Jamani tuchangamkie fursa twendeni tukamwone dokta guruwe na mlimaji vanila maarufu,duniani ,maana hii kichwa siipatiagi jibu lakini anapata hela,na atawatapeli wawekezaji mwisho atakuja kunyongwa,tapeli ila ukila naye kiakili unapata hela
Baba levo usiwe unamtangaza uyo jamaa atakualibia ...utaonekana nawewe akili yako baba levo kama uyo jamaa...mimi kama shabiki yako baba levo uyo jamaa anakualibia bwana ..usimpromoti uyo chizi manguruwe baba levo nawewe...wewe unamashabiki wakislam unatukwaza baba levo...mim sijapenda baba levo..uyu jamaa manguruwe hana akili ata moja ...baba levo uyo jamaa anakuharibia bwana usimpromoti
Nguruwe aliumbwa na Mungu kwa makusudi mengine katika na siyo kwa chakula. Mungu katika NENO LAKE Amekataza sana ulaji wa nyama ya Nguruwe. Wanadamu wote wanaokula Nguruwe watapata adhabu kali sana na hawatakuwepo katika ufalme wa Mungu.
Huyu jamaa na kampuni yake ni tapeli wazoefu. Hawalipi watu wengi sana na malalamiko ni mengi sana Ushauri wa Bure ACHENI KUWEKEZA KWAKE NI MATAPELI WAKUBWA
Ila bongo bhana uongo maelfu ya nguruwe kumbe ni 12
😂😂😂😂
Jamani tuchangamkie fursa twendeni tukamwone dokta guruwe na mlimaji vanila maarufu,duniani ,maana hii kichwa siipatiagi jibu lakini anapata hela,na atawatapeli wawekezaji mwisho atakuja kunyongwa,tapeli ila ukila naye kiakili unapata hela
Ila huyu jamaa😂😂😂😂
Huyu mr Manguruwe ni tapeli mkubwa..ametapeli watu wengi sana kwenye kilimo cha vanilla na parachichi
Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu Uvivu na siyo kutapeliwa , mdanganywa KAZI na utajiri wa haraka, Vijana lazima ufanye product Yako na siyo kujisikiza kwa mtu
People should understand crystals clear
Wawekeze wenyewe in multiple projects to diversify our economy ndo Siri ya utajiri
Nikweli kabisa nitapeli
Uyu jamaa akil yake kama awo nguruwe
Duh, inasikitisha kwa kweli
Baba levo usiwe unamtangaza uyo jamaa atakualibia ...utaonekana nawewe akili yako baba levo kama uyo jamaa...mimi kama shabiki yako baba levo uyo jamaa anakualibia bwana ..usimpromoti uyo chizi manguruwe baba levo nawewe...wewe unamashabiki wakislam unatukwaza baba levo...mim sijapenda baba levo..uyu jamaa manguruwe hana akili ata moja ...baba levo uyo jamaa anakuharibia bwana usimpromoti
Nguruwe aliumbwa na Mungu kwa makusudi mengine katika na siyo kwa chakula. Mungu katika NENO LAKE Amekataza sana ulaji wa nyama ya Nguruwe. Wanadamu wote wanaokula Nguruwe watapata adhabu kali sana na hawatakuwepo katika ufalme wa Mungu.
Maandiko ya wap
Hawa jamaa maongo kisha yanasahua mara nguluwe mia tatu mara elfu na na mia tatu
Mbona kama kawehuka uyu mr
huyu ndo aloanzisha VANILER VILLAGE kule zanzibar na kutapeli watu ..
😂
Sio zanzibar tuu na njombe pia ametapeli watu wengi sana
Nu mtuhumia anajitapa
Sasa niny kwan watu wotee wanatumia nguruwee, kil mnyam ana Hak awepoo
Wewe tuliza kipara
Huwezi kulinganisha ngurue na ngombe nisawa na kulinganisha nyanya na thahabu
Huyu jamaa na kampuni yake ni tapeli wazoefu.
Hawalipi watu wengi sana na malalamiko ni mengi sana
Ushauri wa Bure ACHENI KUWEKEZA KWAKE NI MATAPELI WAKUBWA
Nguruwe wamethibitishwa na tbs.kutoka ujerumani
Jinga kweli
😂😂😂😂😂😂
Tapeli ww
yeye pia ana akili kama nguruw
😅
Ndomana ana hela kuliko wewe mwe akili kama ngamia
😂😂😂😂
@ramadhanmahongole NYAMA YA NGURUWE IMEJAA MAMALIONI YA FUNZA NDIO SIFA YAKE NA NGURUWE WANAKULA VINYESI MCHAFU USIMFANANISHE NA NGAMIYA KABISA
@@ramadhanmahongole9293HIZO HELA WEWE UMEZIONA???
Kapime akili kwanza ndo ufanye biashara
😅
Ila wajaa😊
Huyu bwana bi tapeli mkubwa
mi namuelewa
Uyu sio makonda alimwita mzalisjaji wa vanila
Ndio huyu..ni tapeli mkubwa sana ametapeli watu wengi sana kwenye kilimo cha vanilla na parachichi
Ni yeye ,akili yake pia haipo sawa ni vile tu Tz hatufatilii ila kiakili hayupo sawa huyu
Nivyema unapokuwa unahojiwa kuwa siriasi na kujibu kwa busara ili kuipa heshima zaidi kazi yako.
ni hobbies yake
Bongo sihami.
Mwizi mkubwa wewe
Mmh! Hawa wanafanya watanzania wote wajinga
Biashara haramu tu? Kasome biblia
Biashara haramu,kwani hizo ni drags 😂
Dhambi gani mboga hiyo we endelea kufuga paka wako
Ujue biblia siyo ya mtu mweusi😂
We endelea kusoma biblia wenzio wanakuwa matajiri kwa kujiwekeza
Baba levo unaongeaga ila hapo kwa manguruwe umefk leo umeyavagaaa