Fatma Karume: Mimi Nimeachwa I Nilijiona Sina Amani I Watoto Wanampenda Baba Yao I Nilipatwa Simanzi

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 376

  • @raymondswai5555
    @raymondswai5555 8 місяців тому +6

    Shangazi nakupenda sana na kwa moyo wa dhati
    Si kimahusiano, maana hili li nchi 90% hatumiii ubongo ( kichwani) kutafakari, tumenyoshwa maji ya chooni,,m c.c 😊😊 uokoo very bright shangazi

  • @chamlilemhando7478
    @chamlilemhando7478 3 місяці тому +3

    My favorite female politician in tanzania

  • @mussamwamoto8231
    @mussamwamoto8231 9 місяців тому +2

    nimeipenda hii interview.sijawahi kumsikiliza ktk maisha nje ya kazi.nimemuelewa fatma huwa anaishi yeye kaka yeye sio kwa ajili ya .

  • @ChristinaOnditi-el3xo
    @ChristinaOnditi-el3xo 10 місяців тому +15

    Pole sana wifi yangu Fatma ,tunepotezana lkn nitakutafuta inshaallah,kuhusu ndoa rizki inshaisha tumuachie Allah japo kipindi kile Cha harakati zako kiilikua kigumu sana kwako na nilikua nahofia sana Hilo cos mwanamke ukiwa unapambana Kwa ujasiri mkubwa kiasi kile,wanaume zetu hua hawaelewi,Kuna maisha mengine baada.ya mapambano na simanzi. Enjoy the moment my love

    • @wilsonelias9012
      @wilsonelias9012 8 місяців тому

      Acha kutetea ujinga hakuna mwanaume anaeweza kuishi na mwanamke mwenye mota mdomoni anajua kila kitu, jitu lina miaka 60 linaongea kama binti wa miaka 20

  • @caritasmushi461
    @caritasmushi461 10 місяців тому +8

    Fatma umejibu vizuri sana na you are a down to earth person but with principles. Keep it up my dear

  • @rajabalipanjetani5663
    @rajabalipanjetani5663 27 днів тому

    Mashaa Allah Subhannallah nimefurahi sana video hii.

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 8 місяців тому +1

    ❤❤❤❤❤❤love hivi ndivyo tulivyo Akina FATMA

  • @hosianajolam8695
    @hosianajolam8695 24 дні тому

    Nakupenda sana fatuma

  • @winniefridamutakyawa5943
    @winniefridamutakyawa5943 8 місяців тому +4

    Shangazi hongera sana unafaa kuwa kiongozi wa ngaxi za juu nchini.Nakupenda sana kwa ujasili ulionao ni kipaji .Mungu akubariki sana uko vizuri saaaaana.Ungekuwa waziri mkuu hata urais unauweza hata ujaji mkuuu unauweza.Barikiwa sana.

  • @agreymbwilo5874
    @agreymbwilo5874 9 місяців тому +3

    Kwenye suala la lugha watu wengi mnachanganya. Fatma ni muongeaji wa lugha zote yaani kiswahili na kingereza. Kinachotokea ni akiongea anajikuta anachanganya na ni kwasababu lugha zote kazoe kuziongea kwenye maisha ya kawaida. Kwaio si vyema kumhukumu kana kwamba anajifanya hajui kiswahili. Anakijua ila kuna mazoea. Me binafsi siwez kuongea kiswahili fasaha lazima kuna maneno ntaingizia ya mtaani kwasababu ya mazoea yangu pia.

  • @yussufhaji3335
    @yussufhaji3335 10 місяців тому +4

    Usomi kweli unaharibu na kubadilisha maadili ya dini yetu ,inna lillahi wainna ilahi rajiuuwun.

    • @SeifMassoud
      @SeifMassoud 10 місяців тому

      Ni huzuni sana kuona mtoto kama huyu unavomuona sasaiv alivyovaa na kuweka makucha, manywele uchavu tu, kuwa katoka ktk familia tunaambiwa ya kiislam, kwa kweli msiba

    • @Aziz-p6s
      @Aziz-p6s 10 місяців тому

      Anakaa uchi tu

    • @Aziz-p6s
      @Aziz-p6s 10 місяців тому

      Wasomi ni kama mbwa tu

    • @moodyzanzibar4336
      @moodyzanzibar4336 8 місяців тому

      labda HII KUKAA UCHI NDIO MOJA YA MATUNDA YA MAPIDUZI

  • @mariej6962
    @mariej6962 9 днів тому

    Moja ya wanawake makini sana katika taifa hili

  • @NyotaTanoTV-gt3od
    @NyotaTanoTV-gt3od 10 місяців тому +7

    Shajara mtangazaji wangu pendwa kila siku unani surprise I like the way you control the show. Maswali unavyo Uliza alafu unagawa nafasi ya majibu. Fatma mbona hajui Kiswahili vizuri Tena ni mzenji OG? That’s terrible 😮 but all in all this is good interview much love ❤️

  • @abusalman5139
    @abusalman5139 8 місяців тому +3

    Hakuna mwanaume ataweza mvumilia mwehu kama Fatma Karume

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 9 місяців тому +3

    Huyu dada si.ndo.aliifedhehesha.Tanzania kumbe nae.Mungu alimfadhaisha huyu.dada alitetea sana ushoga

  • @knight6757
    @knight6757 10 місяців тому +21

    Very proud of her...May God Aways Bless Her..Ameen!

  • @HassanArdale-r4j
    @HassanArdale-r4j 9 місяців тому +1

    Pole usihuzunikee mwamwini Allah yeye ndie mpangaji

  • @Mohamed-uz8id
    @Mohamed-uz8id 9 місяців тому +4

    nàmpenda sana Fatma Karume anaakili mnoooooo😘

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 10 місяців тому +4

    Asante kwa kushea. Mimi mchango wangu kwa Watanzania wengi wenye kujenga chuki kwa watu = haters. Mchukie mtu kwa vitendo vibaya alivyofanya na sio maneno aliyosema. Wazungu husema “actions speak louder than words”. Vitendo vina nguvu zaidi ya maneno kwahio tusichukiane bure ni mambo ya kijinga

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 10 місяців тому +6

    Intelligent and gorgeous woman

  • @robinbayser3079
    @robinbayser3079 8 місяців тому

    Shangazi wa Taifa soo beautiful

  • @mosesgasana4102
    @mosesgasana4102 8 місяців тому +3

    Walah nampenda sana Fatma. Mungu ampe uzima mwingi na mengi ya heri

  • @cheka480
    @cheka480 9 місяців тому +2

    The one thing she is real not fake

  • @katotopesaofficial
    @katotopesaofficial 10 місяців тому +7

    Mshangazi Una Mguu Bi fatmaa😅❤

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj 10 місяців тому +2

    Mashaallah ❤Unamwili nzuri sana mungu akuweke amiin 🤲❤️

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 10 місяців тому +43

    This shangazi is so intelligent, she should be a judge in the Supreme Court. Walioko huko hawamfikii huyu mama!

    • @ANTHONYDCOSTA-u5p
      @ANTHONYDCOSTA-u5p 10 місяців тому +8

      Kwenye haya mahojiani kuna kipi kipya kuwa yuko juu?

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 10 місяців тому +9

      Kipimo chako cha uwezo ni kipi n wangapi unaowajua walioko huko court ambao uwezo wao ni mdogo? She is talking much of her personal life ila inakutosha kumpa ujaji? Things never taken that way aisee. Nyie ndio mnasema lissu ni mwanasheria Bora kuliko wote ikiwa mmemuona kwenye majukwaa ya siasa na sio kwenye podium of practices stop those mediocrity thoughts.

    • @immamfugale7835
      @immamfugale7835 10 місяців тому +4

      Kwa kipi?

    • @salomemlagila5757
      @salomemlagila5757 10 місяців тому

      ​@@fahadfaraj6474 kweli kabisa

    • @MOJAZAIDI.
      @MOJAZAIDI. 10 місяців тому

      ​@@fahadfaraj6474Ni kweli ila kwa Lissu rekodi zake ziko wazi nay be una personal conflicts na yeye. Just saying...

  • @bensonmwakalindile8545
    @bensonmwakalindile8545 4 місяці тому

    My good presenter

  • @jumayussuf6786
    @jumayussuf6786 10 місяців тому +2

    Unamkumbuka teacher khadija mgangazija anakaa kiswandui

  • @amanmyolo5359
    @amanmyolo5359 8 місяців тому

    God is good

  • @yusuphabel5530
    @yusuphabel5530 8 місяців тому +2

    Nampenda sana Shangazi Fatma,ana akili sana na ni mwanamke wa shoka.Mungu ampe maisha marefu.

  • @hafidhkhalfan1660
    @hafidhkhalfan1660 9 місяців тому +1

    Nampenda sana nataman kumuoa jaman

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel 10 місяців тому +5

    Mpitie na kwangu wapenzi ❤

  • @marianajohn5415
    @marianajohn5415 8 місяців тому +1

    Shangazi ❤❤❤❤❤❤ ni mmoja tu! Naye ni madam Fatma🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @MohamedAbdallahSaid
    @MohamedAbdallahSaid 7 місяців тому

    Mswahili Mzungu

  • @amanmyolo5359
    @amanmyolo5359 8 місяців тому

    ❤❤❤Asalam alaiqm Warahmatulah wabarakatu allah kariim

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 8 місяців тому

    Mwanaume ndiyo anaowa na mwanaume ndiyo anaacha true shangaz nakuelewaga sana hauna baya

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 10 місяців тому +3

    Naomba kufahamu lugha Rasmi ya haya mahojiano! Kuna sehemu hatuelewi

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 8 місяців тому

      Anajifafanya hjui kiswahili😂😂😂😂

  • @user-vq2hl4jp1j
    @user-vq2hl4jp1j 10 місяців тому +5

    Aunt tuma❤

  • @cynthiafolonja3050
    @cynthiafolonja3050 10 місяців тому +6

    Ndoa sio kifungo jamani.... yanini kufia kwenye hamna 😂... Wala huyo sio wa kwanza kuachika .....shangazi anazeeka na urembo wake!!

  • @songombingo108
    @songombingo108 10 місяців тому +6

    Da Fatma nakupenda. Nitafute tuwe marafiki.

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 10 місяців тому +2

    Shangazi hapo kwa Nadia Suala la Muungano, lizingatiwe Wapemba🎉🎉🎉🎉 Mnauma meno Sana..wepesi kidogooo ❤❤❤❤❤ Mama Mkwe. Kama mama Mkwee

    • @sultansallah8772
      @sultansallah8772 9 місяців тому

      Kwani umeambiwa mpemba

    • @salehkhamis-ob8ln
      @salehkhamis-ob8ln 9 місяців тому

      ​@@sultansallah8772wabongo wanaelewa zanzibar n nchi yenye kabila la wapemba. Wapemba ni kabila kutoka zanzibar hivo ndio wanavoelewa yani neno unguja kwa bara hawalielewi

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 9 місяців тому +6

    Binadamu hawana jema, inasikitisha baadhi yenu kutoa maneno ya kuudhi wakati una uhuru wa kumsikiliza au ukaacha!

  • @johntemba4281
    @johntemba4281 10 місяців тому +1

    Shangazi nakupenda natamani uwe mke wangu sijali umri sijali elimu bali nakuhitaji niwe nawe ktk utetezi wawatu, mi naishi moshi karibu. Mimi ckuachi na tutaendesha kazi zetu kama kawaida.

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 10 місяців тому +2

      Hahahahah wabongo mnataka maokoto 2 ushamjua anatokea katika Royal family unataka utelezi hahahahha hongera kaka

  • @seifserenge3340
    @seifserenge3340 10 місяців тому +1

    Pole sana bi Fatma, wewe ni mzungu mzanzibari

  • @Iragibarune1.
    @Iragibarune1. 9 місяців тому +1

    From USA Jamani mimi sio mtazania ila uwa napenda sana shangazii fatma karume alafu ana akili sana

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 10 місяців тому +5

    watanganyika mnapenda kutukana wanawake na kunyanyasa wanawake angalia mnavyomtukana shngz

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 10 місяців тому

      Fungu la kukosa hao na si watanzania wote

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 9 місяців тому

    I love fatma

  • @seynabhaji8035
    @seynabhaji8035 10 місяців тому +9

    My advice to Fatma, kubali siku moja kuongea lugha unayoifahamu ili maneno ya changamke nina hakika unamazuri ya kueleza. Halafu jitahidi kujifundisha kiswahili tukutane tena hapo baadaye🎉

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 10 місяців тому +3

      Shangazi Kiswahili anakijua vizuri ila ndio kujifanyisha sijui, usome shule ya Msingi Unguja ukose kujua Kiswahili?

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 10 місяців тому +1

      Mmmh wewe mbona unachanganya Lughq

    • @suleymanmakiwa1651
      @suleymanmakiwa1651 10 місяців тому

      ​Mtu anayejifanyisha hujulikana tu@@darajalakidatukilomgi2362

    • @ummuraw6372
      @ummuraw6372 10 місяців тому

      Na akiongea mpka mizizi ya shingo imtoke anatumia nguvu sana hlfu sidhni kma hajui kiswahili ila ana pritend tu hao watoto tulowazaa ulaya wanaongea kiswahili kizuri tu

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 9 місяців тому +2

      Hajui “SAFE” kwa Kiswahili, this is biggest pretending….LAZIMA BWANA AKIMBIE

  • @naomimaro2156
    @naomimaro2156 10 місяців тому +7

    Huyu mama Fatma ,anaonyesha anauchungu moyoni

  • @ganomwakisambwe2715
    @ganomwakisambwe2715 8 місяців тому +2

    I love you Fatuma,my sis....you are heroine!

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 10 місяців тому +3

    Nakupenda shangazi nikueke nyumbani tuzae na unifundishe sheria

  • @FatmaHamad-g6s
    @FatmaHamad-g6s 10 місяців тому +1

    Alokupa Jina saluti kwakwe

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 9 місяців тому +1

    Fatma kweli inasikitusha kuwa kiswahili hujui na ni aibu sana .Kiswangereza wengi hawakuelewi .kwa sababu hawajui kiingereza.😢😢

  • @bongomastory791
    @bongomastory791 10 місяців тому +9

    wanawake wengi wanasheria wanajifanyaga wana harakati so wanaletaga uharakati kwenye ndoa hivyo sio rahisi kudumu kwenye ndoa

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 10 місяців тому +2

    Mmmm jamani nafikiri ni mtazamo tu ,mie nimekuwa kwetu wafanyakazi 2 lakini nikiwa na Miata 4-5 nlikuwa nafanya KAZI kulingana na umri wangu na hata kukorogo uji ,kufua sox , kufua NGUo za ndani , kufagia nlifanya haswaaaa so siyo kuwa WANAFANYA Kwa sababu ya shida za WAZAZI ila ni WAZAZI wanamtazamo gani Kwa watoto WAO na wanataka kutengeneza mtoto wa aina gani

    • @annethomas7520
      @annethomas7520 10 місяців тому +3

      Mtoto wa miaka 5 akoroge uji jikoni???!

    • @liannsambu7264
      @liannsambu7264 10 місяців тому

      @@annethomas7520 NDUGU ukishangaa ya Musa ......... ? UNADHANGAA MIAKA 5 ? Hongera mpendwa , isogelee JAMII UTAONA mengi

  • @neemamajana3078
    @neemamajana3078 9 місяців тому +2

    Kumbe Fatuma ni mtu mzima sana!!!! Kinachonishangaza ni Fatuma kuzaliwa Zanzibar, kusomea Zanzibar na kujifanya hajui kiswahili ajabu sana!!!!!!

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 8 місяців тому

    Love you wajina

  • @ChristerShao
    @ChristerShao 10 місяців тому +3

    Hacheni matusi,kama nia yenu ni kumtukana mtafuteni kwa wakati wenu,unayrtaka Fatma akufindishe sheria,nenda shule ukasome.

  • @MosiHassan-dx6gc
    @MosiHassan-dx6gc 10 місяців тому +9

    Acheni chuki na hasada aliyepewa kapewa mola ndie amemueka hapo achenichoyo

  • @spreadlove5300
    @spreadlove5300 8 місяців тому +1

    Ila watu why are you so bothered na maisha ya wengine mpaka mnatoa kashfa 😮😮😮 watu hawalingani wala kufanana jamani, na wala hakuna mkamilifu 😮😮

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 10 місяців тому +5

    Kumbe sawa sawa na mimi 1969

  • @missg1430
    @missg1430 10 місяців тому +2

    I just love her

  • @mbarakawesu6213
    @mbarakawesu6213 10 місяців тому +1

    Jamani eeh..! Mimi sina mke. Namtaka huyo dada ...!

  • @SuweidJuma
    @SuweidJuma 5 місяців тому +1

    Bifatma sasa ubadilke uache maadili uliokuwa nayo sasa na ufuate madili nasheria ya kiislam maisha aya ni ya mpito to

  • @mgenimgambo2312
    @mgenimgambo2312 8 місяців тому

    umependeza sana n km ulivyosema kuwa kujitizama na kufurahi ulichokuwa nacho hakuna kitu km furaha ya nafsi umebadilika sana

  • @StevenLevenson-g3d
    @StevenLevenson-g3d 5 місяців тому

    ❤naomba nambazake

  • @allywaziry6419
    @allywaziry6419 8 місяців тому

    Mm namtaka huyo Aje nimuoe chaap..

  • @robertadolf562
    @robertadolf562 9 місяців тому

    Ila bado mtamu mbona

  • @bakarimdeve8386
    @bakarimdeve8386 10 місяців тому +4

    Napendezwa na kz yake ila ninachukizwa na tabia ya kuzungumza Kiswenglish japo Familia yao ni waswahili safi tena wa Zanzibar wakwel aache hio staili

    • @SafiaOmar
      @SafiaOmar 10 місяців тому +2

      Hao familia yao wanaishi kama wazungu. Kama unavyo muona ndio maisha yao. Nilisoma na mtoto wa ndugu yake secondary

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le 10 місяців тому +2

      ​@SafiaOmar Bora umwambie ww, hao kwao niwazanzibari lkn wamelelewa kizungu, na Ivo alivo ndoivo Ivo kwao kizungu zungu TU mpak mavazi mpaka mama Yao yupo Ivo Ivo mavazi yake.

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 10 місяців тому

      @@nahlahassan-fd6le kulelewa kizungu ndio unatupa na lugha yako? Mbona wazungu wenyewe wanajifunza na kuongea Kiswahili? Nani amewadanganya na kiswaglish

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 10 місяців тому +14

    Ila fatma is so beautiful

  • @divaimafuru6844
    @divaimafuru6844 10 місяців тому +7

    Shangazi unamguu wa bia😂 cute

  • @erickKiiza
    @erickKiiza 9 місяців тому

    Dah kiswahili

  • @amneamne2492
    @amneamne2492 10 місяців тому +1

    Shangazi tuambie huyo bi zahara unomwita nana. Yuko wapi. Pls

  • @FarhatSeif-p3t
    @FarhatSeif-p3t 10 місяців тому

    Sijasikia vizuri. Fatma umezaliwa mwaka gani?

  • @yusuphabel5530
    @yusuphabel5530 8 місяців тому

    Wa kishua

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si 10 місяців тому +1

    Loo! Kumbe kiruka njia! Sasa umezeeka tutafute vilabuni ! Ilafamilia ya Mzee Karume kweli ina vipanga! Shangazi safiiiiii ! WakiliHoyee!

    • @msabahaali758
      @msabahaali758 10 місяців тому

      ni muarabu huyu mama ake bishadya ni muarabu bure ujue bro

    • @salassalas-eo6vo
      @salassalas-eo6vo 10 місяців тому

      Unamkumkumbuka na yeye kafa 72 wewe ulikua na miaka mi 3 kweli miaka mitatu unakumbuka

  • @SHALLOOTV
    @SHALLOOTV 8 місяців тому +1

    Hii Ai mnaoitumia inapoteza quality ya video

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 10 місяців тому +14

    Shangazi yetu kwenye kujieleza sifuri,

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le 10 місяців тому +1

      Na icho kiswahili chake zero😂😂😂😂anaongea kiswanglish lkn ovyoo

    • @George_Ruttagah
      @George_Ruttagah 8 місяців тому

      Watu waliokulia nje au waliosoma shule za international huwa wanakawaida ya kuchanganya lugha. Fatma ni very bright na brave at the same time. Jaribu kuangalia mazingila aliyokulia alafu utamuelewa vizuri kabisa. Mimi personally nimekulia U.S. toka na miaka 13. Ulimi wangu unakua mzito napoongea Kiswahili kwa sababu si lugha ninayotumia sana. Kwa hiyo najikuta tu nachanganya Kiswahili na Kingereza.

  • @kulthummaabad
    @kulthummaabad 8 місяців тому

    ❤❤❤❤❤❤

  • @SalminMkwachu
    @SalminMkwachu 10 місяців тому +1

    mifano mingi ni ulaya/wazungu, hivi kwanini tunadhani kufuata mode za wazungu au code za maisha za wazungu ndio ustaarabu??

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 10 місяців тому

      Ndio shida ya hawa waliosomea nje ya Tanzania wanawaabudu wa Ulaya kama Mungu, mbona Tanzania kuna mifano mizuri mingi sana Kwa nini hasifii

  • @abuumadesign8095
    @abuumadesign8095 8 місяців тому

    Kwa u much know huu lazima ndoa ikushinde, stop comparing everything to ulaya

  • @emanuelsichone8027
    @emanuelsichone8027 10 місяців тому +8

    Wanyonge hao ninan au wale mashoga anaosema wawepo tena wawehuli 😢mbwa mkubwa

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 10 місяців тому +1

    Siyo shangazi yangu.Ana kasumba ya wazungu sa n a A n achanganya kuswahili na kiingereza sa n a h ata 5:18 5:20 simuelewi japo nimesoma sana kama yeye au labda zaidi.Acha kuongea kiingereza wakati unaongea n a waswahili😅😅

  • @IssaAbdi-j5s
    @IssaAbdi-j5s 9 місяців тому +1

    Wewe acha zako kuwa proud na lugha yako.

  • @MussaSuleiman-ui9fy
    @MussaSuleiman-ui9fy 10 місяців тому +2

    Wewe Fatima jitathini hii elimu hii ya Sheria itakupeleka motoni Rudi kwa muumba

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 10 місяців тому

    Aise

  • @issakawaya8315
    @issakawaya8315 10 місяців тому +1

    Ana uzungu mwingi

  • @zainabndete8713
    @zainabndete8713 Місяць тому

    Watoto wa viongozi wasoma shule zenye hadhi ya kimataifa ,watoto wa wananchi waenda shule za kina kayumbaa.

  • @Jamila-cz5ge
    @Jamila-cz5ge 10 місяців тому

    Jamani HATA uislamu huna ukajistiri muili wako umeuponza uislamu Alla akuuongoze ktk njia ya haki. HATA lugha umeiuza unaiga lugha sio yako

    • @ngoni7944
      @ngoni7944 9 місяців тому

      Ondoa wivu wako na uislam wako, huoni kapendeza,

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 9 місяців тому

    It was kawaida😂😂😢😢😢😢
    Mwingereza hachanganyi lugha yake hata siku moja.Kasumba ni mbaya jamani.😢😢

  • @alfredrutaguza7506
    @alfredrutaguza7506 5 місяців тому

    Katika familia ya mzee hili ndilo dish

  • @MAPETEE
    @MAPETEE 10 місяців тому

    Kwanza hapo ume jichanganya bas wew humkumbuki babu yak

  • @naomiswai5524
    @naomiswai5524 10 місяців тому +1

    Kwani shangazi anagugumizi

  • @LukeloKibumo-uu2oh
    @LukeloKibumo-uu2oh 9 місяців тому

    Oya hapa nibongo sio ulaya hakajuishida yoyote

  • @cosmasthomas9164
    @cosmasthomas9164 10 місяців тому +6

    Yaani ukisikiliza kiingereza cha huyu mama,unasikia rafudhi za waingereza.

  • @aliathmani7165
    @aliathmani7165 10 місяців тому +1

    Huyu shida anayo ni kujisahau, kiswahili chake ni cha kujifunza ama ni kingereza chaki.

  • @agreymbwilo5874
    @agreymbwilo5874 9 місяців тому +1

    Kwenye suala la lugha watu wengi mnachanganya. Fatma ni muongeaji wa lugha zote yaani kiswahili na kingereza. Kinachotokea ni akiongea anajikuta anachanganya na ni kwasababu ya mazoea. Kwaio si vyema kumhukumu kana kwamba anajifanya hajui kiswahili. Anakijua ila kuna lugha ya mazoea. Me binafsi siwez kuongea kiswahili fasaha lazima kuna maneno ntaingizia ya mtaani kwasababu ya mazoea yangu pia.

    • @gracekagoma3231
      @gracekagoma3231 9 місяців тому

      Ndugu yangu hiyo ni tabia tu.Ya kujitakia.kuna watz wanao ongea lugha nyingi za kimataifa bila kuchanganya..Pamoja na mimi mwenyewe🎉🎉

  • @wilsonelias9012
    @wilsonelias9012 8 місяців тому

    Ndio maana aliachwa hakuna mwanaume anaeweza kuishi na mwanamke mwenye mota mdomoni, anajua kila kitu amesema ameachwa

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 10 місяців тому +4

    Aging gracefully girlfriend❤

  • @MAPETEE
    @MAPETEE 10 місяців тому

    Wew kwanza sio muislam
    km kweli wew muislam usende vaa Ivo vaa nguo

    • @ngoni7944
      @ngoni7944 9 місяців тому

      Una wivu sana

    • @lugwetunje3896
      @lugwetunje3896 7 місяців тому

      Huyu nilimwengu mtoto wa kislamu hawezi vaa hivyo huyu mwamerika mweusi

    • @ngoni7944
      @ngoni7944 7 місяців тому

      @@lugwetunje3896 kuvaa ushungi ni kuwanyanyasa wanake eti wasiwatamanishe wanaume wasije kurepiwa🤣