JINSI YA KUPIKA KEKI, KILO 2 TUUU/ BIASHARA YA KEKI : Mziwanda Bakers
Вставка
- Опубліковано 10 жов 2024
- Katika Video hii... nimejaribu kuwaelekeza jinsi yakupika keki kilo 2 kwa biashara na kwa upambaji
Social media
-Instagram @mziwanda_bakers
Asanteni
Ingredients
Unga /Flour 2kg
Mayai/Eggs 20
Maziwa/Milk 1ltr
Sukari/Sugar 1200g
Margarine 1000g
Ladha/Flavour 10mls
Baking powder 60g
Dada mziwanda ninerudi tena,nimejaribu recepe leo wallahi nataman nkutumie picha,cake zimetoka vizuuti sana na kaini..
Nakuombea kwa Allah subhaana huu wataala azidi kukufungulia rizki na kukuzidishia ujuzi na barka zaidi..aamin na shukran sana sana dadaangu.😍
Mashaa a Allah kheri ndugu yangu nami nafurahi ukifanikisha.
MashaAllah inavutia kweli mm naomba kama waweza kunipa vipimo ya kutoa keki kilo moja tu nimpikie mwanangu ya birthday. Asante
kazi nzuri dear, nimeipenda, nauliza ni aina gani nzuri ya baking powrder kwa ajili ya keki na maandazi pai
Judith Frank zesta baking powder utatumia ktk vyote iwe kek au vitu vingine ipo kwenye kopo jeupe au tiara kwa ajil ya kek tu ipo kwenye kikopo chekundu
Woow safi sana unaongea vizur thanks dear.
Kazi safi sana hongera! Na je mko nafasi ya kuonyesha mtu moja Kwa moja
Karibu
Mashaalah kipenzi naomba nijuze hivyo vikopo vipimo vyake nikachonge mpenzi namimi ndo naanza,nijue hicho unachouza keki 1000 vipimo vyake na hii ya box
Ya box ni 4" kwa 2" round ni 2" kitako
@@mziwandabakers8297 asant
Kazi nzuri hongera.. naomba kujua naweza weka maji badala ya maziwaah..
Asante sana MUNGU akulipe zaidi
Asante sana mamy naomba kujua hivyo vikopo nikimwambia fundi anitengenezee nimpe kipimo gani
shukran sana kwa kishare ujuzi,Allah subhaanahuu wataala akulipe.
naomba kufaham mambo yafuatayo,
1.kuhusu oven,ni la umeme au la gesi?
2.linapatikana wapi?
3.mixer inauzwa sh ngapi?
4.ni brand gani ?
5.kwa moto uloseti haina haja ya kuchoma keki na kijiti ili kujiridhisha kama imewiva ama laa?
6.kuhusu tin ulizotumia kuokea,zimechongwa kwa vipimo maalum?
7.nikihitaj kununua hizo baking tins nazipata wapi?
shukran sana.
Shukran ilham
1.oven ni umeme
2.mixer ni 1.4milioni
3.ukizoea kupika huna haja ya kuchoma kijiti ila kwa uhakika zaidi choma kijiti
4.baking tin zipo kwa vipimo za kuchonga na special
@@mziwandabakers8297 shukran sana,umeniinspire sana,nimefurahi kukufaham,nimeangalia sn video zako jana,nimependa ulivyojiimarisha kwny biashara,nimependa unavyoshare ili wengine tujifunze,mwenyezi mungu akulipe kheri,amin.
nitakutafuta dada in shaa Allah,kuhusu jiko na mixer mana nimeona unaziuza.
@@ilhamkeis9609 shukran sana na karibu muda wote
Mashallah ! Jee unaweza kunifundisha hio biashara nami nikafunguwa biashara yangu.
Naam lipo darasa WhatsApp namba 0768859358
Mungu akudaidie katika kazi yako Upo vzr nimeelewa ila vizur ungetuambia sukar kiasi gani bluband kias gan kula kitu ulichotumia ni kiasi gani nakupenda na kazi yako
Blue band 1kg,sukari 1.1kg,unga 2kg,b/p 60g mayai 30
@@mziwandabakers8297 honger kwa kz nzuri, kwny recipe mbn umeandika mayai 20?
Sorry ni 20 typing error
Will try this and upload
mko vizuri asante kutuelimisha
🙏
@Mziwanda bakers jee waeza nisaidia na vipimo za tin yako ya shepu na mkate(loaf pan)???? nitashukuru sana
Ni 4" kwa 2"
Twahitaji vipimo itakua bora zaidi
shukran habibtiy nimefurahi kukujua
Shukran
Hello mziwanda baker sorry hapo kwenye maziwa naweza tumia kimiminika gan tofauti na maziwa?
Hi mziwanda,
Je natakiwa ku preheat kwa muda gani na Moto wa kiasi gani?? natumia oven mdogo
Pia wakati wa kuoka natakiwa kuset baking function/option ipi ??natumia PMC oven
Mashaallah nilikuwa nina suali hapo kwenye maziwa vile niko sehemu za joto.. Jee inawezekana kuweka maji badala ya maziwa?
Ndio waweza kufanya maji badala ya maziwa
@@mziwandabakers8297, OK.... Shukran sana dada
Asante my dear naomba kuulizia mm nataka kupika keki 9 za nitumie tini ya inch 6 hii resp inafaa?
Thanks quantity ya all those ingredients plz dada
Ety ngano 1kg inahtaj sukar ,mayai/maziwa,siag kias gan
Hongera sana kazi nzuri. Mungu akujalie zaidi na zaidi.
Aamiin
Naomba vipimo basi
@@mziwandabakers8297 tupe vipime
@@farisal-rawahi7533 vipimo nimeandika ndugu
Amazing job, hongera sana , nataman kufika hatua uliyofika, nataka kujua baking tin zako ni inches ngap kwa ngap
Utafika love,ni 3"1\2 kwa 2"
@@mziwandabakers8297 asante sana Nashkuru, Mungu akubarik
@@mziwandabakers8297 nimetengeneza cupcakes Ila zinawah kuharibika nishauri Dada nifanyaje
@@husnambugi6458 pia msimu wa baridi huwa zinawahi, pole mwaya au hazikukauka vizuri?
Samahani Dada,,kwenye baking powder ni 60g ambayo ni vijiko vingapi?
Nice channel....which mixer is this
8kg mixer dear
@@mziwandabakers8297 kampuni
Hongera sana Dada asante kwa somo zuri
😘
A. Alykm Dadaa... Mzima kweli? Kimya Sana... tumekosa video zako Sana wallah
Mashallah mziwanda bekar mko vizuri asante dada nimefata maelekezo yako cake imetoka nzuri mno Mungu akubariki
Shukran sana kwa kufanikisha
Nafurahi kusikia hivyo
Hongera sana kazi yako nzuri sana. Naomba kujua bei ya oven kama hiyo na naipata wapi?
Oven tunazo karibu Sanaa 0768859358
Mashallahu tumependa Allah akuzidishie inshallah
Habari keki nzuri ma sha Allah Lkn naomba kuuliza zinaweza kukaa mda gani bila kuharibika kwasababu umetuma maziwa au lazima zikae kwenye fredge
Zinaweza kukaa siku 7 zikiwa nzuri kabisa adi kumi
And where can i buy the mixer,i really like it..is it posible to buy them in east africa ? If yes .which shop ?.for mixer,oven and trays ,.am from uganda kampala.
You can buy them in Tanzania if possible for you to transport dear
@@mziwandabakers8297 thanks so much darling
Nimeipenda sana kwa kwel sasa napataje hivyo vikopo jaman
Vipo madukani dear
@@mziwandabakers8297 Nashukuru ntatafuta
Mashaallah mie nataka kujua bei ya oven na mashine
Karibu 0768959358
Nilitumia hii recipe cake ilitoka vizuri sana. Asante
😘😘
Dada mziwanda samahani hizi panel
Zinauzwa WAP?ama kwa mafundi watengenezaji wa majaro
Hao wamajaro wanaweza screen shoot picha kawaonyeshe
Dada naweza tumia handmixer kwa keki hii ya kilo mbili?
Incase your measuring sugar , and you are using the kawaida one do u use the same measurements
Same same vyote
Masha Allah mziwanda Baker be blessed
Amiin
Asante
Dada Mziwanda Bakers, huweki chumvi hata chembe tafadhali?.
Hiyo huwa siiwekei chumvi
Shukran
Samahani dada Mziwanda Bakers, gram 60 ni sawa na vijiko vipimo vingapi tafadhali?.
Asante Mimi niko Uganda lathaa hizo zapatikana
Ndio ulizia UG naimani zitakuwepo, vanila ipo nyingi sana huko waweza tumia pia
Nzuri sana dada
Zimetoka cake ngap? Na ukumbwa Wa inch ngap? Thanks sis.
As.kum habibty naomba kujua Kwa mchanganyiko huo wa 2kg unatoa cupcake ngapi ndani yake za 500 miatano.please.
Hongera Sisy.. Nimefurahi kuona kazi zako huku. Big up.
Much appreciation to ika malle my darling...ahsante pia kwa support
Merci
Hali yako Asante wa recipe zako
Ila mm natak kujua samahan cake vipati 60 vya boflo vipimo vyake kwa cake za biashara mpendwa
Pika kilo 4 zidisha recipe hapo kutoka kwenye kilo mbili
Habar dada
Nimejaribu kufany Ila sikuziweza hazikuvimb hlf km zilikua na nzito na majimaji
Nmependa sana hii video
Habali mafunzo ya keki sh ngapi? Na ni muda Gani. Asant
Uko vzr dear unapatikana wapi..
Mm nakuliza keki zaviboflo moja. Beigan
Eeh ladha inasikika kabisa tamuu😋😋😋😋
Hahahaa
Ubarikiwe
Dada mziwanda naomba tuwasiliane ili tuonge kuhusu hizo mashini dadaangu plz 🙏 mm niko njee ya Tanzania
Thx
asalam aleykum naomba unifundishe keki ya mayai 6 pls
Wow ni Nzuri, hivi keki haiwekwi hamila.
Shukran, haiwekwi hamira
Kz nzur sana, barikiwa
Thank you for sharing,very nice cakes .,but where can i buy that oven and trays ??.plz thanks
0768859358
the recipe was nice 😋 but I didn't know if u kept the baking powder or not
I did put b/p
Hivi nisipo weka maziwa inakuwaje na cupcakes ukiziweka maziwa zinachukua mda gani bila kuharibika dada naomba unijibu pls
My dear hivi kwanini keki zinakuwaga na mashimo ndani hata kama nimegonga tin sana tu...please msaada😍😍😍
Ukigonga sana tin pia husababisha zaidi matundu ,kingine kukoroga unga muda mrefu pia
@@mziwandabakers8297 AKSANTE SANA MY DEAR KWA JIBU ZURI NAKUPENDA SANA MUNGU ABAKUBARIKI SANA
@@petronilaandrew8061 Amiin nawe pia
Ahsante kwa somo Dada. Naomba kujiunga na darasa lako. Sipo Instagram so naomba means nyingine ya mawasiliano. Shukran!
WhatsApp me 0768859358
Asante kwa soma nzuri dada naitaji kujifunza zaidi lakini sina histagram. Naitaji njia mbadala
@@joselinenicas9367 0768859358 Nichek WhatsApp
Mziwanda unapatikana mkoa gani? Please naomba jibu
@@sophiamwakila3300 Tabora mamaa
Minaomb kuuliz kwann mm nikipika keki haikai Lev inajaa upand mmoj
Hongera sana nimependa vipimo tu naomba iwe rain
Very nice
Mbona hutoi vipimo vya kila unachoweka kwa 2kg ya unga
Vipimo ni muhimu nshangaa
Vipimo vipo kwenye description box...
Hii mixa zinauzwa beigan.dada
Kilo mbili unatoa cakes ngapi???
Hivy visifulia vnauzwa xhingp natka
Me naomba kujua kinachofanya cake iwe na unjano mzuri ndani na sio brown
Ukifundisha bila vipo tunajifunzaje dear? Tuwekee vipo hata kwa cake ya 1kg
Vipimo vipo hapo chini ya video
🙏🏼
Unatumia aina gani ya unga kwa keki za cupcake na hizi?
Azania fresh
Vipimo ndio kila k2 hujatuambia mayai mangapi keki zinatoka ngapi na za ukubwa gani sukari kiasi gani?
Hujaviona au uvivu wa kutumia simu yako dear,,,elimu ya simu yako ni bora pia...check description box utaviona vyooooooote
Waoooh!thanks
Hiv vikopo unavipt wap, na unauza bei gn km hiz?
Keki 2000 vikombo tunachongesha
Ok asnt, na hiv vya duara?
Na mm ntk nifanye, ila kuna mtu kataka oda ya cup cake . Yy antk nimfanyie kwa 800 ila cjajua ni saiz ip ya cup cake. Naomba unisaidie mpz
Habari Dada !mi naomba kuja kujiunza hapo kwako plz nataka kujifunza kwa vitendo
Karibu sana
Naomba maelekezo jinsi ya kufika hapo
Its nice, bt nmejarbu yangu haina weupe mzur kwa ndan na ulaini
Mm naomba tu kujua bei ya hiyo oven nimeipenda sana
Haya dear ni 1.4milioni
Oven nzur mno mtumba au dukan?
@@haibaathuman3668 dukani dear
Nzuri sasa
Unapatikana wapi
Nipo Tabora ndugu
Sasa kama huna hiyo blueband unaweza kuweka mafuta?
Yes
Nice
Dada mpenzi ,naomba kufahamu mashini umeinunua wapi am kwa njia gani?
Check instagram:mziwanda_bakers for machines
Dada mm naisha Mombasa Kenya, naomba kufahamu vipi nitaweza kununua mashine Kama hizo nikiwa Mombasa, naomba usaidizi
@@abdufatuma9420 nakutumia bila wasi,usafiri zipo za mombasa karibu sana,ukihitaji njoo instagram:mziwanda_bakers dm please or WhatsApp 0768859358
Mbona hamna vipimo
Vipimo ujasema
MashaaAllah nimexipenda dear...ila nauliza huo moto n wa juu na chini?
Ndio ni juu na chini
Kazi nzuri . Hongera.ilo oven ni aina gani na bei yake ipoje?? Napenda kutengeneza cake.ila bado sijapata vifaa
Jina la Kichina silijui my ila oven hiyo ni kwa biashara
Dada naomba uniongoze nataka kujaribu hii biashara
Ni nzuri sana,ni kuthubutu tu karibu sana
Jaman hadi raha
napenda kujifunza
Vipimo ziko wapi
Kazi nzuri. Tunaomba vipimo kwa gram
Kama auna mashine ya kuchanganyia
Hallow
Damziwanda recep ukitaka kufanya chocolate cake unawekaje tafadhal
Nitaifanya very soon dear
I love uuuuu sooooo muuuuuch allah akulinde
@@sadasaleh8359 Amiin
Jamani mkoa wa mwana amna wauzaji wa cake mm niko nyehunge buchosa nataka cake ya birthday ya mwanang
Keki nzuri mashaallah
Shukran