Baba huna mke hapo shkuru mungu km mtoto ni wako leo wanawake wako wengi inshaallah allah atakujaalia mwenye kheir nawe c mke huyo kabisaa wala hana mapenzi na ww
Ww sio mwanaume huo ndio ukweli na ukitaka kujijua ukweli wako uliambiwa urudishiwe pesa zako ukakataa na unajua mwanake ana mwanaume mungine pili mwanamke kakupa ukweli mtt si wako na ukweli si wako kwa sbb toka umeowa mpaka umemfumania ulikuwa unamuda wa miezi 4 toka umeowa na mke ana mimba ya miezi 7 vipi ulimpa mimba
Lakini,si huyo mkeo alikwambia mtoto sio wako?Sasa unachokifata nini sasa kakangu.Huyo sio mke ila ni malaya tu.Move on brother.Lingine,kama angekuwa anakupenda hangezaa na mwanaume mwengine.Pole sana kaka
Ulifanya jambo la hekima baba vile haikum piga mda yule ulimkuta mkeo na mme mwengine .labda ingetokea unaumiza mmoja wao unaingia jela. Alakini hivi iko hulu kabsa. Mugu amekuvusha vikwazo. Wewe pambana kwa ajili ya mwanao . Mungu atakupa mke mwengine.
Nikwambie kitu Kaka, huyo mwanamke pamoja na wazazi wake hawakutaki, na hio familia sio kabisa. Na huyo mwanao mwanamke ukimuacha hapo basi atakuwana tabia za hio familia yaani ukahaba.
We Mzee fala sana yaani umri huo bado ni mshamba wa wanawake, mtoto ushaabiwa si wako na mke hakutaki we unamng'ang'ania we acha tu mpaka aje akutoe roho ndio uje ugundue kwamba we ni fala wa mafala, inaonekana hujawahi tembea na mwanamke tangu uzaliwe huyo mkeo ndio wa kwanza fala we.
Usisumbuke Mungu alikuepusha bonge la Bala.tena usisumbuke Mungu ni mwema. Mamaako mkwe anahofu kubwa mda wowote ana juwa kama utadai Mahali. Kukataa pesa unayotuma anatafuta mlango wakuchomokea Siku ukidai pesa utaambiwa kama wanakulelea mtoto
jamani huyo mwanaume mbona anamng'ang'ania sana huyo na wakati hampendi wala familia yake? mbona wanawake wapo wengi? mtangulize Mungu Utampata mtu sahihi kuliko kumpenda asiyekupenda
Kwani hujui sheria ya dini ukimfumania mwana mke au mwaume talaka imeshatoka ameshaachika au Kelham zaa na mtu mwingine na yupo huyo ameshaachika mbona unamngangania au mpaka aje akuuwe mbona bwege wewe kwani hakuna wengine hata sitaki kukusikiliza
yaani nikisikia habar ya mwanamke amemtendea mtu inaniuma sana.mimi nilimnunulia mke wangu gari ya mil27 na gorofa losheni 4 tulizaa watoto wawili lakin nikisafiri tu anachukua gari anampa bodaboda ndo anampeleka beach ndo mume wake. nilivyomuaxha 11/09/2016 anafanya kazi ya kuwaoshea wahindi vyombo dar.wanawake wa kibongo hamna
Wallah nasema ukweli.nilimnyanganya gari na nyumba alivyoniacha mara ya kwanza nilikuwa sijajenga ila alivyorudi mara ya pili ndo ninamalizia.kama mtu anabisha nimtumie picha
Hee ,, umekaa mjini kote bado uko bwege kiasi hicho ,,,,, Subhanallah hiyo familia haikutaki hebu oa mwanamke mwingine achana na hiyo familia mbona wanawake wako chungu nzima na kingine kwanini ulikataa mahari yako hiyo million 4 ukajishikia hamsini zako Kwani tanga walikupa nini hadi umgande huyo mwanamke asiyejua tamani ya mume anachepuka tena ndani kwako bila ayibu
Dah wewe kweli moyo wako ni baridi sana hadi keshazaa mtoto mwingine bado unamuhesabu bado ni mkeo 😂 Mwanamke alikwambia mimba ilikua sio yako, AU ULILISHWA LIMBWATA
Huyu jamaa kweli ana mapenzi level ya juu,yaani mke umemfumania na bado ana kwambia mtoto si wa kwako.Na bado eti wataka arudi kwako,yaani wasema una uchungu.
Pole sana kaka yangu ndugu yangu zidi kumuomba mungu ningekuwa mimi kama mimi ningeisha Mkatia tamaa ata hivyo unamoyo sana kwa kweli na mimi ningempiga matukio kma anavyomfanyia pole sana lazima moyo ukuume lkni naimani mungua atakupa mke mwingine utakuja kufurahi
Pole sana kaka,ila huyo mwanamke achana nae kabisa,kwanza amekuonyesha zarau kubwa sana ,yaan mpaka anachukua pesa ndani anamtumia huyo jamaa yke kuja kwako kufanya upuuzi,na jingine huyo huyo mwanamke ameshakuambia kua mtoto cyo wako,sasa bado tu unamfuatilia kwel mtu kama huyo kaka??au unataka ukwel gn kaka?mimba ck zote anayejua mwanamke ndye anayejua ukwe nani ni mweye mimba hiyo,sasa ukiendelea kumfuatilia huyo mwanamke ck watakuja tu kukuua kaka yngu
Du!!!!! Pamoja na yote bado unamuita mkeo na huyo mtoto unamuita mwanao???? Kama una imani na dini yako fata swala sana na Dua ili mwenyezi Mungu afungue ufahamu wako kaka
Eh! Huyu Mke ana Thamani Gani kwako.Huyu hayuko Tayari kuishi na wewe, Thamani yake ebu. Utujuze hata ushindwe kuachana naye. Mwanao kwa ajili ya Mali au umethibisha kwa vipimo. SAHAU
Pole ndugu. Huyo si Mke wako tena. Ameshazaa na Mtu mwingine. Mpe talaka yake uendelee na maisha mengine
Pole sana kakangu kwenye miti hakuna wajenzi lkn watu wa tanga wanawake kuwa nao makini sana sio watu wazuri japo sio wote
Hee tena hatari sanaaa wachafu wa uzinzi
Kaka mtangazaji hilo pama aliendani na kazi yako Asante sanaaa🙏🙏🙏♦️
One man in a million he is a saint!
Baba huna mke hapo shkuru mungu km mtoto ni wako leo wanawake wako wengi inshaallah allah atakujaalia mwenye kheir nawe c mke huyo kabisaa wala hana mapenzi na ww
Katika kila shari kuna kheri ndani kuwa na subira Allah atakupa mke mwema inshaallah
Achana nae na mtoto kama wanasema sio wako pia achana nae mungu atakulipia
Inua mikono juu niachie Mungu wasamehe .Mungu amekuandalia mke mwema iyo sio family ya kuoa.
Unampenda sana huyo mwanamke lkn hakuna budi toa talaka mambo hayo yaishe fanya shughuli zingine upumzike hizo story
Mtu pekee mwenye tatizo hapa ni huyu mwanaume. Na tatizo lenyewe ni ushamba. Period
Yan wanawake watulivu tunatafuta wanaume waaminifu kuna wanawake wanachezea bahati
Kama huna mambo ya mizunguko mm nakutaka aisha njooo tuendeleze maisha nipo serius najua kuamin moja kwa moja ngum
@@juxjemc5768 😅😅😅fursa imetoka
@@aishamminge2996 imetoka kivp?
Pole Sana Mungu akupe subra upate akupendae
Ww sio mwanaume huo ndio ukweli na ukitaka kujijua ukweli wako uliambiwa urudishiwe pesa zako ukakataa na unajua mwanake ana mwanaume mungine pili mwanamke kakupa ukweli mtt si wako na ukweli si wako kwa sbb toka umeowa mpaka umemfumania ulikuwa unamuda wa miezi 4 toka umeowa na mke ana mimba ya miezi 7 vipi ulimpa mimba
simuelewi pia mm🤣🤣🤣🤣mtoto sio wake
umeona eeee🤣🤣🤣🤣 jmn co kwa uzuzu huooo!
unakichwa cha mahesabu my 😂😂😂
@@catherinescott9113 duh
@@thabitdeco1575 lazima tushangae Ila hyu babu pole yake yaan
Ulishaambiwa mtoto si wako broo achana na hiyo familia. Au kapime DN ujue mtoto ni wako au sio
Lakini,si huyo mkeo alikwambia mtoto sio wako?Sasa unachokifata nini sasa kakangu.Huyo sio mke ila ni malaya tu.Move on brother.Lingine,kama angekuwa anakupenda hangezaa na mwanaume mwengine.Pole sana kaka
Anampenda tu
Ulifanya jambo la hekima baba vile haikum piga mda yule ulimkuta mkeo na mme mwengine .labda ingetokea unaumiza mmoja wao unaingia jela. Alakini hivi iko hulu kabsa. Mugu amekuvusha vikwazo. Wewe pambana kwa ajili ya mwanao . Mungu atakupa mke mwengine.
Nikwambie kitu Kaka, huyo mwanamke pamoja na wazazi wake hawakutaki, na hio familia sio kabisa. Na huyo mwanao mwanamke ukimuacha hapo basi atakuwana tabia za hio familia yaani ukahaba.
Broo tafuta mke mwingine wewe, Mungu anasema wenda mkapenda jambo na likawa na shari kwenu.
Pole sana kaka , Mungu yupo,
aisee pole sana.wewe usingengangania umeshaambiwa sio mwanao unangangania nini.wanawake sio kabisa mm iliishanitokea.acha kabisa wanawake
Pole 😅
Pole kwa mtihani
😂😂😂😂Pole
Siyo wote baadhi yao mbon nawanaume ndo hiv nishida
Pole daud ☺️
Wee kaka si ameshakwambia mtoto si wako nahivo hakutaki achana nao muombee mungu akupe mke mwema
Watching from Saudi Arabia 🇸🇦🇸🇦🇸🇦 .mungu.atakupa.muke.muzuli
We Mzee fala sana yaani umri huo bado ni mshamba wa wanawake, mtoto ushaabiwa si wako na mke hakutaki we unamng'ang'ania we acha tu mpaka aje akutoe roho ndio uje ugundue kwamba we ni fala wa mafala, inaonekana hujawahi tembea na mwanamke tangu uzaliwe huyo mkeo ndio wa kwanza fala we.
Tshirt ya Man United 😂😂😂
Ila jamaa naye Kama anamatatizo Hivi... Kuna Shida hapa Naiona Kwa msimulizi hizo pozi hapana...
😂😂😂
Hizo pozi ni za maumivu ya moyo
Unataka kusemaje mzee😀😀
Tulia kwanza huyu anapenda kuongea kwa mdomo na viungo vya mwili ndo ishara zake.
Mpe talaka kwakuwa mwanamke keshakwambia mtoto sio wko sasa unataka kujipa majukumu ya nn? Pole sana
Jiongeze mzee hakuitaj huyo tafuta mke uoe usimpende mwanamke kias hicho dharau zote bado unajipendekeza
Pole sana achana nae tu siyokesi hakupendi uyo
mm nimekwama hapo kwenye mkon tuu
Ha ha haaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣
Mwambie anitafute nahitaji mume Mimi ni mjane
What a brave man let God give you a good woman
Ju
😆🤭😂✌️ haya jamn Watu watanga mje mnipe maujuzi 😂😂
Tafuta mtumzima mwenzio ilahatauyomtoto siwako
Usisumbuke Mungu alikuepusha bonge la Bala.tena usisumbuke Mungu ni mwema.
Mamaako mkwe anahofu kubwa mda wowote ana juwa kama utadai Mahali.
Kukataa pesa unayotuma anatafuta mlango wakuchomokea
Siku ukidai pesa utaambiwa kama wanakulelea mtoto
Kwan huyo mzee anatoka mkoa gan mbon hajitambui kaambiw mtt siyo wake
Anaonekana mim2 wakusini huyu ata ongeayake
jamani huyo mwanaume mbona anamng'ang'ania sana huyo na wakati hampendi wala familia yake? mbona wanawake wapo wengi? mtangulize Mungu Utampata mtu sahihi kuliko kumpenda asiyekupenda
Muwace mimi niko Tayari kuolewa nawewe jee mtu kutoka wapi kwa Imani iyo Nimekupenda
Kwani hujui sheria ya dini ukimfumania mwana mke au mwaume talaka imeshatoka ameshaachika au Kelham zaa na mtu mwingine na yupo huyo ameshaachika mbona unamngangania au mpaka aje akuuwe mbona bwege wewe kwani hakuna wengine hata sitaki kukusikiliza
Mimi nakushauri achana na hiyo familia ni mbovu
Mbona huyu mwanamme simuelewi
Me mwenyewe Dada sijaelewa Bado 🤔🤔
Huo mkono
Kwan uyu baba ni kabila gan
Umuelewi kivip
@@asianoor490 mkono vip bby
Iyo familia siyo ya kuoa pole Baba utapata mwenye kheri na wew🙏
Muache sasa mpe taraka jamani kheee lea mtoto kama ni wako
kwapicha ya haraka inaonekana ulioa binti wakati wewe nimzee hakika kwa maelezo yako nahisi umempita kiumuli mbali Sasa Jana hisia na wewe
Umri hauna nafasi
yaani nikisikia habar ya mwanamke amemtendea mtu inaniuma sana.mimi nilimnunulia mke wangu gari ya mil27 na gorofa losheni 4 tulizaa watoto wawili lakin nikisafiri tu anachukua gari anampa bodaboda ndo anampeleka beach ndo mume wake. nilivyomuaxha 11/09/2016 anafanya kazi ya kuwaoshea wahindi vyombo dar.wanawake wa kibongo hamna
Sasa ulipomuacha hiyo gari na gorofa ilienda wapi ? hata akafika kuwa house keeping ?
Huna hata baiskeli fala ww
@@avitusmichael5 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wallah nasema ukweli.nilimnyanganya gari na nyumba alivyoniacha mara ya kwanza nilikuwa sijajenga ila alivyorudi mara ya pili ndo ninamalizia.kama mtu anabisha nimtumie picha
@@daud405 Mimi nakuamini . vizuri ulipomfanyia maana wengine huja kuchuma tu .
Ana ujauzito miezi 6 au 7 kaishi nae miezi 4 kisha asema ujauzito wake sijui alipachika mimba kiuchao
Jiongeze mtumzima busara zitakuponza pole sana uyo sio mkeo na mtoto sio wako khaa jamani
Babu njoo unioe mimi nina miaka. 35.nitakuzalia kila mwaka.😅😅😅😅nikuponye machungu ulio pitia.
😂😂😂
babu anaomba namba zako
Mungu atakuletea alo na kheri na ww
Jamani mwombe Mungu atakupa mke mwema
Jamani pore yake njoo mwanza unione Mie 38
Amezalishwa na mwingine tena bado unamsubiri mke we kaka hauko serous MTU hakupendi we bado unamng,ang,ania mapenz haya lazimishwi
tena uliwajengea nyumba wewe fala san.umri huo haujajua wanawake.mimi sitoa mbongo wameshindikana.sio bure walikupa dawa
Watu wengine wabaya huwa sio akili yao jamani wanawake ss hatar yaani asilimia kubwa wanawake wanaroga uwo ukweli.
@ Malak, yaani huo ndo ukweli wanawake wa kibongo sio
Poa baba mungu atakupe mwengine
Huyu baba ilikuwa umuache sababu msichana hakutaki ameshakuonyesha dharau za kutosha hata mtoto km amekwambia sio wako ungemuachia tu
Sasa simuache tu dunia itafunza.owa mwanamke mungine.
Hapo Sasa, na uzee unakuja mbio
Ndiyo maana tunashauriwa kuowa au kuolewa na mtu mwenye dini kwasababu atakuwa na hofu ya Mungu kwa kufanya maovu.
Sasa ww ushaammbiwa mtoto sio wako we unalazimisha kumsomesha...sawa, mwisho utuletee mrejesho!
Nani kaona vidole
Wanaume kama Hawa wanapatikana mko gani jamani wakuhudukia kilazima
Wanapatikana wapi voo mana si kwa uzuzu huuu🤔🙄
Pole sana baba
Watu wanapata wamaime lkn wanashindwa kuwatumia ss atupati kama awa😢😢
Huyu mzee Ni Kuma sana hakili hana
Mbona umetukana na ww mwanamke
Hee ,, umekaa mjini kote bado uko bwege kiasi hicho ,,,,,
Subhanallah hiyo familia haikutaki hebu oa mwanamke mwingine achana na hiyo familia mbona wanawake wako chungu nzima na kingine kwanini ulikataa mahari yako hiyo million 4 ukajishikia hamsini zako
Kwani tanga walikupa nini hadi umgande huyo mwanamke asiyejua tamani ya mume anachepuka tena ndani kwako bila ayibu
Duh pole sana
Pole sana ,mbona wanawake wako wengi chukua maamuzi.
Dah wewe kweli moyo wako ni baridi sana hadi keshazaa mtoto mwingine bado unamuhesabu bado ni mkeo 😂
Mwanamke alikwambia mimba ilikua sio yako, AU ULILISHWA LIMBWATA
eeeh bwana we heshima kwako mzee wang ila kama mm ningalikuw nipo jela maana nimeuwa mtu
WWE!! Huyo si mke kabisa ,tena pamoja na huyo mamake
Alianza kukosea kuoa baba mkwe
Huyo mwana mke ni mkora Na Ako pamoja na wazazi na ule jamaa wachana na uyo mwanamke,maraya ule!!!!
Mmmh!!. Una uhakika gani kama Mimba ni yako? Hovyooo!!. Usituchoshe.
Omba mungu yasikutokee
Katuangisha sana watu t.a
Pole kaka
Duh 2017 you still waiting for her?
Siumesema mkeo alikwambia mtoto sio wako ,sasa unang'ang'ania?
Huyu ndio mwanaume kamili mwenye subra
Iv hawa wanaofany iv vitu wanasahau km kun maisha baada ya haya wanayoyafanya😰😰
Hawajui hilo
Ndugu mtangazaji hilo pama sio kabisa
Wanawake mpoo
Mume zaidi ya waume ongera bwana kw hiyo roho yako wajifunze kutoka kwako
Duh baba njoo uoe Mwanza hatunaga mambo mengi! Natania
Hhhhhh jiamini bc
Eti natania.
Hahaha et natania
🤣
Huyu jamaa kweli ana mapenzi level ya juu,yaani mke umemfumania na bado ana kwambia mtoto si wa kwako.Na bado eti wataka arudi kwako,yaani wasema una uchungu.
Bwege mtozeni hayo sio mapenzi....
Duh bado unamtaka aisee mapenzi upofu Mungu wngu
Mashalla he is very wise man
Hana cha wise huyu ni psychatric
Pole sana kaka yangu ndugu yangu zidi kumuomba mungu ningekuwa mimi kama mimi ningeisha Mkatia tamaa ata hivyo unamoyo sana kwa kweli na mimi ningempiga matukio kma anavyomfanyia pole sana lazima moyo ukuume lkni naimani mungua atakupa mke mwingine utakuja kufurahi
Kidini mpk sasaiv siyo mkeo miaka 5 hao nimatapeli kamfwate mtoto wako umlee mwenyew
Tanga sehemu gani.mjini au vijijini
Kwakweli penye miti akuna wajenzi 😢😢 daa
Mzee Mambo yote ayo yanatokea Bado tu umekomaa ,duh uwo tena ni kama ujinga ,hakuna busara ya hivyo ww .
Ukiona mwanamke akifanya hivyo, huyo mtoto SI wako, na mwanaume mwenye kumkuta kwa nyumba Yako Nia ndui yako
Kweli unamoyo anagekua mwingine ungengolewa meno
Sasa ww ushaambiwa mtt c wako ushamfumania na mwanaume mwengine shida yako iko wapi siutafute mwengine
Ht uyo mwanamke kshamuina bizozoz ndo mana anafamfanuia ivyo
Babaangu wanawake wote ao walojaa,app hutakiwi tafuta make mwengne.
Hivyo vidole nimevipenda unavyovidengua mzee
ni shoga huyu mzee
Subhanallah
😄
@@daud405 astaghafuruwallah mbona afrika mnapenda mambo yakuita watu mashoga mnapata wapi ujasiri huo.
@@daud405 🤣🤣🤣🤣
mzeee anatumia mihadarati mikali ...!
Pole sana kaka,ila huyo mwanamke achana nae kabisa,kwanza amekuonyesha zarau kubwa sana ,yaan mpaka anachukua pesa ndani anamtumia huyo jamaa yke kuja kwako kufanya upuuzi,na jingine huyo huyo mwanamke ameshakuambia kua mtoto cyo wako,sasa bado tu unamfuatilia kwel mtu kama huyo kaka??au unataka ukwel gn kaka?mimba ck zote anayejua mwanamke ndye anayejua ukwe nani ni mweye mimba hiyo,sasa ukiendelea kumfuatilia huyo mwanamke ck watakuja tu kukuua kaka yngu
Huyo mwanamke atakuua achana naye wewe mjinga
Lama maybe Ako handsome 😂😂😂
Du!!!!! Pamoja na yote bado unamuita mkeo na huyo mtoto unamuita mwanao???? Kama una imani na dini yako fata swala sana na Dua ili mwenyezi Mungu afungue ufahamu wako kaka
Eh! Huyu Mke ana Thamani Gani kwako.Huyu hayuko Tayari kuishi na wewe, Thamani yake ebu. Utujuze hata ushindwe kuachana naye. Mwanao kwa ajili ya Mali au umethibisha kwa vipimo. SAHAU
iyo aibu sana ndy mana anaona aya kupokea at pesa ila mi pesa at sikati
ilitatizo ni la mwanamume'kutoshirikisha familia yake ktk ndoa yake.kwa kutumia sana pesa zake.kwa kujifahalisha kwa wake zake......
Du kaka njoo unioe mm,
Sifa mojawapo ya mwanaume ni msimamo wee baba huna msimamo yanayokukuta yote unastahili
Sasa baba wewe huna shida lolote ,kama mke wako hataki muache. Wakiona mtoto anaitaki msaada watakujilisha. Sasa jamani wanataka ufanye nini.. Unampenda mke wako lakini wandungu ndo wabaya. Wamemuozesha kwa mme mwengine. Wewe powa tuuu
Babu anatia huruma!!
We boya siendelei kusikiliza huo ufala
Wazazi walikataa asitumie sim walikua wanamfaham tabia zake za uhuni kupitia sim
N ww mwanamke ukiuliwa ndugu Zako wnanza kufunga uyo mume awajui km mtt wao ndo mkorofi
Hawezi kurudi huyo hakutaki acha kujipendekeza