Pole sana kwa mtumishi wa Mungu Geodavid na familia yote.ubarikiwe mtumishi wa Mungu Apostle D,Maboya ,kwaneno la faraja kwa watumishi wa Mungu.Halleluyah
Dady you are the best. Umeongea neno limegusa mioyo ya watu Mungu ameonekana kupitia wewe hakika Mungu alikuandaa kwa ajili ya kusimama katika siku ya leo. Wewe ni baraka sana
Sijawahi kusikia neno la Mungu km hili ktk kanisa la ngurumo,kweli tumshukuru Mungu kwa kila jambo, mengine yanafanyika kwa kusudi,leo kweli nimeona kitu cha Mungu kupitia Maboya,👏👏
Ngurumo ya upako siyo kanisa ni club entertainment and fashion for the blinds who doesn't want to do biblical research. Kama huwezi kuchunguza ukweli juu ya mahali ulipo ukabaki kutetea bila facts ujue nafsi yako imetekwa. 1Yohana 4:1, Mathayo24:11, Yeremia 23:16-33.
Ni msiba mzito sana. Mungu awatie nguvu. Apostle Dastan Maboya amenitia nguvu kwa maneno ya hekima. Nakumbuka yalivyonipata 2014 mwanangu wa kipekee. Niliumia lakini Mungu alinitia nguvu sikujua kama ningekuwa hai lakini Mungu ndiye aliyenishika na mkono wake wenye nguvu na Uweza.
Kweli anayepaswa kuzikilizwa Ni Mungu tu binadamu wengi wanateuliwa na ibilisi kuharibia wengine msisikilize mtu songs mbele kila Mtu na maisha yake poleni familia ya mtumishi wa Mungu.
Shalom to all.I salute Apostle Maboya🎉🎉.Nimemfahamu Dastan Maboya Zaidi ya miaka 25 ilopita na nimewahi kuwa Mwanafunzi wake miaka ya 94/95 Kazi zake ni Njema majira yote.Hakika Familia na Mtumishi Geor Davie hata Sisi sote Tunaofuatilia Msiba huu Umetugusa Nimefarijika....Nabii Mkuu Kuwa Jasiri Kwa Aliyekuita Itimize KAZI Njema ya Muumba Wetu.IMEKUWA
Haya mahubiri ni ya watu wote wafiwa na wasio wafiwa. Mchungaji uko vizuri saana. Mungu akubariki mnooooo. Sijawahi kukusikiliza na hii ni mara yangu ya kwanza ila una madini mazuri snaa.
Mungu awatie nguvu Mungu awape faraja. Mungu endelea kusimama na watumishi wako.waendelee kufanyika kwa kondoho wako.🙏🙏🙏😭😭Mungu akupumzishe kwa amani ndugu yetu katika pumziko la milele na mwanga wa milele akuangazie🙏🙏🙏🙏.Ewe mwenyezi Mungu watie nguvu Kondoo wako asiwepo hata mmoja wa kukata tamaha wote wadumu katika amani nakushilikiana na watumishi wako🙏🙏🙏🇺🇲
mtumishi wewe umewayi kuhubiri mzazi mzuri uwacha urizi hadi ku wajuku ,manayake Mchungaji DAVI SIYO MZAZI MZURI,atoke mchama ya Freemason Bado kafara ifatayo ni MKE wake.
Nani aliye waloga Watanzania kila msimba ya mtu maarufu tuna unganisha na freemasons?? Huo ni ujinga na upumbavu kwanza wengi hata hawa elewi freemason ni nini na hutenda mambo yao kwa namna gani. Uongo ulio enezwana wachungaji wa kilokole wenye elimu ndogo ya Biblia na kujia kuli pambanua vizuri neno la Mungu. Na kwa ujinga huo watu wengi wanajengeka kuwa na hofu hofu zisizo na misingi.
Mchungaji Maboya ujue kabisa. Sijawahi kusikia mahubiri ya mfiwa. Niliona tu akivutiwa na mamic. Sasa kupitia msiba huu ajifunze kufundisha watu neno la Mungu kwa kuwa watu wengi wanamfuatilia bado anayo nafasi ya turekebisha mizaha na kuhubiri injili ya kweli kama Mtumishi Maboya. Poleni wote kwa msiba mzito.
Amina Sana nabii mungu akuzidishie. Iman
Amen Asante kwa mahubiri Mazuri sana.
Neno lenye nguvu ,neno lisilo goshiwa , Mungu akuweke ,Dr.bishop Maboyaa
Poleni familia kwa msiba huu mzito. Asante mch Maboya kwa ujumbe mzuri sana kwetu na kwa familia.
Pole sana kwa mtumishi wa Mungu Geodavid na familia yote.ubarikiwe mtumishi wa Mungu Apostle D,Maboya ,kwaneno la faraja kwa watumishi wa Mungu.Halleluyah
Amina Bwana amekutumia kwavkiwango kikubwa sana Barikiwa
Wallahi amemwambia George maneno magumu sana. Salute kwako Maboya. Umejua kumfariji hakika!!
Dady you are the best. Umeongea neno limegusa mioyo ya watu Mungu ameonekana kupitia wewe hakika Mungu alikuandaa kwa ajili ya kusimama katika siku ya leo. Wewe ni baraka sana
MM KILE KITU NASHANGAA WATU KUVAA KAMA FREEMASON
Ujumbe Mzuri sana,nimebarikiwa sana.
Bishop Maboya, my role model
Kamanda
Nimefarijiwa na neno la mungu mtumishi maboya
Asante sana kwamaneno yako yabusara mtumishi yamemipa Imani sana ubarikiwe babà amen
Amina mtumishi kwa ujumbe mzuri mno hakika Kila aliyemsikiliza kwa makini amepata, roho mtakatifu atusaidie kuifahamu kweli.
Sijawahi kusikia neno la Mungu km hili ktk kanisa la ngurumo,kweli tumshukuru Mungu kwa kila jambo, mengine yanafanyika kwa kusudi,leo kweli nimeona kitu cha Mungu kupitia Maboya,👏👏
Very true! Ujumbe mzito na wanguvu S?sana!
Maboya ni mwanafalsafa wanaomuelewa wachache ubalikiwe mtumishi wa mungu amen 🙏
Siku moja mtaelewa hahahaaa
Mungu awafariji ktk msiba huo naitwa mchungaji kutoka Geita katoro na Mungu akubariki mtume maboya ni baba yangu
Amen Amen man of God ❤❤ umeongea point
Taifa limebarikiwa kuwa na watu wenye hekima mnoooo , Maboya Mungu akubariki Sanaa hata mm nmefarijika pia!
Kabisaa
Taifa haliwatumii kwa sbb wataambiwa ukweli kwa wanayoyafanya
Huwa sikubari mahubir yako ila Leo umefariji kweli na umeongea maneno ya faraja yenye ukweli Big Amen
Ngurumo ya upako siyo kanisa ni club entertainment and fashion for the blinds who doesn't want to do biblical research. Kama huwezi kuchunguza ukweli juu ya mahali ulipo ukabaki kutetea bila facts ujue nafsi yako imetekwa. 1Yohana 4:1, Mathayo24:11, Yeremia 23:16-33.
😢😢mungu akuweke aminaaaaa
Aminaa baba yangu
Hakika n mungu ametumia kinywa chako kufariji familia
Amen Baba maboya
Ameen Bishop,,barikiwa snaa kwa ujumbe mzurii uliutoa🙏
NACHUKUA NAFASI hii KUMPA pole nabii mkuu jor Devi MUNGU awe pamoja na wewe katika kipindi hiki kigumu amen 🙏
Haleluyaa, Haleluyaa Yesu ni mwema kweli yupo mfariji. 🙏
34 year's very young 😢😢😢RIP my boy you not alone Jesus is there with you ❤❤
Pole Sana Baba Geodevid na Mungu akujaze faraja kipindi hiki kigumu na hakika Yesu anakupenda.
Polen sana, nimeumia sana, pia bishop maboya umeongea vema, nimetiwa moyo na mm pia
Nakubali sana Bishop Dunstan
Bishop maboya yuko vizuri Mungu Ambariki.
Amina polen sana
Ni msiba mzito sana. Mungu awatie nguvu. Apostle Dastan Maboya amenitia nguvu kwa maneno ya hekima. Nakumbuka yalivyonipata 2014 mwanangu wa kipekee. Niliumia lakini Mungu alinitia nguvu sikujua kama ningekuwa hai lakini Mungu ndiye aliyenishika na mkono wake wenye nguvu na Uweza.
Pole sana dear
Mungu Baba awatie nguvu 😢😢😢
Pole sana pole mno
Asante sana wapendwa
MUNGU awe faraja yenu, Asante askofu maboya Asante Kwa faraja
Kweli anayepaswa kuzikilizwa Ni Mungu tu binadamu wengi wanateuliwa na ibilisi kuharibia wengine msisikilize mtu songs mbele kila Mtu na maisha yake poleni familia ya mtumishi wa Mungu.
😂poleni Sana watumishi
Amen Baba 👏👏👏👏
Poleni sana
Mungu aendelee kukuweka mtumishi wa mungu maboya kwa maneno ya hekima nayafaraja kwa nabii mkuu na familia yake na kanisa pia
Amina mchungaji maboya Mungu akuwekee
Amen
😂😂 nakupendaga sana Dastan Maboya... Unahubirigi kifalsafa.
Rest in Peace Nisher😢😢😢
Aninaaa sanaa. Umeimba vizuri mchngaji Mabeho. Mwenye masikio na asikie.
Ubarikiwe Baba yetu ,kwa ujumbe mzuri.
Shalom to all.I salute Apostle Maboya🎉🎉.Nimemfahamu Dastan Maboya Zaidi ya miaka 25 ilopita na nimewahi kuwa Mwanafunzi wake miaka ya 94/95 Kazi zake ni Njema majira yote.Hakika Familia na Mtumishi Geor Davie hata Sisi sote Tunaofuatilia Msiba huu Umetugusa Nimefarijika....Nabii Mkuu Kuwa Jasiri Kwa Aliyekuita Itimize KAZI Njema ya Muumba Wetu.IMEKUWA
May God comfort you.
Nimefarijika sana🙏
Amina maboya
Kweli maboya, umejua kunifarijii.. ety tulia askofu yuko mbele?
Jina la Bwana libarikiwe tunamshukuru Mungu kwa maisha ya kijana wetu Nisher.
Mungu ni Mungutu,atabaki kuwa Mungu,mambo yote tumwachie Mungu anajua,
Baba pole kwa radi hiyo iliyo kupata, Mungu awe faraja kwa familia yote.sijambo rahisi , ila Mungu awatiye nguvu.
Umejua kutoa neno la faraja baba, Mungu akubariki sana
Haya mahubiri ni ya watu wote wafiwa na wasio wafiwa. Mchungaji uko vizuri saana. Mungu akubariki mnooooo. Sijawahi kukusikiliza na hii ni mara yangu ya kwanza ila una madini mazuri snaa.
Ana madini Sana Mobeyo hata mi ni first time kumsikia
Napemda Sana huyu Baba maboya Mungu akubaliki sana
Ni wale wale.
Naomba Mungu hawa walio Baki wazae huyu Mzee apate wajukuu
🎉 UBARIKIWE SANA MTUMISHI WA MUNGU
Njaa mbaya jamani
Wafariji jamani nimeona Askofu maboya mtumishi amepawa na msiba wanani Niver ni mtoto
Nimependa mahubiri yako mtumishi, umewapa faraja saana,
Braza injili ya kinabii iache kama ilivyo!. Maboya ni Apostle, Geordavie ni nabii
Barikiwa mtumish
Pia pole Nabii Geordave roho wamungu akufariji
Amina
Mungu awatie nguvu familia na kanisa
Mm nimemuelewa uyo nic anawatoto nje kwaiyoo anamkumbushaa asiwafukuzee awachukuee awalee na kuwasomeshoo🎉
Congratulation for good message. God bless you.
Hakika yuko mfariji. Mtumishi Dastan Maboya umetumika kufariji wengi sio Mtumishi Davie pekee.
Ohhh poleni sana wazazi na familia hakika kifo hakina mwenyewe RIP kijana wetu
34 tunalingana ase 😢😢😢😢huyu maboyo kiboko
Tuliimba sana tukiwa Iringa tukiwa vijana wenye nguvu.
Mungu akubariki
Pamoja na maneno mazuri mbona mnatiliwa mashaka sana!!!kulikoni????mbona kama hamuhaminiki,ñdg kuna nini???
Hapo kwa mkapa kweli asee
Muhubiri yuko vizuri sana
rest in peace
Poleni sana katika kipindi kizito, MUNGU awape Faraja ya kweli
Mungu akubarik kwamanen yafaraja😢
Nakukubali Bishop,
Mungu
Mungu awatie nguvu Mungu awape faraja.
Mungu endelea kusimama na watumishi wako.waendelee kufanyika kwa kondoho wako.🙏🙏🙏😭😭Mungu akupumzishe kwa amani ndugu yetu katika pumziko la milele na mwanga wa milele akuangazie🙏🙏🙏🙏.Ewe mwenyezi Mungu watie nguvu Kondoo wako asiwepo hata mmoja wa kukata tamaha wote wadumu katika amani nakushilikiana na watumishi wako🙏🙏🙏🇺🇲
Kweli kabisa
Aminaa amina umeeleweka baba.
Apostle maboya wewe Guinness
AMekua pombe tena ama ulimaanisha genius
Amen B SHOP
Atawatafuna wote vima ninyi....masonic is masonic
Mchungaji abarikiwe kweli wewe ni mchungaji umekuwa mfariji kupitia neno .mungu akutunze na azidi kukupa hekima. Maana umefunikaaaaaaaaa😂❤😊
Nimefurahi mno kusikia injili ya YESU ikihubiriwa hapo .kwa kweli nimefurahi kusikia madhabahu ile imetumia mda mwingi kumtaja yesu hapo.
Poleni sana RIP NISHER
Interview za mwisho za Nisher hakua sawa.Please Parents talk to your children’s.
Hakuwa kivipi??
Na salam alekum tena?
Nic sialisema anawatoto 2
Sijawahi kumsikia Geodav akimuhubiri Yesu
Ajabu saana
Tumuachie Mungu wa mbinguni
Roho mtakatifu ndio mfariji
Amakweli pesa sikilakitu napia pesa haiwezi nunua Uhai wa mtu😢😢😢
mtumishi wewe umewayi kuhubiri mzazi mzuri uwacha urizi hadi ku wajuku ,manayake Mchungaji DAVI SIYO MZAZI MZURI,atoke mchama ya Freemason Bado kafara ifatayo ni MKE wake.
Acha Mimi nikiangalia watoto waliyozsliwa na mtoto wangu huwa machonzi yananitoka
RIP Nisher
RIP Nisher😭👏🙏
Nani aliye waloga Watanzania kila msimba ya mtu maarufu tuna unganisha na freemasons??
Huo ni ujinga na upumbavu kwanza wengi hata hawa elewi freemason ni nini na hutenda mambo yao kwa namna gani. Uongo ulio enezwana wachungaji wa kilokole wenye elimu ndogo ya Biblia na kujia kuli pambanua vizuri neno la Mungu.
Na kwa ujinga huo watu wengi wanajengeka kuwa na hofu hofu zisizo na misingi.
Wewe mchungaji wa kipagani tupe elimu,maana naona kama wewe una ufahamu mkubwa juu ya Biblia.
Mbona makasiliko
Lakin huyo Baba yake mmmh
@@philipofelician4328tuambie wewe unayemfahamu huyo Geo Davi
KWANZA NABII MKUU NI YESU PEKEE NA CASPECT HAWA WATU CHUNGENI SANAE FREEMASON NDIO WANAVAA TAY YA RED NA NGUO ZA BLACKE.
Hongera Mary wewe utakwenda Mbinguni maana unavohukumu Ni ukakasi kwa kweli wabaya wazuri wote Ni wake
Nabii mkuu, ukuu upi, Jina la Bwana libarikiwe Yesu Kristo ndio mkuu.
sawa ata kama freemason lkn ww ni mwanamke ni vizuri ukatuliza komwe lako wakati wenziee wanaomboleza😮😮😮
Hata kama wanaomboleza ila Mimi kiukwel huyu mzee sionagi tofaut na mfalme zumaridi nahisi kabisa ni ma agent wa brother shetan 😂
Msihukumu msije hukumiwa
Mchungaji Maboya ujue kabisa. Sijawahi kusikia mahubiri ya mfiwa. Niliona tu akivutiwa na mamic. Sasa kupitia msiba huu ajifunze kufundisha watu neno la Mungu kwa kuwa watu wengi wanamfuatilia bado anayo nafasi ya turekebisha mizaha na kuhubiri injili ya kweli kama Mtumishi Maboya. Poleni wote kwa msiba mzito.
Rip nisher mungu akubariki mtumishi......my condolences to the family 😢😢