#kivumbi

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 вер 2024
  • #mpina

КОМЕНТАРІ • 37

  • @anthonywilliam6510
    @anthonywilliam6510 22 дні тому +3

    Uyu ana uchungi na Tanzania hongera sana

  • @FrankMabinga
    @FrankMabinga 22 дні тому +4

    Hogera hoja nzuri mpina

  • @FintanMkesha
    @FintanMkesha 22 дні тому +2

    Big up sana

  • @kammunisi2296
    @kammunisi2296 23 дні тому +3

    Vivaaaa mpina vivaaaaaaa

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 21 день тому +2

    Tupo na Wewe Luaga Mpina Mpaka Uwe Rais"

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 22 дні тому +1

    Mpina ni mmoja wa kiongozi mzuri kwa watanzania anaelimisha jamii kwa kujitowa kafara maana mafisadi watamchukia

  • @ZakayoJoseph-g5p
    @ZakayoJoseph-g5p 22 дні тому +1

    Wewe ni kiongozi Kuna kitu ndani yako

  • @phchouseprintmwanza8123
    @phchouseprintmwanza8123 22 дні тому +1

    Safi sana

  • @MussaEmmanuel-ll2mz
    @MussaEmmanuel-ll2mz 19 днів тому

    Kwel

  • @talefilmsa8768
    @talefilmsa8768 22 дні тому +1

    Mpina Anahoja jamanii

  • @MkingaJulius
    @MkingaJulius 23 дні тому +4

    Luhaga tunataka agombee urais

  • @user-eo4bl3do8k
    @user-eo4bl3do8k 22 дні тому +1

    CCM ILE YA NYERERE SIO YA SASA ,CCM YA SASA NI WIZI ,UBADHIRIFU KWENDA MBELE,,,WIZI WANALINDWA KAMA UTAKUWA CCM,,HII INASIKITISHA. CCM HAWATAKI KATIBA MPYA KWASABABU KATIBA NI UFUMBUZI WA MATATIZO YOTE HAYA YANAYOJITOKEZA,

  • @user-ci7yb7ek4c
    @user-ci7yb7ek4c 22 дні тому

    Wewe mpina acha kujisafisha kwa kuwapakazia wenzako sema pointi za kututoa hapa tulipo

  • @MalimaSitu
    @MalimaSitu 22 дні тому +1

    Ww ni mbunge mzoefu 2025 uskate tamaa chukuwa from ya umbunge tena na utakuwa wazili wa kilimo

  • @AmenMushi-j2j
    @AmenMushi-j2j 22 дні тому +1

    Tumepewa begun bovu na mbolea mbaya hatujavuna mahindi mwaka huu

  • @UwezoMponda
    @UwezoMponda 22 дні тому

    🎉

  • @ConradMbokosi
    @ConradMbokosi 22 дні тому

    Huu niwakati wa kuchunguza wapinzani wana mipango gani

  • @FadhiliFedirick
    @FadhiliFedirick 22 дні тому +1

    Safi sana Kaka Mpina upo sahihi Kabisa

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 22 дні тому

    Mpina peleka mahakamani hao majambazi ,bashe mwigulu, makamba na nape na mbawala

  • @NgolloStan
    @NgolloStan 22 дні тому

    Mheshimiwa Mpina kipindi akiwa waziri wa Mifugo na uvuvi ndo tuseme hayakuwepo Madudu yaliyofanyika kipindi hicho kwenye hyo wizara?Leo hii amekosa wizara ameanza kuyaona madudu yanayofanywa na wenzake?

  • @HabibuSalumu-iv5wl
    @HabibuSalumu-iv5wl 22 дні тому

    Kama vile katusaidia walaji kupima samaki katutetea wanyonge kutoka sangara aliyekuja anauzwa elfu tatu Leo tunanunua kilo ya sangara huyo sh. 13,000# Leo tunamwita anatetea wanyonge

  • @JohnManyilizu-rl5bm
    @JohnManyilizu-rl5bm 23 дні тому +1

    Mpina safi

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds 23 дні тому +1

    Karibu chadema chama cha wapigania haki CCM imeoza

  • @ZakayoJoseph-g5p
    @ZakayoJoseph-g5p 22 дні тому

    Sasa tunaona mbegu ya magufuli inchi Tanzania kumbe Kuna mbegu. Sasa tunaona mbegu ya mag

  • @FellaMbogela
    @FellaMbogela 23 дні тому +1

    YUKO VIZURI L. .MPINA

  • @user-ir7fv8dv2s
    @user-ir7fv8dv2s 22 дні тому

    Bungeni mungekuwemo wa bunge 10 wanaonena ukweli kama wewe saizi mambo yangekuwa yanaenda jinsi inavyoitajika

  • @KimanguShemwaliko-ht2jr
    @KimanguShemwaliko-ht2jr 23 дні тому +2

    Tunakuunga mkono

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 23 дні тому +1

    Mana samia mpina nijembe mpe wizara ya kilimo atatufaa sana hapa kwetu tz

    • @SmilingElectricCar-ds4li
      @SmilingElectricCar-ds4li 23 дні тому

      Alishindwa wizara, ubunge tu ndio anaweza. Bora Msukuma ndio natamani awe waziri

    • @user-nu1oo7mt9d
      @user-nu1oo7mt9d 22 дні тому

      🙆

    • @ShamteMohmed-ed2kk
      @ShamteMohmed-ed2kk 22 дні тому

      Alishashindwa uwaziri tangu enzi za JPM huyo. Mbwembwe tu na hofu ya kufukuzwa, Hilo Jimbo lishaenda chadema kilaini Kama lile la Awa Ghasia kule mtwara .

  • @lawrenceshekinyashi8243
    @lawrenceshekinyashi8243 23 дні тому

    Ntakupa kula yangu ukigombea.

  • @AnnoyedBooks-kn5pm
    @AnnoyedBooks-kn5pm 23 дні тому

    Muuuuuh helu maza mpena gete

  • @AmenMushi-j2j
    @AmenMushi-j2j 22 дні тому

    Mm

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 23 дні тому

    Tupo nyuma yako

  • @augustinomlowe8059
    @augustinomlowe8059 23 дні тому

    Tupo nyuma Yako 😂😂😂