Content nzuri sana, kiredio unafanya kazi nzuri sana, but kuna shida hutupei conclusion, embu jaribu kutuunganisha matukio since unaongea na jamaa hadi una kutana na binti and conclusion ilikuwaje
Yaani hii kila muda naangalia na nacheka sanaa ndugu zangu uaminifu ni muhimu sana Mumewangu popote ulipo Nakupenda sana na kamwe sito kucheat nimelidhia na wewe❤❤❤
Hii inaonyesha wazi 80% ya wanawake wa chuo sio waaminifu cha msingi vijana wanatakiwa kua makini mpende demu kwa maslai tu ya kung'ata na kupotea hata ukisikia rafiki yako amekula demu wako usigombane nae hii generation marafiki muhimu sana kuliko mademu wa chuo ni kausha damu
Khaaaaaaaaaaa hii ni hatar jmn wanawake tumezidi jmn duuuuuu sijawah kukoment chochot lkn Leo imebid niongee neno duuuuuuu kama wap wadada wa hivi siku yatakuja kuwakuta mamb haiwezekani mtu ana kuhudumia au anakufanyia Surprise Kam hiy ww unaleta mambo ya ajabu na ya haibu pia khaaaaaaaaaaa 🙆🏽
Mbona rfk yngu @kiredio amepoa hivyo jmniiii hiyo iPhone naona turudinayo dar kijana akamnunulie mam shamba😅😅maana kuna mabinti wanacheza na akili za watoto wa wanawake wengne 😊
Ushauri wa bure,jitahid kwenda gym na ujifunze karate na ndondi,ipo siku utachezea kichapo famba kwa wenye hasira😂😂😂😂😂😂,kazi nzuri,hakuna mapenzi ya dhati kwa sasa,nikama ligi ya mbuzi,kuchapiana kawaida ukijidai unawivu utaumia,mapenzi ya kizazi kipya
Content nzuri sana, kiredio unafanya kazi nzuri sana, but kuna shida hutupei conclusion, embu jaribu kutuunganisha matukio since unaongea na jamaa hadi una kutana na binti and conclusion ilikuwaje
Yes
Yah that's true afanye follow up😊 kuunganisha couples
😂itakuwa movie sasa
Hapo tutakuwa tunapigwa mkisema iwe hvyo
No hii nimegundua ni njia ya kweli hata we unaweza mtumia mpenzi wako zawadi ili kuprove atapokeq mtu sahihi?
Kiredio et "mnakunywa soda au?" 😂😂😂😂
napenda kuona watu wanateswa na mapenzi...😅😅😅
Long distance relationships huwa hazifanyi kazi, great content.
Yaani hii kila muda naangalia na nacheka sanaa ndugu zangu uaminifu ni muhimu sana Mumewangu popote ulipo Nakupenda sana na kamwe sito kucheat nimelidhia na wewe❤❤❤
Vip kuhusu yeye hakucheat pia😁😁😁
😅
Watu wanapewa had iphone mm hata w kunihonga kiswaswadu hakunaa 😢cjui nafel wap
Hio lazima
Hii inaonyesha wazi 80% ya wanawake wa chuo sio waaminifu cha msingi vijana wanatakiwa kua makini mpende demu kwa maslai tu ya kung'ata na kupotea hata ukisikia rafiki yako amekula demu wako usigombane nae hii generation marafiki muhimu sana kuliko mademu wa chuo ni kausha damu
Hao ndo wanawke wa tanzania sasa❤
Mmmh inatisha sana. Focus on yourselves gentlemen it's a really cold life in this eraa
Ila wa tz kwenye sekta ya mahusiano sio wa kweli kabisa hii ya Leo kiboko kiredio hata kama aliokutuma kajionea live
Mungu wangu weee demu kashamjua mshikaji wake ooh my GOD
Kiredio leo umepigwa na kitu kizito siyo kwa kukujia na shemeji yenu😂😂
Inachekeshaaa😂😂😂😂😂😂 Hali ya bwan mahusiano ni teteeee
Ila nimefurahi SANA man,pale alipo mtambulisha BF wake kabla.
Ila kiredio jamn😂😂 muone namaliza bando lang kila siku mpaka nakopa 😅😅😅😅 kisa hiz mamb zako I love you
Kiredio wew mungu atakupa kiti chako
Part 2 please
Sasa kiredio ikawaje 😅😅mbona mtu aliinuka tuu then fyuu au alivunja camera😂😂😂😂
Alafu ni wajina eeh Yesu😢
😂😂😂😂😂 oya mlipona maana at atujaelewa kilicho endelea😅😅😅😅
Kiredio part2 plz
sasa ndo useme kiredio ameishiwa nguvu oviasiii😂😂
Tuko confussion😂😂😂😂😂
Ds dodoma ❤❤
Jmniii part two 😂😂😂
Mr UK simu ulikuwa unaficha wapi😂😂
😢 kwann kila sku ni wadada tu
Daaah jamani inauma sana
Tunaomba part 2 jaman uwiiii
jaman kiredio na mr uk 😅😅😅 haraf mr uk nilikuona kwenye mr right
Mnipee hyo simu mm nina kazi nayo😊😊😊
😂😂
kiredio pole kwa kweli Du
Kuna pozi amekaaaa kiredio nkajua teyaliii💔😂😂😂😂
Weee kiredio wewe Mungu anakuona 😂😂😂😂 nakukubali kinoumaa
Mnakunywa soda au?😅ila wanawake tuache tamaa.
Jamani mapenzi haya 😢
😅😅😅😅😅yaaani utasikia m.mke mweny sura mbovu hawachit....hiv km kila mtu anataka pisi mbovu ila awe peke yke unadhn mtakua wangap 😅😅😅😅😅
Ulikua unaulazima wa kuuliza kama anaweza kupigana, picha linaanza jamaa kavuta kamera sijui nyie mpo kwenye hali gani 😂😂😂😂😂
Safiiiiiiiii,safi sanaaaaaa, Good job kiredio
Uyo mvulana si julius
Khaaaaaaaaaaa hii ni hatar jmn wanawake tumezidi jmn duuuuuu sijawah kukoment chochot lkn Leo imebid niongee neno duuuuuuu kama wap wadada wa hivi siku yatakuja kuwakuta mamb haiwezekani mtu ana kuhudumia au anakufanyia Surprise Kam hiy ww unaleta mambo ya ajabu na ya haibu pia khaaaaaaaaaaa 🙆🏽
Na pia pongezi ziende kwakwako kiredio watu watajifunza na kujirekebisha kupitia ww
Kiredio genius
Wanawake haki kuna tuvitu tumemzidi adi shetani 😂😂😂🙌🏻 et msimpigie
Dah!! Kadadaa kamechanganyikiwa!! Baada ya kujua kayakanyaga hataki kuharibu pande zote! Ni nouma wadada wa chuo
Part2
Mwendelezo jamani😂😂😂😂 tuone iliishaje
Alaa part two iko wapi kiredio
😂😂😂😂😂daaah...wazee wa kuachanisha mahusiano yaliyofika hatua ya mwisho😅
😆😆😆 sijapentaaa
Ila mnasaidia mna hueenda watabadirika
🤣🤣🤣🤣🤣bongo hii, tutafika tumechoka sana
Sema Sasa,umefeli jambo moja mbona haijaisha.
Yaani Mimi natetemeka Mungu wangu
karibu singida mzee mwenyewe uje ukiwashe kwa wanyaturu😂😂😂
😂z😂😂😂😂😂huko hatar
@Kiredio Kiukweli nimechelewa kuiona hii ila huyo dada hapana aisee.... Kanikumbusha nilikutana nae Ze Bistro😅😅
Wajina dah
..... 🤣Aaaah Kmmke Pissi yenyewe Mbovu kis*ng afu ina cheat maaamae....
😂😂😂😂Sema we kiredio ipo sku wataku ua😅😅😅
Mbona haijaisha😢😢
Jaman khaa 😅😅😅
😂😂😂eti unaweza kupigana
Ipo siku utarogwa kijana😂😂😂😂😂.......... Sema naikubali kazi yako😂😂😂
Tunataka part 2😂😂😂😂
Kumbe kiredio kupigana huwez,yn mm ningekudunda🤣🤣🤣
Sema kiredio we mnafiki sana maswali gani hayooo😅😅😅😅😅
Zanzibar tokae mzee
😂😂😂😂daah kmk walaah
🫡🫡🫡kiredio kiboko ya cheating
Na mimi nataka univunjie mahusiano huku😢😂😂
Wew kiredio unaharibu mahusiano ya watu wew
😂😂kilijiri nini
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 et tunakujaa asaiv 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂cjui ataa nachekaa nn
Ety hii ni kali bora ya gari😂😂😂😂, hapa ni wapiiiii
Kiledio mm nataka nimchalenji mpenziwangu
Mwendelezo
Mbona bahati hiizi sipati mm mungu wangu jamani
Njoo nikupe bahati😂
Mpenzi wangu ajiandae namletea zawadi ila mshenga ni kiredio 😂😂😂😂
Daaaah
Mbagara lini kak
apo Kwanza nicheke😂😂😂
Mbona rfk yngu @kiredio amepoa hivyo jmniiii hiyo iPhone naona turudinayo dar kijana akamnunulie mam shamba😅😅maana kuna mabinti wanacheza na akili za watoto wa wanawake wengne 😊
Sasa kiredio mpo wawili unawaza kupigwa😂😂😂
😂😂😂 jaman mbona mmekatisha aah 😢
Kiredio kiredio 😂😂😂watakuloga harafu iringa marufuku tutakuselemani😂
Kamwene mnyalukolo😅😅
Nmekuja shwaaaaa😂🤣😂🙌🙌🙌
Inabidi nikutume na mimi maana😅😅
Somo la kuondoka nalo hapo jifunzeni kuweka mbali camera
Daaaah ninomaaaaaa
Kiredio ban😂😂😂 eti kila mtu ajue
Kipindi kizuri sana japo mnavunja ndoa za watu"lakini mbona hamfiki mwisho?
😂😂😂Ety unaweza kupigana??kiredio unaomba ulindwe😂😂
❤❤❤❤ kiredio kaz nzur komesh michèpuko
😂😂😂
Mnazinguwaaaa mnaleta vipande bwana😂😂
Hii kalii kmk 😂yan nimejifunzaa kbsa n vyemaq kuishi single tuu huu ujingaaa
Mapenzi ya bongo😂✋
Hahaha wale sabu kiboko yenu kiredio aaaahh
😂😂😂 Nice work
me mapenzi basi tena😂😂😂😂🙌🙌
Dada kama kweli una mashaka gani kiredio usipige cm hahahahhaha jmn
this was btn chelsea vs brentford mkeka ukachanika mchana kweupeeee😁😁 maaapeeenjiii yatakuuuaaaa
Hahahaha kasimu kamera kakashikwa jamaa kaona mdada kashamuaibishaaa ...
apa si shopers mbez beach😢
Kijana upo Dom 😹😹
Content nzuri sana don't give up kiredio sisi wengine tunajifunzia hapa ❤🙌🙌ila unakata why utoi mpaka mwisho? Tunaoma part 2
Safi mnajuakutunyoosha wanawake wenye tamaa
@@JescaMuyabi-ix8lybado hujasema 😂😂
Ushauri wa bure,jitahid kwenda gym na ujifunze karate na ndondi,ipo siku utachezea kichapo famba kwa wenye hasira😂😂😂😂😂😂,kazi nzuri,hakuna mapenzi ya dhati kwa sasa,nikama ligi ya mbuzi,kuchapiana kawaida ukijidai unawivu utaumia,mapenzi ya kizazi kipya