Dkt. Issac na Madhara ya Unywaji wa Energy I Fahamu Ufanyaji Kazi wa Figo, Ini na Moyo I Faida Zake

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 138

  • @deonatusdaud4640
    @deonatusdaud4640 5 місяців тому +10

    Doctor unaongea kwa nidhamu ya hali ya juu sana,mungu akutunze Kaka..✍🤲

  • @williammlay3600
    @williammlay3600 5 місяців тому +8

    Nadhani wa kusikia amesikia na ambae hatosikia anaweza kuendelea. Lakini kumbuka MCHUMA JANGA HULA NA WAKWAO. Asante.

  • @ElizabethNyary
    @ElizabethNyary 5 місяців тому +3

    Watangazaji mnaboa mna mkatishakatisha Dr Maro mkiuliza vitu ambavyo ukimsikiliza vizurii anaviongea. Next mjirekebishe mnyamaze msikikilize mtu mwenye professional yake aongee

  • @user-kw1fv3qs6p
    @user-kw1fv3qs6p 5 місяців тому +11

    Watangazaji wameamharibu hii interview

    • @siyeyetv
      @siyeyetv 4 місяці тому

      hawamuachi akamaliza kusema

  • @bigboyben6932
    @bigboyben6932 5 місяців тому +2

    Very smart kichwani na mwili🙌🏾 shoutout to my brother dr isaac Maro pia power break fast kiujumla

  • @jimmymbella997
    @jimmymbella997 4 місяці тому +1

    DR . I MARO HONGERA KAKA UMEDADAVUA VYEMA SANA, JAPO SI WOTE WALIOKUELEWA🤝

  • @sjaykigomatz
    @sjaykigomatz 5 місяців тому +6

    Watangazaji mnazingua sana, wacheni doctor aseme

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 5 місяців тому +3

    Doct upo vzr sn hata kwenye kipindi chako cha njia panda mungu akulinde na mabaya

  • @user-fh1zm4sr7c
    @user-fh1zm4sr7c 5 місяців тому +3

    Watangazaji mko vizuri kwa kuendesha mada hii ila pia mnaharibu !! mnaingilia point za Mtaaramu acheni hivyo 😢😢

  • @theodoryngwembele
    @theodoryngwembele 5 місяців тому +2

    Dr. Maro, Mungu akutunze ili utumike kuwasaidia watu juu ya afya zao.

  • @kuyengathomas876
    @kuyengathomas876 5 місяців тому +1

    Asante Dr isac Maro

  • @RynoFiree
    @RynoFiree 5 місяців тому +2

    Duh watangazaj hamfanyi kipindi kiwe na utulivu mnaingilia mazungumzo sana

  • @marketingmazingira1393
    @marketingmazingira1393 5 місяців тому +3

    Haya matangazaji ni mashenzi sana mnaingilia hata hawezi kuelezea vizuri pumbavu sana

  • @MasaweFransi
    @MasaweFransi 5 місяців тому +1

    Dr Izack yupo true na mkubal

  • @user-my1vi6wv9h
    @user-my1vi6wv9h 5 місяців тому +1

    Namkubali saan brooo mungu akuweke saan hap dunian 🎉🎉🎉

  • @djbiggie8043
    @djbiggie8043 5 місяців тому +3

    Watangazaji mnaboa sana, siku nyingine msirudie dr anatoa eleimu why msimpatie nafasi ya kutosha atoe elimu kwa watu?, au kama ninyimnaweza kutoa elimu ya afya mmemleta wa nini

  • @Moris495
    @Moris495 5 місяців тому +7

    Mnaongea sana,Sasa kuna maana gani mnamuuliza maswali halafu mnayajibu wenyewe,kuweni focused

    • @johnmwandu2116
      @johnmwandu2116 5 місяців тому +2

      Yaani wamenikera Sana, wanamkatishakatisha tu kila akitaka kuongea point ya msingi

  • @angelmwaimu3676
    @angelmwaimu3676 5 місяців тому +1

    Sijui kwanini huwa mnapenda kuingilia point husika za mtaalam mara nyingi huwa ninawasikia hivyo kimsingi huwa mnatuudhi wasikilizaji,

  • @user-xo2xw4in9f
    @user-xo2xw4in9f 5 місяців тому

    Doctor Isaac ❤

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 5 місяців тому +2

    watangazaji mhaharibu sana ladha ya kipindi.Mngemuacha doctor atupe faida badala kugeuza kipindi cha story na comedy.

  • @sampaconnector2845
    @sampaconnector2845 5 місяців тому

    Watangazaji punguzeni ujuaji mnapoteza flow ya maelezo ya Dr.

  • @costofamily4861
    @costofamily4861 5 місяців тому +1

    Watangazaji miyeyusho sana , yaan bongo ni ovyo sana

  • @jostamzxkaole3113
    @jostamzxkaole3113 5 місяців тому +4

    UMZANIAYE KUMBE SIE🤣🤣yaan moyo unakazi ndogosanaaaa ila cha ajabu ukizima ndo nnamie nazima🙆🏾‍♂️ afu figo na ini vinakazi kubwaaa ila vikifeli unakaa adi mwaka👁

  • @monicaraphaelkufakunoga5828
    @monicaraphaelkufakunoga5828 4 місяці тому

    Dr Maro huwa namuelewa sana naamini angekuwa mwl wangu wa Biology o'level ningepata division one ya 7

  • @thomasgwanda9238
    @thomasgwanda9238 4 місяці тому

    Watangazaji mu azingua Leo mutulie musikilize Dr

  • @user-nn8yj7fe4n
    @user-nn8yj7fe4n 5 місяців тому +1

    Kajifunzen kwa Salama ,namna ya kufanya vipindi ,andaa swali uliza swali? Mwache mtu aeleze mpaka uone apa umepata jibu ,then twanga tena swali sasaa daah mnapiga stori stori tu yaani

  • @JoyceMwamafupa-rf7jv
    @JoyceMwamafupa-rf7jv 5 місяців тому +3

    Watangazaj elim ziro

  • @cleofasgawasike7696
    @cleofasgawasike7696 5 місяців тому +3

    Watangazaji mnazingua

  • @swahili24live56
    @swahili24live56 5 місяців тому +1

    haya matangazaji bhana

  • @jeremiapeter683
    @jeremiapeter683 5 місяців тому +1

    Mimi mwenyewe sija penda Hii kitu maana wana Haribu Taaluma za Watu ujuaji mwingi Sana..yaani kujua lugha kidogo wana jiona washa kuwa wasomi Au ma Dr.😒😒😏😏

  • @andrewmmassy5204
    @andrewmmassy5204 5 місяців тому

    Kuna highlife,konyagi na mapombe kibao makali lakini hayo yote hayampati kijana mmoja mdogo mkimya sana anaua taratibu uwezi kumzania ni "Silent killer", shikamoo kaka "Energy drinks." Tunatamani sana kukuacha ila tunashindwa unaladha nzuri na unasisimua misuri na tunafany kazi vizuri.

  • @eshyndibalema1529
    @eshyndibalema1529 4 місяці тому

    Watangazaji acheni tabia ya kuigilia mazungumzo,hata mkiwa wenyewe kwa wenyewe huwa mnaboa mpe nafasi mhusika aongee

  • @user-eb7oi2bx6s
    @user-eb7oi2bx6s 5 місяців тому +1

    Huyu mtangaji wa kiume kiherehere sana mpaka nashindwa kumuerewa vizuri doctar unamkatisha katisha sana😅

  • @deboramuhoja1777
    @deboramuhoja1777 5 місяців тому +27

    Halafu nyie watangazaji mnaharibu maana mnamkatisha katisha sana Dr. Isack, kuna vingine alipangilia kusema anaviacha!!

    • @angelanaftael7965
      @angelanaftael7965 5 місяців тому +1

      Tatizo mtangazaji sometimes anataka aonelane nae anajua votu vya kitaalam kumbe ni field mbili todauti, mwache mtaalamu ajimwage as long as yuko within the subject

    • @deboramuhoja1777
      @deboramuhoja1777 5 місяців тому

      @@angelanaftael7965 kabisa 💪

    • @johnmwandu2116
      @johnmwandu2116 5 місяців тому

      Wanakera Sana, ukitazama vizuri Kuna muda Dr. alikuwa anakasirika

    • @yamungummungulo633
      @yamungummungulo633 5 місяців тому +1

      Hat anapoongea wanalet utan wao

    • @ahz6907
      @ahz6907 5 місяців тому

      Wana kiherehere sana

  • @sangaelly8548
    @sangaelly8548 4 місяці тому

    Nyi watangazaji mnamchanganya Dr maelezo yake mazuri, kama amekuacha si unyamaze basi

  • @ojjoajali8438
    @ojjoajali8438 4 місяці тому

    Masoud much know kwenye professional isiyo yake mpaka anaharibu

  • @WilsonCharles-lr1ko
    @WilsonCharles-lr1ko 5 місяців тому +1

    Sasa hapo mtaalamu ni nani? coz watangazaji wanatamani kujihoji wenyewe ili waoneshe utaalamu duuh! hii nchi ngumu sana

  • @user-wl8ns6hh8l
    @user-wl8ns6hh8l 5 місяців тому +1

    Watanga,aji wachani dr bana aha

  • @nicholauslupimo2851
    @nicholauslupimo2851 4 місяці тому

    Acha siasa doctor unazunguka Sana kutoa majibu ya moja Kwa moja kwamba energy inamadhara mengi Sana nahaifai

    • @jimmymbella997
      @jimmymbella997 4 місяці тому +1

      Ndiyo iko hivyo sasa wew unapaswa ujiongeze, kumbuka hizo ni biashara za watu so, akifunguka moja kw moja anaharibu ugari wawatu, daktari yuko sahihi nazani tumeelewa.!!

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb 5 місяців тому +1

    Dr wamechongo unahamasisha watu kunywa pombe , jichanganye siku ukutane na pr. Janabi kama hujachezea mboko za kwenda!

  • @girikimdaila6026
    @girikimdaila6026 5 місяців тому +3

    Watangazaji wasenge wanaongea Sana kuliko doctor

    • @shayo01
      @shayo01 5 місяців тому

      ha ha ha ha ha daaa

  • @user-qj2fz8uq3j
    @user-qj2fz8uq3j 5 місяців тому +1

    Watangazaji wa hovyo

  • @user-ys7wj5tl3p
    @user-ys7wj5tl3p 4 місяці тому

    Nyi watangazaji mnakera Sana Kuna maana Gani? Ya kumwalika Mtaraam kama nyie mnabaki kua waongeaji. Mwacheni doctor Achambue.

  • @magretangel5242
    @magretangel5242 5 місяців тому +2

    Hata msemeje Energy hatuachi...

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 5 місяців тому +2

    Ujuaji mwingi mnooo mwacheni atoe elimu, mnaongea mnoo sasa mmemwalika dr wa nini bana

  • @sultansallah8772
    @sultansallah8772 5 місяців тому +3

    Atupe na madhara ya bia

  • @user-zx2pk4mg2k
    @user-zx2pk4mg2k 5 місяців тому +2

    Watangazaji mnazengua

  • @amanididas7660
    @amanididas7660 4 місяці тому

    daktari afya anayo maana anang'aaa

  • @josephk90
    @josephk90 5 місяців тому +1

    Watangazaji manina zenu😢😢

  • @user-ih2vo8pr6y
    @user-ih2vo8pr6y 5 місяців тому +2

    Clouds hamna kitu apo.ndio maana mnafunikwa na wasaf

  • @ayobow56
    @ayobow56 3 місяці тому

    Mimi energy Huwa sinywagi Wala soda Wala nini

  • @nassoromussa4440
    @nassoromussa4440 5 місяців тому

    Bro hawa wamiliki wa Energy, maji ya viwandani, soda zote wanataka kutumaliza ni Bora Dr. uongelee Tu na muwachane ukweli syo Tu energy drink hata hvyo vngne nilivyotaja ni mfano mikoani zamani kulikuwa na maji ya chupa chemchem Leo hii kuna kampuni Fulani ya maji Dar ndo wasambasaji mikoa yote na wameua maji mengne sasa swali la kujiuliza wameweka NN kwenye hayo maji kuna kitu kipo nyuma kifupi Ajenda fulani

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 5 місяців тому

    Kwann kipindi kina watangazsji wengi ikiwa maswala yaongelewsyo ni muhimu dah sielewsgi hizi media siku hiz inakuwa kama genge hiv au kijiwe cha story very serious ishu lakini kunakuwa na kelele ujuaji sana..kipindi kizuri mnoo lakini rekebisheni.lisiwe gengee cos mnajuwa kuandaa lakini muhusika wa kutupa mafunza.mnamfunika kwa uongeaji wenu sana ila safii..

  • @josephk90
    @josephk90 5 місяців тому +4

    Watangazaji manina zenu mnakera😢😢😢

  • @aboubakarymsati7080
    @aboubakarymsati7080 5 місяців тому

    Mama anatakiwa kumpa kitengo kijana kwenye wizara ya Afya.

  • @nassororajabu4463
    @nassororajabu4463 5 місяців тому +1

    Jaribu kunywa energy bila kula uone tumbo linavyo kwangua

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 5 місяців тому

      Kwel kabisa hawa hawaji elewi eneji ukiwa umeshiba ndio nzur kunywa sio ukiwa na njaa

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 5 місяців тому

      Ukiona inakukwanguwa ujuwe una ulcers

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 5 місяців тому

    Watangazaji wanatakiwa kumuhoji mwijaku, baba levo au H baba lakini sio watangazaji wakuhoji watu makini

  • @deogratiusdonald5123
    @deogratiusdonald5123 4 місяці тому

    Basi zipigwe marufuku hizo energy kwanini ziendelee kuzalishwa na kuuzwa wakati zina madharaa

  • @Hassan-bq8bg
    @Hassan-bq8bg 4 місяці тому

    Hawa ndiowanaotakiwa kupewa wizara ya Afya sio wale wanaosomea kuigiza mnawapa wizara yaafya

  • @RosemaryMtallo
    @RosemaryMtallo 4 місяці тому

    Doctor endelea kutoa elimu sasa wakinyamaza hawa watangazaji doctor si atakuwa kama anaongea mwenyewe??kumbuken sisi tunafuatilia tuu hao ndo wanakuwa kwa niabayetu

  • @marcominja8850
    @marcominja8850 5 місяців тому

    Nyie watangazaji gani? Hamna taaluma za kuhoji, kila wakati kumuingilia mtaalam akieleza jambo na kumtoa kwenye reli, na mnafafanua kama vile mnajua kuliko faktari mwenyewe. Ovyo sana.

  • @RokasaSamilah-eq1rm
    @RokasaSamilah-eq1rm 4 місяці тому

    Dada fety na dr isaac bigaup kwenu

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u 4 місяці тому

    MUNGU WA AJABU SANA aisee

  • @agnesmbogo3753
    @agnesmbogo3753 4 місяці тому

    Waache kuzitengeneza

  • @glassamo3847
    @glassamo3847 5 місяців тому +1

    Watangazaji n matako nyie , hivi kwann hamuachi mtu aongee amalize, yani mpka mjionehse kila kitu mnajua🚮

  • @saimonwantango9569
    @saimonwantango9569 5 місяців тому

    Nauliza jamani hivi hivi vidude mtu akivinywa sana Kuna uwezekano wa kuhalibu hata mbegu za kiume ama,nina jamaa yangu ni mhanga wa energy Sasa kupata mtoto ni xhida mpaka tunahisi energy ndo chanzo

  • @trustmwimanzi3754
    @trustmwimanzi3754 5 місяців тому +4

    Sasa kama wanajua wamemwita doctor wa nin si wangetuelezea wenyew tu

  • @joshuakinabo6861
    @joshuakinabo6861 5 місяців тому

    Mwacheni afunguke basi msimkatishe katisheeeee 😮😮😮😮😮😮

  • @piusdeo9380
    @piusdeo9380 5 місяців тому +2

    Mada haieleweki hapo makelele kibao

  • @selestinokazumba
    @selestinokazumba 5 місяців тому +4

    Watangazaji mnakera muachen dkt afunguke

  • @kombaisabela2102
    @kombaisabela2102 4 місяці тому

    Watangazaji mnaharibu kipindi mwachieni mwenye taaluma yake

  • @joelsamwel2580
    @joelsamwel2580 5 місяців тому +1

    Mnaongea sana puzi kabisaaaaa

  • @hellenmassawe7284
    @hellenmassawe7284 5 місяців тому +1

    Mpen dokta nafasi

  • @godfreypaul251
    @godfreypaul251 5 місяців тому +1

    Watangazaji wapumbavu acheni doctor aongee

  • @saimonwantango9569
    @saimonwantango9569 5 місяців тому

    Watangazaji mnazingua mpaka docter anaamua tu kuchat

  • @user-ql5fh3vz3q
    @user-ql5fh3vz3q 5 місяців тому

    Yaani mnamuingilia doktar na masuali ya hovyo basiiii kuweni nyie wasemaji mmeharibuharibu mmemuabia Musa wake Sanaa hovyo kabisa

  • @eliabgitti9716
    @eliabgitti9716 5 місяців тому

    Aki manasumbua tu Dr Kama maswli mnayajua kwanini mumulize Dr mnaingilia tu mnamkatisha maada Dr, mnaboa.

  • @isacksamuel5503
    @isacksamuel5503 5 місяців тому

    main thing ni kunywa kistaarabu

  • @ibinnassor
    @ibinnassor 5 місяців тому

    Katika kitu kilicho nipa madhara makubwa hakuna kama hizo energy

  • @leonardkomba686
    @leonardkomba686 5 місяців тому +1

    maswali yamekuwa mengi watangazaji mnaharibu mnamkatisha katisha mnaharibu content ya kitaaluma

  • @jephonaplatinumz8475
    @jephonaplatinumz8475 5 місяців тому

    Siku zinapoingia tu energy nikasoma wakasema usinywe zaid ya moja kwa masaa 24 nikasema apa siingii kabisa ata hii moja ikawa mwisho siku iyo yan

  • @vinniemlinzi173
    @vinniemlinzi173 5 місяців тому

    More nafasi sky aeleze..mnaongea mingi sana na mnaudhi

  • @draxelr-vc9wr
    @draxelr-vc9wr 5 місяців тому

    muendelezooo

  • @beatusmajumbi7125
    @beatusmajumbi7125 5 місяців тому

    Masudi na mwenzako msivuke mipaka

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 5 місяців тому

    Mnasumbua jamii kuna maana gan ya kumuita doctor wangu alafu mnatupigia kelele nyie kama mnajua mngeelezea wenyewe tuheshimiane kwenye kazi kila mtu afanye kazi yake😏😏😏

  • @trustmwimanzi3754
    @trustmwimanzi3754 5 місяців тому +3

    Jamaa wanakera sasa tunamskiza doctor au wao?

  • @magretangel5242
    @magretangel5242 5 місяців тому +3

    Doctor mwenyew ana Google 😂😂😂😂 kama hujaona basi

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 5 місяців тому

      😂😂😂😂😂

    • @rubbenmabuga3058
      @rubbenmabuga3058 5 місяців тому

      Anachati, watangazaj wanajiongelesha vtu visvyo vya maana

  • @othmanbomboma9048
    @othmanbomboma9048 5 місяців тому

    Watangazaji mrudi shule tafadhali.....

  • @beatricefrankngalubutu1448
    @beatricefrankngalubutu1448 4 місяці тому

    Hakuna mpangilio wa kuongea

  • @athumanimsangi7092
    @athumanimsangi7092 5 місяців тому

    Hawa watangazaji wanaharibu kipindi.Mbwa hawa

  • @GP-vh4mz
    @GP-vh4mz 5 місяців тому

    Hamna muendelezo wa hii interview?

  • @georgepewa9624
    @georgepewa9624 5 місяців тому +1

    Yani mnaongea sana hamumpi doctor nafasi ya kuongea

  • @ananiakajembe449
    @ananiakajembe449 3 місяці тому

    Doc blood sio organ ni tissue

  • @user-jq1ny9lx4e
    @user-jq1ny9lx4e 5 місяців тому

    Kama ukiwa unakula supplemnt ili kushiba badala ya chakula baada ya mwezi lazima ufariki maana tofauti na tumbo kuwa mchakataji mkuu wa chakula ila lazima lifanye kazi ili uishi 😂

  • @pundetv6144
    @pundetv6144 5 місяців тому

    Malizieni hiy

  • @happymushi1682
    @happymushi1682 4 місяці тому

    Si mnyamazeeeeeee mmemuita Dr wa nn km nyie ndo vidomo humo ndani..lol

  • @kondoatown8765
    @kondoatown8765 5 місяців тому +1

    Ndo maana nakunywaga 4 tu kwa siku aisee !! Staki kbsaa kuzidisha

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 5 місяців тому

    Hakuna watangazagiii hapo

  • @eliabgitti9716
    @eliabgitti9716 5 місяців тому

    Aki manasumbua tu Dr Kama maswli mnayajua kwanini mumulize Dr mnaingilia tu mnamkatisha maada Dr, mnaboa.