Mch Moses Magembe - YESU ANARUDI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 чер 2021
  • Ibada ya jumapili asubuhi Tar 20.06.2021

КОМЕНТАРІ • 296

  • @spiritofprz-eddy5578
    @spiritofprz-eddy5578 3 роки тому +14

    Naitwa Edwin Edward nimeokoka na nampenda yesu natamani kufanya kazi ya Mungu kwa nguvu zangu zote ,nina miaka 25 na level ya elim yangu ni form six naomba
    Unisaidie nataka kutumika kwa Mungu myaka yangu yote iliyobaki hapa duniani naomba ruhusa nije nitumike chini yako kama musa chini ya eli Niko tayari kufanya vyovyote ili kazi ya Mungu iendelee

    • @kabibiruseka5047
      @kabibiruseka5047 3 роки тому +1

      Amen. Mungu akupokeye ndani ya watoto wake

    • @niyoaze
      @niyoaze 2 місяці тому

      wanayonehemika kusikiya njoni tuyishike hiyi nibahati kwamaana njirikamanmuhii imenyamanziswa kwahiyo tuyaweke rohoni neno ramungu

  • @steveobwoge3315
    @steveobwoge3315 24 дні тому

    Asante Mungu kwa mtumishi wako ulie mtuma kuleta ujumbe huu, umeniokoa na kuokoa wengi,, utukufu heshima na athama zikurudie Bwana.

  • @SiphunMkulu
    @SiphunMkulu 2 місяці тому

    Amina mchungaji, hakika MUNGU azidi kukutumia tupate kuokoka,. Mana mahubiri ya sasa wachungaji wengi wanahubiri kuhusu mafanikio ya duniani hapa,. Ubarikiwe sana🙏🙏🙏

  • @geoffreykamwavah6987
    @geoffreykamwavah6987 3 роки тому +11

    Nisaidie nami Ee Bwana Yesu, niisikie parapanda yako, niwe mmoja wa wanyakuliwa.
    MARANATHA!

  • @StephanoMwita-cc6xx
    @StephanoMwita-cc6xx 9 місяців тому +1

    Hakika injili hii ni adimu Sana kuisikia Sasa Mungu awabiliki Mulino tufikishia

  • @lizzyontune5338
    @lizzyontune5338 3 роки тому +5

    Hi injili imebadilisha maisha yangu 😭😭😭Mungu nisaidie niweze kukutumikia na kufuata njia zako 😭usinisahau utakapo nyakua kanisa 😭😭

  • @rebeccamafita3395
    @rebeccamafita3395 3 роки тому +4

    Mungu akubariki Baba hii ndo injili tunayoihitaji sio habar za injili ya mafanikio Yesu kwel anarud Mungu tusaidie

    • @sarahmdindile4301
      @sarahmdindile4301 3 роки тому

      Yani anahubiri ukweli kabisa, mana wachungaji wengi wanahubiri tu mafanikio

  • @daisybuyantsi5953
    @daisybuyantsi5953 3 роки тому +14

    Wanawake nywele bandia,tutubu na wanawake tuvalie mavazi ya kumpendeza Mungu

  • @DavidAlexandre-ui4nw
    @DavidAlexandre-ui4nw 15 днів тому

    Tuna towa shukrani sana kwa hudmahii ambayo Mungu ame weka ndani yako

  • @RamaDhani-yp6cr
    @RamaDhani-yp6cr 2 місяці тому

    Mungu 2xaidie watoto wako 2kukumbuke ww maana ha2wezi bila ww

  • @joycemshana4028
    @joycemshana4028 Рік тому

    Namshukuru Mungu kwa ajili yako Mzee wetu Mchungaji Moses Magembe....Tunakusubiri kwa hamu huku Arusha...Bethel Christian Centre - Kijenge Arusha...
    😀😀😀😀

    • @geitandelwa299
      @geitandelwa299 Рік тому

      Yes dhambi zonasimbua Sana watu uzinzi ujambazi uongo wezi uuaji na mengineo MENGI yanatutesa Sana Ni Bora kujikabidhi KWA YESU

  • @geofreyrungwe9206
    @geofreyrungwe9206 2 роки тому +1

    Ujumbe nzuri wenye kuponya wew ni mzee pekee ninaye kuelewa baada ya akina kulola umebaki wew yani unatoa neno lote ubarikiwe

  • @noelmagaja1098
    @noelmagaja1098 3 роки тому +5

    Amina baba Nataman sana namii nije nimzae watoto Wtakao kuwa na ujasili mkuu wa kulihubiri maneno matakatifu ya Mungu.

  • @anithafrank5533
    @anithafrank5533 Рік тому

    Ubarikiwe kwa injili iliyo hai na dokitilini ya elimu kubwa ya biblia

  • @luhekelondelwa9714
    @luhekelondelwa9714 3 роки тому +5

    Mungu tusaidie tuyatende mema iki siku ya unyakuo tuwepo 😭😭😭😭

  • @pastorasafuezekiel5323
    @pastorasafuezekiel5323 3 роки тому +11

    Yesu nisaidie siku ni mbaya nimalize salama

    • @pizzaboy3640
      @pizzaboy3640 2 роки тому

      Mungu akubariki sana MT. WA MUNGU MOSES

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 3 роки тому +2

    Mungu baba wewe ndie mchungaji mwema tusaidie tuifikilie toba

  • @christopherkivale9461
    @christopherkivale9461 3 роки тому +1

    Hii injili imeenda shule kweli IPO live kinachoendelea nakillichotabiriwa Mungu tusaidie kuyajua haya.Ameni mtumishi Mungu aendelee kukutumia

  • @evelynetitus974
    @evelynetitus974 3 роки тому +1

    We yesu nisaidie nifike mbinguni maisha yanayonisonga yasiwe kikwazo

  • @godsonjohn18
    @godsonjohn18 3 роки тому +1

    Hakika hii ni injili ya kweli barikiwa mchungaji wetu mungu akupe umri mrefu

  • @hamissimahangayiko-by7xz
    @hamissimahangayiko-by7xz Рік тому

    Nimefurahia injili hii Asante sana

  • @YusuKisingile-fs4hv
    @YusuKisingile-fs4hv Рік тому

    Ubarikiwe Baba tuzid tu kuombeana

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 3 роки тому +2

    Yesu nisaidie parapanda ikilia niwe ndani

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 3 роки тому +8

    Asante Yesu kwa kutupa washungaji wenye ujaziri mwingi

  • @ZabibuAnzuruni
    @ZabibuAnzuruni 2 місяці тому

    Ubarikiwe sana baba kwa chakula kitanmu

  • @marymangwela7737
    @marymangwela7737 3 роки тому +2

    Yesu andina jina langu kwenye kitabu cha mzima wa umilele.

  • @ochanemmanuel8686
    @ochanemmanuel8686 3 роки тому +14

    Jesus is coming back soon!!, Thanks for the message

  • @elinemakundi5011
    @elinemakundi5011 2 роки тому +1

    Mungu akubariki Baba mchungaji wangu

  • @amanimwakalomba8511
    @amanimwakalomba8511 2 роки тому

    Huyu sio Mch Yohana bali ni mzee wa Imani Rev Moses Magembe,Ubarikiwe sana Baba yetu wa imani.

  • @evaristbamfu7149
    @evaristbamfu7149 3 роки тому +1

    Mchungaji Mungu aendelee kukutmia kuhubiri neno lake . Nimebarikiwa sana

  • @johnelias2
    @johnelias2 3 роки тому +1

    Baba Mungu akutumie kulionya kanisa,karibu Sana Arusha

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko1660 3 роки тому +2

    Jina la Bwana lihimidiwe. Kazi hiyo ni nzuri mno. Ninakumbuka tulipookoka miaka ya 80 kupitia The Big November kule Jangwani. Dasa hiki kinachofanyika huko Songea ni kama The Big November.
    Watumishi wa Mungu pamoja na kazi hiyo nzuri mnayofanya sasa nawaomba muirudie Dar es Salaam kwenye viwanja vya Biafra kwa jina la The Big November au lolote mtakaloona linafaa.
    Kwa kufanya hivyo mtaizimisha ile mishare ya adui ya anayoirusha kwa kutumia vifaa vya upako kama mafuta, chumvi, sabuni nk. kuiangamiza dunia.

    • @myself4128
      @myself4128 2 роки тому

      Ukristo umekuwa mama maigizo yaani manabii wanaropoka ropoka tuuu eti namuona malaika blah blah hivi ingekuwa rahisi ivo Kila mtu angekuwa nabii basi?hawakemei dhambi wala hawahubiri Toba wanatabiria watu mafanikio tuu

    • @tygggnzyj2771
      @tygggnzyj2771 Рік тому

      Kweli kabisa

    • @twinkleeddy9263
      @twinkleeddy9263 Рік тому

      Jaman tukae tayari kwa unyakuo

  • @angelaangela2013
    @angelaangela2013 3 роки тому +2

    Amina nabarikiwa sana mtumishi ikumbuke mwibara wanaitaji injiri Kama hiyo

  • @rehemasuleiman7469
    @rehemasuleiman7469 3 роки тому +2

    Yesu wangu nisaidie niwe na mwisho mzuri

  • @kizandume3015
    @kizandume3015 4 місяці тому

    Amen mungu akubariki sana mtumishi

  • @joackimondara4663
    @joackimondara4663 3 роки тому +1

    Mungu wa mbinguni akubariki kwa ujumbe wa baraka.

  • @beatricebetty7912
    @beatricebetty7912 3 роки тому +1

    Amen baba naitaji maombi yaziada juu yangu naitwa MAWAZO Lusambo naishi swedeni tafadhali baba naitaji maombi 🙏🙏

    • @pastorhermantv5420
      @pastorhermantv5420 3 роки тому +1

      Bwana Yesu asifiwe ndugu yangu nakushauli badilisha jina maana jina lako linabeba hatima yako

  • @deogratiuspaulo6340
    @deogratiuspaulo6340 3 роки тому +1

    Amina Mchungaji Bwana akuongezee siku vijana tujifunze toka kwa wazee wetu.

  • @user-if1pz4nm4u
    @user-if1pz4nm4u 11 місяців тому

    Umefilisha ujumbe kwa waTanzania na kiumbe chochote chenye kusikia na kuelewa hii lugha ya kiswahili. Asante Mfalme wa Wafalme Yesu.

  • @drflaviastrato6039
    @drflaviastrato6039 3 роки тому +5

    Following from Namibia 🇳🇦

  • @vitalmugisho1613
    @vitalmugisho1613 3 роки тому +1

    Nairudiye injili yakweli babangu Mungu akubariki zaidi DRC tuna kufuata tono juuyatano

  • @espoirhamonikasuzu2210
    @espoirhamonikasuzu2210 2 роки тому

    MUNGU WETU UTUSAMEHE KABISA, NAUTUPE MOYO MPYA WA KUKUTUMIKIYA KATIKA MAMBO YOTE YA NAYO KUPENDEZA KATIKA DUNIA HII, MAANA NYAKATI TUNAZO ZIISHI NI NYAKATI ZA MWISHO, Mungu akubariki sana baba Mchungaji kwa neno hili

  • @kizandume3015
    @kizandume3015 4 місяці тому

    Asante baba kwa mafundisho mazuri yaku tufunguwa akili sina chakusema ila nakushukuru baba mungu azidi kukutiya nguvu

  • @rehemasuleiman7469
    @rehemasuleiman7469 3 роки тому +1

    Uwiiii,Mungu kumbuka watu wako, macho yetu yafunguliwe

  • @bacumijuvenalniyibigira3543
    @bacumijuvenalniyibigira3543 2 роки тому +1

    Mbarikiwe na BWANA

  • @jeniferliberatus3003
    @jeniferliberatus3003 2 роки тому

    Asante nimebalikiwa na ujumbe huuu

  • @mercymwasha3993
    @mercymwasha3993 3 роки тому +2

    Amen Mtumishi, hakika hii ni kweli yote. Bwana Yesu nisaidie nivuke nawe mpaka ng'ambo.

  • @ShukuruHangi-re3gs
    @ShukuruHangi-re3gs 11 місяців тому

    Hallelujah bwana Yesu usiniache katika duniya hiyi yashida ukirudi Yesu usiniache bwana nakusihi sana usiniache nisamehee Mungu

  • @kaburajeanmarie1030
    @kaburajeanmarie1030 2 роки тому

    Asante sana mtumishi wa Mungu,,, eee Mungu nisaidie,nipe macho ya kiroho ili niweze kuona nyakati hizi tulizonazo,nimebarikiwa na kujazwa kipindi cha mahubiri haya, asanteni sana

  • @user-yb2pu9fk6e
    @user-yb2pu9fk6e 9 місяців тому

    Tujiweke tayari kwni hatujuwi saa walasiku.atutiye nguvu mola wetu.

  • @alexanderkapinga700
    @alexanderkapinga700 3 роки тому +2

    Pastor Magembe umenipa urith mkubwa ambao hapana thamani yake wala hapana anayeweza kuniondolea. Always be blessed

  • @haningtonkabuta9387
    @haningtonkabuta9387 3 роки тому +5

    Shocking prophetic truth. Kwa kweli wateule tujipange! Asante baba na mchungaji wangu kwa kutukumbusha.

    • @godfreymwenesho1770
      @godfreymwenesho1770 3 роки тому

      Mch huyu ypo wapi mtumishi na ninawezaje kupata namba zake et mtumishi nifanyej kumpata

    • @tithosimpito7863
      @tithosimpito7863 2 роки тому

      @@godfreymwenesho1770 yupo Dar es alaam TAG MAJUMBA SITA

  • @elizabethmavika6871
    @elizabethmavika6871 3 роки тому +3

    Asante sn kwa powerful msg!!😭 Mungu anisaidie/atusaidie 😭😭😭

  • @hassanlamata2312
    @hassanlamata2312 2 роки тому

    Nyie watu dunia iko mwisho hakika kabisa fuata maneno haya dunia iko mwisho dunia iko mwisho dunia iko mwisho sikiliza kwa umakin sana haya maneno ya huyu muhubiri 🤝🤝🤝🤝🤝

  • @deosteriahamisi9950
    @deosteriahamisi9950 3 роки тому +7

    Tutapataje kupona tusipoujali wokovu mkuu namna hii? MUNGU tusaidie maana pasipo Neema yako hatuwezi kukupendeza.

  • @emilynekesa4476
    @emilynekesa4476 3 роки тому +2

    Mungu akubariki sana pastor sijui mungu akiujukua uhai wako nani ataliambia kanisa ukweli kama huu

    • @tithosimpito7863
      @tithosimpito7863 3 роки тому

      MUNGU ampe maisha maref sana ili tuzidi kujifunza kwake 🙏🙏🙏

  • @maggyirene110
    @maggyirene110 3 роки тому +3

    Ameen ameen... Injili ya kweli kabisa... Mungu Nirehemu

  • @judithmwamakula6535
    @judithmwamakula6535 Рік тому

    Amen.Mungu akubariki

  • @zawadiomari7409
    @zawadiomari7409 3 роки тому +1

    Haleluya Bwana Yesu nakuomba utakapo rudi usiniache Roho yangu. Amen

  • @eliahmhanzi6357
    @eliahmhanzi6357 3 роки тому +1

    Asante Eeee Mungu, tusaidie tuweze kuelewa maana Mbinguni tutaenda kujibu tumefanya nini tulipo kuwa duniani

    • @marymgonzo7891
      @marymgonzo7891 3 роки тому

      Asante Bwana Yesu kwa ujumbe mzuri. Mungu akubariki sana Babaangu

  • @sarahmdindile4301
    @sarahmdindile4301 3 роки тому +2

    Yesu akufanike kwa damu yake takatifu, maadui zako wakawe maadui zake.

  • @dionizydidas335
    @dionizydidas335 3 роки тому +1

    Ikumbuke mwibara mtumishi, tunataka uamusho. Mara haijafikiwa mtumishi na injili kama hii.

  • @rozaliajohn8755
    @rozaliajohn8755 3 роки тому +1

    Nimekupata vizuri, mch. Mungu atusaidie,inatupasa kumwomba Mungu kilawakati.

  • @shukuranipaul8271
    @shukuranipaul8271 Рік тому

    Mungu ni saidie kuwa kalibu nauwepo wako nisije nikabaki chu mungu akubaliki🙏🙏🙏

  • @winnyrocha1361
    @winnyrocha1361 3 роки тому +1

    Tuko katika nyakati za mwisho tumtafuteni mungu zaidi ya vyote

  • @user-it4rs7ei9b
    @user-it4rs7ei9b 2 місяці тому +1

    Amen, Amen.

  • @festaaroni1736
    @festaaroni1736 2 роки тому

    Ameni mtumishi ubarikiwe sana BWANA moyo wangu upo tayari kukuraki🙏🙏🙏🙏

  • @bernadetteshukuru9154
    @bernadetteshukuru9154 3 роки тому +1

    Mungu anihurumiye mimi mweye zambi rohoni

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 Рік тому

    MAGEMBE AKIPASUA ANGA🎁🎁🎁🎁🎁🎁

  • @leonidashatungimana6850
    @leonidashatungimana6850 3 роки тому +5

    Mchungaji Mungu akuongeze Siku ili Sisi wanadamu tusije kusema eti hatukuhubiliwa
    Mchungaji naomba WhatsApp Yako ikiwa uko nao mimi ni mtu wa Burundi naitaji WhatsApp Yako ili niongeye nawe

  • @mariamkandulu9827
    @mariamkandulu9827 3 роки тому

    Amen baba unayonena tunayaona, Tujiandae Wakati umewadia Yesu anarudi

  • @RachelBriervanity1
    @RachelBriervanity1 2 роки тому

    safi sana Mchungaji haya ndio mafundisho na mahubiri tunayataka kusikia ili watu watubu sio mafanikio na Biashara

  • @kadzomasha8539
    @kadzomasha8539 2 роки тому

    Nahaya sasa yameaza pastor mambo yana zindi kuwaabaya tuombeni mungu atusamehe😭🙏🙏🇩🇪🙏🇩🇪

  • @bonkeysimon4619
    @bonkeysimon4619 3 роки тому +1

    Natamani kuhubiri injili na mzee huyu,

  • @amosyagulala9666
    @amosyagulala9666 2 роки тому

    Amina mchungaji huduma yako imeniweka karibu na Mungu

  • @irakozesandra7243
    @irakozesandra7243 3 роки тому

    Asante baba.yangu unafundisha vizuri na ubarikiwe juu unafundisha ukweli sio kama mahubiri ya watuwengine kwasababu hawafundishi ukweli wamengangania mafundisho ya barakatu ila ya sikuzamwisho hayahubiriwi sasa ila baba umefundisha ukweli Mungu anipemwisho mzuri

  • @wiza2309
    @wiza2309 Рік тому

    mungu utuhurumie, Mungu akubariki sana Baba yangu Magembe

  • @ezekielsamwel6742
    @ezekielsamwel6742 3 роки тому +1

    Babaaaaaaa...,mbinga tunakusubiriaaaaaaaaaaaa

  • @lucasmwiga2656
    @lucasmwiga2656 2 роки тому

    i have seen de power of god while watching this! thanks alot ma heavely father

  • @amamlen3731
    @amamlen3731 3 роки тому +2

    Kwa hii injili Ata kama Mchungaji unaweza ukaokoka tena

  • @loraumuhire4755
    @loraumuhire4755 3 роки тому

    Amen 🙏 Bwana Yesu Kristo akubariki akuongezee umuri uzide kutufundisha.

  • @seebs1156
    @seebs1156 3 роки тому

    Asante mtumishi kwa injili ya kweli asante baba ubarikiwe sana 🙏🙏🙏

  • @judithmwamakula6535
    @judithmwamakula6535 Рік тому

    Ee Mungu nisaidie niwe mmoja watakaonyakuliwa siku ile

  • @perepetualaulent3662
    @perepetualaulent3662 3 роки тому +2

    Yesu yesu tusaidie ee yesu kwenye kujisahau kwetu😭😭😭😭
    Tulehemu Bwana wa kanisa we Yesuuuu😭😭😭

  • @atukuzwemahenge616
    @atukuzwemahenge616 3 роки тому

    Mungu tusaidie kwakweli🙇‍♀️🙇‍♀️ asante baba kunikumbusha

  • @goodluckmaalum7046
    @goodluckmaalum7046 Рік тому

    Barikiwa baba

  • @BM_Smart2-6
    @BM_Smart2-6 3 роки тому +1

    Yesu atatusaidia tu tuupate uzima

  • @munninimuganura3969
    @munninimuganura3969 2 роки тому

    Ubarikiwe mchungaji Mungu aendelee kukuwezesha

  • @yoramyohana8220
    @yoramyohana8220 3 роки тому +2

    Ubalikiwee Sana mtumishi wa BWANA

  • @faithtimoth4421
    @faithtimoth4421 3 роки тому +1

    Ooooh my god nikumbukee mim mwenye dhambi nyingi uniokoee

  • @hawamusumba431
    @hawamusumba431 3 роки тому

    Nimejikuta nalia God have mercy on us Mungu likubuke jina langu

  • @rozeyousef9823
    @rozeyousef9823 3 роки тому

    Mungu nisaidie kukujua vema ili niweze kuyashinda ya dunia mana natamani kuioma mbingu nikiwa nimekupendeza E mungu🙏

    • @rozeyousef9823
      @rozeyousef9823 3 роки тому

      Ee mungu naomba nilinde zidi ya maadui wabaya wasifanikiwe kutenda ubaya juu yangu🙏

  • @meladluvanda8765
    @meladluvanda8765 3 роки тому

    Barikiwa Sana mtumish wa Mungu aliyehai kwa jumbe muhimu huu

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 3 роки тому +4

    Sema Baba tupone 🙏🙏

  • @majaliwamhoja4954
    @majaliwamhoja4954 2 роки тому

    Uje na mpanda katavi baba tunahitaji maombi kama hayo

  • @babyrajab5260
    @babyrajab5260 3 роки тому +4

    A real man of God

  • @revmichaeldanieltv5154
    @revmichaeldanieltv5154 3 роки тому

    Amen Baba hii injili imetutoa mahali

  • @chachasamson9707
    @chachasamson9707 3 роки тому

    Right message at right time. Be blessed mzee

  • @alexanderkapinga700
    @alexanderkapinga700 3 роки тому +2

    Amen baba!! I aggree with the message exactly!!!!

  • @KiongoziKiongozi-z2c
    @KiongoziKiongozi-z2c Місяць тому

    Amina baba