Amiin Amiin yarabbil'alamiin , alhamdullillah tunamshukuru Allah kwa kutuletea sheikh wetu kipenzi chetu mwenye iman na huruma kwa ummah wa Muhammad na kuyafuata maamrisho yake chetu Hatuna budi kukuombea kwa Allah km vile ww ulivotuombea cc kwa nia safi na mapenzi makubwa mno kwa ajili ya Allah bac allah akulipe kwa kazi yako unayoifanya. Allah akujaalie jannatul fildous pomoja na familia yako na awaeke pembezoni kwa kipenzi chetu habibina mustaf Muhammad ( S.A.W ) na awe mtu wa mwanzo kuonana naye after Allaaaaah.amiin Amiin . Tunakupenda sana kwa ajili ya Allah . Shukran
Jazzakallah khayra shekhe wetu Allah akujaalie hiyo iwe ni sadaqa yako na akujaalie umri mrefu ili uzidi kutuombea na kutuelimisha tunakupenda pia kwa ajili ya Allah
Assalamu alaikum shekh Othman, naulizaje shekh je, kama niko kwenye siku zangu insha Allah pia naruhusika kuskiliza kisomo hiki shekh Othman insha Allah
Asalam alaikum Sheikh,, ungeleta group kwa njia ya zoom kwa namba moja tu ingekua rahisi watu wote watakua wakipiga woote kwa hyo application ni nzur sana, wengine whatasp calls haifanyi huku tuliko,, shukran,, ama cloud application,,
Mie nataka kuwakumbushaa wenye. Hii. Chanal kama mumekubali muwekewe matangazo wenyewe basii mmekosea kwasababu wanatangaza hadi pombe na mambo yaliokinyume na dinii ya kiislamu
Maashaallaah mungu akuepushe akuzidishie elim na ufaham
Asnte sheghe Toka nikuskilize najiskia afadhali nakushukuru sheghe mungu akuzidishie azidi kukupa ufahamu uzidi kutusaidia
shukran niko Rwanda kwa jina naitwa zamda
Masha Allah,Allah akuzidishie zaidi
Allahu akbar
Ameen. Yarabby allaah meen mu gu azidikukupa umli naafya njema
Mungu akuzidishe
It is helping me jazakhallahul kheiran
MashaAllah MashaAllah MashaAllah,Allahu Akbar,Allah akulipe malipo makubwa siku ya Qiyamah inshaAllah,Allah akuhifadhi yaa Sheik
Allah akupe umri mrefu sheikh wetu Allah humma amiin
Inshallah Allah atujalie maradhi yote yatuondokee
Allahuma ameen mwenyezimungu akuzidishie shekh kwa kutuombea dua yarrabi allah azidi kukupa maisha mema
Allahuma ameen yarrabi. Ahsanti sana sheikh kwa kutuombe dua yarrabi, Allah akupe maisha mema na akujalie janati firidaus. Allahuma ameen Thumma Ameen
Amiin Amiin yarabbil'alamiin , alhamdullillah tunamshukuru Allah kwa kutuletea sheikh wetu kipenzi chetu mwenye iman na huruma kwa ummah wa Muhammad na kuyafuata maamrisho yake chetu
Hatuna budi kukuombea kwa Allah km vile ww ulivotuombea cc kwa nia safi na mapenzi makubwa mno kwa ajili ya Allah bac allah akulipe kwa kazi yako unayoifanya. Allah akujaalie jannatul fildous pomoja na familia yako na awaeke pembezoni kwa kipenzi chetu habibina mustaf Muhammad ( S.A.W ) na awe mtu wa mwanzo kuonana naye after Allaaaaah.amiin Amiin .
Tunakupenda sana kwa ajili ya Allah . Shukran
Asante Shekhe mwenyezi mungu akubariki
Jazzakah Allah Kheri
Allah akulipe inshallah
Inshaallah Mungu akupe maisha marefu Uzidi kusaidia watu
Jazzakallah khayra shekhe wetu Allah akujaalie hiyo iwe ni sadaqa yako na akujaalie umri mrefu ili uzidi kutuombea na kutuelimisha tunakupenda pia kwa ajili ya Allah
Jazakhumullahu khairaa sheikh wetu Allah akulipe kheri na akujaalie uzima na afya
Masha Allah sheikh Authuman such a great lecture May Allah grant you tranquility including the fans Ameen yarab
Allah akulipe kila heri apa duniyani nakesho ahera
Shukran sheke mola akulipe ujira wake na akutimizie mahitaji yako yaarab laa lamiin
Aamiin
Aamiin yaa rabby
Dua Qoboolla Yarrab ameen M'Mungu akujazeni rehma na akupeni ujuzi zaidi...
Jazakallah khairan,,,nampenda kwa ajili ya Allah,,,Allah akuhifadhi sheikh wallah uko vzr saaana
ALLAH akuzidishie imani
Asante sana
Sheikh aslm alkm haya mafuta nitaipata vipi
Jazzakallahu khayran...
Asant
Manshaallah sheh wetu mungu akupe Maisha maref naafya Zuri akupe pepo ya FRIDAY
Shekhe itikia kilio yangu tafadhali mke wangu tabani
Mashaallah Allah akujalieheri we nassi wasikilizaji
Jazakallah kheyr sheikh Wang
Jazak Allahu Khairaan Kathiraan kwa Darsa Muruwa
Mashallah Shekhe Othman Michael
Allah akubarik
Shehe vip
Shukran sheikh Allah akujaze kheir
Mashaa Allah tabarakallah
Allahuma amiiin🇧🇬🇹🇿
Inshaallah Allah atutakabalie dua zetu
jazakallah kher
Shukranii San shekh
Jazaqallahu hayra Allah akupe umri mrefu uzima uzidi kutuhudumia kwa dawa kama hizi
Jazakallahu kheir sheikh wetu ALLAH azidi kujuhifadhi na akuzidishiye qubli kwa duua unazo tusomeya ALLAH atupe shifaa insha ALLAH
Masha Allah
Assalam alaikum warahmatullah wabarakatuh sheikh wangu jazakhallah kheri tunashukuru Sana kwakisomo
Inshaallah allah akubariki
jazaka allah kher
Waiyak
Jazakallah khair.....
Amiina Inshaallah
Inshallah Allah atatufanyia wepesi
Asante .allah barik to you
Mashaalla
Is haaallah
Mbn shekh unakua mweupe
😂😂😂😁 na wanja nao hatakama ni sunnah ila shekhe amepitiliza,hahahahaaaa
Dah 😂😂😂😂
Assalamu alaikum shekh Othman, naulizaje shekh je, kama niko kwenye siku zangu insha Allah pia naruhusika kuskiliza kisomo hiki shekh Othman insha Allah
Masha Allah 🤲
Mashaallah jzka Allah kheri
Shekhe Mimi nikickiliz maumiv yanapotea lakin maomb yakiishaa maumivu hurudi
Shukran
Asante
ALLAH akubarik shekh othman 🙏🕊mungu awe daima akuepushe na hasadı za dunia inshaaaallah🦋
Nashkuru kuipata channel hini. Itasaidia watu wengi sana.
mola akuifadhi in shaa Allah
Nakuombea kwa allah akujaalie moyo huo huo mpk mwisho wako wengine tuko nje ya nchi hatufukii kuchukua dawa
Shukran shekhe Allah atuifadhi soteni in shaa Allah
Asalaam aleikum mi Niko Kenya ,naitwa wardha rose jilani mume wangu amenitoroka bado nampenda.nisaidie
Ungechukua namba yake ili uwongee nae
Assalam alykum sheikh wasiwasi wangu ni unapo chukua no ya sheikh uki uliza maswali anachukua muda kujibu sijui shida nn
Allah azidikukupa afya ili uzidi kufanya mambo ya kher
mashaa allah mashaa allah
Allhamdulilah
Masha Allah Allah akulipe
Alhamdulillahi
Alhamdulillahi
Hayo mafuta nishingapi ?
Mafuta hayo yanauzwa sh ngapi
Hapo Dada hapana chamafuta wala nn nibiashara tuu mtafu MTU akusomee ruqiya uso kwa USO
Asalam.aleyku. mwalimu.mm.sijapata.mafunzo.yakutengeza.dawa.naniko.nchi.ya.bahareni.mm.nimkenya.na.niko.namatatizo
Ahsante ila wengerusha hapa UA-cam ndio wengine urahisi wetu
Assalam Alaikum sheikh naomba namba yako
Asalam alaikum Sheikh,, ungeleta group kwa njia ya zoom kwa namba moja tu ingekua rahisi watu wote watakua wakipiga woote kwa hyo application ni nzur sana, wengine whatasp calls haifanyi huku tuliko,, shukran,, ama cloud application,,
Mie nataka kuwakumbushaa wenye. Hii. Chanal kama mumekubali muwekewe matangazo wenyewe basii mmekosea kwasababu wanatangaza hadi pombe na mambo yaliokinyume na dinii ya kiislamu
Assalamualaikum sheikh..naomba kama mna dawa ya arthritis
Dawa unauza bei gani za mashetani naomba namba zako
Hapana dawa baba biashara tuu fata mtu akusomee ruqiya USO kwa uso
Sheikh Sasa hivi Twaitaji Dawa ya COVID-19
Ameen inshaallah
Masha Allah
Masha Allah
Masha Allah
Masha Allah