Uamsho wa TAG hauleti mabadiriko kiroho, wana TAG ni mashahidi kwakweli baada ya uamsho tunabaki kama tulivyo, uamsho halisi tunatakiwa tulirudie neno na tuyaache yale yasiyo adili. Tumeongeza tu masherehe na maadhimisho mengi ya vikundi vya kanisani kwa lengo la kuwanufaisha wachungaji tu. Pastor Magembe Mungu akuweke mpaka uuone wakovu ktk TAG Amen🙏
unafanya jambo zuri sana kuhubiri Mtumishi wa Mungu na tunafurahishwa na mahubiri yako kama roho za watu zinaponywa ila unapomtaja kiongozi yeyote wa taasisi yeyote ile hakikisha una fact za kusema maana bila kua na fact uta haribu moja picha za nyimbo ulizotumia kuunganisha kwenye video siyo za siku ya maadhimisho yaliyofanyika uwanja wa uhuru ni sherehe za vijana zilifanyika iringa nakuwekea link hizi ili upate cha kuongeza kwenye mahubiri yako ili ubalance mahubiri yako usitafute tu kukemea bila kua na uhakika na unachokisema kwa maana mbiu ya uamsho inapigiwa parapanda na bishop mtoka mbali na anafanya ivyo kwa makanisa yote ya CPCT sio TAG pekee naomba kwa unyenyekevu usimtamke Askofu kama unaongea na mtoto mdogo wakati uhakika wa unachokisema hauna sio kwa ubaya ila kujenga ufalme kama una hubiri kweli ya kristo Mungu akupe neema ya kujua hili fanya tafiti. 1. ua-cam.com/video/fJawvWhwJf4/v-deo.htmlsi=eQUmOkg4jQnj0zCy 2. ua-cam.com/video/xDXPSDIu948/v-deo.htmlsi=wvjId9xByV4TyDuS 3. ua-cam.com/video/rEoUMUaYmMs/v-deo.htmlsi=zPNS49oPFVaH7wwV Haya ni mahubiri ya askofu Mtokambali na ni jinsi gani anapambana na dhambi ni jinsi gani anaugua kwa dhambi tafadhari sana usitumie mahubri vibaya kusimanga watu mualike roho mtakatifu akupe ujumbe wa kusema sio kupotosha na kutafuta views ili upate pesa brother tubu ukaione mbingu maana shetani ni baba wa uongo.
Nakushukuru Mungu kwa kuwa umeamua kusema Tena na mtumishi huyu, maana Baba yetu mpendwa Zakary Kakobe alipafundisha SoMo la Mavazi ya kikahaba hata wapentekosye walimpinga, Asante Roho mtakatifu kwa kuwa unazidi kuwatumia hata hawa waliokaa kimssasya kulirekebisha kanisa ktk nyakati hizo za kumaliza. , Watumishi wa Mungu sikieni
Uweza wa Yesu kristo ukifunike sana mtumishi wa Bwana. Maana injili yako ni kama ya mitume walivyochukiwa kwa sababu ya ukweli. ENDELEA KUONYA NA KUKEMEA NA KUELEKEZA KWA JINA LA YESU KRISTO.
unafanya jambo zuri sana kuhubiri Mtumishi wa Mungu na tunafurahishwa na mahubiri yako kama roho za watu zinaponywa ila unapomtaja kiongozi yeyote wa taasisi yeyote ile hakikisha una fact za kusema maana bila kua na fact uta haribu moja picha za nyimbo ulizotumia kuunganisha kwenye video siyo za siku ya maadhimisho yaliyofanyika uwanja wa uhuru ni sherehe za vijana zilifanyika iringa nakuwekea link hizi ili upate cha kuongeza kwenye mahubiri yako ili ubalance mahubiri yako usitafute tu kukemea bila kua na uhakika na unachokisema kwa maana mbiu ya uamsho inapigiwa parapanda na bishop mtoka mbali na anafanya ivyo kwa makanisa yote ya CPCT sio TAG pekee naomba kwa unyenyekevu usimtamke Askofu kama unaongea na mtoto mdogo wakati uhakika wa unachokisema hauna sio kwa ubaya ila kujenga ufalme kama una hubiri kweli ya kristo Mungu akupe neema ya kujua hili fanya tafiti. 1. ua-cam.com/video/fJawvWhwJf4/v-deo.htmlsi=eQUmOkg4jQnj0zCy 2. ua-cam.com/video/xDXPSDIu948/v-deo.htmlsi=wvjId9xByV4TyDuS 3. ua-cam.com/video/rEoUMUaYmMs/v-deo.htmlsi=zPNS49oPFVaH7wwV Haya ni mahubiri ya askofu Mtokambali na ni jinsi gani anapambana na dhambi ni jinsi gani anaugua kwa dhambi tafadhari sana usitumie mahubri vibaya kusimanga watu mualike roho mtakatifu akupe ujumbe wa kusema sio kupotosha na kutafuta views ili upate pesa brother tubu ukaione mbingu maana shetani ni baba wa uongo.
unafanya jambo zuri sana kuhubiri Mtumishi wa Mungu na tunafurahishwa na mahubiri yako kama roho za watu zinaponywa ila unapomtaja kiongozi yeyote wa taasisi yeyote ile hakikisha una fact za kusema maana bila kua na fact uta haribu moja picha za nyimbo ulizotumia kuunganisha kwenye video siyo za siku ya maadhimisho yaliyofanyika uwanja wa uhuru ni sherehe za vijana zilifanyika iringa nakuwekea link hizi ili upate cha kuongeza kwenye mahubiri yako ili ubalance mahubiri yako usitafute tu kukemea bila kua na uhakika na unachokisema kwa maana mbiu ya uamsho inapigiwa parapanda na bishop mtoka mbali na anafanya ivyo kwa makanisa yote ya CPCT sio TAG pekee naomba kwa unyenyekevu usimtamke Askofu kama unaongea na mtoto mdogo wakati uhakika wa unachokisema hauna sio kwa ubaya ila kujenga ufalme kama una hubiri kweli ya kristo Mungu akupe neema ya kujua hili fanya tafiti. 1. ua-cam.com/video/fJawvWhwJf4/v-deo.htmlsi=eQUmOkg4jQnj0zCy 2. ua-cam.com/video/xDXPSDIu948/v-deo.htmlsi=wvjId9xByV4TyDuS 3. ua-cam.com/video/rEoUMUaYmMs/v-deo.htmlsi=zPNS49oPFVaH7wwV Haya ni mahubiri ya askofu Mtokambali na ni jinsi gani anapambana na dhambi ni jinsi gani anaugua kwa dhambi tafadhari sana usitumie mahubri vibaya kusimanga watu mualike roho mtakatifu akupe ujumbe wa kusema sio kupotosha na kutafuta views ili upate pesa brother tubu ukaione mbingu maana shetani ni baba wa uongo.
Mtumishi wa Mungu hongera kwa kazi njema, BWANA azidi kukujaza mafuta na wingu lake likufunike daima mpaka ukamilishe kazi aliyokuitia. Atakae sikia na kutii na atii maana kuna ambao Mungu amewakusudia kupitia ujumbe wako wamgeukie Mungu, ila asiyetaka kutii huyo ni wa shetani. Maana imeandikwa "wanamasikio lakini hawasikii, wana macho lakini hawaoni" watakao sikia na kutii hao ndio waliokusudiwa na Mungu
unafanya jambo zuri sana kuhubiri Mtumishi wa Mungu na tunafurahishwa na mahubiri yako kama roho za watu zinaponywa ila unapomtaja kiongozi yeyote wa taasisi yeyote ile hakikisha una fact za kusema maana bila kua na fact uta haribu moja picha za nyimbo ulizotumia kuunganisha kwenye video siyo za siku ya maadhimisho yaliyofanyika uwanja wa uhuru ni sherehe za vijana zilifanyika iringa nakuwekea link hizi ili upate cha kuongeza kwenye mahubiri yako ili ubalance mahubiri yako usitafute tu kukemea bila kua na uhakika na unachokisema kwa maana mbiu ya uamsho inapigiwa parapanda na bishop mtoka mbali na anafanya ivyo kwa makanisa yote ya CPCT sio TAG pekee naomba kwa unyenyekevu usimtamke Askofu kama unaongea na mtoto mdogo wakati uhakika wa unachokisema hauna sio kwa ubaya ila kujenga ufalme kama una hubiri kweli ya kristo Mungu akupe neema ya kujua hili fanya tafiti. 1. ua-cam.com/video/fJawvWhwJf4/v-deo.htmlsi=eQUmOkg4jQnj0zCy 2. ua-cam.com/video/xDXPSDIu948/v-deo.htmlsi=wvjId9xByV4TyDuS 3. ua-cam.com/video/rEoUMUaYmMs/v-deo.htmlsi=zPNS49oPFVaH7wwV Haya ni mahubiri ya askofu Mtokambali na ni jinsi gani anapambana na dhambi ni jinsi gani anaugua kwa dhambi tafadhari sana usitumie mahubri vibaya kusimanga watu mualike roho mtakatifu akupe ujumbe wa kusema sio kupotosha na kutafuta views ili upate pesa brother tubu ukaione mbingu maana shetani ni baba wa uongo.
Mimi nahitaji kuokoka kwa kweli, sihitaji kujitetea kwa lolote, Mungu nirehemu mimi, nisamehe mimi, nifungue mimi, nahitaji uniokoe kwa damu ya Yesu Kristo, Amina.
Nashukuru Mungu Kwa ajili ya hili ....Kuna watu wako straight sana...Mzee maghembe na baadhi ya wachungaji vinana kama katekela...Mungu amewaleta kurudisha kanisa katika mstari...pascal ...sema kweli maana msema kweli ni mpenzi wa Mungu...njoo na huku eagt mtumishi wa Mungu ufichue yasiyo ya Mungu
Hakika mpendwa Amieli katekela.ameletwa na Bwana yesu.alikuja kufanya mkutano kanisan kwetu aise tulimuona Mungu na nguvu zake.sema Kuna wengne hushupaza shingo zao hawakosi.anaokoa yule mtumishi sana🙏🙏🙏
Mungu atusaidie sana maana viongozi wengi hasa maaskofu wamekosa unyenyekevu ndio maana hawasikii maonyo wamesahau kwamba sisi sote ni makuhani kwamba mungu anamtumia kila mtu ili kulionya kanisa sasa ni kwamba simama tu kusema kweli mwinjilisti mungu anapendweza na kweli
Uongozi ni jalala, Baba Askofu Mtokambali Mungu na akutie nguvu sisi tunakuombea uwe na moyo wa ushujaa.. Kanisa lazima lipigie hiyo hatua ya kusemwa sana maana lina taswira ya YESU KRISTO aliye hai, Hata Yesu wetu alisemwa mno na mpaka leo bado anasemwa sana..
Ndugu yako ni kweli kuwaombea viongozi lakini kukemewa ni muhimu sana kwani wanaweza kusikia ukweli na kubadilika wakiwa hai kwani kwa mungu rehema ipo duniani na sio ukifa sasa unaona kanisa limelala sio swala la ushabiki ni muda kanisa la bwana liamke naongea hio kama mtoto nikiokuwa na kuwekwa wakfu ndugu zetu wengi wanaelekea upotevuni kwa wachungaji kutokemea dhambi
Mungu atusaidie sana..... maana angetupa nafasi ya kuhukumu ingekuwa taabu sana....... mm haya nayaita majungu kwa sababu unadeal na mtu mmoja amba yupo ndani ya uwezo wako kumwambia et
Mtumishi Mungu akubariki lakni sidhani kama ulichofanya ni jambo la busara, wewe kama mtumishi ambaye uko concerned with how things are going uko TAG, kitu cha busara ambacho ungeweza fanya ni kwenda kwa uongozi wa TAG especially huo wa juu wa Mtokambali ulioutarget, ukamuelezea unavyoona ni sawa lakn sio kuja kuchafua kanisa huku mana sidhan kama umezunguka makanisa yote ya TAG ya nchi nzima. Yan you’re talking as if someone sent you to dirtify the church, na upo kisiasa zaidi🙌 If you are looking for followers, find another way to do so na sio kuharibu ushuhuda wa makanisa mengine. Hubiri injili, Leta watu kwa Yesu, acha siasa.
Point umesema kweli kama kwel nia ni kuliponya kanisa angeweza kuongea na uongoz wa juu ila ukiaangalia ni kama ka mtarget mtu kwa mtu mwenye ufahamu unaona kabxa ni kama katumwa hivi anyway Mungu atusaidie sana Uamusho sio kwa TAG Tu makanisa yote ya kipentekoste tunaitaji uamsho wa kweli ule wa kina mzee kulola ambao wengi skuiz wamebaki kusimuliwa habari zile
@@perezrnb7822Ni kweli, sasa huku watu wanachoangalia wao ni idadi kubwa ya watu ipo upande gan, hawaoni kama hiki sio sawa alichokifanya huyu mtumishi
Na wew pasko tumechoka na maneno yako ebu vaa viatu vyake uone kama ungeweza Acha kelele omba kwaajir ya askofu ndo ningekuona umeongea point unafikir kuongoza watu wazima ni kazi ndogo ?
Makanisa yote ya Kipentekoste wajitafakari sana tena sana,mkakati wa shetani watu wa freemason walishatoa kafara zao kuimarisha agano lao la dunia kuingia kanisani na kanisa kuingia duniani.Muulizeni Pastor Amieli Katekela.
unafanya jambo zuri sana kuhubiri Mtumishi wa Mungu na tunafurahishwa na mahubiri yako kama roho za watu zinaponywa ila unapomtaja kiongozi yeyote wa taasisi yeyote ile hakikisha una fact za kusema maana bila kua na fact uta haribu moja picha za nyimbo ulizotumia kuunganisha kwenye video siyo za siku ya maadhimisho yaliyofanyika uwanja wa uhuru ni sherehe za vijana zilifanyika iringa nakuwekea link hizi ili upate cha kuongeza kwenye mahubiri yako ili ubalance mahubiri yako usitafute tu kukemea bila kua na uhakika na unachokisema kwa maana mbiu ya uamsho inapigiwa parapanda na bishop mtoka mbali na anafanya ivyo kwa makanisa yote ya CPCT sio TAG pekee naomba kwa unyenyekevu usimtamke Askofu kama unaongea na mtoto mdogo wakati uhakika wa unachokisema hauna sio kwa ubaya ila kujenga ufalme kama una hubiri kweli ya kristo Mungu akupe neema ya kujua hili fanya tafiti. 1. ua-cam.com/video/fJawvWhwJf4/v-deo.htmlsi=eQUmOkg4jQnj0zCy 2. ua-cam.com/video/xDXPSDIu948/v-deo.htmlsi=wvjId9xByV4TyDuS 3. ua-cam.com/video/rEoUMUaYmMs/v-deo.htmlsi=zPNS49oPFVaH7wwV Haya ni mahubiri ya askofu Mtokambali na ni jinsi gani anapambana na dhambi ni jinsi gani anaugua kwa dhambi tafadhari sana usitumie mahubri vibaya kusimanga watu mualike roho mtakatifu akupe ujumbe wa kusema sio kupotosha na kutafuta views ili upate pesa brother tubu ukaione mbingu maana shetani ni baba wa uongo.
Ev Pasco,Casian,Mungu akuzidishie kila baraka,Mtoka Mbali pamoja na badhi ya wachungaji wanalipeleka kanisa moyoni bila kujua,,Umefika wakati wa matengenezo mapya
Mungu wa mbingu na nchi uturehemu Ee BABA YETU. Unatuonya YESU KRISTO mwokozi wetu, tusaidie kuelewa BABA, tusishupaze shingo zetu zikavunjika Ee BWANA.
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu,siku hizi hakuna nyimbo zinazoshusha utukufu wa Mungu,utakuta wimbo mwanzo mwisho hauna hata neno moja la Mungu kutoka kwenye Biblia
Barikiwa mtumishi wa Mungu songea mbele katika kunena kweli ya Kristo tupo katika nyakati za mwisho na za hatari Mungu akubark maana ukisasa na udunia umlivamia kanisa la leo
Injili yakweli huanziq nyumbani mke wako mbona alikuw anayavaa hayo huku unahubili hvy hvy watu wanakupongeza lakin ww pia tukuambie ukweli hunahekimq ktk hayo kama unaujumbe unamhusu mtu siumwambie yeye maana unampomtaja mtu niujunbe unaonhusu yeye iweje kumsema kwenye mtandao hunahekimq kabisa wala busara casianno yaan ww Kila mtu akiinuka kufanya jambo jema bas uko kinyume naye aisee nikweli unahubili lakin hekima kwako hakuna kabisa
Askofu Mtokambali yuko vizuri sana, na ndiyo maana tuna miaka 13 ya moto wa uamsho ili Roho mtakatifu atutengeneze. Naipenda sana TAG. Imenilea vyema kiimani na sasa naendelea vizuri. Utukifu ni kwa Bwana.
Sisi wenyewe tunatakiwa kuwaombea Viongozi wetu ili mambo yaende sawa , ukiona mambo hayaendi sawa kabla ya kumwangalia Mchungaji wako, wetu,watoto wa Mchungaji je Umejitoa kwa kiasi gani kuwaombea hao watumishi wa Mungu ,maana niwanadamu tu kama sisi wanahitaji KUINULIWA KWENYE MAOMBI apo tumekumbushwa kama watu tuliookoka kuwainua watumishi wa Mungu ili Waendelee kukazia palipolegea . Tunashukuru tumepokea yunahitaji neema ya Mungu ili tuzidikukaza palipolegea ,MUNGU AZIDI KUWATIA NGUVU WATUMISHI WA MUNGU .
Swala la TAG kwa dini lilianza ilipotungwa sheria ya ikiwa Mch atajitenga na Hiyo dini atakabidhi mali zote na washirika aondoke kama alivyo. Kwamba mchungaji anaanza huduma akiomba mwavuli TAG amekubali kuja mateka pamoja na mali na Washirika wake. Hivi ni katiba ya kifisadi kamili usiofaa popote duniani. Tangu wakati huo likaanza kupita fundisho kuwa TAG ndio mahali sahihi. Upotoshaji huu unaenda mbali zaidi hata kuaminisha kuwa mtu asiye M-TAG hajaokoka. Leo TAG ni dini ya 3 Tanzania, kati ya UKristo, na ni dini ya 4 kati ya Dini zote Tanzania. Wakati taarifa hiyo iliposomwa waumini wa tawi moja dogo kijijini liliokuwa likiongozwa na Askofu fulani walishangilia sana. Niliporudi kumuuliza Mungu nini hiki, akanionyesha niko Katholiki. Na akaniamuru kuondoka Niliomba rehema na kuondoka. Ikiwa viongozi wamekengeuka halafu tukasema tuwaombee tu, tutajibiwa na mashetani siku zote na ndio maana leo walokole wengi tumedharaulika kwa kujifanya unyenyekevu. Tatizo likionekana mwambie Mungu kisha simama katika zamu yako. Onya karibia kemea bila kujali watasema eti umewagusa masihi wa Bw. Maana Watumishi wengi hujificha kwa hilo andiko. Washughulikie utajiokoa nafsi yako kama Mlinzi. Barikiwa na Bwana
......inatia huruma sana badala ya Magembe kupumzika sasa vijana wafanye kazi, ndo kwanza akiangalia anaona moto wa kigeni unapamba moto madhabahuni. Atafika kwa Yesu amechoka sana huyu mzee!
Enyi watu wa Mungu acheni kutetea uovu. Mueleweni Mch Magembe na mbadilike ili kanisa lipone maana mtadaiwa Roho za watu hao. Msijali kujaza maje!!ngo maana ktk kuendelea kufundisha mafundisho manyonge. Mtadaiwa ogopeni
Acha ngano na magugu yakue pamoja Yesu atakapokuja atapepeta mwenyewe. Ngano Ni wake waliomchagua Yesu kama MWOKOZI wao. Na magugu waliochagua njia za shetani hivyo tujiandae.
Mpaka Yesu anarudi ndani ya tasisi yoyote ya kidini,dhehebu,hakutakosa wenye dhambi.hata hao wasiyovaa mawigi wapo wadhambi wakubwa,hata wale wanaovaa dela wapo wadhambi na wanafiki wakubwa.
anafikiri kwa kufanya hivyo atapata attention. Kama yeye sio mTAG ameyaona wapi hayo mavazi? Wameingia kwenye huduma kupiga hela na hawana kitu kichwani
Kwa anayeonywa hana haja ya kujitetea kwani wewe huoni maajabu yanayoendelea kwenye kqnisa cha msingi ni kila mmjo kuangalia alicho nacho maana hali ya kanisa ni mbaya mnoo@@Emmadav1
@@Emmadav1Wewe ni M TAG bali wengine hatutaki hata kidogo kuwa WA TAG. Ni bahati mbaya sana kuwa M TAG. Bali yafuta kuwa mwanafunzi (MATHAYO 28: 18-20)
Amina mtumishi wa MUNGU aliye hai, akubariki, Akutunze, na kukulinda. Zaidi MUNGU Aliye hai azidi kukupatia maonyo, kukemea, na kukaripia maovu kwa wana wa Mungu. Ni kweli kanisa linapoteza mwelekeo.
Mungu akutie nguvu akuongezee ujasiri, hakika yanayoonekana hasa mavazi yanatisha. Shetani amepofusha fikra zao wasiifikilie kweli Kwa kufuata Namna ya Dunia hii.
Hakunaga kitu kiitwacho Baba wa pentekoste, maana siku ya pentekoste ilikuwepo kabla ya TAG na ndiposa tumeona kuwa mitume walijazwa siku hiyo ya Pentekoste, hata TAG hakuwepo
Amina pia kumbuka yesu alisisitiza unyenyekevu na hakuna aliye mkubwa au mdogo wote ni sawa je unafikili kwa phd ya baba askofu angeweza kumsikiliza ndugu pasko ambaye huenda bachelor ya theolojia huenda hana ni ngumu muhimu ujumbe umefika kila mtu BWANA MUNGU kamleta kama mkemeaji na wala tusimchukie ila ni ukweli mimi nimezaliwa na kukulia TAG Lakini na shangaa kwanini mambo yakidunia yameangamiza kanisa la bwana wa mama wanajipamba na kusuka tofauti na neno la Bwana umbea na masengenyo yamejaa na pia mziki wa kidunia kama ma sebene na nyinginezo style za kucheza ambazo Biblia imekataza kumwabudu MUNGU kama wengine wanavyomwambuni yaani wapagani sasa unashindwa kutofautisha kati ya watu wa Mungu kuanzia mavazi , namna ya kuongea mtazamo , mziki wa kidunia , na watu wa Mungu tunapotea Wa mama wengi hawaendi mbinguni MUNGU ANAANGALIA MOYO , MWILI, NAFSI NA ROHO KIMOJA kikinajisika hatuwezi kumwona mungu , mambo kama, chrismass na mwaka mpya sherehe za kidunia, kuvaa pete za nduo , eleni na mapambo , pete , wanawake kusuka nywele, jamani acheni ubishi eti paulo au Peter alikuwa analiambia kanisa la zamani kikubwa ni maonyo ya sisi wote kuliko wachungaji msiongee ukweli kisa mapokeo alafu watu wakifa waende motoni itakuwa mmezulumu na kuwakosea sana NDUGU ZANGU TAG kanisa langu tubadilike mbinguni hakiingii kilichokinyonge
huyu sijui ametumwa na hao mtume amechanganyikiwa kuona watu wengi asikofu huwa mda mwingi yupo dodoma na moro na dar na namba simu zipo anatafuta kitu gan na kama ana maoni angemtafuta kwa njia yoyote hapo
@@josephsimbeye5305 1TIMOTHEO 5:20 20 Wale wadumuo kutenda dhambi uwakemee mbele ya wote, ili na wengine waogope. UOVU HAUKEMEWI KWA SIRI BALI HADHARANI ILI NA WENGINE WAOGOPE. MAANA MADHARA YALETWAYO NA WACHUNGAJI VIPOFU WA TAG NI MAKUBWA SANA YA KUWATUPA KONDOO KUZIMU KULIKO HESHIMA YA MTU BINAFSI. ACHA UNAFIKI WA TUMBONJ HUO.
Acha upastor mfate uyo n kanisan kwako atujiten😂😂😂 be careful waheshimu mamlka so be care full akuna mtu alikuja uchi kule eti upo pamoja nae😂😂😂 je TAG ya marekani simsingesema awajaokoka siku nilitakan uje uone
Hatujifunzi kutokana na mazuri, tunajifunza kutokana na makosa. Ukiambiwa mazuri huwezi kujifunza, ukiambiwa makosa yako utajirekebisha. Ndicho anachokifanya huyu mtu. N:B USIAMINI KILA ROHO, ZIJARIBUNI KWANZA MUONE KAMA ZINATOKANA NA MUNGU
@@geraldmakalala6091Unauwakika katumwa Na Mungu? Kwa nn hakusema kabra ya maadhmisho kufanyika? Alisubir akusanye kasoro ndo aseme? Kama angetumwa basi asingetumia hivyo vikasoro vyenye amesema? Maana najua Mungu ni mnyenyekevu Sio wa kumuagza mtu na afanye vituko zenye ANAFANYA! Kama izi
Uamsho wa TAG hauleti mabadiriko kiroho, wana TAG ni mashahidi kwakweli baada ya uamsho tunabaki kama tulivyo, uamsho halisi tunatakiwa tulirudie neno na tuyaache yale yasiyo adili. Tumeongeza tu masherehe na maadhimisho mengi ya vikundi vya kanisani kwa lengo la kuwanufaisha wachungaji tu. Pastor Magembe Mungu akuweke mpaka uuone wakovu ktk TAG Amen🙏
unafanya jambo zuri sana kuhubiri Mtumishi wa Mungu na tunafurahishwa na mahubiri yako kama roho za watu zinaponywa ila unapomtaja kiongozi yeyote wa taasisi yeyote ile hakikisha una fact za kusema maana bila kua na fact uta haribu moja picha za nyimbo ulizotumia kuunganisha kwenye video siyo za siku ya maadhimisho yaliyofanyika uwanja wa uhuru ni sherehe za vijana zilifanyika iringa nakuwekea link hizi ili upate cha kuongeza kwenye mahubiri yako ili ubalance mahubiri yako usitafute tu kukemea bila kua na uhakika na unachokisema kwa maana mbiu ya uamsho inapigiwa parapanda na bishop mtoka mbali na anafanya ivyo kwa makanisa yote ya CPCT sio TAG pekee naomba kwa unyenyekevu usimtamke Askofu kama unaongea na mtoto mdogo wakati uhakika wa unachokisema hauna sio kwa ubaya ila kujenga ufalme kama una hubiri kweli ya kristo Mungu akupe neema ya kujua hili fanya tafiti.
1. ua-cam.com/video/fJawvWhwJf4/v-deo.htmlsi=eQUmOkg4jQnj0zCy
2. ua-cam.com/video/xDXPSDIu948/v-deo.htmlsi=wvjId9xByV4TyDuS
3. ua-cam.com/video/rEoUMUaYmMs/v-deo.htmlsi=zPNS49oPFVaH7wwV
Haya ni mahubiri ya askofu Mtokambali na ni jinsi gani anapambana na dhambi ni jinsi gani anaugua kwa dhambi tafadhari sana usitumie mahubri vibaya kusimanga watu mualike roho mtakatifu akupe ujumbe wa kusema sio kupotosha na kutafuta views ili upate pesa brother tubu ukaione mbingu maana shetani ni baba wa uongo.
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu 🎉kwakuendelea kuitetea injili ya kweli ktk kristo Yesu
Amen 🙏 ubarikiwe Sana Ndugu yangu katika KRISTO YESU.Sema kweli YESU yupo pamoja nawe🙏🙏🙏🥺🥺
Yaani mchungaji Moses Magembe Mungu ampe maisha marefu na azidi kumtia nguvu
AMINA KUBWA!
Amen, Ni mchungaji wangu mimi hapa majumba sita … Tunamtukuza MUNGU kwa ajili yake
Yaani kwa kweli Mungu amuweke Moses Magembe@@user-sh8xp5dn3w
Yes mzee magembe ana hubiri injiri ya kweri
Kabisa
Toka hapooo
Nakushukuru Mungu kwa kuwa umeamua kusema Tena na mtumishi huyu, maana Baba yetu mpendwa Zakary Kakobe alipafundisha SoMo la Mavazi ya kikahaba hata wapentekosye walimpinga, Asante Roho mtakatifu kwa kuwa unazidi kuwatumia hata hawa waliokaa kimssasya kulirekebisha kanisa ktk nyakati hizo za kumaliza. , Watumishi wa Mungu sikieni
Mungu akubariki Paschal ni kweli TAG ipo pabaya sana sema kiburi cha uzima kinalidanganya kanisa,😢😢😢
Hivi nini kigezo cha kwako mtumishi mzur kabisaa kuanza kuhukumu etie wana kiburi ??
Jiangalie na weeeee kwanza
Amina utukufu kwa Bwana Yesu Kristo
Yesu Kristo mwenyewe alisema kwamba yeye aniaminiye na kufanya mapenzi ya Mungu hawezi kupotea milele
Amina mkuu,Mungu azidi kukusaidia na kukutia nguvu kwa ajili ya kazi hii ya utumishi
Uweza wa Yesu kristo ukifunike sana mtumishi wa Bwana.
Maana injili yako ni kama ya mitume walivyochukiwa kwa sababu ya ukweli.
ENDELEA KUONYA NA KUKEMEA NA KUELEKEZA KWA JINA LA YESU KRISTO.
MUNGU akubaliki nikweli TAG nichangamoto wakezao. Niviongozi nivio lakini 😢😢😢
😂😂😂😂😂, ......!!!!!!
Mungu atusaidie sana shetani anazidi kuyateka makanisa
unafanya jambo zuri sana kuhubiri Mtumishi wa Mungu na tunafurahishwa na mahubiri yako kama roho za watu zinaponywa ila unapomtaja kiongozi yeyote wa taasisi yeyote ile hakikisha una fact za kusema maana bila kua na fact uta haribu moja picha za nyimbo ulizotumia kuunganisha kwenye video siyo za siku ya maadhimisho yaliyofanyika uwanja wa uhuru ni sherehe za vijana zilifanyika iringa nakuwekea link hizi ili upate cha kuongeza kwenye mahubiri yako ili ubalance mahubiri yako usitafute tu kukemea bila kua na uhakika na unachokisema kwa maana mbiu ya uamsho inapigiwa parapanda na bishop mtoka mbali na anafanya ivyo kwa makanisa yote ya CPCT sio TAG pekee naomba kwa unyenyekevu usimtamke Askofu kama unaongea na mtoto mdogo wakati uhakika wa unachokisema hauna sio kwa ubaya ila kujenga ufalme kama una hubiri kweli ya kristo Mungu akupe neema ya kujua hili fanya tafiti.
1. ua-cam.com/video/fJawvWhwJf4/v-deo.htmlsi=eQUmOkg4jQnj0zCy
2. ua-cam.com/video/xDXPSDIu948/v-deo.htmlsi=wvjId9xByV4TyDuS
3. ua-cam.com/video/rEoUMUaYmMs/v-deo.htmlsi=zPNS49oPFVaH7wwV
Haya ni mahubiri ya askofu Mtokambali na ni jinsi gani anapambana na dhambi ni jinsi gani anaugua kwa dhambi tafadhari sana usitumie mahubri vibaya kusimanga watu mualike roho mtakatifu akupe ujumbe wa kusema sio kupotosha na kutafuta views ili upate pesa brother tubu ukaione mbingu maana shetani ni baba wa uongo.
Asante mtumishi kwa kutukumbusha kweli ya mungu kuwa mungu anataka nini kweli watumishi wa sikuhizi tunafanya injili kimzaa sana
Chapa injili kamanda huo ndio wito ulioitiwa barikiwa sana
Nakubaliana na wewe Cassian, mwenyezi Mungu azidi kukutumia.
unafanya jambo zuri sana kuhubiri Mtumishi wa Mungu na tunafurahishwa na mahubiri yako kama roho za watu zinaponywa ila unapomtaja kiongozi yeyote wa taasisi yeyote ile hakikisha una fact za kusema maana bila kua na fact uta haribu moja picha za nyimbo ulizotumia kuunganisha kwenye video siyo za siku ya maadhimisho yaliyofanyika uwanja wa uhuru ni sherehe za vijana zilifanyika iringa nakuwekea link hizi ili upate cha kuongeza kwenye mahubiri yako ili ubalance mahubiri yako usitafute tu kukemea bila kua na uhakika na unachokisema kwa maana mbiu ya uamsho inapigiwa parapanda na bishop mtoka mbali na anafanya ivyo kwa makanisa yote ya CPCT sio TAG pekee naomba kwa unyenyekevu usimtamke Askofu kama unaongea na mtoto mdogo wakati uhakika wa unachokisema hauna sio kwa ubaya ila kujenga ufalme kama una hubiri kweli ya kristo Mungu akupe neema ya kujua hili fanya tafiti.
1. ua-cam.com/video/fJawvWhwJf4/v-deo.htmlsi=eQUmOkg4jQnj0zCy
2. ua-cam.com/video/xDXPSDIu948/v-deo.htmlsi=wvjId9xByV4TyDuS
3. ua-cam.com/video/rEoUMUaYmMs/v-deo.htmlsi=zPNS49oPFVaH7wwV
Haya ni mahubiri ya askofu Mtokambali na ni jinsi gani anapambana na dhambi ni jinsi gani anaugua kwa dhambi tafadhari sana usitumie mahubri vibaya kusimanga watu mualike roho mtakatifu akupe ujumbe wa kusema sio kupotosha na kutafuta views ili upate pesa brother tubu ukaione mbingu maana shetani ni baba wa uongo.
Mtumishi wa Mungu hongera kwa kazi njema, BWANA azidi kukujaza mafuta na wingu lake likufunike daima mpaka ukamilishe kazi aliyokuitia. Atakae sikia na kutii na atii maana kuna ambao Mungu amewakusudia kupitia ujumbe wako wamgeukie Mungu, ila asiyetaka kutii huyo ni wa shetani. Maana imeandikwa "wanamasikio lakini hawasikii, wana macho lakini hawaoni" watakao sikia na kutii hao ndio waliokusudiwa na Mungu
unafanya jambo zuri sana kuhubiri Mtumishi wa Mungu na tunafurahishwa na mahubiri yako kama roho za watu zinaponywa ila unapomtaja kiongozi yeyote wa taasisi yeyote ile hakikisha una fact za kusema maana bila kua na fact uta haribu moja picha za nyimbo ulizotumia kuunganisha kwenye video siyo za siku ya maadhimisho yaliyofanyika uwanja wa uhuru ni sherehe za vijana zilifanyika iringa nakuwekea link hizi ili upate cha kuongeza kwenye mahubiri yako ili ubalance mahubiri yako usitafute tu kukemea bila kua na uhakika na unachokisema kwa maana mbiu ya uamsho inapigiwa parapanda na bishop mtoka mbali na anafanya ivyo kwa makanisa yote ya CPCT sio TAG pekee naomba kwa unyenyekevu usimtamke Askofu kama unaongea na mtoto mdogo wakati uhakika wa unachokisema hauna sio kwa ubaya ila kujenga ufalme kama una hubiri kweli ya kristo Mungu akupe neema ya kujua hili fanya tafiti.
1. ua-cam.com/video/fJawvWhwJf4/v-deo.htmlsi=eQUmOkg4jQnj0zCy
2. ua-cam.com/video/xDXPSDIu948/v-deo.htmlsi=wvjId9xByV4TyDuS
3. ua-cam.com/video/rEoUMUaYmMs/v-deo.htmlsi=zPNS49oPFVaH7wwV
Haya ni mahubiri ya askofu Mtokambali na ni jinsi gani anapambana na dhambi ni jinsi gani anaugua kwa dhambi tafadhari sana usitumie mahubri vibaya kusimanga watu mualike roho mtakatifu akupe ujumbe wa kusema sio kupotosha na kutafuta views ili upate pesa brother tubu ukaione mbingu maana shetani ni baba wa uongo.
Mimi nahitaji kuokoka kwa kweli, sihitaji kujitetea kwa lolote, Mungu nirehemu mimi, nisamehe mimi, nifungue mimi, nahitaji uniokoe kwa damu ya Yesu Kristo, Amina.
Mungu azidi kukupa maneno yakusema kama alivyo mwambia Yeremia umenibariki sana
Nashukuru Mungu Kwa ajili ya hili ....Kuna watu wako straight sana...Mzee maghembe na baadhi ya wachungaji vinana kama katekela...Mungu amewaleta kurudisha kanisa katika mstari...pascal ...sema kweli maana msema kweli ni mpenzi wa Mungu...njoo na huku eagt mtumishi wa Mungu ufichue yasiyo ya Mungu
Hakika mpendwa Amieli katekela.ameletwa na Bwana yesu.alikuja kufanya mkutano kanisan kwetu aise tulimuona Mungu na nguvu zake.sema Kuna wengne hushupaza shingo zao hawakosi.anaokoa yule mtumishi sana🙏🙏🙏
Sema ukweli mtumishi wa Mungu tuko pamoja ❤❤
Kweli kbs usemayo , umemsahahu mchungaji katekela geita moja hiyo ni 🔥
Mungu akubariki sana pastor na ukaendelee kuhubir injili ya kweli
Asante mtumishi kwa ujumbe wa mzuri. Haya ni madhai go u.
Very well spoken,stay blessed!
Ubarikiwa sana Mtumishi wa Bwana. Na Mungu zaidi kukutumia 🎉
Mungu atusaidie sana maana viongozi wengi hasa maaskofu wamekosa unyenyekevu ndio maana hawasikii maonyo wamesahau kwamba sisi sote ni makuhani kwamba mungu anamtumia kila mtu ili kulionya kanisa sasa ni kwamba simama tu kusema kweli mwinjilisti mungu anapendweza na kweli
God bless you man of God by speaking True Evangelistic
Nakufuatialia sana mtumshi wa mungu nikiwa arusha natamani nikuone siku Moja mtumshi
Keep it up!! Real message.
Mungu atusaidie.
Sem tu maana hali ni mbaya MUNGU akubariki sana BABA
Mtumish mungu akubrk saana nyimbo zako zime nijenga saana
Asante mtumishi ,,kabisaaa kabisa , TAG tag tag tusipo ludi tunakufa. Asante mtumishi
Sema ninakufa
Mungu akubariki
Uongozi ni jalala, Baba Askofu Mtokambali Mungu na akutie nguvu sisi tunakuombea uwe na moyo wa ushujaa..
Kanisa lazima lipigie hiyo hatua ya kusemwa sana maana lina taswira ya YESU KRISTO aliye hai, Hata Yesu wetu alisemwa mno na mpaka leo bado anasemwa sana..
hasemwi huu ni ukweli mtupu.
Ndugu yako ni kweli kuwaombea viongozi lakini kukemewa ni muhimu sana kwani wanaweza kusikia ukweli na kubadilika wakiwa hai kwani kwa mungu rehema ipo duniani na sio ukifa sasa unaona kanisa limelala sio swala la ushabiki ni muda kanisa la bwana liamke naongea hio kama mtoto nikiokuwa na kuwekwa wakfu ndugu zetu wengi wanaelekea upotevuni kwa wachungaji kutokemea dhambi
Amen!
@@dicksondkaganga1290kipimo gani umetumia kupima kuwa TAG ina taswira ya Yesu Kristo? Endelea kujidanganya.
Kama ulikuepo uwanjani hakika utajua huyu mtumishi anaongelea nini
Amina ubalikiwe sana mimekuelewa Sana Mungu akutunze Sana uzidi kutwambis ukweli na ukweli utabakia kua ukweli 🙏🙏🙏🏽🙏🏽
Casian Mungu akubariki sana, i wish to meet you one day.
Na mimi nakuelewa Rev Magembe
Mungu akubariki mtumishi kwa kuwa na macho ya Rohoni
Mungu atusaidie sana..... maana angetupa nafasi ya kuhukumu ingekuwa taabu sana....... mm haya nayaita majungu kwa sababu unadeal na mtu mmoja amba yupo ndani ya uwezo wako kumwambia et
Ubarikiwe sana mungu kukupa macho ya rohoni kuyaona haya walio wa rohoni watajua na kujifunza
Tatizo Letu Ni kumfumgia Mungu ndani sehemu mdogo kama Kiota cha njiwa.
Asante mtumishi
Mtumishi Mungu akubariki lakni sidhani kama ulichofanya ni jambo la busara, wewe kama mtumishi ambaye uko concerned with how things are going uko TAG, kitu cha busara ambacho ungeweza fanya ni kwenda kwa uongozi wa TAG especially huo wa juu wa Mtokambali ulioutarget, ukamuelezea unavyoona ni sawa lakn sio kuja kuchafua kanisa huku mana sidhan kama umezunguka makanisa yote ya TAG ya nchi nzima. Yan you’re talking as if someone sent you to dirtify the church, na upo kisiasa zaidi🙌 If you are looking for followers, find another way to do so na sio kuharibu ushuhuda wa makanisa mengine. Hubiri injili, Leta watu kwa Yesu, acha siasa.
Point umesema kweli kama kwel nia ni kuliponya kanisa angeweza kuongea na uongoz wa juu ila ukiaangalia ni kama ka mtarget mtu kwa mtu mwenye ufahamu unaona kabxa ni kama katumwa hivi anyway Mungu atusaidie sana Uamusho sio kwa TAG Tu makanisa yote ya kipentekoste tunaitaji uamsho wa kweli ule wa kina mzee kulola ambao wengi skuiz wamebaki kusimuliwa habari zile
@@perezrnb7822Ni kweli, sasa huku watu wanachoangalia wao ni idadi kubwa ya watu ipo upande gan, hawaoni kama hiki sio sawa alichokifanya huyu mtumishi
Huyu pascal anatafuta hela kwa watazamaji ndo maana ameweka M pesa Tigo pesa nk
Na wew pasko tumechoka na maneno yako ebu vaa viatu vyake uone kama ungeweza Acha kelele omba kwaajir ya askofu ndo ningekuona umeongea point unafikir kuongoza watu wazima ni kazi ndogo ?
😢😢😢😢
Ni kweli mzee magembe anaongea ukweli san na hasapotiwi
Makanisa yote ya Kipentekoste wajitafakari sana tena sana,mkakati wa shetani watu wa freemason walishatoa kafara zao kuimarisha agano lao la dunia kuingia kanisani na kanisa kuingia duniani.Muulizeni Pastor Amieli Katekela.
unafanya jambo zuri sana kuhubiri Mtumishi wa Mungu na tunafurahishwa na mahubiri yako kama roho za watu zinaponywa ila unapomtaja kiongozi yeyote wa taasisi yeyote ile hakikisha una fact za kusema maana bila kua na fact uta haribu moja picha za nyimbo ulizotumia kuunganisha kwenye video siyo za siku ya maadhimisho yaliyofanyika uwanja wa uhuru ni sherehe za vijana zilifanyika iringa nakuwekea link hizi ili upate cha kuongeza kwenye mahubiri yako ili ubalance mahubiri yako usitafute tu kukemea bila kua na uhakika na unachokisema kwa maana mbiu ya uamsho inapigiwa parapanda na bishop mtoka mbali na anafanya ivyo kwa makanisa yote ya CPCT sio TAG pekee naomba kwa unyenyekevu usimtamke Askofu kama unaongea na mtoto mdogo wakati uhakika wa unachokisema hauna sio kwa ubaya ila kujenga ufalme kama una hubiri kweli ya kristo Mungu akupe neema ya kujua hili fanya tafiti.
1. ua-cam.com/video/fJawvWhwJf4/v-deo.htmlsi=eQUmOkg4jQnj0zCy
2. ua-cam.com/video/xDXPSDIu948/v-deo.htmlsi=wvjId9xByV4TyDuS
3. ua-cam.com/video/rEoUMUaYmMs/v-deo.htmlsi=zPNS49oPFVaH7wwV
Haya ni mahubiri ya askofu Mtokambali na ni jinsi gani anapambana na dhambi ni jinsi gani anaugua kwa dhambi tafadhari sana usitumie mahubri vibaya kusimanga watu mualike roho mtakatifu akupe ujumbe wa kusema sio kupotosha na kutafuta views ili upate pesa brother tubu ukaione mbingu maana shetani ni baba wa uongo.
Wewe ndo umezungumza point katika comments zote nilizopitia.kumbe unamfatilia yule mtumishi.
Asante saana
kweli kabisa Amieli aliongea sana kwa undani, shetani halali
Huyu mtokambali ni anjent
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu, kabisa
Ev Pasco,Casian,Mungu akuzidishie kila baraka,Mtoka Mbali pamoja na badhi ya wachungaji wanalipeleka kanisa moyoni bila kujua,,Umefika wakati wa matengenezo mapya
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu unanena yaliyokweli
Sio Magembe tu, wapo wengi sema tu hawajapata nafasi ya kuwa kwenye media kulingana na hali za ki uchumi.
Amen Mtumishi kweli injiri Bila kupepesa mcho
Mungu wa mbingu na nchi uturehemu Ee BABA YETU. Unatuonya YESU KRISTO mwokozi wetu, tusaidie kuelewa BABA, tusishupaze shingo zetu zikavunjika Ee BWANA.
Amesema Kweli tupu,😢 kanisa la TAG liko hatarini kuelekea kwenye udinu
Ni kweli wametoka ktk misingi ya Neno la kweli ya Mungu.
Mungu akubariki Sana,Shida watasikia lkn hawataelewa
O
Amen Mungu akubariki sana soma luka 21-15-18
mwenyezi mungu atusaidie ktk hili.
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu,siku hizi hakuna nyimbo zinazoshusha utukufu wa Mungu,utakuta wimbo mwanzo mwisho hauna hata neno moja la Mungu kutoka kwenye Biblia
MUNGU ANATUPENDA TAG NDOMANA AMETUMA MJUMBE WAKE❤❤❤❤
Haswaàa mie nimemwelewa ni ukweli mtupu
Wakati umetimia TAG tubadilike maana hali ni mbaya sana tumefika mahali pabaya Wachungaji wanalogana na kuwekeana sumu ajabu!
Barikiwa mtumishi wa Mungu songea mbele katika kunena kweli ya Kristo tupo katika nyakati za mwisho na za hatari Mungu akubark maana ukisasa na udunia umlivamia kanisa la leo
Injili yakweli huanziq nyumbani mke wako mbona alikuw anayavaa hayo huku unahubili hvy hvy watu wanakupongeza lakin ww pia tukuambie ukweli hunahekimq ktk hayo kama unaujumbe unamhusu mtu siumwambie yeye maana unampomtaja mtu niujunbe unaonhusu yeye iweje kumsema kwenye mtandao hunahekimq kabisa wala busara casianno yaan ww Kila mtu akiinuka kufanya jambo jema bas uko kinyume naye aisee nikweli unahubili lakin hekima kwako hakuna kabisa
Sio mzee Maghembe tu tupo wengi tuliobaki salaam usiseme amebaki Maghembe sisi tupowengi
Taa ikiwaka itaonekana tu. Barikiwa
Usikike kama magembe
Ameen bila kumsahau baba yangu THOBIASI THAMBIKENI forest yakwanza mbeya❤
WEW ANAKUJUA NAN? MAGEMBE HAPO ANATUMIKA KMA MFANO MAANA ANAJULIKANA
@@BeatriceMlowe-iz5ujeeeh tambikeni yuko vizuri
Askofu Mtokambali yuko vizuri sana, na ndiyo maana tuna miaka 13 ya moto wa uamsho ili Roho mtakatifu atutengeneze. Naipenda sana TAG. Imenilea vyema kiimani na sasa naendelea vizuri. Utukifu ni kwa Bwana.
Sisi wenyewe tunatakiwa kuwaombea Viongozi wetu ili mambo yaende sawa , ukiona mambo hayaendi sawa kabla ya kumwangalia Mchungaji wako, wetu,watoto wa Mchungaji je Umejitoa kwa kiasi gani kuwaombea hao watumishi wa Mungu ,maana niwanadamu tu kama sisi wanahitaji KUINULIWA KWENYE MAOMBI apo tumekumbushwa kama watu tuliookoka kuwainua watumishi wa Mungu ili Waendelee kukazia palipolegea . Tunashukuru tumepokea yunahitaji neema ya Mungu ili tuzidikukaza palipolegea ,MUNGU AZIDI KUWATIA NGUVU WATUMISHI WA MUNGU .
Tukumbushane waenda mbinguni
Swala la TAG kwa dini lilianza ilipotungwa sheria ya ikiwa Mch atajitenga na Hiyo dini atakabidhi mali zote na washirika aondoke kama alivyo. Kwamba mchungaji anaanza huduma akiomba mwavuli TAG amekubali kuja mateka pamoja na mali na Washirika wake. Hivi ni katiba ya kifisadi kamili usiofaa popote duniani. Tangu wakati huo likaanza kupita fundisho kuwa TAG ndio mahali sahihi. Upotoshaji huu unaenda mbali zaidi hata kuaminisha kuwa mtu asiye M-TAG hajaokoka. Leo TAG ni dini ya 3 Tanzania, kati ya UKristo, na ni dini ya 4 kati ya Dini zote Tanzania. Wakati taarifa hiyo iliposomwa waumini wa tawi moja dogo kijijini liliokuwa likiongozwa na Askofu fulani walishangilia sana. Niliporudi kumuuliza Mungu nini hiki, akanionyesha niko Katholiki. Na akaniamuru kuondoka Niliomba rehema na kuondoka. Ikiwa viongozi wamekengeuka halafu tukasema tuwaombee tu, tutajibiwa na mashetani siku zote na ndio maana leo walokole wengi tumedharaulika kwa kujifanya unyenyekevu. Tatizo likionekana mwambie Mungu kisha simama katika zamu yako. Onya karibia kemea bila kujali watasema eti umewagusa masihi wa Bw. Maana Watumishi wengi hujificha kwa hilo andiko. Washughulikie utajiokoa nafsi yako kama Mlinzi. Barikiwa na Bwana
Uko sawa kabsa,Mungu atusaidie
Mchungaji Katekela anaeleza namna walipokua kuzim kazi walichokua wanafanya kwa ajili ya kupotosha makanisa ya kipendekoste tunaona yanayotendeka sasa
Wachungaji wengi wa TAG wako kawaida sana wameuacha witu wao, wameigeukia Dunia
......inatia huruma sana badala ya Magembe kupumzika sasa vijana wafanye kazi, ndo kwanza akiangalia anaona moto wa kigeni unapamba moto madhabahuni. Atafika kwa Yesu amechoka sana huyu mzee!
Atvikwa mwili mpya
Waambie baba, Matayo 23 : 15
Good
Sema Hekima ya Mtoka Mbali ni kubwa Sana Kuliko Ninyi Siumeona Hajibu kitu Mzee Wa Watu..
Hekima ipi? Afanyie kazi ushauri huu kwa kuondoa miungu ya kigeni ndani ya kanisa kama alivyofanya mfalme Hezekia. Hii ndiyo itakuwa hekima.
Kukaa kimya huku kanisa linaharibika ndio hekima?mimi ni Wa TAG naona kabisa ujumbe unatuhusu
Atajibu nini dawa imemuingia
Anajua mikataba ya kimapepo aliyo isainii kuiuza TAG kwa mashetani bora EAGT
@@erickmahay3411hapo sasa 😂
Kuabudu kunamleta Mungu karibu na nyimbo za kuabudu na tenzi za rohoni .But siyo hayo mapigo ya kidunia
Paschal ubalikiwe nikweli Dunia Iko makanisa mungu atuhulumie
Amen sema ukweli tupone wanafanya mambo ya ajabu sana makanisani wakisema daudi alicheza hawajui alicheza vipi
Sauti ya MTU aliaye nyikan, wakusikia asikie hakuna hila ndan yake
💪💪💪💪💪💪💪🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏. MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISHI WA MUNGU
Leo umepiga kombora kubwa sana ,safi sana
Enyi watu wa Mungu acheni kutetea uovu. Mueleweni Mch Magembe na mbadilike ili kanisa lipone maana mtadaiwa Roho za watu hao. Msijali kujaza maje!!ngo maana ktk kuendelea kufundisha mafundisho manyonge. Mtadaiwa ogopeni
Hata Mimi ni m TAG nimeona unayo sema ni kweli natamani Mungu angenipa kibali na Mimi niseme na Dunia na kanisa pia😭😭😭🙌
Unaroho wa Mungu bado nenda kanisa la casian ,vp we umeacha kujipamba
Acha ngano na magugu yakue pamoja Yesu atakapokuja atapepeta mwenyewe. Ngano Ni wake waliomchagua Yesu kama MWOKOZI wao. Na magugu waliochagua njia za shetani hivyo tujiandae.
@@Shirimaneema na wewe uliyesema magugu na ngano yakuwe pamoja nawe wawaza kishetani ???ngano ijulikana
kibari.unacho tayali dada sema tu na wewe
Mpaka Yesu anarudi ndani ya tasisi yoyote ya kidini,dhehebu,hakutakosa wenye dhambi.hata hao wasiyovaa mawigi wapo wadhambi wakubwa,hata wale wanaovaa dela wapo wadhambi na wanafiki wakubwa.
Asante mtumishi Mungu akubariki
huu ni ukweli tu .. kunamahali nimewahi kuhubiri mavazi nilikemewa sana........na ni ujumbe wa MUNGU kabisa na umekuja kwa mda sahihi
nyakati za mwisho jamani!🙏
❤❤❤
❤❤amina
😂😂😂pole Sana sijacheka kwa fulaha
Mungu akulinde Sana nami ninazidi kukuombea kwa kuwa unanifundisha vitu vingi ubalikiwe San mtumishi
Anaekuonya anakupenda. Mungu atusamehe.
Asante sana pastor, nataman mtokambali aupate huu ujumbe, sasa sijajua ataupataje
Ukusaidie wewe uliyesikia,hachana na Mtokambali
Rushwa za zawadi zimewapofusha macho ya kiroho hivyo wengi hawaoni!!!!!!
Wewe umewapa ngapi zilizowapofusha?
Amesema kweli
anafikiri kwa kufanya hivyo atapata attention. Kama yeye sio mTAG ameyaona wapi hayo mavazi? Wameingia kwenye huduma kupiga hela na hawana kitu kichwani
Kwa anayeonywa hana haja ya kujitetea kwani wewe huoni maajabu yanayoendelea kwenye kqnisa cha msingi ni kila mmjo kuangalia alicho nacho maana hali ya kanisa ni mbaya mnoo@@Emmadav1
@@Emmadav1Wewe ni M TAG bali wengine hatutaki hata kidogo kuwa WA TAG.
Ni bahati mbaya sana kuwa M TAG.
Bali yafuta kuwa mwanafunzi (MATHAYO 28: 18-20)
Bwana Yesu Kristo akutie nguvuu daima Mtumishi wa Mungu, Hakika hatakuacha Simama kwa zamu yako na Mungu atakutetea🎉
Amina mtumishi wa MUNGU aliye hai, akubariki, Akutunze, na kukulinda. Zaidi MUNGU Aliye hai azidi kukupatia maonyo, kukemea, na kukaripia maovu kwa wana wa Mungu. Ni kweli kanisa linapoteza mwelekeo.
😮
Mungu akutie nguvu akuongezee ujasiri, hakika yanayoonekana hasa mavazi yanatisha. Shetani amepofusha fikra zao wasiifikilie kweli Kwa kufuata Namna ya Dunia hii.
Mimi ni mch. TAG. nimipokea hili. Japo naamini Ask Mtokmbali ni mnyenyekevu ungemfata ofisini. Kumbuka tag ni baba wa wa Pentecost
Akuna hicho kitu yanaharibika hadharani yasemwe hadharani
Hakunaga kitu kiitwacho Baba wa pentekoste, maana siku ya pentekoste ilikuwepo kabla ya TAG na ndiposa tumeona kuwa mitume walijazwa siku hiyo ya Pentekoste, hata TAG hakuwepo
Amina pia kumbuka yesu alisisitiza unyenyekevu na hakuna aliye mkubwa au mdogo wote ni sawa je unafikili kwa phd ya baba askofu angeweza kumsikiliza ndugu pasko ambaye huenda bachelor ya theolojia huenda hana ni ngumu muhimu ujumbe umefika kila mtu BWANA MUNGU kamleta kama mkemeaji na wala tusimchukie ila ni ukweli mimi nimezaliwa na kukulia TAG Lakini na shangaa kwanini mambo yakidunia yameangamiza kanisa la bwana wa mama wanajipamba na kusuka tofauti na neno la Bwana umbea na masengenyo yamejaa na pia mziki wa kidunia kama ma sebene na nyinginezo style za kucheza ambazo Biblia imekataza kumwabudu MUNGU kama wengine wanavyomwambuni yaani wapagani sasa unashindwa kutofautisha kati ya watu wa Mungu kuanzia mavazi , namna ya kuongea mtazamo , mziki wa kidunia , na watu wa Mungu tunapotea Wa mama wengi hawaendi mbinguni MUNGU ANAANGALIA MOYO , MWILI, NAFSI NA ROHO KIMOJA kikinajisika hatuwezi kumwona mungu , mambo kama, chrismass na mwaka mpya sherehe za kidunia, kuvaa pete za nduo , eleni na mapambo , pete , wanawake kusuka nywele, jamani acheni ubishi eti paulo au Peter alikuwa analiambia kanisa la zamani kikubwa ni maonyo ya sisi wote kuliko wachungaji msiongee ukweli kisa mapokeo alafu watu wakifa waende motoni itakuwa mmezulumu na kuwakosea sana NDUGU ZANGU TAG kanisa langu tubadilike mbinguni hakiingii kilichokinyonge
huyu sijui ametumwa na hao mtume amechanganyikiwa kuona watu wengi asikofu huwa mda mwingi yupo dodoma na moro na dar na namba simu zipo anatafuta kitu gan na kama ana maoni angemtafuta kwa njia yoyote hapo
@@josephsimbeye5305
1TIMOTHEO 5:20 20 Wale wadumuo kutenda dhambi uwakemee mbele ya wote, ili na wengine waogope.
UOVU HAUKEMEWI KWA SIRI BALI HADHARANI ILI NA WENGINE WAOGOPE.
MAANA MADHARA YALETWAYO NA WACHUNGAJI VIPOFU WA TAG NI MAKUBWA SANA YA KUWATUPA KONDOO KUZIMU KULIKO HESHIMA YA MTU BINAFSI.
ACHA UNAFIKI WA TUMBONJ HUO.
Ebrania 5:13 - 14 Chakula kigumu ni kwa ajili ya watu waliokomaa ....... Mungu tutie nguvu .
Mungu akubariki wewe ni kama Mikaya. Unawaonya wakubwa sijui kama watakubali
Mungu awasaidie.
MUNGU Akubark sana kwa kunena bila kuogopa
Mimi ni Mchungaji wa TAG Kwa hapa nakupa ongera Sana uwo ndo ukweli
TAG ya wapi?
@@bahatimshali2731Tanzania Kuna TAG ngapi?
Acha upastor mfate uyo n kanisan kwako atujiten😂😂😂 be careful waheshimu mamlka so be care full akuna mtu alikuja uchi kule eti upo pamoja nae😂😂😂 je TAG ya marekani simsingesema awajaokoka siku nilitakan uje uone
Upo sahihi
Uko saw mtumishi.mungu atusaidie tu wanawake mitindo ya kuzimu imezidi kanisan kwa wamama.
Nikweri yaani hawaeleweki ushuhuda sijawahi ona storituuu yaani hakun kitu
Ubarikiwe mtumishi
PASTOR VIPI SIKU UKIONGELEA MAZURI YAO PEKEE,
NAONA HUWA UNAFOCUS TU NA MABAYA YA MTU
Hatujifunzi kutokana na mazuri, tunajifunza kutokana na makosa. Ukiambiwa mazuri huwezi kujifunza, ukiambiwa makosa yako utajirekebisha. Ndicho anachokifanya huyu mtu. N:B USIAMINI KILA ROHO, ZIJARIBUNI KWANZA MUONE KAMA ZINATOKANA NA MUNGU
@@Vido_Media_Swahili 🤣🤣🤣
Kwahiyo yeye kazi yake ni kutafuta makosa ya watu tu ndo aongee
Injili ni kuwaambia watu uovu wao ili wauache
Huyu hana habari njema ametumwa habari mbaya tu cjui ni Mtumishi wa nani
@@kibona_graphixstudionabii gani anatabiri baada ya kuona hayo ni mjungu tu
Kwa Sasa hayo yakiguswa tu inaonekana ni kupitwa na wakati na ushamba, Ee Mungu tusaidie!
Jamani kwa unyenyekevu wa baba yetu mtokambali mi namkubali tu
Unamkubali vipi?
Wakati Mungu amemtuma mtumishi wake kuwa wanahubiri injili nusu?
Tunamuelewa saaaaana Mzee Mtokambali
@@geraldmakalala6091Unauwakika katumwa Na Mungu? Kwa nn hakusema kabra ya maadhmisho kufanyika? Alisubir akusanye kasoro ndo aseme? Kama angetumwa basi asingetumia hivyo vikasoro vyenye amesema? Maana najua Mungu ni mnyenyekevu Sio wa kumuagza mtu na afanye vituko zenye ANAFANYA! Kama izi
Amen. Ubarikiwe
Magembe anauchugu ametoka mbare jamani mungu atuhurumie
Amen pasta ubarikiwe
Huyo mtoka mbali ,mungu amponye ,,tg ,mbeya niatali
We na yeye nani mgonjwa?
Hatari kweli
We kamanda wa Yesu.
Mungu akutunze sana
Mimi nimTAG nitajitahidi. Kwanafasiyangu. Watu niwagumu mungu. Wabwanayesu anisaidi .weweunasema kweli mtumishi
Ameen