Leo sept 8, 2021 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia suluhu amewasili Jijini Mwanza kwenye Tamsha la Mila na Utamaduni linalofanyika Kisesa Wilaya ya Nyamagana.
Jamhuri ya muungano wa Tanzania kazi ziendelee. Amir jeshi mkuuu huyu hapa na ndiye Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mama yetu Samia Suluhu Hassan kipenzi cha wa Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
@@suleimanmohamed4367 Kuna Rais alipokuwa madarakani watu walikuja na msemo wa VYUMA VIMEKAZA kutokana na jinsi maisha yalivyokuwa magumu lakini nimesahau sijui alikuwa Rais gani yule!
Mkataka msitake Mwenyezi Mungu ndio kashamjaalia awe rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan, hapedi zulma mcha mungu, hauwi, habambiki watu kesi za uongo, hapori wafanya biashara pesa zao.
Mama yetu nchi ina miaka 60 tangu uhuru mama yetu ina mbuga zakutosha za wanyama madini sasa usiseme madini mengine yapo tz pekee Duniani maziwa makubwa nyasa victoria tanganyika Eyas pamoja na bahari bado wananchi hawana maji,vijana hawana ajira umeme shida.hosptlini dawa hazitoshi.hivi hii ni haki kweli? Mama yawezeka pengine nisijue wenda haujui kuna mfumuko wa bei hatari kila kitu kimepanda wananchi wanalia mama kipande cha sabuni 500 hivi rasmali hizo zote haziwezi kupunguzia wanyonge taabu hii mama Mtuhurumie mtaani kila kitu bei imepanda marambili vilio tupu Mtuhurumieni.
Ni mtanzania aliezaliwa Lushoto Tanga na ni Daktari wa Rais taangu alipokuwa Makamu. Wakati akiwa Makamu mbona hamkuhoji? Au mbegu ya ubaguzi na chuki imeanza kumea?
Eeh yaawaah kwani Ni tramp amekuja tz eeh siyo yeyee,siku hizi tz mmefanya Maisha ya juu kiasi mnaenda Na helicopter ya gharama hivyo Mama anakula pesa Tamu, Mimi nawaangalia Na yangu macho mmepanda cheo magufuli alishapandanga hii Mara ngapi kongole Mama president...
@@madirishasimon9692 Mzuri kivipi? Hadhi ya Mwanza Ni kubwa, Jengo la Airport Kama la mtu Binafsi? Hamna parking, Hamna sehemu ya kusubiri wageni, Maduka yako nje ukishapita board hamna duka, mkiwa abiria 50 hata hewa hamna.. Uwe mkweli.
Jamhuri ya muungano wa Tanzania kazi ziendelee. Amir jeshi mkuuu huyu hapa na ndiye Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mama yetu Samia Suluhu Hassan kipenzi cha wa Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
Hatuna rais hapa
Hali imekua Ngumu ya maisha hem jamani tuangalieni wananchi wenu Hali Ni mbaya tushirikiane tuijenge nchi yetu tunakuomba mama Samia
WaTanzania Rais wetu SAMIA labda wewe si mTanzania.
@@suleimanmohamed4367 Kuna Rais alipokuwa madarakani watu walikuja na msemo wa VYUMA VIMEKAZA kutokana na jinsi maisha yalivyokuwa magumu lakini nimesahau sijui alikuwa Rais gani yule!
Mkataka msitake Mwenyezi Mungu ndio kashamjaalia awe rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan, hapedi zulma mcha mungu, hauwi, habambiki watu kesi za uongo, hapori wafanya biashara pesa zao.
Mama yetu Rais wetu tunakupenda xn
Wa kwanza kukoment. Gonga like.
Amira(amir) jeshi,helkopter la jeshi!!sio mbaya..ila nimeshtuka kidogo why in mwanza?
Professional landing jamaa Yuko sawa
Absolutely professional landing
@@f.a6043 that's for sure... Nice touch down.
That bird is awesome too
That was a smooth touch down
Hii Marine one ya TZ ni Kali sana Kuliko yetu hapa .
Helcopter kubwa duh. Mm naitaka nikahubilie injili
Umisioni ni mguu kwa mguu...
Mzeebaba
Haswaaa
Hutopata ufalme wa mbingun
Kuhubiri yesu mungu
Mwanza amekuja kufanyaje huyuuuu .. Mla bata tumemchoka 2025 out
Umemchoka wewe
Watu wa mwanza nongwa imewajaa
@@kapitekapite8485 mwambie asiwe anaenda mwanza
Hangaya, karibu jijini mwanza, jiji la miamba na sato kwa wingi, Hangaya karibu aisee
We LOVE U SO MUCH MADAM
Lunchtime china,breakfast serena,dinner Mwanza,kuoga USA,Weekend Canada,Kazi iendelee....
Enzi za chato mulikua kimya ..chuki binafsi
@@sultansallah4509 uyo ulikua unamuona akidhurula bila mpango wowote au
Kal kit cape town
Wasenge mtamia sana kudadeki zenu mtakonda sana na chuki zenu za kisenge ! Mamaaa kula nchi .
Kusema kweli hili swali hili la nani anajali hatma ya Tanzania? Halita kaa lipate jibu mpaka kiyama
Mambo safi
Jaman awa watamchoxha maza inabidi wawe na kilanja wasalimie kwa pamoja
Amir jeshi
Amna ki2
Mama yetu nchi ina miaka 60 tangu uhuru mama yetu ina mbuga zakutosha za wanyama madini sasa usiseme madini mengine yapo tz pekee Duniani maziwa makubwa nyasa victoria tanganyika Eyas pamoja na bahari bado wananchi hawana maji,vijana hawana ajira umeme shida.hosptlini dawa hazitoshi.hivi hii ni haki kweli? Mama yawezeka pengine nisijue wenda haujui kuna mfumuko wa bei hatari kila kitu kimepanda wananchi wanalia mama kipande cha sabuni 500 hivi rasmali hizo zote haziwezi kupunguzia wanyonge taabu hii mama Mtuhurumie mtaani kila kitu bei imepanda marambili vilio tupu Mtuhurumieni.
Ok aimisi you 💕 mm
Hatuna rais
Ni wewe siyo sisi mama oyeee
@@halimamasai2234 oiiiiiiii
Chuki zako jitiye madole ya mkundu unuse. Rais ni Mama kutoka Zanzibar.
Macsonn
Hatuna rais hapa.Tuna waigiza bongo movie na mbuga za wanyama.Drama tupu
Ndo yeye sasa jinyonge
Wacha wivu bac rais awe mkeo
Kunywa sumu
Hatna rais kwan uongo
Kitu cha JW
100%
TUMAKUOMBEA RAIS WETU MANMA SAMIA MUNGU AKULINDE NA KUONGOZA
kumbe na sie tunayo kama ya marikani
Always God I Good
Mkataka msitake Rais wenu ni yeye kutoka ktk visiwa vya marashi ya Karafuu sema ZANZIBAR 👍🏽👍🏽👍🏽
Pilot mwenye anaendesha hiyo kama Siyo beberu mtajua amjui, America in tz...mnashangilia Kwa hekoo naonako tuu
Kwanini asiwe kama babaake ? Mzee ruksa
Mama hangaya upo vizuri masha Allah
Iyo ndege sindoo ile ya Rambo?
😄😄😄😄😄🤣
Inchi, ya amani na Democraticia,kweri,Rwanda isije ikawafundisha,ubaya, na mawuaji na bwiz, i
Tz bado mpo chini sana
Mpo chini nyie kwa kipi mnaweza kulingia mfano acheni kujikuta wasenge nyie hamna lolote mngekuwa juu msingekuwa bado mnateseka na njaa mpaka leo
Hayo matambara kwa mdomo vipi kunuka lakini
Yana mwisho na mbowe mungu atamtoa jera tu
Hakuna kipya chini ya jua
hako kadada kazungu ni kanani mbona kila tour ya mama kapo?
Ni mtanzania aliezaliwa Lushoto Tanga na ni Daktari wa Rais taangu alipokuwa Makamu. Wakati akiwa Makamu mbona hamkuhoji? Au mbegu ya ubaguzi na chuki imeanza kumea?
Dada wa kazi
Mkibagua wenzenu mwisho mtajibagua wenyewe tusubili 2025
Huyo dada mzungu ni PA wa mama...yaani personal assistant.
Mama anapenda batahuy
Awe makini
Na Nini? Malizia
Allah ndio mlinzi wake na sisi tunamuombea kila la kheri
Acha uchawi wako
Mama tunakutakia safari njema kwenye safari yako
Mmmh mbona kama ya jeshi
Kwasababu rais ni mkuu wa jeshi
Yeye ni Amiri jeshi mkuu kila kitu kipo chini yake. 👍🏽👍🏽👍🏽❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
R.I.P Magufuli
VP KAFUFUKA
Me sisemi kitu yangu macho to na masikio
Useme umwambie nani
Bata batani
What a Mess
Hivi Projects zinaendelea za Maendeleo ya jamii au watu wanaruka ruka tu kila mahala.....maana heee hizo trip si za kawaida.....
Vaamiwani kama huoni mbona huulizi wasiojulikana wapo wapi.hongera raisi piga kazi
Mama huu ni muda wake wa kula bata
Duh mama arusha ndege
Eeh yaawaah kwani Ni tramp amekuja tz eeh siyo yeyee,siku hizi tz mmefanya Maisha ya juu kiasi mnaenda Na helicopter ya gharama hivyo Mama anakula pesa Tamu, Mimi nawaangalia Na yangu macho mmepanda cheo magufuli alishapandanga hii Mara ngapi kongole Mama president...
Kaz iendele mam
Tubani ni beberu bhana!!!
Bado hajatumia mama anajenga nchi 2 musielewe vibaya akitumia gari haipendezi
Very poor security
You reason like a Kenyan in Tz people are not like that
Hana tatizo anajiamini 🙏🏽👍🏽🙏🏽🇹🇿❤👌
They land on a helicopter while the children cross the water with a canoe to go to school Tz nyoso
That is another way
Matumizi mabaya ya fedha
Mwanamke ni mwanamke tu, kutawaliwa na mwanamke sijuwi Tz tumekwama wapi
Kamlaumu babuyako ndo alomwona anafaa.mama poga kazi
Likatiba
Mama waikuhadae hao.vaa nguo zako kama Amani
KAMA DODOMA HUO UWANJA!
Mzuri Sana na bado unajengwa
@@madirishasimon9692 Mzuri kivipi? Hadhi ya Mwanza Ni kubwa, Jengo la Airport Kama la mtu Binafsi? Hamna parking, Hamna sehemu ya kusubiri wageni, Maduka yako nje ukishapita board hamna duka, mkiwa abiria 50 hata hewa hamna.. Uwe mkweli.
@@madirishasimon9692 Tena hayo Maduka ya nje Ni vigrosary vya bia, maji, juisi na Karanga baasi
@@malopemaliyamungu5243 kabisa mwanza inatakiwa iwe na airport kubwa Sana bro
@@malopemaliyamungu5243 hata hewa hamna? Uliwahi kuzimia hapo kwa kukosa hewa inayotoka ziwani hapo chini tu kidogo! Wabongo bhana
pombe baraka magufuli ua-cam.com/video/SHhvVmylpzA/v-deo.html
Mama Akiwa mzurulaji Na watoto je wanakuwaje
Hizi helicopter za tanzania ni za hali ya juu sio kama zile za kenya
R.I.P Jembe le2 Magufuli 2takikumbka daima milele!! Huyu Samia ac2choshe na upuuz wake
Mkumbuke tu ni vema
WEWE MRUNDI MSHENZI 2
Samia mpenda Amani hana rohombaya kama farao
@@allymadunda7931 asingekujengea msikiti
Kutumia helicopters kwa hizi safari fupini sawa kuliko boeing kwani ni gharama kubwa sana
ua-cam.com/video/cTi4vOt4Wys/v-deo.html
FAHYVANNY vs PAULA KAJALA 🔥🔥🐉🐉🐉
Umetosha kula bata tukumbuke maskini bwana mbona unazidi kuzingua wakati wewe hutaki kuzinguliwa
Wanaosema hawana RAIS wakamfufue Magu wao ili awatawale.
Pumbavu
Kilaza yule elimu hana
Hatuna rain hapa kabisa
Tatizo wengi wanaosema hatuna Rais ni wanawake sishangai kwani wanaongoza kwa kuto pendana, wivu ndio unawasumbua.
Ukiwa pumba pia utampenda pumba mwenzio