Mmelogwa.nini,hadi.mnampuuzia asemaye Ukweli.wasemao uongo wanaonekana ni wakweli Bunge la chama kimoja aliwakilisha Watanzania wote.lina mfumo wa na kichama. Na kulindana Ni dhambi kupora ardhi halali ya watanzania wenzetu Wawekezaji wengine ni matapeli wa kimataifa.Awatufai.wanakumbatiwa na Nani.
Wanachofanya hawa ni upuzi kwa kuwa wamezidiwa na upungufu wa utu! Inakuaje wanapingana na uhalisia na ukweli kutoka kwa mwanasheria shupavu kama ole Shangai?
Oleshangai ni Jembe; ameongea mambo ya maana sana!! Serikalibona lama eanatumia maguvu mengi kuliko kufafanua mambo yaeleweke?! Kuna nini kwa wamaasai?! Mnawafanya watanzania watafakali kwa kina sasa!
Mwamba, sema wasikie hata kama hawataki kuelewa wakiuke wakielewa, inarudi na riba. Tunaomba haki itendeke kwetu wananchi wa Ngorongoro. Na mwakilishi wetu asikilizwe, ana haki ya kututetea. Mnavyosema taarifa kila saa ni ili kumpotezea muda wake asiweze kuwasilisha ujumbe unaowahusu.
Nyoo! Jana alikuwa wapi jiui Mbunge wakati mwenzake Ole Sendeka akifundwa na Speaker. hajielewi huyu Mbunge sijui aliingiaje Bungeni na kichwa chenye hoja mbovu namna hii. tangu lini Ngorngoro ni Vijiji? Aache kula mshahara jasho la wananchi bure. Ingekuwa Ndugai bado Speaker angeshampiga chini huyu jamaa.
Oleshaanga pole mungu akusaidie wachana nao wakae na watoto wao wamaasai wakateseke mungu yupo
Mbunge makini kwenye kazi yake mungu akuzidishie maarifa ya kutuongoza
Mbunge wetu Oleshangai mungu akutangulie
Kweli umeongea mungu akupe ujasiri huo uwatete wanainji wako
SEMA ndugu mungu yupo nawe
Usitishwe na chochote mwanaume anasaliwa siku moja anakufa siku moja
nikweli unawaambia waambie nweshimiwa shangai
Hongera Sana olosho lengai
Ni kweli kua wengi wa Bunge hili ni vibaraka za serikali.Lakini MUNGU atajibu kilio ya watu wetu Amina.
Washajaziwa akaunt zao hawawezi kutetea wananchi
@@nailaty ni kweli.🤔
umenena mubenge we2 mungu akuzaidia
Mmelogwa.nini,hadi.mnampuuzia asemaye Ukweli.wasemao uongo wanaonekana ni wakweli Bunge la chama kimoja aliwakilisha Watanzania wote.lina mfumo wa na kichama. Na kulindana Ni dhambi kupora ardhi halali ya watanzania wenzetu Wawekezaji wengine ni matapeli wa kimataifa.Awatufai.wanakumbatiwa na Nani.
Wanachofanya hawa ni upuzi kwa kuwa wamezidiwa na upungufu wa utu! Inakuaje wanapingana na uhalisia na ukweli kutoka kwa mwanasheria shupavu kama ole Shangai?
Ngorongoro tunajifunia kuwa na wewe
Mshahongwa na rais wenu hamjali damu za watanzania hizo pesa ndo zitakwenda kuwa kuni za kuwachoma kama mishkaki
Oleshangai ni Jembe; ameongea mambo ya maana sana!! Serikalibona lama eanatumia maguvu mengi kuliko kufafanua mambo yaeleweke?! Kuna nini kwa wamaasai?! Mnawafanya watanzania watafakali kwa kina sasa!
Anae ongea point taarifa zinakuwa nyingi
Mwamba, sema wasikie hata kama hawataki kuelewa wakiuke wakielewa, inarudi na riba.
Tunaomba haki itendeke kwetu wananchi wa Ngorongoro. Na mwakilishi wetu asikilizwe, ana haki ya kututetea. Mnavyosema taarifa kila saa ni ili kumpotezea muda wake asiweze kuwasilisha ujumbe unaowahusu.
Washahongwa na rais wao hakuna tena haki hapo
Inauma sana bhac tu yan
How are you
Come ci do finito qui
Nyoo! Jana alikuwa wapi jiui Mbunge wakati mwenzake Ole Sendeka akifundwa na Speaker. hajielewi huyu Mbunge sijui aliingiaje Bungeni na kichwa chenye hoja mbovu namna hii. tangu lini Ngorngoro ni Vijiji? Aache kula mshahara jasho la wananchi bure. Ingekuwa Ndugai bado Speaker angeshampiga chini huyu jamaa.
Kaa kmya kladha usiyejielewaa Tako linakuwasha syoo wew ndo unaongee utopolo kengee wa bluu wew.
😂😂😂😂😂