BIASHARA YA KEKI,JINSI ALIVYOANZA, MASWALI NA MAJIBU WITH MZIWANDA BAKERS :IKA MALLE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 сер 2024
  • fungua Hapa
    katika video hii utasikiliza safari ya biashara ya mziwanda bakers pamoja na safari yake fupi ya hapa youtube
    UA-cam: ‪@mziwandabakers8297‬
    Instagram: @mziwanda_bakers

КОМЕНТАРІ • 257

  • @dorisrwezaula6681
    @dorisrwezaula6681 3 місяці тому

    Mziwanda is the best! Uzidi kubarikiwa mamy

  • @ashajuma3228
    @ashajuma3228 Рік тому +2

    Jamanii mwanang pia anaitwa hythamu

  • @estellemwai5402
    @estellemwai5402 3 роки тому +4

    Great teachers.
    Super Women.
    Love kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @user-ow8zq9po5u
    @user-ow8zq9po5u 7 місяців тому

    Yaaan mm huyu dada namuelewa sanaa sauti yake ya upendo mnoo naomba siku utoe somo la pishi la birihan

  • @alimuhamadali2110
    @alimuhamadali2110 4 роки тому +10

    Wlhi your videos really help me a lot... I own a big restaurant in Somalia... and all this times it has been happening bcz of you.... Asante Sana mum♥️💯

  • @mercyambuka9214
    @mercyambuka9214 4 роки тому +13

    Mziwanda bakers,sio mchoyo.God bless her.

    • @honerorynickson233
      @honerorynickson233 4 роки тому

      Sister unapatikana wap na unafundisha kwa shi ngap

    • @saumukisanza9144
      @saumukisanza9144 3 роки тому

      Yaan wewe dada ninekupenda bure unamoyo wakipekee nandomaana mungu anazidi kukufungili njia

    • @estherbenard7255
      @estherbenard7255 Рік тому

      Natamani kufanya hiyo biashara laini sijui na yakuanza na kupima

    • @estherbenard7255
      @estherbenard7255 Рік тому

      Yani sijui nianzie wapi namba ushauri wako daga yangu

    • @estherbenard7255
      @estherbenard7255 Рік тому

      Samahani nimekosea kuandika hizo meseg ila ninaanisha sijui pakuanzia namba ushauri wako Dada yangu

  • @mildredsophia7122
    @mildredsophia7122 4 роки тому +15

    This lady taught me how to make perfect yoghurt in a very simple way. May God bless the work of your hands. Thanks alot for sharing your journey.

  • @nawalgadaffi7893
    @nawalgadaffi7893 3 роки тому +2

    She is so cute and not selfish. May Allah bless you mziwanda bakers. Lots of love from🇺🇬

  • @anethnico4537
    @anethnico4537 3 роки тому +1

    Yaani na mm natamani niwe na baker best nielekeze mpz

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 4 роки тому +3

    Mashaallah mziwada leo nimekuona vzury nimefurai sna una inspired sna

  • @modestakizeli5202
    @modestakizeli5202 4 роки тому +1

    Athante Dada ake penda sana Dada mziwanda

  • @veronicamgelwa9778
    @veronicamgelwa9778 2 роки тому +1

    Uko vizur dada nahitaji na mm nijue zaidi

  • @user-mv7or4py3r
    @user-mv7or4py3r Рік тому

    ❤❤❤❤❤❤❤ napenda my dear

  • @joycetido1896
    @joycetido1896 Рік тому

    Nimefurahi kumuona mwanamke asiye mchoyo wa ujuzi .ubarikiwe Sana naomba kujua Bei ya stand mixer Lita 8

  • @RaniyahAnwar
    @RaniyahAnwar 4 роки тому +3

    So inspiring kwa kweli💯💯 Tena youtube sio rahisi if you have someone amabe Yuko guiding you unakua una bahati sana

  • @khadijaismail5911
    @khadijaismail5911 4 роки тому +2

    Dada mziwanda mwenyezi mungu akujaalie umri mrefu zaidi na azaidi kukuongezea maarifa

  • @aishaaasha1675
    @aishaaasha1675 3 роки тому +1

    Ashaa safi sana my nimekukubari sana nami naitaji nijifuze naitaji darasa kwako

  • @evalineemmanuel8178
    @evalineemmanuel8178 2 роки тому

    barikiwa sana my wqngu mungu akutunze

  • @maryammaram2612
    @maryammaram2612 4 роки тому +6

    Waooo shukran sana mtu na dadake kwa kushare nasi mambo mazuri nawapenda sana ika na mziwanda bakery sijutii kumifatilia mungu amibariki katika kazi zenuu..

  • @monamzonge1398
    @monamzonge1398 4 роки тому +1

    Mungu azidi kukubariki sana na akuzidishie kheri nyingi maana umenifaa sana na bado unanifaa mm nilikuwa nakutaman nikuone live lkn uko mbali one day ntakuja huko ulipo.ila nahitaji darasa la cake na vifaa vyake nahitaji sana

  • @miliammateo2417
    @miliammateo2417 2 роки тому +1

    Kwakwel nimeipenda sana nataman kujifunza kwako

  • @neema546
    @neema546 Рік тому

    I appreciate your ❤

  • @welkasimoni3133
    @welkasimoni3133 3 роки тому +1

    Asante sana binafsi nampanda sana huyo dada,

  • @rajabumuya7113
    @rajabumuya7113 Рік тому

    Nafatiliya sana vipindi vyako nimependa sana hongela mimi ni mwanafunzi wako mpy

  • @noevitus4166
    @noevitus4166 3 роки тому

    Nakupenda bure Jamani mziwanda bakers natamani nipate mawasiliano yako unipe darasa zaidi online coz nipo Iringa.😊 Nina spirit ya kutaka kujua zaidi

  • @MwanamiruruRamadhaniabda-xt4sv

    Mashaallah

  • @pamelaalphonce4742
    @pamelaalphonce4742 Рік тому +1

    Asante

  • @anethnico4537
    @anethnico4537 3 роки тому +1

    Big up sana

  • @nigistsheikh7819
    @nigistsheikh7819 4 роки тому +4

    NAKUPENDA mnoo Allah akuinue zaidi na zaidi😍

    • @violethshoo572
      @violethshoo572 4 роки тому +1

      habar niko moshi naanza kupika cake nitapataje jiko la md oveni samahan kwa usumbufu

  • @charitynyaga4609
    @charitynyaga4609 4 роки тому +6

    Mziwanda Baker's you are my inspiration , God bless your work

    • @mziwandabakers8297
      @mziwandabakers8297 4 роки тому

      Thank you dear

    • @charitynyaga4609
      @charitynyaga4609 4 роки тому

      Am requesting you to my trainer,unifundishe kwa kina ,niwasaidie wa mama wenzake kwa vikundi wapate ajira niko Nairobi Kenya

    • @charitynyaga4609
      @charitynyaga4609 4 роки тому

      Am requesting you to my trainer,unifundishe kwa kina ,niwasaidie wa mama wenzake kwa vikundi wapate ajira niko Nairobi Kenya

  • @MsBupe
    @MsBupe 4 роки тому +3

    Video nzuri sana jamani👌👌👌

  • @gladnessaloyce2086
    @gladnessaloyce2086 4 роки тому +1

    Mungu akubari sana mziwanda bakers...

  • @user-mv7or4py3r
    @user-mv7or4py3r Рік тому

    asante

  • @theresiaurio9112
    @theresiaurio9112 3 роки тому

    Asante sana dada kwa mafunzo yko mazuri, naomba nipokee mimi mgeni,napenda kujifunza japo nafahamu kwa kiasi, pia natamani nifike km wewe hapo au zaidi ya hapo naomba mwongozo wako. Pia natamani kufahamu bei ya oven. Mungu Akubariki, kutoka Kibaha.

  • @nyakengasamwel7390
    @nyakengasamwel7390 4 роки тому

    Nimejifunza mengi kutoka kwako dada,hongera sana na Mungu akubariki

  • @mollencharles8100
    @mollencharles8100 4 роки тому +1

    Mungu ambariki Mziwanda

  • @StezieRl
    @StezieRl 4 роки тому +5

    Nakupenda Leo nimekuona kweli wee mzurii km Roho yako jmnii

  • @janetbungu5227
    @janetbungu5227 4 роки тому +1

    Duuh, asante Mziwanda upo vzr sana kwenye kuelekeza. Barikiwa mnoo

  • @irenegomanga8654
    @irenegomanga8654 4 роки тому +1

    Nakuelewa sana dada

    • @evalinesumari9548
      @evalinesumari9548 2 роки тому

      Waow nimekupenda bure napenda kupika.kama wew mrembooo jamn hongera sana dada upo vizur sana nataman sana kujifunza sana

  • @hopebaker5928
    @hopebaker5928 4 роки тому

    Nakupenda sana dadaangu mungu akupe umri mrefu uzidi kutufundisha nimejifunze mengi kutoka kwako

  • @sheyzm8561
    @sheyzm8561 4 роки тому +4

    Very inspiring. Keep up the good work dada

  • @magrethkapanda2807
    @magrethkapanda2807 3 роки тому

    Naomba niunge kwenye group lako la darasa

  • @amadirispa8382
    @amadirispa8382 4 роки тому

    Nawa sukuru sana wakina Dada mungu awa bariki nikiwa Kenya mume ni ssidia sana tuko pamoja

  • @gladnessaloyce2086
    @gladnessaloyce2086 4 роки тому +1

    Najifunza mengii sanaaa kwako😍😘

  • @Aliy6443
    @Aliy6443 Рік тому +1

    Muko Zanzibar , au Dar esa lm. 🎂🍰

  • @monicafrank6618
    @monicafrank6618 4 роки тому +2

    Nawapenda woteee,,

  • @annakastory1582
    @annakastory1582 3 роки тому +1

    Ubarikiwe

  • @masumbahashimu8291
    @masumbahashimu8291 4 роки тому +1

    hongera dd mungu azidi kukuongoza

  • @beatricmmpantaleo3420
    @beatricmmpantaleo3420 4 роки тому

    Hongera nyingi kwako Dada mungu akutie nguv

  • @mercyambuka9214
    @mercyambuka9214 4 роки тому +2

    I love mziwanda bakers,watching from Kenya

  • @avillajoseph7499
    @avillajoseph7499 3 роки тому

    Nakupenda na wivu na wewe nataman uwe ata dada yangu nakuombea jmni . Naomba basi kama una group uniunge niweze kujifunza

  • @pauchonko7538
    @pauchonko7538 4 роки тому +1

    My dada Irene,ur the best

  • @marianapatrick5993
    @marianapatrick5993 4 роки тому +2

    Asante Dada nafuafilia Sana video zako nitakua mrejesho kikipika caka na miss baadhi ya mahitaji tu ila nitapata soon

    • @marianapatrick5993
      @marianapatrick5993 4 роки тому

      What I meant is,,, I am always checking ua videos Dada thanks for ua wo derful talent it is helping me a lot,,, I will tray to bake my fist cake soon😘

    • @vickysunga4429
      @vickysunga4429 4 роки тому

      Habari dada mimi nipo mwanza naomba mawasiliano yako ili unifundishe kutengenza ice cream na kupamba cake nimejifunza you tu be kwa kuangalia video zako na za wengine nimejua ila sio sana. Hata kama ni on line nitalipa

  • @elizabethgasper2909
    @elizabethgasper2909 4 роки тому +1

    Video nzur

    • @leonialymo8286
      @leonialymo8286 4 роки тому

      Nafurahi kukuona UA-cam .sijui niseme nini kwa furaha niliyokuwa nayo. Mungu akubariki akujalie afya njema tuzidi kuwa nawe

  • @MariamMohamed-bw8xf
    @MariamMohamed-bw8xf 4 роки тому

    Kusema kweli mungu abariki kazi yako ameen aku ongezee baraka tele tele kweli nafikiri nita kuiga kisha nita kujulisha maendeleo yangu kutoka kwako

  • @annakastory1582
    @annakastory1582 3 роки тому

    Oven nzuri kwa keki ni ipi dada samahani

  • @bijumakassim3697
    @bijumakassim3697 4 роки тому +1

    Mashaallah allah akuzidishie inshaallah

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 Рік тому

    Hyu dada. Ni mfano wa kuigwa ana moyo sanaaa pia siyo mchoyo kabisa mtu asipo elewa kwako bc haelewi tenaa asntee

  • @rosejoseph9378
    @rosejoseph9378 4 роки тому +1

    Nawapenda sanaaaa

  • @omegakilinzi
    @omegakilinzi 4 роки тому +1

    Hongera ccy

  • @stellarweichoka2920
    @stellarweichoka2920 3 роки тому +1

    Hongera dada Mungu akubariki

  • @aishaabdallah4560
    @aishaabdallah4560 4 роки тому

    MashaaAllah nakupenda dada unafunza vzr m pia naomba mungu niwe km ww

  • @harrietprince1074
    @harrietprince1074 4 роки тому +1

    Hellow dear big up may GOD bless you grow up more success to you I love you

  • @neemamsuyas3084
    @neemamsuyas3084 4 роки тому +1

    You Good

  • @veronicaemmanuel3331
    @veronicaemmanuel3331 4 роки тому +1

    Nakupenda sana my dada nataman sana nifikie upo nataman sana pya napenda niingie dara San kwako plz

  • @doricemwanjwango3762
    @doricemwanjwango3762 4 роки тому

    Nyie wadada Mungu azidi kuwainua..asanten kwa msaada,ujuzi na maarifa mnayotoa..naomba kujua Mziwanda anaishi mkoa gani?

  • @hevenlightminja8343
    @hevenlightminja8343 3 роки тому

    Tylose na culture unauzaje

  • @yesnomads
    @yesnomads 4 роки тому +3

    Very interesting video hun.

  • @AnisiaKombe
    @AnisiaKombe 4 роки тому

    Napenda sana na mimi nijuwe kutengeneza keki.

  • @zuhurashafii6305
    @zuhurashafii6305 4 роки тому

    Jazakallah khayr, asante sana mziwanda bakes, Allah akuzishie khyr

  • @swabahamohammed7590
    @swabahamohammed7590 2 роки тому

    Big up Sana mungu akubariki

  • @kibouttv7148
    @kibouttv7148 4 роки тому +1

    This is so inspiring Ika Malle mpe hongera Sana Mziwanda Bakery nimependa ulivyominterview tumeweza kumfahamu vizuri zaidi mana naonaga unammention Sana, jamani na mimi nafikiria kuanza kujifunza kupika keki kupitia channel yake Tena ngoja nikasubscribe kabisa

  • @happinessjameskiwone5580
    @happinessjameskiwone5580 4 роки тому

    Nakupenda bure Dada mziwanda umeni inspire Sana 😘😘

  • @sarahkahimba6415
    @sarahkahimba6415 3 роки тому

    Hongera Sana

  • @elizabethchuwa462
    @elizabethchuwa462 4 роки тому +2

    May God bless you

  • @stellasungusia7182
    @stellasungusia7182 4 роки тому

    Pamoja na culture

  • @amadirispa8382
    @amadirispa8382 4 роки тому

    Waw asante ni sana

  • @sadasaleh8359
    @sadasaleh8359 4 роки тому

    Da mziwanda mzur mashallah

  • @esterlyatuu9263
    @esterlyatuu9263 4 роки тому +1

    I lyk t ntapataje darasa my dada

  • @CarosKitchen
    @CarosKitchen 4 роки тому

    Nice dear

  • @joycemwasote2959
    @joycemwasote2959 Рік тому

    Nimependa historia yako, hongera sana mziwanda darasa liko wapi hapa Dar nataka nipate darasa live na ushauri zaidi

  • @estherjohn1371
    @estherjohn1371 4 роки тому

    Hongera sana dada mziwanda ila natamani uniunganishe na mwl wako nitampataje yeye yuko wapi mimi niko dar es salaam

  • @Glatis0523
    @Glatis0523 3 роки тому

    Thank you for your existance lady umenifundisha mengi mnooo

  • @sarahkahimba6415
    @sarahkahimba6415 3 роки тому

    Asante kwa upendo

  • @stellahmaimu5518
    @stellahmaimu5518 4 роки тому

    Nakupenda sana nami nipo mbion kuanza kujifunza

  • @successr1617
    @successr1617 4 роки тому +2

    Waaaooow this is soo inspiring

  • @gracecharles1244
    @gracecharles1244 4 роки тому +2

    Nawapendaaaa😍😍😍

    • @ikamalle
      @ikamalle  4 роки тому

      🥰🥰🥰🥰🥰

  • @preciousempresskenya1909
    @preciousempresskenya1909 4 роки тому

    Asante sana kwa kutupea motivation. Mimi niko Kenya Na naweza penda kufungua duka langu huku Kenya niweze kujitegemea.

    • @rebeccawairimu183
      @rebeccawairimu183 4 роки тому +1

      preciousempresskenya me also this woman inspired me

  • @bintirichard4929
    @bintirichard4929 4 роки тому +1

    mziwanda una roho nzuri sana I love u sooo much

  • @lucymuya6788
    @lucymuya6788 4 роки тому

    Asante sana dada,naomba kuja kujifunza

  • @sackinakilangi7975
    @sackinakilangi7975 3 роки тому +1

    Asante kpenz

  • @najmasaidy8826
    @najmasaidy8826 4 роки тому

    Dada Napenda Sana kazizako

  • @nyanzarasabi3485
    @nyanzarasabi3485 4 роки тому

    Mungu akubariki ubaki na moyo huo

  • @mohamedbakari1004
    @mohamedbakari1004 4 роки тому +2

    Nawapenda natamani niwe km nyinyi ila huku kwetu korogwe kunachangamoto sana ya biashara. Mwenyezimuku azidi kuwatendea mema

    • @maryammaram2612
      @maryammaram2612 4 роки тому +1

      Mi nipo tanga mohamed kange kama hutojali niwachie namba zako nikitafute tukae chini tupange kuhusu biashara sababu mim pia lengo langu ni kufungua bakeshop ndio mana nafatilia kila somo likiwekwa.. na korogwe pia kubwa kaka upo ipi hapo mi napajua manundu na pale mamba clup.. Karibu kama hutojali

    • @mziwandabakers8297
      @mziwandabakers8297 4 роки тому

      Shukran sana,jitahidi kuthubutu naamini utaweza

  • @abdulcake_catering9981
    @abdulcake_catering9981 4 роки тому

    Napenda sana mwanzo wako na juhud zakoo 🙏🙏

  • @upro9182
    @upro9182 4 роки тому +2

    I love u my kind hearted lady God bless u ....how much is the big oven in Kenyan money please

  • @cinematixmediaproduction2988
    @cinematixmediaproduction2988 4 роки тому +1

    HUYU SIO iRENE MALE? WAYBACK ASEEE KEEP IT UP

  • @milkaprotas2383
    @milkaprotas2383 4 роки тому

    Nimependa sana i wish tu be like u

  • @tatulutambi1361
    @tatulutambi1361 4 роки тому

    mungu akubariki nataman na mimi nijue kupitia wewe

  • @princeshadrak2310
    @princeshadrak2310 4 роки тому

    Ma sh Allh,May Allah bless the work of your hands