#livestream

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 січ 2023

КОМЕНТАРІ • 86

  • @carolinemwugusi8945
    @carolinemwugusi8945 Рік тому +6

    Huyu pastor ni wabaraka sio kwangu tu ila kwa wengi Mungu akutunze na familia yako nimejifunza mengi kutoka kwako na maisha yangu ya wokovu yamebadilika sana God bless you abundantly

  • @frankmchomvu9447
    @frankmchomvu9447 Рік тому +17

    Mungu akutunze sana Pr. David. Hujui tu ni kwa kiwango gani unatubariki. Najifunza mambo mengi sana kutoka kwako. Natamani siku moja upate nafasi uje kuongea na vijana wetu wa TUCASA Chuo Kikuu Mzumbe. I know upo very busy ila naamini Mungu ataruhusu hilo siku moja. Ordinarily, I don't comment on these platforms ila leo imenibidi. May our Almighty God richly bless you.

  • @asooraaasooraa4816
    @asooraaasooraa4816 16 днів тому

    Mungu akubariki zaidi pastor Aseee hili somo nimelitafuta sana siku nilikutana na video fupi ya somo Aseee nikaipost yaani ilibariki wengii sana hata ambao ni wa imani ya....) walihitaji Mwendelezo sasa nitawapatoa wote❤❤❤

  • @GrinaSanga
    @GrinaSanga 9 днів тому +4

    Mimi ni likua mlutheri siambiliki lakini mahubiri yako pasta mmbaga yamechakingia kiasi kikubwa mpaka nmekua muadventista na nimebatizwa tayari barikiwa sana

    • @judithkimbute2691
      @judithkimbute2691 2 дні тому

      Ninapenda kwanza kukupongeza kwa kazi ya Mungu Pili niandike hapa shida yangu au nikuite kwa simu nipe no yako please

  • @etoabwe3451
    @etoabwe3451 Місяць тому

    PR.DAVID Mungu wetu azidi kukubariki mafundisho yako unayotufunza yananibariki sana tena yananiongezea imani maana yanaamsha kilicho kuwa Kinalala ndani ya maisha yangu.

  • @bahatijohn1958
    @bahatijohn1958 Рік тому +2

    Pr wewe ni peponi Moja Kwa moja Mungu akutunze mtumish wa Mungu

    • @suzanmohere5311
      @suzanmohere5311 3 місяці тому

      Mungu ndo ajaye aendaye peponi na wala si mwanadamu ndugu yangu Mungu njia zake hazichunguziki

    • @davidkilajaga8842
      @davidkilajaga8842 2 місяці тому

      🤣🤣🤣 Najua ni upendo tu, na ku onyesha msisitizo

  • @nadinekatungu6987
    @nadinekatungu6987 Рік тому +1

    Asante pasta île unasema ni kweli ukifuturu unachiba sana inaweza ukaharishe tena damu matumbo yalikua hayatumike sasa unaitumikisha tena vilivyo vigumu ni shida.asante barikiwa

  • @eunicemund4454
    @eunicemund4454 Рік тому +2

    Pastor umenitoa mbali sana, umenijenga kiimani na kutokuogopa

  • @isabellanyamboga6325
    @isabellanyamboga6325 Рік тому +1

    Always blessed with your teaching

  • @everlynemoraa6214
    @everlynemoraa6214 Рік тому +1

    Kazi nzuri mchungaji, naomba kujua tofauti ya moyo na roho????

  • @felisterminja
    @felisterminja Рік тому +1

    Nimebarikiwa Sana leo Mch Mbaga umenifurahisha Namwomba Mungu atujalie Mch nasi tuwe na nyumba za maombi Kama Korea, hapa wenzetu Wana nyumba za maombi Mungu Tupe neema

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  Рік тому

      Wow!

    • @lydiamo2503
      @lydiamo2503 10 місяців тому

      Nyumba za maombi zipo ila ni za madhehebu mengine

    • @paulinacharles8969
      @paulinacharles8969 Місяць тому

      ​@@lydiamo2503Nyumba za ibaada ndizo nyumba za maombi. Lakini jua hili Lydia; mahali popote utakapotaka kukutana na Mungu kwa faragha, panafanyika mahali pa maombi maana hua Anashuka kukusikiliza. Hivyo tufanyapo ibaada jua Mungu yuko hapo. Fanya kwa unyenyekevu ukijua Mfalme wa mbingu na nchi uko naye. Ongea naye kwa ujasiri. Mungu awe nawe my dear.

  • @UserUser-gq1ir
    @UserUser-gq1ir Рік тому

    Asante pastor kwa fundisho sahii mungu akubariki

  • @suzanmohere5311
    @suzanmohere5311 3 місяці тому

    Soma zuri sana la urahibu asantee nimebarikiwa sanaa.Mungu akutunzeee

  • @WilliamOkoth-yv1kl
    @WilliamOkoth-yv1kl Рік тому

    Nabarikiwa sana Mungu anisaidie nataman kumcha Mungu kweli kwel

  • @Grace-go3cr
    @Grace-go3cr Рік тому

    Ubarikiwe poster mungu ni nimwaminifu amen

  • @neemamwanjala
    @neemamwanjala Рік тому +1

    Mtumishi wa Mungu Mbaga,Mimi sitaongea Mengi, ila Maadui wako wote wa angushwe chini warudi Nyuma,watanyike,wakimbie kwanjia zaidi ya saba,Nitafurahi nikibahatika ukasoma ujumbe wangu, Nitumie vitabu vyako vyote ulivyo andika, nijulishe gharama zake nitume Hera, Naitwa Andrew Paulo Mwakitwange ,Niko mbeya,Dr. Wa Tiba asiri wa (Afya kwanza) TUKUYU.

  • @stevenkaunda1124
    @stevenkaunda1124 Рік тому +14

    Kiukweli Mtumini nabarikiwa sana na mahubiri yako Mimi ni Anglikana lakini Mungu unaemuhubiri ndo huyu huyu anaehubiriwa Anglikana kwetu. MUNGU AKUBALIKI NA AKUPE AFYA

  • @leahwainaina4396
    @leahwainaina4396 6 місяців тому

    Amen

  • @stevenbamba7489
    @stevenbamba7489 Рік тому +1

    Hallelujah, Bwana apewe sifa

  • @veronicajimisha61
    @veronicajimisha61 Рік тому

    Nabarikiwa sana Pastor, all the way from Moshi Central

  • @Rhoda_Mbagathei
    @Rhoda_Mbagathei Рік тому +2

    I pray to God one day I can visit Tz just to see you. God bless you all the from 🇰🇪 Kenya.

  • @ttuphenarutto653
    @ttuphenarutto653 Рік тому

    Asante mchungaji nimebarikiwa mno nasikia nimepata nafuu wa Imani

  • @gloriamasaka7635
    @gloriamasaka7635 Рік тому +1

    Asante sana tuombee hapa nyumbani na uraibu kwa kweli MUNGU atushindie

  • @DorikasiMulemwa-r3y
    @DorikasiMulemwa-r3y Місяць тому

    Amina

  • @catherinekihengu2420
    @catherinekihengu2420 Рік тому

    Amina ubarikiwe pastor

  • @sallahmwakalombwe454
    @sallahmwakalombwe454 Рік тому

    Amina mtumishi tunabarikiwa sana sana kila siku tunapiga hatua

  • @Grace-go3cr
    @Grace-go3cr Рік тому

    Nataka uniombee nibate madam musuri Amen

  • @davidkilajaga8842
    @davidkilajaga8842 2 місяці тому

    Ki ukweli kabisa, Una ni bariki sana wajina Wangu, Mungu akutie nguvu

  • @Kivukutv
    @Kivukutv 6 місяців тому

    Barikiwa

  • @danielmacharia1349
    @danielmacharia1349 Рік тому +1

    Pastor sahihisho kidogo tu,Ni 2 Corinthians 5:17 wala sio 1 Corinthians 5:17,

  • @mussacharles5311
    @mussacharles5311 4 місяці тому

    Mchungaji kwakweli mimi kubet kunanigalimu sana.

  • @tracychesoli2900
    @tracychesoli2900 19 днів тому

    Be blessed

  • @mabenaluca6824
    @mabenaluca6824 Рік тому

    Nabarikiwa sana na somo la leo MAOMBI YA VITA

  • @hassanhussein6161
    @hassanhussein6161 Рік тому

    ameni mtumishi wa mungu nabarikiwa sana

  • @rebeccalume3660
    @rebeccalume3660 Рік тому

    Ameen Mungu akubalik mtumishi

  • @tracysally-im7fw
    @tracysally-im7fw 9 місяців тому

    Mchungaji na betting pia imekuwa mzigo,mwombee mume wangu,

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Рік тому

    Nashukuru mchungaji kwa kunibadilisha vitu vingi kwenye chakula na mahubili mazuri Sana Asante Sana

  • @danielkituku6275
    @danielkituku6275 Рік тому +1

    Mtumishi mahubiri Yako ni mazuri Naya hekima sana barikia sana

  • @Grace-go3cr
    @Grace-go3cr Рік тому

    Pastor niombee sababu chana niliambiwa napossy nakubeleka kasi tena akanirudisha naomber niombee

  • @lyliosenuwayo
    @lyliosenuwayo Рік тому

    Mungu abariki Neno lake na abariki nawewe mchungaji🙏🙏

  • @amjudith
    @amjudith Рік тому +1

    God bless everyone

  • @faithmtokambali9437
    @faithmtokambali9437 Рік тому

    Ameen,,nabarikiwa sana

  • @adarashidi8178
    @adarashidi8178 Рік тому

    Amen Ubarikiwe sana mtumishi wa bwana

  • @claudinebatamuriza4936
    @claudinebatamuriza4936 Рік тому

    Amen 🙏🏿

  • @bernadettemuzaliwa8373
    @bernadettemuzaliwa8373 Рік тому

    Jambo mtumishi wa bwana.kweli nabarikiwa sana kwa somo la maombi ya vita. Mungu azidi kutiya nguvu. Neema ya bwana hikukumbatiye.

  • @shaniachanceline2751
    @shaniachanceline2751 Рік тому

    Amen 🙏 🙏 🙏

  • @sebastianharun800
    @sebastianharun800 Рік тому

    Nabarikiwa Sana

  • @tracysally-im7fw
    @tracysally-im7fw 9 місяців тому

    Pastor je Nikifuturu na matunda je?

  • @felisterminja
    @felisterminja Рік тому +1

    Naomba Uniombee plaster laana ya magonjwa na uharibifu wowote kwangu na uzao wangu nakataa Kaka yangu amekuwa rahibu wa pombe na uzinzi ,naomba ugonjwa wa presha kwa jina la Yesu

  • @jemimakengia7308
    @jemimakengia7308 Рік тому +1

    Siku yakikukuta

  • @priscakihengu1045
    @priscakihengu1045 Рік тому

    BWANA akulinde na kukufadhili

  • @theopisterkalegea9899
    @theopisterkalegea9899 Рік тому +1

    Amen 🙏

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Рік тому

    Leo nimepata madini ya kutosha kutoka kwako Hadi nashangaa

  • @jemimakengia7308
    @jemimakengia7308 Рік тому

    Saaa yaja

  • @MN-hi8ll
    @MN-hi8ll Рік тому

    Ndiyo kamari urahibu

  • @MN-hi8ll
    @MN-hi8ll Рік тому

    Mchungaji na wali

  • @maryachuti4997
    @maryachuti4997 Рік тому

    It's James.who said.about anointing the patient not mark.

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  Рік тому +2

      Yakobo 5:14 Mtu wa kwenu amekuwa hawezi? Na awaite wazee wa kanisa; nao wamwombee, na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana.
      Marko 6:13 Wakatoa pepo wengi, wakapaka mafuta watu wengi waliokuwa wagonjwa, wakawapoza.

    • @samsonelijah3897
      @samsonelijah3897 Рік тому

      Mungu akubariki

    • @rebecadaniel
      @rebecadaniel Рік тому

      Pasta tunabarikiwa mnoooo

  • @hadijamlokakuzenza2146
    @hadijamlokakuzenza2146 Рік тому

    Uhakika tumekuwa wahanga kwa hizi simu

  • @judithnjalambaya2450
    @judithnjalambaya2450 Рік тому

    Amen

  • @zawadiamuli4186
    @zawadiamuli4186 Рік тому

    Mutumishi wa Mungu huishi milele

  • @esthersimuli9952
    @esthersimuli9952 5 місяців тому

    Amen

  • @elizabethgodfreytondo3052
    @elizabethgodfreytondo3052 Рік тому

    Amen

    • @danielmbari4647
      @danielmbari4647 Рік тому +1

      Very true indeed I'm Daniel from Nyahururu Kenya 🇰🇪..kindly find time n come here to take more souls to christ through gospel

  • @Ungwamissi
    @Ungwamissi Рік тому

    Amen

    • @odettemaman
      @odettemaman Рік тому

      Mimi ni mukongomani naitaji oponyezi waaroho namwili.

    • @bernadethanyarufunjo9518
      @bernadethanyarufunjo9518 Місяць тому

      Mchungaji Mungu akubariki sana,umenisaidia sana mtu wa Mungu.Mungu aitunze familia yako