Mungu hakuruhusu kuuwa kwahyo kama uliamua kuwauwa wenzio, basi kuna mtetezi wa wawaarabu, muajemi acha nayeye akutafte akuuwe na atakuuwaa☝japo mungu haruhusu wewe ndiye umeanzisha mauwaji auaye kwa upanga nae huuwawa kwa upanga ☝☝
وَقَضَيْنَا إِلَىٰ بَنِي إِسْرَائِيلَ فِي الْكِتَابِ لَتُفْسِدُنَّ فِي الْأَرْضِ مَرَّتَيْنِ وَلَتَعْلُنَّ عُلُوًّا كَبِيرًا Na tukawahukumia Wana wa Israili katika Kitabu kwamba: Hakika nyinyi mtafanya fisadi katika nchi mara mbili, na kwa yakini mtapanda kiburi, kiburi kikubwa.
@@omondiowino7875 amuache peke yake alafu apoteze maslahi yake mashariki ya kati hawezi kukubali kirahisi hivyo Israel ndiyo Kilanja wa mashariki ya kati aliyeteuliwa na marekani amsaidie kutimiza majukumu yake hivyo sio rahisi
Masoob siyo kama tunazarau iron dome,no the way wazungu walivyo fanya advertise yaiyo mifumo basi tulijuwa kama akuna bom ao drone inaweza penyeza israel
Ally masubi fahamu kuwa ndio Kila ulinzi una mapungufu hatukatai tatizo tulivyoaminishwa kuwa iron dome ni zaidi hakuna mfumo unaozidi iron dome. Pia tumeaminishwa kuwa ndio mfumo namba moja. Tunajaribu kupima taarifa tulizoambiwa na uhalisia. Kama tulivyoaminishwa hapo awali kuwa makomandoo Mia moja Sawa na mwanajeshi. mmoja shoga Wa Israel. Sasa tupime maneno na uhalisia.
Huo ndiyo ukweli kwani wewe unadhani Hezbollah ni weak sababu anachapwa na Israel ni kwamba kakutana na watu walioadvance wamewajua hvyo hata Iran wajuaj namna yakukwepa
@@ce-08 Iron dome ikichambuliwa na Sma ndo utajua ni dhaifu, sma hutumia facts na logic kuelezea udhaifu wake. Ni kwamba mara zote ilikuwa ikikutana na mabomu ya kutengenezwa kwa sukari na vitu vingine, yaani mabomu local sana, au ikikutana na maroketi ya kutengenezwa na watu wale wale dhaifu kivifaa, sasa huwezi kupima ubora wa kitu kwa kutumia vitu dhaifu, ndo hapo namuona Ali Masubi anafeli uchambuzi wake. Masubi ana mapenzi ya kjumla kwa kila kitokacho Israel, ni miongoni mwao wale wale waliokaririshwa juu ya "uteule" wa wayahudi hata pale wanapofeli. Fikiria Ali sasa anasema mfumo wa THAAD ulikuwepo japokuwa Marekani imetangaza kuupeleka huko ili kuisaidia Israel kujilinda dhidi ya makomnora kutoka Iran. Sasa kama ulikuwepo maana yake anaproof kuwa haufai pia maana umeshindwa kuzuia makombora ya Iran pia. Sasa sijui anapinga nini na anakubali nini, ni maoenzi ya kukaririshwa, mapenzi ya kuaminishwa, Ali Masubi kwa kipengele hiki cha upimaji wa ubira wa mifumo ya ulinzi wa anga anaboa sana kwa kuibeba Israel bila facts na logic. Sasa ipo wazi, na leo ametamba sana kwa kusifia irone dome kwa sababu yule mwamba Dj Sma hayupo, angemfyatua pale pale kwa facts na logic zake kama kawaida, yeye Sma husema akikupa vipimo vya maabara anakupa na dose yake, akikuuzia bidhaa anakupa na risiti kabisa, tena ya EFD. Binafsi nampa big up sana Henry Mwaluko kwa uchambuzi wake unaogusa pembe zote kiuadilifu, na mara nyingi huwaweka sawa Ali na Sma pindi wanapogongana ktk uchambuzi, ni mwanasheria, yupo smart sana💪💪💪
@@MzeeKigogo_ Mpuuzi utakuwa wewe, Sma hutumia facts na logic kwenye uchambuzi wake, hata akiweka maelezo ya dini hutoa pamde zote, sasa sikui wewe unakwama wapi? Au wewe ni mpagani tukujue?
Haingiii akilini nyumba ya Nyau ishambuliwe iteketee asife mtu yyt, ina maana Nyau hakuwa hata na wafanyakazi wa ndani, mkata majani, walinzi wa getini , usalama wa taifa yani hawa wote hawakuwepo? Mbona kuna habari kama wameuliwa wote waliokuwa ktk hiyo nyumba wakiwa baadhi ya wanajeshi, muda utasema
Ali unajua nmekuftilia ila nmegundua unattzo ila untkiwa ujirekebishe kidgo uli ue mchmbuz mzur cjuii nitumie nno gni ila ukitk kumkosoa mtu bac usimkosoe moja kw mjo Eb jarb kujifnz kw Hennry apo man antk kukukosoa lkn antumia busara sana haypo hash ila pia unmktish kumkosa io hailt pich nzur na ndmna ankujb shot wkt unaongea
Hata hivyo PM Netanyahu ana huruma kuliko wafalme na inavyotakiwa kuio goza Israel kwani vita ya Israel huwa siyo ya kisheria wala yaani yeye inatakiwa apige mpaka achome moto mahali anapopapiga afu . Ila kunapokuwa na sababu tu za kufanya hivyo nje na hapo haruhusiwi kupigana bila mwongozo wa kinabii au sababu za msingi.
Sky ayo maneno mkosaji na mtu asio nanguvu netanyau ananguvu bado nikibaraka wa marekani hamas au ezzebollah.japo wanekimbia vig'ola wakatoka bila nguo na watoto wake.
Israel anaonea nawala hana nguvu kwa sababu hajapigana na mwenye nguvu kama yeye, nikama marekani alizoea kunyonga nchi kama Iraq Syria 🇱🇾 alionekana ananguvu ila alipo jiingiza katika mzozo wa Ukraine sote tunaona
Huyu Henry anapuyanga puyanga mbona Israel inaua viingozi wa kisiasa mfano wa hamasi na pia kupiga katika ubalozi je hiyo sio kosa ? Ongea point sio hisia hapa
Masubi kaeleza vizuri kuhusu uwislam kuhusu jihad, kuongezea tu ni uwislam hauruhusu muislama kufanya mashambulizi mapaka atakapo shambuliwa kwaku ingilia imani yake Muslim atashambia kama atashambiliwa kwa kujihami na hata mtume muhammadi sw hakuanza vita bali wale walio chukizwa na imani ya islam wapo taka kuwa maliza ndipo Allah akawapa amri ya kujitetea.
Tulisemaga video iliyopita ambayo waislamu wengi umu ndani waliishabikia kwakuona ni vizuri .. hiyo karata niyakujihalalishia mtu kuzuliwa .. tafakalini kimbele ndugu zangu , hao sio mafala wanajua wanachokifanya, wanatafuta uhalali tu afyatuliwe mtu apo Tena mwenye hadhi Kama ya netanyau uko Iran nadhan anaeleweka .. think big izo ni mbinu za kivita, mtu anajipiga ili apate uhalali wakukupiga wewe Sasa .. hata Mambo hayahitaji tafakari zakihitakadi au hisia Bali clean thinking ..
Kwani unafikiri atakufa Kawaida huyu Unakumbuka Aliyetoka Kabla Yake Aliteseka Alitika Funza,,Madaktar walimchoma sindano wa kumuuwa Lakin iilshindikana Sasa huyu mwisho wke utakuw m,baya zaid
Tarifa Zippo hewani nikwamba mtoto wa Netanyahou anayejylikana kwa jina la yahir Netanyahou alifariki Siku ile ya shambuliyo na mkee wake naye piya ayitwaye Sara Netanyahou alijeruhiwa
Henry ni mchambuzi mzuri sana and very smart guy
Ali masubi big up pamoja na wenzako apo studio mntatisha wazzzeee
God bless Horn. Benyamini Netanyahu, and his country Israel amen.
Mtangazaji ubalikiwe Sana katika kazi zako
Uchambuzi mzur sana ulio jitosheleza mungu awazidishie
GPS ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mungu hakuruhusu kuuwa kwahyo kama uliamua kuwauwa wenzio, basi kuna mtetezi wa wawaarabu, muajemi acha nayeye akutafte akuuwe na atakuuwaa☝japo mungu haruhusu wewe ndiye umeanzisha mauwaji auaye kwa upanga nae huuwawa kwa upanga ☝☝
Toka ezi za manabii watu wanauana kaini na abel,Musa vita kipindi Cha mtume Mohamed
hatakiwi hapa duniani
@@ballethmbarak9928 kbsa
Africa D akili hauna Hii Vita wameanza warabu ambao ni Hamas unajizima data si ndiyo?
@@henrymatebehunaulijualo kaakimya
Asanteni KWA uchambuzi wenu mzuri. mustache kujua historia kuanzia enzi za kale ili muyajue haya ya Leo na kujua anayedhulumiwa.
Hongera sana Henry kwa uchambuz ulio enda shule
Iron dom Arrow na Devid Sling ni dhaifu ndio maana Marekani akapeleka THAAD Dj sma heshima kwake na GPS kwa ujumla
Djsma is 🔥🔥🔥🔥🔥
Anae abudu warusi😂
Yeye ni unt israel mbona anajulikana
Kama yale mabomu yasingezuiliwa na Iron Dome tungekuwa tunazungumza habari nyingine
Kwa hio wewe unaabudu USA na Israel@@mosesdamian4858
@@raymrashkama Yale mabomu yangeelekezwa kwenye makaazi ya raia basi tungekuwa tunazungumza mengine. Iron dome imepoozeshwa toka shambulio la April.
وَقَضَيْنَا إِلَىٰ بَنِي إِسْرَائِيلَ فِي الْكِتَابِ لَتُفْسِدُنَّ فِي الْأَرْضِ مَرَّتَيْنِ وَلَتَعْلُنَّ عُلُوًّا كَبِيرًا
Na tukawahukumia Wana wa Israili katika Kitabu kwamba: Hakika nyinyi mtafanya fisadi katika nchi mara mbili, na kwa yakini mtapanda kiburi, kiburi kikubwa.
Mungu awasaidie Israeli wote ame ❤❤❤❤hao magaidi wakashidwe.katika jina ra YESU wakatayalike kwamsada wa mungu aliye hai
Israel nikama anatamani marekani iingie vitan na Iran ingawa urusi awez iacha Iran bila kumsaidia meaning hii inaweza sababisha vita ya 3 ya dunia
Vita vya tatu ni lazima na hata Marekani atamwacha Israel peke yake ..
@@omondiowino7875 amuache peke yake alafu apoteze maslahi yake mashariki ya kati hawezi kukubali kirahisi hivyo Israel ndiyo Kilanja wa mashariki ya kati aliyeteuliwa na marekani amsaidie kutimiza majukumu yake hivyo sio rahisi
Henry na dj smaa nawaelewa vizuri Sana kuliko masubi big up Sana kwenu. Dj sma mzee Wa kutabiri nakuelewa sana
umeambiwa wanashindana
Mungu awabariki
GPS ❤❤❤
Mungu gani huyo atakayemsaidia huyo shoga Netanyahu
Mungu wa babu yao wote wawili Ibrahim, tatizo ni nani kabarikiwa? Tuombe vita iishe haimsaidii mtu yeyote
Masoob siyo kama tunazarau iron dome,no the way wazungu walivyo fanya advertise yaiyo mifumo basi tulijuwa kama akuna bom ao drone inaweza penyeza israel
Hakika ndugu
Pray for the peace of Israeln and the city of Jerusalem
Rubbish
@@RaymondPaul-bs7su I can't blame you
Natenyahu kaingia na uoga
Ali 🔥🔥🔥 Mzee wa details zimeshiba, ukitaja kitu mimi na Google kuthibitisha, naona iko perfect 👍🏽. Kazi nzuri GPS
Safa sana
Ally masubi fahamu kuwa ndio Kila ulinzi una mapungufu hatukatai tatizo tulivyoaminishwa kuwa iron dome ni zaidi hakuna mfumo unaozidi iron dome. Pia tumeaminishwa kuwa ndio mfumo namba moja. Tunajaribu kupima taarifa tulizoambiwa na uhalisia. Kama tulivyoaminishwa hapo awali kuwa makomandoo Mia moja Sawa na mwanajeshi. mmoja shoga Wa Israel. Sasa tupime maneno na uhalisia.
Messile Loaded tayari bado Hajizadeh anasubiri kubonyeza button tu na amri ya Agha 😊
Hakuna iron dome wala nini ni Mungu ana wa protect na siku akitaka kuwaondoa atawaua tu kama vita kuu ya pili
hakuna dhulma itabaki kwenye hii dunia
Sounds good sana
Nyetanyau Atakapouliwa Migogoro Itaisha Mashariki Ya Kati.
Kutoka Gikombaa nairobi
Hayo si ya kweli...wakifa magaidi haki itakuwepo
Watampata sio mdaa mrefu mshenzi sn yule jamaa hafai
Amewakomesha magaidi @@KassimAlly-xp4dz
Utauwawa wewe kwanza nafamya yako ndipo ujinga utakoma kwawatu
@@PeterMahona-zd3ozJifunze kuandika
HII MADA ANGEKUWEPO JD SMAA
Huyo unt israel
Yarabi mimi siku akiuwawa nyau mm nitatoa sadaka
Mimi ni mfatiliaji mkubwa Sana wa SNS kutoka western Cape South African🇿🇦
Tunashukuru kwa bando.
@@BonnyMwajombe-iu7hb bando rapper 🎤 ama?
@@abdullahmapesatunashukuru kwa kutumia bando lako la internet kufuatilia SNS
@@barakaekuro ooooh asante sana na kwako pia brother
Mbona hawaja tuonesha madhara ya hio nyumba ndio wameficha
Angalia Al Jazeera,
Sasa wewe inakuhusu nini.
Video na picha zinapigwa burn kwenye UA-cam labda uwe na VPN na pia itakuwa aibu sana kwao
Upande wa teknolojia ya silaha kiukweli ally msubi anajua sana
Jamaa before kashikilia Bango iron dome sio week lol ingenkue sio week isingepenya
Huo ndiyo ukweli kwani wewe unadhani Hezbollah ni weak sababu anachapwa na Israel ni kwamba kakutana na watu walioadvance wamewajua hvyo hata Iran wajuaj namna yakukwepa
@@ce-08
Iron dome ikichambuliwa na Sma ndo utajua ni dhaifu, sma hutumia facts na logic kuelezea udhaifu wake.
Ni kwamba mara zote ilikuwa ikikutana na mabomu ya kutengenezwa kwa sukari na vitu vingine, yaani mabomu local sana, au ikikutana na maroketi ya kutengenezwa na watu wale wale dhaifu kivifaa, sasa huwezi kupima ubora wa kitu kwa kutumia vitu dhaifu, ndo hapo namuona Ali Masubi anafeli uchambuzi wake. Masubi ana mapenzi ya kjumla kwa kila kitokacho Israel, ni miongoni mwao wale wale waliokaririshwa juu ya "uteule" wa wayahudi hata pale wanapofeli.
Fikiria Ali sasa anasema mfumo wa THAAD ulikuwepo japokuwa Marekani imetangaza kuupeleka huko ili kuisaidia Israel kujilinda dhidi ya makomnora kutoka Iran. Sasa kama ulikuwepo maana yake anaproof kuwa haufai pia maana umeshindwa kuzuia makombora ya Iran pia. Sasa sijui anapinga nini na anakubali nini, ni maoenzi ya kukaririshwa, mapenzi ya kuaminishwa, Ali Masubi kwa kipengele hiki cha upimaji wa ubira wa mifumo ya ulinzi wa anga anaboa sana kwa kuibeba Israel bila facts na logic. Sasa ipo wazi, na leo ametamba sana kwa kusifia irone dome kwa sababu yule mwamba Dj Sma hayupo, angemfyatua pale pale kwa facts na logic zake kama kawaida, yeye Sma husema akikupa vipimo vya maabara anakupa na dose yake, akikuuzia bidhaa anakupa na risiti kabisa, tena ya EFD.
Binafsi nampa big up sana Henry Mwaluko kwa uchambuzi wake unaogusa pembe zote kiuadilifu, na mara nyingi huwaweka sawa Ali na Sma pindi wanapogongana ktk uchambuzi, ni mwanasheria, yupo smart sana💪💪💪
Onyo akampe baba yake huko akijichanganya tunampeleka finari
Wewe kima mmoja tu umekula ukoko kwa mamalishe huko unamtishia Israel au siyo,,? Fanya kazi boy umasikini utakuua huo😎
Mleteni dj sma bwana mzee wa fact
Facts Yule mpuuzi amejaa mahaba ya kidini
@@MzeeKigogo_
Mpuuzi utakuwa wewe, Sma hutumia facts na logic kwenye uchambuzi wake, hata akiweka maelezo ya dini hutoa pamde zote, sasa sikui wewe unakwama wapi? Au wewe ni mpagani tukujue?
@@MzeeKigogo_unatafunwa ww
Ana watoto watatu, ninavyofahamu. Yair, Avner na Noa.
Haingiii akilini nyumba ya Nyau ishambuliwe iteketee asife mtu yyt, ina maana Nyau hakuwa hata na wafanyakazi wa ndani, mkata majani, walinzi wa getini , usalama wa taifa yani hawa wote hawakuwepo? Mbona kuna habari kama wameuliwa wote waliokuwa ktk hiyo nyumba wakiwa baadhi ya wanajeshi, muda utasema
Ali unajua nmekuftilia ila nmegundua unattzo ila untkiwa ujirekebishe kidgo uli ue mchmbuz mzur cjuii nitumie nno gni ila ukitk kumkosoa mtu bac usimkosoe moja kw mjo Eb jarb kujifnz kw Hennry apo man antk kukukosoa lkn antumia busara sana haypo hash ila pia unmktish kumkosa io hailt pich nzur na ndmna ankujb shot wkt unaongea
🎉🎉🎉
Hata wao wanaotengeneza izo drones wanapambana kutengeneza drone yenye bora iconekane ktk anga na kufanya mazara
Drone uitungue na Bunduki!! Labda iwe chin maana kama inakua zaid ya 1000KM bunduk inaitungua vip?
Bwana hio si neno kbsa kwasababu Ismaël nawao wanauwa viongozi wa mataifa mengine sasa mbona hawaulizwi kitu ?
Naam
Ahaaa Wakati NetaNyau anapoua viongozi wa Hamas na Lebanon anafikiri wale viongozi hawana wafuasi wao
Hata huyu baba mtu nchini kwake anazuga zuga tu lk. anaishi marekani 😂😂😂😂 kukaa israel!!! yy kuweza😂😂
Uchambuzi uko vizuri
⭐⭐⭐⭐⭐
🎉
Hata hivyo PM Netanyahu ana huruma kuliko wafalme na inavyotakiwa kuio goza Israel kwani vita ya Israel huwa siyo ya kisheria wala yaani yeye inatakiwa apige mpaka achome moto mahali anapopapiga afu
. Ila kunapokuwa na sababu tu za kufanya hivyo nje na hapo haruhusiwi kupigana bila mwongozo wa kinabii au sababu za msingi.
Assallam Allaykum, huwo mchezo wamecheza wawo, ili watafte sababu, hizo niplani. Wanatumia
Mbona hamuweki kimziki cha sns muwe mnakiweka hata mwanzo
Sky ayo maneno mkosaji na mtu asio nanguvu netanyau ananguvu bado nikibaraka wa marekani hamas au ezzebollah.japo wanekimbia vig'ola wakatoka bila nguo na watoto wake.
Leo ni mwaka, hakuna siku alikuwa na huruma.kilichomfika anastahili, kaua viongozi wengi wa Iran na Hamas,na Hizbullah,na Lebanon
Wewe ALLY Israel huwa anakufa sio kufariki rekebisha kiswahili chako.
MUNGU IBARIKI ISRAEL MILELE DAIMA
NATENYAHU AMEINGIWA NA HOFU BAADA YA MASHAMBULUZI NYUMBANI KWAKE..Hosbullah wememweka in check from now on.
Masubi scientifically strong chemical absorbing elements ni zinc and slightly carbon rods
Msubi anaogopa matusi ya Wakiristo Ndiomaana ana watetea Makafiri 😷
Akupigae Kofi la kushoto mgeuzie na lakulia , kisasi kinatoka wapi au mmesahau maandiko,
Shoga kumbe ana mke
Vita vya gaza na Israel ni kama movie alafu Hamas ni sterling alafu Israel ni adui siku zote watazamaji wanakuwa upande wa sterling
😂
kinyume chake sasa ndo uhalisia😂
Mm akifa nitaichinjia mbuzi familia yng
Netapaka 😢😢😢😢😢
NAMPENDA MASUBI SABABU KIINGEZERA HATUMII SANA KWENYE MAZUNGUMZO YA KISWAHILI TOFAUT NA DJ SMAA HENR.
Ulitumwa utoloke vipindi shule 😂😂😂
Hiyo drone ni ya kwao huo ni mpango tu
40 ya netanyau inakuja
Masubi bado ana fikra zile za islael hagusiki
Israel anaonea nawala hana nguvu kwa sababu hajapigana na mwenye nguvu kama yeye, nikama marekani alizoea kunyonga nchi kama Iraq Syria 🇱🇾 alionekana ananguvu ila alipo jiingiza katika mzozo wa Ukraine sote tunaona
Ukute hio ni drone ya netanyau mwenyewe anatuzuga tu ili aendeleze vita nipo hapa time will tell
Huyu jamaa anaongea sana ,, ovyo unampa nani mko vitani kama mwanaume piga mmalizane,, unatafuta huruma kwa nani,,, unaonea wasio kua na nguvu.
mkuu wa IDF yuko wapi haonekani toka shambulizi la drones
Unatka umwone wapi
alishadedishwa huyo wanao a aibu kutangaza
Inabidi, mukiitaja Iran, mujikumbushe na uwezo wao wa kijeshi, na Hezbollah pia..
MUNGU ibarki israeli🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🙏🙏🙏
IDF inaonekana wanajisumbua kuwatafuta mateka. Baadhi ya mateka inasemekana wapo Iran na wengine wapo Qatar.
Usikute hao hao ndo wame jipiga 😊
Huyu Henry anapuyanga puyanga mbona Israel inaua viingozi wa kisiasa mfano wa hamasi na pia kupiga katika ubalozi je hiyo sio kosa ?
Ongea point sio hisia hapa
Yote tisa...... bila vita ya tatu ya dunia watu hawawezi kuheshimiana
😂😂😂😂 iyo Kali 😂😂😂
heeee
Maswali mazuri majibu mazuri
wote . Sema 2 Drone haina Dawa kama nyukilia 2 Mungu umpa amtakaye
MATEKA HAWAPO GAZA, BAADHI YA MATEKA INASEMEKANA WAPO IRAN + QATAR
Huyu Ally mwambieni atoe sauti tumdikie
Adi 2030 itakuw ni vita ya Robot sas
kwenye kifo hakuna ujanja yani siku imefika, ujanja utakua nDogo,
Kabsa Kila mtu anasiku yake na hauwez kukimbia
into lake akampe mke wake
Happy birthday Benjamin Netanyahu,75💪🔥🇮🇱
waoga kimbia mbiyo na kuacha ukweli wao nyuma ile siku ilikuwa ni bahati kubw, mbiyo mbiyo😂😂😂😂😂😂
Masubi kaeleza vizuri kuhusu uwislam kuhusu jihad, kuongezea tu ni uwislam hauruhusu muislama kufanya mashambulizi mapaka atakapo shambuliwa kwaku ingilia imani yake Muslim atashambia kama atashambiliwa kwa kujihami na hata mtume muhammadi sw hakuanza vita bali wale walio chukizwa na imani ya islam wapo taka kuwa maliza ndipo Allah akawapa amri ya kujitetea.
Wanasiasa wnasababisha Matatzo Dunia halaf wao wanaandaa mazingira ya Sheria za kujilinda
Neta nyau ashura aiwez iran
hazidishiwi zalimu ila hàsara,qur an
Mimi ni mdau wenu sna ...ila siku hizi mpo upande mmoja sna wa kuishtumu israel kma alivyo dj sma
Tulisemaga video iliyopita ambayo waislamu wengi umu ndani waliishabikia kwakuona ni vizuri .. hiyo karata niyakujihalalishia mtu kuzuliwa .. tafakalini kimbele ndugu zangu , hao sio mafala wanajua wanachokifanya, wanatafuta uhalali tu afyatuliwe mtu apo Tena mwenye hadhi Kama ya netanyau uko Iran nadhan anaeleweka .. think big izo ni mbinu za kivita, mtu anajipiga ili apate uhalali wakukupiga wewe Sasa .. hata Mambo hayahitaji tafakari zakihitakadi au hisia Bali clean thinking ..
Mimi, akiiwawa natanyau ntachinja mbuzi watu wale
Kwani unafikiri atakufa Kawaida huyu Unakumbuka Aliyetoka Kabla Yake Aliteseka Alitika Funza,,Madaktar walimchoma sindano wa kumuuwa Lakin iilshindikana Sasa huyu mwisho wke utakuw m,baya zaid
Yaana unafurahia binadam mwenzako kuuawa ?
Bro sahau hiyo kitu aisee
@@BonnyMwajombe-iu7hb kila Nafsi itaonja Maut
Et kosa kubwa 😂😂😂 huyu akapimwe sio bure!
Nilitaman iwe 2h
Frank mbona unasema tusubiri tuone. Hiyo ni hamasa kwa watu badala ya kuomba yaishe. au unapromote vita kwa namna fulani...
Netanyahu Hana akili alipaswa akee kimiya ili na waziraili Wayne kuwa wanashambuliwa pamoja na yeye
Tumeacha kuangalia vyombo vikubwa vya habari kwa kuhisi ni vibaraka tupo na Sns kupokea habari zinazoendana na akili zetu
Fact kabisaaaa
Tarifa Zippo hewani nikwamba mtoto wa Netanyahou anayejylikana kwa jina la yahir Netanyahou alifariki Siku ile ya shambuliyo na mkee wake naye piya ayitwaye Sara Netanyahou alijeruhiwa
wakubali tu ni wao waliohusika😂😂😂
Na huyu natinyahu we subiri watamuwa tu 😅 soon