Kweli kabisa kwanza wenye tunaishi nchi za inje mtuombee sana. Sasa fanya utafiti wa sufuria ninaamini chungu ndio kifaa kifaa kinyewe kwa sababu pia sisi ni udogo. Mungu akubariki, akulinde na aendelee kujitetea
Jamani mchungaji unafundisha hadi najihurumia nafsi yangu Mm niko huku Bahrain Lakini vyakula venye tunakula kweli ni hatari hadi tunapewa damu ya mnyama flani apo ati tueke kwa mboga,, mara Sijui mafuta ya swara ati tutie kwa chakula yaani ni mungu tu ndio anatulinda huku Bahrain
Mafunisho haya mazuri sana. Lishe aiendani na imani. Nagundua kwa nini mtu akatae kula baadhi ya wanyama na samaki mbali na imani. Kwani wengi hukazia tu, imani. Asante sana mchungaji kwa kuelimisha. Mafundisho safi.
Pastor kiukweli umeniongoa Sisi tulioko nchi za ugaibuni kiukweli hakuna kuku wakienyeji ila atukuzwe Mungiu kwakupitia masomo haya sitakula kuku tena badala yake nitakula vegetable mpaka nitakapo rejea Tanzania Bwana akubariki sana 🙏
Mungu aendelee kukupa nguvu Mchungaji David Mbaga
Mungu akubariki saaaana karibu kenya
Asante Mchungaji kwa mafunzo mazuri ya kutuelimisha Mungu akuweke.
Amen
😍
Amen 🙏
kupitia ww pastor nabarikiwaa sanaaa.... mungu akupatie umri mrefuuuu
Amen
Aminaa PR Mungu kubariki na azidi kukupa nguvu na ufanye kzi yake
Mungu akubarik mtumishi
AMEN nabarikiwa sana nikiwa hapa Iraq Baghdad
Muhubiri Mungu akubariki Sana.
munguakubariki mtumishi kwakazinjema
Amina
Amen asante Yesu kwa mafunzo haya ya chakula ubarikiwe zaidi mchungaji . kumbe nimekua nikijiua polepole
Amen. Barikiwa sana.
Amen, Mungu akubariki nasi pia
Ee Mwenyezi Mungu tusaidie dunia ni ngumu.
Mungu akubariki sana pasteur David. Nimejifunza mengi kutoka kwako. Mimi natumia mafuta ya olive na canola.
Kweli kabisa kwanza wenye tunaishi nchi za inje mtuombee sana. Sasa fanya utafiti wa sufuria ninaamini chungu ndio kifaa kifaa kinyewe kwa sababu pia sisi ni udogo. Mungu akubariki, akulinde na aendelee kujitetea
Pastor this is total truth ubarikiwe sanaa
asante kwasomo la vyakula .
wow
Jamani mchungaji unafundisha hadi najihurumia nafsi yangu Mm niko huku Bahrain Lakini vyakula venye tunakula kweli ni hatari hadi tunapewa damu ya mnyama flani apo ati tueke kwa mboga,, mara Sijui mafuta ya swara ati tutie kwa chakula yaani ni mungu tu ndio anatulinda huku Bahrain
Nondo za kutosha mungu akutangulie Vita kali
Amina pastor hicho kitabu tarime nitakipata wapi
Asante kwasomo zuri
Shimwe Kagwiza Amen
Ubarikiwe sana muchungaji
Mafunisho haya mazuri sana. Lishe aiendani na imani. Nagundua kwa nini mtu akatae kula baadhi ya wanyama na samaki mbali na imani. Kwani wengi hukazia tu, imani. Asante sana mchungaji kwa kuelimisha. Mafundisho safi.
Weka sehemu ya kwanza.
Ngendahayo Ngena Samuel Hii hapa
ua-cam.com/video/B0PPp4CoXbw/v-deo.html
Angalia sehem ya kwanza hapa
ua-cam.com/video/B0PPp4CoXbw/v-deo.html
🙏🏻🙏🏻
Amina barikiwa zaidi pastor 🤝
Asanti pastor live long in Christ🙏🙏
Asante ubarukiwe nchungaju
Mchungaji ubarikiwe kwamahubiri mazuri nimebarikiwa
Ningeomba unielezee kidogo kuusiana na hao anunaki
Jfrado rmonwy Number yako?
@@MahubiriPrMmbaga 0786404259
Je mafuta ya pamba nayo hayafai au yako sawa??.
Mungu akubariki sana pastor
Amina
Mafuta ya mizeituni yañafaa kupikia
Ndio ila usikaangie
Naje mbona kunahiki kitabu cha enoko kilicho patikana hivi karibuni kinaelezea vitu vingine kabisa hichi nacho kinakuwaje?
Ukiangalia kimechapishwa upya, maana kuna kama maandiko mengi ya uongo ,kwa mfano MWANZO 6:1... kuna uongo umeingizwa mle.
Pastor Nina swali mbona unasema mungu alieda kuona mnara unavyojegwa na mungu sema yote TU yatedayo anakunga anatuna alafu ni munyua from Kenya??
Pastor kiukweli umeniongoa Sisi tulioko nchi za ugaibuni kiukweli hakuna kuku wakienyeji ila atukuzwe Mungiu kwakupitia masomo haya sitakula kuku tena badala yake nitakula vegetable mpaka nitakapo rejea Tanzania Bwana akubariki sana 🙏
Kumbe soda kashetan kastarab harafu tunakanunua du
Jmn na swali ? Iv mchungaji unawajua anunaki
Jfrado rmonwy Ndio
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
Amen