Assalam aleyikum warahmah tullah wabarakatuh, ndugu zangu waislam ninawaombeni nyote mniombee dua, ninamiaka 35 lakini bado sijajaaliwa kupata ndoa, naombeni mnikumbuke kwenye Dua zenu namimi Allah anijaalie mume mwema..shukraan
Maashaallah sheikh wetu Allah akubariki Sana akupe mema Mara dufuu ya Duniani na ya kesho akhera Aamiin sheikh tunakupenda kwaajili ya Allah jazaka Allahu khaira
Shukran shehe othman maalim allah akubarik ila utayafanya yote haya na utafanya ubunifu mwengine lakini mwanaume hajali wala hakusamini baada yamatusi heshima hana jee tutapata wapi pepo na mwenzio kalewa na dunia
Ya Allah utupe waume wenye na kheri yaraabi na waume uwape wake wa kheri kwa kila muislam Shukran shekhe wetu wallah i drops my tears Mungu atupe subra yarabbi
Wakati ukifika uliopangiwa na allah mume utampata bila kuamini,utastarehe Sanaa tu,ndoa yoyote ni subrah tu.inshallah endelea kuswali Allah mjuzi utampata aliye wako na mwenye kheri.insahllah
Ma shaa Allah jazzakallah khayra kwa darsa zuri mi ni mjane pia napenda Sana kuwa ndani ya ndoa ila wachumba wengi ujivika uchamungu mwisho wa siku na gundua sio wakweli japo wanaonekana ni watu wa dini Allah atujaalie tukutane na wenza bora maana ndoa upangwa na Allah tuzidi kuombeana dua
Aslam alaykum waramatullah wabarakatuh shekhe othumani maalim nikweli baadhi ya wanaume wanawadharau sana wanawake nahao wanaume wanaowadharau wanawake inamaanisha hawakumbuki wosiya wa MTUME MUHAMMAD S.A.W rehma na Amanda zimfikiye juu yake na maswahaba zake na aal zake kabla ya kufa kwake juu ya wanawake
MashaAllahu mashaAllahu mashaAllahu.ndiohivyo badhi ya .wanaume au tuseme vijana wasiona hekma na sara wanaita wanawake mademu.hajui akimweta dada au mama wawatu nisawa nakumweta mamayake au dada yake demu.innalillahi wainnaileyhi rajaouni
Wallah katka ulamaa tulio nao Sasa hivi duniani mmoja wao ni sheikh othman maalim,Allah akujaze kheir na akuzidishie Imani na istiqama thabit na atupe hidaya katka dini yetu na atujaalie mwisho mwema inshaallah
Assalam aleyikum warahmah tullah wabarakatuh, ndugu zangu waislam ninawaombeni nyote mniombee dua, ninamiaka 35 lakini bado sijajaaliwa kupata ndoa, naombeni mnikumbuke kwenye Dua zenu namimi Allah anijaalie mume mwema..shukraan
Asalamu aleikum biti rajabu naomba yako Samani
@@naseebbinyaga9861 waaleyikum Salaam kakang, samahani sijaielewa msg yako.
Mungu atakufanyia wepesi dada madhali haupo pekeyako ktk janga hilo
@@sakinamohamedy7506 aaamiin yaaraby, Allah atujaalie sote.
@@halimarajabu5622 amemanisha hii sms umpe namba yako huwezi jua hii ndo rizki yako
Mashalaaah Shekhe wangu nakupenda kwa ajili ya Alah mungu akujalie kheri zaidi kesho Akhera pamoja na waisilamu wote duniani tuwe na mwisho mwema 🤲
Amin yaraby
Shekhe mungu akukinge na shali akupe kheri ishaallah
Amiin
Amiin 🤲
@@fdhjffdhjfsjdjfjfi9477 🤲
Yaa Allah tujaalie nasisi t tuingie kwa ndoa zenye kheyr yaaraby
Ameen
Aaamin yaa rwabbal àaalamiin
Mashallah sheikh Allah akubarikie elimu uzidi kutuelimisha na akupe umri na afya
Maashaallah sheikh wetu Allah akubariki Sana akupe mema Mara dufuu ya Duniani na ya kesho akhera Aamiin sheikh tunakupenda kwaajili ya Allah jazaka Allahu khaira
Mm mawaidha ya shekh othman huwa yananiingia khaswaaa ma sha allah jazaka allahu khair
If possible you can give your contact
Shukraan sana sheikh Othman
MashaAllah shukran kwakutujuza Shekhewetu
Maashaallah nakupnda kwa jili ya Allah
MashaAllah Sheikh wetu Allah akupe umri mrefu ili uendelee kutupatia elmu na akupeleke peponi siku ya mwisho,nakupata vzuri sana kutoka Qatar na 254
Shukran shehe othman maalim allah akubarik ila utayafanya yote haya na utafanya ubunifu mwengine lakini mwanaume hajali wala hakusamini baada yamatusi heshima hana jee tutapata wapi pepo na mwenzio kalewa na dunia
Mashaallah ostazi mungu akuzidishie kheri na sisi tunaosikiliza amiin
Ya Allah utupe waume wenye na kheri yaraabi na waume uwape wake wa kheri kwa kila muislam
Shukran shekhe wetu wallah i drops my tears Mungu atupe subra yarabbi
Amin
Mashaallah sheikh Othman maalim, allah akubarikiii sanaah
Masha Allah ..Allh jaazi kher shekh wetu kwa kuzidi kutuilimisha Allh akupe kauli thabit fee dunia wal Akhera☝️
MashaAllah Allah akupe umri wenye manufaa katika maisha Sheikh Othman
Nakupenda sana sheikh Othman maalimu nakupenda sanaa kwaajili ya Allah
Maashalah shekh wetu tunakushukuru xana nakuombea mema n utulivu sote tuwe miongini wa kufuata mema n kukatanazana mabaya
Mashallah Mashallah M.mungu akupe kila la kheri ktk Maisha yako yote Bii Idhinillah Ameen
Mashaallah shekhe kwa mafundidho mazuli allah akuifadhi
Wakati ukifika uliopangiwa na allah mume utampata bila kuamini,utastarehe Sanaa tu,ndoa yoyote ni subrah tu.inshallah endelea kuswali Allah mjuzi utampata aliye wako na mwenye kheri.insahllah
Insha allah Allah atufanyie wepe
nakupenda kwajiri ya allaa mashalla shehe wetu
Mashaa Allah shekh Allah Akupe mwisho mwema faraday zr
Mashallha nasie tusopata waume allaha atufanyie wepesi na duwa zenu uwenda milango itafunguka
Khadija kabona...Allah Kareem, Inshaa Allah, kwauwezo wa Allah milango itafunguka Inshaa Allah...
Amiin muhimu subra tuu
@@halimarajabu5622 Ammin...in shaa.Allah
In Shaa Allah...Allah hakuna linalomshinda..
@@aishaissa2249 amin
MashaAllah jazakallahu kheiran sheikh wangu Allah akupambe na swiha na afya njema inn shaa Allah uzidi kutuelimisha na kutujuza mambo ya kheir
Maashaallah shekhe allah atujaalie waislam wote mwisho mwema inshaallah 🤲🙏
Amiin
Ma shaa Allah jazzakallah khayra kwa darsa zuri mi ni mjane pia napenda Sana kuwa ndani ya ndoa ila wachumba wengi ujivika uchamungu mwisho wa siku na gundua sio wakweli japo wanaonekana ni watu wa dini Allah atujaalie tukutane na wenza bora maana ndoa upangwa na Allah tuzidi kuombeana dua
Allah akufanyie wepes katika Safar hiyo inshaallah
Jazzakallahu khairan
Mashaa allah tabarakallah jazzakallahu kher othmn yarabi tujaalie waume wema
Shukran shekh wetu Allah akupe hifadhi yake
Mnbvt
Maashaa allah shekh wetu nakupenda kwaji ya allah
Shukran shekhe Osman Maalim
Allah akutuhifadhiee Sheikh wetu akupe mema Duniani na kesho Akhiera🤲Akupe umrii mrefu Yarabi🤲🏼
Shegh mungu akupe umri mrefu uendelee kuwailimisha waislam kuutambua uisilam kwahakika unaaeleweka.
Mashukura sheikh wetu twakushukuru kwamafundisho Allah akujalie umri mrefu
Nakupenda Sana shekhe Allah akuwe
Asàlaam alaykum warahmatullah wabarakatu
Shehe mungu akulinde uwa unanifarji sana
Allah akujaalie yaliyo mema hapa duniani na kesho akhera inshallah.asante kwa elimu nzuri
Mashaallah allah atujaghalie mwisho mwema ameen🙏🙏
Aslam alaykum waramatullah wabarakatuh shekhe othumani maalim nikweli baadhi ya wanaume wanawadharau sana wanawake nahao wanaume wanaowadharau wanawake inamaanisha hawakumbuki wosiya wa MTUME MUHAMMAD S.A.W rehma na Amanda zimfikiye juu yake na maswahaba zake na aal zake kabla ya kufa kwake juu ya wanawake
Yarab atujaalie tulokuwa hatujaowa tupate wake waliowema ......Aamin☝️
Amin mtpt mcjli
ماشاءالله تبارك الله جزاك الله خيرا يا شيخ شكرا
Subhanallah, baadhiyetu tunathamin waumezetu lkn wanaume wengine Mtihani Sheikh Othman
Alhamdulillah, mashaallah. Shukran sheikh. Jazakallahu lkhayr
Mashaaa allah mawaidha mazuri sana
Mungu atuongoze yarabbi
Mashaallaaa mungu akupe maisha marefu uzidi kutuelimisha
Mashallah! Nakupenda sana Shekhe Osman.
Shukuran sheikh Allah akuripe kira raheir
Allah akujaze khery na akunike na rehma zake.
Jazakallah khayran
Bi Halima zidisha ibada ALLAH atakuruzuku haja yako innshaallah
nakupenda Sana,nimenufaika sana na mawaidha zako
May Allah protect you Always Ameen Yarab
Allah akupe mwisho mwema hakika wewe ni mfano wa kuigwa Masha Allah
SUBHANNA LLAH alhamdulillah ALLAH AKBAR. Jazaaaq LLAH kheir
JAZAKALLAHu kheir mwenyezi MUNGU atujalie mazingatio
Ammin
Mungu akujalie kwakuwaelimixha dada zetu iliwajitambue
Ewe mungu tufanyie wepesi ktk malezi ya family zetu inshallah
Mashaallah shekh Allah atuhifafhi inshaAllah 🤲🤲🤲
Waalaykm msalaam warhmatullah wabarakatuh, Maa shaa Allah tabaraka'rahman yaa sheikh othuman maalim Allah akuhifadhi
Mashallah shkhe Othman maalim Allah akujalie kila lakher uzid kutuzindua
Ma shaa Allah jazzaka llah kheiry
Jazakumullah kheir
Kweli asante Insha Allah Mungu anijalie mume mwema Amina
Sheikh othman napenda mawaidha wako
Amina mawaidha ni matamuu sanaa
Sheikh shkrn sana Allah akuzidishie kher na umri insha'Allah.
Masha'Allah TabarakaAllah
MashaAllah shukranii Allah akuifadhi
Mashaallah
Alhamdulillah nimepata elimu kubwa leo
Mashallah shehe uliyoasema nkweli wapo wanawake wenyesifa zoote za kuitwa mwanamke unazozisema lkn hawakupata wanaume hadi unjiuliza umekosea wapi 😭😭mapenz unayo utulivu alhamdulilah rahma Ndyo usiseme lkn wapi Bado kiume mzito
Wanawake ni wengi kuliko wanaime.Hiyo ndiyo sababu.
Shukran shekhe wetu kwa darsa nzuri. Allah akujaze kheir
MashaAllahu mashaAllahu mashaAllahu.ndiohivyo badhi ya .wanaume au tuseme vijana wasiona hekma na sara wanaita wanawake mademu.hajui akimweta dada au mama wawatu nisawa nakumweta mamayake au dada yake demu.innalillahi wainnaileyhi rajaouni
ماشالله شكران
Shukran wajazaka llahu heri
Masha Allah ❤
Maa shaAllah tabarakallah
Sh othiman mashaallah allah akupe kheir
jazzakaAllah kheir
HALIMA RAJAB.ALLAH AKBAR.......E everything will be...inshallah +250...
Assalam alaikum warahmatullahi wabarakaatuh everyone
Mashaallah mashaallah. Dalasa zuri mashaallah
Mash Allah
Jazzakumllah Khery
MashaAllah
shukran nimejifunza mengi kupitia kwako
MaashaAllah
@Halima Rajab...ALLAH with you...inshallah TAWAQALTU GHALA LLAH LA YA MUUUT. Inshallah.
JazakaLLAHU Khaira
شكرا الشيخنا 💐
الله يحفظك ويبارك عليك🌹 💞
No
Maashaallah💓💓
Mbn shekh ndevu hana au yazamam kdg hii darsa
MashaAllah Sheikh Allah Akuzidishie Elimu Na ss uzidi Kutuzindua👏
Mashalah
Swadakta sheikh
Allah akujalie maisha mema ya Akher na Dunia
niombee DUA nipate mme mwema
@@رضيةافريقيا je mm masikini huni pendii.
Allaah akuongezee
Masha Allah
Mashallah sheik wetu
Heshimuni wanawake wote ili mpate rehma za Allah enyi wanaume wenye batra na kibri na jeuri ndani ya NYONYO zenu enyi wanaume.
mashaallah
حبيب الله يجزيك الجنة
السلام عليكم ورحمة الله وبركاته. .يا شيخ زيد صوتك...ما واضح...جزاك الله خيرا
Amin
Wallah katka ulamaa tulio nao Sasa hivi duniani mmoja wao ni sheikh othman maalim,Allah akujaze kheir na akuzidishie Imani na istiqama thabit na atupe hidaya katka dini yetu na atujaalie mwisho mwema inshaallah