwa moyo wa dhati Si kimahusiano, maana hili li nchi 90% hatumiii ubongo ( kichwani) kutafakari, tumenyoshwa maji ya chooni,,m c.c 😊😊 uokoo very bright shangazi
Pole sana wifi yangu Fatma ,tunepotezana lkn nitakutafuta inshaallah,kuhusu ndoa rizki inshaisha tumuachie Allah japo kipindi kile Cha harakati zako kiilikua kigumu sana kwako na nilikua nahofia sana Hilo cos mwanamke ukiwa unapambana Kwa ujasiri mkubwa kiasi kile,wanaume zetu hua hawaelewi,Kuna maisha mengine baada.ya mapambano na simanzi. Enjoy the moment my love
Acha kutetea ujinga hakuna mwanaume anaeweza kuishi na mwanamke mwenye mota mdomoni anajua kila kitu, jitu lina miaka 60 linaongea kama binti wa miaka 20
Shangazi hongera sana unafaa kuwa kiongozi wa ngaxi za juu nchini.Nakupenda sana kwa ujasili ulionao ni kipaji .Mungu akubariki sana uko vizuri saaaaana.Ungekuwa waziri mkuu hata urais unauweza hata ujaji mkuuu unauweza.Barikiwa sana.
Kwenye suala la lugha watu wengi mnachanganya. Fatma ni muongeaji wa lugha zote yaani kiswahili na kingereza. Kinachotokea ni akiongea anajikuta anachanganya na ni kwasababu lugha zote kazoe kuziongea kwenye maisha ya kawaida. Kwaio si vyema kumhukumu kana kwamba anajifanya hajui kiswahili. Anakijua ila kuna mazoea. Me binafsi siwez kuongea kiswahili fasaha lazima kuna maneno ntaingizia ya mtaani kwasababu ya mazoea yangu pia.
Ni huzuni sana kuona mtoto kama huyu unavomuona sasaiv alivyovaa na kuweka makucha, manywele uchavu tu, kuwa katoka ktk familia tunaambiwa ya kiislam, kwa kweli msiba
Shajara mtangazaji wangu pendwa kila siku unani surprise I like the way you control the show. Maswali unavyo Uliza alafu unagawa nafasi ya majibu. Fatma mbona hajui Kiswahili vizuri Tena ni mzenji OG? That’s terrible 😮 but all in all this is good interview much love ❤️
Asante kwa kushea. Mimi mchango wangu kwa Watanzania wengi wenye kujenga chuki kwa watu = haters. Mchukie mtu kwa vitendo vibaya alivyofanya na sio maneno aliyosema. Wazungu husema “actions speak louder than words”. Vitendo vina nguvu zaidi ya maneno kwahio tusichukiane bure ni mambo ya kijinga
Kipimo chako cha uwezo ni kipi n wangapi unaowajua walioko huko court ambao uwezo wao ni mdogo? She is talking much of her personal life ila inakutosha kumpa ujaji? Things never taken that way aisee. Nyie ndio mnasema lissu ni mwanasheria Bora kuliko wote ikiwa mmemuona kwenye majukwaa ya siasa na sio kwenye podium of practices stop those mediocrity thoughts.
@@sultansallah8772wabongo wanaelewa zanzibar n nchi yenye kabila la wapemba. Wapemba ni kabila kutoka zanzibar hivo ndio wanavoelewa yani neno unguja kwa bara hawalielewi
Shangazi nakupenda natamani uwe mke wangu sijali umri sijali elimu bali nakuhitaji niwe nawe ktk utetezi wawatu, mi naishi moshi karibu. Mimi ckuachi na tutaendesha kazi zetu kama kawaida.
My advice to Fatma, kubali siku moja kuongea lugha unayoifahamu ili maneno ya changamke nina hakika unamazuri ya kueleza. Halafu jitahidi kujifundisha kiswahili tukutane tena hapo baadaye🎉
Na akiongea mpka mizizi ya shingo imtoke anatumia nguvu sana hlfu sidhni kma hajui kiswahili ila ana pritend tu hao watoto tulowazaa ulaya wanaongea kiswahili kizuri tu
Mmmm jamani nafikiri ni mtazamo tu ,mie nimekuwa kwetu wafanyakazi 2 lakini nikiwa na Miata 4-5 nlikuwa nafanya KAZI kulingana na umri wangu na hata kukorogo uji ,kufua sox , kufua NGUo za ndani , kufagia nlifanya haswaaaa so siyo kuwa WANAFANYA Kwa sababu ya shida za WAZAZI ila ni WAZAZI wanamtazamo gani Kwa watoto WAO na wanataka kutengeneza mtoto wa aina gani
@SafiaOmar Bora umwambie ww, hao kwao niwazanzibari lkn wamelelewa kizungu, na Ivo alivo ndoivo Ivo kwao kizungu zungu TU mpak mavazi mpaka mama Yao yupo Ivo Ivo mavazi yake.
@@nahlahassan-fd6le kulelewa kizungu ndio unatupa na lugha yako? Mbona wazungu wenyewe wanajifunza na kuongea Kiswahili? Nani amewadanganya na kiswaglish
Watu waliokulia nje au waliosoma shule za international huwa wanakawaida ya kuchanganya lugha. Fatma ni very bright na brave at the same time. Jaribu kuangalia mazingila aliyokulia alafu utamuelewa vizuri kabisa. Mimi personally nimekulia U.S. toka na miaka 13. Ulimi wangu unakua mzito napoongea Kiswahili kwa sababu si lugha ninayotumia sana. Kwa hiyo najikuta tu nachanganya Kiswahili na Kingereza.
Siyo shangazi yangu.Ana kasumba ya wazungu sa n a A n achanganya kuswahili na kiingereza sa n a h ata 5:185:20 simuelewi japo nimesoma sana kama yeye au labda zaidi.Acha kuongea kiingereza wakati unaongea n a waswahili😅😅
Kwenye suala la lugha watu wengi mnachanganya. Fatma ni muongeaji wa lugha zote yaani kiswahili na kingereza. Kinachotokea ni akiongea anajikuta anachanganya na ni kwasababu ya mazoea. Kwaio si vyema kumhukumu kana kwamba anajifanya hajui kiswahili. Anakijua ila kuna lugha ya mazoea. Me binafsi siwez kuongea kiswahili fasaha lazima kuna maneno ntaingizia ya mtaani kwasababu ya mazoea yangu pia.
Shangazi nakupenda sana na kwa moyo wa dhati
Si kimahusiano, maana hili li nchi 90% hatumiii ubongo ( kichwani) kutafakari, tumenyoshwa maji ya chooni,,m c.c 😊😊 uokoo very bright shangazi
My favorite female politician in tanzania
nimeipenda hii interview.sijawahi kumsikiliza ktk maisha nje ya kazi.nimemuelewa fatma huwa anaishi yeye kaka yeye sio kwa ajili ya .
Pole sana wifi yangu Fatma ,tunepotezana lkn nitakutafuta inshaallah,kuhusu ndoa rizki inshaisha tumuachie Allah japo kipindi kile Cha harakati zako kiilikua kigumu sana kwako na nilikua nahofia sana Hilo cos mwanamke ukiwa unapambana Kwa ujasiri mkubwa kiasi kile,wanaume zetu hua hawaelewi,Kuna maisha mengine baada.ya mapambano na simanzi. Enjoy the moment my love
Acha kutetea ujinga hakuna mwanaume anaeweza kuishi na mwanamke mwenye mota mdomoni anajua kila kitu, jitu lina miaka 60 linaongea kama binti wa miaka 20
Fatma umejibu vizuri sana na you are a down to earth person but with principles. Keep it up my dear
Mashaa Allah Subhannallah nimefurahi sana video hii.
❤❤❤❤❤❤love hivi ndivyo tulivyo Akina FATMA
Nakupenda sana fatuma
Shangazi hongera sana unafaa kuwa kiongozi wa ngaxi za juu nchini.Nakupenda sana kwa ujasili ulionao ni kipaji .Mungu akubariki sana uko vizuri saaaaana.Ungekuwa waziri mkuu hata urais unauweza hata ujaji mkuuu unauweza.Barikiwa sana.
Nampenda sana huyu dada jasiri mkweli mtu wa haki
Kwenye suala la lugha watu wengi mnachanganya. Fatma ni muongeaji wa lugha zote yaani kiswahili na kingereza. Kinachotokea ni akiongea anajikuta anachanganya na ni kwasababu lugha zote kazoe kuziongea kwenye maisha ya kawaida. Kwaio si vyema kumhukumu kana kwamba anajifanya hajui kiswahili. Anakijua ila kuna mazoea. Me binafsi siwez kuongea kiswahili fasaha lazima kuna maneno ntaingizia ya mtaani kwasababu ya mazoea yangu pia.
Usomi kweli unaharibu na kubadilisha maadili ya dini yetu ,inna lillahi wainna ilahi rajiuuwun.
Ni huzuni sana kuona mtoto kama huyu unavomuona sasaiv alivyovaa na kuweka makucha, manywele uchavu tu, kuwa katoka ktk familia tunaambiwa ya kiislam, kwa kweli msiba
Anakaa uchi tu
Wasomi ni kama mbwa tu
labda HII KUKAA UCHI NDIO MOJA YA MATUNDA YA MAPIDUZI
Moja ya wanawake makini sana katika taifa hili
Shajara mtangazaji wangu pendwa kila siku unani surprise I like the way you control the show. Maswali unavyo Uliza alafu unagawa nafasi ya majibu. Fatma mbona hajui Kiswahili vizuri Tena ni mzenji OG? That’s terrible 😮 but all in all this is good interview much love ❤️
Ameishi sn njee dats the problem
Hakuna mwanaume ataweza mvumilia mwehu kama Fatma Karume
Mwehu kama babu yake
Huyu dada si.ndo.aliifedhehesha.Tanzania kumbe nae.Mungu alimfadhaisha huyu.dada alitetea sana ushoga
Very proud of her...May God Aways Bless Her..Ameen!
Pole usihuzunikee mwamwini Allah yeye ndie mpangaji
nàmpenda sana Fatma Karume anaakili mnoooooo😘
Asante kwa kushea. Mimi mchango wangu kwa Watanzania wengi wenye kujenga chuki kwa watu = haters. Mchukie mtu kwa vitendo vibaya alivyofanya na sio maneno aliyosema. Wazungu husema “actions speak louder than words”. Vitendo vina nguvu zaidi ya maneno kwahio tusichukiane bure ni mambo ya kijinga
Intelligent and gorgeous woman
Shangazi wa Taifa soo beautiful
Walah nampenda sana Fatma. Mungu ampe uzima mwingi na mengi ya heri
The one thing she is real not fake
Mshangazi Una Mguu Bi fatmaa😅❤
Mashaallah ❤Unamwili nzuri sana mungu akuweke amiin 🤲❤️
Ila anakaa uchi Mbele ya Mataifa
This shangazi is so intelligent, she should be a judge in the Supreme Court. Walioko huko hawamfikii huyu mama!
Kwenye haya mahojiani kuna kipi kipya kuwa yuko juu?
Kipimo chako cha uwezo ni kipi n wangapi unaowajua walioko huko court ambao uwezo wao ni mdogo? She is talking much of her personal life ila inakutosha kumpa ujaji? Things never taken that way aisee. Nyie ndio mnasema lissu ni mwanasheria Bora kuliko wote ikiwa mmemuona kwenye majukwaa ya siasa na sio kwenye podium of practices stop those mediocrity thoughts.
Kwa kipi?
@@fahadfaraj6474 kweli kabisa
@@fahadfaraj6474Ni kweli ila kwa Lissu rekodi zake ziko wazi nay be una personal conflicts na yeye. Just saying...
My good presenter
Unamkumbuka teacher khadija mgangazija anakaa kiswandui
God is good
Nampenda sana Shangazi Fatma,ana akili sana na ni mwanamke wa shoka.Mungu ampe maisha marefu.
Nampenda sana nataman kumuoa jaman
Mpitie na kwangu wapenzi ❤
Shangazi ❤❤❤❤❤❤ ni mmoja tu! Naye ni madam Fatma🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Mswahili Mzungu
❤❤❤Asalam alaiqm Warahmatulah wabarakatu allah kariim
Mwanaume ndiyo anaowa na mwanaume ndiyo anaacha true shangaz nakuelewaga sana hauna baya
Naomba kufahamu lugha Rasmi ya haya mahojiano! Kuna sehemu hatuelewi
Anajifafanya hjui kiswahili😂😂😂😂
Aunt tuma❤
Ndoa sio kifungo jamani.... yanini kufia kwenye hamna 😂... Wala huyo sio wa kwanza kuachika .....shangazi anazeeka na urembo wake!!
Da Fatma nakupenda. Nitafute tuwe marafiki.
Acha songombingo
Shangazi hapo kwa Nadia Suala la Muungano, lizingatiwe Wapemba🎉🎉🎉🎉 Mnauma meno Sana..wepesi kidogooo ❤❤❤❤❤ Mama Mkwe. Kama mama Mkwee
Kwani umeambiwa mpemba
@@sultansallah8772wabongo wanaelewa zanzibar n nchi yenye kabila la wapemba. Wapemba ni kabila kutoka zanzibar hivo ndio wanavoelewa yani neno unguja kwa bara hawalielewi
Binadamu hawana jema, inasikitisha baadhi yenu kutoa maneno ya kuudhi wakati una uhuru wa kumsikiliza au ukaacha!
Shangazi nakupenda natamani uwe mke wangu sijali umri sijali elimu bali nakuhitaji niwe nawe ktk utetezi wawatu, mi naishi moshi karibu. Mimi ckuachi na tutaendesha kazi zetu kama kawaida.
Hahahahah wabongo mnataka maokoto 2 ushamjua anatokea katika Royal family unataka utelezi hahahahha hongera kaka
Pole sana bi Fatma, wewe ni mzungu mzanzibari
😂😂😢
From USA Jamani mimi sio mtazania ila uwa napenda sana shangazii fatma karume alafu ana akili sana
watanganyika mnapenda kutukana wanawake na kunyanyasa wanawake angalia mnavyomtukana shngz
Fungu la kukosa hao na si watanzania wote
I love fatma
My advice to Fatma, kubali siku moja kuongea lugha unayoifahamu ili maneno ya changamke nina hakika unamazuri ya kueleza. Halafu jitahidi kujifundisha kiswahili tukutane tena hapo baadaye🎉
Shangazi Kiswahili anakijua vizuri ila ndio kujifanyisha sijui, usome shule ya Msingi Unguja ukose kujua Kiswahili?
Mmmh wewe mbona unachanganya Lughq
Mtu anayejifanyisha hujulikana tu@@darajalakidatukilomgi2362
Na akiongea mpka mizizi ya shingo imtoke anatumia nguvu sana hlfu sidhni kma hajui kiswahili ila ana pritend tu hao watoto tulowazaa ulaya wanaongea kiswahili kizuri tu
Hajui “SAFE” kwa Kiswahili, this is biggest pretending….LAZIMA BWANA AKIMBIE
Huyu mama Fatma ,anaonyesha anauchungu moyoni
Kweli anaonesha
I love you Fatuma,my sis....you are heroine!
Nakupenda shangazi nikueke nyumbani tuzae na unifundishe sheria
😂😂😂😂😂
Alokupa Jina saluti kwakwe
Fatma kweli inasikitusha kuwa kiswahili hujui na ni aibu sana .Kiswangereza wengi hawakuelewi .kwa sababu hawajui kiingereza.😢😢
Lretending
wanawake wengi wanasheria wanajifanyaga wana harakati so wanaletaga uharakati kwenye ndoa hivyo sio rahisi kudumu kwenye ndoa
💯%🤝
Hili limenikuta mimi
Mmmm jamani nafikiri ni mtazamo tu ,mie nimekuwa kwetu wafanyakazi 2 lakini nikiwa na Miata 4-5 nlikuwa nafanya KAZI kulingana na umri wangu na hata kukorogo uji ,kufua sox , kufua NGUo za ndani , kufagia nlifanya haswaaaa so siyo kuwa WANAFANYA Kwa sababu ya shida za WAZAZI ila ni WAZAZI wanamtazamo gani Kwa watoto WAO na wanataka kutengeneza mtoto wa aina gani
Mtoto wa miaka 5 akoroge uji jikoni???!
@@annethomas7520 NDUGU ukishangaa ya Musa ......... ? UNADHANGAA MIAKA 5 ? Hongera mpendwa , isogelee JAMII UTAONA mengi
Kumbe Fatuma ni mtu mzima sana!!!! Kinachonishangaza ni Fatuma kuzaliwa Zanzibar, kusomea Zanzibar na kujifanya hajui kiswahili ajabu sana!!!!!!
Love you wajina
Hacheni matusi,kama nia yenu ni kumtukana mtafuteni kwa wakati wenu,unayrtaka Fatma akufindishe sheria,nenda shule ukasome.
Acheni chuki na hasada aliyepewa kapewa mola ndie amemueka hapo achenichoyo
Ila watu why are you so bothered na maisha ya wengine mpaka mnatoa kashfa 😮😮😮 watu hawalingani wala kufanana jamani, na wala hakuna mkamilifu 😮😮
Kumbe sawa sawa na mimi 1969
Topo wote
I just love her
Approach her
Jamani eeh..! Mimi sina mke. Namtaka huyo dada ...!
Bifatma sasa ubadilke uache maadili uliokuwa nayo sasa na ufuate madili nasheria ya kiislam maisha aya ni ya mpito to
umependeza sana n km ulivyosema kuwa kujitizama na kufurahi ulichokuwa nacho hakuna kitu km furaha ya nafsi umebadilika sana
❤naomba nambazake
Mm namtaka huyo Aje nimuoe chaap..
Ila bado mtamu mbona
Napendezwa na kz yake ila ninachukizwa na tabia ya kuzungumza Kiswenglish japo Familia yao ni waswahili safi tena wa Zanzibar wakwel aache hio staili
Hao familia yao wanaishi kama wazungu. Kama unavyo muona ndio maisha yao. Nilisoma na mtoto wa ndugu yake secondary
@SafiaOmar Bora umwambie ww, hao kwao niwazanzibari lkn wamelelewa kizungu, na Ivo alivo ndoivo Ivo kwao kizungu zungu TU mpak mavazi mpaka mama Yao yupo Ivo Ivo mavazi yake.
@@nahlahassan-fd6le kulelewa kizungu ndio unatupa na lugha yako? Mbona wazungu wenyewe wanajifunza na kuongea Kiswahili? Nani amewadanganya na kiswaglish
Ila fatma is so beautiful
Shangazi unamguu wa bia😂 cute
Dah kiswahili
Shangazi tuambie huyo bi zahara unomwita nana. Yuko wapi. Pls
Sijasikia vizuri. Fatma umezaliwa mwaka gani?
Wa kishua
Loo! Kumbe kiruka njia! Sasa umezeeka tutafute vilabuni ! Ilafamilia ya Mzee Karume kweli ina vipanga! Shangazi safiiiiii ! WakiliHoyee!
ni muarabu huyu mama ake bishadya ni muarabu bure ujue bro
Unamkumkumbuka na yeye kafa 72 wewe ulikua na miaka mi 3 kweli miaka mitatu unakumbuka
Hii Ai mnaoitumia inapoteza quality ya video
Shangazi yetu kwenye kujieleza sifuri,
Na icho kiswahili chake zero😂😂😂😂anaongea kiswanglish lkn ovyoo
Watu waliokulia nje au waliosoma shule za international huwa wanakawaida ya kuchanganya lugha. Fatma ni very bright na brave at the same time. Jaribu kuangalia mazingila aliyokulia alafu utamuelewa vizuri kabisa. Mimi personally nimekulia U.S. toka na miaka 13. Ulimi wangu unakua mzito napoongea Kiswahili kwa sababu si lugha ninayotumia sana. Kwa hiyo najikuta tu nachanganya Kiswahili na Kingereza.
❤❤❤❤❤❤
mifano mingi ni ulaya/wazungu, hivi kwanini tunadhani kufuata mode za wazungu au code za maisha za wazungu ndio ustaarabu??
Ndio shida ya hawa waliosomea nje ya Tanzania wanawaabudu wa Ulaya kama Mungu, mbona Tanzania kuna mifano mizuri mingi sana Kwa nini hasifii
Kwa u much know huu lazima ndoa ikushinde, stop comparing everything to ulaya
Wanyonge hao ninan au wale mashoga anaosema wawepo tena wawehuli 😢mbwa mkubwa
Siyo shangazi yangu.Ana kasumba ya wazungu sa n a A n achanganya kuswahili na kiingereza sa n a h ata 5:18 5:20 simuelewi japo nimesoma sana kama yeye au labda zaidi.Acha kuongea kiingereza wakati unaongea n a waswahili😅😅
Wewe acha zako kuwa proud na lugha yako.
Wewe Fatima jitathini hii elimu hii ya Sheria itakupeleka motoni Rudi kwa muumba
Aise
Ana uzungu mwingi
Watoto wa viongozi wasoma shule zenye hadhi ya kimataifa ,watoto wa wananchi waenda shule za kina kayumbaa.
Jamani HATA uislamu huna ukajistiri muili wako umeuponza uislamu Alla akuuongoze ktk njia ya haki. HATA lugha umeiuza unaiga lugha sio yako
Ondoa wivu wako na uislam wako, huoni kapendeza,
It was kawaida😂😂😢😢😢😢
Mwingereza hachanganyi lugha yake hata siku moja.Kasumba ni mbaya jamani.😢😢
Katika familia ya mzee hili ndilo dish
Kwanza hapo ume jichanganya bas wew humkumbuki babu yak
Kwani shangazi anagugumizi
Oya hapa nibongo sio ulaya hakajuishida yoyote
Yaani ukisikiliza kiingereza cha huyu mama,unasikia rafudhi za waingereza.
Uyo kakaa sana iingereza
@@amerwelder7786 ndiyo maana,yaani hadi raha kumsikiliza
😢
Huyu shida anayo ni kujisahau, kiswahili chake ni cha kujifunza ama ni kingereza chaki.
Kwenye suala la lugha watu wengi mnachanganya. Fatma ni muongeaji wa lugha zote yaani kiswahili na kingereza. Kinachotokea ni akiongea anajikuta anachanganya na ni kwasababu ya mazoea. Kwaio si vyema kumhukumu kana kwamba anajifanya hajui kiswahili. Anakijua ila kuna lugha ya mazoea. Me binafsi siwez kuongea kiswahili fasaha lazima kuna maneno ntaingizia ya mtaani kwasababu ya mazoea yangu pia.
Ndugu yangu hiyo ni tabia tu.Ya kujitakia.kuna watz wanao ongea lugha nyingi za kimataifa bila kuchanganya..Pamoja na mimi mwenyewe🎉🎉
Ndio maana aliachwa hakuna mwanaume anaeweza kuishi na mwanamke mwenye mota mdomoni, anajua kila kitu amesema ameachwa
Aging gracefully girlfriend❤
Wew kwanza sio muislam
km kweli wew muislam usende vaa Ivo vaa nguo
Una wivu sana
Huyu nilimwengu mtoto wa kislamu hawezi vaa hivyo huyu mwamerika mweusi
@@lugwetunje3896 kuvaa ushungi ni kuwanyanyasa wanake eti wasiwatamanishe wanaume wasije kurepiwa🤣