Kazi nzuri Prof ,acha kuwasikiliza akina Msukuma wasiojua hata kuchora picha ya moyo.
Asante kwa Somo zuri
allah bless you prof. Janabi
Mashaaalah,janabi
Prof Mungu akusaidie uishi miaka mingi unatuelimisha sana
Wslevi wanted pombe na vilivi vyote ni wabishi mno.Tumsikilize sana Pr.Nyanabi.elimu anayoitoa tukiifuata ni uponyaji
Mungu akulaliki
Uwaziri ni nafasi ya kiutwala,yy anafaa kuwa kwenye uwanja wa mapambano kama hivi anavyofanya.
Magonjwa mengi kwa binadamu karibu asilimia 80 hutokana na mfumo wa vyakula. Kwa maana hii 1. Kula vyakula au vitu ambavyo havifai ktk mwili. 2. Kula vitu ambavyo si vyakula au vinywaji halisi. m.f. soda na juice bandia. 3. Tabia mbaya ya kula chakula wakati hauna njaa, yaani kula kwa kufuata saa. Kula chakula wakati mwili hauhitaji kula. Huu mfumo wa tabia hii ndio vyanzo vya magonjwa mengi ktk mwili wa mwanadamu.
Ilitakiwa achaguliwe ndio awe waziri wa afya atatusaidia sana.
Asante professor
Mh. Rais uyu Prof. Janab anatakiwa ikikupendeza awe Waziri wa Afya atatusaidia Sana kwakua anauwezo mkubwa.
Una hakika gani kuwa elimu hiyo inatoka kwake?
Maana yawezekana anatafsiri toka mitandaoni tuu???
Una hakika gani kuwa elimu hiyo inatoka kwake?
Maana yawezekana anatafsiri toka mitandaoni tuu??? Na uwaziri sio maelezo tuu, ni utendaji kazi hasa, sio blaablaa za kina Riziwani!!!
@@josephmasanja8584 chuki itakuuwa wewe. Huyo sio dokta wako Ndodi wa tiba za asili anayegoogle au mpiga ramli na manyanga wa pale kijijini kwenu, huyo ni profesa wa afya ya mwanadamu. Ni daktari bingwa na ameshahudumu kama daktari binafsi wa raisi. Kwa sasa ndiye anayesimamia uangalizi wa afya za watanzania wote kama mkurugenzi mtendaji wa hospitali ya taifa ya Muhimbili. afya za watanzania zipo chini yake... uprofesa wake sio wa kupachikwa, kakaa darasani akasoma, bwege wewe!!
@@josephmasanja8584Madaktari wote Duniani kama yeye ndio wanasema hayo hayo hata Madaktari wa China, India na Wazungu kwa jumla na hata wa Africa 😂😂😂 lakini nyiye wa Bongo lazima muwaponde Viongozi wenu wote. Sababu ya upungufu wa Elimu. Mambo ya ajabu kweli.
Asante sana, Prof. Janabi.
Prof wakupe tu wizara ya afya iliudhibiti vizuri eneolote la afya
Hapa ndipo wabongo tunapokosea, hawa ma professor, hawatakiwi kuwa wanasiasa wabaki kuwa wataalamu na washauri, bahati mbaya sana hatuwatumii kwa sababu tunadhani watakwamisha deal zetu, ukimpeleka kwenye siasa huyu utamchukia hawezi sema kitaalamu tena, wako ma professor wengi wameangamia baada kupewa uwaziri
Subuhanallah. Mtihani haya maladhi
Msukuma anafikiri kila kitu ni siasa.pia .Tuliotayari kusikiliza tufuate maelekezo
Kazi nzuri Dr. Kwa elimu❤❤❤🎉🎉
❤
Dokta sema unywaji wa pombe haufai kabisa waambie kweli iwe kidog owe nyingi .anaetaka achukue asietaka aendelee kunywa tu atakuona mbele huko alichokitafuta..
I wish to understand if alcohol consumption is inherently likely to lead to kidney failure or if it's the resultant dehydration that leads to kidney disease? If the latter is the case, can we consume alcohol safely by consuming water too?
Why not leave alcohol altogether, it's not food but a drug.If it risks your kidinies then it is poisonous and worth avoiding .
YAANI ANAFAA SANA, WATU WANAFANIKIWA SANA KUPITIA VIDEO HIZI KAMA MAONI YA WATU WENGINE ANATAKIWA APEWE KIPINDI MAALUM KILA WIKI KWENYE CHANNEL ZOTE TZ KWA MUDA TOFAUTI ITASAIDIA SANA...
Dah somo zuri, ili niweze kuepukana na matatizo! Hapo kwenye maji mimi inaweza pita hata wiki sijanywa maji
Kunywa pombe sio dhambi, dhambi ni matendo yako baada ya kunywa pombe, sio wote wana matendo mabaya baada ya kunywa pombe
Kunywa pombe sio dhambi, dhambi ni matendo yako baada ya kunywa pombe, sio wote wana matendo mabaya baada ya kunywa pombe
Kunywa pombe sio dhambi, dhambi ni matendo yako baada ya kunywa pombe, sio wote wana matendo mabaya baada ya kunywa pombe
Kwa ma saa 24 mtu anatakiwa alale ma saa ma ngapi
Kusafisha figa ni kias ndugu
Huyu profesa janabi profession yake ni moyo sasa anaongelea figo je ana utaalamu nazo???
Ushasema professor sasa unauliza tena kwani ujui kuwa mpaka mtu anatibu moyo ni lazima ajue kuhusu viungo vingine ikiwa figo sababu tatizo la figo ndio lina sababisha tatizo la moyo
@@Allyhujjat kila kiungo na elimu yake ! Janabi fani yake aliosomea ni moyo ! Figo ina fani yake na elimu yake kama hujui taaluma ilivyo bora unyamaze tu! Ww unadhania ukiitwa profesa ndio unajua kila kitu????
@Ally hujat.acha ujinga sasa tufahamjshe ww ulosomea Figo mpumbavu mkubwa
@@user-ru6xu4hb1d 😃😃😃😃😃 shidaaaa tupu dah! Mkisikia jina la profesa mnapagawa? Kila profesa ana kitengo chake acheni ujinga
YAANI ANAFAA SANA, WATU WANAFANIKIWA SANA KUPITIA VIDEO HIZI KAMA MAONI YA WATU WENGINE ANATAKIWA APEWE KIPINDI MAALUM KILA WIKI KWENYE CHANNEL ZOTE TZ KWA MUDA TOFAUTI ITASAIDIA SANA...
Kweli kabisa akiwa waziri atapoteza ufanisi wake.