@@zuberimashuhuri Unahoji shekhe kwasababu kamtaja mchungaji? Hii siyo ligi ni wimbo tu suala la msingi mesej imefika kwa jamii, ukitaka ataje watu wote wimbo utafika dakika 100
Huu wimbo unamafundisho mazuri Sana. Yani nikiingia UA-cam mpaka niurudie mara tatu na zaidi. Wapi mwengine wakurudia huu wimbo, mikono juu.👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿
Lakini hawatupendi. Eti sisi hatuko creative,twaimba nyimbo zao. Yaani kuna jamaa aliimba vizuri kwa audition fulani hakupita juu aliimba nyimbo za Kenya.Mimi sikufurahia hata kidogo
Best song sang by best singeli singer, the message of this song talks about reality of the world as we see nowdays the world is affected by moral decay... more love to him
Pongeza za dhati kwako DULLAH. Ubunifu wa Hali ya Juu. Waigizaji Wenye Viwango na Umakini wa Kazi Zao, Kuanzia MAMA Mtu Mzima, Salute Kwake...... DJ. DR. Hakimu... na wengine wametekeleza vyema jukumu la sehemu yao. Pongezi za kipekee kwa Dada wa Uturuki.... Ungetupitisha Kulia😁🤩🤩
Nyimbo Bora duniani kutoka Tanzania jamani dula anaitaji kufanyiwa maombi ya baraka kutoka kwenye mazehebu zote duniani kupitia wimbo uhu aise mungu akubariki sana wimbo umetufikia apa ichini Sweden 🇸🇪 💥💥💥
Dula tunashukuru sana kwakutukumbusha Kuna siku tutasimama mbele zaMungu kulipia matendo yetu maovu tunayofanya hiyo nyimbo nikama mafunuo yaMungu ktk kuwaonya watu wasiokaa katk njia yautakatifu turudi kwenye utakatifu nyimbo nzuri sana imebeba ujumbe mzuri sana watakaoichukia wabasilike ukweli mchungu lakini ndio dawa yakupona dhambi zetu Ubarikiwe sana Kazi nzuri huna baya namtu asiokupenda akale sumu
Full mafunzo. Umekuja na style yko bro big up sio kila saa kuimba mapenzi tumesahau nyimbo huhamasisha jamii Asante dullah tuelimike kupitia huu wimbo Basi kama kuenda msikitini na kanisani shida.. gonga like ka mnakubaliana na dullah
tumechoka nyimbo za mapenzi na kukata viuno sasa tunataka kuelimishwa na kuburudishwa BIG up bro! mkiufungia huu wimbo mtatukosea sana asee while kuna watu wanakata mauno huko mnawaachia sikuhizi hadi watoto wadogo mtaani wa kiume wanakata mauno kama feni mbovu
Ukwely me naona basata kumfungia dulla makabila wanamkosea Sana huyu jamaa ni more critical thinking kuliko wanamuziki wote bongo angalia huo wimbo real life 🥰🥰🥰Kama nawe umeupenda gonga like hapo
Hawa BASATA wameshindwa kufungia nyimbo za AMELOWA ,NITONGOZE Wanakuja kufungia Nyimbo yenye Kuelimisha Jamii Yetu kabisa 100% hii Nchi ya Ajabu sana hili waliangalie BIG UP sana DULLA MAKABILA Umetisha sana ALLAH bless you.
My all time music for now playing it daily....Thanks DULLA MAKHABILA for this message,well presented... Receive my love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 hit like button if you agree
Ongera kamanda sanaa umeitendea haki ubunifu wa hali ya juu ,ila ongeza jitiada ya kubuuni zaaindi kwa sanaa ni pana mno ,muundu wa wimbaji ,mtindo wa uchezaji, ubunifu wa mavazi ,mazingira, yani sanaa ni pana sana
Ahsante kwa kulisaidia kanisa lililolala kukemea uovu, ahsante kwa kutokuimba matusi na kusifia uovu kama ilivyo jadi ya wengi zama hizi bongo, God bless u Man
Mimi sio shabiki wa singeli ila huu wimbo ni hatari sana kuanzia sahv ni shabiki wa dulla Makabila let's join to support this song by sharing in our groups
@dulla makabila umepita kwenye ujumbe wa watu jamaan hiii ni funga mwaka brother nakubali sana mwenye uwezo atulipe hiii team MAKABILA gonga like kama unamkubali
Kama unaamini waliotaka kumfungia wimbo dulla wanamuonea gonga like
Ni uwivu tu
Kabisa
nikwe nyimbo mzur lakini mbona shekhe ajamtaja imekaaje iyo
@@zuberimashuhuri hakuna baya aliloongea yote mema
@@zuberimashuhuri Unahoji shekhe kwasababu kamtaja mchungaji? Hii siyo ligi ni wimbo tu suala la msingi mesej imefika kwa jamii, ukitaka ataje watu wote wimbo utafika dakika 100
Jamani walio rudia marambilimbili nyimbo hii tujuwane kwa like tuwe wakweli tu💪💪💪
ua-cam.com/video/U5AsYNhf8Og/v-deo.html
Mpaka saiv nairudia
Hiii video iko PW Sana...ila hao madada wawili Tom na mwenzake wageonyesha sura ya kawaida (huzuni) kwa mtoa hukumu ilA cyo kujishebedua
Dah ipo vizuriii sanaaa dah
Oyaaaa. Bonge la dude makabila hatariiii✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾
Huu wimbo unamafundisho mazuri Sana. Yani nikiingia UA-cam mpaka niurudie mara tatu na zaidi. Wapi mwengine wakurudia huu wimbo, mikono juu.👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿
Together 👏
Wa kayumba "MAMA"❤❤❤
Tanzanians don't know how much we Kenyans love them...Tanzania 🇹🇿 Kenya 🇰🇪 loves you ❤️
Ni kweli?? usije kuambiwa "pita huku" kwenye mlango wa moto
We understand
Tanzania nzuri kanipa mke mtoto mrangi kutoka kondoa
Lakini hawatupendi. Eti sisi hatuko creative,twaimba nyimbo zao. Yaani kuna jamaa aliimba vizuri kwa audition fulani hakupita juu aliimba nyimbo za Kenya.Mimi sikufurahia hata kidogo
We love Kenyans too
Jaman kwa mara ya kwanza Dulla Makabila ameamuwa kukosoa yanayofanyika katika jamii. Ila dulla yupo juu 😍😍😍🙌 sote East Africa tumpe like zatu sote😘😘
Hata ngoma ya makabila pia alikua anazungumzia mambo ya kwenye jamii kabisa🙌
Ngoma zake zote kali bn ata ile ya sema kweli kali kinoma
Nakubali sana wimbo huu
Hao waliotaka kumfungia,,wimbo unawachoma,,msg deliver
Huu wimbo dull ameamua kwel
tunao seema huu wimbo ndio funga mwaka tujuane hapa kwa like moja🙏🙏✊✊✊✊✊
Mie nasema ufunge mwaka
😂😂😂
Kabisa..huu ndo tunafungia mwaka..💪🏾💪🏾
100/100
💯💯
It's like a national anthem in Nairobi everywhere you go,,,,ewe Malaya pitahuku,,,,, good job,,,,,makabila,,
Bonge moja la singeli, nadhani itakuwa the best song of Sengeli kwa mwaka huu wa 2023 ingawa bado haujaisha, CONGRATS MY BROTHER MAKABILA
Mimi ni mtumishi wa Mungu Pastor, niseme kwa dhati huu wimbo ni mzuri sana.
Mashalah 🙏♥️
Pita Huku😆😆😆
@@edwardmbithi2831 hahahaha
Kabisa
Ww mtumishi pita huku..
Waliyo angalia mara zote tujuwane ❤❤❤❤
🙌🙌 pitieni kwngu pia
Dhyd ua-cam.com/video/HLqvhu8vj98/v-deo.html
Yani wew acha tu hiii nymbo nzur
congratulation Dulla =, wimbo mzuri sana na una fundisha jamii hongera sana Wasanii wa Tanzania mko vizuri sana .
Wimbo uko poa sana umefikisha ujumbe jaman tujifunze.wanao kubaliana na mimi nahitaji like zenu
Safisafi tujuane shusha handle
Nmependa idea+ubunifu usipo like pita Huku 😂😂😂🙌🙌😂
😂😂😂😂😂
Kabisa dulla ninoma ubunifu mkubwa👍👍👍
Jamaa mbunifu yupo vizur. sijawahi kutoa like ila Leo nakupa like yangu mana nimeipenda sana comment yko😁😁😁
Me nimelike bhana😂😂😂
😂😂
Kama umeskia uchawi umepelekwa hadi wasafini, hata lava lava aimbe vipi haonekani ganga like hapa tafadhali 🙏❤️
Kwer ajawai pendw jaman😢
Aaaaaah 🔥🔥🔥
Noma huyo dula makabila
@@jannethcharles9658;
Nimesubscribuu huu wimbo hatari
huu wimbo n mzur kwel waliokuwa wanataka kumfungia huwenda yamewaingia na wameshaona njia waendayo kwasababu ya matendo yao❤❤❤❤❤❤😂😂😂🎉
Kabisa big up you sister
Wanao kubari ngoma hii ad 2024 nione like zenu twende kazi🇷🇸🇷🇸
😅Dhjgbbhft😮i
Wa kwanza mm dulla umeuwa sana Mwamba fanya hata kulike 🔥🔥🔥
Mafunzo makubwa sana .... wimbo huu una beba mengi na dunia kwasasa imeharibika ...Number one song for year 2022..... big up kwa ubunifu mkubwa.
Kabisa mama angu yaani wimbo mzuri una uhakisia ya mambo ya sasa
si mwaka (2022) huu pekee, bali hadi siku ya mwisho. Koment nzuri sana umeweka..
Sijaona tatizo tena amekemea mambo ya rushwa na ushoga yuko vizuri
Kabisa yan ametoa nyimbo tumecheka lakin ina mafundisho
ua-cam.com/video/ctz66S5kH8A/v-deo.html hapa je
Dulla has allowed God to use him. This a pure class act!
In ukweli hiyo bro
Best song sang by best singeli singer, the message of this song talks about reality of the world as we see nowdays the world is affected by moral decay... more love to him
If you don't understand the meaning of art,basi pita huku...This song indeed is a masterpiece....Life being explained in artistic way...Thumbs up
Kweli basata wapite huku
Dah nimependa huu wimbo atari
Absolutely 💯
Dulla makabila anajua mpaka anajua tena... ngoma ni 🔥🔥🔥
Nimepend Kwa dj
Na kukubali Sana mdogo wangu hii imewezaa hadi ikaweza tena🇰🇪👑king of singeli Kenya we proud of you
Nyimbo inamafunzo ya maisha yafuatayo baada ya haya. Kongole Sana Dulla
Pongeza za dhati kwako DULLAH. Ubunifu wa Hali ya Juu. Waigizaji Wenye Viwango na Umakini wa Kazi Zao, Kuanzia MAMA Mtu Mzima, Salute Kwake...... DJ. DR. Hakimu... na wengine wametekeleza vyema jukumu la sehemu yao. Pongezi za kipekee kwa Dada wa Uturuki.... Ungetupitisha Kulia😁🤩🤩
Natamani ingekuwa ndefu kama taarab dakika 20 kama una mawazo kama yangu pita huku❣️❣️
Aah jamani wenye mawazo kama yako tunaendaje ety??
😂😂😂pita uku
Jdur ua-cam.com/video/HLqvhu8vj98/v-deo.html
🤣🤣🤣🤣
Wapi🚶🚶🚶
Kwa mara ya kwanza nimesikiliza na kutazama wimbo wa bongo flavor NIMETOA CHOZI..😭😭🙌🙌♥️♥️CREATIVITY, THE MESSAGE🙌🙌🙌🙌
😪😪😪😪😪
Na kwanini utoe chozi,,
Pita huku
👈
@@hclever7731 🤣🤣🤣🤣
Ngoma kali sana nimeipenda nailudia kila cku yani huu ndo ubunifu mzr respect makabila
@@hclever7731 hahaha 😂😂 una nini lakin
Tanzania got a lot of talents love u Dulla Makabila.
Am from Kenya and this is my best song ever.very educative.ninesikiliza mara mingi.
Aliesikiliza huu wimbo zaidi ya mara moja hebu tujuane kwa like
ua-cam.com/video/tpiG_1fZsOk/v-deo.html unampa ngapi huyu
Mimi mara 7
Hii mara ya 3
Mie mara nying tu
Big up
Huyu dulla makabila Wamoto saaana yaan kwa upande wa waimba singeli ni toooop🔥🔥🔥🔥 mtu akifanya vizuri apewe tu sifa zakee
Ngomaaaa kaliiiiiii sanaaaaa hakika makabilaaaaa tuzoooooo unastailiii ngoma inaujumbeeeee mzuliiiiii nimeiskia malaa (6)
Wow! Creativity if the highest level. Watanzania kipaji cha mziki Mungu kawatunuku kwa kweli. Hongerani.
Kama umesikiliza zaidi ya mara moja ngonga like
Diga nimeirudia mara 10na inaukweli ndaniyake
KAZI NZURI KK
Kazi nzuri
#hii nyimbo Dunia Yani Dunia ndio msanii nayomkubari hanajua mpak anakera wacha yaitwe kingi wengine hao wafuata nyayo
Dulla mswahili uko unajua sana "nmerudia more than 3times , if na ww uko umemkubal gonga one like hapaaa....🎤🎵🎶🌴mziki mzurii
Nimekubali boooooooooongeeeeeee la video bonge la jumbe respect
I wish people cud understand how deep,powerful and real this music is
Nyimbo Bora duniani kutoka Tanzania jamani dula anaitaji kufanyiwa maombi ya baraka kutoka kwenye mazehebu zote duniani kupitia wimbo uhu aise mungu akubariki sana wimbo umetufikia apa ichini Sweden 🇸🇪 💥💥💥
Ila yeye anaye hukumu ni kama nani umefkiria iloo?
chaajabu ameitwa basata eti
Aliekuambia anahukumu nani?
Mjinga wewe!!!!!
HAYA PITA HUKU😂
Wimbo Bora duniani ndo kweli elimu muhimu
Mzr
Ni wimbo wenye maneno ya kweli kesho kwa mungu tutahukumiwa kwa dhambi zetu mungu atusamehe Kisha na atuongoze cc na vizazi vyetu
Amina
Jdueu ua-cam.com/video/HLqvhu8vj98/v-deo.html
Amiin 🤲
Daaah😂😂😂😂😂.dula umeweza.i sey nimecheka mbaya.safi sana mafunzo kabao dula.❤❤❤❤❤
Siamini sikuizi sengeli ndoimekuwa naujumbe Ivi ongera Sana dulla Kwa kuitambulisha vyema sengeri
Kama umeskiza hii ngoma Zaid ya mara Moja gonga Like 🔥🙌
Sichoki kuiskiliza
Nimeanglia mala sita mbaka sasa
Tup Pamoja Aiseee🤜🤛
Kazi ya fasihi noma sana, atleast likes 50 🍿🍿🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Ngoma kali sana aisee
Bigap sana makabila umetish sana.kiukweli huu wimbo nimekubali sanaaaa👍💪💪💪💪
kwa kweli dullah umesema kweli kabisa ulimwengu umearibika,safi sana kwa kazi yako nzuri🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Am in love with this song. Hii ndo tunasema kioo Cha jamii, Kama umeipenda gonga like.
👍
Hiyo ngoma pw Sanatujifunze kt
Madii
Dul
D nakupenda bure nakuamin Sana nakuombea kila siku naww wajua
Wimbo wa kufunga mwaka mzuri sana hizi ndo nyimbo za kuelimisha jamiiii blessed
Weweee shoga pita huku,,fire 🔥 will burn you to ashes...kahaba pita huku walevi na waongo wachawi mote mote pitenii hukuuu
Dulla makabila you are a king of singeli much cretive content👏💪💪
Mm sichoki kusikiliza huu wimbo kama tupo wengi gonga like hapa
Wimbo mzuri sanaaaa mungu akutie nguvu kama umeulewa huu wimbo gonga laiki 🥰🥰🥰🥰🥰🥰😋😋😋😋
Wimbo mzuri sanaaaa
Samahn lkn kwnye Mungu wekaga herufi kubwa ya kwanza
MLEVI, HAKIMU NA SHOGA wamevunja mbavu zangu kwa kucheka. Creativity
Dj got Kenyan bracelet . Much love from Kenya😍😍😍😍
Now this’s music! Tunamatatizo mengi sana nchini zaidi ya mapenzi! Message delivered Congrats Makabila
Masage ime wafikia kabisa 😂 nikweli lava lava nimkali sana ila ndo ivoo
@@sophiaali5813 umeonae
Makn San brother
Atar sana😅😅
nhnh
NINOMA SANA MIMI NDO NISHA SEMA DULLA MAKABILA NDO KING OF SINGER Kila ngoma ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Ujawai Kosea
Makabila una weza we ni 🔥🔥 aisee huu wimbo ume andika wewe au ume andikiwa ume tisha mzee achana na hawa wanaimba eti chitaki makopo matupu
Dula tunashukuru sana kwakutukumbusha Kuna siku tutasimama mbele zaMungu kulipia matendo yetu maovu tunayofanya hiyo nyimbo nikama mafunuo yaMungu ktk kuwaonya watu wasiokaa katk njia yautakatifu turudi kwenye utakatifu nyimbo nzuri sana imebeba ujumbe mzuri sana watakaoichukia wabasilike ukweli mchungu lakini ndio dawa yakupona dhambi zetu Ubarikiwe sana Kazi nzuri huna baya namtu asiokupenda akale sumu
Wanaotaka hii nyimbo iwe namba 1 gonga likes nyingi
Full mafunzo. Umekuja na style yko bro big up sio kila saa kuimba mapenzi tumesahau nyimbo huhamasisha jamii Asante dullah tuelimike kupitia huu wimbo Basi kama kuenda msikitini na kanisani shida.. gonga like ka mnakubaliana na dullah
Sikupingi big brother unajuwa mpaka unaumwa🔥🔥🔥✌️✌️✌️
Dullah Makabila! Huu wimbo umenipa somo Tosha! Hakuna garama ni MB kidogo tuu!!
tumechoka nyimbo za mapenzi na kukata viuno sasa tunataka kuelimishwa na kuburudishwa BIG up bro! mkiufungia huu wimbo mtatukosea sana asee while kuna watu wanakata mauno huko mnawaachia sikuhizi hadi watoto wadogo mtaani wa kiume wanakata mauno kama feni mbovu
Nakubal akili nyingi sana
gonga like kama umeukubali wimbo huu
#yani hili goma tamu mpak rinakera goma ramwaka
Creativity 100% ,kutoka Kenya 🇰🇪 nimependa hii sanaaa, Hongera kwa Utunzi huu
Hakika tuzo ilikuhusu huu sio wimbo tu ila ni ujumbe wa kutosha🔥🔥👏❤️
Congratulation, beautiful melody, beautiful message; you did a great job, and you nailed it, brother. Keep up with great and beyond excellent.
Ukwely me naona basata kumfungia dulla makabila wanamkosea Sana huyu jamaa ni more critical thinking kuliko wanamuziki wote bongo angalia huo wimbo real life 🥰🥰🥰Kama nawe umeupenda gonga like hapo
Amesema ukweli mtu jamani
dulla umetumia akili nyingi sana Kwa huu ubunifu, singeli hii inafundisha sana.
Nipeni likes zangu.
Sanaaaaa
Agrey sio powa umepatia na mama mtuu mzima
Chukuwaaa
Ubunifu...wakujipasifa za mungu!!!
#hii goma Dunia nzima hakuna ujumbe wake milele
hadi machozi yananitoka😭❤❤big up my bro kwa ubunifu mkubwa. 💕👌🏼👌🏼
Ujumbe mzuri sana kwa waafrica na Tanzania yetu imeonesha uhalisia wa maisha ya sasa ya watanzania
Huu wimbo usipo upenda wewe ni mchawi🔥🔥🔥
I'm happy to listen
Apite huku
😀😀😀😀na upite huku
Hawa BASATA wameshindwa kufungia nyimbo za AMELOWA ,NITONGOZE Wanakuja kufungia Nyimbo yenye Kuelimisha Jamii Yetu kabisa 100% hii Nchi ya Ajabu sana hili waliangalie BIG UP sana DULLA MAKABILA Umetisha sana ALLAH bless you.
Pumbavuu wakifunga shezi tuu nyimbo ya kweli kabisa maneno knife ukweli kabisa
wimbo babu kubwa congrats MAKABILA
Aiseeeee kiukweli wimbo huuu kaimba kutokana na uhalisia wa mazingira na dunia tuliyonayo saivi anastahili tuzo ya wimbo bora ya mwaka
My all time music for now playing it daily....Thanks DULLA MAKHABILA for this message,well presented... Receive my love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 hit like button if you agree
💜💜
Mashabiki huu wimbo tuupe promooo ya kutoshaaa.....makabila banaaa ni motooooooo...content kaliii sanaaaaa.....weeeee....pita huku😂😂😂😄😄😄🙌🙌🙌
Umeona eeeh nyimbo kalii sana
💯🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mbona kama nyimbo haijaisha alafu imeisha.
tz dont know how we kenyans love their songs......hiii nimeikubaliiii sana hahaaaa hapo kwa malaya🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂dulla ...uko juu ...... support from kenya
Hata wasanii na wanamziki hawajawahi kuwaza kitu kama hiki. That is UBUNIFU 🙌 Ujumbe umefika 🙌💪
Kweli
Kuna ile moja ya utajibu nini kwa mungu singeli sijui kaimba nani ila Kenya tunazikubali singeli
Kwel asee.
Sasa unataka kila msanii au mtu awe na mawazo sawa na wengine? 😂😂
@@kassimdinno kila mtu anapenda na anataka ubunifu,,,, hata wewe 🙌😂
Duh bonge la ngoma nimesikiza mara kumi kumi!! SOMO KUBWA SANA UMETISHA 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hapo kwa shog* PITA HUKU 😂 nimepapenda sana
Mmh mbn wengn ha2juw
@@robbymidelo4640 dondoka UA-cam ujionee
Siskilizagi singeli bt huyu jamaa ni mbunifu sana ....umeupiga mwingi sana hujaimba matusi na ujumbe umefka vzr sana.
Mola awaongoze
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 most likely tunaipenda,mlevi na Dj kaingia peponi
Dulla Never Disappoint 🔥🔥🔥
Tulio Rudilia Rudilia Nyimbo ihi mara Mbili Mbili Like Apa Tujuane
hhhhhh🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Unajua ila vingine umeacha kutaja
@@nwakajohn800 Kabisa
@@Wasafitv.4.33M 😅😅😁😁
Dullah Dullah Dullah wajina wangu apa umeua sana yani we kwenye singeli unakijiji chako📌
Nimeipenda hii bwana dula embu na wewe pita uku!
natamani iwe ndefu hili chupa 👊
Hongera, nice song, have repeated it more than once... Congratulations
Ongera kamanda sanaa umeitendea haki ubunifu wa hali ya juu ,ila ongeza jitiada ya kubuuni zaaindi kwa sanaa ni pana mno ,muundu wa wimbaji ,mtindo wa uchezaji, ubunifu wa mavazi ,mazingira, yani sanaa ni pana sana
This is Creative My Brother 💥💥💥 Cheers to good Music 👑👑👑
Baha kapitisha hili goma
Nilijua ni account fake kumbe ni official bahati kenya support ya hali ya juu sana.
Asante baba heavy
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥🔥
we bahati pita huku🔥🚪🔥
nyimbo zenye kuelimisha
mnataka kufungia,
za kupotosha Mnaziachia.
BASATA PITA UKU🔥🔥😂😂😂
🤣🤣🤣
😂😂😂😂🛌
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂iyi nchi inamambo😂
😅😅😅😅😅🚶♀️
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Dulla Is Another Level In Singeliii🔥🔥🔥🇹🇿🔥🔥
Hii nyimbo inaelimisha sana kwa dunia tulio nayo kwasasa aisee kaz nzur
These are the songs we need in the music Industry, hongera sana wimbo mzuri huu
Hii creativity ya hali ya juu, nmerudia mara ya mia moja. Much love from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪. Mtu anakuita aje show yake
Kwa wimbo huu mm ningelia ningerud Kwa mume Wang yaan Dullah umeimba Kwa hisia za ndani za uchungu zaly ungemvumilia D tofaut zinasuruhishwa my
Dulla umekuwa wapi all this time all in all on repeat!
Ahsante kwa kulisaidia kanisa lililolala kukemea uovu, ahsante kwa kutokuimba matusi na kusifia uovu kama ilivyo jadi ya wengi zama hizi bongo, God bless u Man
Mimi sio shabiki wa singeli ila huu wimbo ni hatari sana kuanzia sahv ni shabiki wa dulla Makabila let's join to support this song by sharing in our groups
King of singeli, aisee dullah hajawai nidissapoint kamwe 🔥🔥🔥 kama unakubaliana na mimi gonga like hapa
Nimerudi 2024 dullah❤❤🎉🎉
@dulla makabila umepita kwenye ujumbe wa watu jamaan hiii ni funga mwaka brother nakubali sana mwenye uwezo atulipe hiii team MAKABILA gonga like kama unamkubali
Dulla toa part 2. waambie wajue.
In my opinion...This is the Song of the Year 2022... Love from Kenya 💯💯💯💯💯💯💯
We Mkenya PITA HUKU
I like this song brother
Hii nyimbo hatari kama uingalia zaidi ya matatu tujuane Dah umeomba babaa
Big up makabila !! Good song 🙏✔️💯
Umetisha sana kaka,wewe mama pita huku 💃👯♀️🕺
Dulla makabila is on another level