Yanga SC 3-2 Azam FC - Highlights | NBC Premier League - 23/10/2023

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2023
  • Stephane Aziz Ki amefunga #hattrick na kuipa Yanga ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa #NBCPremierLeague uliopigwa leo kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam
    magoli ya Aziz Ki yamefungwa dakika ya 9', 69', 72' huku Azam wakipata magoli yao kupitia kwa Gibrill Sillah 19' na Prince Dube dakika ya 62 kwa penati.
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 238

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt 8 місяців тому +11

    Viva Yanga Viva Wananchiiiiii let's go Ubingwa msimu Huu Ni lazimaaa 💪🔥💥💚💛⚽👊🤚🖐🏿

  • @JoshuaMovela
    @JoshuaMovela 8 місяців тому +11

    Hongera yanga ,Azam ni watoto wetu

  • @zekelly_025
    @zekelly_025 8 місяців тому +9

    Jomba hii mpaka iishe kwanza ninnoma sana🎉🎉🎉

  • @cleverymwakamala2967
    @cleverymwakamala2967 8 місяців тому +36

    kama Aziz atacheza kwa kiwango hikihiki kwenye derby tutawanyonyoa makolo

    • @worldhappiness1181
      @worldhappiness1181 8 місяців тому +5

      Wamenyooka kwel yaan

    • @user-op7mh5sp4p
      @user-op7mh5sp4p 5 місяців тому +1

      Asee hapa uli sema😂😂

    • @GracieTyno
      @GracieTyno 2 місяці тому +1

      Tayari tushawanyoosha😂😂😂😂

    • @kephamlewa5258
      @kephamlewa5258 Місяць тому +1

      Dahhh mwanangu uliona mbali na tuliwanyonyoa kweli

  • @rajabrwambow9660
    @rajabrwambow9660 9 місяців тому +13

    Azam mnatuangusha likija swala la highlights

  • @wardah-mb6kb
    @wardah-mb6kb 9 місяців тому +24

    Ila Azam mnaroho mbaya Kila mechi ya yanga Huwa mnachelewesha

  • @user-vm5xd9wx1d
    @user-vm5xd9wx1d 8 місяців тому +6

    Yanga yakibabe sana
    Huyu jamaa alotambulishwa usiku wa saa 6 mwamba wa wagadugu ni nomaaa sanaaaaa

  • @ezekielmwarabu3548
    @ezekielmwarabu3548 9 місяців тому +6

    Yanga ni nomaaaa sanaaa

  • @ntakakasendebayi9992
    @ntakakasendebayi9992 8 місяців тому +4

    💛💛💚💚🔰🔰😂😂😂 nacheka kwa sababu nina furaha sana yanga hiii raha sana💚💚💛💛🔰🇹🇿

    • @Fredy-oz5vu
      @Fredy-oz5vu 7 місяців тому +1

      😂😂😂😂😂😂

  • @williamuphilipo2120
    @williamuphilipo2120 9 місяців тому +15

    Mkubwa ni mkubwa tu ❤❤

  • @KaroliMagana
    @KaroliMagana 8 місяців тому +7

    Amazing goal no:3

  • @GracieTyno
    @GracieTyno 2 місяці тому

    Aziz Ki bwana dah!🙌🏽

  • @user-xk5mq6rk8u
    @user-xk5mq6rk8u 8 місяців тому +10

    Nakuunga mkono kwa hilo aise mamnyeto uwezo wa kukaba ama kuzuwia Bado sana asianze kiukweli atatuchomesha🎉

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 8 місяців тому +1

      Mwamnyeto ni defender wa nchi beki la mpira weweee

  • @alluarjun8638
    @alluarjun8638 8 місяців тому +1

    Mhh huyu azizi Ni noma aisee

  • @user-rc6il8vw9z
    @user-rc6il8vw9z 8 місяців тому +4

    Kama mwanayanga naomba mechiya Leo katiya yanga na singida kibwana aaz

  • @josephbukubila2737
    @josephbukubila2737 9 місяців тому +5

    muwe munakata dakika hata 40 au nitumie mechi zima unambie bei yake

  • @edibilychaula.3753
    @edibilychaula.3753 8 місяців тому +5

    Hii match ilikua inawauma kuikuwema kisa timu yenu imepigwa mnachekesha kweli 😂😂😂

  • @user-eg9sq2zd5b
    @user-eg9sq2zd5b 7 місяців тому +2

    Yanga raha ❤❤❤ jamn

  • @user-ex7zx1qb8g
    @user-ex7zx1qb8g 8 місяців тому +7

    💚💚💚💚💚yanga nitimu kubwa

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 5 місяців тому +1

    This is true derby

  • @ishirininasita2626
    @ishirininasita2626 8 місяців тому +6

    Feisal bana is on another level

    • @masaumujungu
      @masaumujungu 7 місяців тому

      Another level without winning

    • @ishirininasita2626
      @ishirininasita2626 7 місяців тому

      @@masaumujungu without winning what kama ni titles ako nazo kama ni individual awards anazo ama huangalii mpira boss

    • @ishirininasita2626
      @ishirininasita2626 7 місяців тому

      @@masaumujungu ooooh ni majungu tu kama jina lako

  • @febroniamsoma178
    @febroniamsoma178 8 місяців тому +1

    Azam fanyieni kazi quality ya picha za highlight hazionekani vzur

    • @user-vp4ni5kk4y
      @user-vp4ni5kk4y 8 місяців тому

      Angalia setting kwenye youtube yako pia

  • @catherineshao8304
    @catherineshao8304 Місяць тому

    I love Yanga

  • @user-ze6qu7zq1w
    @user-ze6qu7zq1w 25 днів тому

    We need you in naturenaaaa man😂✌️✌️✌️✌️❤❤

  • @jacksonnyoni1978
    @jacksonnyoni1978 9 місяців тому +4

    Azam ikicheza na yanga nyie azam midia kuweni kiloho safi leo ndo mnatupia toka jana mmekaa kimya tumeangalia mpila vizuli tumeshinda 3 - 2

  • @user-od4zj2xk6s
    @user-od4zj2xk6s 6 місяців тому +1

    Ni kweli kabisa

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga4490 9 місяців тому +6

    SISI NDO YANGA,....ENDELEENI KUWATESA HAO MAKOLO.

  • @julianashani9408
    @julianashani9408 9 місяців тому +3

    Azam FC 3- 0 Mwakarobo

  • @shabbirbharmal7876
    @shabbirbharmal7876 5 місяців тому +1

    Sauti ya baraka MPENJA inauwa humna mtu anayeweza kama baraka mpenja

  • @danielsunghwa487
    @danielsunghwa487 8 місяців тому +1

    💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚 yangaaaaaaa

  • @sadalaedward2460
    @sadalaedward2460 7 місяців тому +1

    Mungu asimame Kati tu dhidi ya Ali ahal

  • @user-pq5ud1gc5f
    @user-pq5ud1gc5f 5 місяців тому +2

    Aaah mpka kero jaman achen mpira wa sifa

  • @youngrapper339youngrapper3
    @youngrapper339youngrapper3 4 місяці тому +1

    dash kiukweri nasikia raha na tanga yetu😂😂😂

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 7 місяців тому +1

    Hii ndio ilikuwa Derby....Naskia malogo sc wameomba game yao na azam isongezwe mbele😂😂😂

    • @GracieTyno
      @GracieTyno 7 місяців тому

      Wanaogopa 😂😂😂😂na lazima wachapwe 🔥

  • @Hagai-pm6yf
    @Hagai-pm6yf 9 місяців тому +4

    Ni aibu Kwa azama na Feisal wao,

  • @user-oj1wx7ue5u
    @user-oj1wx7ue5u 8 місяців тому +4

    Apewe mmauwa🎉🎉🎉 yake mwamba

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 9 місяців тому +2

    Mabeki wa azam wazembe bao lapili sio lakipa

  • @user-xw1zk5ug6h
    @user-xw1zk5ug6h 4 місяці тому +1

    Daima mbele nyuma mwikooooooooooooo

  • @NellyErick
    @NellyErick 8 місяців тому +7

    Yanga bora

  • @mohdyussah825
    @mohdyussah825 2 місяці тому

    Great 💚💚💚💚💚

  • @user-jn8us1qi1z
    @user-jn8us1qi1z 6 місяців тому +1

    Fei shoga kwel eti anafanya ishara kuwa imeisha😂😂😂

  • @yonasytitusy337
    @yonasytitusy337 6 місяців тому

    Ivi azizi awezi kufunga bila tobo

  • @baltazarmrema5712
    @baltazarmrema5712 День тому

    Nani anarudia kuichek hii game saii kama mimi😂😂

  • @abdulazackabdul1894
    @abdulazackabdul1894 6 місяців тому +2

    🐸🐸🐸

  • @user-uh4tr3nb1r
    @user-uh4tr3nb1r 4 місяці тому +1

    Saaa saba kasoro tarehe sita mwezi wa wa tatu narudia mechi kuangalia usiku uuu

  • @HusseinKafuta
    @HusseinKafuta 4 місяці тому +1

    Naludia mechi leo

  • @agapeemmanuel
    @agapeemmanuel 7 місяців тому

    Yanga ipo juu

  • @HabeebaHassan-eq7bg
    @HabeebaHassan-eq7bg 9 місяців тому +3

    Azam tv wasenge sana

  • @user-kw9xe7cl9z
    @user-kw9xe7cl9z 8 місяців тому +1

    Mambo ni moto

  • @AmanduceFesto-nb6kh
    @AmanduceFesto-nb6kh 8 місяців тому +4

    ❤❤❤❤❤ yanga

  • @chrissg4026
    @chrissg4026 8 місяців тому +3

    Goli la tatu kulikuwa na faulo 7:45

  • @MwanamkasiAlj
    @MwanamkasiAlj 9 місяців тому +2

    Azam haina mpira wakistaarabu ni watu wa mihereka tu kata funua sijui ni hizo ice cream.

  • @shaibumrisho5033
    @shaibumrisho5033 7 місяців тому +1

    Mpaka sasa hakuna mechi inayoshinda hii kwa ubora

  • @sadallahnineka3078
    @sadallahnineka3078 6 місяців тому

    Makolo walijichanganya 5 zilikua ni za hawa lambalamba

  • @omega-gl9wt
    @omega-gl9wt 9 місяців тому +2

    Daima mbele nyuma mwiko

  • @josephndaki8003
    @josephndaki8003 8 місяців тому

    Siwezi kukubali Simba na Yanga iitwe Kariakoo derby why not Dar es salaam Derby? DUNIANI nani anajua Kariakoo au Chamazi?

  • @hassanchiwambo687
    @hassanchiwambo687 8 місяців тому

    Huo moto waliopelekewa azam kuazia dakika ya 80

  • @justinewanzala3218
    @justinewanzala3218 6 місяців тому

    Jamani mpenja mbona haungulumii

  • @zaidyabdalah3691
    @zaidyabdalah3691 9 місяців тому +3

    Timu ya Azam takataka tupu, mishahara minono, marupurupu kibao, Hospitality ya uhakika, lakini wachezaji hovyo kabia, hivi hamjifinzi kwa yanga na Simba? Wachezaji huwa mnaokoteleza wapi? Hamfiki popote, mpaka labda Yesu akirudi. Kama vp hicho kiwanja Jenga kiwanda Cha kutengeneza biskuti utapata faida kuliko kuwa na timu inaleta hasara kila iitwayo siku. Trash trash trash trash kabisa hovyooo

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 9 місяців тому +2

    Ally kamwe kashanzakutabiri ujinga ndio midono inamponza

    • @user-dl8bn3oc8c
      @user-dl8bn3oc8c 8 місяців тому

      kwan all kamwe kaongea kit gan ww kolo

  • @Kikotidata
    @Kikotidata 8 місяців тому

    Ila nyiee Aziz anajua Mpira bhn wew

  • @AsmaAmeir
    @AsmaAmeir 9 місяців тому +1

    Azam makipa munatoa wapi mbona mipira inawapita kama kandimu

  • @kedyjohn1848
    @kedyjohn1848 8 місяців тому

    Ilikuwa wale tano na hawa kama siyo umakini wa Maxi, wangeongezeka kwenye ile list yetu.

  • @user-mo3yz7zk8y
    @user-mo3yz7zk8y 8 місяців тому +1

    Hii ndo yanga

  • @user-ze2uy3vh3w
    @user-ze2uy3vh3w 4 місяці тому

    Hii ndoyanga leo daaah kiukwel yanga ndotim yakuxhabikia

  • @GracieTyno
    @GracieTyno 7 місяців тому

    Huyo kipa wa azam alitaka kutuzoea 😂😂😂😂

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 9 місяців тому +5

    Tofauti ya wanaume na wavulana ndo hiyi sasa

  • @user-qu2md6yh1y
    @user-qu2md6yh1y 9 місяців тому +4

    Tunahama huku

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 8 місяців тому +2

    Azam tafuteni kipa

  • @Kisamorabaututa-em1bv
    @Kisamorabaututa-em1bv 7 місяців тому

    Mwamunyeto mech inamuhs sana Bora job asuge benchi

  • @simonsikanyika1682
    @simonsikanyika1682 5 місяців тому +2

    Yanga tamu

  • @CHW113
    @CHW113 20 годин тому

    Yanga hakuna kitu

  • @user-rv3dr9ug8o
    @user-rv3dr9ug8o 9 місяців тому +1

    Wazembe kivp

  • @beatosiakilimar6098
    @beatosiakilimar6098 8 місяців тому +2

    😮😅🎉😂❤

  • @sadallahnineka3078
    @sadallahnineka3078 8 місяців тому

    Kumbe azam nao walikua wanakula 5 aisee kwa hizi nafas zilizopotea😅

  • @franksanyiwa
    @franksanyiwa 8 місяців тому +1

    Tunaeda kushambulia sio kunzuwia kwahiyo acheni kumpagia cacha akifungwa nyie ndio wa kwanza kulaumu kwahilo muachen cocha apage timu yake

  • @AmanduceFesto-nb6kh
    @AmanduceFesto-nb6kh 7 місяців тому

    Ngoma ya mtoto haikeshi

  • @kokunyegezaruta8456
    @kokunyegezaruta8456 5 місяців тому

    😊

  • @user-hp4dn4nm8g
    @user-hp4dn4nm8g 7 місяців тому

    Ihi meche ya kumbukumb

  • @SalumuKibao-ex3zy
    @SalumuKibao-ex3zy 8 місяців тому +1

    Ndoa ya kanisani hiyo

  • @JustineIshebakaki-ns7fd
    @JustineIshebakaki-ns7fd 6 місяців тому

    Jmny yanga sio pooooo

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 9 місяців тому +1

    Golkeeper ovyo

  • @katalisajuka-fl3st
    @katalisajuka-fl3st 6 місяців тому +8

    Walitakiwa wapigwe 6 hawa kama sio uzembe wa Mudathir na Max, Kiukweli Max ana kera sana siku hizi, sehemu ambayo anatakiwa atoe pass rahisi ili wenzake wafunge yeye anataka apige afunge, Mudathir maamuzi yasiyo sahihi uwanjani yamekuwa mengi sana, mtu umebaki wewe na kipa unataka utulize tena badala ya kuunga, lakini tazama pale watu wawili wapo kwenye box mmoja ametanua pembeni ili kumvuta beki wa kati, yani Mudathir badala ya kupasia mpira kwenye box yy anataka achese one, two na huyu aliyetanua pembeni, mbona huu ni uchoyo uliyopitiliza

  • @godfreymkinga
    @godfreymkinga 6 місяців тому

    Mwamnyeto ajifunze jinsi ya kumkaba adui eneo la hatari makosa kama haya yanajirudia sana. Kingine max onyesha makali na mechi za kibingwa isiwe ligikuu tuu

  • @parishlawal3034
    @parishlawal3034 6 місяців тому

    Ilo goli la sillah n offside kubw san

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 8 місяців тому +80

    Tunawaomba viongozi wetu wa Yanga mechi dhidi ya Aly Ahly Mwamnyeto asianze Warabu watatumia madhaifu yake kwa kujipatia Penalti za kizembe kbs maoni tu

    • @yusuphabubakary2030
      @yusuphabubakary2030 8 місяців тому +10

      daah umeona,.. magoli yote mawili yametoka kwake,..
      pale ni job na bacca tuu ndo wawe wanaanza

    • @suzancharles1639
      @suzancharles1639 8 місяців тому +8

      Hata siku tumecheza na USMA ile final penalty aliisababisha yeye

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 8 місяців тому +1

      @@suzancharles1639 Umeona ilo kumbe nimesema ivyo sababu nimechukua ile unayosema na Penalt ya Azam na warabu wakishamjua mtu wa ivyo wanatumia sana iyo nafasi tunamuelewa sana Mwamnyeto ila ligi ya mabingwa apumzike kdg

    • @lucasmhagama8166
      @lucasmhagama8166 8 місяців тому +4

      Kwa hiyo timu inapagwa na viongozi?

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 8 місяців тому +5

      Saa utamuweka nani kwa vimo vya wale jamaa

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj 8 місяців тому

    Dabi zote wananch tumeshind

  • @abdaljuma-wk4dg
    @abdaljuma-wk4dg 8 місяців тому +1

    Ona lao hili lijinga usitofautishee bhana water wachezeji we2 sijapenda nyooookoooo

  • @alfredrutaguza7506
    @alfredrutaguza7506 8 місяців тому

    Roger uko sahihi mechi akianza mwamnyeto tunapata ushindi kwa taabu

    • @ahmedmpimbi9684
      @ahmedmpimbi9684 7 місяців тому

      Moja ya sababu ya kusajiliwa Gift Fred na pia Doumbia ni kwa ajili ya kutafuta mtu mwenye kimo lakini clinical sweeper ili kumuondoa Mwamnyeto kwenye equation

  • @user-ov8zp5mc4y
    @user-ov8zp5mc4y 8 місяців тому +1

    ahahahahahhaha hapoooo mm cpoo

  • @trofinlyimo3520
    @trofinlyimo3520 9 місяців тому +1

    Yanga bhnaaaa

  • @sekwajuma
    @sekwajuma 3 місяці тому

    mamboo yako vizuli sana

  • @filbertabdallahmdee2676
    @filbertabdallahmdee2676 8 місяців тому

    Hii mechi aucho alku hayuko fit ,hakua na fitness mda mwingi alkua anaachwa na fei na alkua anacheza faul na hii si kawaida yake nazan angetakiwa aende bench aingie hold mwingine ata mkude..,Mauya...

  • @hajially4527
    @hajially4527 5 місяців тому

    0:32 0:35

  • @SurprisedHibiscus-zh6to
    @SurprisedHibiscus-zh6to 8 місяців тому

    Unaipenda yanga kak

  • @mwamvitamatiku
    @mwamvitamatiku 9 місяців тому +4

    Yanga moto mkali

  • @user-ii2zm7it3b
    @user-ii2zm7it3b 8 місяців тому

    mwamnyeto awe makinii

  • @hajially4527
    @hajially4527 5 місяців тому

    0:51

  • @user-eq1gl3uh4m
    @user-eq1gl3uh4m 8 місяців тому

    Tunaomba waliocheza dabi wajekuanz kweny mech ya Al shaky

  • @ElickJames
    @ElickJames 9 місяців тому

    Yanga maandazi to