SIRI KUBWA KUHUSU VYAKULA SEH 1(ANGALIA VIDEO HII KABLA HAIJATOLEWA)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 січ 2019
  • WATU WENGI WAMECHANGANYIKIWA NA SWALA HILI! KWANINI MAGONJWA YAMEKUWA MENGI HIVI? CHAKULA KIPI NI SAHIHI NA KIPI SIO!! NIFANYEJE ILI NIPUNGUE UZITO?

КОМЕНТАРІ • 70

  • @kiruhurafils998
    @kiruhurafils998 5 років тому +8

    Ubarikiwe Mr. Pastor David Mmbaga, Sherti Temperance itembee sambamba na ujumbe wa malaika wa tatu . Eee ndugu katika KRISTO wa kanisa la masalio kazeni mwendo wakati ndio huu.

  • @carolmueni6431
    @carolmueni6431 Місяць тому

    Ooh hallelujah mtumishi wa mungu nimejifuza mengi kutoka kwako,mungu akubariki sana tujifunze mengi zaidi

  • @t7zkc5tpxgim28
    @t7zkc5tpxgim28 4 роки тому +3

    Mungu akubariki sana pastor

  • @tajimtera2518
    @tajimtera2518 5 років тому +2

    Ubarikiwe sana Mtumishi yani somo lako limenibariki sana.

  • @damasbunzali7590
    @damasbunzali7590 5 років тому +3

    na barikiwa sana pr kwa mahubiri MUNGU na aendelee kukutia nguvu ktk kutangaza neno lake

  • @shimwekagwiza2300
    @shimwekagwiza2300 5 років тому +4

    Barikiwa pastor, nimejifunza na nimeelewa!

  • @violetnyansiaboka2821
    @violetnyansiaboka2821 5 років тому +2

    Mungu akubariki mchungaji ntajaribu kuacha kuku hawa wenye wanadungwa shindano na sukari.

  • @maureenjovial6083
    @maureenjovial6083 4 роки тому +1

    Amen asante kwa somo ili umenifumbua macho asante Yesu

  • @akinyisusan8049
    @akinyisusan8049 5 років тому +1

    Nabarikiwa sana na mafunzo mazuri pastor nakukubali sana asande

  • @ngemenyerere712
    @ngemenyerere712 4 місяці тому

    Barikiwa sanaa na huyu pastor david hadi nimesubcribe🙏💝

  • @kiruhurafils998
    @kiruhurafils998 5 років тому +6

    Niko pamoja nanyi hapa Belgium.

  • @mtuwawatumtunamtu2520
    @mtuwawatumtunamtu2520 5 років тому +4

    Ubarikiwe ndg. Mchg. Mbaga ila shetana ametuharibu sana katika maswala ya ulaji na unywaji. Maana ni shida. Mungu atuongowe na hili janga

  • @rodahadhiambo3637
    @rodahadhiambo3637 5 місяців тому

    ubarikiwe sana mchungaji Kwa mafundisho haya

  • @maureenawuorangawa6929
    @maureenawuorangawa6929 5 років тому +1

    Amina pastor kwa mafundisho bora

  • @angel-y
    @angel-y 5 років тому +3

    Amen. Tuko pamoja Pastor. Barikiwa sana.

  • @barakajoseph1816
    @barakajoseph1816 4 роки тому +2

    Be blessed so much Pr

  • @user-gf2wx5jj8w
    @user-gf2wx5jj8w 7 місяців тому

    Barikiwa sana past

  • @mishaelmisana1973
    @mishaelmisana1973 5 років тому +1

    Tunashkr sana pastor

  • @nadinemasengo5688
    @nadinemasengo5688 5 років тому +2

    Mungu akubariki

  • @davidmmbaga3350
    @davidmmbaga3350 5 років тому +2

    Amen

  • @maxlove2668
    @maxlove2668 4 роки тому +1

    Napokea

  • @baricklutandula9776
    @baricklutandula9776 Рік тому

    Amen, somo zuri sana

  • @angeljoshua5465
    @angeljoshua5465 2 роки тому

    Ubarikiwe mnoooo Mchungaji mwenye masikio amesikia

  • @shukranjulius5910
    @shukranjulius5910 2 роки тому

    Amina pastor hakika nabarikiwa sana kila inapo itwa Leo

  • @juliusstephen5753
    @juliusstephen5753 5 років тому +3

    Barikiwa pastor hata wakiitoa hii video ujumbe umefika.

  • @richardmichaeli4548
    @richardmichaeli4548 3 роки тому

    Pa1

  • @zamdasalumu9740
    @zamdasalumu9740 5 років тому +1

    amina pastor

    • @genesispeter5584
      @genesispeter5584 4 роки тому

      Mchungaji david mmbaga
      Nakusalim tkt bwana wetu kristo
      Naitaji maombi kutoka kwako
      Naomba namba zako
      0784388721 mm naitwa genesis

  • @kingnyamoma5696
    @kingnyamoma5696 5 років тому +2

    Sehemu ya pili tunaisubiri kwa hamu sana

  • @shukranjulius5910
    @shukranjulius5910 2 роки тому

    Amina somo limenofungua mengi

  • @bonnymanyama2868
    @bonnymanyama2868 4 роки тому +1

    Hakika turudi kwenye utaratibu wa Mungu

  • @tumainingonyani3226
    @tumainingonyani3226 5 років тому +3

    NASUBIR SEHEM YA PIL MCHUNGAJI

  • @chamdada3812
    @chamdada3812 5 років тому +2

    Muhubiri TV je lishe nyama utaiwekalini?

  • @francismustapha2421
    @francismustapha2421 2 роки тому

    Pt niseme UBALIKIWE SANA

  • @kimagotv2586
    @kimagotv2586 3 роки тому

    Naam nimekuelewa pr.

  • @priscambwambo1030
    @priscambwambo1030 3 роки тому

    Naomba hiyo list ya chakula kinachopinga uvimbe. Nimefanyiwa operation mara 3 sasa fybrody

  • @allistideskasigara9789
    @allistideskasigara9789 Рік тому

    555

  • @edwardvelidiana1864
    @edwardvelidiana1864 2 роки тому

    Aleruyaàaa

  • @agustinohizza1395
    @agustinohizza1395 2 роки тому

    Tungepata watu kama hawa Kumi tu Tanzania nazani tungejua mbali Ila kwa nchi zetu za. Africa tegemezi hawafai nimatui wa wazungu

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Рік тому

    Miaka 3 bado hamjaitoa,Si biashara tu mnafanya,?

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 2 роки тому

    Nimechoka tunafanyaje Kila kitu kimebadilishwa tunapataje vya kiasili

  • @hawasaid5286
    @hawasaid5286 3 роки тому

    Nimekuelewa mtumishi, wanataka kututolea asili ya kimungu watuletee asili ya (kishetani) ili watubadili
    Hapa ulaya wana mpango wa kubadili badala ya nyama fresh watatengeneza maabalaa ya kutengeneza nyama

  • @chungwasingers
    @chungwasingers 3 роки тому

    Paster MUNGU AKUBARIKI SANA JE KUHUSU UZAZI WA MPANGO YAANI VIJITI/VIDONGE VYA MAJIRA VINAATHIRI MWILI KIASI GANI?

    • @lolojunior5808
      @lolojunior5808 2 роки тому

      Vinaaribu kiasi kikubwa kuliko unavyo zani, chunga sana wewe chungwa CHANNEL utaumia zama zimepita na África ndio hiyo mipango ndio mingi sana, ili uamini hili swala angaria UA-cam Au Google kuhusu mpango wa kazi ya uzazi wa mpango vidonge wanavyo leta huko África, sio wanavyo tumia wao huku america au ulaya sio hizo za África hizo za África ni hatari sana, iluminati ni hatari sana, wanaadamu wazuri wameisha duniani walio baki wale mijamaa ya huyu mpinga Cristo

  • @graceesiabia5379
    @graceesiabia5379 3 роки тому +1

    I'd like to know about that mafuta ya rizeti. What's that. In English. Your Swahili is too good for me 😅

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  3 роки тому +1

      Hahaha SUNFLOWER OIL

    • @graceesiabia5379
      @graceesiabia5379 3 роки тому +1

      @@MahubiriPrMmbaga 😅😅😅 thank you so much. I should up my Swahili. Mimi Ni jirani hapa kenya

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  3 роки тому +1

      Nice to know you. Karibu Tanzania

    • @ntambaraenock1823
      @ntambaraenock1823 Рік тому

      Pastor Barikiwa sana, mimi ni Enock kutoka Rwanda nakuombea kwa mwenyezi Mungu akutie nguvu

    • @blessed599
      @blessed599 Рік тому

      😂😂

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 роки тому

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍

  • @salehekikwa7804
    @salehekikwa7804 4 роки тому +2

    Umegonga ikulu ya shetani

  • @allistideskasigara9789
    @allistideskasigara9789 Рік тому

    tGyy4

  • @moisekawe2799
    @moisekawe2799 2 роки тому

    q

  • @FAMASIKITAA
    @FAMASIKITAA 5 років тому +2

    kwann munatoa xx pastor????

    • @samwelnguvila8793
      @samwelnguvila8793 5 років тому

      ubalikiwe pasta mbaga

    • @karumbete
      @karumbete 5 років тому

      Barikiwa sanaaa

    • @salumkalulu-de1md
      @salumkalulu-de1md Рік тому

      Ni kweli kabisa kwani magonjwa mengi yanasababishwa na ulaji usio na mpangilio sahihi,pia ulaji wa visivyoruhusiwa na mwenyezi Mungu.Barikiwa sana pasta.

  • @OnchongaRich2020
    @OnchongaRich2020 2 роки тому

    Kwa mara ya kwanza sijakubaliana nawe mchungaji. Neno lilisema mfanikiwe kwa mambo yote, na uwe na afya njema vile roho yako inavyofanikiwa. Kwa hivo ni roho ifanikiwe lakini afya pia ishughulikiwe kama faida ya ziada. Hatuwezi kusema mwili ndio unaelekeza roho,hivo havishikani moja kwa moja.

  • @genesispeter5584
    @genesispeter5584 4 роки тому +1

    Mchungani naomba namba zako
    0784388721 mm naitwa genesis

  • @freddokuckelmann8502
    @freddokuckelmann8502 4 роки тому +2

    Mchungaji, badala ya kumuua tembo, wewe unamgusagusa tu mkia wake. Waeleze watu kuhusu vyakula vya kichawi, kulishwa ndotoni n.k. Hivi ndivyo vinavyoua watu Africa, ambako hmna GMO.
    Mimi ninakula GMO zaidi ya miaka 30, bado naonekana kijana siku nimerudi nyumbani nikala vyakula fulani. Mbona nililazwa hospitali na maombi makali juu yake. Vyakula vya kichawi. Au muulize Gwajima atakupa siri.

  • @lameckmtaka2659
    @lameckmtaka2659 5 років тому +1

    Mungu akubariki