Mbunge wa Ngorongoro Acharuka, "Kama Hamtaki Watu Ngorongoro Semeni Kuliko Kuwatesa"
Вставка
- Опубліковано 2 жов 2024
- Mbunge wa jimbo la Ngorongoro, Emmanuel Ole Shangay amehoji kuwa kama zoezi la kuhamisha wananchi wa tarafa ya Ngorongoro ni la hiyari, kwa nini Serikali imekuwa ikiweka vikwazo kwa wakazi hao tangu mwaka 2022 kama vile kuwasitishia wananchi hao takribani 100,000 baadhi ya huduma za kijamii.
Ole Shangay amehoji hayo wakati akichangia hoja Bungeni wakati wa mjadala wa bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha 2024/25, ambapo ametishia kushikiliza shilingi endapo hatapatiwa majibu kuhusu suala hilo.
Hongera sana Mhe. Mbunge Wangu Oleshangai....unatusemea wananchi wako Kazi kwa Watawala.
Ni nini jamani kuwatesa wananchi ndugu zetu wamasai??
Huu ni ukatili wa serikali hii.
Hongera sana Mh umefikisha kama ilivyo
Hi serekali ya ofvyo sana Yani tunatesa wanaichi wetu wenyewe
Sasa kuwakatia maji raia huo si ukatiri huo unaofanya na serikali
Ombi langu mungu akulinde tu unafikisha sms
kwakweli kabisa kwanini taifa umoja la wamaasai wananyanyasa Sana 😭
Tuki wapa kura sawa kutunyanyasa kwenu
maswali yako mazuri sana kama ni hiari kwa mtu kwanini wawekewe vikwazo
You right mh Hawa wa2 wanata kuuza izo land zetu by the way but with tunasema never never
Tayari ziko na mwingereza, mmarekani na mwarabu
Sasa ndio mmepata majibu
Amechangia vzr sana tena Kwa utulivu kabisa
hongera Sana bunge wetu
Hapo ndiyo napoionaga ccm himeshindwa kutuongoza oja Ina mashiko lakini meza azigongwi wao uwambie kusifia TU mama anaupiga mwingie kama waseng
Hongera Sana mhe oleshangai kwa kusema kwa niaba ya wanangorongoro
Mhhh!!!!!
Asandeee sana ole shangayi umefikisha ujumbe kwa viongozi wa ngazi ya juu tutaona kama amefanyia kazi
inauma sana tanzania ccm ya nyerere
Mmbunge anaongea yake tu,hakuna anaegonga meza wala pongezi,
Wote wanaogopa ni kimyaaaa
Hilijambo linaonekana alieamlisha ni laisi ambae hao wabunge wanajua naakionekana mbunge anasapoti anainekana msaliti nahapo ndoujue wabunge wa kweli hawapo hapo kunawachumiatumbotu kwa hojahii yambunge ilitakiwa wabunge wote wachangie kutetea wamasai lakini wakokimiasana
Mungu akulinde daima mbunge wetu
Serikali Wana kusudi lao kwenye land ya wamasai yaani mungu atusaidie na atulinde
Sio zetu tena ni wazungu, mmarekani mwingereza na mwarabu ndio wenye mbuga zetu turejee kwenye kauli ya job ndugai nchi imeuzwa vipande vipande
Umeongea ukweli mungu akuweke ulinzi
Meza haigongwi na ile mikofi zagao
Bunge la hovyo Sana Hawa Wana wangalia matumbo yao na watoto wao, mungu simama na watu wako,juu ya utawala wa mkoloni mweusi.
Oji pole sana shaagai ila agalia wasikufanye kama olesendek
Wanatakiwa wahame
Toa sababu 5 za muhimu
❤
Wamasai huwa wakweli sana
Nimempenda naibu spika... wabunge wa bara hawapo na hangaya..ametoa ngorongoro kwa wajomba
Njoo.chadema.ccm.haina.uwezo.wa.kuongoza.tena.wamekata.pumzi
Hivi Jamani Hii Ni Tanzania Yetu Tunayoijua? Mbona Wamasai Wanaishi Vizuri Tu Na Wanyama? Nyie Viongozi Mnaokula Dhuluma Na Kuwatesa Ndugu Zetu Wamasai Mungu Awaondoe Mfe Kifo Cha Aibu Kama Mbwa,😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Asante sana Mh. Nimekaa ngorongoro, nimeyaona hayo . Natembea naulizwa kibali kila mahali .
Hasante Mwechimiwa mbunge wetu
Ya olesendeka yasijekukuta mh maana huyu mama ni hatari sana
Jamanii tufike mahara tuone huruma na binadamu wenzetu nini maana ya ndani ya hifadhi watafutiwe eneo lingine ndani ya mkoa wao hata wale wa msomela wanateseka tu nyumba ndogo mira na desturi za tanga tofauti kabisa na za kwetu
Asnte Sana mbunge wetu wa ngorox2
atuiombi serekali ya Samia warudishe ngombe za wamasai na wakome kuwanyasa wanchi nakama ni. awa waarabu tumekataa kuporwa awakuja kutuangaisha waende kwao mswahili alisema mgeni aje mwenyeji afaidi sasa mwenyeji anafaidi ama anaumia wawekezaji waangaliwe sana watanganyika wasiumizwe nchni mwao kama wale wanawake wanaekwenda uwarabuni kufanya kazi ya nyumba wanauawa na kufanyiwa unyama wewe kama serekali umemleta mwekezaji ni jukumu lako kuangalia uyo mwekezaji matendo yake kwa raia wako ama wewe mmekubaliana yakwamba sisi raia wema tunyanyaswe na pamoja tuko nchini mwetu atutakubali Tena ujinga kama uwo iyo magufuli alikataa mikataba kama iyo watanganyika fungueni macho tunayajua yote mjue kuna mwisho
Jamani nyie mbona inaskitisha😭😭😭
Hawa wadudu wanatamaa nanchi wamekuamiungu ccm muwapende wananchi msiwamishe kwajili ya masilai yenu mtakufa mtaviacha acheni tamaa mungu awaone
Mbunge wa Ngorongoro ni mwamba amekuwa akifikisha vilio vyetu kwa serikali yetu sikifu. Mhe Rais naomba usikilize vilio vyetu hata sisi tunaoishi ndani ya tarafa ya ngorongoro ni watanzania
Wewe mbunge muulize Olesendeka.
😢😢😢😢
Ukweli mtupu mhemiwa Shangai ameongea ukweli
Duuh jmn inatia huruma sana, mjitathimini sana aise.
Waambie kitaeleweka tu,wafunge masikio ujumbe umefika.
Hongera sana! Mheshimiwa hakika tunajifunia kuwa na mbunge kama ww
Hoja nzito hii na ni ya msingi kabisa.
Serikali iliangalie hili suala kwa makini sana.
Wananchi wasinyanyaswe ili wahame ni vibaya sana.
Hongera sana mheshimiwa mbunge.
hay0 nimanen0 tu pana0nekana kunashinda
strong leader keep fighting one day yes
Duuuh 😭😭😭 my 🇹🇿
Hongera xana mbunge wetu
Inaumwa sana ila pole Mh mbunge tunaumiz san
Hongera sana Mh mbunge
Duuu
Too late brother, nini huelewi?. hahahahaa!!!!!
Tulisha uzwa cku nyingi
You said it all keep moving Mkuu 👏👏
Mbona hakuna mtu anagonga meza mnakaaaa kimya
Hawataki hiyo maneno yake😢😢😢😢
Mungu yupo tu ipo siku moja
We jifanye wazungumza sana na huku jifanye huelewi.
Mpumbavu mkubwa Sana
Kwahiyo unataka asiseme changamoto za wananchi?
Kuna watu hawajitambui
Endelea kushadadia upumbavu unaofanywa wezi WA Rasilimali za Taifa
Kuna siku mtanzania na mzalendo atakuwa Rais WA nchi
Kweli ww ni sungura
We Vipi Asee? Unadhani Anadanganya? Tuulize tuliyopo Ground.
😂😂😂
Kwa hiyo Wamasai siyo Raia
Ni haki yao kuishi ngorongoro
Wasinyanyaswe