Mimi nadhani mwenye macho ya rohoni na masikio ya rohoni ndo atakaeelew Mbarikiwa nni anasema i love this Baba keep it up usianche kusema kweli Mungu aliekuita akafanye zaidi na zaidi God bless you Pastor
Hongera sana Mtume timiza wito ulioitiwa na Mtumishi wa Mungu Mbarikiwa timiza wito wako sisi ni viungo ktk mwili wa kristo kila kiungo na kazi ya e hatuwezi kufanana tumeitwa tofauti
@@robutati0852 kama umati wa watu umemchanganyaa atuambie kwa nn na yeye anawachache tena wanafamilia melancholic wote, plze don't dare with our apostle Mwamposa
Hapana zijaribuni hizo Roho kama zimetokana na MUNGU Ukimpima na neno la MUNGU unaona ata mbinguni huwenda awamtambui labda anatambulika kwa kuwapeleka mamilioni ya watu jehanamu
Pole mtumishi mimi nafikili unatakiwa wale wanaotoka kupokea miujiza kwa mtumishi Mwamposa uendelee wewe na wayumishi wengine kuwalea kiroho msana kule ameshawaongoza sala ya toba sasa mkiendelea kukosoa kosoa watu wanashindwa waende wapi mtadaiwai hizo Roho za watu Mtumishi Miwamposa Mungu anamjua zaidi kuliko mnavyomyyua ninyi mbona neno lnasema kila mtu atasimama mbele ya kiti cha Mungu. Watu wanao toka kwa mtumishi Mwamposa tuwapokee tuwaimrishe katika Imani ya Yesu. Kama walivyompokea jamani. Mbona hivyio ..
Kwani uko kwa mwamposa mnaabudu Mungu au!!! Jichunguzeni Sana, kwenye wingi wa watu sio kuna Mungu, hapo mapepo ni mengi yanateka watu, hapo uganga wa kienyeni Tu.
Mimi sikuwepo pale Packers ila nilikuwa kwangu mkoani nikikesha. Mungu anasema na roho za watu mmoja mmoja. Toba kila siku kwenye ibada anaongoza sara ya toba. Na roho wa Bwana akiingia kwako lazima atakuongoza tu kutubu. Amina
Mbarikiwa, kwa heshima kubwa Sana, umesema vyakutosha. Je wajihesabia haki!!! Siku ya hukumu, Mungu atahukumu. Acha Mungu was haki aje kuhukumu. Wewe mhubiri kristo na hukumu mwachie Mungu
.... KRISTO ACHA AJITWALIE UTUKUFU .... ALITUMIA HATA TOPE/MATE KUPONYA... Amani ya KRISTO IKUBEBE MTU WA MUNGU.... TUNAMWONA MUNGU KUPITIA BONFACE... MWAMPOSA...
Ukweli ni kwamba njia ya kweli Ni Kuamini ya kwamba Mungu yeye mwenyewe alikuja duniani akazaliwa akaamua kufa kwa ajili ya kulipa deni la wanadamu na kufufuka siku ya tatu na akapaa mbinguni. Kwa hiyo ukimwamini YESU KRISTO na kuziacha dhambi Roho mtakatifu ambae ndie Mungu yuleyule mmoja anakuja kukaa ndani yako.nawe unakuwa na uzima wa milele kwa maana Ufalme wa Mungu unakuwa ndani yako. Ni dua yangu kwamba Yesu kristo akujalie neema ya wokovu usipotee katika udanganyifu wa Dunia hii Amina.
Kwa kweli mtumishi wa Mungu Mwakipesile hadi umefungwa kwa kweli yako kuokoa waliopotea endelea kutenda kazi ya Bwana Yesu akulinde na familia yako🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🎉🎉🎉❤❤
Watumishi wote hapa inchini Tz kama wangekua na hekima pamoja na wokovu kama Mtume Mwamposa inchi hii ingekuwa yenye Baraka saana kwahali yakumpendeza MUNGU BABA
Hawaagui Bali wanasali tuache wivu mwenzako akifsnikiwa mpongeze Kila mtu amepewa kipawa chale Mungu amempa onyesha kazi siyo maneno Mwamposa songs mbele.
Dah, Mungu wako ni dhahiri neno la injili unalolifundisha ni kama kwa mtumishi wa Mungu "pastor ezekiel" kutokea mavueni mombasa kenya. Ukweli ni kwamba watu hawatakuelewa na ndivyo ilivyo kwenye yohana 17:14. Hongera sana baba, Mungu atakulipa thawabu yako
Kila mmoja na UTUMISHI wake!! Acheni kuhukumu! Nawe onyesha UTUMISHI wako ili watu wa Mungu wakuelewe na wapone.Mwache mwenye enzi Yesu Kristo atakuja kutenganisha pumba na Mchele.
Ndio kila mtu na alivyo itwa lakini kumbumbuka sisi sote ni mwili wa Kristo. Sasa je kristo anatutaka tufanye hayo? Au Ana tutaka tuwafanye watu waache dhambi na kuufuata Yesu Kristo tu. Mtu Hana laana akimwamini Yesu na akiacha dhambi na kufanya kazi kwa bidii. Wewe huna laana kwa maana Yesu Kristo amekuokoa. Hayo mengine ni udangqnyifu wa Dunia hii.
Ukweli ni kwamba kila nabii au mtume ameitwa na kupewa kitu tofauti na mwingine, lakini kila alichipewa yeyote kina lengo la kuujenga mwili wa Kristo. Injili kazi yake ni kuonesha hitaji la Mungu kwa wanadamu, lakini injili ya leo ni hitaji la wanadamu kwa Mungu, hii ni kinyume na kusudi la Kristo kuja duniani
Mi kama msomi wa bibilia ni naamini kila mtumishi kaitwa kwa namna yake tatizo la huyu pastor anataka kila mtu atumike kama yeye no! Paul anasema sikuja kwenu kwa maneno ya hekima tu bali kwa nguvu na uwezo wa Roho mtakatifu, bibilia sio siasa kama mnavozani bibilia imejaa demonstration of power tangu mwanzo hadi ufunuo huwezi kumkomboa mtu zambini kwa siasa ya bibilia bali ni kwa ushuhuda wa matendo makuu ya Mungu✍️
Watu wanashida nyingi sana, ukiona watu wanakuwa hivi Kuna kitu wanafaidika, wao sio wajinga. Mungu aliumba Kila mtu na upako wake sio wote mfanane. Hiyo kazi muachie Mungu.
Sio kweli unachosema ni kuwapotosha watu imeandikwa zichunguzeni kila roho na tunazichunguza kwa kutumia maandiko maana imeandikwa wataukumiwa kwa sheria zao na sio wanaoijua sheria watakaookolewa bali watakaoishika na kuitenda ndio wataesabiwa haki. Katika Agano jipya maji, chunvi, mafuta etc vinawakilishwa na Roho Mtakatifu kwahiyo tunatamka wala sio kukanyaga au kuchukua Chupa ya maji huo ni uganga na uaguzi. Wanachofanya akina mwamposa ni uganga na ushilikina na hao wote wanamaagano na kuzimu mkusanyiko wa watu unaletwa na nguvu ya kuzimu. Wakati watu wamekusanyika katika ulimwengu wa roho ya kuzimu wanachukua vipawa vya wote wanakuwa wamejiungamanisha na ibada. Yesu alisema kemeeni na kuonya. Kinachomaliza shida ya Mtu ni kuijua kweli na kuitenda sheria si vinginevyo. There is no short kati laazkima tutimize sheria na Imani pasipo matendo imekufa.
@@deogratiasrutabana2387Biblia. Yakobo 5:14 [14]Mtu wa kwenu amekuwa hawezi? Na awaite wazee wa kanisa; nao wamwombee, na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana. ANDIKO ILI NIAGANO JIPYA AU LAKALE?
Nyakat hiz ni ngumu mno, ndo maana nikiona sina aman na mtu au huduma. Najiweka mbali nae kimya😢. Tumtafute sana MUNGU NA MUNGU ATATUONYESHA MAHALI SAHIHI
Tatizo wachungaji wa kikrito wanafuatiliana hadi inakera. Mahakama za kikristo zimekuwa nyingi? Kila Mchungaji anamwandama Mchungaji mwenzake. Wakristo tuna shida sana. Kwani Mwamposa alienda kuwaita watu nyumbani waje kuabudu pale? Mnajihesabia sana haki, pengine hata Mungu hawajui
sasa hv wachungaji mnaniuz sana eti mmesahau majukumu yenu kabisa mmeitwa kuwafundisha watu na kuwahubilia neno la mungu na kuwaponya..na co kila cku kumtolea macho mch..yule mara yule na kuanza kukosoana fundishen watu NENO la MUNGU bc hicho ndicho mulichoitiwa
Utaua/uhubiri si njia ya kupata faida 1 Timotheo 6:5 na majadiliano ya watu walioharibika akili zao, walioikosa kweli, huku wakidhani ya kuwa UTAUWA NI NJIA YA KUPATA FAIDA. Kama anahubiri ili apate faida ndio maana nimesema kuwa ni tapeli
Hujawahi kukosa neno,ulivyoona wewe moyoni mwako ndivyo ulivyo,na pale hatukuenda kuhukumiwa,kila mmoja alienda kwa kilichomsukuma kwenda moyoni mwake, sisi ndio waumin na tuna maamuzi yetu na hatufungiwi na dhehebu Wala kanisa lolote msituamini kivile.tunajua unaumia rohoni na unamfatilia Sana,kitendo Cha kumfatilia mtu ambae Hana habari na wewe kinaumiza, bado hujaaema utasema, na ninatarajia utawaalika wale watu wako wataongea na wao,Hilo nauhakika.mtu anaependa kuongelea watu mda wote kiukweli ni wivu, uchawi,ushirikina.huo mda unautoa wapi? Si ujifungie chumbani mtafute mtoto? chum
Ni sawa injili ya kweri ina ambatana na ishara za miujiza na uponyaji ila ishala yeyote ya kuponya wagonjwa bila fundisho la kweri na sahihi ya kuwambia watu waache njia zao mbaya watubu zambi zao injili isio kuwa na ondoleo la dhambi hiyo ni feki na ni injili ya mauzauza nenda ukasome kitabu cha mthayo agizo kuu la mungu aliloliagiza kwa wanadam walio okoka bila kujali wewe ni nabii au mtume au mwalim au mshirika yoh 3.16 marko 16,1 hadi mwisho
Mathayo11:28Njooni kwangu nyini nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha sasa kama watu wameenda kuagua au kutatuliwa shida zao kwa mtumishi wa Mungu kuna shida gan ulitaka waende kwa mganga wa kienyeji au kalale wew
@@Mbarikiwa_Mwakipesile alie kwambia kwa mwamposa wanaenda wadangaji ili wadange zaidi ni nani acha chuki zakitoto watu wanaenda kutua shida zao kwa mtumishi wa Mungu na miujiza hata Yesu alifanya leo mwamposa anafanya miujiza mnabaki kumsema vibaya mnashida gani nyie kama mnaamini anatoa miujiza feki kwanini nanyi msitoe Yenu watu wawafate nyie
Miujiza sio kipaumbele, lengo ni kuweka bidii yakuwafundisha watu wamwamini Yesu Kristo na kutubu dhambi basi. Ukiona ni masikini wafundishe kufanya kazi kwa bidii kwa kufuata kanuni za uchumi wa Mbinguni. Cha zaidi wafundishe wakue katika Imani ya kumwamini na kumpenda Kristo siku zote na kuwaambia kuwa hawana laana yoyote ili wasienende kwa hofu.
Mtumishi, Kuna wakati Elisha aliitwa na wazee wa Yeriko juu nchi ilikuwa ni nzuri lakini ilizaa mapoza. Elisha akaiponya nchi. Elisha hakuponya wale wazee Bali alisema, nimeiponya nchi hii........
Kama hayuko sawa hebu mshushie moto kwa haki yako Kama nabii Eliya. Tunahitaji kusikia kazi yako Sasa badala ya kutuambia habari za mapambano na watu walio"trend"
Tatizo lako,nashani ni wivu,,,kwanini unakazania mtiti je wanaorudisha mambo ya kichawi na kumrudia Mungu ni kweli huna ufahamu wa kuyaona,je waliokuwa tasa wakifunguliwa na kupata watoto,hayo huyaoni,,,je akina mama waliokuwa na viumbe zikapona ni kweli huyaoni?au unachoona ni kukagua msg za waumini wako na kuwatimua? Mungu atajitwalia utukufu tu,,,hatuwezi wate kuwa akina mwamposa,,Mungu akupe macho ya rohoni
Asante sana Mtumishi wa Mungu na Ubarikiwe kwa ufafanuzi sahihi wa KIMUNGU. Njia ni nyembamba iendayo Uzimani bali njia ni pana iendayo upotevuni. Hatungoji kufika mbele ya kiti cha Enzi cha Mungu cha Hukumu kuweza kuyaona hayo yaliyoandikwa bali yapo dhahiri hapa hapa duniani sote tunayaona. Mwenye macho ya kiroho haambiwi tazama. Ataona tu kama tunavyoona sasa. Siku ya mwisho ni kuthibitishiwa tu na kuelekezwa kwenda tunapostahili kulingana na Matendo yetu na imani yetu. Mungu atusaidie sana.
Bwana we usitudanganye kwa chochote tuonyeshe vya kwako au tuonyeshe mtiti wako kiufupi ukiona mchungaji yoyote anafuatilia mwenake kafanya nini ujue yeye huyo ni muumini wa huyo kwa hiyo wewe ni muumini wa mwamposa
Wanaokusapoti wote mpo kwenye chama kimoja cha wachawi tena ninyi ni watu hatari sana zaidi ya wachawi na waganga na watu wengi hawawajuhi lakini hiyo mda Yesu mwenyewe atawafichua
Bibilia inasema usimnyoshee mtumishi wa MUNGU kidole mwamposa nimtumishi Mimi sioni kosa kwa mwamposa mana munae msema yeye aongei ogopa sana muogopeni MUNGU.
@@FrancisMliga-pp7cp unasoma biblia kazi ya Neno ni kukemea maovu ndio maana kina stefano waliuawa, yakobo aliuawa,yesu aliuawa,yohana aliuawa,Paulo na sira walifungwa gerezani.uwe unasoma Neno la kweli halitakiwi na wanadamu
@@mashibeelias5574 Neno la Mungu ni la ajabu Sana unaweza kua msomi Sana lakini Neno usilielewe yaani mwamposa sio wakujiuliza uliza ila huyo Yuko kibiashara tu
Kila mtu anasehem yake ktk utumishi wake.ndio maana Yesu alisema baba kazi ulio nipa nimeimaliza maana yake alitumwa kwa ich moja tu Israeli na kupitia Israeli mataifa yote tutamjua Mungu ko kila mtu na ufunuo wake .simamia kipande chako na tunako kwenda Mungu anasema utukufu wa mwisho wa nyumba yangu utakua ni mkuu kuliko wa kwanza
Wingi wa watu ni roho. Sasa kusababisha roho za watu wakukubali huo ni upako. Yesu alimwambia petro acha kuvua samaki nikufundishe kuvua watu. Watu walivyomfata yesu siyo kwamba watu wote walimjua mungu. Ila walipopata kusikia neno wakaamini. Wewe fanya yakwako mungu aliyokwambia ufanye usianze kuangalia mwamposa. Yeye anafanya Mungu wake alivyomweleza.
Ni wivu tu... Mwamposa anamhubiri YESU MPONYAJI NA MTENDA MIUJIZA, na watu wengi wanaponywa sio rahisi watu wajae vile bila majibu, na wewe endelea kutukana na kujiona mtakatifu ACHANA na mtumishi mwamposa...
Unaongea vizur sana pastor sema mim piaa nikushauri kama ingewezekana ni heri kupambana pia kwa Mungu wako ili upate watu wa kuwafundsha kweli halisi ya Mungu ikiwa unaona huyo anaagua bas jitahidi ili na wew upate wa kuja kuabduu na sio kuwa mkosoajii kwa watu
@@Mbarikiwa_Mwakipesile Nimewaona baba na ninakufatlia sana ila ninacho maanisha kuwa wapo waliochaguliwa tayari hebu tupambane kuwahubiria watu ile tunayoona ni kweli kulko kuwajbu hawa jamaa maana kila siku watatokea kama hao wengii zaidi tutengeneze kizazi cha kusaidia wengne katika kwel ya kristo
Ukitaka kuwa hivyo kama,uwe na hekima ndicho ambacho Mungu anakutaka kwa mtumishi wake siyo kuokoa hadi simu za waumini wako,,,Mwache Mungu ajitwalie utukufu
Mwakipesile hayo mambo ya kuwasema watumishu wenzako wa mungu sio jambo jema wewe jikite na kuendeleza kanisa lako Ili like sio kumsema mtumishi wa mungu ajaanza Leo mpaka huduma unakuwa hivyo
@@Mbarikiwa_Mwakipesileni kweli ni sehem ya kukumbushana nae amesema si Jambo la kushupaza tunakumbushana sbb YESU alisema hakuna aliye mtimilif chini ya jua
Acha hizo uwezi kufanikiwa kama umeshikiliwa na uchawi. Acha kabisa. Acha ardhi zikombolewe . Wachawi wamefanya yao kwenye ardhi. Watu ni wanamatatizo wanahitaji suluhu. Na wewe jitahidi tutajaa kwako.
Ukisema ufuate maneno ya watu hapa tz huwezi kufika popote wanakutungua tu uwafuate wao chini,, kikubwa unakausha halafu chapa kazi ili mradi Mungu yuko nawe Tz ukianza hata kazi tu lazima maneno ndio yatakuua na kupoteza kazi, tuwe makini tusituhumu tu kila kitu
Nadhani hapo KINACHOENDELEA ni uaguzi. Ukitaka uamini bas mtafute mmoja wao wa waliokaa hapo wakitoka huku Nje wanaishi MAISHA gani. Unakuta Wazinzi kupindukia, wadangaji, wafiraji, walarushwa, n.k
Mimi nadhani mwenye macho ya rohoni na masikio ya rohoni ndo atakaeelew Mbarikiwa nni anasema i love this Baba keep it up usianche kusema kweli Mungu aliekuita akafanye zaidi na zaidi God bless you Pastor
Kabisa kuyajua haya mambo yanaitaji macho ya rohoni sana mungu atusaidie sana
TATIZO UGANGA NA UCHAWI WENU NA UNFREEMASON MMEKWISHS POTWA TAYARI HIZO HASIRA ZENU SISI TUNASONGA MBELE.AFADHALI MUNYWE SUMU
Hongera sana Mtume timiza wito ulioitiwa na Mtumishi wa Mungu Mbarikiwa timiza wito wako sisi ni viungo ktk mwili wa kristo kila kiungo na kazi ya e hatuwezi kufanana tumeitwa tofauti
@@robutati0852 kama umati wa watu umemchanganyaa atuambie kwa nn na yeye anawachache tena wanafamilia melancholic wote, plze don't dare with our apostle Mwamposa
@@robutati0852 hakuna mtume aliyeitwa Kwa jina la yesu kukusanya fedha
Tumitwa tofauti ila Lengo ni moja Watu wa mlingane Mungu.
Hapana zijaribuni hizo Roho kama zimetokana na MUNGU
Ukimpima na neno la MUNGU unaona ata mbinguni huwenda awamtambui labda anatambulika kwa kuwapeleka mamilioni ya watu jehanamu
@@enockniko9270 Amina ndugu tuwe na akili namna hiyo Kwa jina la Yesu.umenifariji hasa kipindi hiki ambacho watu wameyageukia mafundisho ya uongo
Mimi nimepona kawe nipo nje ya nchi nimepona kwa jina la Yesu sii kwa jina la Mwamposa
Imani yako imekuponya ktk Kristo Yesu
Mimi pia nilikuwa na uvimbe miaka 5 na sipo TZ nipo nje lkn kupitia Mwamposa nimepona
Pole mtumishi mimi nafikili unatakiwa wale wanaotoka kupokea miujiza kwa mtumishi
Mwamposa uendelee wewe na wayumishi wengine kuwalea kiroho msana kule ameshawaongoza sala ya toba sasa mkiendelea kukosoa kosoa watu wanashindwa waende wapi mtadaiwai hizo
Roho za watu
Mtumishi
Miwamposa
Mungu anamjua zaidi kuliko mnavyomyyua ninyi mbona neno lnasema kila mtu atasimama mbele ya kiti cha
Mungu. Watu wanao toka kwa mtumishi
Mwamposa tuwapokee tuwaimrishe katika
Imani ya
Yesu. Kama walivyompokea jamani. Mbona hivyio ..
Kila mtumishi afanye utumishi wake kwa Mungu kwa uwaminifu muache chuki, wivu, na matusi.
Muda unaotumia kujadili matukio ya watumishi wenzio ungekuwa unahubiri na kuita watu waokoke Mungu angekufurahia sana
Unachokisema ndicho anachokifanya sasa
Kumbe wewe huelewi kuwa hicho anachokifanya ndicho injili yenyewe pole tulia umfatilie vizuri mbalikiwa hii ndo injili pure sasa
@@LadislausOdilo chawa kama chawa
Kwani uko kwa mwamposa mnaabudu Mungu au!!! Jichunguzeni Sana, kwenye wingi wa watu sio kuna Mungu, hapo mapepo ni mengi yanateka watu, hapo uganga wa kienyeni Tu.
@@bettykinyami5096 sawa roho mtakatifu
Mimi sikuwepo pale Packers ila nilikuwa kwangu mkoani nikikesha. Mungu anasema na roho za watu mmoja mmoja. Toba kila siku kwenye ibada anaongoza sara ya toba. Na roho wa Bwana akiingia kwako lazima atakuongoza tu kutubu. Amina
Mbarikiwa, kwa heshima kubwa Sana, umesema vyakutosha. Je wajihesabia haki!!! Siku ya hukumu, Mungu atahukumu. Acha Mungu was haki aje kuhukumu. Wewe mhubiri kristo na hukumu mwachie Mungu
Hajawahukumu!!! Soma biblia na uwe rohoni!!! Yuko sawa anataka watu wawe na ufahamu wa Mungu
Aghmity God make you powerful to preach the truly GOD , Ubarikiwe saana Mwakipesile
Hongera Sana Kwa Kukosoa Wanaopotea ila Kila Unapoongea Hakiki Unachoongea Mtumishi Wa MUNGU Maana Kila Neno Iitahesabiwa Siku Ya Hukumu
Kwa mwamposa pale inatuthibitishia kuwa watu wanataka miujuza had kuamin miujiza zaid ya Kumuamin Mungu wao, hapo ni uhuni tu.
Hata kwa Yesu miujiza ndio iliwavuta kuamini. Yesu hakutumia upanga kuwavuta alitumia miujiza. Musa pia
Umekosa wateja na wewe?pole yako
Yeye mbona hawasemi chochote?
Kwani mwamposa aliwatumia barua YA mwaliko? Waache wanajua wanachokipata
Roho mtakatifu ndiyo anayetoa vipawa; nyenyekea hata wewe upewe acha wivu
.... KRISTO ACHA AJITWALIE UTUKUFU .... ALITUMIA HATA TOPE/MATE KUPONYA... Amani ya KRISTO IKUBEBE MTU WA MUNGU.... TUNAMWONA MUNGU KUPITIA BONFACE... MWAMPOSA...
Ni vizuri huo mtiti uwe kwako .... hakuna sababu ya kumsema mtu onyesha Mungu wako
Sasa ungefanya kama elia kuondoa ubishi wewe ni maneno tuuu,fanyavitendo watu wajae kwako
Ahsante Mwenyezimungu mmoja kwa kuniongoza katika dini ya haki nayo ni dini ya Uislam.
Ukweli ni kwamba njia ya kweli Ni Kuamini ya kwamba Mungu yeye mwenyewe alikuja duniani akazaliwa akaamua kufa kwa ajili ya kulipa deni la wanadamu na kufufuka siku ya tatu na akapaa mbinguni. Kwa hiyo ukimwamini YESU KRISTO na kuziacha dhambi Roho mtakatifu ambae ndie Mungu yuleyule mmoja anakuja kukaa ndani yako.nawe unakuwa na uzima wa milele kwa maana Ufalme wa Mungu unakuwa ndani yako.
Ni dua yangu kwamba Yesu kristo akujalie neema ya wokovu usipotee katika udanganyifu wa Dunia hii
Amina.
Haki ipi 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣haki hipi tenà
Dini mnayo abudu na mashetani haifai
@@FridayMwassa usikute wewe ndo kashetani kenyewe
Kumbuka hata YESU watu walikusanyika wengi sana k
Lakini siku alipowaambia ukweli wa kula mwili wake na kuinywa damu yake walitawanyika wote.
Kwa kweli mtumishi wa Mungu Mwakipesile hadi umefungwa kwa kweli yako kuokoa waliopotea endelea kutenda kazi ya Bwana Yesu akulinde na familia yako🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🎉🎉🎉❤❤
@@hildandumbalo5827 huyo chizi nilijua milembe Iko Dodoma kumbe mbeya
This is very deep, "Mungu Yeyote unaye mtumikia". I love the openness of the mind.
Huyu jamaa mbarikiwa ni pepo au? Fanya kazi zako nawe tuzione, Acha taarabu nahis injiri sasa imevamiwa!!! I hate you mbarikiwa😩😩😩
Hubiri Neno mtu wa Mungu acha kusema ya Wngine....
soma 1 Corinthian 3;1..
Wivuu huoooo pambana na wewe ujaze. Na nyinyi mnavyorukaruka madhabahuni mnajiona mpo sawa
Watumishi wote hapa inchini Tz kama wangekua na hekima pamoja na wokovu kama Mtume Mwamposa inchi hii ingekuwa yenye Baraka saana kwahali yakumpendeza MUNGU BABA
We ni kiande kweli kweli, iko siku mtamumbuka mwakipesile
@@frankbutati8343 kwanini umemdhihaki ila hujamuelekeza….
Nini maana kiande.!? Sio sawa
@@frankbutati8343😂😂😂
Amen
Hawaagui Bali wanasali tuache wivu mwenzako akifsnikiwa mpongeze Kila mtu amepewa kipawa chale Mungu amempa onyesha kazi siyo maneno Mwamposa songs mbele.
Watu wengi kama mchanga wa pwani wanaoenda upotevuni
@@ayoubmtumishi50kuna wengi wataenda mbinguni hapo hapo.angalia wewe usije ukaachwa?
HUO NDIYO UJUMBE BWANA YESU AMEKUPA KUHUBIRI WATU.????? HUBIRI INJILI YA YESU ACHA KUTAZAMA MTUMISHI MWINGINE
Dah, Mungu wako ni dhahiri neno la injili unalolifundisha ni kama kwa mtumishi wa Mungu "pastor ezekiel" kutokea mavueni mombasa kenya. Ukweli ni kwamba watu hawatakuelewa na ndivyo ilivyo kwenye yohana 17:14. Hongera sana baba, Mungu atakulipa thawabu yako
Na wengi watawadanya, ni kweli wamefanikiwa pakubwa, sijui watu hawaelewi nini
Asante baba Mbarikiwa kwa uaminifu wako kwa Mungu wa kweli ..
Kila mmoja na UTUMISHI wake!! Acheni kuhukumu! Nawe onyesha UTUMISHI wako ili watu wa Mungu wakuelewe na wapone.Mwache mwenye enzi Yesu Kristo atakuja kutenganisha pumba na Mchele.
Naye huu nduyo Utumishi wake.
Ndio kila mtu na alivyo itwa lakini kumbumbuka sisi sote ni mwili wa Kristo. Sasa je kristo anatutaka tufanye hayo? Au Ana tutaka tuwafanye watu waache dhambi na kuufuata Yesu Kristo tu. Mtu Hana laana akimwamini Yesu na akiacha dhambi na kufanya kazi kwa bidii.
Wewe huna laana kwa maana Yesu Kristo amekuokoa. Hayo mengine ni udangqnyifu wa Dunia hii.
Mtakubali tu
Shetan wao kafirisika muda sasa wameanza kuchanganyikiwa
Ukweli ni kwamba kila nabii au mtume ameitwa na kupewa kitu tofauti na mwingine, lakini kila alichipewa yeyote kina lengo la kuujenga mwili wa Kristo. Injili kazi yake ni kuonesha hitaji la Mungu kwa wanadamu, lakini injili ya leo ni hitaji la wanadamu kwa Mungu, hii ni kinyume na kusudi la Kristo kuja duniani
Mi kama msomi wa bibilia ni naamini kila mtumishi kaitwa kwa namna yake tatizo la huyu pastor anataka kila mtu atumike kama yeye no! Paul anasema sikuja kwenu kwa maneno ya hekima tu bali kwa nguvu na uwezo wa Roho mtakatifu, bibilia sio siasa kama mnavozani bibilia imejaa demonstration of power tangu mwanzo hadi ufunuo huwezi kumkomboa mtu zambini kwa siasa ya bibilia bali ni kwa ushuhuda wa matendo makuu ya Mungu✍️
Njia iendayo uzimani ni nyembamba,lakini iendayo jehanamu kubwa mno😊
Chapa injili SANA mtumishi wa Mungu
Umekosa KAZI mnafiki mkubwa ww huo ndo wito wako pole na mungu wako Huyo mdogo mdogo ulie nae utakufa Kwa presha mwaki
Kafirisika muda huyo muache
Watu wanashida nyingi sana, ukiona watu wanakuwa hivi Kuna kitu wanafaidika, wao sio wajinga. Mungu aliumba Kila mtu na upako wake sio wote mfanane. Hiyo kazi muachie Mungu.
Sio kweli unachosema ni kuwapotosha watu imeandikwa zichunguzeni kila roho na tunazichunguza kwa kutumia maandiko maana imeandikwa wataukumiwa kwa sheria zao na sio wanaoijua sheria watakaookolewa bali watakaoishika na kuitenda ndio wataesabiwa haki. Katika Agano jipya maji, chunvi, mafuta etc vinawakilishwa na Roho Mtakatifu kwahiyo tunatamka wala sio kukanyaga au kuchukua Chupa ya maji huo ni uganga na uaguzi.
Wanachofanya akina mwamposa ni uganga na ushilikina na hao wote wanamaagano na kuzimu mkusanyiko wa watu unaletwa na nguvu ya kuzimu. Wakati watu wamekusanyika katika ulimwengu wa roho ya kuzimu wanachukua vipawa vya wote wanakuwa wamejiungamanisha na ibada. Yesu alisema kemeeni na kuonya.
Kinachomaliza shida ya Mtu ni kuijua kweli na kuitenda sheria si vinginevyo. There is no short kati laazkima tutimize sheria na Imani pasipo matendo imekufa.
@@deogratiasrutabana2387Biblia. Yakobo 5:14
[14]Mtu wa kwenu amekuwa hawezi? Na awaite wazee wa kanisa; nao wamwombee, na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana.
ANDIKO ILI NIAGANO JIPYA AU LAKALE?
Me nakukubali lkn kwa ushaur tumia zaid muda kuhubiri neno, achana na kukosoa muda mwingi umewekeza huko, lkn tunaokufatilia tunaomba ufundishe neno.
Kusema makosa ya watu ndio kuhubiri neno la Mungu Isaya 58:1
Mungu aturehenu Roo waMungu atufunulie tuijue kweli
Mbalikiwa mwasese h😊apa mm tume natkakuonana nawe mby hapa ,Mungu aklupe wepes tuonane mtumishi
Mubarikiwa nimecheka Sana mwenye akili ndio anaelewa pongezi zako
😂😂😂😂 Kweli kabisa
Huo ndo ukweli.Hapo wanaenda kuagua
Wataelewa wenye D mbili tu,
Pongezi za kinafiki
@@mosesjohnswilla9926hamna sio kinafki lakini anasema hao wanaotafuta miujiza
Mwamposa aifunika mecca Saudi arabia
Nyakat hiz ni ngumu mno, ndo maana nikiona sina aman na mtu au huduma. Najiweka mbali nae kimya😢. Tumtafute sana MUNGU NA MUNGU ATATUONYESHA MAHALI SAHIHI
Tatizo wachungaji wa kikrito wanafuatiliana hadi inakera. Mahakama za kikristo zimekuwa nyingi? Kila Mchungaji anamwandama Mchungaji mwenzake. Wakristo tuna shida sana. Kwani Mwamposa alienda kuwaita watu nyumbani waje kuabudu pale? Mnajihesabia sana haki, pengine hata Mungu hawajui
❤❤ waache maneno acha injili isonge mbele kwan mbn hata usipofika kwake roho bad atasem nawe kwahy kikubwa Imani acheni kufatiliana fateni I injili msonge mbele
Ndioujue njaa mbaya ndiomaana ariswekwa ndani kwaujinga wake ninawasiwasi amekatwa malinda
Omba mungu akupe mtiti..
Mwamposa amenyooka, Tumshukuru Mungu kwaajili yake, Mbarikiwa unapenda mashindano sn, Sasa unataka afanyeje?? Fundisha Wewe hayo unayoona ni sahihi.
We mnafiki,ulisema afungiwe leo unamsifia jitafakari,sali sanaa
sasa hv wachungaji mnaniuz sana eti mmesahau majukumu yenu kabisa mmeitwa kuwafundisha watu na kuwahubilia neno la mungu na kuwaponya..na co kila cku kumtolea macho mch..yule mara yule na kuanza kukosoana fundishen watu NENO la MUNGU bc hicho ndicho mulichoitiwa
Wewe naye umeanza kutupoteza kwanini sana unahubiri watumishi wengine kwani wewe Imani ya madhabahu yako wao wanajua lililopo
Mimi nakupenda sana acha mwanzako avune ni wakati wake mungu anampa mtu lidhiki omba ya kwako mungu atakupa
Utaua/uhubiri si njia ya kupata faida 1 Timotheo 6:5 na majadiliano ya watu walioharibika akili zao, walioikosa kweli, huku wakidhani ya kuwa UTAUWA NI NJIA YA KUPATA FAIDA.
Kama anahubiri ili apate faida ndio maana nimesema kuwa ni tapeli
hatumtumikii Mungu Bure Duniani mara mia Kisha uzima wa milele
Hujawahi kukosa neno,ulivyoona wewe moyoni mwako ndivyo ulivyo,na pale hatukuenda kuhukumiwa,kila mmoja alienda kwa kilichomsukuma kwenda moyoni mwake, sisi ndio waumin na tuna maamuzi yetu na hatufungiwi na dhehebu Wala kanisa lolote msituamini kivile.tunajua unaumia rohoni na unamfatilia Sana,kitendo Cha kumfatilia mtu ambae Hana habari na wewe kinaumiza, bado hujaaema utasema, na ninatarajia utawaalika wale watu wako wataongea na wao,Hilo nauhakika.mtu anaependa kuongelea watu mda wote kiukweli ni wivu, uchawi,ushirikina.huo mda unautoa wapi? Si ujifungie chumbani mtafute mtoto? chum
hayo yote tutajua uko mbingun kila mtu abebe msalaba wake acheni kurudisha Imani zawengine nyum kila mtu anaimani yake
Injili ya Yesu Kiristo lazima ina ambatana na miujiza na ishara.
Ni sawa injili ya kweri ina ambatana na ishara za miujiza na uponyaji ila ishala yeyote ya kuponya wagonjwa bila fundisho la kweri na sahihi ya kuwambia watu waache njia zao mbaya watubu zambi zao injili isio kuwa na ondoleo la dhambi hiyo ni feki na ni injili ya mauzauza nenda ukasome kitabu cha mthayo agizo kuu la mungu aliloliagiza kwa wanadam walio okoka bila kujali wewe ni nabii au mtume au mwalim au mshirika yoh 3.16 marko 16,1 hadi mwisho
Soma Biblia Ishara na miujiza siyo kweli inadhibitisha uwepo wa Mungu
Ishara na miujiza Kama hamna hivyo ni kelele2 bas
Pole ndugu yangu
Muoneshee mungu wako watu wamuone wajee wajae na wewe kwako
Onyesha nguvu ya Mungu sio maneno
Imetoka hiyo umeshindwa wivu huo daa ushindwe kwa jina la Yesu
Mathayo11:28Njooni kwangu nyini nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha sasa kama watu wameenda kuagua au kutatuliwa shida zao kwa mtumishi wa Mungu kuna shida gan ulitaka waende kwa mganga wa kienyeji au kalale wew
Yesu anawaita wenye mizigo ya dhambi ili watubu. Sio wenye kudanga ili wapate hirizi za kudanga zaidi.
@@Mbarikiwa_Mwakipesile alie kwambia kwa mwamposa wanaenda wadangaji ili wadange zaidi ni nani acha chuki zakitoto watu wanaenda kutua shida zao kwa mtumishi wa Mungu na miujiza hata Yesu alifanya leo mwamposa anafanya miujiza mnabaki kumsema vibaya mnashida gani nyie kama mnaamini anatoa miujiza feki kwanini nanyi msitoe Yenu watu wawafate nyie
Miujiza sio kipaumbele, lengo ni kuweka bidii yakuwafundisha watu wamwamini Yesu Kristo na kutubu dhambi basi. Ukiona ni masikini wafundishe kufanya kazi kwa bidii kwa kufuata kanuni za uchumi wa Mbinguni. Cha zaidi wafundishe wakue katika Imani ya kumwamini na kumpenda Kristo siku zote na kuwaambia kuwa hawana laana yoyote ili wasienende kwa hofu.
Kama una Roho w Mungu uwezi kujuwa kweli Kila ukiitwa unaitika uwezi kutofautisha sauti ya Mungu ktk Kristo Yesu na sauti ya Miungu
Mtumishi, Kuna wakati Elisha aliitwa na wazee wa Yeriko juu nchi ilikuwa ni nzuri lakini ilizaa mapoza. Elisha akaiponya nchi. Elisha hakuponya wale wazee Bali alisema, nimeiponya nchi hii........
Wivu mbarikiwa wivu,achana na mwamposa ni wakati wake!!na wewe sio Mungu acha Mungu amhukumu!
Mbarikiwa uko sahihi hapo hatusikii swala la Toba Toba ndiyo itatuingiza mbinguni siyo vinginevyo tunaweza kustawi hapa
Kama hayuko sawa hebu mshushie moto kwa haki yako Kama nabii Eliya. Tunahitaji kusikia kazi yako Sasa badala ya kutuambia habari za mapambano na watu walio"trend"
Tatizo lako,nashani ni wivu,,,kwanini unakazania mtiti je wanaorudisha mambo ya kichawi na kumrudia Mungu ni kweli huna ufahamu wa kuyaona,je waliokuwa tasa wakifunguliwa na kupata watoto,hayo huyaoni,,,je akina mama waliokuwa na viumbe zikapona ni kweli huyaoni?au unachoona ni kukagua msg za waumini wako na kuwatimua? Mungu atajitwalia utukufu tu,,,hatuwezi wate kuwa akina mwamposa,,Mungu akupe macho ya rohoni
Wivuuuu. mtateseka sanaaaaa Ariseeeee
elewa nini anamaanisha chawa awe nawivu upi
@@AtupakisyeMwakateba-kj8qg😅😅
And shine
And shine
Asante sana Mtumishi wa Mungu na Ubarikiwe kwa ufafanuzi sahihi wa KIMUNGU. Njia ni nyembamba iendayo Uzimani bali njia ni pana iendayo upotevuni. Hatungoji kufika mbele ya kiti cha Enzi cha Mungu cha Hukumu kuweza kuyaona hayo yaliyoandikwa bali yapo dhahiri hapa hapa duniani sote tunayaona. Mwenye macho ya kiroho haambiwi tazama. Ataona tu kama tunavyoona sasa. Siku ya mwisho ni kuthibitishiwa tu na kuelekezwa kwenda tunapostahili kulingana na Matendo yetu na imani yetu. Mungu atusaidie sana.
Bwana we usitudanganye kwa chochote tuonyeshe vya kwako au tuonyeshe mtiti wako kiufupi ukiona mchungaji yoyote anafuatilia mwenake kafanya nini ujue yeye huyo ni muumini wa huyo kwa hiyo wewe ni muumini wa mwamposa
Unamsema mtu asiye kujibu mtume unanisumbua bureeee kaa chini omb a Mungu akupe nguvu na maono
Amen 🙏
Hilisibure hayanimengine nandomana afrika ss tunakuwa maskini sana
Wanaokusapoti wote mpo kwenye chama kimoja cha wachawi tena ninyi ni watu hatari sana zaidi ya wachawi na waganga na watu wengi hawawajuhi lakini hiyo mda Yesu mwenyewe atawafichua
Hakuna mtu anaeweza, kumhukumu mtumishi mwenzake, mbarikiwa funga kibakuli cha mdomo wake, we mwenyewe utahukumiwa mbele ya kiti cha enzi
Niwivu tu huna lolote fanya Kaz ya mungu acha majungu
Ukute umejaza maji nawewe na gest hukosi.pole sana
Nayo haiwezi tena make kaidhs vurugwa tayari
Mtu unasema mambo ya kanisa la mwingine ? we fanya yako.mungu ndiye anajuwa wapi pakweli
Bibilia inasema usimnyoshee mtumishi wa MUNGU kidole mwamposa nimtumishi Mimi sioni kosa kwa mwamposa mana munae msema yeye aongei ogopa sana muogopeni MUNGU.
Be blessed the man of God
Wivu du unaroho mbaya
Mtumishi mbona wewe umekuwa mkosoaji tu Kwa kila Mtumishi....!??..si ufanye Kazi aliyokuitia MUNGU
@@FrancisMliga-pp7cp unasoma biblia kazi ya Neno ni kukemea maovu ndio maana kina stefano waliuawa, yakobo aliuawa,yesu aliuawa,yohana aliuawa,Paulo na sira walifungwa gerezani.uwe unasoma Neno la kweli halitakiwi na wanadamu
hiyo inayoifanya unajuaje kama si kazi aliyoitiwa? Au kazi aliyoitiwa mtu ni kazi gani?
@@mashibeelias5574 Neno la Mungu ni la ajabu Sana unaweza kua msomi Sana lakini Neno usilielewe yaani mwamposa sio wakujiuliza uliza ila huyo Yuko kibiashara tu
@@DavidMbilinyi-tn3jm Kwa mtu anayetafta ufalme wa Mungu, hawezi kumwita mwamposa mtumishi wa Mungu ispokuwa kwa mtu ambaye anatafta mambo yake.
@@mashibeelias5574 Amina
Kila mtu anasehem yake ktk utumishi wake.ndio maana Yesu alisema baba kazi ulio nipa nimeimaliza maana yake alitumwa kwa ich moja tu Israeli na kupitia Israeli mataifa yote tutamjua Mungu ko kila mtu na ufunuo wake .simamia kipande chako na tunako kwenda Mungu anasema utukufu wa mwisho wa nyumba yangu utakua ni mkuu kuliko wa kwanza
Mwamposa ni shujaa sana I appreciate him
Wingi wa watu ni roho. Sasa kusababisha roho za watu wakukubali huo ni upako. Yesu alimwambia petro acha kuvua samaki nikufundishe kuvua watu.
Watu walivyomfata yesu siyo kwamba watu wote walimjua mungu. Ila walipopata kusikia neno wakaamini.
Wewe fanya yakwako mungu aliyokwambia ufanye usianze kuangalia mwamposa.
Yeye anafanya Mungu wake alivyomweleza.
Mbarikiwa fanyakazi ya MUNGU Acha kuhukumu. onyesha kazi baba.
Mwamposa hamtumikii Yehova
Mbarikiwa kwahili nimekuunga mkono kwaaasilimia 100 wewe umeirwAwakweli hawapo wapi wasengenyaji kwa ukweli huiu barikiwakama jina lako
Njia ni nyembamba iendayo mbinguni, mbinguni siyo pamchezo, Mungu wangu!!! Kundi lote linaelekea motoni na mwamposa wao jamani!!!.
@@Magufuli. Toa kabisa na picha ya magufuli unaidhalilisha wew huelewi Kila kitu
Usihukumu, wewe nani, mbinguni tutaenda kwa neema, siyo matendo
Wewe ni mpinga Kristo waziwazi tunakujua hila hatuna mda wa kusema wewe na kasiani ni wapinga Kristo tunawajua sana
Ni wivu tu...
Mwamposa anamhubiri YESU MPONYAJI NA MTENDA MIUJIZA, na watu wengi wanaponywa sio rahisi watu wajae vile bila majibu, na wewe endelea kutukana na kujiona mtakatifu ACHANA na mtumishi mwamposa...
Unaongea vizur sana pastor sema mim piaa nikushauri kama ingewezekana ni heri kupambana pia kwa Mungu wako ili upate watu wa kuwafundsha kweli halisi ya Mungu ikiwa unaona huyo anaagua bas jitahidi ili na wew upate wa kuja kuabduu na sio kuwa mkosoajii kwa watu
Haujawaona?
@@Mbarikiwa_Mwakipesile Nimewaona baba na ninakufatlia sana ila ninacho maanisha kuwa wapo waliochaguliwa tayari hebu tupambane kuwahubiria watu ile tunayoona ni kweli kulko kuwajbu hawa jamaa maana kila siku watatokea kama hao wengii zaidi tutengeneze kizazi cha kusaidia wengne katika kwel ya kristo
Ukitaka kuwa hivyo kama,uwe na hekima ndicho ambacho Mungu anakutaka kwa mtumishi wake siyo kuokoa hadi simu za waumini wako,,,Mwache Mungu ajitwalie utukufu
Ujumbe mkali
Bado hujasema kwa mwamposa mpk useme tu utajua hujuwi 😂😂😂
😂😂😂😂😂
Mkpokee huko mbeya anakuja😂😂😂
@@imanmwashitete5243 anayofanya mwamposa hata mm shetani alinijia nifanye kama mwamposa nilikataa mwamposa kakubari
Hadi wamesema
@@amanelias4672 mnatushangaza kumuamini mwamposa anayeuza huruma anayoiita eti yaMungu
Kweli njia iendaye upotevuni ni Pana na waingiao ni wengi!
YESU tusaidie,nyakati za hatari hizi!
Mwakipesile hayo mambo ya kuwasema watumishu wenzako wa mungu sio jambo jema wewe jikite na kuendeleza kanisa lako Ili like sio kumsema mtumishi wa mungu ajaanza Leo mpaka huduma unakuwa hivyo
Wewe kumsema Mwakipesile ndio jambo jema? Wewe kwa nini haujajikita...
@@Mbarikiwa_Mwakipesileni kweli ni sehem ya kukumbushana nae amesema si Jambo la kushupaza tunakumbushana sbb YESU alisema hakuna aliye mtimilif chini ya jua
Chalamila time 😂😂😂
Yaani uñgekuwa utukani watu ulikuwa mbonge la mtumishi napenda nyimbo mnyakyusa mwenzangu
Karama zinatofautiana achen ubish ,,,wakina petro kwa sku moja walikua wanaokoa watu elfu 3000
Mmm we unamwonea wivu mwache Mungu amtumie tupone kaa kimya na donhe lako pole
Njia iendayo upotevuni nipana nawaingiao niwengi naiendayo uzimani ninyembamba nawaingiao niwahache majibu tunayo
Watu wa Dar es salaam bwana mhh bora hata wa huku kwetu maana ni kweli alipokuja watu walijaa lakini alivyorudi mara ya pili alipata nusu ya hao
Acha hizo uwezi kufanikiwa kama umeshikiliwa na uchawi.
Acha kabisa. Acha ardhi zikombolewe . Wachawi wamefanya yao kwenye ardhi. Watu ni wanamatatizo wanahitaji suluhu.
Na wewe jitahidi tutajaa kwako.
Ukisema ufuate maneno ya watu hapa tz huwezi kufika popote wanakutungua tu uwafuate wao chini,, kikubwa unakausha halafu chapa kazi ili mradi Mungu yuko nawe
Tz ukianza hata kazi tu lazima maneno ndio yatakuua na kupoteza kazi, tuwe makini tusituhumu tu kila kitu
Magumu mnayoyapitia uponyajiweno upokawe
Nadhani hapo KINACHOENDELEA ni uaguzi.
Ukitaka uamini bas mtafute mmoja wao wa waliokaa hapo wakitoka huku Nje wanaishi MAISHA gani. Unakuta Wazinzi kupindukia, wadangaji, wafiraji, walarushwa, n.k
Yote kwasababu kafika kwamwamposa?
Hatakidogo utuambie hata wale walomkata alibino viungo na kuvinunua ni wakwamwamposa
😂😂😂😂@@MfiriFulgensi