Watangazaji mnaboa mna mkatishakatisha Dr Maro mkiuliza vitu ambavyo ukimsikiliza vizurii anaviongea. Next mjirekebishe mnyamaze msikikilize mtu mwenye professional yake aongee
Watangazaji mnaboa sana, siku nyingine msirudie dr anatoa eleimu why msimpatie nafasi ya kutosha atoe elimu kwa watu?, au kama ninyimnaweza kutoa elimu ya afya mmemleta wa nini
UMZANIAYE KUMBE SIE🤣🤣yaan moyo unakazi ndogosanaaaa ila cha ajabu ukizima ndo nnamie nazima🙆🏾♂️ afu figo na ini vinakazi kubwaaa ila vikifeli unakaa adi mwaka👁
Kajifunzen kwa Salama ,namna ya kufanya vipindi ,andaa swali uliza swali? Mwache mtu aeleze mpaka uone apa umepata jibu ,then twanga tena swali sasaa daah mnapiga stori stori tu yaani
Mimi mwenyewe sija penda Hii kitu maana wana Haribu Taaluma za Watu ujuaji mwingi Sana..yaani kujua lugha kidogo wana jiona washa kuwa wasomi Au ma Dr.😒😒😏😏
Kuna highlife,konyagi na mapombe kibao makali lakini hayo yote hayampati kijana mmoja mdogo mkimya sana anaua taratibu uwezi kumzania ni "Silent killer", shikamoo kaka "Energy drinks." Tunatamani sana kukuacha ila tunashindwa unaladha nzuri na unasisimua misuri na tunafany kazi vizuri.
Tatizo mtangazaji sometimes anataka aonelane nae anajua votu vya kitaalam kumbe ni field mbili todauti, mwache mtaalamu ajimwage as long as yuko within the subject
Ndiyo iko hivyo sasa wew unapaswa ujiongeze, kumbuka hizo ni biashara za watu so, akifunguka moja kw moja anaharibu ugari wawatu, daktari yuko sahihi nazani tumeelewa.!!
Bro hawa wamiliki wa Energy, maji ya viwandani, soda zote wanataka kutumaliza ni Bora Dr. uongelee Tu na muwachane ukweli syo Tu energy drink hata hvyo vngne nilivyotaja ni mfano mikoani zamani kulikuwa na maji ya chupa chemchem Leo hii kuna kampuni Fulani ya maji Dar ndo wasambasaji mikoa yote na wameua maji mengne sasa swali la kujiuliza wameweka NN kwenye hayo maji kuna kitu kipo nyuma kifupi Ajenda fulani
Kwann kipindi kina watangazsji wengi ikiwa maswala yaongelewsyo ni muhimu dah sielewsgi hizi media siku hiz inakuwa kama genge hiv au kijiwe cha story very serious ishu lakini kunakuwa na kelele ujuaji sana..kipindi kizuri mnoo lakini rekebisheni.lisiwe gengee cos mnajuwa kuandaa lakini muhusika wa kutupa mafunza.mnamfunika kwa uongeaji wenu sana ila safii..
Doctor endelea kutoa elimu sasa wakinyamaza hawa watangazaji doctor si atakuwa kama anaongea mwenyewe??kumbuken sisi tunafuatilia tuu hao ndo wanakuwa kwa niabayetu
Nyie watangazaji gani? Hamna taaluma za kuhoji, kila wakati kumuingilia mtaalam akieleza jambo na kumtoa kwenye reli, na mnafafanua kama vile mnajua kuliko faktari mwenyewe. Ovyo sana.
Nauliza jamani hivi hivi vidude mtu akivinywa sana Kuna uwezekano wa kuhalibu hata mbegu za kiume ama,nina jamaa yangu ni mhanga wa energy Sasa kupata mtoto ni xhida mpaka tunahisi energy ndo chanzo
Mnasumbua jamii kuna maana gan ya kumuita doctor wangu alafu mnatupigia kelele nyie kama mnajua mngeelezea wenyewe tuheshimiane kwenye kazi kila mtu afanye kazi yake😏😏😏
Kama ukiwa unakula supplemnt ili kushiba badala ya chakula baada ya mwezi lazima ufariki maana tofauti na tumbo kuwa mchakataji mkuu wa chakula ila lazima lifanye kazi ili uishi 😂
Doctor unaongea kwa nidhamu ya hali ya juu sana,mungu akutunze Kaka..✍🤲
Huyu bro ni dokt kweli,Yuko vizuri sana
Yuko vema sana
Nadhani wa kusikia amesikia na ambae hatosikia anaweza kuendelea. Lakini kumbuka MCHUMA JANGA HULA NA WAKWAO. Asante.
Nimesikia na nimezingatia
Watangazaji mnaboa mna mkatishakatisha Dr Maro mkiuliza vitu ambavyo ukimsikiliza vizurii anaviongea. Next mjirekebishe mnyamaze msikikilize mtu mwenye professional yake aongee
Watangazaji wameamharibu hii interview
hawamuachi akamaliza kusema
Very smart kichwani na mwili🙌🏾 shoutout to my brother dr isaac Maro pia power break fast kiujumla
DR . I MARO HONGERA KAKA UMEDADAVUA VYEMA SANA, JAPO SI WOTE WALIOKUELEWA🤝
Watangazaji mnazingua sana, wacheni doctor aseme
Doct upo vzr sn hata kwenye kipindi chako cha njia panda mungu akulinde na mabaya
Watangazaji mko vizuri kwa kuendesha mada hii ila pia mnaharibu !! mnaingilia point za Mtaaramu acheni hivyo 😢😢
Dr. Maro, Mungu akutunze ili utumike kuwasaidia watu juu ya afya zao.
Asante Dr isac Maro
Duh watangazaj hamfanyi kipindi kiwe na utulivu mnaingilia mazungumzo sana
Haya matangazaji ni mashenzi sana mnaingilia hata hawezi kuelezea vizuri pumbavu sana
Dr Izack yupo true na mkubal
Namkubali saan brooo mungu akuweke saan hap dunian 🎉🎉🎉
Watangazaji mnaboa sana, siku nyingine msirudie dr anatoa eleimu why msimpatie nafasi ya kutosha atoe elimu kwa watu?, au kama ninyimnaweza kutoa elimu ya afya mmemleta wa nini
Mnaongea sana,Sasa kuna maana gani mnamuuliza maswali halafu mnayajibu wenyewe,kuweni focused
Yaani wamenikera Sana, wanamkatishakatisha tu kila akitaka kuongea point ya msingi
Sijui kwanini huwa mnapenda kuingilia point husika za mtaalam mara nyingi huwa ninawasikia hivyo kimsingi huwa mnatuudhi wasikilizaji,
Wanaongea Kila wakati kama wehu
Doctor Isaac ❤
watangazaji mhaharibu sana ladha ya kipindi.Mngemuacha doctor atupe faida badala kugeuza kipindi cha story na comedy.
Watangazaji punguzeni ujuaji mnapoteza flow ya maelezo ya Dr.
Watangazaji miyeyusho sana , yaan bongo ni ovyo sana
UMZANIAYE KUMBE SIE🤣🤣yaan moyo unakazi ndogosanaaaa ila cha ajabu ukizima ndo nnamie nazima🙆🏾♂️ afu figo na ini vinakazi kubwaaa ila vikifeli unakaa adi mwaka👁
Dr Maro huwa namuelewa sana naamini angekuwa mwl wangu wa Biology o'level ningepata division one ya 7
Watangazaji mu azingua Leo mutulie musikilize Dr
Kajifunzen kwa Salama ,namna ya kufanya vipindi ,andaa swali uliza swali? Mwache mtu aeleze mpaka uone apa umepata jibu ,then twanga tena swali sasaa daah mnapiga stori stori tu yaani
Watangazaj elim ziro
Watangazaji mnazingua
haya matangazaji bhana
Mimi mwenyewe sija penda Hii kitu maana wana Haribu Taaluma za Watu ujuaji mwingi Sana..yaani kujua lugha kidogo wana jiona washa kuwa wasomi Au ma Dr.😒😒😏😏
Kuna highlife,konyagi na mapombe kibao makali lakini hayo yote hayampati kijana mmoja mdogo mkimya sana anaua taratibu uwezi kumzania ni "Silent killer", shikamoo kaka "Energy drinks." Tunatamani sana kukuacha ila tunashindwa unaladha nzuri na unasisimua misuri na tunafany kazi vizuri.
😂😂😂 acha kuzingua
Nimerudia mara mbili ndio nimekuelewa
Watangazaji acheni tabia ya kuigilia mazungumzo,hata mkiwa wenyewe kwa wenyewe huwa mnaboa mpe nafasi mhusika aongee
Huyu mtangaji wa kiume kiherehere sana mpaka nashindwa kumuerewa vizuri doctar unamkatisha katisha sana😅
Halafu nyie watangazaji mnaharibu maana mnamkatisha katisha sana Dr. Isack, kuna vingine alipangilia kusema anaviacha!!
Tatizo mtangazaji sometimes anataka aonelane nae anajua votu vya kitaalam kumbe ni field mbili todauti, mwache mtaalamu ajimwage as long as yuko within the subject
@@angelanaftael7965 kabisa 💪
Wanakera Sana, ukitazama vizuri Kuna muda Dr. alikuwa anakasirika
Hat anapoongea wanalet utan wao
Wana kiherehere sana
Nyi watangazaji mnamchanganya Dr maelezo yake mazuri, kama amekuacha si unyamaze basi
Masoud much know kwenye professional isiyo yake mpaka anaharibu
Sasa hapo mtaalamu ni nani? coz watangazaji wanatamani kujihoji wenyewe ili waoneshe utaalamu duuh! hii nchi ngumu sana
Watanga,aji wachani dr bana aha
Acha siasa doctor unazunguka Sana kutoa majibu ya moja Kwa moja kwamba energy inamadhara mengi Sana nahaifai
Ndiyo iko hivyo sasa wew unapaswa ujiongeze, kumbuka hizo ni biashara za watu so, akifunguka moja kw moja anaharibu ugari wawatu, daktari yuko sahihi nazani tumeelewa.!!
Dr wamechongo unahamasisha watu kunywa pombe , jichanganye siku ukutane na pr. Janabi kama hujachezea mboko za kwenda!
Watangazaji wasenge wanaongea Sana kuliko doctor
ha ha ha ha ha daaa
Watangazaji wa hovyo
Nyi watangazaji mnakera Sana Kuna maana Gani? Ya kumwalika Mtaraam kama nyie mnabaki kua waongeaji. Mwacheni doctor Achambue.
Hata msemeje Energy hatuachi...
😂😂😂😂😂
Yakishakufika ndio utajua
Ujuaji mwingi mnooo mwacheni atoe elimu, mnaongea mnoo sasa mmemwalika dr wa nini bana
Atupe na madhara ya bia
Watangazaji mnazengua
daktari afya anayo maana anang'aaa
Watangazaji manina zenu😢😢
Clouds hamna kitu apo.ndio maana mnafunikwa na wasaf
Mimi energy Huwa sinywagi Wala soda Wala nini
Bro hawa wamiliki wa Energy, maji ya viwandani, soda zote wanataka kutumaliza ni Bora Dr. uongelee Tu na muwachane ukweli syo Tu energy drink hata hvyo vngne nilivyotaja ni mfano mikoani zamani kulikuwa na maji ya chupa chemchem Leo hii kuna kampuni Fulani ya maji Dar ndo wasambasaji mikoa yote na wameua maji mengne sasa swali la kujiuliza wameweka NN kwenye hayo maji kuna kitu kipo nyuma kifupi Ajenda fulani
Kwann kipindi kina watangazsji wengi ikiwa maswala yaongelewsyo ni muhimu dah sielewsgi hizi media siku hiz inakuwa kama genge hiv au kijiwe cha story very serious ishu lakini kunakuwa na kelele ujuaji sana..kipindi kizuri mnoo lakini rekebisheni.lisiwe gengee cos mnajuwa kuandaa lakini muhusika wa kutupa mafunza.mnamfunika kwa uongeaji wenu sana ila safii..
Watangazaji manina zenu mnakera😢😢😢
Mama anatakiwa kumpa kitengo kijana kwenye wizara ya Afya.
Jaribu kunywa energy bila kula uone tumbo linavyo kwangua
Kwel kabisa hawa hawaji elewi eneji ukiwa umeshiba ndio nzur kunywa sio ukiwa na njaa
Ukiona inakukwanguwa ujuwe una ulcers
Watangazaji wanatakiwa kumuhoji mwijaku, baba levo au H baba lakini sio watangazaji wakuhoji watu makini
Basi zipigwe marufuku hizo energy kwanini ziendelee kuzalishwa na kuuzwa wakati zina madharaa
Mbona sigara hazijapgwa marufuku
Hawa ndiowanaotakiwa kupewa wizara ya Afya sio wale wanaosomea kuigiza mnawapa wizara yaafya
Doctor endelea kutoa elimu sasa wakinyamaza hawa watangazaji doctor si atakuwa kama anaongea mwenyewe??kumbuken sisi tunafuatilia tuu hao ndo wanakuwa kwa niabayetu
Nyie watangazaji gani? Hamna taaluma za kuhoji, kila wakati kumuingilia mtaalam akieleza jambo na kumtoa kwenye reli, na mnafafanua kama vile mnajua kuliko faktari mwenyewe. Ovyo sana.
Dada fety na dr isaac bigaup kwenu
MUNGU WA AJABU SANA aisee
Waache kuzitengeneza
Watangazaji n matako nyie , hivi kwann hamuachi mtu aongee amalize, yani mpka mjionehse kila kitu mnajua🚮
Nauliza jamani hivi hivi vidude mtu akivinywa sana Kuna uwezekano wa kuhalibu hata mbegu za kiume ama,nina jamaa yangu ni mhanga wa energy Sasa kupata mtoto ni xhida mpaka tunahisi energy ndo chanzo
Sasa kama wanajua wamemwita doctor wa nin si wangetuelezea wenyew tu
Mwacheni afunguke basi msimkatishe katisheeeee 😮😮😮😮😮😮
Mada haieleweki hapo makelele kibao
Watangazaji mnakera muachen dkt afunguke
Watangazaji mnaharibu kipindi mwachieni mwenye taaluma yake
Mnaongea sana puzi kabisaaaaa
Mpen dokta nafasi
Watangazaji wapumbavu acheni doctor aongee
Watangazaji mnazingua mpaka docter anaamua tu kuchat
Yaani mnamuingilia doktar na masuali ya hovyo basiiii kuweni nyie wasemaji mmeharibuharibu mmemuabia Musa wake Sanaa hovyo kabisa
Aki manasumbua tu Dr Kama maswli mnayajua kwanini mumulize Dr mnaingilia tu mnamkatisha maada Dr, mnaboa.
main thing ni kunywa kistaarabu
Katika kitu kilicho nipa madhara makubwa hakuna kama hizo energy
maswali yamekuwa mengi watangazaji mnaharibu mnamkatisha katisha mnaharibu content ya kitaaluma
Siku zinapoingia tu energy nikasoma wakasema usinywe zaid ya moja kwa masaa 24 nikasema apa siingii kabisa ata hii moja ikawa mwisho siku iyo yan
Hata Mimi nilikoma mala moja
Mimi pia, moja tuuu na sikurudia tenaa😢
More nafasi sky aeleze..mnaongea mingi sana na mnaudhi
muendelezooo
Masudi na mwenzako msivuke mipaka
Mnasumbua jamii kuna maana gan ya kumuita doctor wangu alafu mnatupigia kelele nyie kama mnajua mngeelezea wenyewe tuheshimiane kwenye kazi kila mtu afanye kazi yake😏😏😏
Wanajua Kila kitu wabongo
Jamaa wanakera sasa tunamskiza doctor au wao?
Doctor mwenyew ana Google 😂😂😂😂 kama hujaona basi
😂😂😂😂😂
Anachati, watangazaj wanajiongelesha vtu visvyo vya maana
Watangazaji mrudi shule tafadhali.....
Hakuna mpangilio wa kuongea
Hawa watangazaji wanaharibu kipindi.Mbwa hawa
Hamna muendelezo wa hii interview?
Yani mnaongea sana hamumpi doctor nafasi ya kuongea
Doc blood sio organ ni tissue
Kama ukiwa unakula supplemnt ili kushiba badala ya chakula baada ya mwezi lazima ufariki maana tofauti na tumbo kuwa mchakataji mkuu wa chakula ila lazima lifanye kazi ili uishi 😂
Malizieni hiy
Si mnyamazeeeeeee mmemuita Dr wa nn km nyie ndo vidomo humo ndani..lol
Ndo maana nakunywaga 4 tu kwa siku aisee !! Staki kbsaa kuzidisha
Yaniii hiii kitu ni mbaya sana
Acha tu
udhaifu huo, utaenda mapema
Kwa hiyo unafikiri ni sifa kunywa hizo 4 Kwa siku?
😂😂😂😂😂😂dar sawa
Hakuna watangazagiii hapo
Aki manasumbua tu Dr Kama maswli mnayajua kwanini mumulize Dr mnaingilia tu mnamkatisha maada Dr, mnaboa.