Yanga SC 3-2 Azam FC - Highlights | NBC Premier League - 23/10/2023
Вставка
- Опубліковано 22 жов 2023
- Stephane Aziz Ki amefunga #hattrick na kuipa Yanga ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa #NBCPremierLeague uliopigwa leo kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam
magoli ya Aziz Ki yamefungwa dakika ya 9', 69', 72' huku Azam wakipata magoli yao kupitia kwa Gibrill Sillah 19' na Prince Dube dakika ya 62 kwa penati. - Спорт
Viva Yanga Viva Wananchiiiiii let's go Ubingwa msimu Huu Ni lazimaaa 💪🔥💥💚💛⚽👊🤚🖐🏿
Hongera yanga ,Azam ni watoto wetu
Jomba hii mpaka iishe kwanza ninnoma sana🎉🎉🎉
kama Aziz atacheza kwa kiwango hikihiki kwenye derby tutawanyonyoa makolo
Wamenyooka kwel yaan
Asee hapa uli sema😂😂
Tayari tushawanyoosha😂😂😂😂
Dahhh mwanangu uliona mbali na tuliwanyonyoa kweli
Azam mnatuangusha likija swala la highlights
Ila Azam mnaroho mbaya Kila mechi ya yanga Huwa mnachelewesha
Wana boa sanaa Aisee
Yanga yakibabe sana
Huyu jamaa alotambulishwa usiku wa saa 6 mwamba wa wagadugu ni nomaaa sanaaaaa
Usiku wa manane
Yanga ni nomaaaa sanaaa
💛💛💚💚🔰🔰😂😂😂 nacheka kwa sababu nina furaha sana yanga hiii raha sana💚💚💛💛🔰🇹🇿
😂😂😂😂😂😂
Mkubwa ni mkubwa tu ❤❤
Amazing goal no:3
Aziz Ki bwana dah!🙌🏽
Nakuunga mkono kwa hilo aise mamnyeto uwezo wa kukaba ama kuzuwia Bado sana asianze kiukweli atatuchomesha🎉
Mwamnyeto ni defender wa nchi beki la mpira weweee
Mhh huyu azizi Ni noma aisee
Kama mwanayanga naomba mechiya Leo katiya yanga na singida kibwana aaz
muwe munakata dakika hata 40 au nitumie mechi zima unambie bei yake
Hii match ilikua inawauma kuikuwema kisa timu yenu imepigwa mnachekesha kweli 😂😂😂
Yanga raha ❤❤❤ jamn
💚💚💚💚💚yanga nitimu kubwa
This is true derby
Feisal bana is on another level
Another level without winning
@@masaumujungu without winning what kama ni titles ako nazo kama ni individual awards anazo ama huangalii mpira boss
@@masaumujungu ooooh ni majungu tu kama jina lako
Azam fanyieni kazi quality ya picha za highlight hazionekani vzur
Angalia setting kwenye youtube yako pia
I love Yanga
We need you in naturenaaaa man😂✌️✌️✌️✌️❤❤
Azam ikicheza na yanga nyie azam midia kuweni kiloho safi leo ndo mnatupia toka jana mmekaa kimya tumeangalia mpila vizuli tumeshinda 3 - 2
Ni kweli kabisa
SISI NDO YANGA,....ENDELEENI KUWATESA HAO MAKOLO.
Azam FC 3- 0 Mwakarobo
Sauti ya baraka MPENJA inauwa humna mtu anayeweza kama baraka mpenja
💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚 yangaaaaaaa
Mungu asimame Kati tu dhidi ya Ali ahal
Aaah mpka kero jaman achen mpira wa sifa
dash kiukweri nasikia raha na tanga yetu😂😂😂
Hii ndio ilikuwa Derby....Naskia malogo sc wameomba game yao na azam isongezwe mbele😂😂😂
Wanaogopa 😂😂😂😂na lazima wachapwe 🔥
Ni aibu Kwa azama na Feisal wao,
Apewe mmauwa🎉🎉🎉 yake mwamba
Mabeki wa azam wazembe bao lapili sio lakipa
Daima mbele nyuma mwikooooooooooooo
Yanga bora
Great 💚💚💚💚💚
Fei shoga kwel eti anafanya ishara kuwa imeisha😂😂😂
Ivi azizi awezi kufunga bila tobo
Nani anarudia kuichek hii game saii kama mimi😂😂
🐸🐸🐸
Saaa saba kasoro tarehe sita mwezi wa wa tatu narudia mechi kuangalia usiku uuu
Naludia mechi leo
Yanga ipo juu
Azam tv wasenge sana
Mambo ni moto
❤❤❤❤❤ yanga
Goli la tatu kulikuwa na faulo 7:45
Azam haina mpira wakistaarabu ni watu wa mihereka tu kata funua sijui ni hizo ice cream.
Mpaka sasa hakuna mechi inayoshinda hii kwa ubora
Makolo walijichanganya 5 zilikua ni za hawa lambalamba
Daima mbele nyuma mwiko
Siwezi kukubali Simba na Yanga iitwe Kariakoo derby why not Dar es salaam Derby? DUNIANI nani anajua Kariakoo au Chamazi?
Huo moto waliopelekewa azam kuazia dakika ya 80
Jamani mpenja mbona haungulumii
Timu ya Azam takataka tupu, mishahara minono, marupurupu kibao, Hospitality ya uhakika, lakini wachezaji hovyo kabia, hivi hamjifinzi kwa yanga na Simba? Wachezaji huwa mnaokoteleza wapi? Hamfiki popote, mpaka labda Yesu akirudi. Kama vp hicho kiwanja Jenga kiwanda Cha kutengeneza biskuti utapata faida kuliko kuwa na timu inaleta hasara kila iitwayo siku. Trash trash trash trash kabisa hovyooo
Ally kamwe kashanzakutabiri ujinga ndio midono inamponza
kwan all kamwe kaongea kit gan ww kolo
Ila nyiee Aziz anajua Mpira bhn wew
Azam makipa munatoa wapi mbona mipira inawapita kama kandimu
Ilikuwa wale tano na hawa kama siyo umakini wa Maxi, wangeongezeka kwenye ile list yetu.
Hii ndo yanga
Hii ndoyanga leo daaah kiukwel yanga ndotim yakuxhabikia
Huyo kipa wa azam alitaka kutuzoea 😂😂😂😂
Tofauti ya wanaume na wavulana ndo hiyi sasa
Tunahama huku
Azam tafuteni kipa
Mwamunyeto mech inamuhs sana Bora job asuge benchi
Yanga tamu
Yanga hakuna kitu
Wazembe kivp
😮😅🎉😂❤
Kumbe azam nao walikua wanakula 5 aisee kwa hizi nafas zilizopotea😅
Tunaeda kushambulia sio kunzuwia kwahiyo acheni kumpagia cacha akifungwa nyie ndio wa kwanza kulaumu kwahilo muachen cocha apage timu yake
Ngoma ya mtoto haikeshi
😊
Ihi meche ya kumbukumb
Ndoa ya kanisani hiyo
Jmny yanga sio pooooo
Golkeeper ovyo
Kama manula tu
Walitakiwa wapigwe 6 hawa kama sio uzembe wa Mudathir na Max, Kiukweli Max ana kera sana siku hizi, sehemu ambayo anatakiwa atoe pass rahisi ili wenzake wafunge yeye anataka apige afunge, Mudathir maamuzi yasiyo sahihi uwanjani yamekuwa mengi sana, mtu umebaki wewe na kipa unataka utulize tena badala ya kuunga, lakini tazama pale watu wawili wapo kwenye box mmoja ametanua pembeni ili kumvuta beki wa kati, yani Mudathir badala ya kupasia mpira kwenye box yy anataka achese one, two na huyu aliyetanua pembeni, mbona huu ni uchoyo uliyopitiliza
Mwamnyeto ajifunze jinsi ya kumkaba adui eneo la hatari makosa kama haya yanajirudia sana. Kingine max onyesha makali na mechi za kibingwa isiwe ligikuu tuu
Ilo goli la sillah n offside kubw san
Tunawaomba viongozi wetu wa Yanga mechi dhidi ya Aly Ahly Mwamnyeto asianze Warabu watatumia madhaifu yake kwa kujipatia Penalti za kizembe kbs maoni tu
daah umeona,.. magoli yote mawili yametoka kwake,..
pale ni job na bacca tuu ndo wawe wanaanza
Hata siku tumecheza na USMA ile final penalty aliisababisha yeye
@@suzancharles1639 Umeona ilo kumbe nimesema ivyo sababu nimechukua ile unayosema na Penalt ya Azam na warabu wakishamjua mtu wa ivyo wanatumia sana iyo nafasi tunamuelewa sana Mwamnyeto ila ligi ya mabingwa apumzike kdg
Kwa hiyo timu inapagwa na viongozi?
Saa utamuweka nani kwa vimo vya wale jamaa
Dabi zote wananch tumeshind
Ona lao hili lijinga usitofautishee bhana water wachezeji we2 sijapenda nyooookoooo
Roger uko sahihi mechi akianza mwamnyeto tunapata ushindi kwa taabu
Moja ya sababu ya kusajiliwa Gift Fred na pia Doumbia ni kwa ajili ya kutafuta mtu mwenye kimo lakini clinical sweeper ili kumuondoa Mwamnyeto kwenye equation
ahahahahahhaha hapoooo mm cpoo
Yanga bhnaaaa
mamboo yako vizuli sana
Hii mechi aucho alku hayuko fit ,hakua na fitness mda mwingi alkua anaachwa na fei na alkua anacheza faul na hii si kawaida yake nazan angetakiwa aende bench aingie hold mwingine ata mkude..,Mauya...
0:32 0:35
Unaipenda yanga kak
Yanga moto mkali
mwamnyeto awe makinii
0:51
Tunaomba waliocheza dabi wajekuanz kweny mech ya Al shaky
Yanga maandazi to
Kama ulivyo ww watak chapati
We kitumbua tulia
Bora Kennedy Musonda kuliko Mzize. Mzize bado sanaaa
Tarehe 5