Kwani hili like zinafaida gani mbona zinagombaniwa kiasi hiki!!!mm sipendi huu utoto wa kuomba like,au zikifikia kiwango flani kuna salio unapewa na UA-cam!!?
Oyaa acha masihara..we siku andika comment afu ukute like 100 tu…furaha yake sio ya nchi hii…kama unahisi ni utoto..pata like 100 tu utaona😂..utazitaman sana
Boka karibu jangwani kwakishindo kikubwa yanii ume fanana mnooo na baba mjengo wangu jamani harafu yeye ni kolo namuonea huruma sana mwakahuu hadi mkojo watakojoa dam dadekiiiiii
GSM, pamoja na viongoxi wote wa Young Africans, Mungu awe upande wenu kuleta ubingwa wa CAF champions league 2024/25 na kuendelea
Usajili wa kimataifa huu shukrani GSM 💚💛
Yanga ina balaa kubwa Watoto wangu wote wameamka daaaaah
Hii yanga ebuu tusubili tuone kama unasubili kama mimi nipe like apa💚💚💛💛💛
Movie la Kutishaaaaaaaaa Hatari sanaaaaaa 💚💛💚💚💛💚👏🏼Weka mbali na Watotooooo
Karibu kwa mabingwa BOKA letu la wananchii hatuna mbambambaaaaaa mwaka huuuu
Kafanana na mayele naipenda san yanga yangu 💚🔰💛
Hapana kafanana na lomalisa mutambala
Lomalisa mtupu
Hapo umepatia🎉@@user-po8hz7xw9j
Ata mimi nimona kafanana na mayele
Kafanana na Mayele
Hili ni Gharika Yanga inatosha jamani hivi unajua watu hawalali leo .hata wekundu wa Msimbazi usingizi umekata hii inatisha sana daaaaaah
Huyo alikua underdog wa nouma,, walikua timu moja alikua anacheza mechi nyepes afu taifa haitwi..!!! Nouma kaka yake japo huyo kiumri mkubwa
Hapa booka hapa bacca😂😂😂😂 we huogopii
Mbona kama lomalisa vile hadi kuchezea ball wanafanania.💪💪
Hatareeh 🎉🎉🎉 safi sana wanajeshi wetu wa media team Daima mbele nyuma mwiko jamaa ana passion kwa kazi yake.
DRC Tuko pamoja na nyie
Sisi ni familia🙏🙏🙏🙏
Kabisa familia
MTU ASIGUSE HII COMENT
Inaguswa
njia ya kupata likes...
We kama naniii😅
Ndeko nangai yaka yaka ndaku ayoo
Wa kwanza like zang wap
Boka la wanainchi like zake Apo 👉🏼
Pongezi kwa kitengo cha graphics, Mnafanya kazi nzuri sana, Very creative and professional
Absolutely, Aiseeee Yanga hakuna mchovu hata u
Msafishaji pale jangwani ana gedree! Kasomea chemicals za kuua vijidudu visidhuru wachezaji wetu🤣🤣
Hii yanga jaman mwaka huu sielewi tukienda uwanjani tutaenjoy vip mungu atupe uhai tu
Wanainch awana jambo dogo 🔰🔰💚💚💛💛
Namuona Lomalisa kwambaaaaali💛💚
Kabisaaa
Kweli
Ujakosea irmã minha
Yaan wanafanana sana
Kabisa yaan km yeye vile, unaweza kusema ni pacha au mtu na mdogo wake
We huogopi hatta busu lake😁💛💛
karibu mwananchi Bhoka
Yuko na mwili mzuri kikubwa tujue uwezo Kwanza ndio tukabidhi wizara ❤
Nipo congo nawafatilia Yanga- Huyo mubeki ni mukali sana!wapinzani wenu Badala ya kusema "MAMA" Wataishia "MA"😂😂😂😂😂
Jamaa haongei Sana . Ni mtu wakazi chafu tu nakumwaga maji
kama Yao Yao
Amfikie lomalisa mtambala?
@@EssauGabriel-fy8puumeanza makasiriko
Hujui kama Engineer akitoa mtu anaekuja ni mara mbili ya alietoka. Ww utakua kolo sio Mwananchi.
Alhamndulilah nakuomba M/Mungu ijaalie Timu iweyenye kupata mafanikio Inshaallah
Yanga kwa sasa ni Real Madrid ya Africa 🙌🙌🙌🙌
Naungana na manara yanga ndoitakua time ya kwanza kuleta krabu bingwa 🇹🇿
Sio krabu ni club
😂😂😂😂😂😂😂😂@@mrmrsjogo8559
😂😂😂😂 duh ulikuwa unasoma comment ili ukosoe
Sio time bali ni team
@@Rukwembe7712 kiswahil ila nimekosea kidogo bro
Hii style ya kutazama logo ya klabu muda wa dakika kadha inakitu inaongeza kwa wachezaji, ndio maana wakiondoka Yanga wanaliaga😅😅.
Miaka mingine kama waliyoishi ndiyo madunduka mambo haya wanaweza kuyafanya😂😂😂😂
Shikamoo Yanga
Marhaba
🎉🎉🎉🎉🎉🎉mi nasubilia raha tu jaman nimemiss yqnga yqngu ianze kutupa rahaaa😊
I admire how you handle controversial topics with respect and open-mindedness. It encourages healthy discussions.
Dah...hatuleti timu😢
Daaah safi sana 🙏🙏🙏
Yanga bingwa
Yanga bingwa teeeena❤❤❤❤❤❤❤
Allaah Akbar
Behind the scenes za makolo wanafanyia kwenye store au gereji 😅
Acha tuendelee kutambulisha mashine
Safe sana digital media kwa innovation kybwa.
Namuona CEO wa Ball Andrew mtine✊
Nawaonea huruma wakina debora
Good young Africa
Welcome 🇹🇿💚
Wa kwanza kabc😊😊😂
Yule ni Mutambala,,,Huyu ndo Tambala lenyewe sasa
Mbona mchezaji mwenyewe shavu dodo! Sijui kama ataweza!.
Sio kama majirani, wao wanaotambulisha wachezaji kama wanachama wa vikoba
😂😂😂
Kwani hili like zinafaida gani mbona zinagombaniwa kiasi hiki!!!mm sipendi huu utoto wa kuomba like,au zikifikia kiwango flani kuna salio unapewa na UA-cam!!?
Oyaa acha masihara..we siku andika comment afu ukute like 100 tu…furaha yake sio ya nchi hii…kama unahisi ni utoto..pata like 100 tu utaona😂..utazitaman sana
Oya ni mizinguo tu
Waooooo kwishaaaaa karibu nyumbani boka
My favorite team ❤❤❤
@privaldinho kwa hiki ninachokiona hapa jana Jumapili kanisani ulikuwa unawaza sanaaaaaa, ila kwa YANGA HII TABU IPO PALEPALE mpaka waseme Nimekoma.💪💪
Kazi nzuri sana tuonaomba mjitahidi na pucha ziwe karu nzuri piaa😢
Control ni balaaa😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤
Inatosha bado msaidizi wa aucho. Nimeona skudu mnatuachia na Gift fred.
❤❤ yanga
Yanga. Raha
We priva unabala sana eti Kuya Kuya
Hatareeee❤🎉🎉
Yanga oyeeeeeee😁😁😁😁
Sema alwatan katoboa siri eti goalkeeper yupo njiani😅
Yanga noma
Yanga oyeeeeeeee raha kama zote. Tuendelee KUJISAJILI
Welcome Boka💚✅
HATUJI TENAAA 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Hivyo ndio namna ya kuongeza millage kwa timu kupata more sponsors
Jaman mwak huuu watu watalala na viatu
Yuko series na boli😊
Kwa usajilihuu timuzitapata shida sana
Safi mmetisha sand GSM kweli unatuheshimisha nji uko tuli
Daaaa Hadi rahaaaa
Hiyo ndiyo YANGA banaaaa💛💚💛💚😂😂😂
Mashaallah
Noma sana mwamba huyo
Atulali tena atulali tena yanga hii atulali tena
Engineer soma hiyooo😅😅😅
😂😂😂kumbe anaelewa kiswahili kidogo kidogo mm nangoja behind ya chama akiwa na aziz ki walai
Good job
Anafanana na lomalisa🎉
Sema hyu kapanda juu kidogo
Fire 🔥
Mambo mazuri wana nchi
Eti mwambie kikwenu 😂Privaa
Mnakujaga wakulimaa, ngoja ukishajanjaruka, Kalala chamtoto
Waooooooooo yanga balaaaaaaa
Boka karibu jangwani kwakishindo kikubwa yanii ume fanana mnooo na baba mjengo wangu jamani harafu yeye ni kolo namuonea huruma sana mwakahuu hadi mkojo watakojoa dam dadekiiiiii
😂😂😂😂😂😂
Mko vizul digital ya yanga
Huyu thonius hatari sana
TIMU KUBWA MAMBO MAKUBWA HONGERA SANAAA UONGOZI WETU TUMEMWONA MCHEZAJI WETU ASANTENI
Wakongo kwa kufanana tu hawajambo sas huyu c joyce mtupu ukija ten una muona mayele na inonga duh mapapai
😂😂😂😂
Lomalisa mar mbili yake
Boka karibu sana kwenye tim ya wananchiiii yanga africans
Mbona Anataka kufanana na lomalisa😊
Welcome chadrack boka, hii behind the scene ya viwango vya Hollywood
Mbona wakongo wengi,mgetafuta translator to make it a bit easier for him n yosleves😂😂😂 fantastic work though guyz,kuddos🤛
Kuyaaaa 😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
Sasa ka picha ndo inapigwa ivo sa wengine huwa tunapiga picha au tunajaribu😂😂😂😂😂 anyway bravooo👌👌
Mbona jamaa anakitambi
Ila wabongo😅😅
Makolo wamenunaaaa uko et😂😂😂😂😂😂😂😂😂na shule Yao yawatoto
Yanga ya Kilabu bingwa
Mbona ka ligi inachelewa kuanza😂😂😂