SHIMO LENYE MAAJABU LAIBUKA ZANZIBAR ILI KUTOA PESA ZA KIFALME
Вставка
- Опубліковано 2 жов 2024
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
cc: Masoud Maganga
cc: Sauti Byego
cc: Tunu Salum
cc: Maryam Busara
Camera Department"
Dadi Ali
Mwarabu Mmadi
Nassor Shaibu
Abdallah Dula
Editors:
Juma Maulid
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Mambo haya huishilia ushirikina.
Tafuteni kazi za kufanya.
Hakuna utajiri wa ndoto
😂😂😂kwaio upanga Wa sayyidna Aly ameuvaa shingoni. Anaujua upanga Wa sayyidna Aly uyu kweli. Bangi bangeni kama uongo ulizeni.
🤣🤣
Ushirikina
Achaujinga kupoteza nguvunyingi hapo ungekuwa umeshalima eneo kubwa la matikiti ungekuwa fogo kaka.
Wemuongo saidn Ali umeupata wap
Mbona munadanganya watu nyinyi kwa kutumia mambo yenu ya uchawi
Huyu jamaa inaonesha amechizika Kwa bangi
BANGI JAMANI ! 😄😄😄😄 MBAYA KULIKO JINI!
Ndugu utapotea katika raman ya dunia shauri yko
Ilo shimo lisijekugeuka kaburi la watu jamani munaochima muchukue tahadhari ya usalama na watoto hasa uck mtu hatoona iyo hatari muache tamaa wanajamii kulinda usalama
Tatizo cc watu weusi tunazarauliana angekuja kuchimba mzungu angepewa full sapoti mpeni ushirikiano muone kuna nn
Kweli kabisa
Mpeni sapot serekali mujue kuna nini kama balkoni ipo inamaana kuna nyumba ya zamani hapo hayo urithi wetu msimzarau angekua mzungu hapo mngesema kweli🙂
Kweli
Nchi za Kiafrica yaani mtu anajichimbia shimo mitaani bila safety facilities kama kuweka uzio kutoa tahadhari kwa kuweka kibao cha warning yaani tupo tupo tu haya mambo yataisha lini
Hehehh😃
Unaelewa ghaibu , tuambie CORONA itamalizika Lini? Madaktar wa unguja KAZI kwenu😂😂
Bangi alichanganya na konyagi akapandishia na mirungi, pumbavvvv wewe na wenzako nyote bangi tupu
Pamoja na ktv nyote bangi
Utapeli wakibongo
Aoneshe alichokipata
Mie naona huyu jamaa kashadata
bongo kuna madini kibaooo. angeenda mererani.. sio zenji
Bass haya
Kwakweli ni hatari
Duu si mchezo, huyo jamaa kama kadata, sasa zaidi ni kulizungusha hilo eneo ili watoto na watu wengine wasije kuzuruka
Mm kama mm hawo wana tafuta mashaka namambo yawatu hao ila mungu atustili na watoto wetu
Kwa nini aruhusiwe kuchimba,sehemu hiyo ya makaazi,anahatarisha maisha ya watoto,huyu mgeni sasa anavamia maeneo ya watu,na kufanya anavyotaka yeye,ujinga mwingi,bangi si chakula,k tv mnaidumaza jamii,kwa nini hamuzungumzii uhalisia,vichwa vya habari na tokeo lenyewe ni vitu tofauti.
Bp
hatdarii
Hii no hatari
Njaa hiyo itakuuwa ndiyo maana ukaitwa wa kudata
Huyu chiz
Njaa ikizidi bas tamaa uwongo na utapeli na wizi haukosekani PUMBAVU kweli
Hahaha
Hyu jamaa itakua bangi isha mmaliza
😄😄😄😄😄😄😄Uyu niwakudata Kweli uwiii
huyu jamaa kachanganyikiwa anaweza kuchima hata chumbani kwake hahahahaha
Mambo haya huishilia ushirikina.
Tafuteni kazi za kufanya.
Hakuna utajiri wa ndoto
Kuna mambo kama yanafanana ukisikiliza vizuri 3:21 na ukisikiliza tena huyu 5:52, kama kuna mambo yanafanana, lakini hayo mambo ya kale wala sio ajabu. Ila kwa tamaa hizi za rupia mimi nawashauri bora watafute kazi nyengine za kufanya wasipoteze muda. Au kama kutakuwa na dawa ya Corona waendelee kuchimba
Archeology ni sehemu muhimu ya elimu lakini ni watu wachache watafahamu kwanini watu huchimba sehemu tafauti kutafuta madini. Kwa wale wasiojua na kufahamu, kutafuta madini ni sehemu ya ushahidi wa historia ya mambo ya kale pamoja na kutaka kujua zaidi thamani na muda wa madini hayo. Sio ujinga ni sehemu ya elimu.
Kwenye huwo upanga ulouvaa tuu na kusema ni wa saidina alliy mm khoiii hatari
😆😅😅😅😅😅
Maoni yngu hilo shimo lifukiwe haraka sana ni hatari kwa kila mtu Allah atunusuru na wenzetu wasijekuingia humo kibahati mbaya
Mimi tu ninavyomshauri bora aende kuhamia tu katika nyumba yake aloijenga aendeleze maisha yake na kwanini umeihama hatukuelewi kaka
Bangi inausika hapa
Acheni Zalau Angekua Mzungu Angelindwa Apo Jamani Kwani Zanzibar Akukua Na Majumba Ya Zamani Muacheni Achimbe Akimaliza Kuvuna Afukie Ilo Shimo Mbona Vitu Vya Kale Vipo Watoto Msiwachukulie Kama Chanjo Cha Chuki Zenu Angekua Mzungu Hau Mchina Msingekua Na Misemo Iyo Acheni Chuki Muacheni Achimbe Akimaliza Afukie Acheni Chuki Mungu Apendi Chuki Wenye Chuki Wafe Tena Mkufe
Akili za bangi izo
Dataz
A-s huyo ni mgonjwa wa akili na hayo maneno yake asemayo ni dali tosha za ugonjwa wa akili hayo sawa kiakili Shukran
😂😂😂😂😂😂👌🏼👌🏼👌🏼
Siku akiziban ndio utaskia mambo kibao yatasemw
Huyu kwli genius na pia ni superman maan anamacho yakuona vitu chini ya ardhi
KTV TZ mnaporusha habar iwe inajitosheleza! Mfano wa hii taarif hujatueleza hadi unaenda kutaarish hii matokeo ya shimo alikuwa amepata nini kati ya hayo anayo dai yapo.
Kuweni makini tunaskiliza habar halafu unajiuliza maswali mskilizaji ,weka habar inayojitosheleza kwa muda uloipata na mazigira ya habar.
😲😲😁 nampata wapi huyu mtafiti nahisi kwenye fensi kwangu kuna madini ya dhahabu 😁😁😲
Kama anachimba kwenye eneo lake Basi mwacheni achimbe apate izo Mali...hakuna anayependa kuwa maskini.waweke tu uzio kuzuwia watoto wasifike kwenye shimo..Ila acheni wachimbe
Tatizo ni wananchi kutokuelewa wajibu wao kwa Serikali katika kuhifadhi ,kulinda na kuendeleza maeneo yao wanayoishi.
Hii ukiona tu toa ripoti kwa Sheha wako naye apeleke Wilayani na Wilaya itawatafuta Mamlaka zinazohusika.
Lakini tatizo pia unaweza ukakuta hata huko Wilayani wakaruhusu kuchimbwe bila ya ile waone kitakachopatikana.
Hali ni lazima Idara ya •Nyaraka na Mambo ya Kale wapewe taarifa, kwani wao ndio wenye jukumu la kulinda na kuhifadhi na kuzitolea maelezo mali kale.
• Idara ya Mazingira, inahusika kufanya tathimini juu ya athari za Mazingira wakati wa Uchimbaji.
•Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais, ni mdhamini Mkuu wa Shughuli zote Nchini.
•Serikali ya Mkoa .
• Wilaya.
• na Uongozi wa shehia, hawa ni kwa ajili ya usimamizi na utoaji wa elimu, lakini pia kusaidia kuzuia vurugu, maafa na mengine pindi yakitokea. Kwasababu kama kuna mali hapo wananchi kila mmoja atataka aipate, huyo wa KUDATA lazima wamdatishe mwanzo.
Hapo hamna Akili kwa mswahi kama ni mzungu engetiliwa tikeeee
Tapeli tu huyo hana utafiti wala nini mwambieni alifukie hilo shimo asitake kuzamisha nyumba za watu unachimba kwa ruhusa yanani hizo wizara husika ziko wapi wasiomkamata naakachimbe huko kwenye nyumba yake mbagala ataokota mpaka pound
Najuta kummaliza mb zangu kumsikilizi huyo genius. Jamaa kala zake bangi mbichi anaongea anayoyaona kichwani anatuletea sisi. Mxieee😏😏😏😏
ktv online nyie machizi mnamuhoji chiz mawezen huo upanga wa saydina ali kautowa wap
Mzimu wa NYERERE na mapinduzi ya 64. Akili ya mzanzibar kama si MAPINDUZI ingekuwa adimu kuipata.kama almasi. .pengine hiyo sehemu ni katika makaburi walio wauwa katika yale mauwaji ya 64. Halafu wakawazika kwa pamoja.
Anatakiwa apewe adhabu kaki ili iwefundisho kwawengine
Sio vibaya mataalamu wa Mental health wakahusishwa, ukifuatilia hayo maelezo ya huyo mtaalamu utabaini kuna vitu havipo sawa
huyo ni Wales waizi na washirikina
Bangi bwana sikitu kizuri🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wakachimbe makwao bara wazanzibari hatutaki mijizi mikubwa
Ama kweli huyu ni wa kutaa,,majina mengine sio mazuri kupeana,,yanazuru
Ehhh😁. Yeye ni genius, anaakili kama zote MashaAllah
Halafu Rupiya sio hela ya India? Sasa itakuwa na faida gani? Afadhali Ruby, dhahabu, n madini zinginezo
Anaonekana sio chiziiii anajua ananalo lifanya ila shirki ndio itamtia motoni
Kweli wa kudata. Umaskini wa fikra. Njaa Kali.
Kumekushukhulisheni mno juu ya wingi wa kutafuta mali, mpaka mnazuru makaburi. Suratul At-Takaathur
Huenda wenye akili wakatafakari
Jamaa njaa inamsubua upanga wa sayyidna ally aupate huyo
Zimebaki stor tu kwa zama hizi sio rahisi zilipendwa tu hizo hata ukiona hivo pana walakini musipendelee kwenda hapo hiyo hatari kweli
😀😀😀😀😂 upanga wa saidana aliii uyo mlevi
Alopewa ruhusa ya kuchimba ivo nani
Apo mwisho wa siku ni ushirikina watu wa zamani walikuwa wakieka pesa zao na majini kwa hiyo na nyie jiandaeni kuliwa na koo zenu
Kwann hakuendelea na masomo kama anaakili
Kwetu njaa cn ndio maana ushirikina mwingi
Mheshimiwa mkuu wa mkoa yuko wapi kijana anataka kushuhulikiwa
Haaaaa haaa huyo wakudata kweli,hakuna rupia inayotoka chini,uongo mtupu.
Kijiti kinafanya kazi😂
Apelekwe hospital ya wagonjwa wa akili, huyo kadata kweli kwa bangi
Jamaa anatumia makarama kutafuta madini
Fedha gani itakayokaa Zanzibar uongo tu
Vitendo vya kishirikina vinatishia amani Zanzibar, ikiwa serikali haikuweka sheria ya kuzibiti basi tutaelekea kubaya .
Treasure hunting is great experience 😄
looks like solomon mine
Hehehh
Eti upanga nilovaa wa Saydyna Ally....Dah
Pombe zinamzingua huyo
Haya ushaweka historia ya kuhojiwa na media
🙄 No comment 😇
Huyu wa kudata kadata kweli kweli.
Darasa la7 akili itoke wapi
Huyu tapeli tu
Mbavu zangu khaa
duhhhh asema kavaa upanga wa Sayydna Alliy !!!
Pumbavu uyo hana lolote
Ulevi huu bhana
Nenda uko
Uyu kashadata kama lilivyo jina lake
Hilo Jina tu linajitosheleza wakudata
Pyuu
Hahahahahahaha🤣🤣🤣😄😄😄😄😂😂😂😀😀😀🏃🏃🏃🏃
Dahh noma sana
Sheha yuko wapi au mpaka afe mtu apo
Uyu jamaa akili zake si nzuri
bangi na njaa
Hahaha bangi bana
😄😄😄 upanga wa nan!?!
😁 ahhh bobmarley weeee uko wapi??