BEHIND THE SCENE: HUYU BOKA HATARI/ONA ALICHOKIFANYA WAKATI WA KUREKODI VIDEO ZA UTAMBULISHO.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 лип 2024
  • #daimambelenyumamwiko #timuyawananchi
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 297

  • @nicodemusmemba1402
    @nicodemusmemba1402 8 днів тому +37

    GSM, pamoja na viongoxi wote wa Young Africans, Mungu awe upande wenu kuleta ubingwa wa CAF champions league 2024/25 na kuendelea

  • @Papycon22_
    @Papycon22_ 9 днів тому +35

    Usajili wa kimataifa huu shukrani GSM 💚💛

  • @BrunoNamanga
    @BrunoNamanga 9 днів тому +32

    Yanga ina balaa kubwa Watoto wangu wote wameamka daaaaah

  • @abubakalimavumbi5846
    @abubakalimavumbi5846 8 днів тому +54

    Hii yanga ebuu tusubili tuone kama unasubili kama mimi nipe like apa💚💚💛💛💛

  • @Bintisayuni50
    @Bintisayuni50 9 днів тому +20

    Movie la Kutishaaaaaaaaa Hatari sanaaaaaa 💚💛💚💚💛💚👏🏼Weka mbali na Watotooooo

  • @user-we3cm7db2h
    @user-we3cm7db2h 9 днів тому +13

    Karibu kwa mabingwa BOKA letu la wananchii hatuna mbambambaaaaaa mwaka huuuu

  • @Cuteeeee477
    @Cuteeeee477 8 днів тому +24

    Kafanana na mayele naipenda san yanga yangu 💚🔰💛

  • @BrunoNamanga
    @BrunoNamanga 9 днів тому +17

    Hili ni Gharika Yanga inatosha jamani hivi unajua watu hawalali leo .hata wekundu wa Msimbazi usingizi umekata hii inatisha sana daaaaaah

    • @EssauGabriel-fy8pu
      @EssauGabriel-fy8pu 8 днів тому

      Huyo alikua underdog wa nouma,, walikua timu moja alikua anacheza mechi nyepes afu taifa haitwi..!!! Nouma kaka yake japo huyo kiumri mkubwa

  • @user-xi1vi6mn7d
    @user-xi1vi6mn7d 9 днів тому +7

    Hapa booka hapa bacca😂😂😂😂 we huogopii

  • @robertrobert563
    @robertrobert563 8 днів тому +1

    Mbona kama lomalisa vile hadi kuchezea ball wanafanania.💪💪

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 8 днів тому +4

    Hatareeh 🎉🎉🎉 safi sana wanajeshi wetu wa media team Daima mbele nyuma mwiko jamaa ana passion kwa kazi yake.

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 8 днів тому +7

    DRC Tuko pamoja na nyie
    Sisi ni familia🙏🙏🙏🙏

  • @dallovision
    @dallovision 9 днів тому +51

    MTU ASIGUSE HII COMENT

  • @kidyabby6322
    @kidyabby6322 9 днів тому +14

    Wa kwanza like zang wap

  • @JosephDamas
    @JosephDamas 9 днів тому +40

    Boka la wanainchi like zake Apo 👉🏼

  • @timcee2670
    @timcee2670 8 днів тому +8

    Pongezi kwa kitengo cha graphics, Mnafanya kazi nzuri sana, Very creative and professional

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 8 днів тому

      Absolutely, Aiseeee Yanga hakuna mchovu hata u
      Msafishaji pale jangwani ana gedree! Kasomea chemicals za kuua vijidudu visidhuru wachezaji wetu🤣🤣

  • @killingmleke1810
    @killingmleke1810 8 днів тому +4

    Hii yanga jaman mwaka huu sielewi tukienda uwanjani tutaenjoy vip mungu atupe uhai tu

  • @Emanuelimiyonjo
    @Emanuelimiyonjo 8 днів тому +6

    Wanainch awana jambo dogo 🔰🔰💚💚💛💛

  • @halimahamis7370
    @halimahamis7370 9 днів тому +30

    Namuona Lomalisa kwambaaaaali💛💚

  • @azizrashid6173
    @azizrashid6173 8 днів тому +1

    We huogopi hatta busu lake😁💛💛

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw 8 днів тому +6

    karibu mwananchi Bhoka

  • @stevenemwakasimba-pt8er
    @stevenemwakasimba-pt8er 8 днів тому

    Yuko na mwili mzuri kikubwa tujue uwezo Kwanza ndio tukabidhi wizara ❤

  • @emmanuelthomas1078
    @emmanuelthomas1078 8 днів тому +1

    Nipo congo nawafatilia Yanga- Huyo mubeki ni mukali sana!wapinzani wenu Badala ya kusema "MAMA" Wataishia "MA"😂😂😂😂😂

  • @sospetersalvatory3499
    @sospetersalvatory3499 9 днів тому +7

    Jamaa haongei Sana . Ni mtu wakazi chafu tu nakumwaga maji

    • @buja_fleva
      @buja_fleva 8 днів тому

      kama Yao Yao

    • @EssauGabriel-fy8pu
      @EssauGabriel-fy8pu 8 днів тому

      Amfikie lomalisa mtambala?

    • @femidayahaya4882
      @femidayahaya4882 8 днів тому

      ​@@EssauGabriel-fy8puumeanza makasiriko
      Hujui kama Engineer akitoa mtu anaekuja ni mara mbili ya alietoka. Ww utakua kolo sio Mwananchi.

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 8 днів тому

    Alhamndulilah nakuomba M/Mungu ijaalie Timu iweyenye kupata mafanikio Inshaallah

  • @ngassakissimba5640
    @ngassakissimba5640 8 днів тому +3

    Yanga kwa sasa ni Real Madrid ya Africa 🙌🙌🙌🙌

  • @ZipolaNgola
    @ZipolaNgola 9 днів тому +21

    Naungana na manara yanga ndoitakua time ya kwanza kuleta krabu bingwa 🇹🇿

    • @mrmrsjogo8559
      @mrmrsjogo8559 8 днів тому +1

      Sio krabu ni club

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi 8 днів тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂​@@mrmrsjogo8559

    • @abubakalimavumbi5846
      @abubakalimavumbi5846 8 днів тому

      😂😂😂😂 duh ulikuwa unasoma comment ili ukosoe

    • @Rukwembe7712
      @Rukwembe7712 8 днів тому

      Sio time bali ni team

    • @ZipolaNgola
      @ZipolaNgola 8 днів тому

      @@Rukwembe7712 kiswahil ila nimekosea kidogo bro

  • @yes_yes1310
    @yes_yes1310 8 днів тому +2

    Hii style ya kutazama logo ya klabu muda wa dakika kadha inakitu inaongeza kwa wachezaji, ndio maana wakiondoka Yanga wanaliaga😅😅.

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 8 днів тому +2

    Miaka mingine kama waliyoishi ndiyo madunduka mambo haya wanaweza kuyafanya😂😂😂😂

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 9 днів тому +10

    Shikamoo Yanga

  • @HawaAlznezbar
    @HawaAlznezbar 8 днів тому

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉mi nasubilia raha tu jaman nimemiss yqnga yqngu ianze kutupa rahaaa😊

  • @Grow.YT.Views.246
    @Grow.YT.Views.246 8 днів тому

    I admire how you handle controversial topics with respect and open-mindedness. It encourages healthy discussions.

  • @mozzymbise2871
    @mozzymbise2871 9 днів тому +3

    Dah...hatuleti timu😢

  • @user-hy3en6vk5f
    @user-hy3en6vk5f 9 днів тому +2

    Daaah safi sana 🙏🙏🙏

  • @filemonkwaja6181
    @filemonkwaja6181 8 днів тому +6

    Yanga bingwa

  • @AmaniOmari-ev2gu
    @AmaniOmari-ev2gu 8 днів тому

    Yanga bingwa teeeena❤❤❤❤❤❤❤

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady2420 8 днів тому +2

    Allaah Akbar

  • @alfredkatuma426
    @alfredkatuma426 8 днів тому +1

    Behind the scenes za makolo wanafanyia kwenye store au gereji 😅

  • @HADSONPAUL
    @HADSONPAUL 9 днів тому +4

    Acha tuendelee kutambulisha mashine

  • @israelkisanga8587
    @israelkisanga8587 8 днів тому +1

    Safe sana digital media kwa innovation kybwa.

  • @husseinismail4452
    @husseinismail4452 8 днів тому +1

    Namuona CEO wa Ball Andrew mtine✊

  • @user-fx4pr4vp8p
    @user-fx4pr4vp8p 8 днів тому +2

    Nawaonea huruma wakina debora

  • @saidiHamisi-d5w
    @saidiHamisi-d5w 6 днів тому +1

    Good young Africa

  • @EmmanuelLameck
    @EmmanuelLameck 9 днів тому +2

    Welcome 🇹🇿💚

  • @JACKSONMGETA-xf3hj
    @JACKSONMGETA-xf3hj 9 днів тому +5

    Wa kwanza kabc😊😊😂

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 8 днів тому +1

    Yule ni Mutambala,,,Huyu ndo Tambala lenyewe sasa

  • @AbubakarAlly-th6op
    @AbubakarAlly-th6op 9 днів тому +1

    Mbona mchezaji mwenyewe shavu dodo! Sijui kama ataweza!.

  • @israelkisanga8587
    @israelkisanga8587 8 днів тому +2

    Sio kama majirani, wao wanaotambulisha wachezaji kama wanachama wa vikoba

  • @abdunasiriathumani9011
    @abdunasiriathumani9011 8 днів тому +4

    Kwani hili like zinafaida gani mbona zinagombaniwa kiasi hiki!!!mm sipendi huu utoto wa kuomba like,au zikifikia kiwango flani kuna salio unapewa na UA-cam!!?

    • @mhogomchungu7882
      @mhogomchungu7882 8 днів тому

      Oyaa acha masihara..we siku andika comment afu ukute like 100 tu…furaha yake sio ya nchi hii…kama unahisi ni utoto..pata like 100 tu utaona😂..utazitaman sana

    • @abdunasiriathumani9011
      @abdunasiriathumani9011 8 днів тому

      Oya ni mizinguo tu

  • @lemalaliLemtunde
    @lemalaliLemtunde 8 днів тому +1

    Waooooo kwishaaaaa karibu nyumbani boka

  • @simionngayayi6903
    @simionngayayi6903 8 днів тому

    My favorite team ❤❤❤

  • @jacksonjackson4532
    @jacksonjackson4532 8 днів тому

    @privaldinho kwa hiki ninachokiona hapa jana Jumapili kanisani ulikuwa unawaza sanaaaaaa, ila kwa YANGA HII TABU IPO PALEPALE mpaka waseme Nimekoma.💪💪

  • @fatmasaaed144
    @fatmasaaed144 8 днів тому

    Kazi nzuri sana tuonaomba mjitahidi na pucha ziwe karu nzuri piaa😢

  • @BrunoNamanga
    @BrunoNamanga 9 днів тому

    Control ni balaaa😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 8 днів тому +1

    Inatosha bado msaidizi wa aucho. Nimeona skudu mnatuachia na Gift fred.

  • @MjeuliTu
    @MjeuliTu 9 днів тому +4

    ❤❤ yanga

  • @mrmrsjogo8559
    @mrmrsjogo8559 8 днів тому +2

    We priva unabala sana eti Kuya Kuya

  • @safiaothman7506
    @safiaothman7506 9 днів тому +3

    Hatareeee❤🎉🎉

  • @happysanga6846
    @happysanga6846 8 днів тому +2

    Yanga oyeeeeeee😁😁😁😁

  • @user-px4vr8xc9r
    @user-px4vr8xc9r 8 днів тому +1

    Sema alwatan katoboa siri eti goalkeeper yupo njiani😅

  • @SylvesterSafari-nf4fy
    @SylvesterSafari-nf4fy 9 днів тому +3

    Yanga noma

  • @5googleuuu727
    @5googleuuu727 8 днів тому

    Yanga oyeeeeeeee raha kama zote. Tuendelee KUJISAJILI

  • @godfreymkinga
    @godfreymkinga 8 днів тому

    Welcome Boka💚✅

  • @ezrayohana3541
    @ezrayohana3541 8 днів тому

    HATUJI TENAAA 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @israelkisanga8587
    @israelkisanga8587 8 днів тому +1

    Hivyo ndio namna ya kuongeza millage kwa timu kupata more sponsors

  • @SuleMussa
    @SuleMussa 9 днів тому +2

    Jaman mwak huuu watu watalala na viatu

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 8 днів тому +1

    Yuko series na boli😊

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f 8 днів тому +1

    Kwa usajilihuu timuzitapata shida sana

  • @IsayaIsayaMwakila
    @IsayaIsayaMwakila 8 днів тому

    Safi mmetisha sand GSM kweli unatuheshimisha nji uko tuli

  • @MosesWilliam-oh8tt
    @MosesWilliam-oh8tt 8 днів тому

    Daaaa Hadi rahaaaa

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 9 днів тому +1

    Hiyo ndiyo YANGA banaaaa💛💚💛💚😂😂😂

  • @athumanishabani1143
    @athumanishabani1143 8 днів тому +1

    Mashaallah

  • @JohnmtataJohnmtata
    @JohnmtataJohnmtata 8 днів тому +1

    Noma sana mwamba huyo

  • @muddymbwana5679
    @muddymbwana5679 8 днів тому +2

    Atulali tena atulali tena yanga hii atulali tena

  • @user-er6ox5xx1i
    @user-er6ox5xx1i 8 днів тому

    Engineer soma hiyooo😅😅😅

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658 8 днів тому

    😂😂😂kumbe anaelewa kiswahili kidogo kidogo mm nangoja behind ya chama akiwa na aziz ki walai

  • @user-lp6sd8yw1t
    @user-lp6sd8yw1t 6 днів тому

    Good job

  • @husnakawana2068
    @husnakawana2068 8 днів тому

    Anafanana na lomalisa🎉

  • @AminaAmina-cr8jq
    @AminaAmina-cr8jq 8 днів тому

    Sema hyu kapanda juu kidogo

  • @chemstry409
    @chemstry409 8 днів тому +1

    Fire 🔥

  • @user-xy8kl9wd2i
    @user-xy8kl9wd2i 8 днів тому +1

    Mambo mazuri wana nchi

  • @jemimabakari
    @jemimabakari 8 днів тому

    Eti mwambie kikwenu 😂Privaa

  • @MariamLigoha
    @MariamLigoha 8 днів тому

    Mnakujaga wakulimaa, ngoja ukishajanjaruka, Kalala chamtoto

  • @user-jn9ym1pz5k
    @user-jn9ym1pz5k 8 днів тому

    Waooooooooo yanga balaaaaaaa

  • @ZubedaMasanja
    @ZubedaMasanja 8 днів тому

    Boka karibu jangwani kwakishindo kikubwa yanii ume fanana mnooo na baba mjengo wangu jamani harafu yeye ni kolo namuonea huruma sana mwakahuu hadi mkojo watakojoa dam dadekiiiiii

  • @user-ql2hc7zt6b
    @user-ql2hc7zt6b 9 днів тому +2

    Mko vizul digital ya yanga

  • @issayajumanne2710
    @issayajumanne2710 9 днів тому +1

    Huyu thonius hatari sana

  • @user-sx8rn1jr5c
    @user-sx8rn1jr5c 8 днів тому +3

    TIMU KUBWA MAMBO MAKUBWA HONGERA SANAAA UONGOZI WETU TUMEMWONA MCHEZAJI WETU ASANTENI

  • @JulianaMushi-nq3kc
    @JulianaMushi-nq3kc 8 днів тому +1

    Wakongo kwa kufanana tu hawajambo sas huyu c joyce mtupu ukija ten una muona mayele na inonga duh mapapai

  • @Rashidbakar-ir5ew
    @Rashidbakar-ir5ew 9 днів тому +3

    Lomalisa mar mbili yake

  • @MichaelNgowi-nc3vn
    @MichaelNgowi-nc3vn 8 днів тому

    Boka karibu sana kwenye tim ya wananchiiii yanga africans

  • @user-bt7qe1cj2n
    @user-bt7qe1cj2n 8 днів тому

    Mbona Anataka kufanana na lomalisa😊

  • @augustinomkongwa5444
    @augustinomkongwa5444 8 днів тому

    Welcome chadrack boka, hii behind the scene ya viwango vya Hollywood

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 8 днів тому

    Mbona wakongo wengi,mgetafuta translator to make it a bit easier for him n yosleves😂😂😂 fantastic work though guyz,kuddos🤛

  • @moshielfesty7992
    @moshielfesty7992 8 днів тому

    Kuyaaaa 😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @GeradinaJohn-xh8pw
    @GeradinaJohn-xh8pw 8 днів тому

    Sasa ka picha ndo inapigwa ivo sa wengine huwa tunapiga picha au tunajaribu😂😂😂😂😂 anyway bravooo👌👌

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 8 днів тому +2

    Mbona jamaa anakitambi

  • @aronyhussein8545
    @aronyhussein8545 8 днів тому

    Makolo wamenunaaaa uko et😂😂😂😂😂😂😂😂😂na shule Yao yawatoto

  • @ibuntatu1917
    @ibuntatu1917 9 днів тому +1

    Yanga ya Kilabu bingwa

  • @aishafranco1055
    @aishafranco1055 8 днів тому

    Mbona ka ligi inachelewa kuanza😂😂😂