Dulla Makabila - PITA HUKU (Official Video)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 гру 2022
  • Available On

КОМЕНТАРІ • 8 тис.

  • @erickmsigwa
    @erickmsigwa Рік тому +916

    Kama unaamini waliotaka kumfungia wimbo dulla wanamuonea gonga like

    • @producerema291
      @producerema291 Рік тому +12

      Ni uwivu tu

    • @petermsangi2701
      @petermsangi2701 Рік тому +11

      Kabisa

    • @zuberimashuhuri
      @zuberimashuhuri Рік тому +10

      nikwe nyimbo mzur lakini mbona shekhe ajamtaja imekaaje iyo

    • @erickmsigwa
      @erickmsigwa Рік тому +8

      @@zuberimashuhuri hakuna baya aliloongea yote mema

    • @halimamikinda4432
      @halimamikinda4432 Рік тому +13

      @@zuberimashuhuri Unahoji shekhe kwasababu kamtaja mchungaji? Hii siyo ligi ni wimbo tu suala la msingi mesej imefika kwa jamii, ukitaka ataje watu wote wimbo utafika dakika 100

  • @jameswisdomtz8580
    @jameswisdomtz8580 Рік тому +2241

    Jamani walio rudia marambilimbili nyimbo hii tujuwane kwa like tuwe wakweli tu💪💪💪

    • @beleoneo8395
      @beleoneo8395 Рік тому

      ua-cam.com/video/U5AsYNhf8Og/v-deo.html

    • @dullahsaleh8507
      @dullahsaleh8507 Рік тому +22

      Mpaka saiv nairudia

    • @princekimweri7532
      @princekimweri7532 Рік тому +8

      Hiii video iko PW Sana...ila hao madada wawili Tom na mwenzake wageonyesha sura ya kawaida (huzuni) kwa mtoa hukumu ilA cyo kujishebedua

    • @dorinechuwa9670
      @dorinechuwa9670 Рік тому +4

      Dah ipo vizuriii sanaaa dah

    • @fuadking597
      @fuadking597 Рік тому +5

      Oyaaaa. Bonge la dude makabila hatariiii✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾

  • @haronbwoy-vw1os
    @haronbwoy-vw1os Рік тому +65

    Huu wimbo unamafundisho mazuri Sana. Yani nikiingia UA-cam mpaka niurudie mara tatu na zaidi. Wapi mwengine wakurudia huu wimbo, mikono juu.👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿

  • @KevinWakliFitness
    @KevinWakliFitness Рік тому +189

    Tanzanians don't know how much we Kenyans love them...Tanzania 🇹🇿 Kenya 🇰🇪 loves you ❤️

    • @RuzoOwzy
      @RuzoOwzy Рік тому +2

      Ni kweli?? usije kuambiwa "pita huku" kwenye mlango wa moto

    • @lewismpangala927
      @lewismpangala927 Рік тому +2

      We understand

    • @erastuskim884
      @erastuskim884 Рік тому +3

      Tanzania nzuri kanipa mke mtoto mrangi kutoka kondoa

    • @cessmaina7887
      @cessmaina7887 Рік тому +3

      Lakini hawatupendi. Eti sisi hatuko creative,twaimba nyimbo zao. Yaani kuna jamaa aliimba vizuri kwa audition fulani hakupita juu aliimba nyimbo za Kenya.Mimi sikufurahia hata kidogo

    • @islammikidadi2136
      @islammikidadi2136 Рік тому +6

      We love Kenyans too

  • @tommyomar2672
    @tommyomar2672 Рік тому +401

    Jaman kwa mara ya kwanza Dulla Makabila ameamuwa kukosoa yanayofanyika katika jamii. Ila dulla yupo juu 😍😍😍🙌 sote East Africa tumpe like zatu sote😘😘

    • @juliusmaricha8836
      @juliusmaricha8836 Рік тому +3

      Hata ngoma ya makabila pia alikua anazungumzia mambo ya kwenye jamii kabisa🙌

    • @vboytz8262
      @vboytz8262 Рік тому +2

      Ngoma zake zote kali bn ata ile ya sema kweli kali kinoma

    • @ayubu5009
      @ayubu5009 Рік тому +2

      Nakubali sana wimbo huu

    • @mariamumdaki5298
      @mariamumdaki5298 Рік тому +2

      Hao waliotaka kumfungia,,wimbo unawachoma,,msg deliver

    • @jafarabubakar2735
      @jafarabubakar2735 Рік тому +2

      Huu wimbo dull ameamua kwel

  • @rizikikayombo6817
    @rizikikayombo6817 Рік тому +1004

    tunao seema huu wimbo ndio funga mwaka tujuane hapa kwa like moja🙏🙏✊✊✊✊✊

  • @williamsagala7081
    @williamsagala7081 Рік тому +26

    It's like a national anthem in Nairobi everywhere you go,,,,ewe Malaya pitahuku,,,,, good job,,,,,makabila,,

  • @georgemtangi8752
    @georgemtangi8752 Рік тому +10

    Bonge moja la singeli, nadhani itakuwa the best song of Sengeli kwa mwaka huu wa 2023 ingawa bado haujaisha, CONGRATS MY BROTHER MAKABILA

  • @prophetelibarikiboaz
    @prophetelibarikiboaz Рік тому +677

    Mimi ni mtumishi wa Mungu Pastor, niseme kwa dhati huu wimbo ni mzuri sana.

  • @Sofiasad9659
    @Sofiasad9659 Рік тому +171

    Waliyo angalia mara zote tujuwane ❤❤❤❤

  • @aishamzonge457
    @aishamzonge457 Рік тому +18

    congratulation Dulla =, wimbo mzuri sana na una fundisha jamii hongera sana Wasanii wa Tanzania mko vizuri sana .

  • @festomadunda3346
    @festomadunda3346 Рік тому +97

    Wimbo uko poa sana umefikisha ujumbe jaman tujifunze.wanao kubaliana na mimi nahitaji like zenu

  • @godsseruggo
    @godsseruggo Рік тому +414

    Nmependa idea+ubunifu usipo like pita Huku 😂😂😂🙌🙌😂

    • @MediaTv-zv6nw
      @MediaTv-zv6nw Рік тому +1

      😂😂😂😂😂

    • @Ramozee_tz3676
      @Ramozee_tz3676 Рік тому +1

      Kabisa dulla ninoma ubunifu mkubwa👍👍👍

    • @hafidhali4336
      @hafidhali4336 Рік тому +2

      Jamaa mbunifu yupo vizur. sijawahi kutoa like ila Leo nakupa like yangu mana nimeipenda sana comment yko😁😁😁

    • @reubenmathias7695
      @reubenmathias7695 Рік тому

      Me nimelike bhana😂😂😂

    • @mariajoseph1426
      @mariajoseph1426 Рік тому

      😂😂

  • @sophiaali5813
    @sophiaali5813 Рік тому +607

    Kama umeskia uchawi umepelekwa hadi wasafini, hata lava lava aimbe vipi haonekani ganga like hapa tafadhali 🙏❤️

  • @IrenMushi
    @IrenMushi 6 місяців тому +4

    huu wimbo n mzur kwel waliokuwa wanataka kumfungia huwenda yamewaingia na wameshaona njia waendayo kwasababu ya matendo yao❤❤❤❤❤❤😂😂😂🎉

  • @bennyedson-rg6jd
    @bennyedson-rg6jd 2 місяці тому +5

    Wanao kubari ngoma hii ad 2024 nione like zenu twende kazi🇷🇸🇷🇸

  • @fungobadman348
    @fungobadman348 Рік тому +67

    Wa kwanza mm dulla umeuwa sana Mwamba fanya hata kulike 🔥🔥🔥

  • @christinemwakabungu9201
    @christinemwakabungu9201 Рік тому +480

    Mafunzo makubwa sana .... wimbo huu una beba mengi na dunia kwasasa imeharibika ...Number one song for year 2022..... big up kwa ubunifu mkubwa.

    • @elishamwakasege9794
      @elishamwakasege9794 Рік тому +6

      Kabisa mama angu yaani wimbo mzuri una uhakisia ya mambo ya sasa

    • @immtm4930
      @immtm4930 Рік тому +4

      si mwaka (2022) huu pekee, bali hadi siku ya mwisho. Koment nzuri sana umeweka..

    • @gersonmshana8927
      @gersonmshana8927 Рік тому +3

      Sijaona tatizo tena amekemea mambo ya rushwa na ushoga yuko vizuri

    • @azminawanyika6201
      @azminawanyika6201 Рік тому +3

      Kabisa yan ametoa nyimbo tumecheka lakin ina mafundisho

    • @k-zeeclassic4946
      @k-zeeclassic4946 Рік тому +2

      ua-cam.com/video/ctz66S5kH8A/v-deo.html hapa je

  • @EdgestoneRealEstateKE
    @EdgestoneRealEstateKE Рік тому +18

    Dulla has allowed God to use him. This a pure class act!

  • @lameckkifaru5449
    @lameckkifaru5449 Рік тому +22

    Best song sang by best singeli singer, the message of this song talks about reality of the world as we see nowdays the world is affected by moral decay... more love to him

  • @raindoro5201
    @raindoro5201 Рік тому +605

    If you don't understand the meaning of art,basi pita huku...This song indeed is a masterpiece....Life being explained in artistic way...Thumbs up

  • @aishaothman8638
    @aishaothman8638 Рік тому +48

    Na kukubali Sana mdogo wangu hii imewezaa hadi ikaweza tena🇰🇪👑king of singeli Kenya we proud of you

  • @nassorosaid6351
    @nassorosaid6351 Рік тому +13

    Nyimbo inamafunzo ya maisha yafuatayo baada ya haya. Kongole Sana Dulla

  • @tanzaniatourismboard8395
    @tanzaniatourismboard8395 Рік тому +3

    Pongeza za dhati kwako DULLAH. Ubunifu wa Hali ya Juu. Waigizaji Wenye Viwango na Umakini wa Kazi Zao, Kuanzia MAMA Mtu Mzima, Salute Kwake...... DJ. DR. Hakimu... na wengine wametekeleza vyema jukumu la sehemu yao. Pongezi za kipekee kwa Dada wa Uturuki.... Ungetupitisha Kulia😁🤩🤩

  • @osheachannel4726
    @osheachannel4726 Рік тому +147

    Natamani ingekuwa ndefu kama taarab dakika 20 kama una mawazo kama yangu pita huku❣️❣️

  • @taqozer
    @taqozer Рік тому +78

    Kwa mara ya kwanza nimesikiliza na kutazama wimbo wa bongo flavor NIMETOA CHOZI..😭😭🙌🙌♥️♥️CREATIVITY, THE MESSAGE🙌🙌🙌🙌

    • @teclaadam8557
      @teclaadam8557 Рік тому

      😪😪😪😪😪

    • @hclever7731
      @hclever7731 Рік тому +1

      Na kwanini utoe chozi,,
      Pita huku
      👈

    • @sosoalsos9912
      @sosoalsos9912 Рік тому +1

      @@hclever7731 🤣🤣🤣🤣

    • @marsmars5361
      @marsmars5361 Рік тому +2

      Ngoma kali sana nimeipenda nailudia kila cku yani huu ndo ubunifu mzr respect makabila

    • @mariamkibindo1741
      @mariamkibindo1741 Рік тому

      @@hclever7731 hahaha 😂😂 una nini lakin

  • @maggiechege2523
    @maggiechege2523 Рік тому +12

    Tanzania got a lot of talents love u Dulla Makabila.

  • @azizamohammed7353
    @azizamohammed7353 Рік тому +5

    Am from Kenya and this is my best song ever.very educative.ninesikiliza mara mingi.

  • @khamisjuma8813
    @khamisjuma8813 Рік тому +577

    Aliesikiliza huu wimbo zaidi ya mara moja hebu tujuane kwa like

  • @therealjacob77
    @therealjacob77 Рік тому +27

    Huyu dulla makabila Wamoto saaana yaan kwa upande wa waimba singeli ni toooop🔥🔥🔥🔥 mtu akifanya vizuri apewe tu sifa zakee

  • @danielkihoza7330
    @danielkihoza7330 Рік тому +1

    Ngomaaaa kaliiiiiii sanaaaaa hakika makabilaaaaa tuzoooooo unastailiii ngoma inaujumbeeeee mzuliiiiii nimeiskia malaa (6)

  • @eshaomar2554
    @eshaomar2554 Рік тому +7

    Wow! Creativity if the highest level. Watanzania kipaji cha mziki Mungu kawatunuku kwa kweli. Hongerani.

  • @djkiin2544
    @djkiin2544 Рік тому +314

    Kama umesikiliza zaidi ya mara moja ngonga like

    • @fatumasuleiman6641
      @fatumasuleiman6641 Рік тому +2

      Diga nimeirudia mara 10na inaukweli ndaniyake

    • @snedemc
      @snedemc Рік тому +2

      KAZI NZURI KK

    • @djkiin2544
      @djkiin2544 Рік тому +1

      Kazi nzuri

    • @zachaamaster5378
      @zachaamaster5378 Рік тому +1

      #hii nyimbo Dunia Yani Dunia ndio msanii nayomkubari hanajua mpak anakera wacha yaitwe kingi wengine hao wafuata nyayo

  • @tashrimabdulqadry5643
    @tashrimabdulqadry5643 Рік тому +101

    Dulla mswahili uko unajua sana "nmerudia more than 3times , if na ww uko umemkubal gonga one like hapaaa....🎤🎵🎶🌴mziki mzurii

  • @godwinmpungwe8110
    @godwinmpungwe8110 Рік тому +1

    Nimekubali boooooooooongeeeeeee la video bonge la jumbe respect

  • @lennylion7937
    @lennylion7937 Рік тому +16

    I wish people cud understand how deep,powerful and real this music is

  • @g2.business649
    @g2.business649 Рік тому +103

    Nyimbo Bora duniani kutoka Tanzania jamani dula anaitaji kufanyiwa maombi ya baraka kutoka kwenye mazehebu zote duniani kupitia wimbo uhu aise mungu akubariki sana wimbo umetufikia apa ichini Sweden 🇸🇪 💥💥💥

  • @zainabomar7191
    @zainabomar7191 Рік тому +75

    Ni wimbo wenye maneno ya kweli kesho kwa mungu tutahukumiwa kwa dhambi zetu mungu atusamehe Kisha na atuongoze cc na vizazi vyetu

  • @user-cr8cs2qc8f
    @user-cr8cs2qc8f 5 місяців тому +2

    Daaah😂😂😂😂😂.dula umeweza.i sey nimecheka mbaya.safi sana mafunzo kabao dula.❤❤❤❤❤

  • @myname6513
    @myname6513 Рік тому +1

    Siamini sikuizi sengeli ndoimekuwa naujumbe Ivi ongera Sana dulla Kwa kuitambulisha vyema sengeri

  • @jackninja7678
    @jackninja7678 Рік тому +289

    Kama umeskiza hii ngoma Zaid ya mara Moja gonga Like 🔥🙌

  • @TopStoriesTZ
    @TopStoriesTZ Рік тому +85

    Kazi ya fasihi noma sana, atleast likes 50 🍿🍿🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Ngoma kali sana aisee

  • @MwigaAli-dy8xr
    @MwigaAli-dy8xr 9 місяців тому +2

    Bigap sana makabila umetish sana.kiukweli huu wimbo nimekubali sanaaaa👍💪💪💪💪

  • @DavidKaberia-rs4nf
    @DavidKaberia-rs4nf Рік тому +1

    kwa kweli dullah umesema kweli kabisa ulimwengu umearibika,safi sana kwa kazi yako nzuri🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @deusdeditymaglory6520
    @deusdeditymaglory6520 Рік тому +127

    Am in love with this song. Hii ndo tunasema kioo Cha jamii, Kama umeipenda gonga like.

  • @yohanemellau3220
    @yohanemellau3220 Рік тому +70

    Wimbo wa kufunga mwaka mzuri sana hizi ndo nyimbo za kuelimisha jamiiii blessed

  • @evelynlyimo1557
    @evelynlyimo1557 Рік тому

    Weweee shoga pita huku,,fire 🔥 will burn you to ashes...kahaba pita huku walevi na waongo wachawi mote mote pitenii hukuuu

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 Рік тому +1

    Dulla makabila you are a king of singeli much cretive content👏💪💪

  • @pellyrhebort6846
    @pellyrhebort6846 Рік тому +47

    Mm sichoki kusikiliza huu wimbo kama tupo wengi gonga like hapa

  • @suzanamwinuka312
    @suzanamwinuka312 Рік тому +144

    Wimbo mzuri sanaaaa mungu akutie nguvu kama umeulewa huu wimbo gonga laiki 🥰🥰🥰🥰🥰🥰😋😋😋😋

  • @daudinyello4033
    @daudinyello4033 9 місяців тому +1

    MLEVI, HAKIMU NA SHOGA wamevunja mbavu zangu kwa kucheka. Creativity

  • @BlqckG
    @BlqckG 7 місяців тому +1

    Dj got Kenyan bracelet . Much love from Kenya😍😍😍😍

  • @SWAHILINATION
    @SWAHILINATION Рік тому +535

    Now this’s music! Tunamatatizo mengi sana nchini zaidi ya mapenzi! Message delivered Congrats Makabila

  • @hamisiarabia7506
    @hamisiarabia7506 Рік тому +29

    NINOMA SANA MIMI NDO NISHA SEMA DULLA MAKABILA NDO KING OF SINGER Kila ngoma ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Ujawai Kosea

  • @salumalley7210
    @salumalley7210 Рік тому +1

    Makabila una weza we ni 🔥🔥 aisee huu wimbo ume andika wewe au ume andikiwa ume tisha mzee achana na hawa wanaimba eti chitaki makopo matupu

  • @glorygodson
    @glorygodson Рік тому

    Dula tunashukuru sana kwakutukumbusha Kuna siku tutasimama mbele zaMungu kulipia matendo yetu maovu tunayofanya hiyo nyimbo nikama mafunuo yaMungu ktk kuwaonya watu wasiokaa katk njia yautakatifu turudi kwenye utakatifu nyimbo nzuri sana imebeba ujumbe mzuri sana watakaoichukia wabasilike ukweli mchungu lakini ndio dawa yakupona dhambi zetu Ubarikiwe sana Kazi nzuri huna baya namtu asiokupenda akale sumu

  • @ngoziarts9623
    @ngoziarts9623 Рік тому +122

    Wanaotaka hii nyimbo iwe namba 1 gonga likes nyingi

  • @saumusalim5162
    @saumusalim5162 Рік тому +39

    Full mafunzo. Umekuja na style yko bro big up sio kila saa kuimba mapenzi tumesahau nyimbo huhamasisha jamii Asante dullah tuelimike kupitia huu wimbo Basi kama kuenda msikitini na kanisani shida.. gonga like ka mnakubaliana na dullah

  • @duniadunius2330
    @duniadunius2330 Рік тому +1

    Sikupingi big brother unajuwa mpaka unaumwa🔥🔥🔥✌️✌️✌️

  • @mamalandynangy52
    @mamalandynangy52 Рік тому

    Dullah Makabila! Huu wimbo umenipa somo Tosha! Hakuna garama ni MB kidogo tuu!!

  • @salmashafi2866
    @salmashafi2866 Рік тому +65

    tumechoka nyimbo za mapenzi na kukata viuno sasa tunataka kuelimishwa na kuburudishwa BIG up bro! mkiufungia huu wimbo mtatukosea sana asee while kuna watu wanakata mauno huko mnawaachia sikuhizi hadi watoto wadogo mtaani wa kiume wanakata mauno kama feni mbovu

  • @alukweKopite
    @alukweKopite Рік тому +26

    Creativity 100% ,kutoka Kenya 🇰🇪 nimependa hii sanaaa, Hongera kwa Utunzi huu

  • @glorysway1072
    @glorysway1072 Рік тому +1

    Hakika tuzo ilikuhusu huu sio wimbo tu ila ni ujumbe wa kutosha🔥🔥👏❤️

  • @naimamoddy
    @naimamoddy Рік тому +4

    Congratulation, beautiful melody, beautiful message; you did a great job, and you nailed it, brother. Keep up with great and beyond excellent.

  • @malkiadipaulo3602
    @malkiadipaulo3602 Рік тому +56

    Ukwely me naona basata kumfungia dulla makabila wanamkosea Sana huyu jamaa ni more critical thinking kuliko wanamuziki wote bongo angalia huo wimbo real life 🥰🥰🥰Kama nawe umeupenda gonga like hapo

  • @bizimanabizimana2131
    @bizimanabizimana2131 Рік тому +124

    dulla umetumia akili nyingi sana Kwa huu ubunifu, singeli hii inafundisha sana.
    Nipeni likes zangu.

  • @mummishy6107
    @mummishy6107 Рік тому +2

    hadi machozi yananitoka😭❤❤big up my bro kwa ubunifu mkubwa. 💕👌🏼👌🏼

  • @georgemahembe3940
    @georgemahembe3940 Рік тому +1

    Ujumbe mzuri sana kwa waafrica na Tanzania yetu imeonesha uhalisia wa maisha ya sasa ya watanzania

  • @skmwenyewe07
    @skmwenyewe07 Рік тому +80

    Huu wimbo usipo upenda wewe ni mchawi🔥🔥🔥

  • @eliusernest7741
    @eliusernest7741 Рік тому +17

    Hawa BASATA wameshindwa kufungia nyimbo za AMELOWA ,NITONGOZE Wanakuja kufungia Nyimbo yenye Kuelimisha Jamii Yetu kabisa 100% hii Nchi ya Ajabu sana hili waliangalie BIG UP sana DULLA MAKABILA Umetisha sana ALLAH bless you.

    • @jamaljahadhamy1757
      @jamaljahadhamy1757 Рік тому

      Pumbavuu wakifunga shezi tuu nyimbo ya kweli kabisa maneno knife ukweli kabisa

  • @warnercyber7987
    @warnercyber7987 Рік тому +1

    wimbo babu kubwa congrats MAKABILA

  • @bartazaryngalambe7981
    @bartazaryngalambe7981 Рік тому

    Aiseeeee kiukweli wimbo huuu kaimba kutokana na uhalisia wa mazingira na dunia tuliyonayo saivi anastahili tuzo ya wimbo bora ya mwaka

  • @MCagundacomedy
    @MCagundacomedy Рік тому +49

    My all time music for now playing it daily....Thanks DULLA MAKHABILA for this message,well presented... Receive my love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 hit like button if you agree

  • @jabalisoundsband747
    @jabalisoundsband747 Рік тому +94

    Mashabiki huu wimbo tuupe promooo ya kutoshaaa.....makabila banaaa ni motooooooo...content kaliii sanaaaaa.....weeeee....pita huku😂😂😂😄😄😄🙌🙌🙌

    • @miamia6155
      @miamia6155 Рік тому

      Umeona eeeh nyimbo kalii sana

    • @rahmaibrahim4518
      @rahmaibrahim4518 Рік тому

      💯🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

    • @hamisialli7942
      @hamisialli7942 Рік тому

      Mbona kama nyimbo haijaisha alafu imeisha.

  • @pheminaekirapa1562
    @pheminaekirapa1562 11 місяців тому

    tz dont know how we kenyans love their songs......hiii nimeikubaliiii sana hahaaaa hapo kwa malaya🤣🤣🤣

  • @easternsavages
    @easternsavages 9 місяців тому +2

    😂😂😂😂😂😂dulla ...uko juu ...... support from kenya

  • @farajalongo4528
    @farajalongo4528 Рік тому +126

    Hata wasanii na wanamziki hawajawahi kuwaza kitu kama hiki. That is UBUNIFU 🙌 Ujumbe umefika 🙌💪

    • @wenslausayieye9353
      @wenslausayieye9353 Рік тому +4

      Kweli

    • @ramzanqarim4977
      @ramzanqarim4977 Рік тому +3

      Kuna ile moja ya utajibu nini kwa mungu singeli sijui kaimba nani ila Kenya tunazikubali singeli

    • @kingrasdee445
      @kingrasdee445 Рік тому +3

      Kwel asee.

    • @kassimdinno
      @kassimdinno Рік тому +2

      Sasa unataka kila msanii au mtu awe na mawazo sawa na wengine? 😂😂

    • @farajalongo4528
      @farajalongo4528 Рік тому +2

      @@kassimdinno kila mtu anapenda na anataka ubunifu,,,, hata wewe 🙌😂

  • @nanjaboy232
    @nanjaboy232 Рік тому +42

    Duh bonge la ngoma nimesikiza mara kumi kumi!! SOMO KUBWA SANA UMETISHA 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @harounsaid580
    @harounsaid580 Рік тому

    Siskilizagi singeli bt huyu jamaa ni mbunifu sana ....umeupiga mwingi sana hujaimba matusi na ujumbe umefka vzr sana.
    Mola awaongoze

  • @diddahtv2512
    @diddahtv2512 Рік тому +1

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 most likely tunaipenda,mlevi na Dj kaingia peponi

  • @officialidakeys
    @officialidakeys Рік тому +105

    Dulla Never Disappoint 🔥🔥🔥
    Tulio Rudilia Rudilia Nyimbo ihi mara Mbili Mbili Like Apa Tujuane

  • @allykachumia9623
    @allykachumia9623 Рік тому +48

    Nimeipenda hii bwana dula embu na wewe pita uku!

  • @gracemukholi9487
    @gracemukholi9487 Рік тому

    Hongera, nice song, have repeated it more than once... Congratulations

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl 7 місяців тому

    Ongera kamanda sanaa umeitendea haki ubunifu wa hali ya juu ,ila ongeza jitiada ya kubuuni zaaindi kwa sanaa ni pana mno ,muundu wa wimbaji ,mtindo wa uchezaji, ubunifu wa mavazi ,mazingira, yani sanaa ni pana sana

  • @bahatikenya
    @bahatikenya Рік тому +987

    This is Creative My Brother 💥💥💥 Cheers to good Music 👑👑👑

    • @manerick3568
      @manerick3568 Рік тому +19

      Baha kapitisha hili goma

    • @felisteremmanuel3648
      @felisteremmanuel3648 Рік тому +19

      Nilijua ni account fake kumbe ni official bahati kenya support ya hali ya juu sana.

    • @tunumponda8150
      @tunumponda8150 Рік тому +13

      Asante baba heavy

    • @sultanking1337
      @sultanking1337 Рік тому +7

      🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥🔥

    • @teechake_0018
      @teechake_0018 Рік тому +21

      we bahati pita huku🔥🚪🔥

  • @saidially5892
    @saidially5892 Рік тому +16

    nyimbo zenye kuelimisha
    mnataka kufungia,
    za kupotosha Mnaziachia.
    BASATA PITA UKU🔥🔥😂😂😂

    • @mariakomba4666
      @mariakomba4666 Рік тому

      🤣🤣🤣

    • @kendrickwizz
      @kendrickwizz Рік тому

      😂😂😂😂🛌

    • @kendrickwizz
      @kendrickwizz Рік тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂iyi nchi inamambo😂

    • @catherinedonald9931
      @catherinedonald9931 Рік тому

      😅😅😅😅😅🚶‍♀️

    • @tabithakasake8492
      @tabithakasake8492 Рік тому

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 12 днів тому

    Dulla Is Another Level In Singeliii🔥🔥🔥🇹🇿🔥🔥

  • @AminahHassan-oo7ot
    @AminahHassan-oo7ot Рік тому +1

    Hii nyimbo inaelimisha sana kwa dunia tulio nayo kwasasa aisee kaz nzur

  • @faithaunga2485
    @faithaunga2485 Рік тому +244

    These are the songs we need in the music Industry, hongera sana wimbo mzuri huu

  • @mcmasika
    @mcmasika Рік тому +28

    Hii creativity ya hali ya juu, nmerudia mara ya mia moja. Much love from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪. Mtu anakuita aje show yake

  • @PendoPaul-jq9kb
    @PendoPaul-jq9kb 5 місяців тому

    Kwa wimbo huu mm ningelia ningerud Kwa mume Wang yaan Dullah umeimba Kwa hisia za ndani za uchungu zaly ungemvumilia D tofaut zinasuruhishwa my

  • @afroallanke
    @afroallanke Рік тому

    Dulla umekuwa wapi all this time all in all on repeat!

  • @elleng5227
    @elleng5227 Рік тому +15

    Ahsante kwa kulisaidia kanisa lililolala kukemea uovu, ahsante kwa kutokuimba matusi na kusifia uovu kama ilivyo jadi ya wengi zama hizi bongo, God bless u Man

  • @charlespseleli001
    @charlespseleli001 Рік тому +88

    Mimi sio shabiki wa singeli ila huu wimbo ni hatari sana kuanzia sahv ni shabiki wa dulla Makabila let's join to support this song by sharing in our groups

  • @jafarylyimo5783
    @jafarylyimo5783 Рік тому +1

    King of singeli, aisee dullah hajawai nidissapoint kamwe 🔥🔥🔥 kama unakubaliana na mimi gonga like hapa

  • @user-xn5pc4xj5u
    @user-xn5pc4xj5u 4 місяці тому +2

    Nimerudi 2024 dullah❤❤🎉🎉

  • @medimsafi
    @medimsafi Рік тому +24

    @dulla makabila umepita kwenye ujumbe wa watu jamaan hiii ni funga mwaka brother nakubali sana mwenye uwezo atulipe hiii team MAKABILA gonga like kama unamkubali

  • @alfredajab8463
    @alfredajab8463 Рік тому +184

    In my opinion...This is the Song of the Year 2022... Love from Kenya 💯💯💯💯💯💯💯

  • @ashuamal5385
    @ashuamal5385 Рік тому +1

    Umetisha sana kaka,wewe mama pita huku 💃👯‍♀️🕺

  • @user-et6bv6pm1s
    @user-et6bv6pm1s 9 місяців тому +4

    Dulla makabila is on another level