From Kenya,Magufuli napenda sana vile unavyo endesha serikali kupitia kumuamini Mungu..Mungu akubariki JPM 🇹🇿🇰🇪..Ikiwezekana ukimaliza term yako TZ jameni pia kuja Kenya uwanie kiti ya urais
Ndugu raisi naomba uje Jimbo letu la Bumbuli Kuna kijiji chetu Cha magila bado hakija pata umeme walikuja kupima nKueka alama za nguzo Hadi leo hatuioni kinachoendelea halafu Kuna kitobgoji Cha mtimule hawakufika hata kueka hizo alama sisi wote niwatanzani naomba waziri jafo aliangalie hili tatizo.asante
Am watching this vedio from 🇰🇪 but kusema kweli he is a serous president with his responsibility yani tungekua na watu wa 10 tu kama hawa kenya tusingekua hivi leo👏hongera magufuli
Aiseee natamani Mh..MAGUFULI hata awe ni Mrithi wa Baba wa Taifa abaki na hicho cheo hadi mungu atakapo muhitaji mwenyew Yaani sijui nimfananishe na nani katika Uchapa kazi hongera sana Rais wetu CCM OYEEEEEEE
Salute magufuli hapa kazi tu na uaminifu wengine jina tu sio waaminifu kwenye kazi kazi yao kukuangusha lakini tatizo hawajielwi ukweli ni kweli MTU ameshindwa kazi pia chini this is answear
Hongera Rais wetu kwa kuweka nidhamu ya utumishi. Pia ni ujumbe tosha kwa jamii ambayo inatuzuunguuka. Kiukweli mke wa mtu anatakiwa aogopwe kama ukoma.
Am a kenyan but I loved you honoured you the way you handled tanzanian matters indeed you were people's president let God find a perfect place to get you laid 😭😭😭😭😭😭rest in peace my president
Jamani ukipewa shavu piga Kazi, hacheni kuzengua kama enzi zileee za unanijua mie ni Nani , hizo enzi zimeishaaa bongo , ni mwendo wa rula..kunyoosha mistari ..
Mungu akuwezeshe Baba MAGUFULI. Mimi sio mtanzania. Ila viongozi wa Afrika kwa ngazi zote wangekuiga wewe, Afrika ingeheshimika ulimwenguni kote. Mungu akuongezee siku za kuishi na aruhusu viongozi wengine wakakuiga wewe.
Mhe bwana nampenda hapo hapo kaunganisha hadhari kama mmeisoma, kawaonya na hawa wawili wasije wakafanya udasi wao maana mhe mkuu wa mkoa kamchague mmama Afsa Tawala hafla. Inshallah kheri Tupige kazi Watanzania.
I see!!!. Jamani, Hadi leo hii, Rais Magufuli hamjamwelewa tu?!. Nawashangaa sana. Magufuli hoyeeee. Hataki janja janja na vurugu vurugu, kiburi kiburi nk.
If Africa could get ten presidents like this man , then we can consider the continent saved . Because I believe even the rest will follow the lead. Long live Magufuli ✊🏾
Samahani wakubwa siko katika vyama vya siasa, lakini huyu bwana hunigusa sana yuko Kiafrika kabisa sio Kibeberu yaani USTAARABU MWINGI! Huyu Rais hana huo utamaduni wa ng'ambo hata kidogo! RAHA SANA, MICHAKATO IMEKOSA NAFASI KATIKA UTAWALA HUU!
Im a kenyan but i love the way Tanzanian president handles issues... God bless you president
Thanks men
Salaam Eveln kwa upendo wako kwetu, Mungu awajalie nanyi pia huko Kenya hata Kama si leo basi siku zijazo.
i guess you are not Kenyan
Haya mambo ya serikali ya Moi
Shukrani ndugu zetu wa kenya
From Kenya,Magufuli napenda sana vile unavyo endesha serikali kupitia kumuamini Mungu..Mungu akubariki JPM 🇹🇿🇰🇪..Ikiwezekana ukimaliza term yako TZ jameni pia kuja Kenya uwanie kiti ya urais
This our president we love so much
@Dhaha Jongo huyu jameni akimaliza term yake aje Kenya apewe kiti ya urais
watanzania tupo radhi mh.rais magufuli utawale hadi pale mungu atakapochukua nafsi yako amin
Magufuli is a real guy. Love him and look after him. Opportunity nocks once. !!!!
Wakenya tuko wangapi hapa tujuane na pia tukiona namna ya kuwa kiongozi bora sio tu bora kiongozi? Big Ho Mangufuli pia sisi tunaona mambadiliko
Magufuli sifa zako zinaenea ulimwengu mzima Mungu akubariki best president ever in afrika
I have liked his way of resolving issues there and then. RIP Rais Magufuli
Kiukweli huyu ni Rais wa miujiza kabisa....! Be Blessed uzidi kumtegemea Mungu
Ndugu raisi naomba uje Jimbo letu la Bumbuli Kuna kijiji chetu Cha magila bado hakija pata umeme walikuja kupima nKueka alama za nguzo Hadi leo hatuioni kinachoendelea halafu Kuna kitobgoji Cha mtimule hawakufika hata kueka hizo alama sisi wote niwatanzani naomba waziri jafo aliangalie hili tatizo.asante
Ndomana kaitwa yesu nilicheka yani JPM jembe
Am watching this vedio from 🇰🇪 but kusema kweli he is a serous president with his responsibility yani tungekua na watu wa 10 tu kama hawa kenya tusingekua hivi leo👏hongera magufuli
Mwalim Ali ,uliyosema niukweli kabisaa wakenya nilini tutapata viongozi Kama Dr John pombe magufuli
Maze aletwe kenya afagie kina waiguru
Sisi TZ tunae mmoja, nyie Kenya mnataka muwapate 10?
Hakika Magufuli ni Rais kweli kweli
Asante Yesu kwa zawadi nzuri.
Tanzania itasimama imara milele!
Hongera kwa kuteuliwa Hakika Allah humpa amtakaye maombi yako Allah ameyajib endelea na sala na kutoa sadaka majib take ndiyo hayo
Hakika ukimtegemea Allah yote yawezekana
UTADHANI NDOTO KUMBE NDO KWELI ! MANA WAWEZA KUOGOPA HATA KUINGIA OFISINI KWA SABABU HUAMINI AMINI HIVI !
Sio mchezo dakika 0 maisha yanabadilika
🤣🤣🤣🤣
KABISA YANI !!!
Alikuwa cdm akaendaga ccm
Patrick umeonaeeee
@@munaahmed8499 yan acha tu
3:25 waziri katoa jicho haamini kinachotokea 😂😂😂 kufumba na kufumbua huna kazi aise... Kama yesu atavorudi
😆😆😆😆
Yaan acha tu
Hahahahahahahaaaaa ......
Kama yesu atakavorudi nakunyakua
Am from Kenya 🇰🇪 and this is my president Pombe.👏👏👏👏👏
MAGUFULI BABA LAO;kwa maendeleo ya Watanzania 🇹🇿
😂😂😂
Magufuli nakupenda adi nachukia
Hapo ndipo unapotambua elimu ni funguo ya maisha.!!!
Asante sana baba wa taifa kwa kazi unao fanya tunge penda kuwa namarais kama wewe
AFRICA inahitaji kuungana na kumpa huyu hata angaa miaka ishirini anyooshe hadi Lybia!
Yes thats Mr President 👍
Mzee baba nakukubali sana huwa hupepesi macho
Wasichana tunaweza au sio 💪💪💪💪
KWELI RIZKI ANAEPANGA NI MWENYEZI MUNGU !
DAH HII NIME IPENDA
Kileizer laizer
Jilanyangu
Brown Isalano form Kenya I love President magufuli
Rais Magufuli...Mimi hapa nakuomba ukimaliza miaka ya kuhudumu TZ Basi uje Kenya tukuchague uwe President. Hoyeeee
Hakika
Daaah Mungu awakumbke
@Maliha A kabisa Magufuli akija Kenya kura 100% ni zake..Magufuli hoyee
😁😁
Am a 🇰🇪 but I like maghufuli
Aiseee natamani Mh..MAGUFULI hata awe ni Mrithi wa Baba wa Taifa abaki na hicho cheo hadi mungu atakapo muhitaji mwenyew Yaani sijui nimfananishe na nani katika Uchapa kazi hongera sana Rais wetu
CCM OYEEEEEEE
Watanzania mshukuruni Mungu kwakuwapa kiongozi anayejali maisha yaraiya wake namchapa kazi Hana utani nakazi yake
I just love your president Tz.. Mmebarikiwa na rais mwenye maarifa.. Mungu amlinde na amjalie neema maishani
Hata tokea rais kama hili Jembe JPM KIRUUUUU rest in peace my HERO 😥
kweli kabisa Jembe la Nguvu
Nakubari Muze Makufuri
Tanzanian is blessed to have u,I wish all African leader should be like you
Salute magufuli hapa kazi tu na uaminifu wengine jina tu sio waaminifu kwenye kazi kazi yao kukuangusha lakini tatizo hawajielwi ukweli ni kweli MTU ameshindwa kazi pia chini this is answear
Hongera uncle maguu. Mie rais wangu pumbavu hajielewi kuiba ndio anajua
...yaani yule ana njaa za kidinasour!! Hadi mpagavu anaufanya mchongo eti!!??
Mke wa das sasa anasema "unaona umalaya wako ulipokupeleka"
😂😂😂😂😂😂😂
Hahahahaha
🤣🤣🤣🤣mpaka dunia imeujua yaani
🤣😂🤣😂🤣😂
julieth house of designs umeona ehh alikuwa anapenda chini
hakika mwanaume yeyote ili aimudu familia lazima awe na mahamuzi kama haya ya mh rais wetu
Mmmmmm
NI KWELI
"MAHAMUZI❌ MAAMUZI✅ Jua kutofautisha hayo maneno mawili.
asnte saitoti
Hakika
Asante Mungu kwa kutupatia kiongozi mzuri hongera sana JPM
Magufuli Mungu akutunze. Tunahitaji watendaji wenye nidhamu
Mmh
Sijui
"Hakuna kuhamisha,ukiharibu nawe unaharibikia hapo"Kenya kweli tuna safari ndefu kabla tupate kiongozi kama JPM.
That's my President ☝️❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Duuuuuuu pambeee
Like this magufuli Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Jamn Tanzania tumebahatika kupata president km huyu 😘😘😘😘 hadi raha long life our president
Hongera Rais wetu kwa kuweka nidhamu ya utumishi. Pia ni ujumbe tosha kwa jamii ambayo inatuzuunguuka. Kiukweli mke wa mtu anatakiwa aogopwe kama ukoma.
That's the quality of leadership Africa lacks.. The short time the almighty gave us Maghufuli we have learnt a lot...
RIP JPJM..
Tuna maliza hapa hapa,daaah uncle maguuuuu🎉🎉🎉🎉
Am a kenyan but I loved you honoured you the way you handled tanzanian matters indeed you were people's president let God find a perfect place to get you laid 😭😭😭😭😭😭rest in peace my president
Wow hua nafurahi kuona mwanamke ana fanikiwa na kutuwakilisha vema💪🏿
YANI WW MAGUFURI BONGE LA JITU LENYE MIAKILI MINGI SANA NDIO MAANA SIACHI KUKUTETEA HATA HUKU MTAANI KWA WANAO KUPONDA NA KUKUCHUKIA
unatafta misifa wala hakuoni😂😂
No one like you my president Jpm
Watanzania muna bahati sana kenya kwetu viongozi wanaongea kuhusu siasa maendeleo akuna
Magufuli I just love the way u deal with issues on the sport not tomorrow wao
Jamani ukipewa shavu piga Kazi, hacheni kuzengua kama enzi zileee za unanijua mie ni Nani , hizo enzi zimeishaaa bongo , ni mwendo wa rula..kunyoosha mistari ..
Watu bado wako kwenye usingizi wa unanijua mi nani wakati sikuizi ni heshim kazi yako kwani wananchi ndio waliokuajiri.
Mwendo wa kunyooshwa kama nguoo
Mwendo wa rula🤣🤣yaani huyu nampenda hadi nasikia kuzimia🤣🤣
@@childofgod4412 M nampenda mpk nataka kuchizika hanaga muda wa kupoteza ukiharibu na yy anakuharibu
Kapambane Dada yetu
Huyo mama ni sawa na masai alie okota neema bilion 7
Mungu akisema ndio hakuna wakusema hapana
@@simonkasya6500 kwer kabsa
Hapo wapinzani hatuna hoja, kwa kweli mzee anafanya kazi inayofaa kwa kila mwananchi
tunajua ni malaya wake wivu kuriko mama janet
@@hassanimwakatika9822 na wew pia si Malaya wake Ndio maana unatoa povu
@@hassanimwakatika9822 jinga sana
From Kenya, Love Magu sana
That was our beloved president...😭😭😭
Safi sana bb mungu akubariki sana baba yngu 😍🙏🤲
Sina cha kukupa Baba zaidi ya kuzidi kukuombea kwa Mwenyezi Mungu,muumba wa mbingu na dunia ,kweli wewe ni mfano wa kuigwa,safi sana ,nakupenda sana.
Huyu mwamba namkubali sana
Raisi wetu noma sanaaa
Raisi wetu anatembelea ukweli just why we love ya ❤️
Haha haha hii ndio TZ nliokua naitaka
Raisi wote wa Africa wange kuwa Kama wewe basi watu wa singe tegemea wazungu. Wewe ni raisi wakipekee Mungu akulinde wengine wajifunze kupitia ww 🙏🙏
Mungu akuwezeshe Baba MAGUFULI. Mimi sio mtanzania. Ila viongozi wa Afrika kwa ngazi zote wangekuiga wewe, Afrika ingeheshimika ulimwenguni kote. Mungu akuongezee siku za kuishi na aruhusu viongozi wengine wakakuiga wewe.
Yeeeees That's my president
I proud to born TANZANIA
GOD bless my President GOD bless my country 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nakukubali sana mheshimiwa
Haaahaaa Magu ulikua unanifurahisha hasa Mungu akiweke pahali Panapostahiki
Huyu ndiye Baba. Mungu ampe Maisha marefu Raisi wetu. Hana ubaguzi. Ukifanya kazi hana shida na wewe.
From the bottom now top yeaa
Huyu mzee ni kiboko, wish we had this kind of Leaders in East Africa 🙌
Kenya needs servant leadership like this.
Weldone muheshimiwa Jafo na Rais
_MWANA KULITAFUTA MWANA KULIPATA_
😂😂😂😂
Mwana kulifind mwana kulifound. 😁😁😁😁
Hahaha
Jaman mmenichekesha adi machozi nyie Mwana kulifind na kulifound
Mwana kuli find mwana kuli get
Ndoa na iheshimiwe na watu woteeee
Mhe bwana nampenda hapo hapo kaunganisha hadhari kama mmeisoma, kawaonya na hawa wawili wasije wakafanya udasi wao maana mhe mkuu wa mkoa kamchague mmama Afsa Tawala hafla. Inshallah kheri Tupige kazi Watanzania.
I see!!!. Jamani, Hadi leo hii, Rais Magufuli hamjamwelewa tu?!. Nawashangaa sana. Magufuli hoyeeee. Hataki janja janja na vurugu vurugu, kiburi kiburi nk.
Anakula mke wa mtu katumbuliwa kweli mke wa mtu sumu wanazengo wanasemq
Wanazengo wanasema
@@godrickngoda9961 @ shida in pale maonyo alipewa,so sad!!
We need makufuli in Kenya. 🤣🤣🤣
We have only one magufu my dear .
@@mrmangetown4323 we can share au vipi?
The best president ever love kutoka Uganda watanzania mmshukuru Mungu mna Raisi wa kikweli
He should rule 20 years ur country has never seen a ruler like him
He is not ruling, he is leading
Term limits are there to be respected he will go when his time is up we are not a dictorship
@@kessyselemanirajab5310 any way
Your the best of bests Mr President
Safiiii
dah safi sana absolutely raisi wangu
Am original from Burundi but I live in USA 🇺🇸 bro am tell you this President Magufuri is the best president in whole Africa
Magufuli Nakupenda bure Baba wa Tanzania. Ina mfano mzuri. 254 love you
hahahahhaha magu amenifurahisha sana,ndo kawaida yetu wana sayansi hatuna complication,bali tuna action
The best president on earth....
Hii safi. Yaani nchi inakuwa kama kanisa, wazinzi wanafukuzwa kazi. Huyu raisi sawa sawa.
Assante raisi wangu mpaka unalinda ndoa mashaallah mungu akuongoze Ktk kazi zako
No one can be like you our President.
naomba uraia mr president
rais wa vitendo na watu wa chini!
If Africa could get ten presidents like this man , then we can consider the continent saved . Because I believe even the rest will follow the lead. Long live Magufuli ✊🏾
Who is Dasi in English...from Kenya 🇰🇪 RIP Dkt. Magu...
I like this Tz Prezzo if only Kenya can follow suit corruption will be history.
Magufuli juu...Kenya haki ni kwa mwenye ako na pesa pekee anaeza Fanya chochote very corrupt
May you live long African king
Uncle mangufuli sio muchezo
Hongera Msumi.mungu Ni mwema
Huyu ndio kamanda tulikuwa siku zote tuna muitaji 💪🏿💪🏿💪🏿
Hongela laisi wangu
Hongera sana Mh Jpm kwa kuto mwangalia mtu usoni
Dada unabahati cheo kwakweli. Mungu wako yuko kazini kwaajili yako.fanya kazi sasa.
Thats good your execelency.pongezi
Samahani wakubwa siko katika vyama vya siasa, lakini huyu bwana hunigusa sana yuko Kiafrika kabisa sio Kibeberu yaani USTAARABU MWINGI! Huyu Rais hana huo utamaduni wa ng'ambo hata kidogo! RAHA SANA, MICHAKATO IMEKOSA NAFASI KATIKA UTAWALA HUU!
Style ya uongozi Mheshimiwa Rais ni ya aina yake😅
Yaan hakuna hata balaza kukaa duh!!!
Iwe funzo kwa uhuru kenyatta,aonyeshe mfano Kama huu .