Magoli yote | Simba SC 1-5 Yanga SC | NBC Premier League 05/11/2023
Вставка
- Опубліковано 4 лис 2023
- Simba SC imepokea kichapo kizito cha mabao 5-1 kutoka kwa Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Yanga walianza dakika ya 3 kwa goli la Kennedy Musonda kabla ya Simba kuchomoa dakika ya 9 kupitia kwa Kibu Denis.
Kipindi cha pili Yanga ikashindilia kwa mabao ya Maxi Nzengeli aliyefunga mawili dakika ya 64 na 77, Stephane Aziz Ki dakika ya 73 na Pacome Zouzoua dakika ya 87 kwa mkwaju wa penati.
Haya hapa magoli yote sita ya mchezo huu... - Спорт
Kama bado unàangalia magoal Haya 2024 gonga like hapa
Ikiwapendeza Yanga mnipe like5 za Kenedy Musonda na Pacome,Sawa
Wanaoangalia Leo Jan 20/2024. Gongeni like hapa😅😅
Nani karudia kuangalia 2024😂
Tupo
Wangapi bado tunàangalia hii mechi tujuane kwa like
Young Africans the Giant King of Football in Tanzania no one another for high quality in this season.Big up Eng.Hersi Said and all Management and also big up all Players.
Naombeni like 5 wale mnaongalia tena mechii kama mimi🖐
👍👍👍👍👍
👍👍👍👍👍
Nimerudi kuitazama baada ya simba kushika nafasi ya 3😂😂😂😂
Ila ww bhn lkn sikushangai mana me mwenyew nimerud kuangalia😅😅
Naombeni like 5 kwa Yanga 🖐
🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️ 5
5
❤❤❤❤❤❤😅😅😅😅😅
@@mohamedibakari174😊5
Yanga ndo yanga wengine photocopy
kuna mechi ambazo hata uwangalie mara halfu 10 utam hauwishi ❤kama hii
Niko hapa 29january 24
16-04-2024 gonga like apo 2juane kablaya tare 20
Tunao angalia tena mwaka 2040 tujuane hapa ✨👉
Nairudia mara ya 5 kuiangalia Yanga tamu
Siku zote historia hujirudia karne yoyote ilee ndio alichokifanya yanga leo🎉🎉
I love Young Africans ❤
Tar 21/ 01/2024, nipo hapa❤
Hongera sana wachezajiwa yanga imekuwani istoria
Naomben mnilaik ata 5
🎉🎉mech tamu sanah
Sitosahau uongoz wa Rais ENG HERS YangA nii hiii 5-1 😅 NEW GENERATION
NAOMBA LIKES ZOTE ZA WANANCHIIII HAPAAAAA TAREHE 25/03/2024🔰💪💪💪🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️
Yang naipend San 💓❣️❣️❣️🌹🌹🌹❤️❤️❤️❤️
Alhamdulillah 💚💛💛
Leo najikumbusha tulivyowakanda makolo
Yan naangalia kila day
😊😊😮
Hongera sana Young Africa.. Mumetufurahisha mashabiki wenu..
Mbna siskii jamn naomben like kwa mzize
Utv mnilipee maana sjui n mara ya ngap naangaliaaa😅😅😅
Hii clip nitaiangalia mpaka usiku usiku wa mananeeee
Safi sana team yangu.... atukuzwe Mungu wetu mkuu
Amen
YANGA SIYO KWA MPIRA HUU🙏🎉
Wow hiki kikosi stakisahau kamwe maan nifulaha tu kuangalia
Simba ni wake zetu
😂😂😂❤❤❤27 mwezi 1 2024 aziziki huyu jamaa Hana huluma
Hatar Sana yanga nakpenda mnoooo
Leo tar 6 mwezi wa 6 naangalia tena tulivo wakanda makolo may wetu
Yani nikiwa na huzuni hii ndo faraja yangu plus ile mechi na beluizdad ❤❤❤ na wamenipa nyongeza ya penalty za FA juzi mana nilijua nnapresure kumbe
Yanga naipenda mpaka kufaaaaaaaaa from Louis ville Kentucky
ivi timu Ina maprofesor na madoctor unategemea nini
Nani yupo hapaa 1/3/2024😅
Timu zote mbovu zinapigwaa 5 jmniiiiiii😆😆😆
Tunaotazama tena 2024 like zenu 👇😂😂😂😂😂
nipo😅😅
Nkiwa na stress lazima nije uku kujiliwaza 😂😂😂 wake zetu walijua kututegea vzr 😂😂🙌
Yanga tuna viongozi wazuri sana, na hii itawatesa sana simba
Hii mech mashabiki wa yanga atutaacha kuitazam maan wengi atukutalajia kama magol yangekua mengi hiv 5G
Toka jana naangalia hii highlit nahisi bado ni ndoto My Yanga jaman hivi kweli tumewafunga zote hizi🤣🤣🤣🤣💛💛💛💛💛💛💛
Upo kama mie nikitaka kulala lazima niangalie 😂😂
Mimi Kila siku nacheki haya magoli
Stumii nguvu kubishana na Wana simba
Hizo ndo 5 sasa zile za 2012 wengi tulikuwa wadogo 😎
Za kwao penati 3
Mm Hadi Leo tar 30/6/2024 nipo naangalia yaani naendelea kupata rahaa
Yaani huwezi kuchoka kuangalia hii mechi aisee yangu ni moto wa kuotea mbali
Leo tareh 25 April naludia mechi yangu pendwa😂😂😂😂😂
Jamani YANGA ogopeni mungu sasa timu zingine zitakataa kuleta timu uwanjani
June 2024 still watching 😊
❤love u yanga natamn mechi iwe leo jmn😅😅
Matobo mawili...goli moja master K😂😂
n five kwakweli five , five kinywa kinaumbaa ... ndymaana tumecheza leo trh five💚💚💛
Yanga noma sana
Yanga ni balaa
goal la aziz kuna mtu kalala kama kazimia😂😂
Yes yanga
Ilaa pacome🙌🏽🙌🏽🔥🔥
pacome balaaaaa
Oya jamani clement kaupiga mwingi leo sio poaa
Mzizeeeeeee
Mzize on fire
Mzize amenifurahisha Sanaa Leo! Pongezi
Mzize anaenda kuwa mchezaji hatari sana na wa bei ghali sana jamani.... daaaaaaah Yanga raha
Hatari
BREAKING NEWS:- wachezaji wanne wa yanga mbaloni kwa kosa la kuuwa mnyama pori hadharani, taarifa zaidi zinasema mnyama huyo wa ajabu anaefanana na paka walimshambulia vikali mbele ya wananchi waliokuwa wanasherehekea kilele cha wiki ya mvua november 5
😅😅 dah umetisha wakati unaiunda hii text. Naix ukianza kutabasam SEMA kweri mzee
@@user-id3lp1lg4j kweli
Pacome Ni level ya english premier league
Yanga SC itabaki kuwa team kubwa zaidi, simba SC tudijifananishe na hawa ma Giant
Hawa amino macho yao lakini ime tokea hiyo nikazi ya gamondi bwana hatuja roga in maombi tui😂😂😂😂😂😂😂😂🎉😂😂😂😂 poleni sana watani
Young Bora kuliko Simba
6
Yanga chukua maua🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mwendo ni tarehe tano tano kumbukumbu💚💛💚💛💚💛💚🙏
Jmn hii ni mar ya 7 kuiridiaaa😂😂😂😂❤
Rekodi ya magoli katika msimu mmoja was ligi
Daaah imebidi tuu niangalie tena
Mpaka ,leo naenjoy tu
Mungu mkubwa maombi yamepita vizuri kweli yanga juu from louis ville kentucky
TAREHE 5 NA MAGOLI 5
NIKUMBUKUMBU NZURI, NA MPIRA UMEANZA 5 OCLOCK
Kweli yanga wametikisha afrika
Rahaaa!!! Tarehe 5 goli tano
Daah 💚💚💚😁😁💪💪💪🙏
Hongera chama langu la yanga
4:46🔥🔥🔥🎉🎉🎉
Mashaallah yanga big up
Asante, Mungu wakushukuriwa ni wewe
Ukiwa na Stress 😢 njoo Tazama Hii mechi 😂 Ume Pona😂😂
Yan ni dawa tosha. Nikiboreka tu, mi chap! Kuangalia 5G zangu napata ahueni
Simba kapewa internet ya 5G
Goal la 3 Tobo mbili goooooooooool 🎉🎉
Yaan mpaka mseme Bado tunaangalia
Tulia
1/7 nmerudi tena baada ya Triple C kusajiliwa Yangaaa😂🔥
Nawapenda jaman
Hongereni Sana Mamamba yangu hamkumuachia mtu Enjoy your victory
Pale napokua na uchovu, niangaliapo mechi Mimi moyo wng kwatuuu...😂😂😂😂😂😂😂 Yanga weee
😅😅😅😅😅
Haki tena
inapendeza
Yàni mpaka msemee
Imekaa pow xana
Yanga pokea maua 🎉🎉🎉
Ila yanga mmetuweza naona mmesahau mpk shida zenu kwanz sawa bwana hayeni
Hizi raha za Yanga zinatufanya tuwe na furaha kila siku😅😅😅
Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Hatimae tukawaingiza kwenye chama cha wala tano akina mwakalobo na ii ndo inayo watesa akina mwakalobo 😂😂😂😂
Yanga wanapiga boli sana
Hii ndo yang ya Gamondi