Makonda, makonda.... Ukampa kichapo Mzee wa watu kisa Katiba mpya, aaah, jeuri ya cicimu, ukawangombanisha waume na wake zake kisa eti wamewatelekeza, ukawadhalilisha wafanyabiashara maarufu eti wauza madawa ya kulevya, ukanyang'anya watu magari, ukaagiza makontena ya fanicha kutoka Marekani ukakwepa ushauri...M beleko ya chuma ilyokubeba ilishakatika, bila Shaka hukujua hayo, pole Sana!
Alisema waliotoa ushirikiano aliwaacha. Walitoa ushirikiano kivipi?! Kwanini umuachie mhakifu Kama unakomesha uhakifu. Hapo Kuna kitu nyuma yake. Kweli huu ni uvunjaji wa Sheria kumtuhumu mtu na hakuna aliyefungwa kwanini hawakupatikana na hatia!?
Hii nchi Sijui ilikua ikienda wapi , alf watanzania wengi wanafiki wanasema tulikua pazur , hapo babaako anatajwa na hajui lolote na anaamua kujiua kwa fedheha kubwa alf watu wanasema mengi ya kusifia uongo na unafiki tu
Balaa bado anaendelea kuwataja mpaka leo 2021 Dec. haogopi anaushahidi gani Mh. Shauri lako🤣🤣😆😆 jamaa alikua na jeuri Dah! hivi ilikua ni kweli au ni siasa za maji taka tu 😂😂😄😄 hatari sana Sasa Vodacom kazi ni kwako
Bashite Kuma tu huyo Hana lolote afunguliwe mashitata sasa hivi nae ala was chui najuta alijifanya nchi ya mama yake hii makonda Kuma tu makonda afungwe
Unajua alichokosea ni hekima ilitakiwa kama amepewa hiyo orodha ya wauza unga angewaita kwa siri wahojiwe kwa sasa hawajathibishwa na hakuna aliyekamatwa ilikua vyema sana wahifadhiwe hadi in a prohibit O'Shea ndipo watangazwe.
Hivi wewe bashite na huyo baba yako mwendazake mlifikir Tanzania ni yenu? Laa hasha hivi unaweza kuamini kuwa kweli ulifeli ? Je? Sasa unajisikiaje. Jamii unaiambiaje we matako
Yaani huyu ndiyo alikuwa mkuu wa mkoa, tupowe watanzania hichi chama cha ccm kimetufikisha pabaya kwa kupeana cheo wenyewe kwa wenyewe, kweli mtu mwenye akili timamu hazungumzi kiu tumbo tumbo kama hivi.Hata kama ni kweli hao aliowataja wamehusika bado hawaja hukumiwa na unafahamu wanapoishi kuna haja gani wewe kuwatangazia kwenye vyombo vya habari.
Hv huyu hajui kama hii ndio biashara kubwa kbs duniani na ndio inayoweka tawala zote duniani kwa jeuri ya pesa hahahahahaha...tatizo ni ukosefu wa akili tu ktk utawala...hv chunguza nchi zote haramu duniani ndio zenye uchuki bora kbs duniani...hahahaha hv hadi mashekh na mapadri wanapiga navyo hvyo hlf unataka kushindana nao khaaaaa...pole Sana ila tabia mbaya sana kutaja majina ya watu
Wanao angalia hii video 2021 gonga like hapa
I'll
Yaani kupitia hii njia makonda aliweza kutengeneza pesa nyingi nyingi Sana maana hapo wengi walikata mpunga Sana 🙆🙆🙆🙆😃😃😃
🤣🤣🤣😂😂😂
Makonda, makonda.... Ukampa kichapo Mzee wa watu kisa Katiba mpya, aaah, jeuri ya cicimu, ukawangombanisha waume na wake zake kisa eti wamewatelekeza, ukawadhalilisha wafanyabiashara maarufu eti wauza madawa ya kulevya, ukanyang'anya watu magari, ukaagiza makontena ya fanicha kutoka Marekani ukakwepa ushauri...M beleko ya chuma ilyokubeba ilishakatika, bila Shaka hukujua hayo, pole Sana!
Afungwe tuuu 30y inamtosha alionea Sana binadamu amefanya watu Hadi waame nchi waliyozaliwa #romarudikumenoga
Hivi Huyu bashite si akamatwe awekwe ndani Kwa kuchafua watu na kudhalilisha wafanya biashara..
Kweli uongozi ni ulevi wa Hali ya juu hivi makonda alijua kesho yake?
Dah nchi ilipitia pagumu sana hii😂🙌
Wanaongalia hii clip 2021 gonga like apa
Nimeangalia leo ,12/4/2024 hatari
Alisema waliotoa ushirikiano aliwaacha. Walitoa ushirikiano kivipi?! Kwanini umuachie mhakifu Kama unakomesha uhakifu. Hapo Kuna kitu nyuma yake. Kweli huu ni uvunjaji wa Sheria kumtuhumu mtu na hakuna aliyefungwa kwanini hawakupatikana na hatia!?
Hayamaisha bana!!!! Jamaa alijisahau balaa!!!! Mwenzie chalamila anaimba. Ila dogo ulikua nazarau hatari
Hii nchi Sijui ilikua ikienda wapi , alf watanzania wengi wanafiki wanasema tulikua pazur , hapo babaako anatajwa na hajui lolote na anaamua kujiua kwa fedheha kubwa alf watu wanasema mengi ya kusifia uongo na unafiki tu
baba uko wapi baba umeshapotea hiyo ndyo Tanzania
Usingemtaja Gwajima bro ndo uliaharib
Alikuwa anafanyia sifa akijua Tanzania nyake kumb kaikuta tu jmn
Nakupenda sana makonda unaweza kazi, one day tz itajua thamani yako
Thamani ipi jaman
Balaa bado anaendelea kuwataja mpaka leo 2021 Dec. haogopi anaushahidi gani Mh. Shauri lako🤣🤣😆😆 jamaa alikua na jeuri Dah! hivi ilikua ni kweli au ni siasa za maji taka tu 😂😂😄😄 hatari sana
Sasa Vodacom kazi ni kwako
Bashite Kuma tu huyo Hana lolote afunguliwe mashitata sasa hivi nae ala was chui najuta alijifanya nchi ya mama yake hii makonda Kuma tu makonda afungwe
Mbona gwajima hakufungwa wala hakuwekwa ndani hao waliokuwa wanauza kweli mpska watoto wa wakubwa hukuwakamata wala hukusema
Nimeichek leo 2024 , nimegundua hali ni tete
Leo 10/12/2021 nimeiangalia tena hii kitu 😂😂
Bashite wewe ufungwe tu ulituondoshea manji wetu
Yeye mwenyewe sio PAUL,ni DAUDI ALBERT forgery tupu! sheria inasema DAUDI MAKONDA awe jela miaka 7!
Pole makonda majina mengne ulbgi ktaja
zero on a paper translates zero in a brain
Definitely, well spoken!
Mmh 2015 ilikuwa ya ...,......! Le Hy kwa Mama ayapo jmn
Safi karrbu tena
Bashite afungwe Hana lolote afungwe hata bashite amezulumu makonteeina afunguliwe kesi Kama sabaya
Katika dhambi uliyoifanya ni hii.
Wengine ulikuwa na ogomvi nao.
Yaani huyu mtoto ni mpumbavu Sana mwanaharamu hakujua Kama meko ni binadamu na atakufa sasa Leo hii mi sijui Yuko wapi mbwa huyu
mbona yupo tu anaenderea na shughuri zake za kawaida ...nenda kamkamate uone pa mnyoro
Zamu yako Sasa imefika
Huyu jambazi mbona mama Samia ashughuliki naye
Kweli alikisea sana ndionaana kasahaulika kabisa
😅😅😅😅 leo hii yuko wap kila kitu ni dhamana
Nchi hii imepitia kwenye wakati mgumu
Sana
Saiv ukowapiiiiii lndo tz banna
Kila zama na nabii wake cjw yupo wap huyu kijana
Uludi bila uoga
Mbiguni Tutafika Tukiwa Tumechoka
Akili amna
Mla huliwa...Zamu yako Sasa Bwana BASHITE.! Ulikuwa UNALOPOKA Tu.! Wote hao walikutwa hawana Hatia.
Mpuuzi mmoja huyu
Why can't you deliver those names to police instead mentioning names in public is it not against the law
He is above the low
Unajua alichokosea ni hekima ilitakiwa kama amepewa hiyo orodha ya wauza unga angewaita kwa siri wahojiwe kwa sasa hawajathibishwa na hakuna aliyekamatwa ilikua vyema sana wahifadhiwe hadi in a prohibit O'Shea ndipo watangazwe.
Jamaa kichwani hamna kitu kabisa huyu
Hapa ndio alijiona rais kwelikweli, huyu dogo bana.
MALI ALIZO NAZO NA MSHAHARA WAKE BASHITE, HAVILINGANI!
Haya yakowapi sasa baada ya sabaya ni wewe...kijana dawa yako tayari subiri tiba...
Baba kegan
Unaijuwa dhambi wewe sasa ndiyo utajuwa kuwa ulikuwa ujui
Dah jpm alipambana sana
Alipambana na nani? Apambane na malaika kaburuni sasa km anaweza
Shikamoo dunia
Hahaha marahaba...naaam!!!hahahahahahahaaaaa...dunia ubadilika bhana kwahyo chunga sana mdomo kabla haujafika mwisho.. hahahhahah
Safari ni Ndefu Sana
Kila kitu Bora Uwe Mtu Wa kati na kati
Hivi wewe bashite na huyo baba yako mwendazake mlifikir Tanzania ni yenu? Laa hasha hivi unaweza kuamini kuwa kweli ulifeli ? Je? Sasa unajisikiaje. Jamii unaiambiaje we matako
Acha awatajeee au amyaje baba yako
Una ishu ww
Zao la ubatili ni ubatili tu
Wafuate kimya kimya sio kuwataja watakimbiA
Zamu yako imefika.......
Utashangaa pumbavu wewe umevuma mapesa kibao Sasa utazitapika.
n
Uyu Ndie Alikua Dereva Wa Dar.Sasaivi Majanga Tupu
Hahahahahaahaaha
Itamkosti hahah
duuh
Mungu fundi kweli ulifurahia maisha Sasa unaishi kama kibaka tu huna amani tena
Huyu bwana afungwe nae
1:23 eti ni mukono wakulia au kushoto kutokana na upande gani unatokea 😀😀😀 hakuna maelekezo ya hivo
Ulijiona utabaki kwenye hicho cheo
Dunia imekunyoosha jeuri,kiburi tipuuu
Huyu bashite no Kama mkuu was wilaya hai sabaya nae bashite apelekwe
Zero brain
Huyu Kuma bashite ashikwr
Wewe unatukanaaa unajua athari za madawa ya kulevya au wewe no zero brain
Haaah haka kajamaa kalikua kanafki kwelikweli..kweli mwisho wa unafki aibu..iv unajisikiaaje mzee bashite
Yaani huyu ndiyo alikuwa mkuu wa mkoa, tupowe watanzania hichi chama cha ccm kimetufikisha pabaya kwa kupeana cheo wenyewe kwa wenyewe, kweli mtu mwenye akili timamu hazungumzi kiu tumbo tumbo kama hivi.Hata kama ni kweli hao aliowataja wamehusika bado hawaja hukumiwa na unafahamu wanapoishi kuna haja gani wewe kuwatangazia kwenye vyombo vya habari.
Na ndio alipopatia nafasi ya kuwachuma waoga ili wasibambikwe hiyo mikiki
Hv huyu hajui kama hii ndio biashara kubwa kbs duniani na ndio inayoweka tawala zote duniani kwa jeuri ya pesa hahahahahaha...tatizo ni ukosefu wa akili tu ktk utawala...hv chunguza nchi zote haramu duniani ndio zenye uchuki bora kbs duniani...hahahaha hv hadi mashekh na mapadri wanapiga navyo hvyo hlf unataka kushindana nao khaaaaa...pole Sana ila tabia mbaya sana kutaja majina ya watu
Ngosha ameshaoza kaburini naona unatamani ardhi ipasuke sasa. Una kesi inakusubiri kesho kutwa