"HUYU NAMFUKUZA LEO, NILISHAMUONYA, ANATEMBEA HADI NA WAKE ZA WATU, HAFAI" - MAGUFULI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 642

  • @evelynesabina8168
    @evelynesabina8168 4 роки тому +124

    Im a kenyan but i love the way Tanzanian president handles issues... God bless you president

    • @majiramhesi9093
      @majiramhesi9093 4 роки тому +1

      Thanks men

    • @kakawamashariki8978
      @kakawamashariki8978 4 роки тому +6

      Salaam Eveln kwa upendo wako kwetu, Mungu awajalie nanyi pia huko Kenya hata Kama si leo basi siku zijazo.

    • @nubiasahil2752
      @nubiasahil2752 4 роки тому

      i guess you are not Kenyan

    • @brayo001
      @brayo001 4 роки тому +1

      Haya mambo ya serikali ya Moi

    • @saadakiyungi6437
      @saadakiyungi6437 4 роки тому +2

      Shukrani ndugu zetu wa kenya

  • @nickyfranchesco5611
    @nickyfranchesco5611 4 роки тому +38

    From Kenya,Magufuli napenda sana vile unavyo endesha serikali kupitia kumuamini Mungu..Mungu akubariki JPM 🇹🇿🇰🇪..Ikiwezekana ukimaliza term yako TZ jameni pia kuja Kenya uwanie kiti ya urais

    • @dhahajongo9049
      @dhahajongo9049 4 роки тому

      This our president we love so much

    • @nickyfranchesco5611
      @nickyfranchesco5611 4 роки тому

      @Dhaha Jongo huyu jameni akimaliza term yake aje Kenya apewe kiti ya urais

    • @roi2554
      @roi2554 4 роки тому

      watanzania tupo radhi mh.rais magufuli utawale hadi pale mungu atakapochukua nafsi yako amin

  • @machaggechacha3422
    @machaggechacha3422 4 роки тому +34

    Magufuli is a real guy. Love him and look after him. Opportunity nocks once. !!!!

  • @jarsaduba2626
    @jarsaduba2626 4 роки тому +22

    Wakenya tuko wangapi hapa tujuane na pia tukiona namna ya kuwa kiongozi bora sio tu bora kiongozi? Big Ho Mangufuli pia sisi tunaona mambadiliko

  • @madiyaahmad7453
    @madiyaahmad7453 4 роки тому +19

    Magufuli sifa zako zinaenea ulimwengu mzima Mungu akubariki best president ever in afrika

  • @mosesbabyenda6079
    @mosesbabyenda6079 3 роки тому +7

    I have liked his way of resolving issues there and then. RIP Rais Magufuli

  • @paurosiabaylon8369
    @paurosiabaylon8369 4 роки тому +36

    Kiukweli huyu ni Rais wa miujiza kabisa....! Be Blessed uzidi kumtegemea Mungu

    • @jabilishekusa2202
      @jabilishekusa2202 4 роки тому

      Ndugu raisi naomba uje Jimbo letu la Bumbuli Kuna kijiji chetu Cha magila bado hakija pata umeme walikuja kupima nKueka alama za nguzo Hadi leo hatuioni kinachoendelea halafu Kuna kitobgoji Cha mtimule hawakufika hata kueka hizo alama sisi wote niwatanzani naomba waziri jafo aliangalie hili tatizo.asante

    • @ismailothman2917
      @ismailothman2917 4 роки тому

      Ndomana kaitwa yesu nilicheka yani JPM jembe

  • @mwalimuali6579
    @mwalimuali6579 4 роки тому +31

    Am watching this vedio from 🇰🇪 but kusema kweli he is a serous president with his responsibility yani tungekua na watu wa 10 tu kama hawa kenya tusingekua hivi leo👏hongera magufuli

    • @khamisijuma3167
      @khamisijuma3167 4 роки тому

      Mwalim Ali ,uliyosema niukweli kabisaa wakenya nilini tutapata viongozi Kama Dr John pombe magufuli

    • @jayr1472
      @jayr1472 4 роки тому

      Maze aletwe kenya afagie kina waiguru

    • @stn4873
      @stn4873 4 роки тому

      Sisi TZ tunae mmoja, nyie Kenya mnataka muwapate 10?

  • @linkreuben5804
    @linkreuben5804 4 роки тому +1

    Hakika Magufuli ni Rais kweli kweli
    Asante Yesu kwa zawadi nzuri.
    Tanzania itasimama imara milele!

  • @salummwanjali3207
    @salummwanjali3207 4 роки тому +43

    Hongera kwa kuteuliwa Hakika Allah humpa amtakaye maombi yako Allah ameyajib endelea na sala na kutoa sadaka majib take ndiyo hayo

  • @patrickmgaza9927
    @patrickmgaza9927 4 роки тому +89

    Sio mchezo dakika 0 maisha yanabadilika

  • @kingcopper_tz
    @kingcopper_tz 4 роки тому +25

    3:25 waziri katoa jicho haamini kinachotokea 😂😂😂 kufumba na kufumbua huna kazi aise... Kama yesu atavorudi

  • @angiewamuchomba8106
    @angiewamuchomba8106 4 роки тому +4

    Am from Kenya 🇰🇪 and this is my president Pombe.👏👏👏👏👏

  • @henryndosi1114
    @henryndosi1114 4 роки тому +40

    MAGUFULI BABA LAO;kwa maendeleo ya Watanzania 🇹🇿

  • @kingkongmadiba3174
    @kingkongmadiba3174 4 роки тому +11

    Hapo ndipo unapotambua elimu ni funguo ya maisha.!!!

  • @jamessonofafrica4515
    @jamessonofafrica4515 4 роки тому +19

    Asante sana baba wa taifa kwa kazi unao fanya tunge penda kuwa namarais kama wewe

    • @Mandugudigitalify
      @Mandugudigitalify 4 роки тому

      AFRICA inahitaji kuungana na kumpa huyu hata angaa miaka ishirini anyooshe hadi Lybia!

  • @victorsimundwe2518
    @victorsimundwe2518 4 роки тому +26

    Yes thats Mr President 👍

  • @daudirajabu6798
    @daudirajabu6798 4 роки тому +9

    Mzee baba nakukubali sana huwa hupepesi macho

  • @esperancenathali
    @esperancenathali 4 роки тому +11

    Wasichana tunaweza au sio 💪💪💪💪

  • @الزغويالزغوي-ض3ن
    @الزغويالزغوي-ض3ن 4 роки тому +56

    KWELI RIZKI ANAEPANGA NI MWENYEZI MUNGU !
    DAH HII NIME IPENDA

  • @brownisalano4590
    @brownisalano4590 4 роки тому +2

    Brown Isalano form Kenya I love President magufuli

  • @malihaa5158
    @malihaa5158 4 роки тому +28

    Rais Magufuli...Mimi hapa nakuomba ukimaliza miaka ya kuhudumu TZ Basi uje Kenya tukuchague uwe President. Hoyeeee

  • @dollydolly1317
    @dollydolly1317 4 роки тому +5

    Am a 🇰🇪 but I like maghufuli

  • @IssaMHaji
    @IssaMHaji 4 роки тому +1

    Aiseee natamani Mh..MAGUFULI hata awe ni Mrithi wa Baba wa Taifa abaki na hicho cheo hadi mungu atakapo muhitaji mwenyew Yaani sijui nimfananishe na nani katika Uchapa kazi hongera sana Rais wetu
    CCM OYEEEEEEE

  • @khamisijuma3167
    @khamisijuma3167 4 роки тому +4

    Watanzania mshukuruni Mungu kwakuwapa kiongozi anayejali maisha yaraiya wake namchapa kazi Hana utani nakazi yake

  • @eriqo0495
    @eriqo0495 4 роки тому

    I just love your president Tz.. Mmebarikiwa na rais mwenye maarifa.. Mungu amlinde na amjalie neema maishani

  • @kundaellyimo7523
    @kundaellyimo7523 3 роки тому +15

    Hata tokea rais kama hili Jembe JPM KIRUUUUU rest in peace my HERO 😥

  • @jeandamascenenyiridandi2208
    @jeandamascenenyiridandi2208 4 роки тому +10

    Nakubari Muze Makufuri

  • @denisealice1994
    @denisealice1994 4 роки тому +8

    Tanzanian is blessed to have u,I wish all African leader should be like you

  • @yassersaid8233
    @yassersaid8233 4 роки тому +1

    Salute magufuli hapa kazi tu na uaminifu wengine jina tu sio waaminifu kwenye kazi kazi yao kukuangusha lakini tatizo hawajielwi ukweli ni kweli MTU ameshindwa kazi pia chini this is answear

  • @mohamedadam5987
    @mohamedadam5987 4 роки тому +2

    Hongera uncle maguu. Mie rais wangu pumbavu hajielewi kuiba ndio anajua

    • @Mandugudigitalify
      @Mandugudigitalify 4 роки тому

      ...yaani yule ana njaa za kidinasour!! Hadi mpagavu anaufanya mchongo eti!!??

  • @deusdeodavid5360
    @deusdeodavid5360 4 роки тому +125

    Mke wa das sasa anasema "unaona umalaya wako ulipokupeleka"

  • @grecioussilas9885
    @grecioussilas9885 4 роки тому +53

    hakika mwanaume yeyote ili aimudu familia lazima awe na mahamuzi kama haya ya mh rais wetu

  • @frowinimwinuka9736
    @frowinimwinuka9736 4 роки тому +1

    Asante Mungu kwa kutupatia kiongozi mzuri hongera sana JPM

  • @aikandelema4349
    @aikandelema4349 4 роки тому +33

    Magufuli Mungu akutunze. Tunahitaji watendaji wenye nidhamu

  • @GATHATWADAVID
    @GATHATWADAVID 3 роки тому +7

    "Hakuna kuhamisha,ukiharibu nawe unaharibikia hapo"Kenya kweli tuna safari ndefu kabla tupate kiongozi kama JPM.

  • @hadijaalpha7547
    @hadijaalpha7547 4 роки тому +37

    That's my President ☝️❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @Emmanuelbahatiartist
    @Emmanuelbahatiartist 4 роки тому +4

    Like this magufuli Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @swafaasaleh1425
    @swafaasaleh1425 4 роки тому +1

    Jamn Tanzania tumebahatika kupata president km huyu 😘😘😘😘 hadi raha long life our president

  • @ramadhanisaidi4586
    @ramadhanisaidi4586 4 роки тому +1

    Hongera Rais wetu kwa kuweka nidhamu ya utumishi. Pia ni ujumbe tosha kwa jamii ambayo inatuzuunguuka. Kiukweli mke wa mtu anatakiwa aogopwe kama ukoma.

  • @rabbithare381
    @rabbithare381 3 роки тому +4

    That's the quality of leadership Africa lacks.. The short time the almighty gave us Maghufuli we have learnt a lot...
    RIP JPJM..

  • @MrishoFadhili
    @MrishoFadhili Рік тому

    Tuna maliza hapa hapa,daaah uncle maguuuuu🎉🎉🎉🎉

  • @isaacsasamoah4318
    @isaacsasamoah4318 3 роки тому +7

    Am a kenyan but I loved you honoured you the way you handled tanzanian matters indeed you were people's president let God find a perfect place to get you laid 😭😭😭😭😭😭rest in peace my president

  • @n7428
    @n7428 4 роки тому +2

    Wow hua nafurahi kuona mwanamke ana fanikiwa na kutuwakilisha vema💪🏿

  • @wazirikhamisi4828
    @wazirikhamisi4828 4 роки тому +37

    YANI WW MAGUFURI BONGE LA JITU LENYE MIAKILI MINGI SANA NDIO MAANA SIACHI KUKUTETEA HATA HUKU MTAANI KWA WANAO KUPONDA NA KUKUCHUKIA

    • @kingcosta2460
      @kingcosta2460 4 роки тому

      unatafta misifa wala hakuoni😂😂

  • @christopherryoba4068
    @christopherryoba4068 4 роки тому +27

    No one like you my president Jpm

  • @shaloboy3861
    @shaloboy3861 4 роки тому +9

    Watanzania muna bahati sana kenya kwetu viongozi wanaongea kuhusu siasa maendeleo akuna

  • @amashbaibe8361
    @amashbaibe8361 4 роки тому +8

    Magufuli I just love the way u deal with issues on the sport not tomorrow wao

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 4 роки тому +45

    Jamani ukipewa shavu piga Kazi, hacheni kuzengua kama enzi zileee za unanijua mie ni Nani , hizo enzi zimeishaaa bongo , ni mwendo wa rula..kunyoosha mistari ..

    • @juliethhouseofdesigns147
      @juliethhouseofdesigns147 4 роки тому +2

      Watu bado wako kwenye usingizi wa unanijua mi nani wakati sikuizi ni heshim kazi yako kwani wananchi ndio waliokuajiri.

    • @emmanuelbonifase1114
      @emmanuelbonifase1114 4 роки тому

      Mwendo wa kunyooshwa kama nguoo

    • @childofgod4412
      @childofgod4412 4 роки тому

      Mwendo wa rula🤣🤣yaani huyu nampenda hadi nasikia kuzimia🤣🤣

    • @shebaminde7656
      @shebaminde7656 4 роки тому

      @@childofgod4412 M nampenda mpk nataka kuchizika hanaga muda wa kupoteza ukiharibu na yy anakuharibu

  • @mgotemgote3993
    @mgotemgote3993 4 роки тому +28

    Kapambane Dada yetu

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898 4 роки тому +13

    Hapo wapinzani hatuna hoja, kwa kweli mzee anafanya kazi inayofaa kwa kila mwananchi

    • @hassanimwakatika9822
      @hassanimwakatika9822 4 роки тому

      tunajua ni malaya wake wivu kuriko mama janet

    • @hamisimussa2228
      @hamisimussa2228 4 роки тому +2

      @@hassanimwakatika9822 na wew pia si Malaya wake Ndio maana unatoa povu

    • @setholivier4862
      @setholivier4862 4 роки тому +1

      @@hassanimwakatika9822 jinga sana

  • @carolinekeli1088
    @carolinekeli1088 4 роки тому +1

    From Kenya, Love Magu sana

  • @maryamabdallah3140
    @maryamabdallah3140 3 роки тому +3

    That was our beloved president...😭😭😭

  • @fetysaidsaid708
    @fetysaidsaid708 4 роки тому +1

    Safi sana bb mungu akubariki sana baba yngu 😍🙏🤲

  • @christinaonyango6085
    @christinaonyango6085 4 роки тому +1

    Sina cha kukupa Baba zaidi ya kuzidi kukuombea kwa Mwenyezi Mungu,muumba wa mbingu na dunia ,kweli wewe ni mfano wa kuigwa,safi sana ,nakupenda sana.

  • @tz7976
    @tz7976 4 роки тому +10

    Huyu mwamba namkubali sana

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 4 роки тому

    Raisi wetu noma sanaaa

  • @esterabonga7947
    @esterabonga7947 4 роки тому +4

    Raisi wetu anatembelea ukweli just why we love ya ❤️

  • @athumanimngumi9983
    @athumanimngumi9983 4 роки тому +22

    Haha haha hii ndio TZ nliokua naitaka

  • @lovemyselflovemyself954
    @lovemyselflovemyself954 4 роки тому +6

    Raisi wote wa Africa wange kuwa Kama wewe basi watu wa singe tegemea wazungu. Wewe ni raisi wakipekee Mungu akulinde wengine wajifunze kupitia ww 🙏🙏

  • @patrickissakalenga589
    @patrickissakalenga589 4 роки тому

    Mungu akuwezeshe Baba MAGUFULI. Mimi sio mtanzania. Ila viongozi wa Afrika kwa ngazi zote wangekuiga wewe, Afrika ingeheshimika ulimwenguni kote. Mungu akuongezee siku za kuishi na aruhusu viongozi wengine wakakuiga wewe.

  • @chrissjoel7752
    @chrissjoel7752 4 роки тому

    Yeeeees That's my president
    I proud to born TANZANIA
    GOD bless my President GOD bless my country 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @aishahaji3128
    @aishahaji3128 3 роки тому +1

    Haaahaaa Magu ulikua unanifurahisha hasa Mungu akiweke pahali Panapostahiki

  • @vumipeter9404
    @vumipeter9404 4 роки тому +2

    Huyu ndiye Baba. Mungu ampe Maisha marefu Raisi wetu. Hana ubaguzi. Ukifanya kazi hana shida na wewe.

  • @dintazdintaz7311
    @dintazdintaz7311 4 роки тому +7

    From the bottom now top yeaa

  • @IssaMRajab-su5lh
    @IssaMRajab-su5lh 4 роки тому +1

    Huyu mzee ni kiboko, wish we had this kind of Leaders in East Africa 🙌

  • @stevemwakalama1295
    @stevemwakalama1295 4 роки тому +1

    Kenya needs servant leadership like this.

  • @ahmedissa7882
    @ahmedissa7882 4 роки тому +5

    Weldone muheshimiwa Jafo na Rais

  • @amani2555
    @amani2555 4 роки тому +23

    _MWANA KULITAFUTA MWANA KULIPATA_
    😂😂😂😂

  • @milcankwabi3676
    @milcankwabi3676 4 роки тому +12

    Ndoa na iheshimiwe na watu woteeee

  • @lauraabass1077
    @lauraabass1077 4 роки тому

    Mhe bwana nampenda hapo hapo kaunganisha hadhari kama mmeisoma, kawaonya na hawa wawili wasije wakafanya udasi wao maana mhe mkuu wa mkoa kamchague mmama Afsa Tawala hafla. Inshallah kheri Tupige kazi Watanzania.

  • @fnnyanda5993
    @fnnyanda5993 4 роки тому +16

    I see!!!. Jamani, Hadi leo hii, Rais Magufuli hamjamwelewa tu?!. Nawashangaa sana. Magufuli hoyeeee. Hataki janja janja na vurugu vurugu, kiburi kiburi nk.

    • @godrickngoda9961
      @godrickngoda9961 4 роки тому

      Anakula mke wa mtu katumbuliwa kweli mke wa mtu sumu wanazengo wanasemq

    • @godrickngoda9961
      @godrickngoda9961 4 роки тому

      Wanazengo wanasema

    • @benobuyoya8675
      @benobuyoya8675 4 роки тому

      @@godrickngoda9961 @ shida in pale maonyo alipewa,so sad!!

  • @shakiEntmtTv
    @shakiEntmtTv 4 роки тому +23

    We need makufuli in Kenya. 🤣🤣🤣

    • @mrmangetown4323
      @mrmangetown4323 4 роки тому

      We have only one magufu my dear .

    • @yusrahb4461
      @yusrahb4461 4 роки тому

      @@mrmangetown4323 we can share au vipi?

  • @shafiqramzi5776
    @shafiqramzi5776 4 роки тому

    The best president ever love kutoka Uganda watanzania mmshukuru Mungu mna Raisi wa kikweli

  • @rutembesashabikumi2282
    @rutembesashabikumi2282 4 роки тому +22

    He should rule 20 years ur country has never seen a ruler like him

    • @kessyselemanirajab5310
      @kessyselemanirajab5310 4 роки тому

      He is not ruling, he is leading

    • @zawadix9574
      @zawadix9574 4 роки тому

      Term limits are there to be respected he will go when his time is up we are not a dictorship

    • @ngwanafabian7532
      @ngwanafabian7532 4 роки тому

      @@kessyselemanirajab5310 any way

  • @menyajoseph9729
    @menyajoseph9729 4 роки тому

    Your the best of bests Mr President

  • @eliamwamengo8119
    @eliamwamengo8119 4 роки тому +11

    Safiiii

  • @benardsamwelministry7024
    @benardsamwelministry7024 4 роки тому

    dah safi sana absolutely raisi wangu

  • @drukundo4276
    @drukundo4276 4 роки тому

    Am original from Burundi but I live in USA 🇺🇸 bro am tell you this President Magufuri is the best president in whole Africa

  • @annikhaoya470
    @annikhaoya470 4 роки тому +1

    Magufuli Nakupenda bure Baba wa Tanzania. Ina mfano mzuri. 254 love you

  • @jeanmubemba1204
    @jeanmubemba1204 4 роки тому +17

    hahahahhaha magu amenifurahisha sana,ndo kawaida yetu wana sayansi hatuna complication,bali tuna action

  • @felixmusyoka2960
    @felixmusyoka2960 4 роки тому

    The best president on earth....

  • @DrMlelwaLectures
    @DrMlelwaLectures 4 роки тому

    Hii safi. Yaani nchi inakuwa kama kanisa, wazinzi wanafukuzwa kazi. Huyu raisi sawa sawa.

  • @aminahamisi2837
    @aminahamisi2837 4 роки тому

    Assante raisi wangu mpaka unalinda ndoa mashaallah mungu akuongoze Ktk kazi zako

  • @sadickwalker2795
    @sadickwalker2795 4 роки тому

    No one can be like you our President.

  • @mombasaali5153
    @mombasaali5153 4 роки тому +1

    naomba uraia mr president
    rais wa vitendo na watu wa chini!

  • @marieelias8947
    @marieelias8947 4 роки тому +1

    If Africa could get ten presidents like this man , then we can consider the continent saved . Because I believe even the rest will follow the lead. Long live Magufuli ✊🏾

  • @janeshigami8769
    @janeshigami8769 3 роки тому +1

    Who is Dasi in English...from Kenya 🇰🇪 RIP Dkt. Magu...

  • @mauricemunyongiro8631
    @mauricemunyongiro8631 4 роки тому +7

    I like this Tz Prezzo if only Kenya can follow suit corruption will be history.

    • @marywanjiru2303
      @marywanjiru2303 4 роки тому

      Magufuli juu...Kenya haki ni kwa mwenye ako na pesa pekee anaeza Fanya chochote very corrupt

  • @mundiakinyuakarue1151
    @mundiakinyuakarue1151 4 роки тому +1

    May you live long African king

  • @vero57
    @vero57 4 роки тому +14

    Uncle mangufuli sio muchezo

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 4 роки тому

    Hongera Msumi.mungu Ni mwema

  • @isayamgaya6755
    @isayamgaya6755 4 роки тому +7

    Huyu ndio kamanda tulikuwa siku zote tuna muitaji 💪🏿💪🏿💪🏿

  • @ellyskuka7904
    @ellyskuka7904 4 роки тому

    Hongela laisi wangu

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ 4 роки тому

    Hongera sana Mh Jpm kwa kuto mwangalia mtu usoni

  • @stelladomani4429
    @stelladomani4429 4 роки тому

    Dada unabahati cheo kwakweli. Mungu wako yuko kazini kwaajili yako.fanya kazi sasa.

  • @jnrhassan4629
    @jnrhassan4629 4 роки тому

    Thats good your execelency.pongezi

  • @mkushiandikayakoachananaya7944
    @mkushiandikayakoachananaya7944 4 роки тому +10

    Samahani wakubwa siko katika vyama vya siasa, lakini huyu bwana hunigusa sana yuko Kiafrika kabisa sio Kibeberu yaani USTAARABU MWINGI! Huyu Rais hana huo utamaduni wa ng'ambo hata kidogo! RAHA SANA, MICHAKATO IMEKOSA NAFASI KATIKA UTAWALA HUU!

  • @Itarusii
    @Itarusii 4 роки тому +21

    Style ya uongozi Mheshimiwa Rais ni ya aina yake😅

    • @neydenyo6786
      @neydenyo6786 4 роки тому

      Yaan hakuna hata balaza kukaa duh!!!

  • @silaskarani883
    @silaskarani883 3 роки тому +1

    Iwe funzo kwa uhuru kenyatta,aonyeshe mfano Kama huu .