Profesa JANABI ataja sababu WATU kuzeeka mapema ''TUNZA afya ikusaidie UZEENI siyo FEDHA''

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024
  • track.pari-tz....
    Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Mohamed Janabi amesema asilimia kubwa ya watu wanatunza fedha ili ziwasaidie uzeeni na kusahau kutunza afya zao.
    Janabi amesisitiza tofauti na kutunza afya hakuna kitu kitakachokuwa na manufaa uzeeni kama afya imetetereka ikiwamo fedha.
    "Nafikiri ungetunza afya ikusaidie uzeeni kwa sababu fedha hizi zitakuja kukusaidia kulipia matibabu ya magonjwa hospitalini. Unafanya kazi miaka, unahangaika mjini miaka yote ili ukipata fedha uanze kuja kulipia betri za moyo nafikiri hiyo sio nzuri," amesema Profesa Janabi.
    Janabi amesema hayo alipofanya mahojiano na vyombo vya habari Jijini Dar es Salaam, huku akisema hajawahi kuwakataza watu wasile chakula, bali wasile ovyo na kula kwa wastani ili kuepuka magonjwa yasiyo ya lazima.
    "Tunashauri kupunguza vyakula vya wanga na vyenye sukari.”
    “Pia tunakataza ulaji wa vyakula vya kusindika, kwa sababu ili vikae muda mrefu kwenye shelfu lazima viwekwe kemikali, chumvi na sukari," amesema Profesa Janabi.
    Ili kufahamu zaidi alichozungumza Profesa Janabi, usikose Jarida la Afya Februari 23, 2024 pia endelea kufuatilia gazeti la Mwananchi na mitandao yake ya kijamii.

КОМЕНТАРІ • 259

  • @Mwananchidigital
    @Mwananchidigital  6 місяців тому +5

    Cheza sasa kupiti shorturl.at/jqzU6 na ushinde

    • @restitutamallya-pk5dr
      @restitutamallya-pk5dr 6 місяців тому +1

      Hongera Dr Kwa somo zuri.... keep it up.... achana na hao wanatoa kweli.

  • @user-ls2uj3fl1o
    @user-ls2uj3fl1o 5 місяців тому +23

    Binadamu bwana baba wawatu katuelimisha kama hujamuelewa acha endelea kuishi maisha yako hakulazimishi lakini siyo kumvunjia heshima siku ukuendea pale afya imegoma ndipo utajuwa umuhimu wake tujaribu kuwa na heshima jamani

    • @NdeshaPaul-uz9bw
      @NdeshaPaul-uz9bw 2 місяці тому +1

      Sawa sana daktari ila ukumbuke Kuna kukosasa na inakula chochote unachoata. Hali za maisha kwa Sasa hata kutunza afya ni vigumu labda isile

    • @rosemarysulle9288
      @rosemarysulle9288 2 місяці тому +2

      Huyu dr mi namkuli mno na namfuatilia sana,tatizo la watz wanapenda mno kula sijui kwnn

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 6 місяців тому +13

    mashaAllah this is the best education that we need to understand the most.

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo 6 місяців тому +8

    Baada ya kusikiliza hii maisha yangu yamepata mwanga mpya sana.. Ubarikiwe sana daktari kwa haya maarifa mimi ninafanyia kazi, kiukwel afya ndio mtaji wa kwanza ukichezea afya leo utaaabika sana kesho utatumia gharama kubwa sana

  • @stafordchamgeni8430
    @stafordchamgeni8430 6 місяців тому +12

    Watanzania tusiwe wabishi faida za kuwa na maprofesa ni hizo tujivunie kuwa na wasomi wetu wenye mioyo ya kutuelim8sha. Na mambo ya ubishi juu ya maisha yetu siyo tija kabisa.

  • @jasminomary8754
    @jasminomary8754 6 місяців тому +14

    Pr janabi yaani elimu yako mimi naifutilia sana na inanisaidia sana mungu akubaliki akulinde uzidi kutupa elimu

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 6 місяців тому +10

    Mangu aku bariki sana sana kwa elimu na maelekezo yako afya yangu ni bora kabisa yani nime pona kabisa Dr

  • @frankkulwa3981
    @frankkulwa3981 6 місяців тому +10

    Safi sana Professor, unaelimisha sana.

  • @user-yf6kn9cr6z
    @user-yf6kn9cr6z 6 місяців тому +4

    Asante dr.janabi kwa elimu nzuri mimi nimekuelewa sana mungu akubariki.

  • @desderipatrick8392
    @desderipatrick8392 6 місяців тому +5

    Mwenyezi Mungu akubariki sana Prof kwa elimu unayotoa ingawa wengine wanachukulia kama mzaha.

  • @tumainielmaruwa3148
    @tumainielmaruwa3148 6 місяців тому +11

    Mungu akulinde Prof Janabi. Wewe unaupendo wa kweli kwa wa Tz

  • @selinalawala2270
    @selinalawala2270 6 місяців тому +4

    Dr asante Kwa SoMo hili, umesaidia watanzania wengi mno wanaochukua hatua na kubadilika mwenendo wa ulaji kiafya.

  • @SalumYasinichambo-fk7lx
    @SalumYasinichambo-fk7lx 2 місяці тому +1

    Mungu akupe umri mrefu DK wetu, Na Allah ampe moyo wa huruma zaidi mama yetu mpenzi mh .rais samia she luhu Hassan kukupa kazi bora zaidi

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 6 місяців тому +10

    Janabi yupo sawa mlo mmoja kwa siku ni kitu kinacho fuatwa na wengi waliohamka mimi ni mmojawao kwa miaka7 na tangu hapo sijawahi kurudi hospitality nashangaa watu wanamuona kama kituko wataofaidika ni watakaomfuwata na elimu ya LISHE ni Dhahabu 🇹🇿

    • @consolataaloycemgumba3735
      @consolataaloycemgumba3735 5 місяців тому +1

      Tatizo mazoea

    • @OchoaHomeDecor_
      @OchoaHomeDecor_ 4 місяці тому

      Kwenda hospital ni swala la Mungu kakaa
      Shukuru sana Mungu kwa kutokufika huko
      Kunawatu hata mlo mmoja kuupata ni kipengele lakini wanaumwa kila siku...
      Wanashindia matembele yasiyo na mafuta matunda na vyakula kama hivyo lakin wanaumwa kila siku

  • @fridamwakyambiki3255
    @fridamwakyambiki3255 5 місяців тому +3

    Mungu akubariki. Dr

  • @alexwilla4260
    @alexwilla4260 6 місяців тому +3

    Hongera sana Prof Tbs wamerelax sana hata hawajiangaishi na maisha ya watanzania wapo kimya tunakula na kunywa ving TBs wapo kimya dawa nazo zinapitishwa kinyemela'mafuta ya kula nayo hayapimwi ma tbs kazi kwelikweli

  • @Nyanda_Jr
    @Nyanda_Jr 6 місяців тому +14

    Clouds mmemsikia Daktari acheni mambo yenu ya kufanya dhihaka mnapotosha jamii

  • @dalilahmubago5131
    @dalilahmubago5131 5 місяців тому +2

    Barikiwa Dr. kwa kutuelimisha

  • @MusaMarco
    @MusaMarco 10 днів тому +2

    Mungu akupe maisha marefu tuendelee kuchuma elimu toka kwako 9:03

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 День тому

    We are lucky to have such a person🎉

  • @twahaayubu8686
    @twahaayubu8686 6 місяців тому +12

    Hizo Mada Zako ni Nzuri Nakuomba Tunga Kitabu ch Kiswahili itakuwa Umeacha Urithi Mzuri Kizazi na Kizazi Mwenyezi MUNGU akubaariki

    • @gloriachristian1470
      @gloriachristian1470 5 місяців тому +1

      Watanzania wengi hatusomi vitabu acha atuambie kwa mdomo tunamuelewa kuliko kuandkiwa kitabu acha mambo ya kiAmani

    • @user-un5bo6ks1q
      @user-un5bo6ks1q 5 місяців тому

      Comment makini kuliko zote 🤝

    • @tunkuh661
      @tunkuh661 5 місяців тому +1

      Yeap kwa faida ya vizazi vijavyo itapendeza hizo nondo ziwekwe kwenye docomentary

    • @user-dq3op3gs2d
      @user-dq3op3gs2d Місяць тому

      Kweli

    • @athumanimgumia7209
      @athumanimgumia7209 12 днів тому

      Hasa tena hili ndilo litalotusaidia, sisi wengi

  • @juliethmallya6821
    @juliethmallya6821 6 місяців тому +1

    Nilijifunza zaidi kwenye vyakula vya wangaa, kekiii kweli cjui tena, asante Baba Mungu akulinde.

  • @mkanotimmass4691
    @mkanotimmass4691 6 місяців тому +4

    Very true Dr Janab.Mwenyezi Mungu azidi kukupa maisha marefu, tunajifunza mengi kutoka katika mada zako.

  • @desderipatrick8392
    @desderipatrick8392 5 місяців тому +2

    Afya ni mtaji kwa maisha bora ya sasa na baadae, tukishupaza shingo lazima tutamkumbuka Prof. Janabi tukiwa kitandani.

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa 6 місяців тому +17

    Ukiwa bado huna panapo kuwasha Unaweza jua huyu mtaalam ana chekesha usiombe yakukute ya sikie kwa jilani yako. Fata maelekezo

  • @paulmaingi9246
    @paulmaingi9246 Місяць тому

    Prof.Daktari thanks soo much for the wisdom..You are a God Inspired Doctor..

  • @loisndossi9877
    @loisndossi9877 6 місяців тому +5

    Prof.,thank you Sir .My God bless you man of God.

  • @stevenmwenda3005
    @stevenmwenda3005 6 місяців тому +4

    Kweli dokta anatoa elimu nzuri sana sana japo kuna watu wanakejeli elimu anayotoa yaani tunafanya utani kwenye kila kitu inasikitisha utani wa dini mpaka kwenye afya

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 5 місяців тому +1

    Kweli 100% tutunze afya yetu itakuja kutusaidia Uzeeni. 👍asante Doctor.

  • @dork8749
    @dork8749 6 місяців тому +1

    Ubarikiwe Prof.

  • @user-fk8qv4rf5c
    @user-fk8qv4rf5c 6 місяців тому +1

    Asante Prof kwa ushauli ni nzuri sana na endelea mimi nafuata nadha i na wengi

  • @reginas1832
    @reginas1832 6 місяців тому +1

    Asante sana Dr. Janabi kwa hii elimu. Mungu akubariki

  • @marymremi1051
    @marymremi1051 6 місяців тому +1

    Asante ubarikiwe abarikiwe aliekusomesha

  • @hanspop6961
    @hanspop6961 6 місяців тому +2

    Asante Prof kwa Darasa

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 6 місяців тому +1

    Asante dr. Kwa ushauri. Mimi nipo tayari kubadilisha lifestyle.

  • @teddyhenry2579
    @teddyhenry2579 6 місяців тому +1

    Ubarikiwe sana dr kweli kula ovyo kunazeesha unakula masukari mengi mawanga mwisho unakuwa manyama uzembe

    • @user-zl3le1wz2u
      @user-zl3le1wz2u 6 місяців тому

      Kwa nini kitengo cha lishe kimefungwa.

  • @Kanyawela
    @Kanyawela 6 місяців тому +1

    Asanten sana je Kahawa tunywe kiasi gani

  • @mkilimamoses2311
    @mkilimamoses2311 4 місяці тому

    Wananikera sana baadhi ya waandishi wa habari.Badala ya kuongeza msisitizo wataalam wavyo tufundusha wao wanatoa dhihaka.Niliwasikiliza sana hawa clouds,haukua ujinga waliokuwa wakiufanya bali ni upumbavu.Mpo kwaajili ya kutuelimisha na kutuburudisha,ila linapokuja swala la afya zetu hiyo ni elimu tusifanye mzaha.Tusipotunza afya zetu ujanani afya itachezea pesa zetu uzeeni.Bora umewapa kubwa profesa Janabi.Ninakufuatilia sana,Mungu akupe maisha marefu.

  • @euniestherwilliam1513
    @euniestherwilliam1513 4 місяці тому

    Mungu akubariki sana Prof. Janabi. Nimebadili mfumo wangu wa maisha. No soda, no wali, no ugali. No ngano, no Juice.
    Nimeona mabadiliko makubwa ktk maisha yangu
    Mungu ATUSAIDIE.

    • @petermakubi
      @petermakubi 15 днів тому

      Ko unakula nini ndg

    • @simaimati4447
      @simaimati4447 8 днів тому

      Nielekeze na mimi unachokula. Mana mi sioni kingine

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 День тому

    Congrats.🎉❤

  • @SilajiKigufa
    @SilajiKigufa 6 місяців тому +1

    Ahsante sana kwa elimu d.r upo sahihi kabisa ,endelea kuelimisha Jamii ya Watanzania

  • @fatmasoud
    @fatmasoud 20 днів тому

    Asante Dr mm nimefuata maelekezo yako nimeweza kupunguza uzito kutoka 82kg hadi 62kg kwa muda wa miez sita kwa sasa najiamin nina rangi mzur shep mzur kwa kweli asante

  • @susanpetershio3196
    @susanpetershio3196 6 місяців тому

    Mungu akubariki Prof. Usichoke kutushauri

  • @HelenNgesela
    @HelenNgesela 5 днів тому

    Mhh Doctor Janabi

  • @mwanaimamsangi971
    @mwanaimamsangi971 5 місяців тому

    Doctor Mungu akuweke nimeacha soda nashukuru Mungu

  • @EkelyNkanda
    @EkelyNkanda 2 місяці тому

    Elimu nzuri sana

  • @reginajoel3785
    @reginajoel3785 6 місяців тому +1

    asante kwa masomo,,

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 6 місяців тому +21

    Sikuhizi Kila niki taka kula chipsi au kunywa soda, natokewa na sura ya huyu jamaa😢😢😢

    • @crispakyando8854
      @crispakyando8854 6 місяців тому +1

      Mungu tusaidie tu

    • @ramadhanimtetu3656
      @ramadhanimtetu3656 6 місяців тому +1

      AISEE tunafakamia tu

    • @BonnyMwajombe-iu7hb
      @BonnyMwajombe-iu7hb 6 місяців тому +1

      Aisee kama ulikuwepo hata mimi hivohivo, afu nikimwona mtu anakunya soda namhurumia sana na nikiona mtu anakula chumvi ile ya pemben mwa sahani ya chips au nyama had nashtuka kama vile mtu kaniwekea barafu ktk uti wa mgongo😂😂

    • @user-ol7de5fo7j
      @user-ol7de5fo7j 6 місяців тому +2

      Hahahaha 😂nimecheka kwa sauti

    • @user-ol7de5fo7j
      @user-ol7de5fo7j 6 місяців тому +1

      Dr swali langu ni kwamba je tatizo la presha huwa linapona?

  • @sheilalolila2233
    @sheilalolila2233 17 днів тому

    Dr wangu pambe nakukubali sana

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 7 днів тому

    Pfs janab yupo sawaa .ukimsikiliza utapata faida. Yaa.afya yako ❤❤❤❤.prfs.janabi

  • @machongomika1206
    @machongomika1206 6 місяців тому +1

    Ubalikiwe sana

  • @dinachitungo8795
    @dinachitungo8795 5 місяців тому

    Ubarikiwe sana

  • @niahmosha4146
    @niahmosha4146 6 місяців тому

    Yaani Ur very good hakika unatuelimisja saan

  • @emmiemmi3861
    @emmiemmi3861 4 місяці тому

    Asante

  • @gloriachristian1470
    @gloriachristian1470 5 місяців тому +6

    Apewe maua yake Le professor mm namkubali sana

  • @OswardWilson-gx2hy
    @OswardWilson-gx2hy 6 місяців тому

    Asante Dr

  • @EliaoleshengEa-pv8fu
    @EliaoleshengEa-pv8fu 2 місяці тому

    Umenisaidia sana

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 2 місяці тому

    Mungu wangu uwe nasi siku zote amina tanzania 🇹🇿

  • @leonardmaganga9921
    @leonardmaganga9921 6 місяців тому +5

    Zingatia maelezo yake kwa faida yako. Kejeli hazisaidii.

  • @nangatv9218
    @nangatv9218 4 місяці тому

    Mukali sana

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 5 місяців тому

    binafsi mzee amebadisha maisha yangu namuelew sana mzee ana nia njema na anatoa sadaka kubwa kwenye jamii

  • @jamesgeofrey8692
    @jamesgeofrey8692 6 місяців тому +2

    Heavy Talk

  • @bakarimusa6297
    @bakarimusa6297 4 місяці тому

    Mashaallah mungu atakulipa

  • @OswardWilson-gx2hy
    @OswardWilson-gx2hy 6 місяців тому

    Dr asantee

  • @mbenamdudu7856
    @mbenamdudu7856 6 місяців тому +1

    Mzee Yuko sawa ana nyoosha huu kwele japo Kila kifo kina Sababu

  • @mhenitv
    @mhenitv 8 днів тому

    Dr Janabi yupo sahihi kwa asilimia zote ,,,,,Fainali uzeeni

  • @MubinaRoshan
    @MubinaRoshan 6 місяців тому +5

    Jamani dokta yuko sahihi sasa mnapoleta matan sio sawa

    • @rosemarysulle9288
      @rosemarysulle9288 6 місяців тому

      Wanongo jmn punguzeni mizaha walah😂😂😂😂

  • @annalyimo4143
    @annalyimo4143 5 місяців тому +1

    Mungu azidi kukutunza

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 6 місяців тому +2

    Allah atulinde na maradhi dr MashaAllah antoa elimu vizuri ,ningefurahi zaidi angelinganisha elimu yake na kitabu kitakatifu cha quran

  • @mpegesaaswile6581
    @mpegesaaswile6581 4 місяці тому

    Ahsante sana kwa elimu,siku hizi watu wakiambiwa watembee na mtu mwenye UKIMWI wapewe 5000000[5M] wanakubali.baadaye mambo yakiaza kubadilika wanaanza kujuta.

  • @bagalucha
    @bagalucha 2 дні тому

    Anazungumza kweli kabisa

  • @user-lv3dv6vb5p
    @user-lv3dv6vb5p 19 днів тому

    Prof uishi siku nyingi elimu yako inamanufaa sana 🤝

  • @odettevianney3026
    @odettevianney3026 6 місяців тому +3

    Prof nimefuatisha mawaidha yako yamenisaidia sana mfano intermittent fasting, kupunguza sukari yaani hata kuzeeka kumepungua! Nakupa maua yako Prof. Ubarikiwe sana

  • @gastonkaduma2503
    @gastonkaduma2503 5 місяців тому

    Exactly

  • @priscajoseph261
    @priscajoseph261 6 місяців тому +2

    Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maalifa ona watu wanavyo dhihaki wakati ni elimu nzuri kabisa.

  • @mohdali2408
    @mohdali2408 11 днів тому

    Amerudia maneno ya Mtume Muhammad( saw) Aliyo yasema miaka 1400 iliyopita

  • @ChristerShao
    @ChristerShao 6 місяців тому +2

    Prof,husichoke kutoa elimu,wapo wanaokuelewa,watanzania wanatabia ya kuchukulia mambo mzaha.

  • @alexmahenge3817
    @alexmahenge3817 14 днів тому

    Nakuelewa mnooo mkuu

  • @emmanueljoshua903
    @emmanueljoshua903 6 місяців тому

    Golden Star...

  • @abubakarikisuju80
    @abubakarikisuju80 6 місяців тому +1

    Yaani watz mna dharau sana"mnapewa elim kwa faida yenu"unamponda kisa mlevi na unavuta sigara

  • @gracemacha9357
    @gracemacha9357 5 днів тому

    Afya ni mtaji

  • @EliaoleshengEa-pv8fu
    @EliaoleshengEa-pv8fu 5 місяців тому

    Nimekuelewa

  • @allymwakasege8620
    @allymwakasege8620 7 днів тому

    Tugepata kitabu cha erimu hii nizuri lakini huku mtadaoni wegine awapo piri bado galama tugeuziwa kitabu 2000 tugenunua wegi kikiwa bei kitakua cha wachache

  • @magdalenasirikwa517
    @magdalenasirikwa517 5 місяців тому

    Dr boazalikuwa sahihi

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 2 місяці тому

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @jamesukombozi5216
    @jamesukombozi5216 6 місяців тому +4

    Kwenye kusoma nakuunga mkono profesa, watanzania wengi hatuna uzalendo wa kusoma

    • @AlphaxardMRusweka-jr1wi
      @AlphaxardMRusweka-jr1wi 7 днів тому

      Kinachosababisha watu wasiwe na muda wa kusoma,ni njaa ebu wewe utasoma,huku hujala ?

  • @margaretkapolesya3979
    @margaretkapolesya3979 5 місяців тому +2

    NASHUKURU SANA KWA ELIMU UNAYOTUPATIA DR. JANABI. HIDUMA HII NI UONYAJI KAMILI. MWENYE MASIKIO NA ASIKIE

  • @johnwoshi3459
    @johnwoshi3459 16 днів тому

    Soma kwa kizungu

  • @rogatemsangi6418
    @rogatemsangi6418 6 місяців тому +1

    Tatizo Hela tu utazeekaje mapema !?

  • @daisyahmed1998
    @daisyahmed1998 6 місяців тому

    🙏🙏🙏

  • @user-ug1rt2ki8d
    @user-ug1rt2ki8d 5 місяців тому +1

    Maradhi utatunusuru wanaadamu huwaezi bro .

  • @fredysiwale5413
    @fredysiwale5413 17 днів тому

    Dr .ufumbuzi ni kuachana kutumia soda na jiusi maana hata kusoma shida

  • @stephenjonas4866
    @stephenjonas4866 5 місяців тому

    Prof kama prof

  • @user-rz3vi3tm5d
    @user-rz3vi3tm5d 6 місяців тому

    Doctor naomba kuuliza kula mchele mbichi kunasababiasha unene wa mwili

  • @ZuhuraRashid-s1j
    @ZuhuraRashid-s1j 4 дні тому

    Je kama wameendika kiingereza nitajuaje

  • @mfalisayo
    @mfalisayo 6 місяців тому +1

    Prof,Kwa wasio na smartphone wanapataje elimu hii?

  • @kibbysaidi7813
    @kibbysaidi7813 6 місяців тому +3

    Allow me to give you my humble advice my dear professor. Avoid political issues. Please stay a scientist as is your profession

    • @priscajoseph261
      @priscajoseph261 6 місяців тому

      Mmh am not seeing where has spoken political issues we here scientific speech.

    • @kibbysaidi7813
      @kibbysaidi7813 6 місяців тому

      @@priscajoseph261 Then you haven't followed his clips properly. A man with his very high qualifications suddenly becomes a man of press conferences then you know something is adrift...he is exposing himself for a political appointment...mark my words

    • @user-hn8vj1vn5y
      @user-hn8vj1vn5y 2 дні тому

      The problem, u, don't want to hear the truth about your health.

    • @kibbysaidi7813
      @kibbysaidi7813 2 дні тому

      @@user-hn8vj1vn5y The truth about my health... really! You are a big joke! Do you even know who I'm? A little advice to you... always think before you write

    • @kibbysaidi7813
      @kibbysaidi7813 2 дні тому

      @@user-hn8vj1vn5y The truth about my health... really! You are a big joke! Do you even know who I'm? A little advice to you... always think before you write

  • @philomenastephen3364
    @philomenastephen3364 7 днів тому

    ILA NAONA KAMA HATA YEYE KAZEEKA HADI KOTI LAKE LIMEMPWAYQ.

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 7 днів тому

    Dr hayo mapete vipi?

  • @kheriakida3309
    @kheriakida3309 5 місяців тому

    Professor anafanya jambo kubwa sana ,Ila kizazi cha ovyo hakielewi, Elimu ya afya ni bora kuliko tiba,na ndio inayotakiwa sio kuongeza kujenga hospital na kuongeza madaktari