Hakika, Tai anafanya kazi vyema. Ubarikiwe sana mchungaji . Umekuwa MIBARAKA kwangu tangu niaanze kukufuatilia katka Huduma zako , sijawahi kujuta. "Hakika Mbinguni Kuna kiti chako "
Mchungaji ninakushukuru SANA ninakufuatilia YTUBE na nimefundishika mambo fulani yaliyonikera SANA na nimejaribu kijinasua na kwenda MBELE za MUNGU kibinafsi SAAAANA kunena na YESU KABISA ANISAIDIE. AMEN
Pastor unatisha kila wakati nasikiliza mafundisho na kweli yamenisaidia sana kuna mambo nilikuwa siyajui. Lakini sasa nimeelewa Mungu akubariki na sana na azidi kukupa upako zaidi.
Balikiwa saba Mchungaji be blessed nawafatiria sana kutoka Malekani, 🙏🏾🙏🏾 lakini naomba sana munisaidie kwa maombi niko na misukosuko Pray for me and my Familys
Nasikia iyo maisha njo n'a penda niya ishi ila amenitesa sababu wengi hawataki kutenda mema ninapo tenda mema popote wananigeuza mjinga ila mimi naya fanya kwa kuishi neno la mungu ila naonewa kwa hili naitwa naitwa mujinga
Pole sana dada yangu ila endeleya kuishi tu iyo iyo maisha ambayo Bwana YESU anaipenda apana ya binadamu sababu ata kila mtu akuchukiye na Mungu angali NAKUPENDA tatizo iko wapi achana na wanadamu ishi tu iyo iyo maisha ambayo Bwana Mungu anaipenda
Pole sana dada yangu ila endeleya kuishi tu iyo iyo maisha ambayo Bwana YESU anaipenda apana ya binadamu sababu ata kila mtu akuchukiye na Mungu angali NAKUPENDA tatizo iko wapi achana na wanadamu ishi tu iyo iyo maisha ambayo Bwana Mungu anaipenda
Mimi mutumishi manga an isaidie à nifasilie mbinu 2 za kuingia mbinguni kwani iyo tu njo n'a chunga aya mengine maelezo imenivuruga hâta moja sisikii n'a tamani sikia mbinu 2 za kuingia kwa MUNGU
Barikiwa sana mtumishi
Hakika, Tai anafanya kazi vyema. Ubarikiwe sana mchungaji .
Umekuwa MIBARAKA kwangu tangu niaanze kukufuatilia katka Huduma zako , sijawahi kujuta.
"Hakika Mbinguni Kuna kiti chako "
Jambo mchungaji ninalazima ya namba yako niko ku Congo ao kongo
NASHUKURU UNAOKOA ROHO KWA MBALI BE BLESSED PASTOR
Ahsante,, Barikiwa
Pastor jitahid Sana tukutane mbinguni Mungu atusaidie Kwa jina la Yesu Kristo
Mchungaji ninakushukuru SANA ninakufuatilia YTUBE na nimefundishika mambo fulani yaliyonikera SANA na nimejaribu kijinasua na kwenda MBELE za MUNGU kibinafsi SAAAANA kunena na YESU KABISA ANISAIDIE. AMEN
Ubarikiwe pst yaani unaongea ukweli kabisaa, mungu atusamehe na kutusaidia tuwe wema mbele zake.
Mungu akujalie maisha marefu mtumishi
Pastor unatisha kila wakati nasikiliza mafundisho na kweli yamenisaidia sana kuna mambo nilikuwa siyajui. Lakini sasa nimeelewa Mungu akubariki na sana na azidi kukupa upako zaidi.
Batikiwa mutumishi was mung u kwa mafuso mazuri kutufusa.jisi ya kuwasaindia wengine na kuwabenda jiraniwetu 🙏🙏🙏🙏
Amina
Balikiwa saba Mchungaji be blessed nawafatiria sana kutoka Malekani,
🙏🏾🙏🏾 lakini naomba sana munisaidie kwa maombi niko na misukosuko Pray for me and my Familys
Hata kama tulipo mbali Congo, nina imani kuwa maombi hayo nasi tunabarikiwa pamoja. Mungu atubariki sote
Amen
Poster toka nianze kukufatilia nimejifunza mengi sana,,na sas haipiti siku bila kuangalia post zako Mungu akubaliki sana
Nasikia iyo maisha njo n'a penda niya ishi ila amenitesa sababu wengi hawataki kutenda mema ninapo tenda mema popote wananigeuza mjinga ila mimi naya fanya kwa kuishi neno la mungu ila naonewa kwa hili naitwa naitwa mujinga
Pole sana dada yangu ila endeleya kuishi tu iyo iyo maisha ambayo Bwana YESU anaipenda apana ya binadamu sababu ata kila mtu akuchukiye na Mungu angali NAKUPENDA tatizo iko wapi achana na wanadamu ishi tu iyo iyo maisha ambayo Bwana Mungu anaipenda
Pole sana dada yangu ila endeleya kuishi tu iyo iyo maisha ambayo Bwana YESU anaipenda apana ya binadamu sababu ata kila mtu akuchukiye na Mungu angali NAKUPENDA tatizo iko wapi achana na wanadamu ishi tu iyo iyo maisha ambayo Bwana Mungu anaipenda
Amina@@fredericktresor4344
Amina BWANA akubariki sana PASTOR
Barikiwa Mchungaji Mmbaga kwa kazi nzuri unayoifanya maana inaleta amani moyoni .
Mimi mutumishi manga an isaidie à nifasilie mbinu 2 za kuingia mbinguni kwani iyo tu njo n'a chunga aya mengine maelezo imenivuruga hâta moja sisikii n'a tamani sikia mbinu 2 za kuingia kwa MUNGU
Nabarikiwa sana pr mmbaga
Mungu atukuzwe na akubariki na kutafuta sana mchungaji kwa ajili ya Mwanangu
Mungu azidi kukupa nguvu zaidi
This sermon was so amazing ❤
Kanuni ku2 ni kuka nanjaa mpaka ufee
Nashukuru my pastor naomba uniombee ninaumwa sanaa na cjui naumwa nn
Thanks pastor for this message because it makes me to know my defects of having boundaries with other churches I’m sorry for my mistakes be blessed
Muchungaji Bwana akuzidishiye ufunua muzuri kama huu Mara tena , ubarikiwe daima
Ni kweli
Ubarikiwe sana mchungaji,, nabarikiwa sana masomo yako
Awesome
Mungu akubariki sana tunakuombea sana Mungu azidi kukuinua.
Mtumishi Bwana Yesu akubarik
Ukweli si wote wabebao BIBLE ni wa MUNGU kama wale walishikwa Kenya.
Thank you pastor for this great teaching. I'm ever blessed and be blessed too, AMEN 🙏!
Mungu akubariki saana
Amina Pr
Amen
amina,ubarikiwe pastor
it's very true 👍
Sio wote wamuitao bwana bwana ni watu wa Mungu
Mungu akubaliki🙏🇹🇿🕊️
Ubarikiwe xana wewe pamoja na familia yako
Amen 🙏🏻
Ameeen in the name of JESUS Christ 🙏
Asante sana mchungaji!!!!
Amen Amen ❤️🔥❤️🔥
Mama angu anataka niaguliwe mimi sitaki,mchungaji mmbaga hapo nifanyeje?
Ameeni
yes
Amena ❤
Amina pastor
hii imerudiwa ?
Hii narcissist tumeombea sana .... But ilibidi tusongesonge cause of my inner peace.
Pastor sound kwa video hii imesumbua ila ujumbe umefika
Allelluya
Beautiful teaching
Be blessed
Amina 🙏amina
❤
🙏🙏
Uje na kaham mchungaj
Ame
Nimefatilia mahubiri na mimependa sana jinsi unaposema kwamba haijalishi jambo ambalo linafanyika kanisani mradi Biblia inapinga, wachana nayo.
Lesson ina lazimishwa kununua na kwanini zote Zina story za nje ya Tanzania tutengenezewe za story zetu
Kununua lesson ni muhimu kiroho,,lakini mtu wa mungu story za Tanzania hazibadilishi moyo wa mkristo..
Pastor Nina hamu ya kusikia ila zinakuaga mbili afu ukielezeaa unakuta ni zoteee kumbee😅
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏
MCHUNGAJI NINA SHIDA NA WEWE NAKUPATAJE.
+255 755 932 283
@@MahubiriPrMmbaga mm nakubali mungu anakutumia
@@MahubiriPrMmbaga barikiwa sasa🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@@MahubiriPrMmbaga Kila siku nasikiliza mahubiri
@@MahubiriPrMmbaga niombee afya yangu inashida
Amina