@@ziadamsongo2302ndio nilipo choka hapo dada mzima wa Afya ana mikono na miguu anashindwa kufanya kazi hata kwa mama ntilie jamani kila kitu sio cha kutia huruma
Kaka zahir hongera sana na pole. Naomba uende mpaka shuleni anaposoma uyo mtoto. Kama anasukumwa darasani! Walimu wanachukua hatua gani? Sababu uyo bado mtoto.
Nimeumia mnoo kama mzazi na nina watoto Mixer pia😢😢,huyu mtoto kaniliza ,Mungu atusaidie watoto wetu wasibaguane kabisa.inaleta simanzi sana,asante zahiri kwa kutuletea habari nzuri kama hizi
Pole dogo..,,halaf kaka hili swala la maboresho hyo shule uchukuliwe hatua haraka sana hao walim ni wezi.vipindi vyao hawafundishi,wanakaba watoto walipwe mia tatu.wizi huu hatuutakki.maboresho Gani.
Uyu mama angejitahidi sana kumwambia mtoto yeye ni wa thamani sana na ni mzuri ili asiwe anajisikia vibaya na maneno ya wenzie shule 😢she’s very beautiful ❤❤
Pole sana Mama Sikeiei Shi,Wewe na binti yako hamna hatia....hayo ni mapito tu katika maisha, yatapita.Hao wanafunzi wenzake wanamnyima raha mwenzao...hebu waache roho mbaya na chuki binafsi..,wamwache Arafa asome kwa amani na kuyafurahia maisha kama wao🎉
Pole sana our daughter wewe nimtanzania halisi kabisa umezaliwa tanzania namaishayako tanzania usilie Binti yetu utakua tu ipo siku utakua poa wallah ningekua nauwezo mkuu ningemsaidia uyu mtoto kabisa
Mama hujapaswa kufanya ivi unamuathiri mtoto kisaikolojia pili hii itaonekana miaka yote vipi akikua akajikuta hayupo tena kwenye situation hii ya maisha si atajisikia vibaya Sana na kujutia kwanini alihojiwaga kwenye mitandao, sijapenda Kwa Kweli wanawake wanaolea watoto peke yao ni wengi Mbona wewe mmoja Unashindwa Kukaza moyo ukafanya kazi ata baa ukamlea mwanao, izo changamoto Mbona ni za kawaida zinawapata wengi kuliko kumjengea mtoto wako future ya kumdhalilisha ivi
😢baby girl you are so pretty princess ,they bullying you just because they're jealous of you mama, I mean just look at yourself honey you are better than them 😊una akili sana na unahuruma na mama Allah akulinde akukuze vyema utimize ndoto zako uje kuwa daktar mkubwa naamini haya yanaishi na utakuja kusoma hii comment sikumoja nataka tu ujue Allah loves you imani uliyonayo sasa ukue nayo mpaka ukubwani na usimuache mamako
Pole kwa mtoto kwa jinsi anavyobaguliwa, wanafunzi acheni ubaguzi, mtoto nyamaza ila mama fanya kazi ili utunze mtoto wako. China huyo mtoto hawezi kwenda huyo ni Mtanzania mwenzetu.
Subhanaallah usilie kwakweli pia sisi tulipitia hayo Masikini tuliitwa waarabu koko lakini ilipita mwenyezi mungu atakujalia kila lakheli yatakwishwa hayo yote 💔💔💔💔 yaarabi 😢😢😢
Usikate tamaa Mimi ni kama wewe na wewe ni rafiki yangu angalau ningepata naimba zako nikawa nakusalimia mashaalaa alla atawajaali subra iweko mbele inshaalah
Pole mtoto bora mama yupo japo mnateseka maisha nihivo tu hata wenye baba zao hawasaidiki na chochote wengi wao ni ss wamama tunapambania watoto wetu 😢
Huyo mtoto wamemkaririsha kujiona sio wa kawaida, kwenye hayo,hayo mazingira anayoishi... kwenye tz haijafikia hatua hiyo sisi tumesoma ma adi watoto wakihindi.. shule ya kayumba na walikua maisha ya kwaia2 na tulikua tunawashobokea.
Maskini 😢 Pole mtoto mzuri dah 😭 anapitia magumu mtoto mdogo yani sikuhizi skuli zinarudisha nyuma kwa kweli wakati wao ndio wawewale wa watoto ndio kwanza wamekua mstari wa mbele kukandamiza wanafunzi😢 .
Assalaamu A'laykum warahmatullaahi wabarakatuh mtoto pole Allaah atawafanyia wepesi In shaa Allaah pia msamehe baba yako kwa sababu ni mzazi wako na huwezi jua ni nini kilimsibu mpaka hakutafuti huenda mambo yatakuja kubadilika Biidhnillaah
Mtoto anampenda mama yake sana. Mpaka anafunga kwa ajili yake. Eee Mwenyezi Mungu mfanyie wepesi huyu mama ili mwanae afurahi. Na uwabariki wote pamoja na Kaka Zahir
Namuombea Dua mungu amjalie apate msamaria mwema amsaidie apate kumuhamisha hio shule na kingine hawezi kufaulu vizuri kwenye shule kwasababu ya manyanyaso
cute baby mashallah, muanini Mungu kila kitu kitakaa sawa, usijali kutokua na baba wengine hawana hata mzazi mmoja, km mama mpe mtoto furaha hayo maisha yatapita tu tunawaombea kila la heri, katoto kizuri km.mzazi.muelimishe mtoto apende shule zaidi, hayo ni mapito tu❤😂
Aniliza maskin anaongea km mwanangu usijali dada hata sisi tume tekelezwa na watoto 2 nikamua kuja saudia but mungu ata kukuza mtoto mzuri ndio maisha mababa sikuhizi Wana tuachia sisi watoto lakin mungu ana ona kilakitu 😂😅
Mtoto bado mdogo na hafahamu chochote hakuna mtu atambagua huyo zaidi yakumuonea wivu kwajinsi yake alivyo na akijakujitambua yeye ndiye atamua kuwabagua wenzake kwamaringo au lah lakini mimi sioni ubaguzi katika huyo mtoto, my kid is half Chinese she's very beautiful
mashalaah kazuri.halafu mbona hakana ht sura yakichina kana macho ya mama ake makubwa ,yaani hakana sura yakichina kbs.huyu mama nae anashindwa kupambana kwa ajili yamtoto wake tena mmoja .anasababisha mtoto ananyanyasika hivyo .tena mtt moja tee sisi tulioachiwa 3 nabado tunapambana hatulii shida.daaaaah
ETI maliza kwanza ndio utalia ,mama kama hawa kukimbilia watu hovyo hovyo ,siajabu mchina mwenyewe kwao ni mfungwa unampa Mtoto tabu tuu,kinachofuata unamwathiri Mtoto kisaikolojia
Dada mpende mwanao hiyo ni zawadi yko katoto kaziri mashaallh
dada mwanao mzuri sana lea mwanao pambana Acha kujidhalilisha tafuta kazi
@@ziadamsongo2302ndio nilipo choka hapo dada mzima wa Afya ana mikono na miguu anashindwa kufanya kazi hata kwa mama ntilie jamani kila kitu sio cha kutia huruma
Mbona Hana Rangi ya kichina huyu jamani na Mungu ambariki sana kwa kumuombea mama yake ila naamini Mungu habagui ameanza kujibu na atajibu zaidi
Mtoto mzur MashaAllah❤
Kaka zahir hongera sana na pole. Naomba uende mpaka shuleni anaposoma uyo mtoto. Kama anasukumwa darasani! Walimu wanachukua hatua gani? Sababu uyo bado mtoto.
Nimeumia mnoo kama mzazi na nina watoto Mixer pia😢😢,huyu mtoto kaniliza ,Mungu atusaidie watoto wetu wasibaguane kabisa.inaleta simanzi sana,asante zahiri kwa kutuletea habari nzuri kama hizi
Hadi anatamani kuwa kawaida duuh.awe kama wengine.watoto wa shule yake waonywe jamani
Allahumma ameen yaarab
HUKU ULAYA KWENYEWE WANATUBAGULIA WATOTO WETU HAWA WAKIMIX 😢
It's so sad mtt analia. Nipatie please kama utakubali. Ntamlea
Pole dogo..,,halaf kaka hili swala la maboresho hyo shule uchukuliwe hatua haraka sana hao walim ni wezi.vipindi vyao hawafundishi,wanakaba watoto walipwe mia tatu.wizi huu hatuutakki.maboresho Gani.
Kabisaa👏👏👏👏👏👏
Uyu mama angejitahidi sana kumwambia mtoto yeye ni wa thamani sana na ni mzuri ili asiwe anajisikia vibaya na maneno ya wenzie shule 😢she’s very beautiful ❤❤
Ata hao wanafunzi wanamuonea wivu tu
@@linetkageni9096 ndio ni wivu tu kwa sababu ni mrembo
Jmn mtoto anaakili ya maisha huyu kaka zahiri usiwache hivihivi hlf katoto ni kazuli mashaallah❤❤
Pole sana Mama Sikeiei Shi,Wewe na binti yako hamna hatia....hayo ni mapito tu katika maisha, yatapita.Hao wanafunzi wenzake wanamnyima raha mwenzao...hebu waache roho mbaya na chuki binafsi..,wamwache Arafa asome kwa amani na kuyafurahia maisha kama wao🎉
Pole sana our daughter wewe nimtanzania halisi kabisa umezaliwa tanzania namaishayako tanzania usilie Binti yetu utakua tu ipo siku utakua poa wallah ningekua nauwezo mkuu ningemsaidia uyu mtoto kabisa
inshallah amen mungu awafungulie milango ya baraka mamako atapata kazi🙏🙏
Dah hongera mtangazaji inshaallah ALLAH akulipe malipo mema duniani na akhera hakika utakapo mhurumiya mtoto na ALLAH atakuhirumiya
Mtoto mzuli Masha Allah 💞💞
Ila kazuri masha'allah... Allah ataleta wepesi ktk hili ...usilie ..mwanetu
Mtangazaji Mungu akubariki sana kwa kazi Yako endelea kuangalia wanaonyanyasika ni wengi sana
Mama hujapaswa kufanya ivi unamuathiri mtoto kisaikolojia pili hii itaonekana miaka yote vipi akikua akajikuta hayupo tena kwenye situation hii ya maisha si atajisikia vibaya Sana na kujutia kwanini alihojiwaga kwenye mitandao, sijapenda Kwa Kweli wanawake wanaolea watoto peke yao ni wengi Mbona wewe mmoja Unashindwa Kukaza moyo ukafanya kazi ata baa ukamlea mwanao, izo changamoto Mbona ni za kawaida zinawapata wengi kuliko kumjengea mtoto wako future ya kumdhalilisha ivi
Mashallah sweet baby kazuri katoto jamani 😭😍😘
Mashaallah nilijua muethiopian Mbona rangi yake ni Africans tu❤
Wengine wanachukua rangi ya mama zao mpendwa
Tena kabisa,na Kuna Watanzania weupe kumzidi.
@@asiaq1938 yeah lakinii mm amekaa kama Africans tu hata macho ya kina hana😍😍
@@maswamills3161 yeah
@@زينبعليعبدالله-ز3س ndio yani ukimuona kama muafrica
Pole Sana mtoto mzuri na mungu atawafungulia Maisha mzr ww na mama yako
We dada tafuta kazi lea mtoto kazi yoyote ile wala usichague mwanao mkubwa sna wacha kumpa mtoto maisha yasio na amani tafakali sana tafuta kazi
Hongera Sasa Zahir kwa moyo uliyokuwanao, ila huyu mtoto kanifanya nimwage machozi kwakweli
Masha ALLAH pole Sana katoto kazur . Ila hiyo rangi c mweupe kiviile ni wa kawaida tu labda hizo nywele tu na wanatabia mbaya wabadirike
Allah akufanyie wepesi sana ARafa pamoja na mama yako pole sana hakika huyu mtoto ameniliza sana insulator sana tu pole sana jaameni
Wanakuonea donge hao MashaAllah kazuriiiiii
karembo mashaAllah...Allah atawezesha
Mwanangu usilie wewe ni mrembo sn wanakuonea wivu, hata mm nimekupenda buureee wewe ni mzuriiii.
Dada pambana mwanamke umlee mwanao mbona weupe halio naoniwakaida Sana nauwezi kujua kama nimchina kiukweli nimzuri dada una mtoto mzuri Sana mlehe Mimi ninalea mwanangu menyewe dada Fanya kazi uza hata ndizi kichwani humtunze mwanao uyo ndo kiongozi wakesho
Masha Allah she’s so cute 🥰 mungu akulinde na atakuepusha na mabaya yote …. Wewe ni bora soma mama uje umsaidie mama yako usisikilze mtu yeyote mamy
Mashaallah mtoto mzuri .pole kwa manyanyaso
Aki nimetoa machozi sana kuona hii video mungu akubariki mwanangu
Mash allah. Bint mzuri sana...
Bora ambadilishe jina na abadilishe mahali pakukaa
Atafurahiya maisha yao
Huyu mtoto anamajina mawili la kitanzania na lakichina Sema shule angemuandikisha Jina la kitanzania asingejulikana
Dah pole dada napole mtoto mzuri usiliye MUNGU ndiye mlezi wetu inshaallah zaidi ALLAH tumwombe atatusaidiya
Ooooh I feel for you baby girl, God bless you with your mom
Mtoto mzuri mashallah 🤲🤲
Nmekikuta nalia
Jamani katoto kazuri sana mungu hakukuze vyema mtoto 🥰🥰🥰🥰
😢baby girl you are so pretty princess ,they bullying you just because they're jealous of you mama, I mean just look at yourself honey you are better than them 😊una akili sana na unahuruma na mama Allah akulinde akukuze vyema utimize ndoto zako uje kuwa daktar mkubwa naamini haya yanaishi na utakuja kusoma hii comment sikumoja nataka tu ujue Allah loves you imani uliyonayo sasa ukue nayo mpaka ukubwani na usimuache mamako
Alafu mzuriii sana bonge la toto
Pole kwa mtoto kwa jinsi anavyobaguliwa, wanafunzi acheni ubaguzi, mtoto nyamaza ila mama fanya kazi ili utunze mtoto wako. China huyo mtoto hawezi kwenda huyo ni Mtanzania mwenzetu.
Ukiona mtoto mdogo alia hivi ujue Kuna manyanyaso mengi anaofanyiwa 😭😭😭amenikumbusha mbali nilipotoka na wanangu tulikua tunaitwa wa masikini
Subhanaallah usilie kwakweli pia sisi tulipitia hayo Masikini tuliitwa waarabu koko lakini ilipita mwenyezi mungu atakujalia kila lakheli yatakwishwa hayo yote 💔💔💔💔 yaarabi 😢😢😢
Umenikumbusha mbali tukiwa shule tukiitwa hivyowarabukoko😅😅😅
Tupo wengi kumbe waarabu Koko au shombe shombe
Jamn nimeumia sana😢😢
Umenikumbusha mbali niliwahi kwenda stoo ya mkaa nyumbani nikitamani kujipaka masizi ili nifanane na wenzangu😅
@@sarahadam4535 pole
mashallah ka toto kazuri saana ila wata tz muna roho mbaya kweli kwann muna bangua mtoto dah 💔😭😭😭pole mtoto mzuri
Usikate tamaa Mimi ni kama wewe na wewe ni rafiki yangu angalau ningepata naimba zako nikawa nakusalimia mashaalaa alla atawajaali subra iweko mbele inshaalah
Mashaallah mtoto mzur waache kumsema uyu badae atakuwa kiboko yao
Mashaallah mzur thana❤❤usilie piah uweupe niwakawaida ilaa wanamuonea wivu nywelee zako
pole sana dada mlee huyo mtoto kwani ndo mkombozi wa maisha yenu baadae mungu akutangulie dada
Mashaallah mtoto mzuri
Roho imeniuma wallahi mpk nimelia mungu yaarabi tulokuwa maskini tumadhalilika sn
Nampenda zahiri anamoyo mzuri ubarikiwe kwa kumpa hela mtoto 🤲😘
Pole mwanangu hata huku kuna ndugu zako
Pole mtoto bora mama yupo japo mnateseka maisha nihivo tu hata wenye baba zao hawasaidiki na chochote wengi wao ni ss wamama tunapambania watoto wetu 😢
Mtoto mzur na anajua kujieleza
Huyo mtoto wamemkaririsha kujiona sio wa kawaida, kwenye hayo,hayo mazingira anayoishi... kwenye tz haijafikia hatua hiyo sisi tumesoma ma adi watoto wakihindi.. shule ya kayumba na walikua maisha ya kwaia2 na tulikua tunawashobokea.
Mimi nimesoma na wahindi na waarabu tele. Na hatujabaguana
Mdogo wngu pole sanaa😢 hao Wana roho mbaya Sanaa na pia Wana kuonea wivu Sanaa 😢😢
Sio vizuri jaman
Maskini 😢 Pole mtoto mzuri dah 😭 anapitia magumu mtoto mdogo
yani sikuhizi skuli zinarudisha nyuma kwa kweli wakati wao ndio wawewale wa watoto ndio kwanza wamekua mstari wa mbele kukandamiza wanafunzi😢 .
Mtoto mzuri mashaallah mm nakuomb usimskiliz yeyote endelea na masm hawo ni mashawish tu nakupend sana ❤
🙏 nimelia Sana jaman mungu tusaidie Sisi masingo Maza
daaaah nimecheka kama mazuri wallah bongo mtoto anajua mpaka kuchambwa pole dada
Assalaamu A'laykum warahmatullaahi wabarakatuh mtoto pole Allaah atawafanyia wepesi In shaa Allaah pia msamehe baba yako kwa sababu ni mzazi wako na huwezi jua ni nini kilimsibu mpaka hakutafuti huenda mambo yatakuja kubadilika Biidhnillaah
Pole mwanangu na Mimi ninae mrembo lkn wangu mkorofi hakubali kuonewa na nywele mashallah ila wangu anavaa ushungi
Hongera kwa kuwa na mtoto mzuri
@@nameno8608 Asante nampenda sana lkn baba ake pia alimkataa akasema nimezaa na waarabu
Wanamuonea wivu mtoto mzuri kikubwa wahame hapo tandale
Daaaah poleni Sana
Mm niwe na mtoto mrembo hivi alafu nijute😂Noooooo way siwez abadani❤katoto mashallah ...pole jamani
Manshallaah Yuko na akili kweli mungu amfungulie
Mtoto anampenda mama yake sana. Mpaka anafunga kwa ajili yake. Eee Mwenyezi Mungu mfanyie wepesi huyu mama ili mwanae afurahi. Na uwabariki wote pamoja na Kaka Zahir
Pole mdogo wangu utakua ndugu yangu
Amiin yarabil-allamiin 🤲
Safi Sana muhandishi
Namuombea Dua mungu amjalie apate msamaria mwema amsaidie apate kumuhamisha hio shule na kingine hawezi kufaulu vizuri kwenye shule kwasababu ya manyanyaso
Mtt mrembo nimempenda sana
cute baby mashallah, muanini Mungu kila kitu kitakaa sawa, usijali kutokua na baba wengine hawana hata mzazi mmoja, km mama mpe mtoto furaha hayo maisha yatapita tu tunawaombea kila la heri, katoto kizuri km.mzazi.muelimishe mtoto apende shule zaidi, hayo ni mapito tu❤😂
Jamanii nalia adi nimeshindwa kujizuia
Masha Allah nikazuri mnoo pia mbona haonyeshi kama mchina mbona kuna watoto wengi tu wakimasikini na niweupe kwelikweli hakuna shida yoyote
Hana sura ya kichina kabisaa
Kwauchina hana wajiho kabisaa kidoogo kwenye Af kast wa kiarabu
@@zawadisaidi4723 kabisa. Ana usomali zaidi
Jamani pole sana mwanangu dah
Mtoto mzuri watoto wanaokuchamba wanakuonea donge tu pumbavu zao 😅😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Waoooooo cuteeeeee 🥰❤️🥰 girl,mpende sana mama Yako,na MUNGU AWATUNZE JAMANI.
Mashallah she is beautiful baby girl
Pole mtoto mzuri mungu yupo anakuona usilie ❤
masikinii pole kipenz chang wajin wangu pia we mzuri San mwanangu
Jamani mtoto mzuri sura nzuri kwa nini anyanyasike hivi Allah muangalie kwa jicho LA huruma
Pole sana arafa utapata mahitaji yako mwanangu na wala usilie futa Machozi na hao wanaokusema waambie ni wivu tu wewe mrembo
Mashallah kazur nimekapenda❤
Pole mtoto mzuri ❤❤kwa maumivu unayoyapitia
Kanasikitisha jmn! Dah! Poleni sn allah awafanyie wepesi
Bullying mbaya sana huyo mama angelihama hapo; mtoto itazidi kumuaharifu kisaikologia wivu na chuki tuu😢
Aniliza maskin anaongea km mwanangu usijali dada hata sisi tume tekelezwa na watoto 2 nikamua kuja saudia but mungu ata kukuza mtoto mzuri ndio maisha mababa sikuhizi Wana tuachia sisi watoto lakin mungu ana ona kilakitu 😂😅
Zuleikha Omar 😢😢😢😢
Anampenda sana mama ake
Sana
Kwa kweli huyu mama na mwanae wateseka sana . Nipeni anuani.niwachue hii familia.
Chukua no zao hapo uwasaidie InshaAllah Mungu atakusaidia.
Nalia mimi CNA jinnsi sema mimi CNA ela kidogo changu ntatoa
Pole mtoto mzuri
maskini m mungu atakuruzuku utasoma utafanya kazi utamsaidia mama jitahidi
Mashaaallah cute and clever 🎉
We mama tunaomba umbadilishe jina uyo mtoto, uyo ni mtanzania ilo jina ulio mpa linachangi.
Kabsa
NASEMAJE NASEMAJE....WATANZANIA ..TUACHENI IZI TABIA ZA UBAGIZI WA RANGI SISI WOTE NI WAMOJA NA ALOTUUMBA NI MMOJA...TUACHE MARA MOJA HII TABIA.🙏✍️
😢😢😢pole sana mtoto mzuri
vinamuonea wivu 😢 Pole mtoto mzr
roho mbaya zinaanziaga utotoni, jamani!!!
@@khadijamisayo7476 na uchawi ndiyo unanzia utotoni
Mungu mijalie uyo mitoto nimeumiasana
@@sinawsinaw9081 mtoto na siyo mitoto
Wanamuonea wivu na nanywele zake wao wanakipilipili wapumbavu sana
Kauli ya namfungia mama angu ili apate maisha mazuri imenitoa machozi 😢😢
So sad InshaAllah Allah make easy for you InshaAllah ❤❤❤❤❤❤❤
Mtoto bado mdogo na hafahamu chochote hakuna mtu atambagua huyo zaidi yakumuonea wivu kwajinsi yake alivyo na akijakujitambua yeye ndiye atamua kuwabagua wenzake kwamaringo au lah lakini mimi sioni ubaguzi katika huyo mtoto, my kid is half Chinese she's very beautiful
Kweli kbc upo sahihi asa watoto wa miaka km iyo utani mwingi mno
@@umubyeyisandra 🤝
Bado mdogo akijitambua hawatomsimbua
mashalaah kazuri.halafu mbona hakana ht sura yakichina kana macho ya mama ake makubwa ,yaani hakana sura yakichina kbs.huyu mama nae anashindwa kupambana kwa ajili yamtoto wake tena mmoja .anasababisha mtoto ananyanyasika hivyo .tena mtt moja tee sisi tulioachiwa 3 nabado tunapambana hatulii shida.daaaaah
Yani katoto kazuriii mashalaaaaa natamani angekuwa wangu mzuri mwaaaa
Pole Sana mwanangu
😢😢ila huyu mtoto mashallah mzuri 😢😢
Wanakuoneya wivu hao wewe ni mtoto mzuri Sana hayo yatapita tu
Yaani mtoto alivyoongelea tebo kanikumbusha enzi za shule kukremu😍😍
Mungu awasaidie wamama wote waliotelekezwa na wazazi wenzao🙏
Tupo wengi tunateseka tunapambana
Mhhh nimejikuta nalia mie'mungu msaidie uyu MTT 'mama MTT atakuinuwa uyu'naamini
ETI maliza kwanza ndio utalia ,mama kama hawa kukimbilia watu hovyo hovyo ,siajabu mchina mwenyewe kwao ni mfungwa unampa Mtoto tabu tuu,kinachofuata unamwathiri Mtoto kisaikolojia
Duh pole mnooo
Pole mtoto