Dulla Makabila - PITA HUKU (Official Video)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 9 тис.

  • @tommyomar2672
    @tommyomar2672 2 роки тому +449

    Jaman kwa mara ya kwanza Dulla Makabila ameamuwa kukosoa yanayofanyika katika jamii. Ila dulla yupo juu 😍😍😍🙌 sote East Africa tumpe like zatu sote😘😘

    • @juliusmaricha8836
      @juliusmaricha8836 2 роки тому +6

      Hata ngoma ya makabila pia alikua anazungumzia mambo ya kwenye jamii kabisa🙌

    • @vboytz8262
      @vboytz8262 2 роки тому +3

      Ngoma zake zote kali bn ata ile ya sema kweli kali kinoma

    • @ayubu5009
      @ayubu5009 2 роки тому +3

      Nakubali sana wimbo huu

    • @mariamumdaki5298
      @mariamumdaki5298 2 роки тому +2

      Hao waliotaka kumfungia,,wimbo unawachoma,,msg deliver

    • @jafarabubakar2735
      @jafarabubakar2735 2 роки тому +2

      Huu wimbo dull ameamua kwel

  • @danielkihoza7330
    @danielkihoza7330 2 роки тому +6

    Ngomaaaa kaliiiiiii sanaaaaa hakika makabilaaaaa tuzoooooo unastailiii ngoma inaujumbeeeee mzuliiiiii nimeiskia malaa (6)

  • @prophetelibarikiboaz
    @prophetelibarikiboaz 2 роки тому +714

    Mimi ni mtumishi wa Mungu Pastor, niseme kwa dhati huu wimbo ni mzuri sana.

  • @IrenMushi
    @IrenMushi Рік тому +13

    huu wimbo n mzur kwel waliokuwa wanataka kumfungia huwenda yamewaingia na wameshaona njia waendayo kwasababu ya matendo yao❤❤❤❤❤❤😂😂😂🎉

  • @christinemwakabungu9201
    @christinemwakabungu9201 2 роки тому +486

    Mafunzo makubwa sana .... wimbo huu una beba mengi na dunia kwasasa imeharibika ...Number one song for year 2022..... big up kwa ubunifu mkubwa.

    • @elishamwakasege9794
      @elishamwakasege9794 2 роки тому +6

      Kabisa mama angu yaani wimbo mzuri una uhakisia ya mambo ya sasa

    • @immtm4930
      @immtm4930 2 роки тому +4

      si mwaka (2022) huu pekee, bali hadi siku ya mwisho. Koment nzuri sana umeweka..

    • @gersonmshana8927
      @gersonmshana8927 2 роки тому +3

      Sijaona tatizo tena amekemea mambo ya rushwa na ushoga yuko vizuri

    • @azminawanyika6201
      @azminawanyika6201 2 роки тому +3

      Kabisa yan ametoa nyimbo tumecheka lakin ina mafundisho

    • @k-zeeclassic4946
      @k-zeeclassic4946 2 роки тому +2

      ua-cam.com/video/ctz66S5kH8A/v-deo.html hapa je

  • @raindoro5201
    @raindoro5201 2 роки тому +607

    If you don't understand the meaning of art,basi pita huku...This song indeed is a masterpiece....Life being explained in artistic way...Thumbs up

  • @deusdeditymaglory6520
    @deusdeditymaglory6520 2 роки тому +131

    Am in love with this song. Hii ndo tunasema kioo Cha jamii, Kama umeipenda gonga like.

  • @KevinWakliFitness
    @KevinWakliFitness 2 роки тому +203

    Tanzanians don't know how much we Kenyans love them...Tanzania 🇹🇿 Kenya 🇰🇪 loves you ❤️

    • @RuzoOwzy
      @RuzoOwzy 2 роки тому +2

      Ni kweli?? usije kuambiwa "pita huku" kwenye mlango wa moto

    • @lewismpangala927
      @lewismpangala927 2 роки тому +2

      We understand

    • @erastuskim884
      @erastuskim884 2 роки тому +3

      Tanzania nzuri kanipa mke mtoto mrangi kutoka kondoa

    • @cessmaina7887
      @cessmaina7887 2 роки тому +3

      Lakini hawatupendi. Eti sisi hatuko creative,twaimba nyimbo zao. Yaani kuna jamaa aliimba vizuri kwa audition fulani hakupita juu aliimba nyimbo za Kenya.Mimi sikufurahia hata kidogo

    • @MIKIDADI_MIKIDADI
      @MIKIDADI_MIKIDADI 2 роки тому +6

      We love Kenyans too

  • @bahatikenya
    @bahatikenya 2 роки тому +1003

    This is Creative My Brother 💥💥💥 Cheers to good Music 👑👑👑

    • @manerick3568
      @manerick3568 2 роки тому +19

      Baha kapitisha hili goma

    • @felisteremmanuel3648
      @felisteremmanuel3648 2 роки тому +19

      Nilijua ni account fake kumbe ni official bahati kenya support ya hali ya juu sana.

    • @tunumponda8150
      @tunumponda8150 2 роки тому +13

      Asante baba heavy

    • @sultanking1337
      @sultanking1337 2 роки тому +7

      🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥🔥

    • @screensceenOG
      @screensceenOG 2 роки тому +21

      we bahati pita huku🔥🚪🔥

  • @pellyrhebort6846
    @pellyrhebort6846 2 роки тому +63

    Mm sichoki kusikiliza huu wimbo kama tupo wengi gonga like hapa

  • @zainabomar7191
    @zainabomar7191 2 роки тому +77

    Ni wimbo wenye maneno ya kweli kesho kwa mungu tutahukumiwa kwa dhambi zetu mungu atusamehe Kisha na atuongoze cc na vizazi vyetu

  • @haronbwoy-vw1os
    @haronbwoy-vw1os Рік тому +103

    Huu wimbo unamafundisho mazuri Sana. Yani nikiingia UA-cam mpaka niurudie mara tatu na zaidi. Wapi mwengine wakurudia huu wimbo, mikono juu.👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿

  • @SWAHILINATION
    @SWAHILINATION 2 роки тому +539

    Now this’s music! Tunamatatizo mengi sana nchini zaidi ya mapenzi! Message delivered Congrats Makabila

  • @aishaothman8638
    @aishaothman8638 2 роки тому +49

    Na kukubali Sana mdogo wangu hii imewezaa hadi ikaweza tena🇰🇪👑king of singeli Kenya we proud of you

  • @bizimanabizimana2131
    @bizimanabizimana2131 2 роки тому +127

    dulla umetumia akili nyingi sana Kwa huu ubunifu, singeli hii inafundisha sana.
    Nipeni likes zangu.

  • @georgemtangi8752
    @georgemtangi8752 Рік тому +14

    Bonge moja la singeli, nadhani itakuwa the best song of Sengeli kwa mwaka huu wa 2023 ingawa bado haujaisha, CONGRATS MY BROTHER MAKABILA

  • @fungobadman348
    @fungobadman348 2 роки тому +75

    Wa kwanza mm dulla umeuwa sana Mwamba fanya hata kulike 🔥🔥🔥

  • @salmashafi2866
    @salmashafi2866 2 роки тому +68

    tumechoka nyimbo za mapenzi na kukata viuno sasa tunataka kuelimishwa na kuburudishwa BIG up bro! mkiufungia huu wimbo mtatukosea sana asee while kuna watu wanakata mauno huko mnawaachia sikuhizi hadi watoto wadogo mtaani wa kiume wanakata mauno kama feni mbovu

  • @saumusalim5162
    @saumusalim5162 2 роки тому +41

    Full mafunzo. Umekuja na style yko bro big up sio kila saa kuimba mapenzi tumesahau nyimbo huhamasisha jamii Asante dullah tuelimike kupitia huu wimbo Basi kama kuenda msikitini na kanisani shida.. gonga like ka mnakubaliana na dullah

  • @StephenKasolo
    @StephenKasolo 2 роки тому +3

    Mimi ni Mwimbaji wa injili Hapa nchini kenya 🇰🇪nimeipenda

  • @erickmsigwa
    @erickmsigwa 2 роки тому +1018

    Kama unaamini waliotaka kumfungia wimbo dulla wanamuonea gonga like

    • @producerema291
      @producerema291 2 роки тому +16

      Ni uwivu tu

    • @petermsangi2701
      @petermsangi2701 2 роки тому +13

      Kabisa

    • @zuberimashuhuri
      @zuberimashuhuri 2 роки тому +13

      nikwe nyimbo mzur lakini mbona shekhe ajamtaja imekaaje iyo

    • @erickmsigwa
      @erickmsigwa 2 роки тому +9

      @@zuberimashuhuri hakuna baya aliloongea yote mema

    • @halimamikinda4432
      @halimamikinda4432 2 роки тому +16

      @@zuberimashuhuri Unahoji shekhe kwasababu kamtaja mchungaji? Hii siyo ligi ni wimbo tu suala la msingi mesej imefika kwa jamii, ukitaka ataje watu wote wimbo utafika dakika 100

  • @TopStoriesTZ
    @TopStoriesTZ 2 роки тому +93

    Kazi ya fasihi noma sana, atleast likes 50 🍿🍿🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Ngoma kali sana aisee

  • @eliusernest7741
    @eliusernest7741 2 роки тому +18

    Hawa BASATA wameshindwa kufungia nyimbo za AMELOWA ,NITONGOZE Wanakuja kufungia Nyimbo yenye Kuelimisha Jamii Yetu kabisa 100% hii Nchi ya Ajabu sana hili waliangalie BIG UP sana DULLA MAKABILA Umetisha sana ALLAH bless you.

    • @jamaljahadhamy1757
      @jamaljahadhamy1757 2 роки тому

      Pumbavuu wakifunga shezi tuu nyimbo ya kweli kabisa maneno knife ukweli kabisa

    • @chrisomondi4633
      @chrisomondi4633 Місяць тому

      kisa aligusia swala la LGBTQ.

  • @festomadunda3346
    @festomadunda3346 2 роки тому +107

    Wimbo uko poa sana umefikisha ujumbe jaman tujifunze.wanao kubaliana na mimi nahitaji like zenu

  • @taqozer
    @taqozer 2 роки тому +85

    Kwa mara ya kwanza nimesikiliza na kutazama wimbo wa bongo flavor NIMETOA CHOZI..😭😭🙌🙌♥️♥️CREATIVITY, THE MESSAGE🙌🙌🙌🙌

    • @teclaadam8557
      @teclaadam8557 2 роки тому +1

      😪😪😪😪😪

    • @hclever7731
      @hclever7731 2 роки тому +3

      Na kwanini utoe chozi,,
      Pita huku
      👈

    • @sosoalsos9912
      @sosoalsos9912 2 роки тому +2

      @@hclever7731 🤣🤣🤣🤣

    • @marsmars5361
      @marsmars5361 2 роки тому +2

      Ngoma kali sana nimeipenda nailudia kila cku yani huu ndo ubunifu mzr respect makabila

    • @mariamkibindo1741
      @mariamkibindo1741 2 роки тому +1

      @@hclever7731 hahaha 😂😂 una nini lakin

  • @tashrimabdulqadry5643
    @tashrimabdulqadry5643 2 роки тому +104

    Dulla mswahili uko unajua sana "nmerudia more than 3times , if na ww uko umemkubal gonga one like hapaaa....🎤🎵🎶🌴mziki mzurii

  • @ngoziarts9623
    @ngoziarts9623 2 роки тому +131

    Wanaotaka hii nyimbo iwe namba 1 gonga likes nyingi

  • @williamsagala7081
    @williamsagala7081 Рік тому +34

    It's like a national anthem in Nairobi everywhere you go,,,,ewe Malaya pitahuku,,,,, good job,,,,,makabila,,

  • @Sofiasad9659
    @Sofiasad9659 2 роки тому +191

    Waliyo angalia mara zote tujuwane ❤❤❤❤

  • @g2.music649
    @g2.music649 2 роки тому +107

    Nyimbo Bora duniani kutoka Tanzania jamani dula anaitaji kufanyiwa maombi ya baraka kutoka kwenye mazehebu zote duniani kupitia wimbo uhu aise mungu akubariki sana wimbo umetufikia apa ichini Sweden 🇸🇪 💥💥💥

  • @yohanemellau3220
    @yohanemellau3220 2 роки тому +70

    Wimbo wa kufunga mwaka mzuri sana hizi ndo nyimbo za kuelimisha jamiiii blessed

  • @evelynlyimo1557
    @evelynlyimo1557 Рік тому +1

    Weweee shoga pita huku,,fire 🔥 will burn you to ashes...kahaba pita huku walevi na waongo wachawi mote mote pitenii hukuuu

  • @alukweKopite
    @alukweKopite 2 роки тому +27

    Creativity 100% ,kutoka Kenya 🇰🇪 nimependa hii sanaaa, Hongera kwa Utunzi huu

  • @therealjacob77
    @therealjacob77 2 роки тому +28

    Huyu dulla makabila Wamoto saaana yaan kwa upande wa waimba singeli ni toooop🔥🔥🔥🔥 mtu akifanya vizuri apewe tu sifa zakee

  • @mcmasika
    @mcmasika 2 роки тому +29

    Hii creativity ya hali ya juu, nmerudia mara ya mia moja. Much love from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪. Mtu anakuita aje show yake

  • @bartazaryngalambe7981
    @bartazaryngalambe7981 2 роки тому +1

    Aiseeeee kiukweli wimbo huuu kaimba kutokana na uhalisia wa mazingira na dunia tuliyonayo saivi anastahili tuzo ya wimbo bora ya mwaka

  • @osheachannel4726
    @osheachannel4726 2 роки тому +167

    Natamani ingekuwa ndefu kama taarab dakika 20 kama una mawazo kama yangu pita huku❣️❣️

  • @medimsafi
    @medimsafi 2 роки тому +25

    @dulla makabila umepita kwenye ujumbe wa watu jamaan hiii ni funga mwaka brother nakubali sana mwenye uwezo atulipe hiii team MAKABILA gonga like kama unamkubali

  • @faithaunga2485
    @faithaunga2485 2 роки тому +246

    These are the songs we need in the music Industry, hongera sana wimbo mzuri huu

  • @harounsaid580
    @harounsaid580 2 роки тому +1

    Siskilizagi singeli bt huyu jamaa ni mbunifu sana ....umeupiga mwingi sana hujaimba matusi na ujumbe umefka vzr sana.
    Mola awaongoze

  • @elleng5227
    @elleng5227 2 роки тому +16

    Ahsante kwa kulisaidia kanisa lililolala kukemea uovu, ahsante kwa kutokuimba matusi na kusifia uovu kama ilivyo jadi ya wengi zama hizi bongo, God bless u Man

  • @malkiadipaulo3602
    @malkiadipaulo3602 2 роки тому +61

    Ukwely me naona basata kumfungia dulla makabila wanamkosea Sana huyu jamaa ni more critical thinking kuliko wanamuziki wote bongo angalia huo wimbo real life 🥰🥰🥰Kama nawe umeupenda gonga like hapo

  • @officialidakeys
    @officialidakeys 2 роки тому +108

    Dulla Never Disappoint 🔥🔥🔥
    Tulio Rudilia Rudilia Nyimbo ihi mara Mbili Mbili Like Apa Tujuane

    • @Wasafitv.4.33M
      @Wasafitv.4.33M 2 роки тому +2

      hhhhhh🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @nwakajohn800
      @nwakajohn800 2 роки тому +1

      Unajua ila vingine umeacha kutaja

    • @officialidakeys
      @officialidakeys 2 роки тому +1

      @@nwakajohn800 Kabisa

    • @officialidakeys
      @officialidakeys 2 роки тому +1

      @@Wasafitv.4.33M 😅😅😁😁

    • @abdallahgaillah7650
      @abdallahgaillah7650 2 роки тому +1

      Dullah Dullah Dullah wajina wangu apa umeua sana yani we kwenye singeli unakijiji chako📌

  • @pheminaekirapa1562
    @pheminaekirapa1562 Рік тому +1

    tz dont know how we kenyans love their songs......hiii nimeikubaliiii sana hahaaaa hapo kwa malaya🤣🤣🤣

  • @charlespseleli001
    @charlespseleli001 2 роки тому +92

    Mimi sio shabiki wa singeli ila huu wimbo ni hatari sana kuanzia sahv ni shabiki wa dulla Makabila let's join to support this song by sharing in our groups

  • @sophiaali5813
    @sophiaali5813 2 роки тому +662

    Kama umeskia uchawi umepelekwa hadi wasafini, hata lava lava aimbe vipi haonekani ganga like hapa tafadhali 🙏❤️

  • @The_TalkingZoo
    @The_TalkingZoo 2 роки тому +50

    My all time music for now playing it daily....Thanks DULLA MAKHABILA for this message,well presented... Receive my love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 hit like button if you agree

  • @nassorosaid6351
    @nassorosaid6351 2 роки тому +13

    Nyimbo inamafunzo ya maisha yafuatayo baada ya haya. Kongole Sana Dulla

  • @ayrunyjtayruny279
    @ayrunyjtayruny279 2 роки тому +31

    Hii nyimbo inaereweka Kwa kusikiliza mala moja but sichoki kuisikiliza one love Dula 🇲🇿

  • @teophilmkalawa6040
    @teophilmkalawa6040 2 роки тому +9

    Dulla unastahili pongezi za kutosha kwa ubunifu uliotukuka, umegusa uhalisia wa maisha yetu.#singel mziki wetu halisia.

  • @jabalisoundsband747
    @jabalisoundsband747 2 роки тому +97

    Mashabiki huu wimbo tuupe promooo ya kutoshaaa.....makabila banaaa ni motooooooo...content kaliii sanaaaaa.....weeeee....pita huku😂😂😂😄😄😄🙌🙌🙌

    • @miamia6155
      @miamia6155 2 роки тому

      Umeona eeeh nyimbo kalii sana

    • @rahmaibrahim4518
      @rahmaibrahim4518 2 роки тому

      💯🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

    • @hamisialli7942
      @hamisialli7942 2 роки тому

      Mbona kama nyimbo haijaisha alafu imeisha.

  • @gervaschilipweli5913
    @gervaschilipweli5913 2 роки тому +1

    Daaa dj kweli DJ kapita njia salama kweli DJ pita 🔥🔥🔥

  • @marwamasele4417
    @marwamasele4417 2 роки тому +65

    Wimbo umebeba maudhui ya Kibiblia, Waliotaka kuufungia wamemkosea Huyu jamaa, gonga likes aisee

  • @rajwise4006
    @rajwise4006 2 роки тому +306

    How can someone ban this creativity. Is this a better way of grooming talents!!??Dullah is a genius already 🙌

    • @Swahili14
      @Swahili14 2 роки тому +3

      Who banned this?

    • @radojembe7347
      @radojembe7347 2 роки тому +1

      Kubwaa Sana bahati

    • @maridadinsubuga8535
      @maridadinsubuga8535 2 роки тому +1

      atoe sehem ya pili mbona kama nyimb haijaish

    • @adikwelatv4694
      @adikwelatv4694 2 роки тому +2

      😁😁😁kweli king of singeliii.. nakubalii💪💪💪

    • @ivankakooza1765
      @ivankakooza1765 2 роки тому +2

      Nathan alisemwa ndo maana alijisikia vibaya nyimbo nzuri inaelimisha halafu mtu anaipiga ban kweli

  • @hamisiarabia7506
    @hamisiarabia7506 2 роки тому +30

    NINOMA SANA MIMI NDO NISHA SEMA DULLA MAKABILA NDO KING OF SINGER Kila ngoma ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Ujawai Kosea

  • @DavidKaberia-rs4nf
    @DavidKaberia-rs4nf Рік тому +1

    kwa kweli dullah umesema kweli kabisa ulimwengu umearibika,safi sana kwa kazi yako nzuri🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @fleekmontanah4172
    @fleekmontanah4172 2 роки тому +34

    Eeeiih Dulla umeuwaa bro,Fleek toka Kenya uyu aisee uko vizur...wapi Likes za Makabila💪💪💪

  • @farajalongo4528
    @farajalongo4528 2 роки тому +127

    Hata wasanii na wanamziki hawajawahi kuwaza kitu kama hiki. That is UBUNIFU 🙌 Ujumbe umefika 🙌💪

    • @wenslausayieye9353
      @wenslausayieye9353 2 роки тому +4

      Kweli

    • @ramzanqarim4977
      @ramzanqarim4977 2 роки тому +3

      Kuna ile moja ya utajibu nini kwa mungu singeli sijui kaimba nani ila Kenya tunazikubali singeli

    • @kingrasdee445
      @kingrasdee445 2 роки тому +3

      Kwel asee.

    • @kassimdinno
      @kassimdinno 2 роки тому +2

      Sasa unataka kila msanii au mtu awe na mawazo sawa na wengine? 😂😂

    • @farajalongo4528
      @farajalongo4528 2 роки тому +2

      @@kassimdinno kila mtu anapenda na anataka ubunifu,,,, hata wewe 🙌😂

  • @saidially5892
    @saidially5892 2 роки тому +18

    nyimbo zenye kuelimisha
    mnataka kufungia,
    za kupotosha Mnaziachia.
    BASATA PITA UKU🔥🔥😂😂😂

    • @mariakomba4666
      @mariakomba4666 2 роки тому

      🤣🤣🤣

    • @kendrickwizz
      @kendrickwizz 2 роки тому

      😂😂😂😂🛌

    • @kendrickwizz
      @kendrickwizz 2 роки тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂iyi nchi inamambo😂

    • @catherinedonald9931
      @catherinedonald9931 2 роки тому

      😅😅😅😅😅🚶‍♀️

    • @tabithakasake8492
      @tabithakasake8492 2 роки тому

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @GodloveKilasi-yv3jl
    @GodloveKilasi-yv3jl 5 місяців тому +12

    Tunao fatilia hii nyimbo 2024 let's go gonga like

  • @allykachumia9623
    @allykachumia9623 2 роки тому +49

    Nimeipenda hii bwana dula embu na wewe pita uku!

  • @vaalashaa2427
    @vaalashaa2427 2 роки тому +10

    Dulla should just do his own music with realness he is good that way.sisi kutoka Kenya tunapenda nyimbo zenye uhalisia uwazi na ukweli,,singeli za dulla zinaelimisha zinahamasisha na kuonya.unapendwa kakangu Mungu akulinde kizuri hujiuza wacha wimbo wako ujiuze vyema na kila pembe LA bara LA Africa😘

  • @jasmaekasayari1856
    @jasmaekasayari1856 2 роки тому +20

    Dulla you made it🤣🤣🤣 natka kuona likes za watanzania, mm kma mkenya naupenda mziki wenu wa singeli

  • @lucia20240
    @lucia20240 День тому +1

    Nairudia leo kuangalia na Aggrey amebadilika,mungu mkubwa🙏

  • @gaudencesillo2609
    @gaudencesillo2609 2 роки тому +9

    Nilkua naidharau sana hii ngoma ... Dullah umetisha sana hii ndio sanaa tunayoihitaji Tanzania sio kila cku matusi kwenye sanaa yetu

  • @zuhurashabani5001
    @zuhurashabani5001 2 роки тому +39

    Daaaaah umejua kutufundisha na huu wimbo makabila ww Yani daah nashindwa hata chakusema uko vizuri sana 🔥🔥🔥🥰🥰🥰❤️❤️❤️❤️

  • @josephernest155
    @josephernest155 2 роки тому +43

    Nimeuelewa huu wimbo vizuri kukosoa uovu katika jamii, well done Dullah!!

  • @highzacknnko9685
    @highzacknnko9685 2 роки тому +3

    " naomba u wimbo uwe na part 2 na 3 bado hajataja waalimu wanaotoa majibu kwa wanafunzi mpaka tunapata wasomi feki walimu kama hayo pita huku

  • @shyllahnekesa216
    @shyllahnekesa216 2 роки тому +8

    Kutwa kutembea uchi kudhalilisha wanawake na maziwa nje ***Masha love pita uku 🔥🔥🔥🔥

    • @yusratuwan4577
      @yusratuwan4577 2 роки тому

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @mdouharoon66
      @mdouharoon66 2 роки тому

      🤣🤣🤣🤣🤣 mbn mashalove umemsahau amberuty🤣

  • @nicerahkathambi4081
    @nicerahkathambi4081 2 роки тому +48

    Mie kwa hapo kwa DJ nimerudia mara 100 can't get enough of it

  • @javan_Wonders
    @javan_Wonders 2 роки тому +78

    What A Song....Dulla Nakuenzi Sana Kutoka 254,Mziki Kweli Ni Kioo Cha Jamii,chako Kina Mulika Kiukweli

  • @aishamzonge457
    @aishamzonge457 Рік тому +19

    congratulation Dulla =, wimbo mzuri sana na una fundisha jamii hongera sana Wasanii wa Tanzania mko vizuri sana .

  • @nanjaboy232
    @nanjaboy232 2 роки тому +43

    Duh bonge la ngoma nimesikiza mara kumi kumi!! SOMO KUBWA SANA UMETISHA 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @suzanamwinuka312
    @suzanamwinuka312 2 роки тому +148

    Wimbo mzuri sanaaaa mungu akutie nguvu kama umeulewa huu wimbo gonga laiki 🥰🥰🥰🥰🥰🥰😋😋😋😋

  • @skmwenyewe07
    @skmwenyewe07 2 роки тому +81

    Huu wimbo usipo upenda wewe ni mchawi🔥🔥🔥

  • @RehemaSalim-d3g
    @RehemaSalim-d3g Рік тому +3

    Daaah😂😂😂😂😂.dula umeweza.i sey nimecheka mbaya.safi sana mafunzo kabao dula.❤❤❤❤❤

  • @rizikikayombo6817
    @rizikikayombo6817 2 роки тому +1021

    tunao seema huu wimbo ndio funga mwaka tujuane hapa kwa like moja🙏🙏✊✊✊✊✊

  • @goodluckulimboka8117
    @goodluckulimboka8117 2 роки тому +202

    Am not Dulla's fan but with this song Dulla you're the best of all SINGELI singers!!

    • @frankifrumence5330
      @frankifrumence5330 2 роки тому

      Amina dula yesu akufunulie zaidi sawaaa ASA sisis watumishi imenifundisha kitu

  • @ranoxranduh9743
    @ranoxranduh9743 2 роки тому +148

    Hizi ndo wakenya tulikuwa tukisubiri nataka likes tukisonga mbele🇰🇪

    • @brayo001
      @brayo001 2 роки тому

      Jiseme wewe peke yako tafadhali

    • @chuchudorice8531
      @chuchudorice8531 2 роки тому

      Hauna kazi ya kufanya we Fala

    • @ranoxranduh9743
      @ranoxranduh9743 2 роки тому

      @@brayo001 kwanu ww n mkenya makende ya tumbili mjane

    • @ranoxranduh9743
      @ranoxranduh9743 2 роки тому

      @@chuchudorice8531 umegonga ndipo

  • @easternsavages
    @easternsavages Рік тому +4

    😂😂😂😂😂😂dulla ...uko juu ...... support from kenya

  • @sixdawa6312
    @sixdawa6312 2 роки тому +80

    Safi sana kama umemkubali mwanangu dulla like hapa

  • @hajihussein9185
    @hajihussein9185 2 роки тому +72

    Safi sana Dulla, naomba kama inawezekana weka part 2 yaani muendelezo wa hii nyimbo. Bado kuna sehemu nyingi najua unataka kuzigusa. Nyimbo kali sana, idea kali sana, simply amazing

    • @OmarMohamed-zf8dp
      @OmarMohamed-zf8dp 2 роки тому

      Pole sana hakimu wa mahakimu ni mmojatuu sasa wewe dula hapaumejiekti kama nani

    • @najimmbarouk4529
      @najimmbarouk4529 2 роки тому +2

      Mchawi wewe kwni yeye kasema ni nani sinikama mfno tu wa matendo yaani nyinyi ndio wachawi

    • @fadhilamahamoud7413
      @fadhilamahamoud7413 2 роки тому

      Hapo kashoga mm ndonimepapenda jamani

    • @joeaub2185
      @joeaub2185 2 роки тому

      anatakiwa aguse sector nyingi kuanzia Basata wenyew,wala Rushwa,wabunge waongo,wanamichezo,bongo movie,wahuni nawaumin wa makanisani,misikitin na watiifu na wacha mungu kweli hapo tunaweza pata part2-3-4

  • @jameswisdomtz8580
    @jameswisdomtz8580 2 роки тому +2261

    Jamani walio rudia marambilimbili nyimbo hii tujuwane kwa like tuwe wakweli tu💪💪💪

    • @beleoneo8395
      @beleoneo8395 2 роки тому

      ua-cam.com/video/U5AsYNhf8Og/v-deo.html

    • @dullahsaleh8507
      @dullahsaleh8507 2 роки тому +22

      Mpaka saiv nairudia

    • @princekimweri
      @princekimweri 2 роки тому +8

      Hiii video iko PW Sana...ila hao madada wawili Tom na mwenzake wageonyesha sura ya kawaida (huzuni) kwa mtoa hukumu ilA cyo kujishebedua

    • @dorinechuwa9670
      @dorinechuwa9670 2 роки тому +4

      Dah ipo vizuriii sanaaa dah

    • @fuadking597
      @fuadking597 2 роки тому +5

      Oyaaaa. Bonge la dude makabila hatariiii✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾

  • @stevensilungwe41
    @stevensilungwe41 Рік тому +2

    Muziki za ukweli .
    ♥️♥️🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲
    Hii ni kazi nzuri Kaka

  • @abdallahmtunze4983
    @abdallahmtunze4983 2 роки тому +24

    Wimbo bora🙌 kabisa wakufungia mwaka hakuishia hapo tu Video bora🙌 kabisa kwaufupi umetutendea haki bali unatudai jamani gongeni Likes zakutosha iwe namba 1...

  • @ibrahimkudrack2548
    @ibrahimkudrack2548 2 роки тому +39

    Ubunifu mkubwa mashairi makali kila kitu kimepangiliwa big up King of singelii✊

    • @msuyaklp8738
      @msuyaklp8738 2 роки тому +1

      Pita kwenye 🔥

    • @allbab1554
      @allbab1554 2 роки тому +2

      Dula huna anaye kuweza kwenye hizi kazi ngoma kalii hiishi utamu yani natamani hata ingekua na dk zaidi ya kumi

  • @Alkibosstz
    @Alkibosstz 2 роки тому +29

    Ngoma kali sana tunzo maramoja🔥💪🏆 kama unakubali 10k like zake dulla

  • @eshaomar2554
    @eshaomar2554 2 роки тому +7

    Wow! Creativity if the highest level. Watanzania kipaji cha mziki Mungu kawatunuku kwa kweli. Hongerani.

  • @itskheyzone
    @itskheyzone 2 роки тому +116

    HATIMAE SINGELI 1DAY IMETOSHA KUA NAMBA MOJA TANZANIA LIKES KWA MAKABILA

    • @aggatadaudi7959
      @aggatadaudi7959 2 роки тому

      Mwamba kaua sana 💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🤸🏼‍♀️🍻

    • @rappermonster361
      @rappermonster361 2 роки тому

      Daah kwel inastahili hii nymb n kall

  • @humphreyh7921
    @humphreyh7921 2 роки тому +26

    Makabila ni msanii na nusu ametisha sana humu 🔥💯

    • @monicasaua3224
      @monicasaua3224 2 роки тому

      Wimbo mzuri Kuna mafundisho mengii hapo

  • @rosenamilia4140
    @rosenamilia4140 2 роки тому +11

    Dulla Makabilla,big up sana kwa kipaji ulichojaliwa na Mola.Umenifanya nisikilize nyimbo zako karibia ya zote. Huu wimbo wa "PITA HUKU",Umeua sana tena sana.Nimeusikiliza zaidi ya mara kumi na hauchoshi, kwani mashairi yake umeyapangilia kama maji kwenye bomba.Endelea kutoa vibomu kila wiki ndipo watajua hawajui.!!!!

  • @tanzaniatourismboard8395
    @tanzaniatourismboard8395 2 роки тому +3

    Pongeza za dhati kwako DULLAH. Ubunifu wa Hali ya Juu. Waigizaji Wenye Viwango na Umakini wa Kazi Zao, Kuanzia MAMA Mtu Mzima, Salute Kwake...... DJ. DR. Hakimu... na wengine wametekeleza vyema jukumu la sehemu yao. Pongezi za kipekee kwa Dada wa Uturuki.... Ungetupitisha Kulia😁🤩🤩

  • @djkiin2544
    @djkiin2544 2 роки тому +316

    Kama umesikiliza zaidi ya mara moja ngonga like

    • @fatumasuleiman6641
      @fatumasuleiman6641 2 роки тому +2

      Diga nimeirudia mara 10na inaukweli ndaniyake

    • @snedemc
      @snedemc 2 роки тому +2

      KAZI NZURI KK

    • @djkiin2544
      @djkiin2544 2 роки тому +1

      Kazi nzuri

    • @zachaamaster5378
      @zachaamaster5378 2 роки тому +1

      #hii nyimbo Dunia Yani Dunia ndio msanii nayomkubari hanajua mpak anakera wacha yaitwe kingi wengine hao wafuata nyayo

  • @johnshayo138
    @johnshayo138 2 роки тому +209

    Bonge la creativity, wimbo una mafundisho ya kutosha na kuwakumusha watu kumkumbuka Mungu wao. Big up sana na lazima hii ngoma ita trend sana

    • @innocentkavishe3132
      @innocentkavishe3132 2 роки тому +2

      ii ni 🔥 🔥 📛

    • @asiajoseph314
      @asiajoseph314 2 роки тому +1

      😄😄😄

    • @christinamillinga1867
      @christinamillinga1867 2 роки тому +1

      Baada ya clip yawijaku wasafi nikaitafuta hii video Ila nilickokiona we jamaa utapita sehemu uliyomwambia mlevi na DJ wapite

    • @mauwajuma2284
      @mauwajuma2284 2 роки тому

      Haujawai kukosea brotha

    • @maryamsimai6263
      @maryamsimai6263 2 роки тому

      wimbo huuu umeifunza nini jamiii na huyo anosema pita huku anaaamaanisha kitu gani kwani mwenye kutoa hukumu ni mwenyezi mungu peke yake

  • @mrsdonmrsdon9748
    @mrsdonmrsdon9748 2 роки тому +22

    Kelele moja Kwa Dullah wake weuweeee 🥳🥳🥳 Kenyans we loves you tz😌❤️

  • @dullahsmoka422
    @dullahsmoka422 2 роки тому +1

    Dah nyimbo Kali kuwahi kuimbwa na dullah

  • @tumusiimedeus4571
    @tumusiimedeus4571 2 роки тому +141

    This is world class. The message is very clear and whoever says that this song is not good then such a person is a witch. This is one of the best songs of the year. This song deserves a medal. Good work Dulla

  • @shikopamedia356
    @shikopamedia356 2 роки тому +158

    Huyu mbwa ni anajua kubbke 🙌🏿🙌🏽 #Naombeni like za walevi wenzangu tunaotoa sadaka 🤲

  • @jackninja7678
    @jackninja7678 2 роки тому +310

    Kama umeskiza hii ngoma Zaid ya mara Moja gonga Like 🔥🙌

  • @lameckkifaru5449
    @lameckkifaru5449 2 роки тому +22

    Best song sang by best singeli singer, the message of this song talks about reality of the world as we see nowdays the world is affected by moral decay... more love to him