SIRI KUBWA KUHUSU VYAKULA SEH 2. (USIACHE KUANGALIA HADI MWISHO)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 січ 2019
  • WENGI MLITUMA UJUMBE KUHUSU SEH YA 2 YA SOMO HILI,SASA LIMEFIKA,ANGALIA HADI MWISHO

КОМЕНТАРІ • 55

  • @SamweliDaud
    @SamweliDaud 5 років тому +6

    Mungu aendelee kukupa nguvu Mchungaji David Mbaga

  • @eddahnyongesa7020
    @eddahnyongesa7020 5 років тому +6

    Mungu akubariki saaaana karibu kenya

  • @sabrinakenya2353
    @sabrinakenya2353 5 років тому +4

    Asante Mchungaji kwa mafunzo mazuri ya kutuelimisha Mungu akuweke.

  • @MahubiriPrMmbaga
    @MahubiriPrMmbaga  5 років тому +5

    Amen

  • @josephshidukiseni8758
    @josephshidukiseni8758 5 років тому +5

    kupitia ww pastor nabarikiwaa sanaaa.... mungu akupatie umri mrefuuuu

  • @upendotv2776
    @upendotv2776 Рік тому

    Aminaa PR Mungu kubariki na azidi kukupa nguvu na ufanye kzi yake

  • @fei3668
    @fei3668 5 років тому +3

    Mungu akubarik mtumishi

  • @akinyisusan8049
    @akinyisusan8049 5 років тому +3

    AMEN nabarikiwa sana nikiwa hapa Iraq Baghdad

  • @chamdada3812
    @chamdada3812 5 років тому +3

    Muhubiri Mungu akubariki Sana.

  • @saimonmichael792
    @saimonmichael792 5 років тому +2

    munguakubariki mtumishi kwakazinjema

  • @bobog9732
    @bobog9732 5 років тому +5

    Amina

  • @maureenjovial6083
    @maureenjovial6083 4 роки тому +1

    Amen asante Yesu kwa mafunzo haya ya chakula ubarikiwe zaidi mchungaji . kumbe nimekua nikijiua polepole

  • @angel-y
    @angel-y 5 років тому +4

    Amen. Barikiwa sana.

  • @watwegopnina6480
    @watwegopnina6480 4 роки тому +2

    Amen, Mungu akubariki nasi pia

  • @mbarikiwambarikiwa3988
    @mbarikiwambarikiwa3988 4 роки тому +1

    Ee Mwenyezi Mungu tusaidie dunia ni ngumu.

  • @hamisilumona7163
    @hamisilumona7163 3 роки тому +1

    Mungu akubariki sana pasteur David. Nimejifunza mengi kutoka kwako. Mimi natumia mafuta ya olive na canola.

  • @cynthianawambugha7663
    @cynthianawambugha7663 3 роки тому +2

    Kweli kabisa kwanza wenye tunaishi nchi za inje mtuombee sana. Sasa fanya utafiti wa sufuria ninaamini chungu ndio kifaa kifaa kinyewe kwa sababu pia sisi ni udogo. Mungu akubariki, akulinde na aendelee kujitetea

  • @dennisdeogratius6558
    @dennisdeogratius6558 Рік тому

    Pastor this is total truth ubarikiwe sanaa

  • @mashakamkolwi7829
    @mashakamkolwi7829 5 років тому +3

    asante kwasomo la vyakula .

  • @SamweliDaud
    @SamweliDaud 5 років тому +4

    wow

  • @eliabamayi4344
    @eliabamayi4344 4 роки тому +2

    Jamani mchungaji unafundisha hadi najihurumia nafsi yangu Mm niko huku Bahrain Lakini vyakula venye tunakula kweli ni hatari hadi tunapewa damu ya mnyama flani apo ati tueke kwa mboga,, mara Sijui mafuta ya swara ati tutie kwa chakula yaani ni mungu tu ndio anatulinda huku Bahrain

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 2 роки тому

    Nondo za kutosha mungu akutangulie Vita kali

  • @davidsabai5051
    @davidsabai5051 5 років тому +4

    Amina pastor hicho kitabu tarime nitakipata wapi

  • @shimwekagwiza2300
    @shimwekagwiza2300 5 років тому +3

    Asante kwasomo zuri

  • @seraphinembila1199
    @seraphinembila1199 5 років тому +3

    Ubarikiwe sana muchungaji

    • @ngendahayongenasamuel2903
      @ngendahayongenasamuel2903 5 років тому +1

      Mafunisho haya mazuri sana. Lishe aiendani na imani. Nagundua kwa nini mtu akatae kula baadhi ya wanyama na samaki mbali na imani. Kwani wengi hukazia tu, imani. Asante sana mchungaji kwa kuelimisha. Mafundisho safi.

    • @ngendahayongenasamuel2903
      @ngendahayongenasamuel2903 5 років тому +1

      Weka sehemu ya kwanza.

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  5 років тому +1

      Ngendahayo Ngena Samuel Hii hapa
      ua-cam.com/video/B0PPp4CoXbw/v-deo.html

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  5 років тому +1

      Angalia sehem ya kwanza hapa
      ua-cam.com/video/B0PPp4CoXbw/v-deo.html

  • @maxlove2668
    @maxlove2668 4 роки тому +2

    🙏🏻🙏🏻

  • @shukranjulius5910
    @shukranjulius5910 2 роки тому

    Amina barikiwa zaidi pastor 🤝

  • @judithcherono4141
    @judithcherono4141 4 роки тому +1

    Asanti pastor live long in Christ🙏🙏

  • @gloriatoo22
    @gloriatoo22 2 роки тому

    Asante ubarukiwe nchungaju

  • @EmmaMachela-yx1lp
    @EmmaMachela-yx1lp Рік тому

    Mchungaji ubarikiwe kwamahubiri mazuri nimebarikiwa

  • @jfradormonwy5672
    @jfradormonwy5672 5 років тому +3

    Ningeomba unielezee kidogo kuusiana na hao anunaki

  • @mbarikiwambarikiwa3988
    @mbarikiwambarikiwa3988 4 роки тому +2

    Je mafuta ya pamba nayo hayafai au yako sawa??.

  • @t7zkc5tpxgim28
    @t7zkc5tpxgim28 4 роки тому +2

    Mungu akubariki sana pastor

  • @jfradormonwy5672
    @jfradormonwy5672 5 років тому +3

    Naje mbona kunahiki kitabu cha enoko kilicho patikana hivi karibuni kinaelezea vitu vingine kabisa hichi nacho kinakuwaje?

    • @theogenensanze4793
      @theogenensanze4793 5 років тому

      Ukiangalia kimechapishwa upya, maana kuna kama maandiko mengi ya uongo ,kwa mfano MWANZO 6:1... kuna uongo umeingizwa mle.

  • @jacobmunyua
    @jacobmunyua Рік тому

    Pastor Nina swali mbona unasema mungu alieda kuona mnara unavyojegwa na mungu sema yote TU yatedayo anakunga anatuna alafu ni munyua from Kenya??

  • @shukranjulius5910
    @shukranjulius5910 2 роки тому

    Pastor kiukweli umeniongoa Sisi tulioko nchi za ugaibuni kiukweli hakuna kuku wakienyeji ila atukuzwe Mungiu kwakupitia masomo haya sitakula kuku tena badala yake nitakula vegetable mpaka nitakapo rejea Tanzania Bwana akubariki sana 🙏

  • @BashiruSajasi-tb3wi
    @BashiruSajasi-tb3wi 10 місяців тому

    Kumbe soda kashetan kastarab harafu tunakanunua du

  • @jfradormonwy5672
    @jfradormonwy5672 5 років тому +2

    Jmn na swali ? Iv mchungaji unawajua anunaki

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 роки тому

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌

  • @irenemasheli9360
    @irenemasheli9360 5 років тому +3

    Amen