Funguwa Chanel ya nyimbo iwe inatuburudisha pia❤❤❤❤Nani yupo anakubaliana Nami kwamba Steve afunguwe Chanel há nyimbo pia, maana jamaa anaicho kipaji pia
Nyieee kweli munawazimu... Nyimbo ya mtu alafu kazi yenuu oooooh naomba like..munashindwa kumpongeza Likee za kazi gan yani hadi wanaume wanaomba like... Ok nasemaje wanaume wote wanaoomba like wasubiri mwisho wa mwezi kupata period yao maana kuomba like ni umama
It's the most genuine song ever... Wale husema mkipata pesa mtawasaidia wasio jiweza, kisha mkipata mnapotoka 😂😂 mpo? Dah, ukweli wa walimwengu. Kazi safi Steve Mweusi.
Naombeni like mimi wakwanza leo ata like 10 😢😢😢
Kwani like mnazipelekaga Wapi 😅???
Zimesha kweneya
@@NicolasHeshimwe-yd6dz kusema sematu Ku like aahh 😅🤣
@@Kmpshowpatient 😂😂😂🤦
Mambo best
Oyaaaaaa mwanangu Steve umetisha sanaaaaaaaaaaaaaa
Mungu akupe maisha marefu Steve ninakupenda kwakweri
Sasa ukinunua Dunia Wakenya tutaenda wapi😂😂😂😂😂 Kenyan button ✅
hapo sasa
Watakuja kukaa Congo
Je suis le premier mon vieux Steve mweusi🎉🎉🎉
Wowiiiiii mwaaa nyimbo nzur sanaaaaa, nikipata pesa namba mtaisoma 😆😆
Congration Steve maua yako🎉
Wakwanza leo we nani usinipe like gonga like nimepelekee steve mweusi 😂😂😂😂❤
Like za nini bro na wakati team imepigwa 4😢
@@JemsOzil-wx1ionauku upo😂😂😂😂
Kuomba like 2 kulike aahahaa
😂😂😂😂
From Buja Nipeni like 🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉
N
🇧🇮🇧🇮🇧🇮
❤❤❤❤❤❤ 😂😂😂😂😂 penda sanaaaa hela zakoo angekula mama tyuuuuu duuuuuh😅😅😅😅
Wakwanza Leo naomb like zangu
Mkenya kwenye maandamano naombeni like 😢🇰🇪🇰🇪
Ningenunua ikulu nipeleke kwetu😅 nakubali bro
Utapata to kikubwa Dua na kupambana to🤲🙏🙏🙏🙌
Steven mweusi ngoma mzuri sana Kubi nawewe unakipaji mungu akusaidihee
Hii kaliiii😂😂 kutokaaa 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nipeni likesssss
Eti mtu anapambana kuomba like kwani munafanyia nini tupeane madini mana maisha magumu huku mtaani 😮😮😮
Ndio ushangae lakini kwa tafadhari maan wengne kuongea 2 kupiga mswaki aaahahaaa😂😂😂😂
Kazi kubwa
Pambana kazi zuri sana 😂😂😂😂Hongera sana 😂😂😂✌️🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿
DRC 🇨🇩🇨🇩 ngoga like bwana Ku like aahh
Naskilizia nikiwa doha🔥🔥🔥
I don't understand the language but I like your songs
ii noma sana my bro stevemweusi wena diamond amuna utofauti
Niko superfan wako huku Burundi 🇧🇮 nakupenda sana steve
Jamani Steve ni mboge la talent nguvu ya kumchukia unatoa wapi sasa🤔 kuogaaa
Umetisha kaka
I WISH NIPAT VERSE YAKO BRO ONE DAY NIKUKALISHE❤❤❤❤❤😢
Funguwa Chanel ya nyimbo iwe inatuburudisha pia❤❤❤❤Nani yupo anakubaliana Nami kwamba Steve afunguwe Chanel há nyimbo pia, maana jamaa anaicho kipaji pia
Good job my brother ❤❤❤❤❤❤
Lakini Steve bwanaaa😂, eti airport ufugie kuku
Very nice 🎉🎉🎉
Ningekiwa na pesa ninge enda muona Steven 🇨🇩🇨🇩
Hapo kwa kulala mjana na kufanya kazi usiku
Nyieee kweli munawazimu...
Nyimbo ya mtu alafu kazi yenuu oooooh naomba like..munashindwa kumpongeza
Likee za kazi gan yani hadi wanaume wanaomba like...
Ok nasemaje wanaume wote wanaoomba like wasubiri mwisho wa mwezi kupata period yao maana kuomba like ni umama
Mhhh punguza mtsibkwa wa mama sawa wew🎉😡😡😡
Mauwa kwake stive🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Am from kenya and Steve has been my best❤❤
Namkubali steve from 254❤❤❤❤❤❤
heshima kubwa kwako nakukumbuka sana katavi pambana my bro❤❤❤
G-boy congratulations 🎉 pamoja na mjeshi ila collabo ya ndaro na Steve ya mziki naichunga sana
Wakwanza leo nimewai nipeni likes zangu sijawai Pata Ata mbili 😢
Kuomba like 2 kulike aahahaa😂😂😂
Nice job😊😊😊
enjoyed the yours music❤😮
Steve mweusi wallah nakupenda sana 😀😀yani nikikuona tuu nafulahi
Found song on TikTok I was feeling low 🔅 u just made my day
Nice song 💯👏👏👏 Watch from Kenya 🇰🇪
🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮
Je t'aime fort mon frère
Niko hapa airport mahali tutafugia kuku na Steve wapi like jameni,,
Stive ningekua na pesa nigekuombea ata usipate😂😂😂😂
It's the most genuine song ever...
Wale husema mkipata pesa mtawasaidia wasio jiweza, kisha mkipata mnapotoka 😂😂 mpo?
Dah, ukweli wa walimwengu.
Kazi safi Steve Mweusi.
Huu wimbo angepiga Hamo au mondi ungependwa sana ila kwakua n stiven ndo maana unaonekana wa kawaida na ni mkali sana tu
Mon chanteurs le plus comédien❤❤❤❤❤❤❤❤ dieu bénisse mon afrique
From US 🇺🇸🇺🇸🇨🇩🇨🇩❤️❤️❤️❤️❤️😘🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nimeipenda sn from Burundi 🇧🇮
Unaweza Steve trying push
From Drc...good job mr steve👍👍
WE ni mkali brother wangu ❤️❤️🙏🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Wow 😲 congratulations my comedian
Kama unapenda Steve mgongee like hapo juu comment an share
Yaani kila sehemu unaweza kaka mungu akubariki upate pesa
Kazi nzuri sana stive be blessed
Nice job jah bleex thix man
Nakubali kazi yako @stevemweusi keep up the good work bro much love from Kenya ❤
nimenjoy sana steve, nice job
Kazi nzuri sana lakini naomba mni follow jamani mpaka naliya😢😢😢😢
MUNGU akubariki ntumisi nakukubali sana, Niko Mueda Msumbiji
Steve nakukubali sana unavyo jituma kaka Mungu abariki kazi zako🙏🙏
umetisha
Wakwanza ni mimi Haina aja ya kuomba like gonga like kama mvua ❤👍🌏😂
Wow that's awesome 💯
Nice one my friend
Simba kiraka mwenyewe Kenya love you more 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Am from tiktok
Hongera sana brother unajua sana. Keep it up.
Uyu mdada anae imba na Steve kwa mbali alitaka kufanana na zaylisa wa jua Kali 🫣❤❤
Saludos desde Quibdó Chocó Colombia 🇨🇴🇨🇴🇨🇴🇨🇴🇨🇴🇨🇴
We c Irene bhn ni shija unatutisha Ila nampenda Stivu
Nakubali kijana allah ata blees
Much love from Kenya🇰🇪
Hello Steve mm ni mkenya napenda vituko Viako sana
Amina mwimbo mzur mfike mbal mkimuimbia MUNGU wa mbinguni❤❤
Mungu ukubariki kijana wangu by TAJISPORT LTD
Uko vizuri 🎉🎉🎉🎉🎉unachekesha ndoto za alinacha. Huwazi huwazi kujenga nyumba unaweza Bata.😂😂😂😂😂
Steve, Comedy everywhere; even in the music 🤣 😂 😆 . ❤❤
Depuis Congo napenda sana iyi song yako
Wow Mary xmass🎉 from keny# 🎉suport tuko Mbele pamojja🎉🎉 uko wapi uki tazama😂😂😂🎉
Hiyi kweli Ngoma. Nakubali
Nice one my friend😢l
Mambo ndiyo hayo Stiven mweusi mpaka siwahuni Kilanda nikufurahiya
Good sana 🎉from Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Kweri ndio nimeshakubari wewe ni Simba kiraka ❤❤❤👏👏👏🙏🙏🌹🌹
Ewana iyindirimbo inatisha💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻
This is dope,I like it ❤❤
I like the song 😂😂😂😂 pesa ni kila kulitu
Sisi wa kenya hata like moja sijapata🥲🥲
Kumbe mkenya mwenzangu🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Utafika mbali broo
Comedy na Kuimba vyote ni vipaji vyako Stive🔥🔥🔥
Ungefugia kuku airport 🔥🔥🔥🔥😂😂😂😂
Bro Mbona Sengeli una iwezetu kwanini usiwe na fanya na sengeli pia ❤❤ love the song and Kopeni pia ni kali sana 😊
Big UP Steve , Ila badili style bro. Fanya mapiano piya
Nomaa iyo utishaaa sitv mweusi
Steve ni best from Kenya....wakenya mko wapi