Video Makonda akiwataja Manji na Gwajima kuhusu madawa ya kulevya.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2017
  • Makonda akiwataja Manji na Gwajima kuhusu madawa ya kulevya.
  • Комедії

КОМЕНТАРІ • 90

  • @divaimafuru7633
    @divaimafuru7633 2 роки тому +54

    Wanao angalia hii video 2021 gonga like hapa

  • @mwigaramadhani3687
    @mwigaramadhani3687 2 роки тому +7

    Yaani kupitia hii njia makonda aliweza kutengeneza pesa nyingi nyingi Sana maana hapo wengi walikata mpunga Sana 🙆🙆🙆🙆😃😃😃

    • @f.a6043
      @f.a6043 2 роки тому

      🤣🤣🤣😂😂😂

  • @sylvesterjose3286
    @sylvesterjose3286 2 роки тому +3

    Makonda, makonda.... Ukampa kichapo Mzee wa watu kisa Katiba mpya, aaah, jeuri ya cicimu, ukawangombanisha waume na wake zake kisa eti wamewatelekeza, ukawadhalilisha wafanyabiashara maarufu eti wauza madawa ya kulevya, ukanyang'anya watu magari, ukaagiza makontena ya fanicha kutoka Marekani ukakwepa ushauri...M beleko ya chuma ilyokubeba ilishakatika, bila Shaka hukujua hayo, pole Sana!

    • @elicegeorge9991
      @elicegeorge9991 2 роки тому

      Afungwe tuuu 30y inamtosha alionea Sana binadamu amefanya watu Hadi waame nchi waliyozaliwa #romarudikumenoga

  • @barneymunuo5659
    @barneymunuo5659 3 роки тому +7

    Hivi Huyu bashite si akamatwe awekwe ndani Kwa kuchafua watu na kudhalilisha wafanya biashara..

  • @wachapakazimedia4353
    @wachapakazimedia4353 2 роки тому +3

    Kweli uongozi ni ulevi wa Hali ya juu hivi makonda alijua kesho yake?

  • @ibrahimusalumu5880
    @ibrahimusalumu5880 2 роки тому +3

    Dah nchi ilipitia pagumu sana hii😂🙌
    Wanaongalia hii clip 2021 gonga like apa

  • @nehemiamwasile8696
    @nehemiamwasile8696 3 місяці тому

    Nimeangalia leo ,12/4/2024 hatari

  • @chedielimrutu6955
    @chedielimrutu6955 2 роки тому +3

    Alisema waliotoa ushirikiano aliwaacha. Walitoa ushirikiano kivipi?! Kwanini umuachie mhakifu Kama unakomesha uhakifu. Hapo Kuna kitu nyuma yake. Kweli huu ni uvunjaji wa Sheria kumtuhumu mtu na hakuna aliyefungwa kwanini hawakupatikana na hatia!?

  • @robinhovanlameck5316
    @robinhovanlameck5316 3 роки тому

    Hayamaisha bana!!!! Jamaa alijisahau balaa!!!! Mwenzie chalamila anaimba. Ila dogo ulikua nazarau hatari

  • @mbwanarajab4756
    @mbwanarajab4756 2 роки тому +3

    Hii nchi Sijui ilikua ikienda wapi , alf watanzania wengi wanafiki wanasema tulikua pazur , hapo babaako anatajwa na hajui lolote na anaamua kujiua kwa fedheha kubwa alf watu wanasema mengi ya kusifia uongo na unafiki tu

  • @shaniathumanishaniathumani8515
    @shaniathumanishaniathumani8515 3 роки тому +2

    baba uko wapi baba umeshapotea hiyo ndyo Tanzania

  • @josephatjoseph1755
    @josephatjoseph1755 Рік тому +1

    Usingemtaja Gwajima bro ndo uliaharib

  • @innobugobola1694
    @innobugobola1694 3 роки тому +2

    Alikuwa anafanyia sifa akijua Tanzania nyake kumb kaikuta tu jmn

  • @davythomas3550
    @davythomas3550 3 роки тому +1

    Nakupenda sana makonda unaweza kazi, one day tz itajua thamani yako

  • @f.a6043
    @f.a6043 2 роки тому

    Balaa bado anaendelea kuwataja mpaka leo 2021 Dec. haogopi anaushahidi gani Mh. Shauri lako🤣🤣😆😆 jamaa alikua na jeuri Dah! hivi ilikua ni kweli au ni siasa za maji taka tu 😂😂😄😄 hatari sana
    Sasa Vodacom kazi ni kwako

  • @amirimohamedi392
    @amirimohamedi392 2 роки тому +2

    Bashite Kuma tu huyo Hana lolote afunguliwe mashitata sasa hivi nae ala was chui najuta alijifanya nchi ya mama yake hii makonda Kuma tu makonda afungwe

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 Місяць тому

    Mbona gwajima hakufungwa wala hakuwekwa ndani hao waliokuwa wanauza kweli mpska watoto wa wakubwa hukuwakamata wala hukusema

  • @samuelringo3991
    @samuelringo3991 6 місяців тому

    Nimeichek leo 2024 , nimegundua hali ni tete

  • @dapinitiative2451
    @dapinitiative2451 2 роки тому

    Leo 10/12/2021 nimeiangalia tena hii kitu 😂😂

  • @mdangadaniel2185
    @mdangadaniel2185 2 роки тому +1

    Bashite wewe ufungwe tu ulituondoshea manji wetu

  • @raybirry3816
    @raybirry3816 2 роки тому

    Yeye mwenyewe sio PAUL,ni DAUDI ALBERT forgery tupu! sheria inasema DAUDI MAKONDA awe jela miaka 7!

  • @fintanmkesha1077
    @fintanmkesha1077 2 роки тому

    Pole makonda majina mengne ulbgi ktaja

  • @josephfumbuka6543
    @josephfumbuka6543 7 років тому +5

    zero on a paper translates zero in a brain

  • @innobugobola1694
    @innobugobola1694 3 роки тому

    Mmh 2015 ilikuwa ya ...,......! Le Hy kwa Mama ayapo jmn

  • @zegelibilishanga6047
    @zegelibilishanga6047 9 місяців тому

    Safi karrbu tena

  • @amirimohamedi392
    @amirimohamedi392 2 роки тому +1

    Bashite afungwe Hana lolote afungwe hata bashite amezulumu makonteeina afunguliwe kesi Kama sabaya

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 3 роки тому +2

    Katika dhambi uliyoifanya ni hii.

  • @michaeliharani1134
    @michaeliharani1134 2 роки тому +1

    Wengine ulikuwa na ogomvi nao.

  • @hashimsaid5546
    @hashimsaid5546 2 роки тому +2

    Yaani huyu mtoto ni mpumbavu Sana mwanaharamu hakujua Kama meko ni binadamu na atakufa sasa Leo hii mi sijui Yuko wapi mbwa huyu

    • @salumumakombo9136
      @salumumakombo9136 2 роки тому

      mbona yupo tu anaenderea na shughuri zake za kawaida ...nenda kamkamate uone pa mnyoro

  • @philemonnestory4239
    @philemonnestory4239 2 роки тому +2

    Zamu yako Sasa imefika

  • @fredreckmwakalinga3475
    @fredreckmwakalinga3475 3 роки тому +1

    Huyu jambazi mbona mama Samia ashughuliki naye

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 Рік тому

    Kweli alikisea sana ndionaana kasahaulika kabisa

  • @user-or8zx1wv3n
    @user-or8zx1wv3n Рік тому

    😅😅😅😅 leo hii yuko wap kila kitu ni dhamana

  • @bakarimngazija6672
    @bakarimngazija6672 2 роки тому +2

    Nchi hii imepitia kwenye wakati mgumu

  • @stanleyshoo3606
    @stanleyshoo3606 3 роки тому +1

    Saiv ukowapiiiiii lndo tz banna

  • @athumanisudi891
    @athumanisudi891 2 роки тому +1

    Kila zama na nabii wake cjw yupo wap huyu kijana

  • @zegelibilishanga6047
    @zegelibilishanga6047 9 місяців тому

    Uludi bila uoga

  • @danielchibo6233
    @danielchibo6233 2 роки тому

    Mbiguni Tutafika Tukiwa Tumechoka

  • @calvinamon4125
    @calvinamon4125 2 роки тому

    Akili amna

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia8613 2 роки тому

    Mla huliwa...Zamu yako Sasa Bwana BASHITE.! Ulikuwa UNALOPOKA Tu.! Wote hao walikutwa hawana Hatia.

  • @bensonlucas7607
    @bensonlucas7607 2 роки тому

    Mpuuzi mmoja huyu

  • @lordymawoiya5818
    @lordymawoiya5818 2 роки тому +1

    Why can't you deliver those names to police instead mentioning names in public is it not against the law

  • @stevenhinjo9664
    @stevenhinjo9664 2 роки тому

    Unajua alichokosea ni hekima ilitakiwa kama amepewa hiyo orodha ya wauza unga angewaita kwa siri wahojiwe kwa sasa hawajathibishwa na hakuna aliyekamatwa ilikua vyema sana wahifadhiwe hadi in a prohibit O'Shea ndipo watangazwe.

  • @selemanishaame4174
    @selemanishaame4174 2 роки тому

    Jamaa kichwani hamna kitu kabisa huyu

  • @fredypastoryutd4864
    @fredypastoryutd4864 3 роки тому +1

    Hapa ndio alijiona rais kwelikweli, huyu dogo bana.

  • @raybirry3816
    @raybirry3816 2 роки тому

    MALI ALIZO NAZO NA MSHAHARA WAKE BASHITE, HAVILINGANI!

  • @hammysleyman4177
    @hammysleyman4177 2 роки тому

    Haya yakowapi sasa baada ya sabaya ni wewe...kijana dawa yako tayari subiri tiba...

  • @dismasvalerian6165
    @dismasvalerian6165 3 роки тому

    Baba kegan

  • @godfreymlay6069
    @godfreymlay6069 2 роки тому

    Unaijuwa dhambi wewe sasa ndiyo utajuwa kuwa ulikuwa ujui

  • @aminaathuman715
    @aminaathuman715 3 роки тому

    Dah jpm alipambana sana

    • @isakajunior7139
      @isakajunior7139 2 роки тому

      Alipambana na nani? Apambane na malaika kaburuni sasa km anaweza

  • @haidarbulush2426
    @haidarbulush2426 3 роки тому +2

    Shikamoo dunia

    • @henrystanley4077
      @henrystanley4077 3 роки тому

      Hahaha marahaba...naaam!!!hahahahahahahaaaaa...dunia ubadilika bhana kwahyo chunga sana mdomo kabla haujafika mwisho.. hahahhahah

    • @ramadhanimtetu7246
      @ramadhanimtetu7246 3 роки тому

      Safari ni Ndefu Sana
      Kila kitu Bora Uwe Mtu Wa kati na kati

    • @goodluckmalaba8992
      @goodluckmalaba8992 3 роки тому +1

      Hivi wewe bashite na huyo baba yako mwendazake mlifikir Tanzania ni yenu? Laa hasha hivi unaweza kuamini kuwa kweli ulifeli ? Je? Sasa unajisikiaje. Jamii unaiambiaje we matako

    • @veronicamlali9669
      @veronicamlali9669 2 роки тому

      Acha awatajeee au amyaje baba yako

  • @emmanuelshayo4897
    @emmanuelshayo4897 2 роки тому

    Una ishu ww

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 3 роки тому

    Zao la ubatili ni ubatili tu

  • @tareqhilal6750
    @tareqhilal6750 3 роки тому

    Wafuate kimya kimya sio kuwataja watakimbiA

  • @rahmazahor4333
    @rahmazahor4333 3 роки тому +2

    Zamu yako imefika.......

    • @georgesongo3617
      @georgesongo3617 2 роки тому

      Utashangaa pumbavu wewe umevuma mapesa kibao Sasa utazitapika.

  • @charlztitu7607
    @charlztitu7607 7 років тому +1

    n

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 3 роки тому +2

    Uyu Ndie Alikua Dereva Wa Dar.Sasaivi Majanga Tupu

  • @deejeydaev
    @deejeydaev 2 роки тому

    Itamkosti hahah

  • @hemediseleman1882
    @hemediseleman1882 3 роки тому

    duuh

    • @georgesongo3617
      @georgesongo3617 2 роки тому

      Mungu fundi kweli ulifurahia maisha Sasa unaishi kama kibaka tu huna amani tena

  • @frankfusi8972
    @frankfusi8972 2 роки тому

    Huyu bwana afungwe nae

  • @irakozejclaude7869
    @irakozejclaude7869 3 роки тому

    1:23 eti ni mukono wakulia au kushoto kutokana na upande gani unatokea 😀😀😀 hakuna maelekezo ya hivo

  • @pascopeter5366
    @pascopeter5366 3 роки тому +1

    Ulijiona utabaki kwenye hicho cheo

  • @amosimnyili2165
    @amosimnyili2165 3 роки тому +1

    Dunia imekunyoosha jeuri,kiburi tipuuu

  • @amirimohamedi392
    @amirimohamedi392 2 роки тому +1

    Huyu bashite no Kama mkuu was wilaya hai sabaya nae bashite apelekwe

  • @deokessy6288
    @deokessy6288 3 роки тому +1

    Zero brain

  • @amirimohamedi392
    @amirimohamedi392 2 роки тому +1

    Huyu Kuma bashite ashikwr

    • @veronicamlali9669
      @veronicamlali9669 2 роки тому

      Wewe unatukanaaa unajua athari za madawa ya kulevya au wewe no zero brain

    • @amiribakari2528
      @amiribakari2528 2 роки тому +1

      Haaah haka kajamaa kalikua kanafki kwelikweli..kweli mwisho wa unafki aibu..iv unajisikiaaje mzee bashite

  • @kuntakintekoko5320
    @kuntakintekoko5320 3 роки тому +3

    Yaani huyu ndiyo alikuwa mkuu wa mkoa, tupowe watanzania hichi chama cha ccm kimetufikisha pabaya kwa kupeana cheo wenyewe kwa wenyewe, kweli mtu mwenye akili timamu hazungumzi kiu tumbo tumbo kama hivi.Hata kama ni kweli hao aliowataja wamehusika bado hawaja hukumiwa na unafahamu wanapoishi kuna haja gani wewe kuwatangazia kwenye vyombo vya habari.

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 3 роки тому

      Na ndio alipopatia nafasi ya kuwachuma waoga ili wasibambikwe hiyo mikiki

  • @henrystanley4077
    @henrystanley4077 3 роки тому

    Hv huyu hajui kama hii ndio biashara kubwa kbs duniani na ndio inayoweka tawala zote duniani kwa jeuri ya pesa hahahahahaha...tatizo ni ukosefu wa akili tu ktk utawala...hv chunguza nchi zote haramu duniani ndio zenye uchuki bora kbs duniani...hahahaha hv hadi mashekh na mapadri wanapiga navyo hvyo hlf unataka kushindana nao khaaaaa...pole Sana ila tabia mbaya sana kutaja majina ya watu

  • @ilungasalle
    @ilungasalle 2 роки тому +1

    Ngosha ameshaoza kaburini naona unatamani ardhi ipasuke sasa. Una kesi inakusubiri kesho kutwa