Aliondoka nyumbani akaenda nchi za nje akarudi nyumbani ndugu hawajui wamekuja kujua baada ya 900 itapendeza wakamuona kwenye TV tu nyumbani aligoma kurudi mwenyewe na alikua na maisha mazuri tu..so msiwalaumu bila kujua
kama unatatizo la kukosa hedhi , umeathirika na dawa za uzazi wa mpango, harufu mbaya sehemu za siri, mvurugiko wa hedhi, fangus sugu , UTI sugu, pid sugu na kukosa hamu ya tendo karibu inbox tuzungumze na tiba. 0652223888
Mngeacha tu kuwahoji maan alivokuwa hai hamfanyi hiv
yaani wapuuzi kweli hawa watu
DUNIA NA MAMBO YAKE YANAPITA
Utashangaa kafa watazifatilia mali ..media zote hawana utu walishindwa kumsaidia akat mnapublish hbr zake mnapata hela ..tanzanians unafiki mwingi
Pumzika kwa amani
R.I.P Mzee wetu
Aisee Pumzika kwa Amani Dk shika
R .I.P Dr Shika
Rip
Dr Shika RIP.
😭😭😭😭😭😭
Korona
Punzika kwaamani😭
🤲🤲🤲🤲🤲🤲🙏
Kumbe ndugu mpoo?? Jamaa kapata shida apa mjini nyie mmekaushatu daa!!!!🤔
Mzee alkuwa akilala nje haapati chakula ase kuna siri juu ya kifo chake hawasemi
Walijua anapesa ndoman wakamtenga wapoona hawapi
@@zulekhaally3524 ila ase🏃
Aliondoka nyumbani akaenda nchi za nje akarudi nyumbani ndugu hawajui wamekuja kujua baada ya 900 itapendeza wakamuona kwenye TV tu nyumbani aligoma kurudi mwenyewe na alikua na maisha mazuri tu..so msiwalaumu bila kujua
Walimtafuta sana akawa hataki kurudi kazidiwa ndo karudi
Nani kafa ?? Maana marehemu hakutajwa ila aligua kapelekwa Hosp, karudishwa, kapewa dawa, tukampeleka. Tukamzika!! Nani????
President mkapa
Kweli mie mwenyewe wananiacha njia ya panda!!!!
@@samsonhaule5422
Nimefuatili ni Dr. Shika mwenyewe ndo kafariki.
Angalien heading msisumbue watu
HILI HALINA AKILI JINGA
JAMAAANNIIIII MMHH ETI TABIA YAKE HAIKUWA NINI!?? MTU ALIYEKUWA KIMYA TU ..
FOOLS KWELI
kama unatatizo la kukosa hedhi , umeathirika na dawa za uzazi wa mpango, harufu mbaya sehemu za siri, mvurugiko wa hedhi, fangus sugu , UTI sugu, pid sugu na kukosa hamu ya tendo karibu inbox tuzungumze na tiba. 0652223888
@@jumaruksa4718 muda wa nini