lazima.ujue kujisimamia yani unapambana na wachawi hao wanakuangaishaje wanatakiwa wewe ndo uwaangaishe kwa maombi sasa wewe tena ndo wanakuangaisha kata wewe sio wakuangaishwa na wachai arafu wazarau awo waganga na wachawi wazarau na usije ukakiri tena hivyo jiamini simama omba wanatakiwa wakimbie wao sio wewe katoe sada funga na kuomba utawashinda yani mkpa unaona wanakuangaisha jikague na kama umeokoka jiulize na ujigague haiwezekani umeokoka wachawi wa kusumbue apana umeruhusu wewe hayo mazingirq
Humu makanisani ni SHIDA WATU karibia wote ni wachawi, swali langu nini hasa MAANA ya kuokoka? Na kabisa inakuwaje kunakuwa na wachawi kanisami,? Je mchungaji KAZI yake nini?
Huyo mama ametuzidi Akili Waliookoka,Maana sisi tumeokoka watoto wetu hawajaokoka
YESU Anawezaaa Ameeeeeen
Pole maman ila maman yako njo ame kufanyia makosa mungu amusamee maman yako aliye kuhingiza kwa hicho chama
Hee mungu ficha kizazi changu na damu ya yesu kristu wa Nazareth 🤲🤲
Naishiwaaa mimi kabisa
K,t, k Nakuru Amen pastor tuko pamoja kwamaombi 🙏🙏🙏
Mch angalieni hizi clip zenu hao wanaoongea huko nyuma.yake wanaharibu flow ya masimulizi
Wengine tusiwalaumu kwa uchawi mana wamefunzwa wakiwa ata watoto wachanga Mungu waokowe wachawi 😭
Ni kweli kabisa, wengi wamefunzwa wakiwa wadogo
Mzazi alifanya vizuri maana unachofundisha wanao iwe unachokipenda kwa moyo wote
Ameen...sauti ya maombi kwa jina la Yesu huangusha ngome👏👏👏🙏🙏🙏
Hapo unafurahia nin na unauliza vitu unafrahia badala ya kumhurumia vitu vya kutisha hivi
Yesu anaweza
Apo sio pakucheka mungu wafungulie
E mungu wanguuuuu
Dunia inamambo sana kweli
Yesu nimoto ulaooooo
Ameeeeeeeeeeen
Mtumishi wa mungu niombee wachawi wananiangaisha na familia yangu niombee sana
No
Mzee mbona kanisa lako wote Ni wachawi nawaogopa Sana watu wako
lazima.ujue kujisimamia yani unapambana na wachawi hao wanakuangaishaje wanatakiwa wewe ndo uwaangaishe kwa maombi sasa wewe tena ndo wanakuangaisha kata wewe sio wakuangaishwa na wachai arafu wazarau awo waganga na wachawi wazarau na usije ukakiri tena hivyo jiamini simama omba wanatakiwa wakimbie wao sio wewe katoe sada funga na kuomba utawashinda yani mkpa unaona wanakuangaisha jikague na kama umeokoka jiulize na ujigague haiwezekani umeokoka wachawi wa kusumbue apana umeruhusu wewe hayo mazingirq
Kumbe wachawi ni masikini hata kiswahili hawajui
Umasikini na Kiswahili mbona haviendani,umechemsha
Mungu akusaidie jamani
Babayao ninan?
Daw. Ni. Mambo yamoto
Ni Adeline barikiwa mchungaji Mungu akulinde na akuwezeshe kwa yote
Mchungaji mbonakama umemchanga nakitu. Mtuakija kwako msaidie sioutangaze muage nasiri kuokoa jamii
Humu makanisani ni SHIDA WATU karibia wote ni wachawi, swali langu nini hasa MAANA ya kuokoka? Na kabisa inakuwaje kunakuwa na wachawi kanisami,? Je mchungaji KAZI yake nini?
Dadaauwawa nakaka
Hawa ni wachawi2 hapo sio mwisho wa dunia2 Hawa wapo2 niwachawi2 asilia
Kukanyaga mtu mukiwa munamuombea tabia mbaya kweli,kuwa na disciplines please
Maskini mtoto mdogo asiyejielewa 🤦💔😭😭😭
Siajabu Wewe Bi shop Wanao hawajaokoka huoni huyo Mama ana akili saana ??sema yeye alielekea uoande mwingine
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Hawa watu ni watu wa mkoa gani????????
Kagera wilaya ya Ngra
MUCUGAGAJI KWANINI UNACEKA ???
😂😂😂 Na mimi najikuta nacheka kama mazuri! Ee Mungu wa mbinguni, tuko kwenye siku za mwisho, tuhurumie...
Uongo mtupu thubutu wamepangwa tu
Hakuna chauongo uchawi upo mm nimekaa nadada wakazi kumbe nimchawi akataka kuwatoa watoto wangu kafara uchawi alifundishwa nashangazi yaka.
Kwanza mtu aliyepangwa hawezi kuongea hivyo. Vijijini kuna uchawi sana hiyo ni kweli
IKO SIKU UTAELEWA UJANA UNAKUSUMBUA