MAMA MCHUNGAJI AWEKA WAZI UCHAWI WAKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 сер 2024
  • Please SUBSCRIBE to Robert Tv Tanzania official UA-cam channel, Anointed Man Of God Pastor Robert Raphael:
    / @roberttvtanzania
    #RobertTv #RobertRaphael #PastorRobertRaphael

КОМЕНТАРІ • 104

  • @kenonpeter3692
    @kenonpeter3692 Рік тому +3

    Kumbe Kusimama madhabauni na kuimbisha mapambio sikitu kwa malikia wakuzimu yuko kazini akijidai wa Mungu kumbe yukazini kufanya kazi ya ufalime wakimalikia wa kuzimu duhuu asante Yesu nimetambua adui anavyo fanya kazi

    • @euphrasiantawatawa1510
      @euphrasiantawatawa1510 Рік тому +3

      Yes,kuokoka ni jambo lingine na kuishi kwenye wokovu ni jambo lingine

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 Рік тому

      @@euphrasiantawatawa1510 𝚔𝚊𝚋𝚒𝚜𝚊𝚊

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Рік тому

      Si Kitu hata Mbele za Mungu si Kitu kabisaa Ni Mpaka uwe na Roho Mtakatifu na Awe yu hai Ndani yako vilivyo

    • @kenonpeter3692
      @kenonpeter3692 Рік тому +1

      @@trophywilson7211 NIkweli ndugu kumbe shetani aweza kuhigiza malaika wakusifu lakini ndani ajenti

  • @VeryMatonya
    @VeryMatonya 6 місяців тому

    Mungu atusaidie Dhaka unatoa pale unapo kula chakura cha kiroho Amina

  • @atulebelebiita3804
    @atulebelebiita3804 Рік тому +1

    Jamani kwani mafuta yanashida gani, chochea kalama yako acha kutazama kibanzi Cha mwenzio, yesu atakuja kupepeta ngano

  • @eliaikangui6543
    @eliaikangui6543 Рік тому +2

    BWANA YESU NAOMBA UKOMBOZI NA WANANGU AMEN

  • @luciansanga5195
    @luciansanga5195 Рік тому +5

    Mwenyezi MUNGU Hiitaji zaka ili Akubali Yeye Ana hitaji unyenye kevu Mbelezake tu na utii kwake

    • @furahamwatwinza9560
      @furahamwatwinza9560 Рік тому

      Ukshatii na kunyenyekea,,wajibu wako kutoa zaka ,,ni lazima malaki 3:10 ,,leteni zaka kamili,,,,,,,,,,,asema Bwana,,,,,,,,,,""""sasa kama Mungu ameagiza,utapingaje?

  • @jackbruno2470
    @jackbruno2470 Рік тому

    Poreni mama MCHUNGAJI ugitoka hapo usimame vizuri namungu funga omba maombi yanguvu asubuhi atahamisha atamirima mukiristo mda wote anakua tayari nagupambana na ichochote kinayoweza kugutokeya kanisa yoyo inafa gutokana unavyomutafuta mungu unavyo ombea uwe nahimani nagutafuta munga kwabidii

  • @sharnamoreen8195
    @sharnamoreen8195 Рік тому +2

    Umesema kweli, sio kila sehemu unatoa fungu la kumi, kutoka kenya tunafutilia.

  • @joycemaritim7370
    @joycemaritim7370 Рік тому +2

    Amen

  • @neemasullemani8715
    @neemasullemani8715 Рік тому

    Bwana mungu naomba anirehemu nami nipate mtoto Nina miaka 27 kwenye ndoa sijapata mtoto mungu nisaidie naomba msaada wa maombi

    • @murishisadock8042
      @murishisadock8042 Рік тому

      Us Kate tamaa Mungu anakuja amuchekeshe Sema amen kwa imani

  • @neemasullemani8715
    @neemasullemani8715 Рік тому

    Pole Sana mamangu kwa magumu na mungu akutangulie amina

  • @sophiamakani6133
    @sophiamakani6133 Рік тому

    Amen and Amen,Jina la YESU Christo lipewe sifa, samahani mm nadhani fungo la kumi na zaka ni tafauti.

    • @wannaproducts
      @wannaproducts Рік тому +1

      Sio tofauti ni kitu kimoja

    • @hopeayoub181
      @hopeayoub181 Рік тому +1

      Hakuna tofauti ni lugha tu, zaka ndio fungu la kumi

  • @florencemushi6561
    @florencemushi6561 Рік тому

    Wachungaji wana maneno ya kurubuni waumini juu ya zaka. Mungu hana upendeleo. Mungu huwa moyoni mwa mcha wake. Hayo makamisa mengine yana utaratibu mzuri sana wa kutumia zaka. Wapentevoste wanatajirisha mchungaji zaka haitumiku kama Mungu alivyoelekeza. Mungu ndiye anayebariki. Wachungaji wamekuwa feki kabisa

  • @joycerehema9258
    @joycerehema9258 Рік тому

    Kusema kweli, Mungu anaki hidhirisha ki kweli!!
    Hakuna kutafuta mambo mengine!!

  • @bitihaywajean3563
    @bitihaywajean3563 Рік тому

    Barikiwe Sana Babaa kwa Kazi hio ulio wezeshwa na Mungu ku fungua Nafsi za walio mateka wa kuzimu.

  • @ashanestor6304
    @ashanestor6304 Рік тому

    Mungu akutagulie Mama mangumu ulio yapitia

  • @rosemarygeofrey7014
    @rosemarygeofrey7014 Рік тому +1

    Mama wa watu jamani sio mchawi ,alikuwa anateseka bila yeye kujua ,mmemnukuu vibaya eti mama mchawi sijapenda

    • @wendomlahagwaolema6063
      @wendomlahagwaolema6063 Рік тому

      Huyu Mchungaji amemnukuu mama vibaya. Huyu mama hakuwa mchawi kwa kupenda, bali alikuwa anatumikishwa kwenye ndoto unwillingly. Alihitaji deliverance. Asante Rosemary wewe umeelewa kama nilivyoelewa mimi asante

  • @sonywajustus
    @sonywajustus Рік тому

    Mwokozi ni yesu, sio dini, kanaani ni dini, kanaani sio yesu, mwokozi ni yesu

  • @sonywajustus
    @sonywajustus Рік тому +1

    Kwa hiyo sio yesu unataka, uponyaji sio yesu [pata yesu upate vyote

  • @christinakilindila3924
    @christinakilindila3924 Рік тому

    Mungu atusaidie

  • @iddahpendo
    @iddahpendo Рік тому

    Amina

  • @user-ud9jk8bt1z
    @user-ud9jk8bt1z 6 місяців тому

    Sawa baba waumbuwe kanaan kiboko cha wachawi

  • @rosemichael5268
    @rosemichael5268 7 місяців тому

    Pole mama jamani

  • @wendomlahagwaolema6063
    @wendomlahagwaolema6063 Рік тому +3

    Hapa ninachokiona ni ushindani kati ya makanisa ambao ume overshadow deliverance ya huyu mama. Kichwa cha habari nacho kinapotosha. Kutokana na maelezo ya huyu mama, yeye hakuutafuta uchawi bali alikuwa anachukuliwa kwenye ndoto kwenye ulimwengu wa roho bila yeye kujua. So kwa nini Mchungaji anamhukumu kwamba ni mchawi. What she needed was deliverance na sio kusema yeye ni mchawi. Alitumikishwa bila kujua. Naona hapo Mchungaji ana misquote (kamnukuu vibaya). Vita vya makanisa ndio ninachokiona hapo

    • @silumbuatwambilile2284
      @silumbuatwambilile2284 Рік тому

      Ni kweli, hapa kichwa cha habari si sahihi, alisababishiwa si asili yake.Pia ninachokions hapa, kama ni muombaji hii hali inaingiaje? Hapa ipatikane tafsiri sahihi, kwanini mlokole ashindwe na wachawi?

    • @eligiamakota3025
      @eligiamakota3025 Рік тому

      Ni kwel huu ni ushindan ambao upo makanisan ad huu wkt bad makanisan yanaushndn mkubwa

    • @joycekileju3263
      @joycekileju3263 Рік тому

      Q

    • @lilianmbeyu
      @lilianmbeyu 7 місяців тому

      awe hakupenda au angependa tayari uchawi alikuwa nao,kikuu mama nimempenda kujikubali kwake Mungu amemuona,isipokuwa kuhama kanisa sio busara

  • @user-ds1km9wh2n
    @user-ds1km9wh2n 7 місяців тому

    Dqh mungu qtusqidie

  • @kamalajoseph7861
    @kamalajoseph7861 Рік тому

    See mungu tetea watumishi wako

  • @agnesmuhonja7468
    @agnesmuhonja7468 Рік тому

    JESUS CHRIST! ! !

  • @margaretzacharia5877
    @margaretzacharia5877 Рік тому

    K,t,k Nakuru pastor Niko pamoja niombehe Niko mngonchwa kwa tumbo mbaya na fura🙏🙏

    • @rosenyabuti8381
      @rosenyabuti8381 Рік тому

      Margaret Zachariah ktk nakuru, pole yesu, akufuneneke na damu yake.

  • @reitusnkondo
    @reitusnkondo Рік тому

    Reitus Nkondo Niko mbeya nafuatilia kipindi hiki mpka mwisho

  • @jackbruno2470
    @jackbruno2470 Рік тому

    Poreni kwachanga moto urokutanazo rakini pia navyowona shida kama izo zinakurya anza gu funga nagushamburia ndogushinda vita vinavogutokeya na wachungaji wengi hawafunga gi iri makanisa yao abate maono yakujua kama kanisa riko sarama au kunamatokeyo mabadaye sasa kama mama MCHUNGAJI anachezewa nawachawi washirika watabaki? Kanisa risiofunga hariwezi kuwa naroho mtagatifu washirika wanarikimbia kirasiku

  • @lydiahondieki5323
    @lydiahondieki5323 Рік тому

    Pastor naomba maombi kwamama yangu nimgonjwa yeyd kila mala nimgonjwa mwili mzima

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Рік тому +2

    Ndiyo maana mume wangu hakupenda nisuke kabisaa

    • @murishisadock8042
      @murishisadock8042 Рік тому

      Mke wangu kila aksuka anakuwa na ndoto mbaya Nami nilmkataza

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Рік тому

    Na Mimi nitawazuia maana sijaamini kama Kweli Huyo Ni Mtumishi wa Mungu aliye hai,Maana Matukio ni Mengi saana

    • @wendomlahagwaolema6063
      @wendomlahagwaolema6063 Рік тому

      Na mimi japo siyajui hayo makanisa mawili lakini kwa kuangalia hii video naona kuna shida mahali. Vita kati ya makanisa hayo mawili. Mungu mwenyewe ndiye atakayewakumu watu wake

  • @jamilahamis2462
    @jamilahamis2462 Рік тому

    Wote makafili niwacjawi miunguwenu masanamu filimasoni lisifa ibilisi nawachungaji wengi wachawi

  • @jelidaandrea2845
    @jelidaandrea2845 Рік тому

    Kuna watumishi wengine samejiweka wao ndio Mungu
    Hivi ukitoa zaka mwanye kubariki in Mchungaji? Au ni Mungu?

  • @claudinandonde3835
    @claudinandonde3835 Рік тому

    Zaka zinatolewa kwenye kanisa la mahali.

  • @mwavithaniyburana932
    @mwavithaniyburana932 4 місяці тому

    Zaka ni sadaka gani mutusaidiye tuelewe

  • @abdallahabdulaziz3683
    @abdallahabdulaziz3683 Рік тому +1

    Sasa kucheza cheza huko ndio mko kwenye ibada au mpo kwenye kigodoro na mdundiko? Kazi kweli kweli.

    • @yakobomkristo872
      @yakobomkristo872 Рік тому

      Abdallah Abdulaziz Ingieni Na Wake Zenu Misikitini, Mswali Nao Pamoja Kisha Msujudu Nao Pamoja Ndiyo Utajua Kucheza cheza Na Kusujudu Bora Nini.

    • @abdallahabdulaziz3683
      @abdallahabdulaziz3683 Рік тому

      @@yakobomkristo872 nyie NI wa motoni tu hata ukaruka ruka vipi biblia imeshakataza mwanamke kuwa kiongozi au kuzungumza mbele ya wanaume Tena agano lenu la walokole ndio linasema hivyo acha lile la kale lkn Leo walokole Kuna wachungaji wanawake tena wanamiliki Hadi makanisa yao hapo ndipo mtakapojua kuwa nyie NI wa motoni na NI kuni za Moto wa jahannam.

    • @yakobomkristo872
      @yakobomkristo872 8 місяців тому

      @@abdallahabdulaziz3683 Uelewa Wako Kuhusu Wanawake Ndani Ya Biblia Ni Mdogo, Wanawake Wangekuwa Dhalili Basi Mariam Mama Yake Nabii ISSA Hasingekuwa Na Surat Na Pia Hasingetajwa Mara Nyingi Kuliko Muhammad Ndani Ya Quran. Wanawake Oyeeeeeeeee....Mama Wa Taifa Letu Oyeeeeeee.....

  • @bazurimwemdi9060
    @bazurimwemdi9060 Рік тому

    Amena

  • @Neemakilimba
    @Neemakilimba Рік тому

    Hili kanisa liko wapi

  • @afraal2097
    @afraal2097 Рік тому +1

    👏👏👏👏👏👏👏

  • @rosenyabuti8381
    @rosenyabuti8381 Рік тому

    WATU WAKOMBOLWEKW kwa Jina YESU

    • @saadyusuph6554
      @saadyusuph6554 Рік тому

      Kumbe wanaojiita walokole mbona wote Ni wachawi nashangaa sana

    • @rosenyabuti8381
      @rosenyabuti8381 Рік тому

      @@saadyusuph6554 Saad yusuph sikuelewe una Sema nini nielesea walokole

  • @johnmayunga9557
    @johnmayunga9557 Рік тому

    Kwani wapentekosite hawajui wanajua kuwa kusuka nywele na kujipamba kwa mkristo siyo sahihi maana wanasoma biblia ila wametekwa na ibilisi 1petro:3:3--6;1timotheo:2:9 wanaosoma kila siku

    • @stanleyguthia7771
      @stanleyguthia7771 Рік тому

      Wanajua kuwa bibilia imekatasa kushuka nywele, ni vile tu wanakataa kutii neno la Mungu juu ya kupenda dunia(1 John 2:15-17)

  • @zuhuraladha9805
    @zuhuraladha9805 Рік тому

    Duuu mwanga halisi

  • @bekantowilolo66
    @bekantowilolo66 Рік тому

    Wewe Mzee acha kudanganya watu zaka apeleke wapi wakati ndio Baba ake wa kiroho

  • @Patrick-pj5ni
    @Patrick-pj5ni Рік тому

    66776 oo min

    • @eligiamakota3025
      @eligiamakota3025 Рік тому

      Mungu tu awe mwema weng huiba zaka na atimae hujiinua na madhara yake mungu umwacha mtu huyo tuwe waaminifu kwa mungu kaz Bado ni ngumu Bado tukaze mwendo.joshua kutoka Lindi.

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Рік тому

    Yaani hapo sielewi,Ametendaje dhambi??

    • @wendomlahagwaolema6063
      @wendomlahagwaolema6063 Рік тому

      Hakuna dhambi aliyotenda hapo.. alihitaji kuombewa na kukombolewa na hayo mateso. Wamemnukuu vibaya, eti mchawi, kwani uchawi aliutafuta? Na alikuwa anatumikishwa kwenye ndoto bila yeye kujua. Sielewi kwa nini anakuwa labeled mchawi hapo

  • @komudibwe866
    @komudibwe866 Рік тому

    maji na mafuta yanatatizo gani hata unakashifu, soma vizuri biblia,msipotoshe watu, we ndo umepoa, hivi hamfanyi utafiti kujuwa ukweli ? kama yesu alitumia we nani hata uongee hivyo jamani . flabbergasted !

  • @abdallahabdulaziz3683
    @abdallahabdulaziz3683 Рік тому +2

    Hapo ndipo mtakapokubali kwamba ukristo hamna kitu na Imani yenu yote mnajidanganganya NI ujanja ujanja TU wa waganga wachache wanaojiita wachungaji.

    • @lulanjamd3886
      @lulanjamd3886 Рік тому +3

      Abdallah Abdulaziz umesahau majini ni ndugu zenu mnasali nao mpaka msikitini.

    • @venancemwanya4212
      @venancemwanya4212 Рік тому

      @@lulanjamd3886 juzi kati kuna binti alipandisha majini,kelele balaa ,cc hatujui namna ya kuwatuliza ,mpaka alipokuja muislam mwenzake akazungumza nayo. Akwauliza mnataka nini? Yakajibu kuwa, huyu binti amekuwa haendi msikitini, na leo ni ijumaa hajaenda ndio maana tuna mwadhibu. Akawaomba pale kuwa atamwambia ajirekebishe ndipo yakamtoka yule binti na kurudi katika hali ya kawaida. Ni kweli wanasali nayo,na ni dhehebu lao. Tukio lilitokea pale mwalimu nyerer college.

    • @abdallahabdulaziz3683
      @abdallahabdulaziz3683 Рік тому

      @@lulanjamd3886 tunasali nao misikitini kivipi wakati mama huyo kasema yeye NI mama mchungaji anaimba mapambio anaombea lakini bado alikuwa anachukuliwa na wachawi bila ya yeye kujua na alikuwa anaswali kanisani miaka yote na mapepo na majini na mbona hakudhurika mbaka kaamua kuja mwenyewe kwa utashi wake kuielezea Hali take la sivyo asingeweza kujulikana mngesali Naye miaka yote bila kumjua ndio maana nasema ukristo NI dini ya wajanja flani waliojiongeza kwa waganga ili kupiga hela za MANYUMBU wasiojielewa.

    • @abdallahabdulaziz3683
      @abdallahabdulaziz3683 Рік тому

      @@lulanjamd3886 UNAKUMBUKA hapo mama huyo kasema alikwenda kwa mchungaji akamtabiria yote akampa na maji aoge na anywe Sasa Yule Kama hakuwa mganga ni Nani Yule Mana anasifa zote za mganga au mchawi nyie mnadanganywa tu angalia mnavyorukaruka kanisani Sasa hiyo ni ibada au kuita mizimu?

    • @estermahenge5972
      @estermahenge5972 Рік тому

      Ufaham wako mdogo Sana acha makasiriko kwenye dini za watu

  • @aneesaalwaneesah1150
    @aneesaalwaneesah1150 Рік тому

    Mcungaji wewe una chaguwa kongoo wrote ni sw Awe muislamu Awe mkrito msaidie

    • @abdallahabdulaziz3683
      @abdallahabdulaziz3683 Рік тому

      Nyie ndio msiojielewa Kama ni muislam Basi tayari umesharitadi na Sasa NI kafiri fi nari jahanam khalidina fihia abadan,na hii inatokana na kutokuijua dini yako Toto unalizaa hulipeleki madrassa hata alif halijui mzazi unategemea nini Sasa zaidi ya mtu Kama wewe kukimbilia mafuta ya upako sababu hujiamini Wala dini yako huijui pimbi wewe.

  • @mwavithaniyburana932
    @mwavithaniyburana932 4 місяці тому

    Zaka ni sadaka gani mutusaidiye tuelewe