mimi ni mkenya .kutoka Mombasa. ingawa kiswahili Cha huyu nyanya ni kigumu kidogo lakini nafahamu anavyoelezea. Allah atawaondolea matatizo. Inna llaha maa swabirin. mtoto MashaAllah ni mzuri. hassad imempata. mtegeemeeni Allah .
Binadamu tunapo herekea pepo tutaisikiatu. kama nikweli kazi ya binadamu hii wallah moto haki yetu .sikwakutesana uku.daah poleni na mitiani.Mungu atalipitishatu Inshaallah 🤲🤲🤲
Duh! Kiukweli haya mambo yakurogana yako kila sehemu lakini Pemba ndio kwao💯 Mimi nimpemba naninakupenda sana nyumbani. Musiziweke imani zenu sana kwenye mambo yashirkki👌Allah atakuondolea maradhi mtoto mzuri 🙏
Zahir usipo angalia sasahivi na wewe utaingia matatizoni maana huo mwili mdogo wangu ukatae pata muda wa mazoezi upunguze mwili kazi yako inataka uwe active.
Kwasie waislam ningumu kufika sehemu hizo, kwani imani yetu inatufundisha kuwa mwenye kuponyesha ni Allah pekee, tofauti nanyie mnaoamini kupona kwa jina la yesu.
Ampelek mnazimoja sehemu zaviungo wanafunza kuongea afanye mazowezi huyo kapata homa za degedege ya kupuputika inaasiri sana watoto kwenye ubongo asiweke zana mbaya amuamin Allah subra muhimu .Allah anakupima utashukur or utakufuru mtegemee Allah tuu
Kwani wabara si wabaguzi na washirikina? Ushirikina na ubaguzi upo kila pahala, kila kabila na kila dini msituchefue. Hao wenye tabia hzo wafuatilieni ni kina nani na wanatoka wapi? Na sio kila anaekubagueni au mshirikina kwa kua tu anakaa Unguja mkajumuuisha ni waznz wote.
mungu atunusu na mimi mwanangu alishaumwa ugonjwa wa kukaamaa huku zanzabar madudu mengi lakini alipona hospital Alhamdullah lakini niliangaika sana huku huku
Kaka zaheer me ni mzanzbar khalisa kbasa kutoka pemba me linapokuja swala la ushirikina mara nying siliung mkono mtu anapoumwa hzo ni kadar za Allah kaka zaheer Allah humpima mja wake je ana subra? Ila sasa naona kila anaeumwa anasema karogwa Yarabby tuondolee iman potofu tusiamn moja kwa moja ushirikina but Allah ampe shifaaa mdogo wang apone awe sawa kabsa
Zahir fanya kilichokupeleka maana naona matatizo mengi huko ni kwaajili ya ushirikina kama wanavyodai wenyewe mengine waachie wenyewe yakheee,usitake kujaji au kujua mengi yakhee,tafadhali yakhee 😉😁🇨🇭🇹🇿
Ya ushirikina ayaache lkn je ya kusaidiwa hali km hio chumba hawana pa kukaa pia huoni?mmh jamani kuweni na mioyo ya huruma basi.ww km huwezi kusaidia basi acha wenzio wasaidie....usitie mguu.duh kumbe waranzania hampendani kweli pooh.
@@shamsahaji6202 shamsa una lako jambo mpendwa sina la kukuambia bali kukushauri uwe unasoma msg kwa makini kabla hujajibu usikurupuke ku reply chukua time na kama hujaelewa vizuri basi rudia hata kama mara mbili mara tatu ,wapi nimesema wasisaidiwe mpendwa? Waweza nifahamisha?Tafadhali kuwa makini na kauli zako mumy karibu swiss nakualika uje utembee kidogo utoe stress ❤🇨🇭🇹🇿
@@shameemrashid5219 Ni kweli dada nimefatilia wote wanaohojiwa wanataja uchawi.na Mimi sikumaanisha hakuna bali kuzidiana .Mimi mwenyewe bara nimemuuguza mama miezi miine haongei hatembei kila kitu anasaidiwa Ni uchawi tu lakini Sasa yupo vizuri tu anafanya kazi zake .
Mama hayo ndiyo matupu kwa maisha ya sahivi mm mwenywe nishapingwa sana tu lakini mungu anisaidiya tu na mm mwenywe nangaika na dawa mwenywe watu wabaya dunia ndiyo hivyo
@@ummulkurthumabeid2914, Inaeza kua znz kuna ubaya mana tunajua jaamaa zetu wa huko haya mambo wanayapenda. Lkn na watu wa bara nao ni washirikina. Na naeza kusema mnafanana.
Zanzibar kunatisha sana kisiwa kimejaa majini hatari, jiangalie zahir usije ukarudi na moja au maweli ukatupiwa bure, huko kila mtu karogwa tu kulikoni? Sasa tiba za huko itakua sio hospital ila waganga haya itakuwaje? Si kazi hiyo mmh🤔
Zahir tumewamiss mufike pemba maana kuna familia inahitaji msaada sana zaid ya sana kuna mtoto anakaa pemba msingin kila anapokaa panawaka moto iyo familia ina hali ngumu sana na mtoto utamuonea huruma wanahitaji msaada kwa kweli
Mmh huko kwa moto ni makubwa je yakimrudia zahir mwenyewe mengine yanatisha jamani, serikali iwasaidie hao wa moto huyo zahir mwenyewe sijui kama atarudi salama huko ni kurogana kwa sana duuh.
Hongeren sana kwa kufika Zanzibar yetu Allah atawasaidia ktk kazi zenu
MashaAllah mtoto mzur Allah amfanyie wepes
Mtoto mzuri mungu ampe kupona ishallah
mimi ni mkenya .kutoka Mombasa. ingawa kiswahili Cha huyu nyanya ni kigumu kidogo lakini nafahamu anavyoelezea. Allah atawaondolea matatizo. Inna llaha maa swabirin. mtoto MashaAllah ni mzuri. hassad imempata. mtegeemeeni Allah .
Anaongea kizanzibari
Kha mungu atusimamieeeee kwakwel uchwiiiii upo jamn yan mpaka siku urogweeee dah inaumaaa polen jamn
Binadamu tunapo herekea pepo tutaisikiatu. kama nikweli kazi ya binadamu hii wallah moto haki yetu .sikwakutesana uku.daah poleni na mitiani.Mungu atalipitishatu Inshaallah 🤲🤲🤲
Msiamini sana uchawi muomben Mwenyez Mungu kwa Mungu hakuna kinachoshindikana Mungu awafanyia wepes🙏🙏
Duh! Kiukweli haya mambo yakurogana yako kila sehemu lakini Pemba ndio kwao💯 Mimi nimpemba naninakupenda sana nyumbani. Musiziweke imani zenu sana kwenye mambo yashirkki👌Allah atakuondolea maradhi mtoto mzuri 🙏
Zanzibar Kuna makubwa san kuna shida san kuna mambo y chinichin haswa maisha magumu san pole san mungu yupo
Zahir usipo angalia sasahivi na wewe utaingia matatizoni maana huo mwili mdogo wangu ukatae pata muda wa mazoezi upunguze mwili kazi yako inataka uwe active.
Zahir MashaAllah umefika znz Mungu akusimamie
Mashangazi Mashangazi pepo hamuioniiii kbs
😁😁😁😁mi Napend vile wanaongea sichoki kusikiliza mpak nimesahau kama wanashid 😁😁 big up zahir and pole kwa kazi maan 😁😁
😂😂😂😂😂 yani nawapenda sana sana hawa watu
Kan kufa,, kanzezeta, kanchoka 😅😅😅bas buludani kumbe shida
🤣🤣🤣🤣🤣zahiri leo kapatikana kiswahili kimemchanganya😂😂
kakubwa , nkeo , wasikia ,surae ushanifahamu, shangazie, siku aliye kumuita, wankimbilia 🤣🤣
@@Mpakauseme 🤣🤣rah
Kaka zahir lahaja yetu cjuw utaielewa mungu akusaidie tuu ila wazanzibar tumefurahi kukuoneni
Zanzibar kuna vifaa mashallah ila cc hasadi ndio inatumaliza
Wazanzibar wanaongea Sana.. Halafu wako faster kuelewa yan ata umkute bibi ila Mara nyingi wanajitambua. Huyo mtoto mzuri maskin dah
Poleni Sana a jamani mmmmh inaumiza sana
Zahir kiswahili cha kipemba najya vingine vinakupita tuu ALLAH awafanyie wapesi na mitihani ya dunia hii
Zahir nakuja kukusaidiaa hahaaa kiswahili yaan anaongea km bibi yangu
Mungu amfanyiye uwepe l nshaallah atapona
Mwambie mpeleke kwa mchungaji ROBERT TV mtoto hatapona kabisa san wa amini kwa jina la yesu kristo
Kwasie waislam ningumu kufika sehemu hizo, kwani imani yetu inatufundisha kuwa mwenye kuponyesha ni Allah pekee, tofauti nanyie mnaoamini kupona kwa jina la yesu.
Ka zahr 😂😂😂sisikiii nacheka tu hapa kama mazuri Allah awafanyie wepesi wagonjwa wote inshallah
🤣🤣🤣🤣lugha fasaha
Mtoto mzuri jamani mungu atamsaidia atapona🇰🇪🇧🇬
in shaa Allah atakua sawa🤗🤗
In sha Allah
Daaaa kiswahili kigumu sijashikanisha ila pole bibi Mungu akusimamie kaka Zahir naona unavyohang'i
Kk zahri kuwa makin na awo wapemba maan adi naogop mwezio si wajua ninavyokupenda mwezio💓
Unahashuo,umakini awenao kwakilamtu,siyo mpembatuu
Poleni mama na wanao Mungu atawaponya.
Wazazibar tunaamin Kwenye kurogwa tu saa nyengine ni maradhi tu
Hajakukuta yakija yakikukuta hutasema hivo
Mungu awajaaliyee heri ktk kila jambo
Pole Sana Mtoto mzuri
Kaka Zahir mm ushauri wng waende kanisan...... Mungu yupo atafanya njia
Hahahaaaa mungu hakai kanisani weee yupo moteee
Kanisani hatufamu sisi
🤣🤣mpemba umpeleke kanisani si atakutupia jini lingine na lingine ili uende wewe kanisani 🤣🤣🤣
Dooh binadamu wanamambo kweli yan umuumze mtu bla sababu kwa machaw yako mmmh Mungu atawalani wanao umiza wenzao🤲
Huyo. Mtoto. Ni. Majini. Akasomewe. Tu. Rukiya. In. Sha allahu. Huweda atapota na. Huyo. Dada aenda. Kupima. Hilo. Tumbo. Lake. Maradhi. Yatajukana. In shaa allah. Ila imani. Zetu. Zipelekeni. Kwa. Allah. Achani. Na shiriki
Ungeenda tu kanisani na kukabidhi maisha yako kwa Yesu Bibi, huyo mchawi angeshindwa
Amina Dada, YESU ndie mponyaji waende na upande wa pili kanisani watapona wote
Wallahi mtoto mzurimasha Allah hasadi hii jamani haya Allah ndie hakim wa haki
Subhannnalllah aaalllah amfanyiye wepesi
Ampelek mnazimoja sehemu zaviungo wanafunza kuongea afanye mazowezi huyo kapata homa za degedege ya kupuputika inaasiri sana watoto kwenye ubongo asiweke zana mbaya amuamin Allah subra muhimu .Allah anakupima utashukur or utakufuru mtegemee Allah tuu
Wewe huoni kama huo ni uchawi kama hausiki basi ata picha hauoni
Umesema kwel na hospital nako wahangaike koteèeeee
Zanzibar ni kwetu ila matatizo ni mingi
Mungu amponye jamani huyo mtoto
mungu atawasaidia family nzima hakuna gumu kwa Allah zahir na team maximam hongereni
Tena anafanana bibi yake kabisa photocopy kwakweli jamani uswahilini mtiani
ii sehemu ndogo lakn Kuna matukio ya kutisha sijui kwann awamuogipi Allah utafikili dunia wanakaa milele
We acha tu
Yani hii unguja inamatukio acha kabisa best ni shidaaa
Na wamejifunika kwe ye mwamvuli wa dini na ubaguzi umewajaa
@Aziza Ochu Tena niwabaguzi Sana Mimi ndio maana sitakagi mazoea nao zaidi ya Salam tu
Kwani wabara si wabaguzi na washirikina? Ushirikina na ubaguzi upo kila pahala, kila kabila na kila dini msituchefue. Hao wenye tabia hzo wafuatilieni ni kina nani na wanatoka wapi? Na sio kila anaekubagueni au mshirikina kwa kua tu anakaa Unguja mkajumuuisha ni waznz wote.
Ishauwalah mungu atawadaidiya hayo matatizo ishauwalah mungu yupo ataleta afuweni ishauwalah
mungu atunusu na mimi mwanangu alishaumwa ugonjwa wa kukaamaa huku zanzabar madudu mengi lakini alipona hospital Alhamdullah lakini niliangaika sana huku huku
Mungu akulinde na husda zahiri
Kaka Zahir usiondoke Zanzibar mpaka uchukue jiko in shaa Allah
in shaa Allah Allah Awsfanyie wepes 🤗🤗🇪🇭🇪🇭
kaka zahir kanichekesha🤣🤣🤣🤣🇪🇭🇪🇭
Zahir safar hii umepatikana haahahaha kiswahili kizito mie nasikiliza kwa makini
Maashaallah mtoto mzuli
Subhallah
Zahir siyo kwa kunenepa uko kaka
Kanenepa Sana😂
Leo ni kurogwa tu wa Zanzibar eeeh🙈
Wazanzibar tunaamini kurongwa tuuu tunasahau km mungu yupo Allah afanye weepesi
@@jamilasuleiman3627 ila kwa kuswali hao swala nane
Kushakuja Zanzibar zahir utajuwa mengi kiswahili chetu ndy hivo tena
Daah! yani bila kukosewa kawafanyia unyama namna hio.Allah ywashuhudia.
Subhanaallah mungu wangu tusitili yaarabi duniani jamani pole sana 💔💔💔💔 binadamu uchawi unafaida gani kesho atasema
😆😆😆Zahir leo unapata tabu kufahamu😆
bibi kiswahili chako kizuri maashaallah
Jamani mm sieliwe hicho kisawahili chake hata kidongo
Kaka zaheer me ni mzanzbar khalisa kbasa kutoka pemba me linapokuja swala la ushirikina mara nying siliung mkono mtu anapoumwa hzo ni kadar za Allah kaka zaheer Allah humpima mja wake je ana subra? Ila sasa naona kila anaeumwa anasema karogwa
Yarabby tuondolee iman potofu tusiamn moja kwa moja ushirikina but Allah ampe shifaaa mdogo wang apone awe sawa kabsa
Kaka yangu huyo Bibi kasema 45000 Kwa mienzi mitatu , hivyo Kwa mwenzi mmoja ni sawa Na 15000
Lkn uchawi upo jamani ukibisha bas ujue hayajakukuta
Sana
Maskiini mtoto mazuuri MashaAllah
Watu wabaaya
Ila bibi nae alikiwa mreembo zamani alikiwa mooto
Zahir fanya kilichokupeleka maana naona matatizo mengi huko ni kwaajili ya ushirikina kama wanavyodai wenyewe mengine waachie wenyewe yakheee,usitake kujaji au kujua mengi yakhee,tafadhali yakhee 😉😁🇨🇭🇹🇿
Ya ushirikina ayaache lkn je ya kusaidiwa hali km hio chumba hawana pa kukaa pia huoni?mmh jamani kuweni na mioyo ya huruma basi.ww km huwezi kusaidia basi acha wenzio wasaidie....usitie mguu.duh kumbe waranzania hampendani kweli pooh.
@@shamsahaji6202 shamsa una lako jambo mpendwa sina la kukuambia bali kukushauri uwe unasoma msg kwa makini kabla hujajibu usikurupuke ku reply chukua time na kama hujaelewa vizuri basi rudia hata kama mara mbili mara tatu ,wapi nimesema wasisaidiwe mpendwa? Waweza nifahamisha?Tafadhali kuwa makini na kauli zako mumy karibu swiss nakualika uje utembee kidogo utoe stress ❤🇨🇭🇹🇿
Sie twamuelewa vzr wapemba twajuana🤣🤣
ua-cam.com/video/f1ECnaRImIs/v-deo.html
nami. leo. nimewahi. wa. 3
Mbona zenji story zote za ushirikina subhanallah
Na ubakaji
Imejaaa uhasid
Ushirikina kila sehemu upo ndugu sio zenji tu
@@fatumamuya3747 ni kweli lkn katika waliohojiwa wote ushirikina upo kwa watu wa zanzibar fatilia vzr story zote zahir alizopost
@@shameemrashid5219 Ni kweli dada nimefatilia wote wanaohojiwa wanataja uchawi.na Mimi sikumaanisha hakuna bali kuzidiana .Mimi mwenyewe bara nimemuuguza mama miezi miine haongei hatembei kila kitu anasaidiwa Ni uchawi tu lakini Sasa yupo vizuri tu anafanya kazi zake .
Mtoto mzur jomon nimempend hatar mashallah
Yani huyu bibi nimemuelewa vizuri kabisa, lkn zanji mbona kuna ushirikina hivyo
Allah Awaondolee🤔🤗🤗
Kila sehemu siku hizi
Kuna mambo nako znz kk zahiri
Mhh Mambo ya uchawi tena MTU wifi yake pataneni ili mjukuu apone basi
Pole zahir kwa language ndio nyumbani.
Kk dhahir ukitaka mm nitakutafsiria mm ni mpemba ila nimeishi dar siongei kipemba na kwa ss nipo dubei tunajituma huku
🤣🤣 ss wa Rundi hatuambui kitu kiswahili bala
wazanzibar jamani wanaamini Sana kulogwa
Huyu mtoto amerogwa uhakika haumwi sehemu yoyote mtoto na afya yake mzimaa tatizo nini
Lkn Zanzibar ataree yani sivo wanavo pigana mabomu nliona kisa chengine ktk zenji tv mtt anapokaa anawaka moto mara anaunguza vitu dah noma Zanzibar
Huko Zanzibar nao wachawi jamani
Zanzibar ni nchi pekee yenye kiswahili fasaha,L inakaa sehemu yake,R inakaa sehemu yake
Nashangaa mm mkenya naelewa watu wa darslm hawaelewi
Mama hayo ndiyo matupu kwa maisha ya sahivi mm mwenywe nishapingwa sana tu lakini mungu anisaidiya tu na mm mwenywe nangaika na dawa mwenywe watu wabaya dunia ndiyo hivyo
Yaan nashindwa ht kukometi hii ndio zanji nyengine kopi ukiona kimnyaa ila mmabo yake yanatisha allah atufanyie wepes zenji yetu ila duh
Umeona eee Zanzibar kuna vituko wala huzaniii
@@wahidasalim5070 Wache azidi kutrmbea aone mambo ndio watu wana dina zenji duh
Kila pahala ubaya upo....wale albino na watt mnaowaua huko bara mnawafanya nn?
@@ummulkurthumabeid2914, Inaeza kua znz kuna ubaya mana tunajua jaamaa zetu wa huko haya mambo wanayapenda. Lkn na watu wa bara nao ni washirikina. Na naeza kusema mnafanana.
Subhana lla
Mtoto mzuli mungu Atamponya
Nyiie nao mm mbona naelewa na mm mzaramu
Mimi nakaa nao huku Zanzibar Nina miaka 9 nawaelewa vizuri Sana
watatu leo zahir leo umepatikan😁😁 hata minasikia tu lakin manen mengin siyaelewi
Kapatikana kweli Zahir,.
😂😂😂
Hahahah kipemba iko
😂😂eehh Mwanangu usiniulize mwakaa ehh sijui sijui.. Yan kuna mgonjwa ila ukisikiliza inabid ucheke kidogo
🤣🤣🤣
Zahr leo kipemba chakuchanganya
Nacheka kama mazuri kaka zahiri kaa hukohuko ufaham
kiswahili cha kipemba mda mwingin waweza usielewe
Sisi wenyewe tupo sawa na bibi karibuni pemba
Ila wapemba ao ndo wanazungumza ivo. Wameenda kuhamia zanzibar
Unguja sio zanzibar, zanzibar si yote na pemba? Au
Zahir leo kapatikana anajionea mapichapicha
SUBHANA ALLAH MTIKHAAN
Halafu. Huko. Uchawi. Umezidi. Shiriki. Imewazidi. Sana. Kikumbwa. Rudini. Sana. Kwa. Allahu
Ndunia hii mtoto mzuri wafanya mtoto wa mwenzako zezeta kisa
WATU WANA ROHO MBAYA DAH SO SAD ILA MALIPO NI HAPAHAPA DUNIANI AHERA NI HESABU.
Zanzibar kunatisha sana kisiwa kimejaa majini hatari, jiangalie zahir usije ukarudi na moja au maweli ukatupiwa bure, huko kila mtu karogwa tu kulikoni? Sasa tiba za huko itakua sio hospital ila waganga haya itakuwaje? Si kazi hiyo mmh🤔
Yaan niko makin kusikiliza hii story lkn siambulii kitu, Zahir leo umepatikana aisee!
Umeona eeh..hatari .
Hata mm🤣🤣🤣
😁😁
@@maximumtvonline 🤣🤣🤣
Mimi nacheka hapo alipo sema zahir bibi kuna kiswahili unaongea mimi sielewi nimejikuta nacheka mazuri Mungu Nisamehe
Kama mtu unafahamu kiswahili chakuzungumza vizur basi lazima utamuelewa tu huyo bibi Bibi yetu hamda shida yeyote katika hilo
Kakangu mwenyewe Zahir...leo umewezekana naona unapitwa lugha
Jamani ZNZ , inasikitisha imegeuka Nigeria
😫😫😫
@@lisahhans295 Tangu lini Yesu yeye mwenyewe binaadamu km sisi hana uwezo huo
@@kiri5807 mamb ya yesu asiende kuwaambia wazanzibar hatuelewi km yesu mungu
@@LatifaLatifa-qj8tz Nashangaa hayo waislamu wa Tanganyika kutwa kwa Mwamposa
@@kiri5807 ule mtihn mkubwaaa
Nitakutafsiria ka zahir🤣🤣
Sogea pana wachawi jamaniii heeee mimi nilihama
Zahir tumewamiss mufike pemba maana kuna familia inahitaji msaada sana zaid ya sana kuna mtoto anakaa pemba msingin kila anapokaa panawaka moto iyo familia ina hali ngumu sana na mtoto utamuonea huruma wanahitaji msaada kwa kweli
Zahir pole sana utazowea tu 😂naona upo ktk kisiwa kidogo harusi nyingi
Nenda kaka zahir huyo mtoto anayewaka moto me pia nimemuona jaman anahitaji msaada, ila uwe makin maana kila anayetoa msaada anapata maswahibu ya moto
@@rahmasalum8642 na talaka za kumwaga kuzaliana ndo usiseme
Mmh huko kwa moto ni makubwa je yakimrudia zahir mwenyewe mengine yanatisha jamani, serikali iwasaidie hao wa moto huyo zahir mwenyewe sijui kama atarudi salama huko ni kurogana kwa sana duuh.
Zahir ✊🏾
Vip habar zenu za zanzibar
Jamn hata kam ni maskin tuwe tunajitaid kuweka mazingira safi
Mtoto nzur mashallah
Sasa huko zanzibar kila mtu karogwa watu hawaimwi kwa amri ya mungu 😔