Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Amen baba... watching From South Korea ubarikiwe baba hakika tumefikiwa huku ng'ambo
Mungu ni mkubwa sana. Ameeen Baba Mchungaji
Mungu azidi kukupa muda utufundishe kweli ya MUNGU❤🎉
Amen mtumishi wa Mungu, Mungu azidi kukutunza na kukutumia kwa viwango vikubwa sana 🙏🥰
Mungu atusaidie sote. ❤
Huo ndio ukweli baba Mungu Akubariki nimjifunza mambo makubwa barikiwa mpakwa mafuta wa Bwana
Tuna shukuru sana kwa mafundisho
Mungu atusaidie.
Ubarikiwe sanaa Babaa na MUMGU akupe maisha mareeef
Baba Asante kwa maombi na maombez nimebalikiwa sana
Barikiwa sana baba kwa ujumbe mzuri mungu azidi kukupandisha viwango had I viwango by Daniel daudi kutoka kahama
Naupenda sana ukweli wako mchungaji!! Siachi kukufuatikia unafundisha ukweli wa Mungu
Amina mchungaji wetu
Naweza pata namba ya mchungaji
Amen 🙏🙏 mungu akubariki na Asante kwa mafundisho mazuri🔥🔥🔥
Ubarikiwe sana Baba Mungu azidi kukuinua zaidi na zaidi maana kupitia wewe nazidi kuzijua siri za Mungu wangu.
Ujumbe mzuri sana ni haki yetu watu wa Mungu kupata matokeo ya maombi yetu matokeo ya wokovu wetu Mungu akutunze Mch Moses Magembe na watenda kz wako
Sina hofu u mtumishi wa MUNGU
Amena bb mch Moses Mungu akubari sn
Ubarikiwe baba
Kweli kabisa baba huu ndio uzima wetu
Amina baba nakuelewaga Sanaaaaaa uko sawa
Hii ni kweli kuu
Napokea Jina la Yesu ❤❤❤❤❤
Amina! Nashukuru kwa mafundisho mazuri.
Ubarikiwe sanaaaaa milele mchungaji wa Mungu aliye juu sana
Yan we we mchungaji ni chuma Yesu akutunze baba
Amen Pst YesuKristo Akubariki sana Nancy kutoka Kenya
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu.
Amen
Safi sana mchungaji, pia naomba unisaindie kuomba familia yetu,Iko na mtu mgonjwa,
Baba ubarkiwe sana natamani uniambukize huduma iliyomo ndani yako
kuwa kama Elisha kwa Elia, mfuate Kila anakoenda ili upate nafasi ya kuomba útakalo
Amina Baba Mungu akubariki sana
Sifa kwa Bwana wetu, ubarikiwe baba kwa kazi nzuri ya ukombozi!!!
asante kwa misingi.Yesu ainuliwe kwa utumishi
MUNGU Akubariki na kukulinda baba injili Yako nikweli na hakika
Mungu akubariki sana mtumishi kwa kusimamia kweli ya Yesu Kristo.Mungu azidi kukujaza nguvu Kwa ajili ya kulifundisha kanisa lake.
Jamani mue mnatuonyesha na Mambo yanayotokea hapo wakati w lbada au kuomba au kukusifu tuone Roho anavyogaragaza watu hapo haha😊 🙏🙌🙌
My Pastor.
Kama Mungu hawezi kusikiliza maombi ya wenye zambi ninani Sasa anayeweza kusikilizwa ukizingatia kwamwujibu wa maandiko watu wote wametenda Zambia nahivyo kupungukiwa na utukufu wa Mungu.
Ndio maana lazima uanze na toba..na sio kwamba hasikii hapana anasikia coz yeye ni Mungu anayejua yote..hapa alimaa nisha...hutapata majibu
Nateseka sana Niko kakuma trukana
NASHIDA YA NAMBA ZA SM
Muwape mbinu hizo za ndacha wachungaji kwenye mitaala ni muhimu sana
Amina
🙏
Ubalikiwe mungu akupe Maisha malefu mchungaji
Ameen!!!!
Preach!!!
AMINA
Amena amena❤
Ongeya yote Baba muchungaji
Nikiwa nasikia mahubiri yako mchungaji nabarikiwa sana
Video clip inakatikakatika San tunakosa baadhi ya vitu muhimu san
Amen 🙏🏾🇹🇿🇹🇿🇺🇸🇺🇸
Such a wonderful message to live by
Nawomba namba yako
Moses nina uangalie UA-cam mtu anaitwa ndacha kazi anyone ifanya mshilikiane
Amen baba... watching From South Korea ubarikiwe baba hakika tumefikiwa huku ng'ambo
Mungu ni mkubwa sana. Ameeen Baba Mchungaji
Mungu azidi kukupa muda utufundishe kweli ya MUNGU❤🎉
Amen mtumishi wa Mungu, Mungu azidi kukutunza na kukutumia kwa viwango vikubwa sana 🙏🥰
Mungu atusaidie sote. ❤
Huo ndio ukweli baba Mungu Akubariki nimjifunza mambo makubwa barikiwa mpakwa mafuta wa Bwana
Tuna shukuru sana kwa mafundisho
Mungu atusaidie.
Ubarikiwe sanaa Babaa na MUMGU akupe maisha mareeef
Baba Asante kwa maombi na maombez nimebalikiwa sana
Barikiwa sana baba kwa ujumbe mzuri mungu azidi kukupandisha viwango had I viwango by Daniel daudi kutoka kahama
Naupenda sana ukweli wako mchungaji!! Siachi kukufuatikia unafundisha ukweli wa Mungu
Amina mchungaji wetu
Naweza pata namba ya mchungaji
Amen 🙏🙏 mungu akubariki na Asante kwa mafundisho mazuri🔥🔥🔥
Ubarikiwe sana Baba Mungu azidi kukuinua zaidi na zaidi maana kupitia wewe nazidi kuzijua siri za Mungu wangu.
Ujumbe mzuri sana ni haki yetu watu wa Mungu kupata matokeo ya maombi yetu matokeo ya wokovu wetu Mungu akutunze Mch Moses Magembe na watenda kz wako
Sina hofu u mtumishi wa MUNGU
Amena bb mch Moses Mungu akubari sn
Ubarikiwe baba
Kweli kabisa baba huu ndio uzima wetu
Amina baba nakuelewaga Sanaaaaaa uko sawa
Hii ni kweli kuu
Napokea Jina la Yesu ❤❤❤❤❤
Amina! Nashukuru kwa mafundisho mazuri.
Ubarikiwe sanaaaaa milele mchungaji wa Mungu aliye juu sana
Yan we we mchungaji ni chuma Yesu akutunze baba
Amen Pst YesuKristo Akubariki sana Nancy kutoka Kenya
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu.
Amen
Safi sana mchungaji, pia naomba unisaindie kuomba familia yetu,Iko na mtu mgonjwa,
Baba ubarkiwe sana natamani uniambukize huduma iliyomo ndani yako
kuwa kama Elisha kwa Elia, mfuate Kila anakoenda ili upate nafasi ya kuomba útakalo
Amina Baba Mungu akubariki sana
Sifa kwa Bwana wetu, ubarikiwe baba kwa kazi nzuri ya ukombozi!!!
asante kwa misingi.Yesu ainuliwe kwa utumishi
MUNGU Akubariki na kukulinda baba injili Yako nikweli na hakika
Mungu akubariki sana mtumishi kwa kusimamia kweli ya Yesu Kristo.Mungu azidi kukujaza nguvu Kwa ajili ya kulifundisha kanisa lake.
Jamani mue mnatuonyesha na Mambo yanayotokea hapo wakati w lbada au kuomba au kukusifu tuone Roho anavyogaragaza watu hapo haha😊 🙏🙌🙌
My Pastor.
Kama Mungu hawezi kusikiliza maombi ya wenye zambi ninani Sasa anayeweza kusikilizwa ukizingatia kwamwujibu wa maandiko watu wote wametenda Zambia nahivyo kupungukiwa na utukufu wa Mungu.
Ndio maana lazima uanze na toba..na sio kwamba hasikii hapana anasikia coz yeye ni Mungu anayejua yote..hapa alimaa nisha...hutapata majibu
Nateseka sana Niko kakuma trukana
NASHIDA YA NAMBA ZA SM
Muwape mbinu hizo za ndacha wachungaji kwenye mitaala ni muhimu sana
Amina
🙏
Ubalikiwe mungu akupe Maisha malefu mchungaji
Ameen!!!!
Preach!!!
AMINA
Amena amena❤
Ongeya yote Baba muchungaji
Nikiwa nasikia mahubiri yako mchungaji nabarikiwa sana
Video clip inakatikakatika San tunakosa baadhi ya vitu muhimu san
Amen 🙏🏾🇹🇿🇹🇿🇺🇸🇺🇸
Such a wonderful message to live by
Nawomba namba yako
Moses nina uangalie UA-cam mtu anaitwa ndacha kazi anyone ifanya mshilikiane
Amen
Ubarikiwe baba