HALI TETE TABATA: NYUMBA ZAIDI YA 10 ZAPOROMOKA, WANANCHI WAMLILIA RAIS SAMIA "WAREKEBISHE KINGO"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 тра 2024

КОМЕНТАРІ • 15

  • @S__Official24
    @S__Official24 25 днів тому +1

    Hakuna kupita kule wala huku kiufupi hameni mabondeni jaman mtakuja poteza maisha mvua zinanyesha usiku mkiwa mmelala mtajikuta mpo Jangwani huku mnaelea aisee binadamu hawaogopi haya maafa ya maji sijui kwann

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 17 днів тому

    Duh hakuna msaada maana mkuu wa mkoa amesha sema kama una taka uishi mtoni uta ishi kwa maamuzi yako 😢

  • @user-nb6yh2bn9y
    @user-nb6yh2bn9y 25 днів тому

    Hilo MiMi nimekulia Hapo ukweli kwamba mmevamia makazi ya kambale SASA makambale yamelia kwa MUNGU MUNGU kasika kilio chao kashusha furiko hameni waacheni makambale free 😡

  • @kakagift8356
    @kakagift8356 24 дні тому

    Hameni. Siyo sehemu sahii kwa makazi ya binadamu

  • @maureenlilykiwia1515
    @maureenlilykiwia1515 25 днів тому

    Sasa mimi naomba kujua serikali inatakiwa kuwasaidiaje maana kiukweli hapo mlipojenga ni eneo hatarishi sana sana

  • @saidkidenda9683
    @saidkidenda9683 24 дні тому

    Nduguzetu hameni hameni mabondeni hakuna dawa ya kuepuka majanga zaid ya kuhama kwenye njia ya maji serikali haihusiki hapo maamuzi ya usalama wenu upo juu yenu

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 25 днів тому

    Hayo maeneo syo ya makazi nyie, hapapaswi kujengaaaaa

  • @matikowambura7657
    @matikowambura7657 24 дні тому

    Kila ki2 msaidiwe c mhame

  • @catherinebufikiri3964
    @catherinebufikiri3964 25 днів тому

    Yaani unakuta mtu amepanga ameng'ang'ania tu utafikiri amechimbiwa anashindwa kuhama atafute maeneo mazuri??

  • @frankkessy1260
    @frankkessy1260 23 дні тому

    Fanyeni mpango muweke gabion

  • @user-jn5xo6jb1z
    @user-jn5xo6jb1z 24 дні тому

    Ss serekali itaeasaidia wangspi

  • @isamony58
    @isamony58 25 днів тому

    Mbona hakuna izo zilizo anguka bondeni nyie niwaongooo hsmeni mabondeni wajinga nyie

  • @jizzotheking9238
    @jizzotheking9238 25 днів тому

    Acheni ujinga hakuna nyuma iliyoanguka vimeanguk vibanda

    • @maureenlilykiwia1515
      @maureenlilykiwia1515 25 днів тому

      Wewe ndio mjinga huyu mama nyumba yake imeenda wewe unasema vibanda!!!acha dharau

    • @jizzotheking9238
      @jizzotheking9238 25 днів тому

      @@maureenlilykiwia1515 sasa mm nlkuwepo tumbafu??