angalia physical fitness iliyotumika , unadhani ni mazoez kiasi gani yamefanyika? kushika bunduki ni zoez dogo sana, kilichofanyika hapo wapo ma askari kibao hawawezi, na likija suala one on one fight vitani hao ndio wahusika, usibeze jitihada za watu bna
Wapi vizuri Sana, kwakweli wameiva. Hangera kwa wakufunzi wao, Mungu aendelee kuwa tia nguvu na uvumilivu katika haki.
Congratulations to you TZ Army God bless
Hao vijanaa wabaki ukouko kikosini wameiva 🇹🇿🇹🇿🙌🙌
Ningekuwepo kila mmoja angekula 10,000. Nimependa sana vipajì vyenu. Mungu awalinde.
Nakubali hakika vipajibadotunavyo hongerenisana
Napenda sana mafinzo yakijeshi Tena kama napata nafasi ya kujifunza mafunzo hayo tajituma sana kwaajili ya taifa langu
Kijana sam umeonesha juhudi na ugali umeupata🫡🫡 hongera 👍👍
Aisee,safi sana wadogo zangu! 821kj mpaka 823kj 2008 Hadi 2010 juu sana kwa maadili.
Hongera sana vijana tegemezi la kesho nguvu ya taifa
Noma sana
Safi sana hongereni kwa kazi nzuri unayofanya na Mungu awabariki mzidi kwenda mbali zaidi
Wapewe ajira
Noma sana ni ngumu kumeza iyo💪💪
Hongera sanaa Tanzania 🇹🇿
ukitaka kujiunga je inawezekana
Viziri vijana,hongereni sana,
Amazing thumbs-up
Tanzania Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Nchi yangu mungu akulinde
Daaah Yaan hakuna watega mabom na kutegua twaona wanajinyonga nyonga tu 😂😂😂
Swali hivi wanapewaga kipaumbele kwenda Jeshi la wananchi kwani wanafanya vizuri sana
Mungu anifanikishe na mm jaman napenda San jesh
at mm napenda sana jeshi
bint Jw moja kwa moja
Dada umetixha ingawa n wote
Hongela sana tena sana
Honger sana kea mazoezi hay tutafanikiwa katika ulinzi nausalama
Hongereni Wadgo zangu
Safi sana ikovizuri iyo
Nataman sana kujiunga aisee
Talented guys
JKT mnachukua lini tena wakujitolea maana kila siku ni mujibu washeria2 je na wakujitolea nao lin Afande
Nice
Vzr cn wapo wangepewa kipao mbele ni walimu wazuli WA baadae
Hongera
Mko vizur makamanda mmetishaa👏👏👏
Let us pray for our Tanzanian's soldiers🙏🙏
Vijana wapo vizuri sana
Fantastic
Moyo wa pongezi kwenu.
Bahti
Poleni sana
Good sana
Anaesema majeshi ya ccm hatumii akili, mwenye akili anasema jeshi la wananchi.
Wako vizuri
Somchezo kwakwer hongeren
Nawapenda xan masoja
Nchi ipo salama 🇹🇿🇹🇿
Fantastic show
ukomandoo unawafaaa hawa vijana
Interested
Hao wabak huko muwape ajira wakikosa Kaz wakija mtaani tutakabwa wengi wazurulaji wa usiku🤣
👋👋👋👋🇹🇿 good good
Tena wanawake jmn jhaaaa
Mmetisha sanaas
Aseeee Tanzania tunawatoto wetu, ongeleni walimu
God people
Kweli jeshi letu linavijana wepesi na wakakamavu
Khaaaa hata kuwatunza t mnashindwa
Safi ujichanganye sasa utawatambua
Safiiiii sanaaaaaaa
Waoooooooooo
Michezo hiyo hata watoto wanacheza hakuna kitu hapo
unakuta mtu anasema jeshi limekamilika kumbe hayo ndio yanakamilisha jesh
Wooow 👍
Sasa jamani tuongee tu ukweli navitani watakataga viuno hivi😂😂😂
angalia physical fitness iliyotumika , unadhani ni mazoez kiasi gani yamefanyika? kushika bunduki ni zoez dogo sana, kilichofanyika hapo wapo ma askari kibao hawawezi, na likija suala one on one fight vitani hao ndio wahusika, usibeze jitihada za watu bna
@@jumanzige9644 kabisa awa ndio wale wasio takia wenzao mafanikio
Respect
Talent, hongereni sana
Jamani mwanangu yuko dalasa la 5 lakni ananiambia anataka akasome shule ya jeshi sababu anapenda kuwa mwanajeshi alafu sijui ni wapi shule iliko
Wapewe heshima zao 💪💪💪💪💪🖐️🏋️🏋️🏋️🏋️🏋️🏋️🏋️🏋️🏋️🏋️🏋️
Liminatt yubahwe😂😂😂
IRIMASO birashimishije kbx😊
Makin sana
Lazim tujue kutofautisha vipaj na mazoez uwezo
Mr. Bayo
Hongera Sana vijana wetu mmeifa kweli
Naomba jeshi liwaajili kama nadhamu yaoimejitosheleza.
Kuvu moja tz jeshi na wanaishi tutashinda maadui zetu wanasiasa ndio vivuluge nchi kwanza tz juu zidi tuilinde yakwetu hii
na mm nataka kujiunga jaman
Summons
Nchi iko salama
Nc
Vitani kwani kuna boringo
Mngu awabaliki kwmazoezi mema❤😂😂😢😅😅😅
Twaha kiduku
safe sama
Jeshi nawapongeza kwajina lajamuuri ya muungano kaziiendelee
Kazi ni wito
Jamani mlikumbuka kuajili
Msiwarihusu hawa vijana waje mtaani huku jamani wape ajira wakae huko kaahaaa
Duuuuuu!!!!!!Allah awape nguvu zaid
Wameuwa wiiiiiiiiii
Safi sana
Havazi
Kazi kubw
nice
Da wametish
Amna kitu apo tushafanya miaka iyo
Nakubali sna
Nadhani mkuu wa kikosi awatazame kwa jicho la 3
Hakuna kitu kinaeza kunishinda hapo labda hivyo vitu msichana aliefanya tu
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 🔥
Hahahaha nimewaona polisi wakichungulia 😂😂😂
Hongeren sn
Mmetisha sana
Dj afro
Matukio
Natamani ila sijui nitafikaje hapo